MSAMBATAVANGU AMFOKEA WAZIRI GWAJIMA HADHARANI, KIGWANGALA AJICHANGANYA "WANAINGIZWA KWENYE USHOGA"

  Рет қаралды 32,945

Uhondo TV

Uhondo TV

Ай бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 275
@SomoKidawa
@SomoKidawa Ай бұрын
Halafu wabunge wakiume mmekaa tuu huyu mama ameongea point sana
@fadhiliibrahim9702
@fadhiliibrahim9702 Ай бұрын
Wabunge wa Iringa Mjini ni fire tulikua na Msigwa sasa Msambatavangu mwendo ni huu 🔥
@Anithawilielemi-uh3ww
@Anithawilielemi-uh3ww Ай бұрын
You are perfect Mama,Mrs:Gwajima has been showing weaknesses all along
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Ай бұрын
We hujui tu, mh. Gwajima ndo muumini mkubwa wa hayo anayosema jesca, ila sema anafuata maelekezo ya mh. Rais, ila moyo wake hauko huko kabisa, jaribu kufuatilia hotuba mbalimbali alizowahi kuongea utagundua hili.
@edwinbuganga3205
@edwinbuganga3205 Ай бұрын
Ngoja sasa aambiwe ukweli
@sponsor7882
@sponsor7882 Ай бұрын
anamuogopa mama
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
@@amosibilingi4299 uUko sahihi sana. hizi ofisimzina mambo mengi sana
@mussaananiasmyonga727
@mussaananiasmyonga727 Ай бұрын
Mmmmmmh!!!
@nelsonluwiana10
@nelsonluwiana10 Ай бұрын
Hongera Sanaa mama umeongea maneno ya ukweli kabisaa
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 Ай бұрын
Asante sana Mh mbunge Hawa ndo wabunge Sasa kwenye jamii, mbunge anaongea hadi unasikia hisia kweli mtu kaongea. Na kweli Tunakoelekea kutakuwa hakuna kuolewa au kuoa maana wanaume tumetekwa madaraka na wanawake, ni lazima tuweke usawa kwa jinsia zote mbili.
@nestorymanyama
@nestorymanyama Ай бұрын
Safi sana Mama...na Mungu wa Mbinguni Akubarik
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 Ай бұрын
Mama uko vizuri. Hao wapumbavu wamepewa hela na wazungu ndo wanapanga mambo ya upuuzi.
@EdwardKwiyanga
@EdwardKwiyanga Ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki kwa viwango vikubwa kwa msaada wako wa TAIFA
@aronlubango7934
@aronlubango7934 Ай бұрын
Safi sana Msambatwa siyo hiyo kenge kigwangala,huenda ni shoga
@abbas.h.saydy.3991
@abbas.h.saydy.3991 Ай бұрын
Safi mh tusemee mama!!
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 Ай бұрын
Haaa haaaa aiseee kigwangala
@lukasmaro4280
@lukasmaro4280 Ай бұрын
Wabunge kama hawa hata wasipofanya kampeni Warudisheni Bungeni mtakuja kunishukur💝💐💐💐🙏
@user-oo1vz3zi1t
@user-oo1vz3zi1t Ай бұрын
Hongera Msavanga
@mariamarywenslaus2938
@mariamarywenslaus2938 Ай бұрын
Kwqhy wakamtunza nakumtunza pesa ameongea pointi sanaaa ni kweli❤❤❤😂😂😂😅
@wokovumwazembe3505
@wokovumwazembe3505 Ай бұрын
Hakika iringa inapata watu sahihi Sana yaani huyu mama na Msingwa wako sawa kabisa hongera Sana Mama Mungu akubariki
@JoelMajura
@JoelMajura Ай бұрын
Mama jesca Toka nilipokuwa iringa ukawa unapiga kampeni nilikuona wamaana adi leo nkukubli mama wa iringa ongera kwa kupewa upeo kama uo unaongea vtu fact sana salute kwako
@JoelMajura
@JoelMajura Ай бұрын
Mama msavatavangu ni kweli kbsa kwa sababu tunateswa sana na wanawake wanapewa kipaumbele Sana kuliko sisi ata ukipenda polisi ukiwa hauna kosa ila utagandamizwa na mwanamke kutetewa sana
@user-hj4sy9fy4g
@user-hj4sy9fy4g Ай бұрын
Msambtavangu,hongera sana! Una akili timamu hasaa !
