Wakati wangu uko kwa hivyo sitakufa moyo 🙏🙏 Hata Kama hali yangu Ni ngumu mm sikatii tamaa
@DeejeyAsley13 жыл бұрын
This one is amazing bro. Blessings
@sophiakimani38473 жыл бұрын
Keep it up!
@lilianmainaofficial9353 жыл бұрын
Amen
@michaelgathaburu85603 жыл бұрын
This awesome its touching
@puritykatiku79783 жыл бұрын
Yaani once I Iisten to this song,I gain courage of living in my situation knowing my tomorrow must be greater than today🙏👏
@jacksonnnonjela3483 жыл бұрын
Wangapi wameuona rose muhando gonga like basi
@stephenkalulu62003 жыл бұрын
Mm huyu hapa vitie sana
@stephenkalulu62003 жыл бұрын
Vipi brathe niko
@paulmuyanga34453 жыл бұрын
If it was football then she's Messi anytime she opens her mouth to praise God you've to listen one 💕 watu wa mama weka like.
@sammynderu7253 жыл бұрын
May this song minister to you and be a blessing to you... Wakati wangu upo na hio Mimi sitakufa moyo🙏🙏 Team kusonga mbele mko wapi✋✋
@essymsoo46343 жыл бұрын
Amen
@essymsoo46343 жыл бұрын
🤚🤚🤚🤚
@agneskatoto87653 жыл бұрын
Amen Amen
@overcomerjames3 жыл бұрын
Amen
@agnesmutula13753 жыл бұрын
Very touching song, being blessed... Tnku
@symomofficial89553 жыл бұрын
This is awesome bro uuuuuuuiiiiii wapi like za Sammy 👏👏👏👏👏
@wlkmwlkm33813 жыл бұрын
😂😂😂ufanyie nini likes zake yangu ndio hiyo nimekupa
@vailethkidady73223 жыл бұрын
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi,,,siku yangu ikifika atanitendea
@emmanuelmutunzi23383 жыл бұрын
Tangu nisikiye habali za Kifo cake Rose Muhando nilihuzika sana siku rudi KZbin but ni meshituka na shangaaa sana kumbeee yupo muzimaaaaa ooooo munguuuuu upewe sifaaaaa ukatuimbieeee wimboooo wa kunya Rwandaaaaas
@slimmyalicia76333 жыл бұрын
@Rose Muhando Malkia wangu wa Gospel from Africa, ata akitia tu only 3 Words the song gonna Lit💥🔥🔥My love from Germany 🇩🇪❤
@sophiakimani38473 жыл бұрын
This lady Will never age neither lack.....hii kuimba kwake kwote,May God never forsake her.she's God's vessel.namupenda sana since the year nineties....
@annemakusa3648 Жыл бұрын
Rose nakupenda bure. Huyu Mungu ambaye amekuinua na akakupigania ni Mungu wa kweli. Zidi kumuishia na kumtumikia. Hata mimi sikati tamaa, najua ipo siku Mungu anaenda kunibadilishia hali yangu. Mungu pia akuinue kwa kuwasaidia waimbaji wadogo wadogo.
@alexkibali43083 жыл бұрын
Mama Rose you're a real mentor...raising the upcoming,may God keep you for this generation...🙏💫
@emilianaemmanuel73183 жыл бұрын
Amina
@puritykambua9963 жыл бұрын
Malkia wa Africa.. Mama yao@Rose muhando you never disappoint.. Such a hit song..🔥🔥 mungu hazidi kukuinua hatua kwenda ingine.. injini ya bwana isonge mbele,💃💃🙏
@user-co8tl4yz6c6 ай бұрын
Endelea kubarikiwa na Mungu, umenitia moyo na ujasiri mkubwa
@everlineeva5943 жыл бұрын
Ooh yes mungu atatenda majabu kwa maisha yangu ,,na nitakuwa mshindi ,maana alie ndani mwangu ni mshindi
@HakizimanaJeanPierre-zg1wl5 ай бұрын
Glory be to our Lord 🙏 , wakati wetu utafika tu, wakubali au wasikubali
@lorinelukaya67412 жыл бұрын
Najua wakati wangu utafika TU!!! Mungu yupo atatenda
@GITHINJI_J.D3 жыл бұрын
This is so great and powerful bro Nderu and mum Rose... Siku yangu ipo na haitapita... Mmenibariki sana.. Nawaombea neema tele
@sammynderu7253 жыл бұрын
Amen🙏
@user-ix7nq4xw2i6 ай бұрын
Wakati wangu utafika,it doesn't matter what I'm going through I believe the living God 🙏🙏
@wambuacarolyn54765 ай бұрын
I had bought a bottle of diazinon to end my life but kumbe wakati wangu ndio hujafika. Thanks rozie for the song
@graciemkagonye77803 жыл бұрын
Wacha nisonge mbele namtumainia bwana...soo inspiring bro sammy mbarikiwe na dada Rose..yeye ni ushuhuda wa kutosha
@emmanuelwepukhulu48523 жыл бұрын
Mungu akubariki rose Muhando sana na sana. Ulipotezwa na maadui zako nilihuzunika sana lakini namshukuru Mungu aliyeumba mbingu na nch amekuinua
@muriithijwangeciofficial41063 жыл бұрын
Sirudi nyuma,namngoja bwana yesu.cant get enough of this song 🔥🔥🔥
@annahkitondo82063 жыл бұрын
Ahadi za bwana ni kweli,atatenda kwa wakati wake,namsubiria tu.
