ifike mahali hizi kodi tujue ni kiasi gani maana kila mahali ni kodi lakini bado mpaka leo tunakopa
@davidmwamgunda78709 ай бұрын
Asante sana mzeee wangu namm kama boda boda abilia yoyote natamleta shabib bus
@WamburaJomu-xy2is9 ай бұрын
Point sana
@ernestmwakalambo39389 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mh shabibi
@roodneykaria68149 ай бұрын
Akili ya wafanyabiashara na wasomii ni tofauti kabisa
@EliusPeter-o4g9 ай бұрын
Salute shabiby
@SaidShemkieti9 ай бұрын
Ila mbunge wa morogoro mjini mh abood unazingua sanaa yani mpk mwenzako wa gairo akusemee kuhusu uwanja wa ndege morogoro mjini shame on you mwakani hatukutaki tena tunahitaji mbunge atakae tusemea vzr bungeni
@MrRamsonVidal8 ай бұрын
Ana biashara zake hao...Morena hotel so lazima apige debe
@vediowkiritasi31639 ай бұрын
Very Good point
@starjay30529 ай бұрын
🤣🤣😂😂🤜🤛 aminia shabiby
@SalminaSalim9 ай бұрын
Jamani hilo la ndege kweli tulikaa mda Ndege tulikuwa tunasikia kwenye bomba. Kwa uwezo wake Mungu ........ tukaanza kujivinjari na Ndege mpaka home Ma Basi tukaya sahau kwa waenda mbali Asante Mungu kupitia kwa ..............
@frankngoloka54169 ай бұрын
Uko sahihi shabiby
@ScopionScopion-zj9cd9 ай бұрын
watu weng number ya NIDA hawana kwaiy ukinunua boda boda au Bajaj ukimpa kijana mkataba akimaliza ndio mwisho wakupa latra mana mpaka mtu awe na NIDA kwanini msingeweka Na vitambusho vingne kama Driving License au kitambulisho chakula sasa mmeweka hivi matokeo yake watu weng wanashndwa kupata kibali wanafanya janja janja2 selikali inakosa mapato
@HassanUpunda-bz5vr9 ай бұрын
Wazir mkuu mh kasim majaliwa, kazi anaijua lakin anavunjika nguvu nabaadhi yaviongozi wanakula rusha, nguvu yakuwaastopisha kaz anashindwa kwasababu anamamlaka, atabandarini anashindwa kukagua ndio sehemu yenye madudu, makamu waraisi fanya mpango wakwenda, nastend kuu, upole ukizidisana aunamaana.
@mikemutabuzi36659 ай бұрын
nanukuu, 'Mama sijui mpole? Ccm ,ingekuwa upinzani wengi wangetaka taarifa😂😂😂. Tuamke tuseme changamoto za wananchi, sio Mapambio kila kukicha, Mama ameondoa utekaji, Hivyo tujitoe muhanga kama shabib
@ndukulusudikucho_9 ай бұрын
Ujio wa SGR Kutoka dsm hadi Dodoma sidhani kama Mhe anafurahia, Pole Shabiby ndio ujasiliamali , hii sawa na kupata ushauri wa Kifedha kwa Loan officer wa bank au kama vile mteja kupata ushauri wa madawa kwa muuza madawa, Mungu anajua zaid na ndio mwenye hekma
@theophilmawe97768 ай бұрын
Shabiby ni Ginineous
@Museveniseverine9 ай бұрын
Hongera mh
@MaulidNdunda-cl3gz9 ай бұрын
Kweli shabiby morogoro ni center ya mikoa mingi kwanin hamna uwanja mkubwa wa ndege halafu Kuna mbuga ya wanyama mikumi sio mbali na moro mjin kwanin hamna uwanja wa kisasa morogoro
@salumadam28629 ай бұрын
Kweli wambie
@kazimoto-eq2th9 ай бұрын
Umeongea baba kweli tajir
@jacklinelyimo74079 ай бұрын
Kweli kabisa
@angelanaftael79659 ай бұрын
Hongera mh walao unaongea ukweli
@adongoodluck94879 ай бұрын
HONGERA MWENYEKITI WA BODI YA SHULE GAIRO SECONDARY 2003-2006 MUNGU AKUTUNZE MZEE
@teachingtruthmission21409 ай бұрын
Ndio kila kitu utasikia wanampinga mama
@kesphaanyitike77519 ай бұрын
Very fact...
@ScopionScopion-zj9cd9 ай бұрын
boda boda kulipa TSH 17000 sio tatizo tena iyo ndog ingekua 50000 mana huwezi kununua pkpk milioni tatu Na laki tatu halafu ushindwe kukata kibali cha TSH 17000 mbona dar Salam boda boda wanaotumia bolt au tx on line wanalipa 35000 ila wame tengenezewa mazingila magumu sana kwa wale wanaotumia bolt ya gari mpaka madereva sasa watoa plet number ya biashala wana weka play vate ili kukwepa usumbufu bala balani kodi inapotea nying mno wasomi wetu sijui wamesoma Nini dar Salam tx boda boda Bajaj nikalibu vyombo milioni moja na point ila wanaolipa kodi pengne ni% 2 tu
@kazimoto-eq2th9 ай бұрын
Kwel
@peterlove4g8699 ай бұрын
Kuna latra ya D4 yani kwamba ni kwa ajili ya vyombo vinavyofanya kazi online sasa hapo niaajabu kabisa yani Boda, Bajaji, gali wote wanalipia 35000
@FatnaAlly-go7yt8 ай бұрын
Alah awajaalie mtende haki inshallah
@Yohanamboka7 ай бұрын
mngu atusaidie
@Worldunite9 ай бұрын
Umeongea ukweli 100%
@MaryNehemia9 ай бұрын
Una visa na mkoa wa njombe Inaonekana hutaki maendeleo ya mkoa huo
@kazimoto-eq2th9 ай бұрын
Kweli tajiri
@mwanakupona9 ай бұрын
Leli!!! We mwarabu matamshi yako mabovu..hasala....mologolo kwani hukusoma hata madrasa..Abu. Mwambieni
@HassanSaid-e1w9 ай бұрын
mhhh
@pauloropian23679 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania
@MarckMaganga9 ай бұрын
Muongo huyuhhuhhh
@jumaally42639 ай бұрын
Kwahiyo bodaboda wasisome sheria za barabarani. Hapo umekosea barabarani ni barabarani tu muheshimiwa
@bensonelisa32259 ай бұрын
Bungeni watu wanawakilisha masilahi yao binafsi na vyama vyao vya kisiasa sio hata for 40 parcent uwakilishwaji wa mtanzania wa maisha ya kawaida wale ambao katika idadi yetu ya watanzania million 60 wao ambao kwa idadi labda n million 50 kati ya million 60