ANAPOISHI CRISS MZIWANDA SEBULENI KWAKWE KUNA MOTO/AOENESHA BAR KUBWA ANAYOMILIKI

  Рет қаралды 143,547

ZamaradiTV

ZamaradiTV

8 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 173
@hawakindamba6519
@hawakindamba6519 7 ай бұрын
Yan huyu kaka kama umjui unaweza kusema analinga sema nimemuona live kwenye msiba wa rafiki yake alifiwa na mama ake ni mtu poah sana❤
@theopistamwayeya1764
@theopistamwayeya1764 8 ай бұрын
Huyu kaka msafi, kila kitu utafikir ni vipya kabisaa, hongera.
@lil_billy909
@lil_billy909 7 ай бұрын
Camera 📷 man anajua zamaradi mwongeze mshahala
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 7 ай бұрын
Great interview.. Chriss ana utulivu sana kwenye maelezo yako. Smart!!!
@uwimanacitegetse9926
@uwimanacitegetse9926 8 ай бұрын
Mufananowake ndivyoalivyo hatanyumbanikwake nimusafi❤❤❤ tofauti nawengine he’s so handsome❤
@florahbenedict
@florahbenedict 7 ай бұрын
Huyu ni mwanaume! Mwanaume narudia tena, kupima akili ya mtu ni pamoja na unayojieleza! Nimependa sana! Imetulia sana!
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
Nimechunguza sana wandishi wa habari mukienda majumbani nyie ndio munajilia camera man anakula kwa macho kwa nini humwambii aweke chini nae ale au anywe😂😂❤❤❤❤❤❤
@Nadhifasaid-1654
@Nadhifasaid-1654 8 ай бұрын
😂😂😂 wewe kumbe unawaza kama mimi
@annaedwardrobert6778
@annaedwardrobert6778 8 ай бұрын
Mnajuaje km hawali
@marrypius576
@marrypius576 8 ай бұрын
Anakula baada ya show jmn sas akiweka camera chini wew utaonaje sasa 😂😂😂
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 8 ай бұрын
Sheria no moja camera man hula baada ya kazi
@hawasaid7151
@hawasaid7151 8 ай бұрын
Anakula baada ya show kuisha hawawez kustop kuacha ku record
@MozesKalikumbi
@MozesKalikumbi 21 сағат бұрын
Good job Saleh classic
@bainolatino3412
@bainolatino3412 6 ай бұрын
Mtangazaji mwenyewe amevutiwa na maisha ya mjamaa
@JanethMadios-oe5ue
@JanethMadios-oe5ue 8 ай бұрын
Mmmh yaani wasaniii anajifanya ka ma alikuwa hana taarifa ya ugeni😅😅😅😅😅😅
@bennamush4616
@bennamush4616 7 ай бұрын
😂😂😂 wanajifanyaga hawana taarifa Ila wanakuwa nazo kabisa wasituone watoto
@gracepatric4371
@gracepatric4371 7 ай бұрын
Na pale getini mwanzo mtu alikuwa standby kabisa miguu imeonekana
@pendokimesu
@pendokimesu 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding 8 ай бұрын
Huyu kaka ukimuona live mzuri zaidi anarangi flan ya rangi mbichi nilimuona kwenye pub yake yeye na rafiki yake Rammy❤
@bahatirngulika4493
@bahatirngulika4493 7 ай бұрын
Ht mi nlimuona kazimoto tabata ana rangi amazing sn
@HoneysugarPudding
@HoneysugarPudding 7 ай бұрын
@@bahatirngulika4493 kabisa yaani rangi ya asali mbichi halafu hata haringi yuko poa sana
@jackycharles6419
@jackycharles6419 7 ай бұрын
Smart sana humble saf kaka
@abisinaramadhani1460
@abisinaramadhani1460 8 ай бұрын
Kwan huyu salimu yeye tatembelewa kwake lini
@stellaemmanuel5526
@stellaemmanuel5526 7 ай бұрын
Siku tunasubiri tuone kwako ndugu mtangazaji 😄
@safiaimran6455
@safiaimran6455 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@bainolatino3412
@bainolatino3412 6 ай бұрын
Mchizi kafanana na 2pac sana jamani au naiona mimi tuu hii
@JanethMathias
@JanethMathias 7 ай бұрын
Sema mwana aongezag sana masifuri
@TALLUBOY
@TALLUBOY 6 ай бұрын
Bi gapu mzee Chris Wauni tunapika muelewe Wadada na siyo tunashindwa Kuwa na nyinyi hapana Ni wasumbufu sana
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 ай бұрын
Kiukweli hajisifu wala nini hongera sana kaka mziwanda
@giztony2009
@giztony2009 7 ай бұрын
This dude is very humble and cool
@user-ok3vl2et4y
@user-ok3vl2et4y 7 ай бұрын
nakupenda mziwanda❤❤❤❤
@skyscapeinternational9658
@skyscapeinternational9658 7 ай бұрын
chriss mnyama sanaa ni icon
@dady_media5899
@dady_media5899 7 ай бұрын