@franciskenyeru68373 жыл бұрын
A great song. How I longed to shake Rose's hand. Mungu awabariki kila siku. Hata mimi wakati wangu utafiki tu
@melchizedeknyarora24903 жыл бұрын
Amen kipao nguvu sana Rose is aking maker mentoring and supporting many upcoming gospel artists. Sge is humble and prayerful. God bless this work. Diaspora tunawaombea.
@mikamungaya18983 жыл бұрын
Wimbo huu inaujumbe nzuri ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu
@marymuema23813 жыл бұрын
Be blessed watumishi wa mungu. Namgoja bwana wala sikati tamaa.
@honestmacha15933 жыл бұрын
hongera mungu atakurudishia vilivyopotea hakika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
@gregotieno13673 жыл бұрын
Namgoja bwana siku ili nibarikiwe najua, majira yangu yatafika be blessed Rose very powerfull song
@peterwaithaka20413 жыл бұрын
Wow, nice song. Rose collabo zinatokea poa sana. Kazi safi Sammy
@margaretnjoronge57123 жыл бұрын
Nanii mwingine anafurahishwo na bite ya hii song...wa dancer mko juu
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Ameen hakika nyuma sirudi tena nasonga mbele 🙏🙏🙏🙏
@hopekaluma65793 жыл бұрын
Powerful wacha nimgoje Bwana be blessed watumishi wa Mungu
@wakedcell61253 жыл бұрын
This song is really encouraging me place nafanya umaid🙏🙏🙏iposiku its a blessing to me may God continue using Rose to administer His word😘
@irinetongoi52173 жыл бұрын
Amen...me too
@samuelkangethe40413 жыл бұрын
@@irinetongoi5217 God bls u soo much
@irinetongoi52173 жыл бұрын
@@samuelkangethe4041 Amen
@felistersmwende86153 жыл бұрын
Never give up,, there's your day,,u will shine
@greatme303 жыл бұрын
Never give up
@ajuogahphelix56453 жыл бұрын
Wimbo mzuri wenye baraka. Mungu akubariki sana Sammy
@josephinesmith81853 жыл бұрын
Namngoja Bwana,sikati tamaa wakati wangu utafika
@eglajebichii4543 Жыл бұрын
Listening to this song counting days to my graduation 🎓🎓🎓🎓. Mimi sirudi nyuma, just applied for a master's scholarship mungu atatenda tu. I trust the process 🙏🙏🙏. I can't get enough of this song. Blessings upon Blessings.
@sammynderu725 Жыл бұрын
Amen,no turning back we are focusing ahead where our blessing are
@allanmbuyu58006 ай бұрын
Huyu madam amebarikiwa sana hii ni pure talent
@eznermomanyi8143 жыл бұрын
Majira yangu yatafika..I wount lose hope Mountains will fall
@avisajames3 жыл бұрын
Ni mwaminifu siku zote atatenda tu Wimbo mzuri sana mawaziri.
