Ben (TRC), jinsi mlivyo mjibu huyo jamaa!! I salute you!!!
@YamunguYb4 жыл бұрын
Mmetumia Akili sana kumjibu huyo mpuuzi Hapa Kazi tu
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Yamungu Athuman yaani zito wakati mwingine anajidhalilisha sana
@theinvestigator29954 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza naomba niandike comment you tube. Mh. Zitto unapoongea ujue kuna watanzania ambao wana akili. Unafanya press conference kupotosha umma. Na kwa comments za watu hapa chini naona umeweza kufauru japo sio kwa asilimia zote. Najibu hoja zako in a nutshell. Umesema deni Taifa linaongezeka. Lakini umesahahau kutaja kuwa na pato la Taifa linaongezeka kwa kasi ambayo haijawahi kuwepo hata kipindi cha Kikwete. Kukopa kunategema uongezekaji wa pato. Kama pato ni kubwa unakuwa na uwezo wa kukopa zaidi na kulipa. Weka siasa pembeni acha kulinganisha deni la Magufuli na Kikwete. Hata kikwete amekopa sana kuliko mkapa, mwinyi na Nyerere. Ukubwa wa deni la Taifa unapimwa kwa uwiano wa pato la Taifa na deni lilopo. Unaweza kuwa na deni dogo lakini kama pato la Taifa ni dogo unakuwa katika hatari kubwa ya kuingiza Taifa kwenye mgogoro wa deni (debit crisis) lakini Tanzania haiko hivyo. Acha siasa tuambie asilimia ya deni la Taifa na pato la Taifa ni asilimia ngapi alafu utuambie kama tuko kwenye debit stress au la! Najua unajua kuwa pato la Taifa ni himilivu ndio maana hutaki kutumia aslimia na unaweka siasa za kulinganisha deni la Kikwete na Magufuli. Unasema serikali ilifanya makosa kujenga reli kwa pesa za walipa kodi badala yake inge kopa kutoka bank ya Exim ya Uchina, hapa ndo nashindwa kukuelewa, unajaribu kuwapotosha watanzania kuwa deni la Taifa ni kubwa serikali haitakiwi kuendelea kukopa alafu wakati huo huo unasema serikali isitumie pesa zake kujenga reli badala yake ikope! Lakini pia naamini kabisa unajua ni kwann serikali ilikataa mkopo wa Exim bank kujenga reli kwann unaficha, kama hujui fuatilia ni kwann wachina walinyanganywa tenda ya kujenga reli na kupewa Waturuki. Pia bila shaka unajua tofauti ya reli iliyo kuwa imepangwa ijengwe wakati wa Kikwete na hii ya Magufuli. Pia umejaribu kufanya political hypocrisy ili kutengeneza chuki kati ya Magufuli na Kikwete kwa kusema Magufuli anaona kila kilicho fanywa na Kikwete ni cha kipuuzi na kupiga dili. Unajaribu kudanganya watanzania kuwa kilicho sababisha bank ya Dunia kuikadilia Tanzania kukua uchumi kwa 4% kutoka 7% ni kwasababu ya serikali kutumia pesa zake kujenga reli, lakini bank ya dunia waliomba radhi kuwa hizo 4% walifanya makadirio kimakosa kwasababu hawa kuingiza miradi mikubwa ya maendeleo kama ujenzi wa reli. Na walisema kupungua kwa ukuaji wa uchumi ilikuwa ni kwasababu ya kuzuiliwa kuuzwa kwa korosho na kuzuia kusafirisha makinikia nje ya nchi. Siasa za namna hii hazijengi nchi.
