Рет қаралды 603
Tazama shangwe la mashabiki wa Yanga, tawi la Chamazi Center, Dar es Salaam ikiwa ni shamrashamra za kuelekea #WikiYaMwananchi ambayo kilele chake ni Agosti 4.
Shabiki nguli wa timu hiyo, Mzee Mpili amewatuma kazi wale ambao watakwenda Benjamin Mkapa kwenye #SimbaDay.
#YangaSC #Yanga