Leo namba moja tenakama kwaida Tiya like kama unakubaki team tin white
@amanishiughaaa63452 жыл бұрын
Ira nmecheka kirangoso umetisha daaah
@moviekaa Жыл бұрын
laana sumaka😂😂😂. Dume la pwani miyeyusho sana😂😂
@binjackofficial62422 жыл бұрын
wa kwanza leo wapi like zangu jamani
@hamisissa11152 жыл бұрын
Abdul nakukubali sana we ni nomaaaa.
@complex75822 жыл бұрын
Shami hujambo
@blackice45682 жыл бұрын
Kwanini mnatupa episode fupi? Ebu tunataka ndefu kidogo ili tuwe tuna enjoy, I really love this series and I’m your big fan from 🇸🇪🇸🇪 Sweden 🇸🇪
@Ibrahlaiza2 жыл бұрын
Pia mimi nipo hapo hapo episode ni fupi na wana chelea sana
@tungozamswahilijk46562 жыл бұрын
Jifunzeni kuridhika dakika 28 ndogo? Angalieni ugaigai ya mkojani dakika 15/16,binadamu wabaya yakitale kama hii dakika zake na inatoka Kwa wiki mara moja
@Ibrahlaiza2 жыл бұрын
@Mussa Hoza ndio
@nockigona51602 жыл бұрын
wengine wavivu wa kuangalia dakika nyingi mimi hata dakika 28 nyingi mno wangefata mwongozo wa aladin
@geraldndosi20832 жыл бұрын
Hili kweli sakata 😁😁🙌 Zakayo domo zege 🤣🤣🙌
@Mustykhan2 жыл бұрын
😋😛😛😛
@Mustykhan2 жыл бұрын
thanks kwa Kufatilia
@hancybeny2 жыл бұрын
Na wakati alijifanya na mineno kibao kwa Abduli amuunganishie Kiduchu
@mr.tabasamumedia97402 жыл бұрын
🔥🔥❤️ sataka nzuri sana series tin white big up bro 🤗
@nusranuznusra89792 жыл бұрын
White penda wewe sakata😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜big up
@mr.tabasamumedia97402 жыл бұрын
@@nusranuznusra8979 sure series zake 🔥❤️ very creative
@shami11122 жыл бұрын
Hapo kwenye makofi jmn nime cheka sn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@tumajunior60802 жыл бұрын
Wee queen wanizingua bana waona viatu vya mumeo bado tu ht naenda mm namfumua nachanacha 👌👌👌🥰🥰🥰🥰
@sulaymanwaziri44552 жыл бұрын
Hapo kwenye makofi na walivyo mchangia 😂😂😂😂😂 yani sina mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rosemarymoshi24282 жыл бұрын
Huyu Aladin Sasa khaaaa🤣🤣🤣🤣 hiyo mikofi Sasa
@kulwachaurembokulwachaurem46942 жыл бұрын
Wakwanza Leo nakubal bro tin na member of crew
@Yatosher_Der_Golden_voice2 жыл бұрын
Dume la pwani mzee wa LAANA SUMAKA😂😂
@shadyazitueni53382 жыл бұрын
Duuuuh mmetisha kal khtr yan mnavtk mmenifany nichek kwa saut
@sharifahabsi50042 жыл бұрын
Hongereni sakata love frome oman
@fatumaselemani38072 жыл бұрын
Mashallah asante sana washilika mungu awajalie sana
@mhangojesca63892 жыл бұрын
You made my day 😂😂😂
@rivinerogersrovine13912 жыл бұрын
Hahaha nimefurahi sana alivyo wachalaza makofi tin white
@djkayumba2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂sakata imekuwa ya mtoto atari🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@yesunimwema44972 жыл бұрын
Hahahahah 🤣😂🤣😂🤣😂🤣yani mnajuwa kututowa ma stress 🤣😂😅😆.