#kenya #kenyadigitalnews #ktnnews DOCTA ALIE SHIRIKI OPARATION YA MAIKO AFIKA MSIBANI, AELEZA DK ZA MWISHO ZA MARCO
Пікірлер: 177
@user-jk1ve1iv5l17 күн бұрын
Mungu alimpa Markos muda wa kuzima gari. Malaika aliwalinda . Kama alikuwa anaendesha ngari na akaweza kulizima, Mungu anapenda familia yake. Angefanya accident na kufa jamii nzima. Lakini Mungu alimpa neema marehemu Markos kuzima gari. Ingekuwa huzuni kubwa kupiteza jamii nzima. Tushukuru Mungu kwa huu muujiza . Wa Markos kuzima gari. Kweli alikuwa na maumivu tele. Pumzika kwa amani kaka yetu.Asante daktari kwa kueleza vizuri.Asante kwa kazi zuri. Maisha yetu iko mikinoni mwa Mungu.
@deborahmgedzi63218 күн бұрын
Asante kwa kazi njema kujaribu kuokoa maisha ya Marcus. Acheni maneno ya wasiojua kitu. Endelea na kazi ya kutusaidia. Mungu Baba Mwenyezi Awatunze na kuwapa hekima zaidi.
@leonardyona146218 күн бұрын
Prof, nakushauri ungeingia kwenye siasa tu naona huku unapawezea vizuri sana..
@pili475818 күн бұрын
Waaah marco alipitia magumu kwel mungu ailaze roho yake pema peponi
@JacquelineKinyonge10 күн бұрын
Siku ikifika imefika, Mungu awabariki madaktar kwa kupambania maisha ya kaka marco, rest in peace bro
@lulu-xt5gs17 күн бұрын
This explanation was heartfelt, thank you. Now rest easy Marco.
@shicjeanpierre6852Күн бұрын
Vraiment nous sommes touchés par la mort de Marc car il était l'un de meilleurs chantre de zabron singers et je l'aimait beaucoup jusqu'à maintenant. Quand je commence suivre les chansons sur KZbin, immédiatement je suis stupéfait de sa mort.😢 nous disons mercie à Dieu, car son amour est grand pour nous, il a aimé Marc plus-que nous. Asante sana.
@herrybethnziku16 күн бұрын
Telling how possible became impossible... Let's worship God our creater. he can make impossible into possible 🙏🙏🙏🙏
@machakuroger706817 күн бұрын
Mwendo ameumaliza, imani ameilinda, Mungu akimuhitaji mja wake humtwaa kwa wakati wake, RIEP mtumishi wa Mungu
@simonkaaya12205 күн бұрын
Hongereni Sanaa Madaktari kwa kazi nzuri ya kuokoa maisha ya Watanzania.
@Marryjohn-t2s11 күн бұрын
Ikumbukwe Dunia sio yetu jamani tumshukuruni tu Mungu jamani ndugu mke mzazi Mungu awape imani na uvumilivu
@tuyamargret26372 күн бұрын
RiP Marcos, ur gospel shall remain in our hearts forever, till we meet n may u receive eternity n the Lord forgive all ur sins
@holydaykitomary929816 күн бұрын
Asante sana Professor nimepata historia nakujifunza kitu.
@stn487313 күн бұрын
Hii kitu ndio ambayo ilikua inamsumbua Uncle pia, sema hatujaelezwa tu.
@jonaskabe954916 күн бұрын
Bado hatujakuelewa mwanzo maelezo yako ukiwa muhimbili ulieleza kupona ni 50/50 leo unaeleza kupona ni asilimia 87/13 we uonini kama mmemuua Bora mngemuacha afe kwa siku zake.
@jeremiahkituku425518 күн бұрын
Mara nyingi huku Kenya hakuna maelezo kama hayo
@stn487313 күн бұрын
Huko kuna tear gas tu.
