Halafu wabunge wakiume mmekaa tuu huyu mama ameongea point sana
@fadhiliibrahim9702Ай бұрын
Wabunge wa Iringa Mjini ni fire tulikua na Msigwa sasa Msambatavangu mwendo ni huu 🔥
@Anithawilielemi-uh3wwАй бұрын
You are perfect Mama,Mrs:Gwajima has been showing weaknesses all along
@amosibilingi4299Ай бұрын
We hujui tu, mh. Gwajima ndo muumini mkubwa wa hayo anayosema jesca, ila sema anafuata maelekezo ya mh. Rais, ila moyo wake hauko huko kabisa, jaribu kufuatilia hotuba mbalimbali alizowahi kuongea utagundua hili.
@edwinbuganga3205Ай бұрын
Ngoja sasa aambiwe ukweli
@sponsor7882Ай бұрын
anamuogopa mama
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
@@amosibilingi4299 uUko sahihi sana. hizi ofisimzina mambo mengi sana
@mussaananiasmyonga727Ай бұрын
Mmmmmmh!!!
@nelsonluwiana10Ай бұрын
Hongera Sanaa mama umeongea maneno ya ukweli kabisaa
@mgosimkome9242Ай бұрын
Asante sana Mh mbunge Hawa ndo wabunge Sasa kwenye jamii, mbunge anaongea hadi unasikia hisia kweli mtu kaongea. Na kweli Tunakoelekea kutakuwa hakuna kuolewa au kuoa maana wanaume tumetekwa madaraka na wanawake, ni lazima tuweke usawa kwa jinsia zote mbili.
@nestorymanyamaАй бұрын
Safi sana Mama...na Mungu wa Mbinguni Akubarik
@gosbertrwezahura3645Ай бұрын
Mama uko vizuri. Hao wapumbavu wamepewa hela na wazungu ndo wanapanga mambo ya upuuzi.
@EdwardKwiyangaАй бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki kwa viwango vikubwa kwa msaada wako wa TAIFA
@aronlubango7934Ай бұрын
Safi sana Msambatwa siyo hiyo kenge kigwangala,huenda ni shoga
@abbas.h.saydy.3991Ай бұрын
Safi mh tusemee mama!!
@richardtungaraza7509Ай бұрын
Haaa haaaa aiseee kigwangala
@lukasmaro4280Ай бұрын
Wabunge kama hawa hata wasipofanya kampeni Warudisheni Bungeni mtakuja kunishukur💝💐💐💐🙏
@user-oo1vz3zi1tАй бұрын
Hongera Msavanga
@mariamarywenslaus2938Ай бұрын
Kwqhy wakamtunza nakumtunza pesa ameongea pointi sanaaa ni kweli❤❤❤😂😂😂😅
@wokovumwazembe3505Ай бұрын
Hakika iringa inapata watu sahihi Sana yaani huyu mama na Msingwa wako sawa kabisa hongera Sana Mama Mungu akubariki
@JoelMajuraАй бұрын
Mama jesca Toka nilipokuwa iringa ukawa unapiga kampeni nilikuona wamaana adi leo nkukubli mama wa iringa ongera kwa kupewa upeo kama uo unaongea vtu fact sana salute kwako
@JoelMajuraАй бұрын
Mama msavatavangu ni kweli kbsa kwa sababu tunateswa sana na wanawake wanapewa kipaumbele Sana kuliko sisi ata ukipenda polisi ukiwa hauna kosa ila utagandamizwa na mwanamke kutetewa sana
@user-hj4sy9fy4gАй бұрын
Msambtavangu,hongera sana! Una akili timamu hasaa !