@RoroRoserororo3 жыл бұрын
Niko hapa nangoja wakati wangu utafika na sirudi nyuma 🙌🙌🙌
@julietjuliet99653 жыл бұрын
Amen amen may God use you to save the world until your last breath on earth amen 👏👏👏👏👏👏👏
@julianaandrea5839 Жыл бұрын
Mungu akujalie Mtumishi, Tena akupe haja ya moyo wako 🙏
@rhodahbranice33793 жыл бұрын
Hallelujah,,wakati wangu utafika tu sitakata tamaa
@user-gw3zl2mu5e5 ай бұрын
Powerful Song,Unaenda Mbali Bro
@florahemmanuel83233 жыл бұрын
Yes sirudi nyuma Namgoja Mungu wakati wake nitabarikiwa
@fridahmakena25963 жыл бұрын
Nikweli hii niwakati wangu nakungoya bwana unibariki nice song
@perismuriuki22743 жыл бұрын
Wakati wangu itafika tu,ahadi za Mungu kwangu utafika tu katika jina la Yesu...Siku moja nitabarikiwa
@Mr89stephen5 ай бұрын
More than two decades blessing me with great songs, consistent sauti nyororo. Stay blessed Rose.
@hadasarmburu21293 жыл бұрын
Wakati wangu utafika pia hallelujah when I will count my blessings one by one
@lindahmbigura7163 жыл бұрын
Nasonga mbele na yesu...nyuma sirudi tena....wouh power song. More grace to you minister of God👏👏👏
@reubengeorge68403 жыл бұрын
Nangoja wakati wangu Mungu atanifanyia wepesi like
@baibegee3 жыл бұрын
Wherever Rose Muhando is, there`s annointing, seems like she`s & supporting & mothering upcomming Gospel musicians in Kenya❤ ALL praise & honor..More BLESSINGS LOADS of LOVE❤❤
@gladysmwove52202 жыл бұрын
Rose muhando nakupenda tu dada..mungu akubariki hadi ushangae...Yaani uwa wanibariki mamaa
@sammynderu7252 жыл бұрын
Amina 🙏
@eunicenjeru2153 жыл бұрын
I love any song where Rose is.My heart just loves her.
@sheesheykoh35743 жыл бұрын
That makes 2 of us I have always loved from when I was young she's gifted so is this gentleman.
@mwangangi.martha71213 жыл бұрын
She is blessed
@judymsupaofficial21593 жыл бұрын
I wonder how many times will I watch this to get enough of it🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️ More annointing on you twinie 💯💯
@sammynderu7253 жыл бұрын
Thanks 🙏🙏
@jecintahkibuku59235 ай бұрын
Sammy Nderu You're going far in Jesus mighty name. You're a hero. Fly like an Eagle 🦅
@mosesnyagaofficial62663 жыл бұрын
Hakika Mungu ana mpango na wakati wake kwetu. Ubarikiwe bro
@sammynderu7253 жыл бұрын
Amina🙏
@marymzumbwe51533 жыл бұрын
Ubarkiwe mtumishi wamung Asante kwaujumbe mzr
@marykimani28953 жыл бұрын
Sitaogopa naimani hatatenda kwaimani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@aaronsimiyu33023 жыл бұрын
For sure she's a champ. Gospel world class . Rose Muhando you are a source of inspiration to me.
@verohnyab56992 жыл бұрын
A blessed and talented woman from tz ❤️❤️❤️❤️👊👊👊👊. Press on mamaaa. You're a heroin
@moseskofficial70353 жыл бұрын
This woman eeeeish. More grace of God bro.
@trizaheric55123 жыл бұрын
Powerful song. More grace Brother Sammy Nderu. 🎶🎶🎶🎶💃🏾💃🏾💃🏾💃🏾🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@reginaaminga95023 жыл бұрын
Ooooh,Amen nangoja wakati wangu
@amoswekesa14766 ай бұрын
TikTok brought me ❤❤❤❤
@muchwelucy3683 жыл бұрын
Hello Dada Rose.Hongera.Naomba sana kukutana nawe.
@missymissy48173 жыл бұрын
That 💕between kenya and tanzania is undeniable 💃💃💃💃💃
@samilahthirika64833 жыл бұрын
Amina Amina nyuma sirundi! Kazi nzuri dugu.
