#QiblateinOnline #Kassimafuta #maulidnabi #maulidnabimuhammadsaw Follow Us On: INSTAGRAM: / qiblatein_onlinetv FACEBOOK; www.facebook.c... KZbin; / @qiblatainonline
Пікірлер: 181
@yusuphhamisi5045 ай бұрын
الله amuhifadhi shekh kassim mafuta ametufundisha kheri nyingi sanaaa
@musr9312 ай бұрын
Shekh Kassim ana kazi nyingi za kufanya, hawezi kumjibu kila Khurafi na Hizbi. Halafu hizo ndevu usizinyoe brother!
@khamismwande83307 ай бұрын
Elimu, Elimu, Elimu..... Nawaelewa sana Kwa jinsi ambavyo mwajenga hoja ki elimu, mdahalo ni muhimu asikimbie
@AbdulhamiidKalumuna8 күн бұрын
Sheikh kasim Mafuta Allah amuhifadhi
@Saaid-yv6bg8 ай бұрын
MAASHA ALLAH TUNAKUSIKILIZA TUKIWA SOUTH AFRICA CAPE
@abuukauthar5258 ай бұрын
shekh wee mwanaume usinyoe ndevu
@ramadhanitwahili68378 ай бұрын
kwani ndevu ndio uwanaume nawe ivi izo ndevu unazani mitume walikua wanafuga tu ovyo ovyo ndevu chafu au walikua wanafuga kwa unazifu sio sisi tulivyo sasa.
@khaalidcheo53838 ай бұрын
@@ramadhanitwahili6837wee kasome
@SugowFarah-up3db8 ай бұрын
Kwahivyo ndio anyoe?@@ramadhanitwahili6837
@user-bo1ew3xq6w8 ай бұрын
Kwani unatamani wanaume wenzako kwa kuvipenda videvu vyao mawahabi wenzenu saudia wote wananyoa ndevu mbona hutumi onyo kule uone kama hujarambishwa mchanga.
@SugowFarah-up3db8 ай бұрын
@@user-bo1ew3xq6w hii ndio akili ya makhurafi wote. Hoja zao sio za kielimu abadan. Mwanaume mzima anakwambia "Ikiwa saudia wananyoa ndevu na sisi pia tuwacheni tunyoe" hivo ndivo hujibu
@khamismwande83307 ай бұрын
Wanaume wanazungumzia barazani, aandae mazingira tuu Ili tupate faida Inshaa Allah
@AbdulRahim-l8qАй бұрын
Akasome kwanza huyu sheikh sana maana wanatafuta kiki kwa sheikh Abu fadhwil kasim mafuta
@user-ue5ek3vu6w7 ай бұрын
Kwanza kwenye salami hakuna neno taala ,jifunze kutoa salam
@seifsalum30187 ай бұрын
Kusalimia tupu hajui, ataanzaj elewa adith za mtume
@mjaaliakhalfan90307 ай бұрын
قال الله تعالى(الذين يجادلون في ءايات الله بغير سلطان أتهم كبر مقتا عند الله وعند الذين آمنوا كذلك يطبع الله على كل قلب متكبر جبار)
@bagalucha7 ай бұрын
Hawa wengine hata sijui wanataka nini,YaAllah tuepushe na shari,utuongoze katika kila la heri
@user-hk6sg3zj4q7 ай бұрын
Mtu mwenye anaonekana muhuni,,, huna baya!! Allah akuongoze
@nasirhamadi80277 ай бұрын
Sasa mzushi kwani lazma mutaje shekh kasim mafuta kwani hakuna mashekh wengine wanaosoma maulid acheni kutafuta kiki Allah ajaalie wala asikujibu homa wew
@user-bo1ew3xq6w8 ай бұрын
Sheikh nimekukubali hata kabla sijakuckia allah awape umri mujahid wa ahlul suna wajamaat tul twarika allah awape umri mrefu zigogo zetu tuta zidi kumswalia mtume kwa wingi.