@merygodfrey3709Ай бұрын
Yaani mheshiiwa pokea mauwa yako.Watoto wa kiume wamekuwa na msongo wa mawazo Hawajielewi sana.Kwasababu wamenyanyapaliwa kila sehemu.Si kwenye Elimu si kwenye ajira.Wasichana wanajengewa mabweni ili wasibakwe,lakini wanaume !!!!!!😂😂😂Umenisemea Mungu akubariki maana mimi nina watoto wa kiume tuuuu jamani Pokea mauwa yako.
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Nakupenda sanaaaa wewe Mbunge unafanya kazi sana huko Bungeni na upate Ubunge kila wakati Jessica
@yasiniSwedi-qg5ocАй бұрын
We mama unaakili nyingisana kuliko mama mkuu
@johnsonmichael945Ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa MUNGU akubarik san haki saw
@DAUDIMAKARANGAАй бұрын
Mama nimekuelewa chkua maua mama,
@arthurmagwagu7689Ай бұрын
Salute Sana Mhe Jesca, hii kigwangala itakuwa inatafunwa sio bure
@user-mn2et2pf6z15 күн бұрын
Hongera sana dada.
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
You are perfect hivi watoto wa kiume kwanini wametengwa Kuzaliwa mwanaume ndio utengwe mambo ya ajabu sanaa .
@magrethmbangama1199Ай бұрын
Sana na ndo hapo shetani alipo tupiga bao tukakumbatia watoto wa kike,tukasahau wakiume matokeo yake ushoga umeshamiri kuliko maelezo.
@ezrayjesusАй бұрын
Wemama mungu akuengeze siku za kuishi
@TejonnNdileАй бұрын
Safi sana mbunge makin Kwa hapo nakupa zote Tanzania tunapotea sana, ukiwaacha wanaume hakuna jamii hapo
@nizarmanji5343Ай бұрын
My dear upo juu mno!mawinguni!!yaani kama kungekuwa na usajili mimi ningekusajili uwe mbunge wetu..yaani wewe ni mwakilishi wa watu na unamuogopa mungu..hizi sera za dunia za kishetani zinamtenga mwanaume kwa makusudi kumshoofisha mwanaume ambae ndie aliepewa mamlaka ktk dunia hii ...na ndio maana mambo ya hovyo yanazidi kusambaa ikiwemo ushoga na usagaji...lakini pia kutengeneza wanaume tegemezi kwa mijimama halafu tunalia lia
@tumahamza8972Ай бұрын
Nimekupenda sana mama. Yaani sijui nikupe mau kiasi gani.
@GThebaberАй бұрын
Asante Sana we mama,,,,,hakika umesema jambo la maana sana
@RamaMbwambo-ru8ymАй бұрын
Well said... congratulations
@amosshija9458Ай бұрын
Mama hongera sana Roho wa Mungu amekutumia kwa viwango vya juu sana
@TM.SullusiАй бұрын
POINT KUBWA SANA MAMA
@stephano263Ай бұрын
Safi sana tunata wabunge kama hawa
@ellyemily4234Ай бұрын
Yaani provider anaachwa kwenye mambo ya uchumii ... alafu watu wake wanakuzinguaa ukishindwa lea watoto unashikwaa
@rogerioathumani9084Ай бұрын
Huyu mama yuko sahihi kabisa kunamuda watu wanapaswa kufanya uchunguzi watakubaliana na maneno ya huyu mama Asante mama nyie ndio wabunge mnao stahili kwenye bunge letu
@azorheradius8681Ай бұрын
Duuuh kumbe kuna wanawake wenye mawazomazuri kiasi hiki. Tatizo ni kwamba wako wachache sana. Hongera sana mama, wewe ni wa pekee, uelewa wako uko juu sana
@PiscesblairАй бұрын
Hongera sana Mama kulizungumzia hili tatizo ambalo limeshika mizizi sasa katika kila sekta hapa nchini.