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Viva Jpm 2020 hiyooo naenda kujiandikisha faster
@fanuelngambiye13424 жыл бұрын
Hapa kazi tu
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Kaka Ben hongera kwa ubunifu wa kumjibu mpumbavu huyo Kaz kudanganya tu
@hawahawa81664 жыл бұрын
Umemjibu vzr san 👏👏👏😂😂
@hdmtanzania26174 жыл бұрын
Waapuuzi kama zito itafika mahali wananchi tutachukua sheria mikononi wapigwe kama waharifu wengine wezi wa kuku au wabakaaji maana hawa niwauwaji wanataka kuiangamiza Tanzania yetu, watu wenyewe washa jichokea hawafikirii future wanawaza matumbo yao nyambafu
@frankmtawa38174 жыл бұрын
Your very intelligent #Beny hujawahi niangushaaaaa hahahahaha😅😅😅 nmefrahi kwa majibu mazuri.... Mtu mzima unajiongeza
@frankluhu53224 жыл бұрын
Watanzania tuache kusupport ujinga tulikua tunataka maendeleo sasa tunayapata na tunayaona kabisa lakini still watu tunakandamiza serikali inayoleta na kusimamia hayo maendeleo tunasupport viongozi wasiojielewa wala kujua nchi yao inaelekea wapi MUNGU MLINDE NA KUMSAIDIA RAIS MAGUFULI NA SERIKALI YAKE
@ozacsic28324 жыл бұрын
Zito amechanganyikiwa maana hajui msimu ujua atakula wapi. Ig u cnt beat em join em JPM stay blessed. God bless Tz God bless JPM. K.majaliwa etc
@frankmtawa38174 жыл бұрын
Unazurura ugenini halafu unataka kuwa up to date..... Aibu yake
@aminasittusaid38304 жыл бұрын
Yaani natamani watu wengi wangerusha hili jibu la TRC kwa Zito jamani. Ama kweli 2020 tutaona mengi kama February tu Zito kavurungwa namna hii ikifika October Milembe si itamhusu huyu !!
@ezmexplores4 жыл бұрын
Hata Kama Ingekuwa Morogoro Jpm Anafanya Mengi Na Anampango Wa Kuleta Mengi Mazuri Sio Kama Ww Ambao Wazee Wako Wa Kigoma Wanavyosema Huja Tekeleza Lolote Uliyo Ahidi.
@benezeuskajwaula73064 жыл бұрын
Mwambie huyo mlopokaj anayejichetua
@jamesjames23684 жыл бұрын
Roman empire, haikujengwa kwa siku moja, ilijengwa kwa kipande na kipande, (mkoa kwa mkoa).
@michaelluoga32794 жыл бұрын
Zito fala sana yan, zaman nlkuwaga namwona wa maana, kumbe kichwa chake kimejaa konokono tu, cjui lipoje yan linanichefua htr
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Michael Luoga 😁😁😁pole nadhani ukiona sura yake unatapika kabisa😜😜😜
@barakarobert70034 жыл бұрын
🐌🐌🐌🐌🐌👈😁😂🤣🤣🤣🤣
@evodiusrwenyagira99014 жыл бұрын
Huyu hana jipya anatafuta pakutokea anajua mwisho wake kisiasa umefika tamati kilichobaki ni kuwa kibaraka wa mabeberu
@veelusa4 жыл бұрын
haaaa Safi sana kazi yake kuandika kwenye mitandao hata hana habari mambo yanayoendelea nchini. Siasa sinaweza kufanya mjinga
@progressivemetallicmineral46014 жыл бұрын
" Jamani watanzania wenzangu naomba msamaha kabla. Naomba niseme kwamba NAMCHUKIA ZITO BIN ZUBEIR KABWE kuliko Mtanzania yeyote na sababu ni tabia yake ya ubinafsi na UNAFIKI. kingine ni tabia ya kudhani ana akili kukiko Watanzania wote.
@davidcurtis85564 жыл бұрын
Dah! Haina haja ya kuomba msamaha umeongea fact 100%, japo mimi nimeoga maneno mabovu leo baada ya kupost kama wewe kwenye kipindi cha 360 alipokuwa akihojiwa muheshimiwa mstaafu mr Steven Wasira kuhusu zito, jamaa siku amekuwa ni mpotoshaji sana sana nilinshusha thamani kabisa kabisa aliposema eti serikali inyimewe mkopo wa kuboresha elimu eti kwasababu watatumia hela kwenye miradi ya chama tawala na hasa pesa inaweza ikatoka kipindi cha uchaguzi sasa kwa hiyo haitatumika kwenye maendeleo, haya hata mradi wa reli pia anadanganya eti ni dar to morogo tu maana yatu! Maana yake morogoro ndo mwisho na anawapatia waandishi wa habari kwa vile nao wanamihemko ya vyama na uweledi mdogo sana hawahoji maswali mazito.