@merygodfrey3709
@merygodfrey3709 Ай бұрын
Yaani mheshiiwa pokea mauwa yako.Watoto wa kiume wamekuwa na msongo wa mawazo Hawajielewi sana.Kwasababu wamenyanyapaliwa kila sehemu.Si kwenye Elimu si kwenye ajira.Wasichana wanajengewa mabweni ili wasibakwe,lakini wanaume !!!!!!😂😂😂Umenisemea Mungu akubariki maana mimi nina watoto wa kiume tuuuu jamani Pokea mauwa yako.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Ай бұрын
Nakupenda sanaaaa wewe Mbunge unafanya kazi sana huko Bungeni na upate Ubunge kila wakati Jessica
@yasiniSwedi-qg5oc
@yasiniSwedi-qg5oc Ай бұрын
We mama unaakili nyingisana kuliko mama mkuu
@johnsonmichael945
@johnsonmichael945 Ай бұрын
Hongera sana mheshimiwa MUNGU akubarik san haki saw
@DAUDIMAKARANGA
@DAUDIMAKARANGA Ай бұрын
Mama nimekuelewa chkua maua mama,
@arthurmagwagu7689
@arthurmagwagu7689 Ай бұрын
Salute Sana Mhe Jesca, hii kigwangala itakuwa inatafunwa sio bure
@user-mn2et2pf6z
@user-mn2et2pf6z 15 күн бұрын
Hongera sana dada.
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
You are perfect hivi watoto wa kiume kwanini wametengwa Kuzaliwa mwanaume ndio utengwe mambo ya ajabu sanaa .
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Ай бұрын
Sana na ndo hapo shetani alipo tupiga bao tukakumbatia watoto wa kike,tukasahau wakiume matokeo yake ushoga umeshamiri kuliko maelezo.
@ezrayjesus
@ezrayjesus Ай бұрын
Wemama mungu akuengeze siku za kuishi
@TejonnNdile
@TejonnNdile Ай бұрын
Safi sana mbunge makin Kwa hapo nakupa zote Tanzania tunapotea sana, ukiwaacha wanaume hakuna jamii hapo
@nizarmanji5343
@nizarmanji5343 Ай бұрын
My dear upo juu mno!mawinguni!!yaani kama kungekuwa na usajili mimi ningekusajili uwe mbunge wetu..yaani wewe ni mwakilishi wa watu na unamuogopa mungu..hizi sera za dunia za kishetani zinamtenga mwanaume kwa makusudi kumshoofisha mwanaume ambae ndie aliepewa mamlaka ktk dunia hii ...na ndio maana mambo ya hovyo yanazidi kusambaa ikiwemo ushoga na usagaji...lakini pia kutengeneza wanaume tegemezi kwa mijimama halafu tunalia lia
@tumahamza8972
@tumahamza8972 Ай бұрын
Nimekupenda sana mama. Yaani sijui nikupe mau kiasi gani.
@GThebaber
@GThebaber Ай бұрын
Asante Sana we mama,,,,,hakika umesema jambo la maana sana
@RamaMbwambo-ru8ym
@RamaMbwambo-ru8ym Ай бұрын
Well said... congratulations
@amosshija9458
@amosshija9458 Ай бұрын
Mama hongera sana Roho wa Mungu amekutumia kwa viwango vya juu sana
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Ай бұрын
POINT KUBWA SANA MAMA
@stephano263
@stephano263 Ай бұрын
Safi sana tunata wabunge kama hawa
@ellyemily4234
@ellyemily4234 Ай бұрын
Yaani provider anaachwa kwenye mambo ya uchumii ... alafu watu wake wanakuzinguaa ukishindwa lea watoto unashikwaa
@rogerioathumani9084
@rogerioathumani9084 Ай бұрын
Huyu mama yuko sahihi kabisa kunamuda watu wanapaswa kufanya uchunguzi watakubaliana na maneno ya huyu mama Asante mama nyie ndio wabunge mnao stahili kwenye bunge letu
@azorheradius8681
@azorheradius8681 Ай бұрын
Duuuh kumbe kuna wanawake wenye mawazomazuri kiasi hiki. Tatizo ni kwamba wako wachache sana. Hongera sana mama, wewe ni wa pekee, uelewa wako uko juu sana
@Piscesblair
@Piscesblair Ай бұрын
Hongera sana Mama kulizungumzia hili tatizo ambalo limeshika mizizi sasa katika kila sekta hapa nchini.