@George-jz3jgАй бұрын
Msambatangu we SuperWOMAN asante kwakuwatetea watoto wetu wa kiume
@bahatishitindiАй бұрын
Asante sana mama Mungu akubaliki sana
@GodfreyHaiki-gp6ryАй бұрын
Hoja bora sana
@frankmadida648Ай бұрын
Huyu mama kaongea kwa uchungu🙌🙌 kiukweli ameongea uhalisia🎉🎉
@nelsonwilliam7578Ай бұрын
Tangu umekuwa mbunge leo umeongea point❤
@alexkilyenyi5763Ай бұрын
Ni mbunge wangu huyu ,,, hadi nimeshangaa katoa wapi point
@AbednegoMbelaАй бұрын
Hongela kiongoz uchumi kwa vijana nitatizo lakini pia selikali Ina changia kuto walinda vijana namambo yasitalehe haswa kamali ichi inateketea 🇹🇿😭😭😭
@MaxmilianKachatiloАй бұрын
Safi sana
@norbertmbena5896Ай бұрын
Asante sana mbunge wetu utaishi hata baada ya kufa
@henrynyanswi2132Ай бұрын
Big up mama Jesca strong statement delivery , shame on you Kigwangala
Aliyetoa taarifa ka senge hivi. Yaani mama anaongea point yeye anakuja na usimba na uyanga
@uswegemwakalobo6220Ай бұрын
Safi safi
@samsonhamery3809Ай бұрын
Siku zote Wana Iringa wanakuwa na ufahamu mkubwa.Hongera Sana Mbunge Msambatavangu Mimi niliwahi kuacha kupiga kura kwa sababu hii Ni Serikali ya Wanawake watoto na wasiojiweza wanaume hatumo yaani sisi wanaume hatuna haki katika manufaa ya raslimali za nchi yetu?!😢
@user-rp5jw8th5oАй бұрын
Ahsante sna maam
@TooPerfect23Ай бұрын
Huyu mama kwanini asipewe wizara ya wanaume kabisa. Inaonekana ana vitu vizuri mno.
@felixkamkala3303Ай бұрын
Uko vizuri kabisa kwa Asilimia 100 %
@emanuelavaleriani8646Ай бұрын
Hongera mama
@mariamarywenslaus2938Ай бұрын
Big up mama loveeeeeeee moreeee
@user-fj4kj8xc5xАй бұрын
Mungu akubariki kwa kuongea ukweli wa kuliponya taifa
@mwakasaguleАй бұрын
Ufike Mbinguni mama. Umeonyesha ukomavu wa kifikra na kisiasa. Alafu wewe ni Mzazi na mlezi. Gwajima Mungu anamwona. Kigwangala ni mjinga sana.
@bensonjr4879Ай бұрын
Huyu Mama ni mbunge wa wapiii!?? She is so smart❤
@eliyasanga9891Ай бұрын
Mbunge wa iringa mjini... She replaced peter Msigwa.
@jeremiahmalasusa3997Ай бұрын
Hongera Mbunge
@steveedward3752Ай бұрын
Yes nimekuelewa sana Mbunge wetu....
@johnswale7001Ай бұрын
Asante mama vizuri
@justinesima2221Ай бұрын
Vizuri sana Mbunge natamani upate mdamrefu zaidi wa kuwa bungeni
@thelivingwordchannel9027Ай бұрын
Safi sana mama
@geey7893Ай бұрын
Huyu Mama hanaga kazi Chafu. Ni spana tuu, sio akina Babutale machawa
@williamkavavila608Ай бұрын
Mhe.Uko sahihi mno,Mungu akubariki! unaujua UKWELI,wewe ni mama halisi,wakati mibaba imekaa kimya eti!
