Wallaahi nakupenda saanaaa abuu iddy muhammad iddy allaah akupe afya na akulinde na kila uhasidi
@twalibusaidi52814 жыл бұрын
MAASHALLAAH SHEIKH WETU ABUU IDDI ASSALAFIY AL MANHAJIYYA.. SIO HAO SALAFIYU WAPOTOSHAJI. TUNASHUKURU SANA KUTUTOA KWENYE GIZA LA MAHHABI ANSWARISUNNA/SALAFIY WAPOTOSHAJI
@nassorbinfundi11963 жыл бұрын
Allah akuweke Shekh, dnia hailingani kwama saa, kanada kumi namoja yauku kwetu kwao ndio kunakucha, Masha Allah Shekh, nalengo lenu umoja nyie mashe sio kubaguana, hawa,wale, sie, tena sikuizi kuna kina sis zaid, khatari sana hawa watu
@salumkomba76825 жыл бұрын
Swadakta Sheikh... Maradh ya mgonjwa wako ni makubwa sana kwa hiyo ongeza dozi tena atapona tu kwa uwezo wa ALLAH, Inshallah
@user4125 жыл бұрын
Salum Komba hakikaaaa
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Salumu komba Allaha akuweke sana xababu macho na masikio yako wayatumia vema sana
@jumaally42865 жыл бұрын
Masheikh heshimianeni na pendaneni kwa ajili ya Allaah(sw) kuufanya UMMA wa Waislam kushikamana.
@theglobalsociallibertyexpr61505 жыл бұрын
Daaaah Sema , ongeza Sauti kubwa , Shekh Muhammad Iddi , Umefanya kazi Kubwa Saana ya utafiti , Tunyooshe , tudunge Soote masindano makali makali , Nimekufatililia myaka 4 nimekufaulu saaana tena sana Nitakutembelea nikuone ni kusalimie kwa sasa nipo Pakistan , Daarul-Iftaa ya hapa Jamia Ashrafia inakuungamkono tudunge masindano " hata hapa Khutuba za Ijuma zinarekodiwa Na Wale Maulana wenye msimamo mkali wakisiasa wanarekodiwa " Lahore - Pakistan
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Allahumma aaamiin ALLAH akuhifadhi uje kumuona mwamba wetu huyu
@OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын
msituchanganye sisi,,, nurdin kishik ni shekh mzr, kam unampenda mfate mkanye si mitandao, hiz usuda na kijicho... Allah ndo mjuzi.....
@ommarymgeni15365 жыл бұрын
Oman Oman samahn askurupukeeee kutukan wanawazuon kam Shekh yusuph anabahan kumkfursha
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Wew Oman una zungumza nin mbona sijakuelewa Emu nikuulize hivi wawajua masheikh wew ni kina nan na ikiwa wawajua bc kua na adabu huyo sio sheikh bali huyo ni khatwibu wa vetenar tu dar es salaam nzima na atabaki hpo tu lkin hawezi kusimama katika membari za wanaume hata mara moja
@OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын
@@othumanisamata1499 najua mashekh kulik unavyowajua wew,,, ten nafatilia san mawaid yao san,,, hil mt anapoongele kuhus kuelimish si kumtaj shekh fulan,, unapokany au kuony unya kwa kutumia kitabu na suna zake, na kam mt katelez mfate na muambie yey kama yey maan hakun mkamilifu, hivy ndivy mtume alivyofundisha,, si mt unamtangaz na kumkosoa mitandaon..... badiliken... kukosea kup kil kiumb anakosea isipokuw mungu pekeee,,..... Allah kareem...
