Mwaipopo mfedhuli jamani ah!! Ana majibu ya nyaaah YAANI!!
@user-tr9qx4wb4s11 ай бұрын
Mwaipopo kaongelea point mzuri Tu nakuona unatoa porojo Tu. Jibu hizi hoja sio maneno
@rahimomary766311 ай бұрын
Alichokisema mwaipopo vyote vina mantikii shida ya mwaipopo kuliweka hadharani mapungufu ya bakwata hadharani Shida hamtakii kuambiwa ukweli
@musaamini4012 күн бұрын
Sawa unavosema kuhusu mwaipopo mbona nawewe unakosea km nawewe ungemuita ukamwambia pembeni Sio kwenye midia nasioni kosa lake masheik wapate nyumba na mishahara
@user-xm7rj8bb2u11 ай бұрын
Shekhe Mwaipopo yuko sawa hawa wengine kuanzia ngazi za juu ni unafiki tu ndiyo imetawala kwa unafiki wenu huo msipo badilika mtakuja kujuta mbele ya Mwenyezi Mungu subhaanahu wataala siku ya qiyama
@msowamhokole771411 ай бұрын
Ivi nyie waislam mnagombana vipi mnaweza kuwashawishi vipi mtu single kwenye dini yenu naona Kama wauni
@harunmanura790011 ай бұрын
Waganga wamekosana nini sijuwi maana ninapatwa mashaka na hao Waganga,,mfumo wa hdl umeleta taharuki kwa Waganga hao
@mwawekomiuda97793 ай бұрын
Mbona mwaipopo yako sahihi tu. Namsìkiliza mara nyingi ameongea fact !
@nasraabdallah11 ай бұрын
Wewe umesha ungana na kabeke nini 😂😂😂
@user-px8jb9lb4d11 ай бұрын
Tangazeni Dini na acheni Majungu Hii ni Dunia
@user-tr9qx4wb4s11 ай бұрын
Kama wewe sie msemaji WA bakwata unatoaje kauli za chuki. Toa ufafanuzi juu ya hizi Mali za waislam zinatumikaje? Kama wewe ni kweli unaitakia kheri uislam jibu hoja wacha porojo
@RamadanPaul11 ай бұрын
Huu sasa ubaguzi, mwaipopo yupo sahihi kabisa, hapa m naona kama mnambagua,,
@rashidnganga873011 ай бұрын
Kweli mwaipopo yuko sahihi bakwata mnafeli
@nasraabdallah11 ай бұрын
Hhhh mmeshaibiana nini?
@user-tr9qx4wb4s11 ай бұрын
Mbona sharifu majini huonekani msomi unaonekana mjuba tu
@hijahamadi579311 ай бұрын
PUUUUUUM, USHUZI HUNA LA KUONGEA
@shabanimbanachi833311 ай бұрын
Acheni kupiga kelele fanyeni kazi ya mwenyez mungu lakin kiukweli BAKWATA wanazingua
@OmarySaid-xh7ke11 ай бұрын
Mwaipopo yk sawa hy ni mawazo yk na niukweli mtupu ana uchungu na waislam ndio mn anaongelea Mali za waislam
Mjibu Kwa hoja, Mbona jamaa anaweka wazi tuu, Kama nyumba zipo ww njoo utuambie nyumba zipo Kama gari zipo tuambie gari zipo Kama mishahara inalilwa wewe sema kua mishahara inalipwa
@user-zs7eq8up5s7 ай бұрын
Mwaipopo..hussein msopa majini..sulee.mazinge..masharifu fake woooote wapigaji tu matapeli
@m.othman86611 ай бұрын
Hawa woote kazi yao moja tu.. Wasitusumbuwe...
@HassanHassan-si2rt11 ай бұрын
Mjibuni Kwa hoja, Mbona hujibu Kwa hoja ww
@abubakarmustwafa-lg8fe11 ай бұрын
Hivi huwa ninyi ni wehu?!!Mbona mnahangaika kama kuku wanaotaka kutaga?!Hamna kazi za kufanya?!
@Fear_Allah39411 ай бұрын
Mm nimemsoma Mwaipopo kupitia channel yake tuwe na tahadhari nae sana. Inaonekana anauroho sana wa mali/madaraka na nafs yake hawezi kujizuia kuona wenziwe wanamaendeleo. Na inaezekana……… kusilimu akaacha mali mana anasahau km Mtume wetu Muhammad s.a.w alikua masikini na ndio kiongozi wetu sote waisilam! Yy anauza dawa atueleze wangapi kawasaidia bure au kawasaidia kwa mujibu wa uwezo wao??? Anapenda sana fitna! Allah amuongoze yy na sisi sote, amiin.
@user-zs7eq8up5s7 ай бұрын
Af uganga wenyew hajui anachukua dawa sehem flan af anauzia jina lake
@muniraally409111 ай бұрын
Mwaipopo mfedhuli jamani ah!! Ana majibu ya nyaaah YAANI!!