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
Msambatangu we SuperWOMAN asante kwakuwatetea watoto wetu wa kiume
@bahatishitindi
@bahatishitindi Ай бұрын
Asante sana mama Mungu akubaliki sana
@GodfreyHaiki-gp6ry
@GodfreyHaiki-gp6ry Ай бұрын
Hoja bora sana
@frankmadida648
@frankmadida648 Ай бұрын
Huyu mama kaongea kwa uchungu🙌🙌 kiukweli ameongea uhalisia🎉🎉
@nelsonwilliam7578
@nelsonwilliam7578 Ай бұрын
Tangu umekuwa mbunge leo umeongea point❤
@alexkilyenyi5763
@alexkilyenyi5763 Ай бұрын
Ni mbunge wangu huyu ,,, hadi nimeshangaa katoa wapi point
@AbednegoMbela
@AbednegoMbela Ай бұрын
Hongela kiongoz uchumi kwa vijana nitatizo lakini pia selikali Ina changia kuto walinda vijana namambo yasitalehe haswa kamali ichi inateketea 🇹🇿😭😭😭
@MaxmilianKachatilo
@MaxmilianKachatilo Ай бұрын
Safi sana
@norbertmbena5896
@norbertmbena5896 Ай бұрын
Asante sana mbunge wetu utaishi hata baada ya kufa
@henrynyanswi2132
@henrynyanswi2132 Ай бұрын
Big up mama Jesca strong statement delivery , shame on you Kigwangala
@maulidmwegio5704
@maulidmwegio5704 Ай бұрын
Daaaah..!!! Huyuu MAMA, Mh M'bunge Ameongea Vizuri Sana.
@issaidrisamusa5962
@issaidrisamusa5962 Ай бұрын
Aliyetoa taarifa ka senge hivi. Yaani mama anaongea point yeye anakuja na usimba na uyanga
@uswegemwakalobo6220
@uswegemwakalobo6220 Ай бұрын
Safi safi
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 Ай бұрын
Siku zote Wana Iringa wanakuwa na ufahamu mkubwa.Hongera Sana Mbunge Msambatavangu Mimi niliwahi kuacha kupiga kura kwa sababu hii Ni Serikali ya Wanawake watoto na wasiojiweza wanaume hatumo yaani sisi wanaume hatuna haki katika manufaa ya raslimali za nchi yetu?!😢
@user-rp5jw8th5o
@user-rp5jw8th5o Ай бұрын
Ahsante sna maam
@TooPerfect23
@TooPerfect23 Ай бұрын
Huyu mama kwanini asipewe wizara ya wanaume kabisa. Inaonekana ana vitu vizuri mno.
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 Ай бұрын
Uko vizuri kabisa kwa Asilimia 100 %
@emanuelavaleriani8646
@emanuelavaleriani8646 Ай бұрын
Hongera mama
@mariamarywenslaus2938
@mariamarywenslaus2938 Ай бұрын
Big up mama loveeeeeeee moreeee
@user-fj4kj8xc5x
@user-fj4kj8xc5x Ай бұрын
Mungu akubariki kwa kuongea ukweli wa kuliponya taifa
@mwakasagule
@mwakasagule Ай бұрын
Ufike Mbinguni mama. Umeonyesha ukomavu wa kifikra na kisiasa. Alafu wewe ni Mzazi na mlezi. Gwajima Mungu anamwona. Kigwangala ni mjinga sana.
@bensonjr4879
@bensonjr4879 Ай бұрын
Huyu Mama ni mbunge wa wapiii!?? She is so smart❤
@eliyasanga9891
@eliyasanga9891 Ай бұрын
Mbunge wa iringa mjini... She replaced peter Msigwa.
@jeremiahmalasusa3997
@jeremiahmalasusa3997 Ай бұрын
Hongera Mbunge
@steveedward3752
@steveedward3752 Ай бұрын
Yes nimekuelewa sana Mbunge wetu....
@johnswale7001
@johnswale7001 Ай бұрын
Asante mama vizuri
@justinesima2221
@justinesima2221 Ай бұрын
Vizuri sana Mbunge natamani upate mdamrefu zaidi wa kuwa bungeni
@thelivingwordchannel9027
@thelivingwordchannel9027 Ай бұрын
Safi sana mama
@geey7893
@geey7893 Ай бұрын
Huyu Mama hanaga kazi Chafu. Ni spana tuu, sio akina Babutale machawa
@williamkavavila608
@williamkavavila608 Ай бұрын
Mhe.Uko sahihi mno,Mungu akubariki! unaujua UKWELI,wewe ni mama halisi,wakati mibaba imekaa kimya eti!
@nelsonwilliam7578
@nelsonwilliam7578 Ай бұрын
Kigwangara pumba kabsa
@paulmtungalyambo2065
@paulmtungalyambo2065 Ай бұрын
Jembe sanaaa Msambatavangu
@vincentvenance321
@vincentvenance321 Ай бұрын
Msambatavangu gooood
@ibrayomapenzi7048
@ibrayomapenzi7048 Ай бұрын
JAMANI TUMCHANGIE BEI GANII HUYUUUU MADAM
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
Naomba vijana wa iringa mjini nawaombeni baada ya bunge la bajeti hii kuisha wakampokee mbunge wao kwa maandamano pale zinapoanzia kona za nyang'olo mkiniunga mkono wazo langu na mimi nitakuja kuambatana na nyie kwenye hayo mapokezi
@AswileChisunga
@AswileChisunga Ай бұрын
Mama hongera kutambua umhim wa wanaume katikati jamii majanaume yametulia TU Wala haya semi chochote
@user-fz4yq9mq7z
@user-fz4yq9mq7z Ай бұрын
Nikuite nani hakika wewe ni mtetesi wetu, Asante Asante Asante hongera mp
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Wewe ndio unafa kua wazili raisi alone mungu akubaliki
@Clarencekwembe1
@Clarencekwembe1 Ай бұрын
Dr. Kigwangala umezingua sana yaani, think twice and deep.