@OmanOman-gc1zu5 жыл бұрын
namuomb Allah amuwek nurdin kishki, ampe afya na rehem kubwa katik kuitangaz din ya Allah, amnusur na hasad, fitin za dunia 🙏🏻🙏🏻🙏🏻ampe kil itaji la moyo wake in shaa Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻❤️
@othumanisamata14995 жыл бұрын
@@OmanOman-gc1zu Alaaa nashukuru kama umetambua hilo kua kiumbe anakosea Lakin piah tambua na hili makosa yanazidiana alafu makosa mengne ni ya upotoshaji wa umma
@swahilitherapytv38465 жыл бұрын
MADHEBU YA IMAMU SHAFII ALLAH AMRAHAM UNAYAJUA AU WAONGEA TU..!!, UKO MBALI SANA NA IMAMU SHAFII, UNA NYOA NDEVU, UNAVAA ISBALI, MAULID WEWE NI SUFI SIO SHAFII
@MohamedHussein-nr6fs5 жыл бұрын
Inshalaah mungu akipenda eid ijayo tumuone mwanafunzi Mohamed iddi atasemaje tena wewe unakijeli kikubwa sana kwaajili sheikh nurudin kishikish anaalikwa kilasehemu ndiyo unakuwa naye uhasidi muogope Allah Mohamed idi
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Mwanaume wa ilimu shekh abuu iddy
@husseinkakanga33615 жыл бұрын
Uko vizuri sana shekh Iddy unahoja nzito sana hao watapata taabu sana
@tahiyamushi92295 жыл бұрын
Shkh Abu Idd ungekuwa unampenda ungemfuata ofisini kwake ukamwambia.... Hayo yooote
@awadhiyassau35925 жыл бұрын
Kainyooshe famiria yako namisharubu Kama yapaka
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Kumpenda na kufuata ofisin kwake Kuna husiana nin
@othumanisamata14995 жыл бұрын
@@awadhiyassau3592 matusi sio Elimu Sheikh Muhammad idd M/MUNGU akuhifadhi sana kipenz chetu endelea kuwanyoosha hao mpaka wakae sawa
@zulfamohamed45494 жыл бұрын
nikwel kabisa uyo anachuki t na shekh nurdin kish
@mrishokhan2174 жыл бұрын
abuu idi hata ndavu huna?
@abdhulihassan85014 жыл бұрын
Maasha'Allah, hapa vitu vipo vya kunyooka tu si kubahatisha kattu. Kongole sheikh, Mola akupe kheir nyingi na umri mrefu wenye kheir nyingi. Baada kutizama clip ya sheikh wa mkoa akikutaja kwa kejeli ndio nimefika hapa kukuskiza... yaani nashangaa yuakutukana kwa lipi kwa maneno yalo nyooka namna hii? Mashekhe matumbo wana balaa si mchezo.
@hamisally58505 жыл бұрын
Cha msingi ni kukaa chini na kueleweshana kwa hekima na sio kutoleana maneno makali kama hayo kwenye mitandao ya kijamii,
@rashidyahya995 жыл бұрын
Angetumia maneno gani? Yaa ustadh, utwambie we msomi wetu!! Watu wengine karanga BAO!
@dashuusaalim19435 жыл бұрын
hawajui km maadui wa uislaaam ndo wanafraia....ni jmbo la kurekebxhana kwa hekma na mawaidha yalomema....
@selemanimarko24325 жыл бұрын
Kha hivi hi ndo hekma mzee want kwa Nini usimfuate mkakaa chini mkatafutA ukweli Ila wewe ndo umeharibu kuliko kishki
@othumanisamata14995 жыл бұрын
@@selemanimarko2432 Kama huku ni kuaribu basi uharibifu wake ni sahihi sheikh Muhammad idd endelea kuharibu sababu uharibifu wako mzuri
@athumansuphian16164 жыл бұрын
Aaambiwe hapahapa mtandaoni cndipo anapopotoshea anaesema afuatwe kwa siri ungejuaje kama anamapungufu hau nawewe hujielewi
@abuutheymiin54985 жыл бұрын
Kwa tafiti yangu, nimegundua sheikh sharubu elimu yake ni ndogo kinyume na vile wajinga wengi wanavyomdhania kwamba ni msomi wa dini bali huyu sufi mzushi ni jaahil katika dini jambo ambalo humpelekea kuwa na hasadi,chuki na ubishi usio na msingi.... Nitoe mfano sehemu ndogo tu ambayo ameisoma kwenye kitabu alichonukuu UK 554...amesoma kwamba "ويستحب يوم عرفة ".... Kipande hichi huyu sufi amesoma kwamba" wayustahabbu yaumi".... Hapa katika kanuni na msingi wa lugha ya kiarabu Kuna makosa katika fani ya "Nahw"..... Kwa kosa hili la wazi nimegundua kwamba elimu ndogo ni maradhi yenye kuangamiza jamii!. Mche Allah Ewe sheikh sharubu, sufi na mzushi.