@JobnManase-gh2fp18 күн бұрын
Poleni sana ,Dr Nyangasa my teacher,Pole zabrons
@teddymutani85618 күн бұрын
Daah maelezo haya yameniumiza sana
@MariamSekwao4 күн бұрын
Mimi pia yani mgonjwa anaambiwa kuna kupona na kuna kufa
@AchiengMakunge-vr4scКүн бұрын
Eejamani niuchungu Sana Nawombea mungu awasaidiye
@neemasiwakwi652817 күн бұрын
Mungu awabariki madkitari, mengine tumwachiye Mungu ndiye anayejua hatima ya Kila mtu
@marylema893716 күн бұрын
My God……..doctors salute kiukwelii hata kusikiliza tu inataka moyo Mungu awasaidi kazi yenu ningumu mimi sayansi ilinishinda ikifika kipindi cha kuingia mahabara tu kichwa kinaniumaa na nikafika mahali nikasema jmn mimi team arts adi leo am business woman by profession kwahiyo kwakweli kazi yenu ni ngumu mpewe tu maua yenu mkipambana hata kwa maelezo tuu inaonekana jinsi mlivyotamani kuokoa maisha yake lkn pia Mungu aliona shida itakayomkuta akimwacha hai hivyo akaona mtoto wake apumuzike let him rest in peace kazi ya Mungu haina makosa sisi tuliobaki tutumie ushauri wa doctor tuepuke mengine na Mungu atupe mwisho mwema Ameniii😔
@lusiana47413 күн бұрын
Asante dokta,hio ilikuwa kazi ya Mola ,,pole kwa familia yake kwa jumla.
@peterpatel858216 күн бұрын
God's will..... thanks Dr.
@JimmySon-k5d14 сағат бұрын
May his soul R.I.P ,Poleni sana familia na marafiki.
@dorisondieki549017 күн бұрын
Pongezi madaktari wa Tanzania kwa kazi nzuri, Mungu aliona ikuwe hivyo
@mariakibwana370014 күн бұрын
Mungu amempenda zaidi.Tushukuru Mungu.
@duncanwandati211116 күн бұрын
Ecclesiastes 8:8 "... no one has power over life at the time of his/her death..." May he rest easy. Tutaonana baadaye😭😭😭
@MusaLuke-q6n10 күн бұрын
Pole kwa Familia ya maiko na waimbaji wa zabron kwa kupoteza kijana muimbaji shubavu. Mungu amulaze mahali pema, tutakuna siku moja. Sisi zote ni marehemu watarajiwa.
@abelmabanda540215 күн бұрын
Mungu ailaze mahara pema pasp peponi awe kiongozi wa imani yake
@possiepondie653816 күн бұрын
Udaktar jaman, RIP marco
@Magret-yt8kd17 күн бұрын
Jamani inauma sana poleni sana
@evelinekivuyo971314 күн бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya Madaktari ambao Mungu amewapa kibali cha kuokoa Maisha ya Marcus.Mungu ampumzishe kwa Amani 🙏
@TumainiMapoma14 күн бұрын
Dah madktari mungu awatunze sana
@user-li4ce3ge3dКүн бұрын
Mungu ndo anajuwa yote haya😢
@gladyspeter977013 күн бұрын
You really tried your best doctors. Pongezi kwenu. May Marco Rest in peace.
@NeemaCollemans17 күн бұрын
Pumzika kwa amani mungu awe mfariji kwa mke na watoto
@agnestemu838212 күн бұрын
Hiyo hospital ebu ibadilishwe jina
@JoyceRukas5 күн бұрын
Polen sana mungu awatie nguvu
@ColethaJoseph-k3h14 күн бұрын
Madoctor mpewe pongez kwa jitihada zenuu, apangalo mungu mwanadamu hawezi kulipanguaa.
@PaulMutua-b7v18 күн бұрын
Kazi njema daktari, Rest in peace bro Maiko
@JamesSanguyan11 күн бұрын
I'm so excited
@mukatukundorosine174515 күн бұрын
Poleni wa ndugu zetu nasi watu warwanda tunauzi kwa kupoteza muimbaji Marc kiriyo kubwa kwa kanisa
@blandinamwarabu50258 күн бұрын
Tumshukuru Mungu kwa mapenzi yake
@EsendiMizlet-e9x3 күн бұрын
Mliua maraco nyinyi pia mtakufa tu ata prezo hufa 😢😢😢😢😢😢
@LeahFabian12 күн бұрын
,mungu awatie. ,nguvu poren wana. ,famiillia
@MariamSekwao4 күн бұрын
Kumbe mlimwambia mgonjwa ukweli yani daah mngewaambia ukweli ndugu zake
@mwitajoseph500311 күн бұрын
Prof kwa maelezo uliyoyatoa Napenda kukushkr kwa kupambania afya ya marco
@teddymutani85618 күн бұрын
Kifo ni mipango ya Mungu mngempeleka tu jamn maana Mungu ndo anajua siku zetu
@happykaaya7564 күн бұрын
Pumzika kwa amani Marcus
@benjaminsanare-ug6ge14 күн бұрын
Duuh!aya mambo yanatisha kwakweli😭😭
@joycekaganga692418 күн бұрын
Basi tena dokta jitihada mlifanya kuokoa maisha yake siku zetu za kuishi ni chache zimehesabiwa tunaomba warudishiwe gharama zao iwasaidie watoto
@user-mj6oe7ur7t17 күн бұрын
R. I. P Mtumishi wa Mungu. Pumzika kwa amani.
@AbelaPaulo5 күн бұрын
It is pain
@honorathampemba539213 күн бұрын
RIP MARCUS.Siri za MUNGU hazichunguzi.Hongera madaktari wetu mnajitahidi sana.Saa ikifika hakuna wa kupinga.
