JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV. KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Пікірлер: 13
@SamsoniKaka5 күн бұрын
Seif huko sahihi kabisa 👏👏👏👏👏👏🙏🙏
@abdallahmanula16275 күн бұрын
Japhet muache seif aongee
@SamsoniKaka5 күн бұрын
🏆🦁🏆💪💪💪🙏🙏
@HappyEel-wg4qx4 күн бұрын
Ww mtanga Wacha sifa
@crazydaddy92175 күн бұрын
Matahira fc (🐸) Gamondi jeuri na anaihujumu team Matahira fc (🐸) Wameshindwa CAF zimekuja deal za azizi na mzize Matahira fc (🐸) Kwenye ligi marefa wanabeba lakini kayoko habebi Siasa Siasa za matahira fc (🐸) Ramovic kakataa kuvaa herizi sehemu nyeti Cha ajabu bado waandishi mnaendelea kunasa kwenye siasa zao au bahasha?
@kafulirahillaryhabel67285 күн бұрын
Wewe unaongoza timu gani yenye mipango?
@swamadujumanne7954 күн бұрын
Kocha wa yanga anakuuma nini nawakat hakuhusu mbona km unaumia saaana kulikoni kumbe nimeamini watu wengi wa tz wanaipend yanga kimykimy
@Mariam99-ld4gw5 күн бұрын
Wewe tim yako ipi unayo ongoza kwa mipango 😂
@SamsoniKaka5 күн бұрын
🏆🦁🏆💪💪💪🙏🙏
@swamadujumanne7954 күн бұрын
Moyo wako kwasasa unaumia kwa7bu yanga inawatu waelewa na wasomi kuliko ww mbugila unafaa uwende kwenye mashamsham km mbinu yako unataka kuwagombanisha wana yanga umefeli
@davisbwatwa1155 күн бұрын
seif ni sahihi wanapropaganda tu hata ile ya alykamwe ya kubebwa imetengezwa kwa hili ndo utajua wale waliopata uraia pia mwaka huu watakuwa utopolo
@swamadujumanne7954 күн бұрын
Ww uwambiwe gamond kaondoka kwa7bu gani ww km nani ? Leo unataka habari za yanga ili iweje nawakati ww mwenyewe ni kolo