@ismailchumu68895 жыл бұрын
Wewe ndio empty mind, hoja uchwara hii
@abuutheymiin54985 жыл бұрын
It seems you don't understand your Islam to the extent that you an unconscious!
@amiduiddy85804 жыл бұрын
Dawa imeingia
@canoksancomprehensivelearn71825 жыл бұрын
Yaani kuanzia Muhammed idi na hao washabiki wake Wote ni watu wa jazba wasio tumia hoja za kielimu Bali jazba, husda na chini tu. Masuala haya idi ni wa juzi tu kayakuta halafu ajiona eti yeye ndiye anajua kuliko akina ibni Taymiya, wanajua kuliko hata kina Shafii na Maliki na kuliko hata maswahaba. Maswahaba hawakuwahi Kuwait's wanaokhitalufiana nao kuwa ni wapotoshaji. Sheikh idi dini ni bahari yabidi akasome. Elimu ndogo ni sumu kwa umma na huleta mfarakano kwa kitu ambacho hata hakimtoi mtu katika dini. Tazama, aliyeswali juzi na aloswali Jana una uhakika kuwa wa juzi amepotea? Una uhakika kama wewe ndio upon sahihi? Ikiwa una jibu la idi basi upo na fikra alizokuwa nazo shetani alipojiona yeye ndiye anajua kuliko hata mungu pale aliposema " Mimi ni bora kuliko huyo (Adam)" kumuita mtu mpotoshaji INA maana yeye" kapotea na anapoteza wengine" kwa wenye kujua hilo muislam aliyepotea ni muovu. Mtume s.a.w hakuwahi kumuita muislam yoyote kuwa ni mpotovu wala maswahaba wala tabiina wala maimanu kwa jambo la jitihada lisilovunja akida ya uislam. Ila wanaoshabikia hapa wamepbwa na chuki na kwa kuwa hawa kazi yao ni ushabiki hawatoi hoja ila kuusapoti huu uovu anaowafanyia mpaka wema waliopita tena wanachuoni wakubwa kubwa waliokhitalifiana juu ya hayo ila hawakutukanana au kukashifiana wala kutoleana maneno kama haya ya kipuuzi yasiyo ya kielimu Bali siyasa na ushabiki. Elimu ni nuru na jazba ni Giza. Masuala haya wanaoyazungumzia humu wanazungumzia kwa jazba tu na hasad n chuki wengi Wao. Masuala ya khilaafiya yalianza tangu wakati wa mtume S.A.W na watu walipofahamu tofauti maana mtume S.A.W kauli zake Nilikuwa zinajumuisha maana mfano alipowaambia "Atakayekuwa anamuamini Allah na Siku ya mwisho asiswali alasiri mpaka kwa banii quraydhwa" wakawa wameelewa maswahaba kwa kukhitalifiana hawa wakaelewa mpaka wafike kwa banii quraydhwa hawa wakaelewa kuwa wajitahidi ili wafike waswalie kule ikiwezekana swala ikiwalutia humo na isipowezekana waswalie njiani waendelee na safari. Makundi mawili yaligawanyika na wengine wakaswali nje kidogo ya wakati kutokana na walivyofahamu na wakawaelekeza watu Wao. Wengine wakaswali kwa wakati na wakaenda pia kwa banii quraydhwa mtume alipifikishiwa alicheka tu jakumuita mmoja Wao mpotoshaji wala hawakuitana wapotoshaji. Sasa swala ambayo ni ibada nzito zaidi na masuala haya ipi fatwa mmetumia Kuwait's watu