Ooooooh!!!hatumalizi Kila mpango wenye maslahi ya kusaidia watu Mungu huwa ni mwepesi ku bless God bless JPM
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Moyo wa furahaaa..pamoja nami.
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Nakupongeza sana Benn..unaripoti vizuri mno bila ya chenga...Mimi binafsi huwa natamani niwe narudia rudia tu kutazama clip yako....haichoshi aisee
@elinamilyatuu74933 жыл бұрын
Kabisa
@bahatidamiani5613 жыл бұрын
JPM OYEEEEE
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Hapa kazi tuu , hakuna kuuza maneno matupu
@misschagga80423 жыл бұрын
Love from 🇫🇮🇪🇺
@micamathew25953 жыл бұрын
Shida ni kwamba rais atakaye kuja baada ya Magufuli, atayaharibu haya.
@zawadix95743 жыл бұрын
Hizi trips kila siku acha wa fanye kazi jamani bongo pia
@singingbird85403 жыл бұрын
Congratulations to Mr President MUGUFULI one of the best in Africa
@nambuacassandramlaki35163 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@temkezatv43813 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@shingzyoung72883 жыл бұрын
Kaka nakubali comment yako unaikubali kinyama
@alexanderpius19923 жыл бұрын
Kweli kaka jpm lazima tufanye namna cc tunaitaj maendeleo, lazma tumuongezee muda!!
@ezekielanastatus15793 жыл бұрын
Tu onesheni stesheni ya dodoma
@bennykaselle59963 жыл бұрын
BENNO MWANANTALA LETE HABARI ZA UJENZI WA RERI MPANDA KAREMA ,ULITULETEA HABARI KUWA TRC IMEAMUA KUTEKELEZA AGIZO LA RAISI KUJENGA RELI HIYO NAJUA KIPINDI KIJANGINE UTATULETEA TARIFA YA MPANDA KAREMA
@gregorychogelo20133 жыл бұрын
#VivaJPM!!
@mzalendo96783 жыл бұрын
Mbona hii ya dar-morogoro haikamiliki tu?maana tuliambiwa itaisha 2019 lakini hadi sasa 2020 tunaelekea na 2021 na hakuna dalili ya kuisha tatizo ni nini?
@simonmanyelezi6283 жыл бұрын
Mm kumbukumbu zangu zinaniambia miradi hii mikubwa yote ilikuwa inaishia 2021
@mpandaboy22793 жыл бұрын
LOT 1 Inafunguliwa mwez wa 4 mwakani,, by waziri mkuu
@carlosn_tz3 жыл бұрын
Hapo Covid 19 imeihold constant?
@MARK-nh4hx3 жыл бұрын
Hi reli inachukua decades ...
@officialgivenjacksonngalla3 жыл бұрын
Hivi decades maana yake?umetumwa nini?
@rajabmnyimwa31263 жыл бұрын
Tatizo ni hizo asilimia ya Dar mpaka Moro asikimia 70 ilikaa miaka 3 asikimia 90 ndio usiseme mpaka sasa hivi mmeona uvivu kutangaza kabisa
@idrisaseiph34993 жыл бұрын
Ujenzi wa reli kama hizi huwa unchkua mda
@rajabmnyimwa31263 жыл бұрын
@@idrisaseiph3499 wao wamezidi sasa kutuongopea kwa mfano dar- moro walisema utakamilika mwezi wa 10, 2020 lkn mpaka leo hakuna kitu, wanasema mwezi wa NNE mwakani treni ya kwanza itapita lkn mie nasema kwa muonekano tu ujanzi wa dar Moro utakamilika mwezi wa 12, 2021
@simonmanyelezi6283 жыл бұрын
@@rajabmnyimwa3126 Rafiki kazi ngumu hata hivyo makadirio huwa yanatolewa na kama jinsi wanavyokwambia wanakabiriana na changamoto ambazo zinajitokeza na wala hawakuzitegema lakini pia kumbuka hicho kipande cha Dar hadi Moro unaambiwa kimeshafikia asilimia 90 na kitu.Kwasisi wanamahesabu umekula ng'ombe bado mkia huwezi kusema hujamla ng'ombe.
@momomella98453 жыл бұрын
Makutupora ipo Dodoma sio singida
@justinecleophas29503 жыл бұрын
Hii ni ya singida sio dodoma
@besumitv86743 жыл бұрын
@@justinecleophas2950 ahsante sana KWA jibu zuri
@ibrahkimesu24023 жыл бұрын
Makutupora ipo pia Singida, ukiachilia mbali hiyo ya Dodoma. so hajakosea