@eliachalamila2259
@eliachalamila2259 Ай бұрын
Huyo ndio msambatavangu, mnyalukolo wa kweli 100%
@Fundi12345
@Fundi12345 Ай бұрын
Yani huyo mweshimiwa kaona mbari san selikali haijawahi kungundua hiloooo kabisa wanadili na wamama tu ajabu kabi. Wanaume walio kabizuwa dunia hawapo poreni wanaotaka 50,50 sheria ya magaribi wamerizi tz poren sana nawataka babunge wenye akili kama huyo mama wako wapi ?
@FredrickKagusa-wt9bw
@FredrickKagusa-wt9bw Ай бұрын
safi sana mama MUNGU akubariki
@finiasmaengela2996
@finiasmaengela2996 Ай бұрын
Umeongea kwa hisia sana 🤝🤝
@JoelMajura
@JoelMajura Ай бұрын
Asant sana mama msavatavangu naomb uendeleee kusimamia hoja yko
@emmanuelmwaipopo3039
@emmanuelmwaipopo3039 Ай бұрын
Nashangaa taarifa imetoka kwa mwanaume alafu dakatari😂
@dannypeter4951
@dannypeter4951 Ай бұрын
Siwezi kuandika hata sijui ni anzie wapi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
Kigwangala we siku hizi utakuwa shoga tena utakuwa unapigwa nyuma wewe
@mbarakaabdallah6526
@mbarakaabdallah6526 Ай бұрын
Daaah huyu dada anaakili sana aisee hii ni sababu kubwa ya ushoga na single mother
@mbarakaabdallah6526
@mbarakaabdallah6526 Ай бұрын
Jamani nawaomba nyie wananchi wenye huyu mbunge mumpitishe tena 2025 ana vitu vingi sana atawafikisha mbali sana
@geraldmanyogoto1358
@geraldmanyogoto1358 Ай бұрын
Nakuombea kwa Mungu uwe Waziri wa Wizara hiyo.
@DanieljobPeter
@DanieljobPeter Ай бұрын
Nafikiri huyu mama anastahiri kuikalia nafasi ya huyo gwajima anastahiri😮😮😮
@chachacharles7763
@chachacharles7763 Ай бұрын
Asante sana mama yaani Mungu akupe maisha marefu
@dianamakatu9298
@dianamakatu9298 Ай бұрын
@flaviankiria8251
@flaviankiria8251 Ай бұрын
Safi sana mamaaa umeongea jambo muhimusanaaa
@milalifaustine6471
@milalifaustine6471 Ай бұрын
God bless you mama
@nellynathan-hf2by
@nellynathan-hf2by Ай бұрын
Perfect
@eliachalamila2259
@eliachalamila2259 Ай бұрын
Kigwangala ni mpuuzi sana
@mosesbarnaba7851
@mosesbarnaba7851 Ай бұрын
Safi sana Mama angu
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 Ай бұрын
HIKI CHUMAAA NOMAAAAA❤❤❤
@KatelelaKibondo
@KatelelaKibondo Ай бұрын
Asante mama nakupa mauayako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤I❤❤❤❤❤❤❤❤
@emmanuelelam555
@emmanuelelam555 Ай бұрын
Iringa mitano tena namaua Yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@stanleymanya438
@stanleymanya438 Ай бұрын
Mungu akubariki mama
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Upo sawa kabisa smart mama
@FredrickKagusa-wt9bw
@FredrickKagusa-wt9bw Ай бұрын
safi sana mama kwa kuliona hilo
@rqiyaabdallah840
@rqiyaabdallah840 Ай бұрын
Uposahihi kadisa
@EdwinMhaiki
@EdwinMhaiki Ай бұрын
We mbunge unafaa Sana mungu akujaalie
@davidpeter8099
@davidpeter8099 Ай бұрын
Hivi huyu kigwangara ni mwanaume au ni upinde wenye cheo cha uwaziri
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 9 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 9 МЛН
Der Corona-Schock - eine Pandemie und die Folgen | maybrit illner vom 27. Juni 2024
1:00:41
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 9 МЛН