@saidimkwinzu91068 ай бұрын
Twarika hawawez kua watu wa sunna ni watu wa bidaa
@omarymakange84498 ай бұрын
@@saidimkwinzu9106 Sunna mnayo mawahabi wazee wa tawhid 3, hata mwaona aibu kutangaza itikadi yenu mwabaki kupingapinga msiyoyajua.. Allah atuepushe na uwahabi
@user-bo1ew3xq6w8 ай бұрын
@@saidimkwinzu9106 toa dalili kwa qur ani.pili nitolee kwa qur ani wapi imeandikwa watu wamgawanye allah mara tatu mungu wa rububi na wa ulihia na wa majina mengi ukinitolea hio aya mimi nanunua makasi ya kukata kanzu za watu kama nyie.na kama nyinyi ndio watu wasunna wapi imeandikwa muwe munawauwa waislamu ambao sio itikadi yenu.
@saidimkwinzu91068 ай бұрын
@@omarymakange8449 itikadi yetu tunaitangaza vzr TU na Iko sahihi kabisa soma surat Maryam Aya 65 ndo ipo tauheed tatu sio nyie mnaopinga majina ya Allah na sifa zake zilizothibiti ndani ya Qur,an na sunna Kiufupi masufi mnampinga Allah
@abuurayaan39028 ай бұрын
@@omarymakange8449 Kama tunaona haya wewe yamekufikia vp kama sio tabia ya kinafik
@omarymakange84498 ай бұрын
Mawahabi kwakweli hawako katika dini ima kwa kujua au kutokujua..
@saidsaid-oj6qx8 ай бұрын
Kwani hao masufi ndo wapo kwenye dini ?na kunyowa ndevu nisawa hilo ?
@omarymakange84498 ай бұрын
@@saidsaid-oj6qx 😂😂 dah ukiwa wahabi ni mtihani sana.. Watu hata itikadi zao hawafundishi sababu wanajua zimeoza sana, kwahiyo wamebaki kupingapinga na kuharibu dini ya Allah.. Allah atuepushe na uwahabi
@user-fq3gs2jx8h8 ай бұрын
Amina mungu atuepeshi na mawahabi😂😂😂😂😂
@user-es1mf9xc9f6 ай бұрын
Kasome wewe kwanza hayo maswali yako hayana mwelekeo sheikh na niwie radhi kama ntakuwa nimekukosea elimu yako ni ndogo sanaaa yani mnoo
@mbarakahatibu32967 ай бұрын
Ukimtazam tu unaona shekh mhuni na muoga muoga.
@JabirBakar-ys8dw8 ай бұрын
hawezi kubali
@W.Engineer1258 ай бұрын
Ameshapata laana za masheikh waliotangulia kwa kuwakosea adabu kwaio anakua kama majnuun
@user-yf4yf8ov6h7 ай бұрын
Ebu kaji fundishe Kwanza usuluubu wadaawa ww mbona namisingi ya ruddy achakupoteza mudaa hahah
@yohana12428 ай бұрын
Dr sule na masheh wenziwe wanaupigania uislam hawa wanagombana wao kwa wao mutihani wallah
@jamallymohammad9297 ай бұрын
Salam yako tu inamakosa ss huko mbele tutakuelewa vp kingn wanaum hawanyoi ndevu
@NurdiniShabani-ut4rv7 ай бұрын
Toa dalili acha kutukana hovyo au ndo Sunna ulizogundishwa.
@abbakariathumani91417 ай бұрын
Mbona maneno mengi kiswahili
@NurdiniShabani-ut4rv7 ай бұрын
We wajua kuongea kiarabu kingi ndo elimu? Ama nimekuelew vbaya
@user-rc9dr7pm3o5 ай бұрын
Kwani utofauti wa mwanaume na mwanamke nindevu? Ndoulielewa ivyo muache shekhe amfunze uyo mafuta😂😂😂😂
@user-xv2ey8wv7u7 ай бұрын
Unanyoa ndevu unataka mume
@user-gh2su5fb1k7 ай бұрын
Fuga na mavuzi bc
@abuushakiraddausiy86668 ай бұрын
Mwanaume umenyoa ndevuu hiviii wàhisi Nini mwanaume kunyoa ndevuu alafu bila aibuu waongea kwenye midya!??