@nelsonwilliam7578Ай бұрын
Kigwangara pumba kabsa
@paulmtungalyambo2065Ай бұрын
Jembe sanaaa Msambatavangu
@vincentvenance321Ай бұрын
Msambatavangu gooood
@ibrayomapenzi7048Ай бұрын
JAMANI TUMCHANGIE BEI GANII HUYUUUU MADAM
@George-jz3jgАй бұрын
Naomba vijana wa iringa mjini nawaombeni baada ya bunge la bajeti hii kuisha wakampokee mbunge wao kwa maandamano pale zinapoanzia kona za nyang'olo mkiniunga mkono wazo langu na mimi nitakuja kuambatana na nyie kwenye hayo mapokezi
@AswileChisungaАй бұрын
Mama hongera kutambua umhim wa wanaume katikati jamii majanaume yametulia TU Wala haya semi chochote
Wewe ndio unafa kua wazili raisi alone mungu akubaliki
@Clarencekwembe1Ай бұрын
Dr. Kigwangala umezingua sana yaani, think twice and deep.
@eliachalamila2259Ай бұрын
Huyo ndio msambatavangu, mnyalukolo wa kweli 100%
@Fundi12345Ай бұрын
Yani huyo mweshimiwa kaona mbari san selikali haijawahi kungundua hiloooo kabisa wanadili na wamama tu ajabu kabi. Wanaume walio kabizuwa dunia hawapo poreni wanaotaka 50,50 sheria ya magaribi wamerizi tz poren sana nawataka babunge wenye akili kama huyo mama wako wapi ?
@FredrickKagusa-wt9bwАй бұрын
safi sana mama MUNGU akubariki
@finiasmaengela2996Ай бұрын
Umeongea kwa hisia sana 🤝🤝
@JoelMajuraАй бұрын
Asant sana mama msavatavangu naomb uendeleee kusimamia hoja yko
@emmanuelmwaipopo3039Ай бұрын
Nashangaa taarifa imetoka kwa mwanaume alafu dakatari😂
@dannypeter4951Ай бұрын
Siwezi kuandika hata sijui ni anzie wapi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@George-jz3jgАй бұрын
Kigwangala we siku hizi utakuwa shoga tena utakuwa unapigwa nyuma wewe
@mbarakaabdallah6526Ай бұрын
Daaah huyu dada anaakili sana aisee hii ni sababu kubwa ya ushoga na single mother
@mbarakaabdallah6526Ай бұрын
Jamani nawaomba nyie wananchi wenye huyu mbunge mumpitishe tena 2025 ana vitu vingi sana atawafikisha mbali sana
@geraldmanyogoto1358Ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu uwe Waziri wa Wizara hiyo.
@DanieljobPeterАй бұрын
Nafikiri huyu mama anastahiri kuikalia nafasi ya huyo gwajima anastahiri😮😮😮
@chachacharles7763Ай бұрын
Asante sana mama yaani Mungu akupe maisha marefu
@dianamakatu9298Ай бұрын
❤
@flaviankiria8251Ай бұрын
Safi sana mamaaa umeongea jambo muhimusanaaa
@milalifaustine6471Ай бұрын
God bless you mama
@nellynathan-hf2byАй бұрын
Perfect
@eliachalamila2259Ай бұрын
Kigwangala ni mpuuzi sana
@mosesbarnaba7851Ай бұрын
Safi sana Mama angu
@othinielkamyola3697Ай бұрын
HIKI CHUMAAA NOMAAAAA❤❤❤
@KatelelaKibondoАй бұрын
Asante mama nakupa mauayako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤I❤❤❤❤❤❤❤❤
@emmanuelelam555Ай бұрын
Iringa mitano tena namaua Yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@stanleymanya438Ай бұрын
Mungu akubariki mama
@yordanyona1234Ай бұрын
Upo sawa kabisa smart mama
@FredrickKagusa-wt9bwАй бұрын
safi sana mama kwa kuliona hilo
@rqiyaabdallah840Ай бұрын
Uposahihi kadisa
@EdwinMhaikiАй бұрын
We mbunge unafaa Sana mungu akujaalie
@davidpeter8099Ай бұрын
Hivi huyu kigwangara ni mwanaume au ni upinde wenye cheo cha uwaziri