wapotoshaji? Elimu kwa nini isitumike Bali mtu atumie husda na nafasi ya kuweza kuitoa chombo cha habari kueleza mambo ya kipuuzi yasiyo na chembe ya elimu wala adabu? Tena wanapata na mashabiki. Maana ukiwa Kazi ni kugeuza ushabiki basi unaleta makundi kwenye dini yasiyo na maana kwa faida ya shetani tu na hayatakusaidia. Sote tulikuwa tunashiriki mwezi mmoja zamani na tulikuwa na jazba kama hizo ila kujizuia na kutafuta jitihada ya kielimu pande zote ukikosea utapata japo thawabu za kujitahidi. Allah anajua wanaofanya kwa ushabiki nao na kufarkanisha umma kwa jambo lisilomtoa mtu katika dini. Kwa nini nyie masheikh wenzenu ramli wanapiga na kufuga majini na ushirikina wa albadiri n.k hamuwakemei na hill ndio kamtoa mtu katika dini na hao hao masheikh wengine wachawi na waganga wa ramli wanashabikia ikhtilafu eti Naye kasahau sio muislamu kwa kuwa mshirikina si muislam. Ajabu hii.
@abuutheymiin54985 жыл бұрын
Baarakallahu fiika akhy, the message has been well conveyed.
@aboumaumba28884 жыл бұрын
Exactly well said...
@aishamalaki1165 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH Jaman Dawa imefika mahala pake ALLAH akupe maisha marefu yenye kher uendelee kuwafundisha wasiojuwa pumba na mchele vimeonekana! Nasasa natambua kumbe kuna madhehebu mengi kwenye uislam yakiwemo mashia' makadihani , mawahabia, na AHALULSUNNA WALJAMAA, na hili lamwisho ndio original hayo mengine ni feki
@yassinmmbwera92735 жыл бұрын
Mashekhe acheni kushambuliana fanyeni ya msingi. Kukaa chini hamukai kila siku mitandaoni migoro yenu haijengi dini. Mwenye Elimu hutumia Busara, Hekma na Weredi katika kulikabili jambo. Nyinyi munakwama wapi. Kitu ambacho mimi naamini ninyi nyote munatumia vitabu hakuna aliyetunga munachozungumza.
@emuthree5 жыл бұрын
' Kila nchi ina arafa yake....' hebu hii kauli iangalie kwa makini. Kila nchi...haiwezekani kwa kila nchi ikawa na Arafa yake. Muandamo wa mwezi unatokana na sehemu zinazoendana kimasaa. Ndio maana akatumia lugha hiyo iliyowakera...kuwa haiwezekani shekhe akasema hivyo...je sio kweli, kuwa haiwezekani kila nchi ikawa na muandami wake...! Sizani kama alikuwa na maana mbaya hapo, ...mimi nawaomba mashekhe, msifikie huko, elimu ni bahari, na hakuna ambaye anaweza kuimeza elimu ya bahari nzima, kaeni muelewane, na kwenye kuelewana, mvumiliane,..na msiyakuze hayo kiasi hicho mimi nina imani mtafika kwenye mshikamano wa kweli. mwenyezi mungu anajua zaidi
@nyanyambuli71635 жыл бұрын
LAZI YAKO NZURI SANA WAPOTOSHAJI MWAKA HUU WATARAMBA MCHANGA.
@lungusii5 жыл бұрын
Subhanaallah haya Sheikh wetu, baba yetu basi munge muita faragha ili muya malize ...inshaAllah sisi tuna wasikiliza nyote ...