@omarymakange84498 ай бұрын
Utaingia peponi kwasababu una ndevu..!!?? 😂
@user-wu7tz1pq8y6 ай бұрын
Kwani kunyoa ndevundio waislamu aunisuna
@nasirhamadi80277 ай бұрын
Kumbe ili jishekhe halina kitu nenda kasome uko raddi nikatika daawa na nani alietukanwa na uyo unaemsemea wew barahiyani ni kama wew sio wahabii
@user-jw3xu9qy7w7 ай бұрын
Hii njia ya mjadala ndio mwiba wa mawahabi kwakuwa Hawa hawatumii elimu wanatumia hila tu kupotosha wasiojuwa dini au wasiojuwa kuwa hili ni pote la kiyahudi
@HassanSalim-hl8qs8 ай бұрын
Wewe tujibu ndevu umepeleka wapi?
@user-zr2pn5uv8b8 ай бұрын
Anadhalura
@asmanomar82207 ай бұрын
Kwni n wajib au
@ABUUAMINAABDALLAH7 ай бұрын
Dogo kwa elimu bado sana kasome uitambue haki
@abuurayaan39028 ай бұрын
Jibu hoja kwanza mbona hoja mwazikimbia Na kama mwataka mjadala mbona Hamtumi Barua munazungumza tu mitandaoni kutafuta umaarufu na wafuasi
@pilabiliani93948 ай бұрын
Kumbe sheikh mwenyewe Hana hata ndevu hahahaha wewe mwanaume usinyoe ndevu
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Huna akili unafikir kila mtu ana asili ya ndevu nyingi mwehu wee ushoga umewajaa kujifanya kufata fata mkumbo
@kombomakame95417 ай бұрын
Kwa kuwa Hana ndevu ndio SI Mwanamme? Mpe dada Yako uone kama ni Mwanamme au ni Mwanamke.
@ameirameir43498 ай бұрын
Wanakubari au wanakubali
@rahimaabdillahi62877 ай бұрын
Kwan mpaka mukutane au mwataka kuja kufanya fujo kama mohd bachu ww jibu hapohapo kama hivyo tulieni walahi hii njia ni mzur natunafaidikanayo na mtu anaongea kwa uhuru na aman inakuwepo wallah nikher kubwa jibuni maneno au elimu namnahiyo allah atuongoze ktk haki
@kugotwa0048 ай бұрын
TOKEA MIAKA IYOOOO BADO MWAJIBISHANA NA KASIM MAFUTA SI MNIACHIE MIMI YULE MWEHU
@selemanijafari92258 ай бұрын
Kua na adabu
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Kasim mafuta ni mwehu wa taifa zima la tanzania
@burhaanmamboleo35517 ай бұрын
Kugotwaa😂
@abuushaymaajuma12118 ай бұрын
Kidevu kama asha
@jumafaki28918 ай бұрын
Ndivo utavo kua siku ya kiama watu wote hawatakua na ndevu isipokua watu wawili tu nabii Adam na nabii mussa hata wewe unae mwambia mwinzio kaka kama asha nawe itakua huna ndevu sijui utasemaje siku hiyo au utapandwa na hasira
@omarymakange84498 ай бұрын
Dini ya mawahabi ni ndevu tu 😂
@user-kq8lk1cx8g8 ай бұрын
Mbonaa wamfananiza mume na mke. Kisaa kaacha sunnah...ww salafi gani????