Hii show bizz ni Kali Kinomaaaa ✌️
@happnesskatandula4189
@happnesskatandula4189 7 ай бұрын
Ilove the story hauna masifuli kk muonekano wako na story yako mwingine angeanza misifa
@edinalihedule7609
@edinalihedule7609 7 ай бұрын
Kalumbu🙏🙏wagogo yetu nyama😋
@Tiffany340
@Tiffany340 7 ай бұрын
Inawekana ndo kafungiwa chumbani pale 😂😂😂 we linnah weee
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 8 ай бұрын
Kuna mwanetu chuo alikua anamuelewa sn uy jamaa mpk kiparangoto akakipig ili t afanane n uy jamaa😂😂😂
@Atb300
@Atb300 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@tabithadaniel7364
@tabithadaniel7364 7 ай бұрын
Wix na serum juu safi sana mziwanda
@bennamush4616
@bennamush4616 7 ай бұрын
Mkaka yupo smart sana usafi mwingi so yule kichaa aliekuwa katuvalia boxa kwenye interview hana adabu kabisa
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 7 ай бұрын
Yupi alivaa boxa
@carolinemahenge1674
@carolinemahenge1674 8 ай бұрын
Nampenda sana uyu kaka
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy 8 ай бұрын
Mwenyewe nilikuwa ni mkelewe maana anafanana na ex wangu
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 7 ай бұрын
Huyu kaka namkubali sana
@user-if6xd4hz4p
@user-if6xd4hz4p 7 ай бұрын
Uuuuh this life amaizing
@jamessitati7396
@jamessitati7396 7 ай бұрын
well organized guy
@Simulizinafilamu
@Simulizinafilamu 8 ай бұрын
We chris acha uongo eti ushawahi kukaba..Umemkaba nani😂
@HappyKasinde
@HappyKasinde 7 ай бұрын
Nakupenda sana
@silviambalwa8862
@silviambalwa8862 7 ай бұрын
Nampendaga uyu kaka mwee😢
@Devo_xoxo2
@Devo_xoxo2 7 ай бұрын
Chumban kwake kulikuwa na fezza akaona asichomoe betri
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 8 ай бұрын
Mnaosifia usafi, ni kwamba mnasahau kuwa hao hupewa taarifa kabla hivyo wanajiandaaga kabisa
@ramlabaruani4202
@ramlabaruani4202 8 ай бұрын
Hata kama msafi ni msafi tu
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 8 ай бұрын
@@ramlabaruani4202 uzuri hamna aliesema ni mchafu
@pascalinajames9117
@pascalinajames9117 8 ай бұрын
We ukiambiwa salehe anakuja kwako kutakua kusafi hvyo ukijiandaa..acha wivu omba Mungu akupe roho nzuri😏
@beatricemshiu2816
@beatricemshiu2816 8 ай бұрын
@@pascalinajames9117 labda kwako sho🤔
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 8 ай бұрын
@@pascalinajames9117 waja mnafurahisha nadhan ataenda kwa jiran kuazima mpk fagio kuna wale watu akivua nguo hizo hizo anatumia kufagilia ndan😂😂😂😂😂😂
@lightnessabdallah2340
@lightnessabdallah2340 8 ай бұрын
Jmn mk waandishi wa habari wanavaa helen 😢😢😢😢
@monicachondo6784
@monicachondo6784 7 ай бұрын
Kwa mwandishi wa habari za burudan kama Mziki, it’s allowed and normal too May angekua anatangaza taarifa za habari angevaa official bila bling bling zozote
@kudoja_fish_shop9592
@kudoja_fish_shop9592 7 ай бұрын
Mbagala na temeke ndio makao makuu ya masela mavi tanzania
@RichAuntie-g6s
@RichAuntie-g6s 11 күн бұрын
Ni kwel tumeanza kukujua kwenye huba ndio akaja zuchu
@rukiajuma9295
@rukiajuma9295 8 ай бұрын
Albert 😢😢😢anko chipe
@halimanassoro1762
@halimanassoro1762 8 ай бұрын
❤❤
@roserobert4951
@roserobert4951 7 ай бұрын
tumesoma wote nakukumbuka sana 😂
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 7 ай бұрын
😂😂😂Saleh muhuni ww maswali yako dah
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 7 ай бұрын
Kaka auna baya kabisa mzwanda
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
Ni. Mgogo lkn ni. Msmart mno Mashallah 🎉🎉😂
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 7 ай бұрын
Kwani uliambiwa wagogo sio smart
@TaarabChannel
@TaarabChannel 7 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@RoseKesi-zj4yy
@RoseKesi-zj4yy 8 ай бұрын
Nampendaga Sana huyu kaka❤❤
@HappyKasinde
@HappyKasinde 7 ай бұрын
Nakupenda sana
@mfaumejames7344
