Sativa kupatiwa matibabu Dar, ndege yapata dharura

  Рет қаралды 7,442

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 38
@Mariam-w9s3b
@Mariam-w9s3b 3 ай бұрын
Mnajua kutufunga kamba kumbe Kwa Gari angeweza kufika vp mkae kusubili ndege?
@swaibushemdoe2143
@swaibushemdoe2143 3 ай бұрын
Kwanini msichukue V8
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 3 ай бұрын
Sas V8 ndo ambulance?
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 3 ай бұрын
mbona umbali wa dom-dar ni mdogo kuliko umbali wa katavi-dom, c mngemleta dar kwa gari tu
@mussasuleiman1302
@mussasuleiman1302 2 ай бұрын
Ple sn mungu atampa nfuu
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 3 ай бұрын
Na mchunge kutoa taarifa kamil na ikiwezekana mpeleken hata Kenya hapo watamvzia kumalizia
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 7 күн бұрын
Huyu mgonjwa ilitakiwa akimbizwe south Africa au Kenya kwa hapa Tz watamuwinda nakummalizia
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 ай бұрын
Huyo rpc ni WA serekali hii mnayoishbulia Kila siku au??
@LaurentMpilu-qe6lq
@LaurentMpilu-qe6lq 3 ай бұрын
Danadana Mpira wenye chenga nyingi
@KilingohJuma
@KilingohJuma 3 ай бұрын
Unaongea sana bila vtendo , katavi to Dar usafl upo na Kuna mabas mazur sana, ninyi mnasubili ndege , are you serious ,acheni uzembe
@YangaNews
@YangaNews 3 ай бұрын
Nyie akili ndogo sana 😢
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Kwan alionywa ache matus au harakati utakufa brazer acha watu wafanye yao wewe raia tu wako wanene wahii nchi
@fridayjkajange1247
@fridayjkajange1247 3 ай бұрын
Chukua visa ninda nje ya nchi utanishukuru badae
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 ай бұрын
Ingekua mbunge maeezezo yotehayo yangekuepo
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 ай бұрын
hapana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Tanzania ni Nchi ya Amani saaana ila kwa wanao funga midomo, watekaji hawakuwa na lengo la kumuua yaelekea lengo ni kufikisha ujumbe au walivyoona media zimeanza kurusha wakaona Isiwe tabu , hizi taarifa siku hizi zinafika Dunia nzima na ndio mambo yanayo ichafulia Nchi , kwenye ripoti ya haki za Binam kwa Tz sio nzuri saana , huwa wanatahadharisha saana watu wao wakija kufanya utalii
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 3 ай бұрын
Rais wenu sio
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 3 ай бұрын
SASA Dodoma mgeendaoja Kwa moja mpka dar
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 ай бұрын
Mnakaa kungoja ndege wakati kuna luxury bus mngechukua hata private ila yote kwa yote apewe ulinzi hata ikiwezakana apelekwe nje ya nchi sina iman na serekali yetu imebeba watekaji kukilinda chama tu😭😭
@SamoMgore-x3v
@SamoMgore-x3v 3 ай бұрын
Poleni sana
@prospersteven4564
@prospersteven4564 3 ай бұрын
Poleni saana
@beinafuu6219
@beinafuu6219 3 ай бұрын
Watekaji hinaonyesha bado watu hawatak kuua ndo maana kila mbombo yanagoma lisu na huyu vinagoma mama samia saidia hawa watu mama wanakutis ubaya
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 ай бұрын
Kwa hiyo uma wasipojua alike ndio usalama wake, au wasiojulikana ndio hawatakiwi kujua,
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 3 ай бұрын
Mpelekeni Kenya, wasije wakammalizia
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv 3 ай бұрын
Mungu aliyemlinda uhai wake usipotee ndo Mungu atamponya Ameen
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 2 ай бұрын
@@InjiliyaUfalmetv hamna kulinw hapo
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 3 ай бұрын
Hawawez uma tumeshajua
@danielndam5997
@danielndam5997 3 ай бұрын
Askali wanalinda nn eneo la tukio?
@HaulSidney
@HaulSidney 3 ай бұрын
Hivi hawa watekaji ni dini gani? Mbona hawana huruma? Pole sana,
Anayedaiwa kuchukuliwa na Polisi kwa mahojiano akutwa ameuawa Zanzibar
6:55
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 29 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
Iran launches ballistic missiles at Israel
12:20
CBC News
Рет қаралды 156 М.
PBS News Hour full episode, Oct. 1, 2024
56:46
PBS NewsHour
Рет қаралды 88 М.
Kilichojiri kesi ya padri na wenzake wanane tuhuma za mauaji ya Asimwe
2:14
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12