@Bamvita-mr4eb7 ай бұрын
Wazungumzaji wengine tusipo kuwa na subra na kufikiri vizuri watatutia dhambini jamani
@saidramadhan45168 ай бұрын
Masheeeheeeee acheniiiiii hiiizooooooo mnatuchoshaaaaa kwa kweeeliiiiiii
@mdoekibai50637 ай бұрын
Huyo siokaka nijidada2 mpuuzi mkubwa huyo ndoman anaitwa mafuta
@SharifuKombo-rb6vk2 ай бұрын
Jmn tunaipelekawap din mbn mnatukanana ndevu cy uchamungu wala mtu hatoingya pepon kwandevu jmn
@samsonhamery38098 ай бұрын
Kumbe ninyi Waislamu mwapingana ninyi wenyewe juu ya Dini yenu, halafu mwawataka Wakristo wasilimu je hapo watajiunga na Kundi lipi miongoni mwenu Waislamu? Embu pataneni wenyewe kwanza.
@abuubakarihussein26647 ай бұрын
Hata Salam hujuwi itakuwaje hoja za kielim
@ABDULLAOALI8 ай бұрын
Kz ipo !! Allah ndo akaweka Dooms Day! Ili abainishe nan walikuwa sw!!
@MuhammadHassan-xp6dc8 ай бұрын
watu wengine mwatafuta matatizo hivi wamjua mafuta vizuri ww utakula radi mpaka utafute njia ya kutokea.
@abubakarhussein21868 ай бұрын
Ww ndo unamuogopa mafuta lakin hana lolote zaid ya upotoshaji tuu
@user-nv7jg6xc8l8 ай бұрын
Mimi nnavyomuona mafuta ni katika wale aliowasema ALLAH kua wameiuza akhera yao kwa thamani ndogo ya dunia. Mafuta yupo kazini kwa ajili ya fitna
@saba-gv3mj8 ай бұрын
Usiomjua mafuta ww hana ilimu mafuta kama ww
@ShurayfuHamis8 ай бұрын
Mafuta mwanafunz mdogo sana arud tamta kusoma
@abubakarymaulidy56818 ай бұрын
Mafuta si mropokaji tu
@nasirhamadi80277 ай бұрын
Sasa apo unauliza maswali au unajibu mbona me cjakuelewa?
@Kekulebenzene8 ай бұрын
Watu wa bidaa kutwa kuipigania maulid wakati huo huo ni washirikina, sunnah karibu zote hawana mpango nazo, wengi wao hata swala na mambo ya wajibu yanawashinda, ukienda kuangalia familia zao ndio hazina dini kabisa kiasi hata wake zao kuvaa stara kunawashinda.
@ayubually59338 ай бұрын
Ushirikina unajua?
@HemedSerious8 ай бұрын
Kwani nynyi si watu bdaa? Tuanze hapo km ww ni kidume
@user-bo1ew3xq6w8 ай бұрын
Kwanza nyie mawahabi nani asie wajua mnapiga kelele inje kwa manyumba yenu mumekaliwa na wake zenu hamna say kabisaa huku mnangangana kutangaza ahirki za rububia na ulihia ambazo allah ahajazifundisha na mtume wake.
@yusuphhamisi5045 ай бұрын
Allah azidi kuwapa nguvu mashekh waziweke wazi bidaa unajua mgonjwa akilia sindano imeingia Kiukweli wazushi wamechanganyikiwa now
@saidsaid-oj6qx8 ай бұрын
Mbona mnaweka picha za watu wengine na unao wasema niwengine? Kwani hii ndo dini inaseme hivo
@user-op9fx3by1k6 ай бұрын
Unataka umaarufu
@abuushakiraddausiy86668 ай бұрын
Kavae vazii la kiume la muonekano wako....mwanaume umenyoa ndevuu mabidaa mpaka kwenye salam!;;!!
Kasimu Mafuta hatoki kwenye hizo hoja kudadadeki 😎😎
@abuumuhammad71338 ай бұрын
Kassim Mafuta ana Elmu kubwa wewe utamfananisha na huyo ng'ombe mwenzenu?
@KASSIMFUNDSIMU8 ай бұрын
Kudadeki kwa watu wa bidaa ni sunna
@mohamediddi51266 ай бұрын
@@abuumuhammad7133Subhannallah. Allah atuongoze ndugu, kuwa na kiasi kuchunga ndimi zetu sio kumwambia mwenzio hivyo ndugu. Unamfanya mwenzio kama mnyama ni uislamu gani huo tulonao sasa.