@Burange6665 жыл бұрын
Mwezi ni mmoja Dunia nzima usitudanganye Shehe ubwabwa kwanza wewe Shehe gani wewe baada ya kuzungumzia jambo la maana wewe kazi yako umeshikilia mwezi hata kipofu ukimuuliza atakwambia mwezi upo mmoja Dunia nzima acha ubishi nenda kasome kofia kubwa na kanzu kumbe hamna kitu huyu kweli Shehe ubwabwa acha majungu njaa inakusumbuwa hiyo.
@barikiabdallah47215 жыл бұрын
Kwani anaongea upuuzi
@ahmadsalim44174 жыл бұрын
Fanya mpango bac dunia nzima tuswali adhuhuri moja
@abdallahalkithiry90435 жыл бұрын
Hawa masheikh hawatumii hikma /hata ukiaangalia masheikh zetu wa zamani walihitaliana lakini hawakulumbana walikaa chini na kila mmoja alimuheshimu mwenzake. Na huu si wakati wa kugombana kilichotakiwa tuangalie waislamu tumekwama wapi ili tuwe na nguvu za kiuchumi za kidini na vijana wengi hawana elimu wasaidiwe vipi tuwe na umoja wenye nguvu lakini sisi tumebaki kugombea mwezi mwandamo tu /huo hatugombei ijumaa kwani hiyo sijasikia watu wakisema hatufati ijumaa ya Saudia hawa wanatudanganya wao wakienda Saudia idd wanacheza huko wakirudi wanatudanganya hawaheshimiani tutakwenda hivi mpaka qiyyama kitasimama sisi bado tunagombana Namuomba Allah atuletee surhu na tushikamane na kamba yake. Amiin
@maryamtemba17604 жыл бұрын
Shida nikua huyu kamà angekuaua na hikma asingekuja kumkosoa mwenzake hadharani kwani si wote wako Tanzania kilimshinda nn kumfata kumweleza
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Mawahabi hawawafatilii mashekhe zao,yaan huwa mara nyingi wanabadilisha maneno lakini wafuasi wanafuata tu bila hata kuhoji,ni kweli alisema kuwa maswala ya arafa hayana khilafu,leo anasema yana khilafu...sasa tushike lipi kutoka kwakee???
@ashuashu38435 жыл бұрын
Mwenye uelewa mzuri wa fikra atajua hapa nani yuko sahihi,ila kwa wasojielewa ndio wataona wanayoyajua wenyewe(ajabu ni nchi moja kusali Eid mara mbili je hamjiulizi miaka iliyopita mbona haikuwa hivyo ni kweli mmepotoshwa.sasa mbona saudia wanasali wote siku moja na tz kila mtu na salaa yake ya Eid mwesho mtaisali na salaa ya ijumaa tofautti.
@yusuphkwaya78435 жыл бұрын
Ashu Ashu Safi San
@maryamtemba17603 жыл бұрын
Sinaskiaga neno mfumo kirto huko kwenu ndio unawatawalia mpaka dini
@maryamtemba17603 жыл бұрын
Badili mufate Quran inasemaje munafanya serikali,, sasa mpaka serikali ndio iwaambie sasa fungeni ndio mufunge,, fungueni ndio mufungue ninachojua ss waislam calendar yeti ni moja tu
@salamakhamis72455 жыл бұрын
Alla akuhifadhi Yaa Sheykh. musiwabakishe wazushi hawa lazima mujipange kama walivojipanga wao
@hemedharouna40135 жыл бұрын
Siku zote Abu iid akitoa neno "HUFIKISHA " ما شاء الله ، الله يجزيك خيرا
@centralzonetvtanzania73135 жыл бұрын
Ma answari hua wanashangaza sana utakuta wanalingania umoja kwa mtu ambaye yuko zake arafa hana hata habari lkn wanashindwa kuelewa hutba zao za kiswahili ijumaa zinavunja umoja maana kama miskiti yote duniani ingesoma hutba ya kiarabu inamaana popote pale duniani mtu aweza soma khutba na wote tungeelewa kiarabu sasa wameacha sunna wanasoma kiswahili matokeo yake wanajikuta wanaongea porojo tu mimbarini pia hawahawa wanaotukataza tusisome dua ya pamoja baada ya swala ndio wajifanya wanahimiza umoja
@ibrahimatadi94165 жыл бұрын
NAAM SHEIKH ALLAAH AKUHIFADHI KWAKUTUELEMISHA PIA ULIMWENGU WA WASOMI UNANUFAIKA NA WEWE.