@everlynemuno99876 ай бұрын
Amen..am waiting the lord to bless me one day
@sarahnk63343 жыл бұрын
Rwimbo ruru rundathimaga omuthenya omuthenya, gukiire gutukire ati ihinda riakwa norigukinya ria kurathimwo, na noegwika kuoguo ndigwitigira onakii
@sarahnambuva31533 жыл бұрын
Sikati tamaa wakati wangu utafiki.rightful msg
@JeremyhadassahOfficial3 жыл бұрын
Nice one my brother. Nifanye hiyo connection nifanye collabo na Hutu mtumishi wa mungu
@jeandedieuniyongabo90413 жыл бұрын
Nasonga mbele sirudi nyuma.asante
@annnderu10773 жыл бұрын
Wow wow wakati wangu ndo huu sasa
@isaackaruri61143 жыл бұрын
Wa Tanzania walimdhulumu rose but I thank God ana hit kenya Glory to God AMEN
@josephchosenmwangi3 жыл бұрын
Wimbo umeibwa ukaibika👏👊👊👊👊
@PapaTheKingMKenya3 жыл бұрын
Nice song indeed bring likes to my fellow gospel minister
@milcahmisoi757627 күн бұрын
I love this song❤it touch my soul alot ❤❤
@rachelsika95883 жыл бұрын
Najua wakati wa Mungu ukifika atatenda
@mc.chebaibaimeruti32833 жыл бұрын
Sammy nderu nice one that time will come ...ameeen
@agnesnabuyemba19323 жыл бұрын
Amen 🙌 more blessings dear Rose I am now in Dubai but I am a Ugandan
@sammynderu7253 жыл бұрын
A Thanks
@pendokatonge11833 жыл бұрын
Usikate tamaa mama nakupenda bure.
@peninnahwanza63043 жыл бұрын
Amen sikati tamaa nasonga mbele nikimngoja Bwana Hallelujah,, Dada Rose na Bro Sammy barikiweni zaidi
@irenealex6583 жыл бұрын
Wozaaaaaaa siwezi kataaaa tamaaaaa
@liznzembi59063 жыл бұрын
What a blessing song🙏🙏🙏🙏,, Barikiweni sana watumishi wa Mungu,, fanyeni kazi ya mungu bila kuchoka kuna malipo mema baada ya kazi🙏🙏🙏🙏🙏 Najua wakati wangu Utafika tu❤️❤️❤️
@neemanickl3 жыл бұрын
That’s my classmate back primary school 🏫 bravo sammy God bless you,lovely song 🎧 mob love from Germany 🇩🇪 🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪
@sammynderu7253 жыл бұрын
Asante sana 🙏
@calebnzoki41193 жыл бұрын
Rose you are a blessing,, mungu akuzidishie,,,you are a blessing to me
@janekihiu70773 ай бұрын
It's so good to see you again my dear, this is the love of God for us,our God of endless chances. Live long
@annwanjiku59233 жыл бұрын
Be blessed mum ata Mimi njua atanitendea and Amen
@roderick6363 жыл бұрын
Encouraging song, Yu mwema siku zote, najua atanitendea makuu wakati huu mgumu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Limmieofficial2 жыл бұрын
Atatenda...sirudi nyuma nasonga mbele🔥🔥🔥.. ROSE MUHANDO IS A BEAST in gospel
@sammynderu7252 жыл бұрын
Amen
@monicahcheruiyot3 жыл бұрын
Wow wow good work brother Sammy. Happy for you kabisa. Our time will come in Jesus name 🙏🙏🙏🙏🙏
@alfredkengere21643 жыл бұрын
Neema yake mbele..good inspirational ..thanks
@josephinesheehama7522 жыл бұрын
Mmhhh keep your brotherhood and sisterhood Kenyan and Tanzania. From Namibia
@sammynderu7252 жыл бұрын
Ooh thank you so much 🙏
@dan_holyfield2 жыл бұрын
Najua wakati utafika Tu 😭❤️🙏
@collinskhaemba84923 жыл бұрын
Wooow l really love this, there is my tym coming and my prayers will be answered
@janetnzisa6912 Жыл бұрын
I'm listening 🎧 to this song with tears in my 👀 yaani tears of joy coz I'm 💯 sure wakati wa Bwana utafika🙏🙏
@sammynderu725 Жыл бұрын
Amen... Utafika tu ukimwongoja mungu
@florencewanjiku67153 жыл бұрын
I love it. Watching from Saudi Arabia
@fridahjepkirui40973 жыл бұрын
What a powerful song....I know my time to be bless is coming...nangoja nibarikiwe pia... hallelujah...may God bless you Rose