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
progressivemetallic mineral bila samahani ndugu, we toa dukuduku😁
@geofreypatrick66674 жыл бұрын
Safi sana Benn Mwanantala endeleeni kuwafahamisha maana bado wapo usingizini.
@machaggechacha34224 жыл бұрын
geofrey patrick Hawapo usingizini bali wamekuwa maiti ! Hawataamka!
@kolokochomwakyagi51134 жыл бұрын
jpm oyee
@ikulunimahalipatakatifu76424 жыл бұрын
Hahahahah mtangazaji ww ni mzalendo Nimependa ulivo mjibu jamaa ambaye Hana data na habari za nchi yake, Safi sana kwa pamoja Tunasonga, mnaopotosha wanannchi kwa ajili ya matumbo yenu hizo enzi zimeisha tunaona wenyewe cu October..
@machaggechacha34224 жыл бұрын
Mbona zito amezidi na uongo? Hivi anawadanganya Warundi au wakongo. watanzania tuna mcho na tunajua hiyo reli moyà mwisho wake wapi.
@allenmsuya0024 жыл бұрын
Nyau huyo sijui kachawi umekajibu vizuri
@frankmtawa38174 жыл бұрын
Umenikoshaaaa😅😅😅😅 najua Watu wengine hawakuelewi #Beny
@dwesemizaikesk4 жыл бұрын
BEN kunywa maji baridi popote wambie nakuja kulipa. best and smart reply ever!!!
@munarnkungu86544 жыл бұрын
uyo mkimbizi atakuwaje na taarifa wakati nchi hii cyo yake ahahahah baba shushua ilo zimwiii ahahah
@EmmanuelHaulenjombe4 жыл бұрын
💪💪💪
@hdmtanzania26174 жыл бұрын
Atajulia wapi mda wote anawaza wazungu tu ajipendekezaje, hafatilii maendeleo ya nchi yake paka shume huyo
@petershayo38524 жыл бұрын
ben uko zuri sana l salute you bro hahahahahahahhahahahahaha hapa kazi tu jpm juuuuuuuuuuuu
@pauldaniel56854 жыл бұрын
Mnapoteza muda kumjibu huyo zitto mumuache kama alivyo. Na wanao muamini muwaache pia maana kila mtu na zake.
@ericbon54654 жыл бұрын
paul daniel kweli asee
@dachjunior47664 жыл бұрын
*NGOJA AJIBIWE MAANA WAKIKAA KIMYA UONGO WAKE WAWEZA KUAMINIWA KUWA NI KWELI*
@renatusmisigaro63324 жыл бұрын
Usimjibu tena huyo jibwaa! Nipot wangu Ila nahis anachanganyikiwa sikuiz silipend!!
@april7teen4 жыл бұрын
Dah!! 😅 Kumbe BEN MWANANTARA na wewe unafki unauweza 🤣🤣🤣🤣🤣 ulivyotokea sasa na hiyo Alaaaa yako 😆😆😆
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@SalmaSalma-nb2cv4 жыл бұрын
Jibu limeenda shule😂😂😂umemsuta utam
@geofreymhina18214 жыл бұрын
Nimecheka sana huku
@geofreymhina18214 жыл бұрын
Wenzao wakienda kutembelea mradi wao wanaenda nje kupiga majungu watakula majungu yao."kanyaga twende jpm"big up mwanantala.chagua unataka u DC wapi.
@corrolesscps4 жыл бұрын
Huyo Nae sijui Zito Kabwe kaishiwaaaa. Akajambe mbelee kule kwa Master zake huko Ulaya Marekani na Canada, Magufuri ni Thomas Sankara wa Africa na Tanzania kiujumla
@abbyjustine79064 жыл бұрын
Wanasiasa kazi yao kudanganya saiz kadanganye walevi wakijijini we are new Generation
@uledimtumwa24064 жыл бұрын
Ndio maana JPM alipiga marufuku Siasa,hawa jamaa ni washenzi kwelikweli.
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Kweli kabisa na alikuwa sahihi.
@kkhalifairumba29324 жыл бұрын
Huyo zitto ni mpuuzi wa mwisho kazi yake kupinga tu anatafuta umaarufu wa kijinga,awasadie hao watoto waliopata mimba mashuluni kuwalipia kama anaubavu au ndio amesababisha na wengine wasipate elimu
@ezmexplores4 жыл бұрын
Hana Lolote Hata Hao Waliopata Mimba Hawatetei Ila Anawatumia Kuleta Hoja Zake Za Kipumbavu.