@joycekaganga692418 күн бұрын
Mungu awape faraja familia
@leutnatmisana516418 күн бұрын
Poleni Sana! YESU KRISTO awatie nguvu Na ustahimilivu Kwa Neema yake MUNGU BABA
@Tupena-ov7xq17 күн бұрын
Ndugu kuna smell fishy, fanyeni uchunguzi something haika sawa. Kwa nini mmezika haraka mlifanya autopsy
@berneysebastian933714 күн бұрын
Washasema alikua na kidonda kikubwa kifuani ndo mana hakuna haja ya kumchelewesha
@directorabiero34018 күн бұрын
Mungu tujalie mwisho mwema.. hapo angekuwa masikini tyu..... Hapa alikuwa anakufa kabla yakufika hata jakaya
@JoyceJoshua-i6h13 күн бұрын
Kwanini amukureta madacetali kutoka idia
@HELLENSYDNEY-z4j8 күн бұрын
Bwana ametwaa bwana ametoa. Jina lake lihimidiwe Mungu amrehemu Marco zabron
@MusaLuke-q6n10 күн бұрын
Asante madaktari kwa kazi njema mlioifanya kwa maiko, mungu amusitishie maishi muendelee kusaidia engine wengi. Kwa mimi ni na uchungu mwingi 😂 kupoteza maiko aliye kama ndugu, rafiki na muimbaji aliye na kipawa cha uimbaji wa nyimbo za mungu. Musa juma na famia yangu twasema pole kwa Familia na Wana Tanzania kwa kupoteza maiko. Mungu awarehemu, ampe nguvu kwa wakati huu mgumu. Maiko amemaliza safari yake nawe mungu akikuita saa hizi utakuwa wapi?
@user-vl9pl7zb8v8 күн бұрын
😭😭😭
@user-vl9pl7zb8v8 күн бұрын
Sio😂😂
@JenniferOpondoКүн бұрын
Afadhali hangefanyiwa opsresheni lbda angekua hai
@rosemoriasi47649 күн бұрын
😭😭😭😭Rip bro
@brightoesisso15904 күн бұрын
Tumwamin mung kwa kila jamb tunalopitia tusitumie njia zisizofaa kwa ajil ya kutatua shid zetu
@YusuphNyuri18 күн бұрын
Alipta kwenye matesoo sanaa huyu mtumishi ila vita umevipga vema mwendo umemalixa salama lala mdogo wangu mwanga wa bwana ukuangziee milele daima kila nafsi itaonja mauti
@DorcasChesanai7 күн бұрын
Pole waja mola amlaze mahali pema peponi
@JamesSanguyan11 күн бұрын
I feel disappointed 😔😢
@pili475818 күн бұрын
Yote ni mipango ya mungu mungu akipanga mwanadamu hawezi pinga
@FridaDavid-u7w14 күн бұрын
Sorry pili for interaction Mungu hapangi mtu kufa na ndiomaana anatuumba tunakosea sana kusema hivi omba Mungu akurehemu sana yy hataki ss tufe anapenda tuishi milele
@thethirdangelsmessage702518 күн бұрын
Tumrudieni Mungu vinginevyo tutaangamiza maisha ya watu hivyo kutenda kazi ya shetani! Ole ni wa ulimwengu! Shetani anajua ana wakati mchache tu na hivyo anaghadhabu nyingi.