@mfaumejames7344 8 ай бұрын
Wa kwanza leo😅😅
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 7 ай бұрын
Ebwana unyama mwanetu huyo Dom moja makao makuu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 ай бұрын
Chris ni, kijana ana jitambua
@sylivesterbulili6636
@sylivesterbulili6636 8 ай бұрын
Wow❤
@user-bq7tg8zi1z
@user-bq7tg8zi1z 7 ай бұрын
Nice
@Japhee93
@Japhee93 4 ай бұрын
Tumieni na drone italeta muonekano poa wa video hasa from aerial angel
@rosesilio9008
@rosesilio9008 7 ай бұрын
Kaka msafi wewe kuna miwanaume wengine ni wachafu hatari ukiingia chumbani kwao uvundo wa viatu na soks mpaka utakimbia
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 7 ай бұрын
Dahh, umenusaje harufu ukajua hakuna uvundo?
@AniphaMbeyu-ft9ue
@AniphaMbeyu-ft9ue 7 ай бұрын
Watoto wa temeke oyeeee
@dianacharles8147
@dianacharles8147 8 ай бұрын
😂twende tukaone
@edwardfaraji1133
@edwardfaraji1133 7 ай бұрын
Gym sana mwanangu huyu...
@selinathindwa9754
@selinathindwa9754 8 ай бұрын
Ndani ni kunzuri, ni msafi kuzidi hadi baadhi ya wanawake
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 ай бұрын
Kabisa
@EmJesho
@EmJesho 8 ай бұрын
Sana
@nasraabdallah8566
@nasraabdallah8566 7 ай бұрын
Kamzidi mwene wa ndindi😂😂😂
@user-oe9zv7hq9p
@user-oe9zv7hq9p 8 ай бұрын
Umo ndani chumbn kwako Kuna fedha keys 😂😂
@mariyam9219
@mariyam9219 6 ай бұрын
Mahogany nyie ote mnavaa evening kama wanawake kawekeni kuma basi muwe mademoiselle kabisa
@user-dx4ow8vq1c
@user-dx4ow8vq1c 5 күн бұрын
Lixuri Ili likaka alaf lisafi sana
@zeyanaalhabsi8636
@zeyanaalhabsi8636 7 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@kimodonaa
@kimodonaa 7 ай бұрын
Uyu ni yule mme wa lolita au namfananisha
@IbrahimMvanga-sk4gr
@IbrahimMvanga-sk4gr 7 ай бұрын
Kaka mcheshi huyu had raha
@newzon5300
@newzon5300 8 ай бұрын
WATAKUJA KUFILA UYU MSENGEE😅😅😅😅
@mwanamutemi
@mwanamutemi 3 ай бұрын
But in the ancient Middle East, the writers of the Hebrew Bible forbade tattooing. Per Leviticus 19:28, “You shall not make gashes in your flesh for the dead, or incise any marks on yourselves.” Historically, scholars have often understood this as a warning against pagan practices of mourning
@18nationmedia46
@18nationmedia46 7 ай бұрын
igizo liko poa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 8 ай бұрын
🎉
@amanieliraha2505
@amanieliraha2505 7 ай бұрын
Wa sita
@user-wb4bz6sy2v
@user-wb4bz6sy2v 4 ай бұрын
Temeke school na school bus wap na wap jmn mbn anatk kutuchap
@greeneraston6102
@greeneraston6102 6 ай бұрын
Yaan huyu Kaka lazima tuendane na mim coz I like sweet things like chocolate 🍫🍫🍫🍫 biscuits na zile cake's
@gracepatric4371
@gracepatric4371 7 ай бұрын
Ila salehe hahahahaha king'ang'anizi, hahahaha
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 8 ай бұрын
Kwetu huku United kingdom kuna baridi ndio limeanza😢😢
@slimshed55
@slimshed55 7 ай бұрын
Nicheki Basi nami niko huku nina zawadi yako
@FatimaAli-of4gh
@FatimaAli-of4gh 7 ай бұрын
@@slimshed55 Hiyo zawadi itume humu humu tuipokutana
@slimshed55
@slimshed55 7 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh Nipe basi namba ya whatsApp bwana Fatma🥰😊😁😁
@safiaimran6455
@safiaimran6455 7 ай бұрын
@@FatimaAli-of4gh😂😂😂😂😂 hutaki zawadi
@slimshed55
@slimshed55 6 ай бұрын
@@safiaimran6455 Hataki zawadi si bora niikupe wewe tu jamani hahaa 🤣 😂
@shmsazahir4021
@shmsazahir4021 8 ай бұрын
Babu maparaa umejitahidi msaf
@cynthiapwani1383
@cynthiapwani1383 7 ай бұрын
Sio kapewa taarifa ndo akaweka usafi hapana huyu bro muonekano wake ni msafi halisi sio wa kukulupushwa kwa kweli kama mijanaume mingine loh usafi ni lazima sio kushikiwa bakora ni afya pia yani anavutia complete mpka unatamani uendlee kumsikiliza kwa kweli.😂
@abassimussa7473
@abassimussa7473 8 ай бұрын
Swali ni mjengo ni wake ama amepanga ?
