STEVE NYERERE AMCHANA VIBAYA MWANA FA HUNA AKILI NAKUPA MASAA 48 UOMBE RADHI SIJIUZULU HUFANYI KITU

  Рет қаралды 8,761

SamMisago

SamMisago

2 жыл бұрын

STEVE NYERERE AMCHANA VIBAYA MWANA FA HUNA AKILI NAKUPA MASAA 48 UOMBE RADHI SIJIUZULU HUFANYI KITU

Пікірлер: 32
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 2 жыл бұрын
Nipo nchini marekani kiustaarabu Steve hana elimu ya kutosha ameishia firm 11 muziki kwasasa upo ktk technology ya hali ya juu mauzinde mengi ktk platform yanahitaji msemaji na mtu anayelewa jinsi muziki unavyouzwa kiufupi mnachezea maisha ya watu muziki ni kazi na unatoa ajira kubwa duniani msifanye Mzaha na maisha ya watu
@MS.independent8934
@MS.independent8934 2 жыл бұрын
Kihereheree tokaaaaaa utakiwiiiiii shuwaaaaaan weeee
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 2 жыл бұрын
Shuzi limepata mjambaji hivi uyu jamaa anavyopenda uongozi mnafikili ataiachia iyo nafasi kirahisi !kwenye kila kitu elimu ina umhim wake !hivi leo Steve unaalikwa shirikisho la Sanaa kimataifa alafu umepewa nafasi ya kuongea hivi utaongea lugha gani watu wakakuelewa !kitu hujuwi ulitakiwa kuwa kiongozi kwenye nchi hii mda mrefu tu ila Elimu yako ndio inayokuangusha !kweli una passion ya uongozi lakini vigezo huna ndugu yangu
@fababindawood8363
@fababindawood8363 2 жыл бұрын
Msemaji wa wanamziki tz ndo ashasema 🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@barakamushi4530
@barakamushi4530 2 жыл бұрын
Sio mtu mmoja wapo wengi awakutaki uo ni ulevi wa madaraka
@paullwangili2235
@paullwangili2235 2 жыл бұрын
Umeongea fact Steve.......akili ndo imetumika hapo....wakuache ufanye kazi
@deograsmbilinyi1214
@deograsmbilinyi1214 2 жыл бұрын
Kikwapa kimeloana😂😂😂
@josephswai2374
@josephswai2374 2 жыл бұрын
Mzk na ww wapiii wapiii wakupangee kwenye kamat ya mazishii tuu
@angiringalyimo365
@angiringalyimo365 2 жыл бұрын
yaani uccm umeingia mpk kwenye muziki!!
@officialmadoshi5824
@officialmadoshi5824 2 жыл бұрын
😂😂Tz bhna
@Paplick9
@Paplick9 2 жыл бұрын
Pumba unabishana na watu ambao hawataku uwasemee
@barakamushi4530
@barakamushi4530 2 жыл бұрын
Una weledi na hii kazi pumba tuu hii sio komedi
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 жыл бұрын
shati la blue km hakuelewi au usingizi na kiyoyozi
@zaitunijuma5163
@zaitunijuma5163 2 жыл бұрын
Kwani walikuwa anaishi bila mirabaha
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 2 жыл бұрын
Ahahaa, bongoo banaa, uzur tu malumbano yetu huwa hayanaga uduwanzi wa kuwindana na risasi, tunatumia mdomo tu, then kitaani tunapiga stori kama kawaida tu
@elisanteshayo3882
@elisanteshayo3882 2 жыл бұрын
Kiustaarabu mnafanya masihara na maisha ya watu hapo elimu ujuzi pmj unafahamu uliojaa weledi ktk uuzaji muziki ktk platform umakini uwepo uchama usiwepo ki Jana hawezi kumudu kwa elimu yake ya form 11
@deograsmbilinyi1214
@deograsmbilinyi1214 2 жыл бұрын
Naona kaandikiwa anasoma tu hapo, Hana lolote
@marumbamgeni4796
@marumbamgeni4796 2 жыл бұрын
Lakini FA kumuita kiongozi wake rasta .sio heshima na wala sio utamaduni wetu
@alexmwita5426
@alexmwita5426 2 жыл бұрын
Maisha ni kung'anga'nia
@wilsonsanga4782
@wilsonsanga4782 2 жыл бұрын
Kuna watu wanamponda huyo jamaa wanasema Ana ueledi mpe nafasi mtu afanye kazi acheni maneno teve baba chapa kazi
@zachzakaria1872
@zachzakaria1872 2 жыл бұрын
😳😳😳
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 жыл бұрын
Kwani iyo PUA imekufanyaje jamani 🙄😀😄 ?
@mrh2812
@mrh2812 2 жыл бұрын
Pua pua
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 2 жыл бұрын
Hajashinda kapewa tu mchane tu huyo mshukaji
@kiatu
@kiatu 2 жыл бұрын
Hii press inaonyesha jinsi huyu jamaa asivyo na ueledi wa hiyo kazi aliyopewa
@iddymtambo7186
@iddymtambo7186 2 жыл бұрын
Brother hakuna kazi isiyo na vita lakini hii ni mapema sana kukupiga mawe
@songamberetv2219
@songamberetv2219 2 жыл бұрын
Piga kazi teve ata Rais kuna watu wanamukata 🤣🤣🤣
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 2 жыл бұрын
Ach kelele. Ukustahil hata
@yusuphntegakaje5667
@yusuphntegakaje5667 2 жыл бұрын
Njaa Mbaya🚮
@BongoPlatformTv
@BongoPlatformTv 2 жыл бұрын
Poor😀😀😀😀😀
@dicksontimoth4297
@dicksontimoth4297 Жыл бұрын
Hivi Huyu ni pacha na manara???
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 12 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,1 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 58 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
Hamisa Mobetto Ni Funzo Tosha La Namna Ya Kuwa Brand Ambassador
1:37
KINGEREZA chamtoa Nishai STEVE NYERERE, akipigia debe Kiswahili
4:25
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 1,7 М.
HAWA NDIO MASTAA TISA  WA BONGO WENYE FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM
4:59
Good job hero. #shorts #fyp
0:20
Gbeckett12
Рет қаралды 53 МЛН