@abuumuhammad71336 ай бұрын
@@mohamediddi5126 soma dini vizuri ndio utajuwa ubaya wa bidaa na machukizo makubwa ya kuzua katika dini aluvyokuwa anachukia Mtume Muhammad Sala na Salaam zimfikie, hivyo ni haki yake hilo jina
@ABUUJAAFAR928 ай бұрын
Kumradd au kumtukana ? Kuwa mkweli shee
@lukumanisharifu8 ай бұрын
Munatumalizia mb yote hii ni ya Muchele
@Yanikmanzi8 ай бұрын
Qoran nimekuja njia zakurad
@saidkhamisi95928 ай бұрын
Huyu anachotetea kitu gani ? Naona anabwabwaja tu
@HemedSerious8 ай бұрын
Ww huelewi Kwa sababu ni mwehu
@UB40X18 ай бұрын
Wewe na masheikh ni wapuuzi tu
@SalimuMajenga21 күн бұрын
Anatafuta Kiki huyu jamaa wewe nisawa na mm
@user-op9fx3by1k6 ай бұрын
Wewe Unataka followers wewe unachokiongea Hakina mashiko ya kielim
@muhammadnassibu77068 ай бұрын
Nyie masufi mnajitapa mnajua sana lugha!! Sheikhul Islam ametumia neno " قد يفعله بعض الناس" swali neno "قد" likija kwenye mudhwari'i linakuwa linafidisha nn??
@asmanomar82207 ай бұрын
Duh! Inaonekana ata hujui lugha soma ww mwanzo
@abudardaiasaa77008 ай бұрын
Sheikh ww Kwan wazungumza nin halafu mbn hufundishi kitu ukaelekez kiengine. Lakn acha kuropoka kijan mkosoe shikh qssim kielimu. Ama kwa mm Apo ata bad na hao wanafunz wako naona hujawawek kwenye pwent ya kushik. Kassm mafuta katufundish mengi Allah amuhifadh nenda kasome kwanz halafu uje Tena unfundishe kasim mafuta
@omarymakange84498 ай бұрын
Hivi mawahabi ili mtu awe kazungumza kielimu ndo inabidi azungumzeje..?? mana kila mkiletewa elimu munaikataa, ukweli mchungu ni kwamba hamna itikadi zaid ya ushirikina wazee wa tawhid 3, munapinga hata ya kweli na wazi.. Allah atuepushe na tawhid 3 yaani mawahabi
@mohdkhamis2577 ай бұрын
Wewe ni jumla waliopuuzwa
@ABUUAMINAABDALLAH7 ай бұрын
Huna kitu fuga ndevu kuwa rijali dogo
@asmanomar82207 ай бұрын
Vaa kanzu y mdogo wako
@ABUUAMINAABDALLAH7 ай бұрын
@@asmanomar8220 huna elimu mzushi wewe acha kupelekwa kama mke muolewaji mfuate mtume kwa yale aliokuja nayo kwa haki ya Qur'an na hadith sio akili zenu wazushi
@ABUUAMINAABDALLAH7 ай бұрын
@@asmanomar8220 huna elimu kakojoe ukalale njoo darasani usome
@user-ki5tv8ju7z8 ай бұрын
usitoe maelezo tupe maandiko
@ayubually59338 ай бұрын
Mwambie shehe mafuta aje tunamsubiria
@user-ki5tv8ju7z8 ай бұрын
usifate mkumbo
@abuushakiraddausiy86667 ай бұрын
Jammani hata haya majaahili mwawapa midia?!??muone kidevuu kama kiaz;!! Kaendelee kuvuta bangituu wajilalamishatuu hapo !!!!! Haya kama ni kakako!!!!??toa hoja..