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 8 ай бұрын
Sasa utajenga kabla hujapitia kupanga acha wivu na ushamba
@paulalove1223
@paulalove1223 7 ай бұрын
Kwani mtu akipanga anakua hajakamilika Yani mtu hakosi chakukosoa kaona vyote kamkosa
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 7 ай бұрын
Ww umejenga au
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 7 ай бұрын
🧦
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 7 ай бұрын
Nilishangaa huyu kijana kua gay na akina Haki duh wanaume wanapungua dar
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 7 ай бұрын
Duh jamaa shoga? Khaa
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 6 ай бұрын
Chuki itakuua wewe, punguza kupaniki
@yussbreezy918
@yussbreezy918 6 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHAhakuna anayefahamu hilo
@gracelwoga9891
@gracelwoga9891 7 ай бұрын
Ila anajishaua
@HalimaMohamed-em9zg
@HalimaMohamed-em9zg 7 ай бұрын
Sio kwer
@mariamibrahim6738
@mariamibrahim6738 8 ай бұрын
Tz na drama zots izo akuna barabara nzuri mtaani km kwetu burundi tuna paves mitaa yote mjii unapendeza ila tz loooo pachafu
@dolphin4791
@dolphin4791 8 ай бұрын
Kuma ww
@charlesmtaita9664
@charlesmtaita9664 8 ай бұрын
​@@dolphin4791😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 ай бұрын
Burundi ipi unayoongelea tutasitisha misaada tunayowapa kila sehemu pumbavu
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 8 ай бұрын
Mungu akubariki kijana mtanasharti na anayempenda Mungu
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 8 ай бұрын
Mjinga wewe Burundi nchi maskini na ndogo kama mkoa wetu mmoja unalinganisha na Tz nchi kubwa mala dufu kwenu? unataka kutukanwa? Iseme tenw Tz K wewe
@dangomc_niger
@dangomc_niger 7 ай бұрын
mme wa lolita
@user-uj4rt1vx3h
@user-uj4rt1vx3h 7 ай бұрын
𝖄𝖆𝖓𝖎 𝖘𝖒𝖆𝖗𝖙 𝖒𝖐𝖕 𝕽𝖆𝖍𝖆𝖆
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 7 ай бұрын
Huyo dogo mtangazaji ana wenge kinoma.. inabidi umwache host wako ndio akutembeze kwenye nyumba yake. Sio wewe ndio unakuwa kimbelembele kama kwako
@dreamonline1997
@dreamonline1997 7 ай бұрын
Mashoga uwa wana viherehere
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 7 ай бұрын
Host wake yupi tena wakati yeye ndio host
@sarachawe8113
@sarachawe8113 7 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHAatakua haelewi😂😂😂😂
@zalhathasaid2060
@zalhathasaid2060 7 ай бұрын
​@@sir_ENOCKMACHA😂😂😂kupatwa kwa host
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 77 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 40 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
BEHIND The GRAM (MOM & DAUGHTER) Ep 1| kajala amlilia paula kuhusu Harmonize|
3:51
Feysal Daudi Films. 457k views.5hrs
Рет қаралды 14 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
0:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 10 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,3 МЛН
HE’S BACK! 😰
0:11
HeyItzPuppies
Рет қаралды 12 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
0:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
А ЧТО С ЗУБАМИ ТО?😂😂🦷
0:54
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 2,3 МЛН