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Allahumma aaamiin
@humudmarhoon80445 жыл бұрын
Acha hasadi wewe Mohammed idi ..itakutesa sana hiyo na sisi waumini tumesoma sasahivi hatukufati kipuuzi kama zaman ..wewe ndio mpotoshaji na mjinga kidogo ktk ilimu
@abduliddy96205 жыл бұрын
sheikh wangu abuid endelea kuwaweka sawa Hawa atamimi nawaita wapotoshaji nimefurai unatembea Na vitabu. wakijibu hiko kitabu
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Na ataendelea kuwaweka sawa mpaka mwisho na sisi tunakuja hiv hiv kufuata nyendo zenu masheikh wa ulimwengu
@abdunoor37754 жыл бұрын
Huyo shehe wako Abu id kwa huku tanga tunasema ana ihi (wivu,chuki,fitna)
@abdiabdi17525 жыл бұрын
shekh dini haipelekwi hivyo usilete chuki kaa kimya kama huna cha kuongea
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Emu njoo uongee wew ikiwa yeye atakaa kimya alfu tukusikie utaongea nini wew mtoto abdi
@hilalalhabsi20475 жыл бұрын
Kwa io ukikufurishwa weyee unataka NA wengine wasielekezwee
@swahibuallymussa1545 жыл бұрын
ABDI ABDI UNAONEKANA WEWE NI JUHA KULIKO ABUU JAHALI,KITABU ALICHOSOMA NURUDINI NDIO HICHO KINAFAFANULIWA,INAMAANA MAELEZO HAYO PIA HAMYAELEWI NYINYI MAWAHABI? AMA KWELI NYINYI MAWAHABI NI WAPOTOSHAJI,NAWASHANGAA NYINYI MNAOMUITA NURUDINI ,SHEKHE,DUH!SASA MBONA HATA KITABU HICHO NURUDINI MWENYEWE HAKIELEWI?SWALI LA MSINGI;JE KABLA YA VYOMBO VYA MAWASILIANO MLIKUA MWAWAONAJE MAHUJAJI WALIOSIMAMA VIWANJANI?AU MTUKUFU MTUME S.W.W.NA MASWAHABA ZAKE WALIKUA WANAFUNGAJE?ACHENI UZUSHI WA KUITATIZA DINI NYINYI WAPUUZI,HII DINI SIO YA WATU WAJINGA HIVYO,ETI KUNA WATU WA UDHURU MILELE,DUH!!UJINGA MBONA UMEWATAWLA HIVYO,HUYO NDIO MWALIMU WENU,MKUBALINI TUU WALA HAMTAPUNGUKIWA KITU,HALAFU MNASEMA AFUATWE NYUMBANI,MBONA YEYE HASEMEI NYUMBANI,YAANI ANAPOTOSHA WATU HALAFU AFUATWE NYUMBANI AKAFUNDISHWE PEKE YAKE?TUTAMFUATILIA MPAKA AELIMIKE MAANA TUNAJUA HANA ADABU YA ELIMU,NA LAZIMA ATIWE ADABU MPUMBAVU KABISA,ANAMKUFURISHA SHEIKH NABHAANI?UKAFIRI UMEMRUDIA YEYE NA WANAOMUUNGA MKONO.