@Yanikmanzi8 ай бұрын
Shekh qasim wapi amesema wapi pich ni haram
@Dr-ubaida9657 ай бұрын
Kwani haeki picha
@user-jw3xu9qy7w7 ай бұрын
Uwahabi ni dili sio dini mukiwaita kwny mjadala lazima wakimbie hawana vyombo vya niqashi wanataka wakae wenyewe kupotosha wasiowafahamu ili kazi yao ya kupiga pesa kutoka kwa mayahudi ifanikiwe
@jamalishoo38028 ай бұрын
Kasimu mafuta ni kichwa koko hajielewi
@ZubedaRaajab8 ай бұрын
mche Allah kwa maneno yako ambayo Allah atakuja kukuuliza juu ya ulivyomuita Huyu Sheikh kisha ushindwe kumjibu. Haya maneno kamwambie live ikiwa kama kweli we ni mkweli.
@abbakariathumani91417 ай бұрын
Wewe unataka kuvuliwa nguo 👗 ndugu yangu subiri
@hilalkhalfan14528 ай бұрын
MAWAHABI WAOGA KAMA MBWA KOKO. HAWATHUBUTU MNAQASHA. WAO WAONGEE CHUMBANI KWAO TU KAMA WANAMSUBIRIA BWANA WAO AINGIE
@khalfanmasoud15148 ай бұрын
Uso kwa uso hawawezi kwa kumfata mtu au mjadala wa kielimu au mezani lazima wakimbie mafuta wengi walimwita alikimbia anabaki porini na speaker na internet kuchafua na kutukana watu tu
Kwani Si Wanafunzi Wenzake Mwalimu Mmoja Kwahio Saizi Yake Angekua Anamtaka Sheikh Mbona Kasubir Afe Ndio Apige Kelele Chuma Kati Yuko Hai Alikua Kaijifuchia Mafuta Acheni Mwambie Atowe Rukhsa Watu Waje Hapo Sio Porojo tu
@hafidhseif16868 ай бұрын
Kwani Si Wanafunzi Wenzake Mwalimu Mmoja Kwahio Saizi Yake Angekua Anamtaka Sheikh Mbona Kasubir Afe Ndio Apige Kelele Chuma Kati Yuko Hai Alikua Kaijifuchia Mafuta Acheni Mwambie Atowe Rukhsa Watu Waje Hapo Sio Porojo tu
@JabirHaji-vj2nf8 ай бұрын
Acha uongo wewe bichwa kama mbwa koko huna lolote raubidhwaa weweww
@ayubually59338 ай бұрын
acha matusi njoo utoe hoja
@pavillioncry52418 ай бұрын
Ndevu zikowapi toka apa
@ayubually59338 ай бұрын
Mbona ww huingii msikitini na viatu au unajua ndevu
@HemedSerious8 ай бұрын
Wewe mbumbumbu mwehu watu wote wamejaaliwa ndevu
@ayubually59338 ай бұрын
shehe kama upo vzr kwahoja nikualike sehem tuzungumzie mambo ya kielimu tena kwa garama zangu upo tayari??
@fredquinbi23897 ай бұрын
Ujinga ujinga
@user-fz9dq5kx1d7 ай бұрын
Kwan Kassim mafuta ni nani mbona kama watisha watu kutokamana na huyo Kassim mafuta
@Yanikmanzi8 ай бұрын
Alafu wanajidai wanampenda mtume
@lukumanisharifu8 ай бұрын
Munatumalizia mb yote hii ni ya Muchele
@user-ki5tv8ju7z8 ай бұрын
usitoe maelezo tupe maandiko
@hafidhseif16868 ай бұрын
Mwambie Mafuta Atowe Rukhsa Watu Aache Tabia Za Kurusha Maneno Pembeni Hahaha
@hilalkhalfan14528 ай бұрын
MAANDIKO YA HUO MJADALA ALIOUOMBA AU?
@ayubually59338 ай бұрын
We njoo na mafua utakuta maandiko
@HemedSerious8 ай бұрын
Maandiko ya nn unayotaka hapo we mbumbumbu?
@HemedSerious8 ай бұрын
@@hilalkhalfan1452huyo naona ni mgonjwa wa akili ndugu maana ata mm cjafaham anataka maandiko ya nn apo