@rammsokunnambi264318 күн бұрын
Rip kaka marko
@penninah682618 күн бұрын
Kenya madaktari n wajeuri.. hawajali
@AnastaciaNjoroge-cl3jz15 күн бұрын
May he rest easy
@rosiemalley239917 күн бұрын
Madaktari walijitahidi sana lkn huyu ibilisi ni mwerevu sana na aliweza kunyakuwa maisha ya Marcus haijalishi alikuwa na hela nyingi za kuweza kumuokoa maisha yake......tumrudishi Mungu sifa Nina imani nafasi yake ya uimbaji itakuwa covered na Marcus mwingine
@rahabnkya827613 күн бұрын
Rip Marcos. Ameen
@duncan615716 күн бұрын
Apa kwetu wagesema walipwe billion kabla kuigia kwa chuba cha upasuaji
@shalinchelandot75116 күн бұрын
Mamangu ako na iyo shida ametumie dawa for long sai tunambiwa anafaa aende oparetion ati mzizi ya moyo aipeleki damu vizuri woi mungu tukumbuke juu sisi tuna uwezo ya pesa nasikia uchungu moyoni vle daktari anaeleza nikikumbuka mamangu😭
@lilianmbwambo304214 күн бұрын
Polen Mungu awasaidie
@mbarikiwambarikiwa647918 күн бұрын
Poleni sn jamani😢😢 ila Madactari walijitahidi sn kwa maelezo tu anayotoa Dr, MUNGU alimpenda zaidi.
@fanuellingson14 күн бұрын
Sector ya afya ni sector haipasw isimamiwe na mtu asiye ijua
@bbclondonulimwenguwasoka612617 күн бұрын
Yn risk ya Operation huko nchi za mbali ni ndege kwenye kuruka na kutua halafu kwetu uwezekano wa kipona ukiwa hospital Kwa ajili ya Operation ni 13% kupona du! tujitafakari sana
@mariakibwana370014 күн бұрын
Kuna maneno yananichanganya hivi ni Aje au Haje,alikuwa na alikua.
@lulu-xt5gs17 күн бұрын
Hungesema kaswende😮
@dariarichard118518 күн бұрын
Udishe hata nusu za pesa jamani
@mariakibwana370014 күн бұрын
Jamani nauliza profesa Janabi kastaafu?
@user-ov8xp3zq9u11 күн бұрын
Waa huwa na dungwa kwa moyo tena uchungu snaa kama sindano
@user-qy6cq9os7e9 күн бұрын
Ni acid
@charitymtuks8119 күн бұрын
Hakukuwa na mgogoro wowote wa familia? Mbona hivi lakini, familia ya Marco ilikuwa bado changa.....imeniua sana, ghafla tu na ikawa hivo!
@JobnManase-gh2fp18 күн бұрын
No siasa kitu gani bana? Watekwe? Tutibuni watanzania hiyo ni karama yetu
@emjohtrader18 күн бұрын
Covi d jab matokeo yake ndo hayo
@felixmuvengei447210 күн бұрын
Kwa kweli prof,umeogea kweli mlijaribu mlioweza lakini maisha yote ni ya Mungu 😢
@kennitohnyash820115 күн бұрын
Tz kueleza mambo mengi
@GeofreySemadinga18 күн бұрын
Dah kweli jaman mmepambana sana atamimi nilifikilia mmezembea kumbe mmepambana zaid yakupambana nafikili mungu amempenda zaid
@FaithMboya-n6y17 күн бұрын
Nashindwa nicene nini,,MUNGU TU TUNAKUSHUKURU KWA UHAI WA MARCOS ,,AMETUBARIKI SANA KIPINDI CHA UHAI WAKE. Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe🙏
@WorldNatureChannelTanzania18 күн бұрын
R.I.P Marcos..
@bintmrisho352617 күн бұрын
Aisee amefariki na kidonda kikubwa sana😢
@virginiakariuki647918 күн бұрын
I wish angetuniwa hapa kwetu Kenya Nairobi hospital.... wooie Marcos. Lala salama mtumiahi wa Mungu. You're now in a better place
@user-wj6zj1ly4e17 күн бұрын
Hv kweli mgonjwa atatoka kenya aje tzania kutibiwa? Poaw kifo ni fumbo lkn matatizo km hayo waachieni madaktari wa nairobi, canada, ubelgiji, china, idia. Ss madocta wetu wanawaza mengi mara biashara mara wake zao
@RamadhaniAbdalha17 күн бұрын
Tumwachie Mungu tuu hakuna namna
@naimawilliam184818 күн бұрын
Kwel kabsa
@ukweli25513 күн бұрын
NITOE TU WITO WATANZANIA TUWE NA TABIA YA KUFANYA CHECK UP!
@GraceNgala-x5i17 күн бұрын
Tuwe pole sote 😭😭
@hildandumbalo582718 күн бұрын
Mmh!
@adeodatuskakorozya906417 күн бұрын
Maiko ndo nani sasa? Kuweni makini na uandishi wenu