@edwardisack18904 жыл бұрын
Ogopa technolojia aiseee
@dibya204 жыл бұрын
Hahahaha ZITO kweli Umekuwa mzito hata kwa jambo hili dogo tu au hata smartphone hana nini? Inamaana sisi tunaomaliza mb zetu humu kucheki kila mwezi na kila taarifa hapa reli tv ni mapoyoyo hatuoni n vipofu,. NYAU kweli ZITO
@edwardmasangi12144 жыл бұрын
Kwani magutupola IPO Dodoma au siginda?...
@dibya204 жыл бұрын
@@edwardmasangi1214 makutupora ipo ya Dodoma na singida pia.. hivo basi SGR itaishia makutupora ya SINGIDA sio DODOMA
@althomtegah95124 жыл бұрын
Hv kumbe haya majina tunayowachagulia waneno tuwe makini kuna wakina Zitto wengine kwel🤔 hakiya Mungu stosubutu kumpa mtoto jina kama hili
@edwinjohn60004 жыл бұрын
Hahahaha nimeipenda hii
@phillipmatola69644 жыл бұрын
ha h a ha ha ...zitto mnafiki kweli kweli...Anatabia za kimalaya Malaya hivi..
@sumadesigner70364 жыл бұрын
😂😂😂umemjibu poa
@hanifawaliya79764 жыл бұрын
mfahamishe huyo alikua kalala hahahahahah
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Benny😁😁umemjibu vizuri muongo wakitaifa, mbunge wa Twitter
@frankluhu53224 жыл бұрын
Mwanasiasa anasema reli inayojengwa n dar morogor2 pumbavu sana ttz wapinzani wanasem2 bila kufikiri uyo jamaa akili zilo saiz kachoka
@Uswahilini5834 жыл бұрын
hahahahaha hatareeeeee
@TheAlman4 жыл бұрын
kwani huyu zito anatafutanini
@richardtv83394 жыл бұрын
Hahaha 😂😂😂🔥
@Wastara0014 жыл бұрын
Zito ameanika ujinga wake
@godfreyleonad74374 жыл бұрын
kunamijitu mijinga moja wapo hili
@idrisaseiph34994 жыл бұрын
Jibu zury mlompa nmfrah san
@maulidmussa89694 жыл бұрын
Ata yanayoendelea ktk nchi yake hayajui dah
@machaggechacha34224 жыл бұрын
Sokwe kutoka virunga mountains. Hajitambui.
@josephsoka15654 жыл бұрын
Huyu Mwanantala kiboko!! anayekupigia mixer mpe tip ya kutosha! upo juu duh!!
@yahyamkone56014 жыл бұрын
Hahahaha jamaa ameishiwa kwelihuyu zitto anatamani nchi ifeli lakini ameula kwachuya
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Hahahaaaaa.
@razilsultan4 жыл бұрын
Jamaa anakera mpaka basi anajikuta yeye ni genus kuliko mboye
@eddechriss26644 жыл бұрын
Ben huyu Jamaa wala usingemjibu, kwani siku zinavozidi kwenda yeye anazidi kuchanganyikiwa
@dachjunior47664 жыл бұрын
*AJIBIWE TU LABDA SIKU MOJA AKILI ZITAMREJEA*
@revocatusedward57394 жыл бұрын
Yaani hii clip nimeipitisha mtaa mxima huku kwetu maana ni kijijini ili watu wajue kabisa kwamba hapa duniani shetani kapamba moto kuwatumia watu hasa sura mbaya
@waluohopaulo21164 жыл бұрын
This is why i keep on saying Zitto is a useless Politician he doesn't know what he keeps on talking about now he pick Railway issue to start lying to people.
@mrishogange42764 жыл бұрын
Yan nilivyo ona sura ya uyu mbwa kabla ya video kidogo ni unisubscribe Chanel yenu, ila mmemjbu vzur sana nyau huyu
@mwinshame4 жыл бұрын
Halafu anataka kua rais wa nchi. Mtu mungo namna hii
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Kaka Ben hongera kwa ubunifu wa kumjibu mpumbavu huyo Kaz kudanganya tu