@hashimumoshi71795 жыл бұрын
Abuu idi nimekuelewa sana Allah. Akubariki
@adammaulid23564 жыл бұрын
نسأل الله العافية والسلامة
@AbdillahSOthman5 жыл бұрын
Weka izo ndevu kwanza, usifuge sharubu. Mbona mnabishana mitndaoni ushauri zaidi tumieni miskiti mkae mujadili kisha mtoe fatwa baina yenu na hapo mueleze mlichokijadili. Ili waislam wawe kitu kimoja na wasigombane, jueni huko ndiko kuwafanya makafiri wakuoneni ni watu waso na elimu ya dini yenu. Jengine kwanini iwe mabishano yenu ni siku za funga ya arafa na ramadhani, mnawapoteza waislam wasokuwa na elim kidogo hata wale wanaotaka kuingia ktk uislam wanapoona hali hii basi hawaingii kwa sababu ya ikhtilaf hizi.
@hilalalhabsi20475 жыл бұрын
Izozakochuki tu. Mie ndevu naziona km wey huoni. Muhimu sikia elmu
@mbaroukali75474 жыл бұрын
kwn ndevu ndio din
@swalehothman82514 жыл бұрын
Mbarouk Ali muislam kuvuga sharubu haifai na kuvuga ndevu ni sunna
@athumanj.buyogela92955 жыл бұрын
JAWABU LENYE KUTOSHELEZA KWA MUHAMMAD IDI NO🅱️- Sheikh Kassim Mafuta Kassim حفظه الل @
@lovepipy48115 жыл бұрын
Athman asssalaam alaykum warahmatullah wabarakaatuh Habari Za masiku AKHUY.. mkombolaguha@gmail. com
@abdulrahmanngaluma37685 жыл бұрын
Mashaallah
@lavezy_07984 жыл бұрын
Hiii sio sahihi Kwa Waislamu kugombana mitandaoni kwa kuwafurahisha makafiri na hatuna muda wa kumuangalia yeye (Kafiri) Allah atujaalie salama
@abusalam70364 жыл бұрын
Ahsantum shekh idd
@الزغويالزغوي-ض3ن5 жыл бұрын
SHUKRAN SHEIKH HATA MAASI YA WAZI TOBA YAKE YATAKIWA IWE WAZI. MAASI YA SIRI HUTUBIWA KWA SIRI.
@othumanisamata14995 жыл бұрын
الله أكبر صدقت الأخي الزغوي
@captain_kharus47845 жыл бұрын
ماشاء الله شيخ محمد عيد بارك الله فيك يا شيخنا الكريم
@@othumanisamata1499 mwendawazimu huyo kwanza hata ukimuuliza maana sheikh hajui ndio wale wale bendera hufata upepo haya sheikh babaako cheka basi fyuuuuu😒😒
@saeedal-awen21905 жыл бұрын
abu idi unapata dhambi kupotosha watu. ili tu usionekane hujuwi. ila ukweli ni kweli elimu huna na uwelewa wako ni mdogo.
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Wewe ni juha nini Elimu ya sheikh Muhammad idd hufikii wew na mwlimu wko kishk
@saidmaulid76684 жыл бұрын
Waambie hao wasio jua
@matumbistanmikau28955 жыл бұрын
Dawa imeingia haswa. We umeita wanazuoni wapotoshaji. Kweli kuna elimu na kuelimika. Mzee kapata moto mbaya
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Haswaaa
@rajabujuma5074 жыл бұрын
Shekh mbon anafug masharubu badal ya ndevu
@anksusiabdurashid1143 жыл бұрын
Mie cjui
@saeedal-awen21905 жыл бұрын
Eti huyu nae sheikh. mtu mwenyewe ananyoa ndevu na kuacha sharubu. inamana hajiwi km Mtume kamrisha kuacha ndevu nakupunguza sharubu. anampinga Mtume atawakubali nyie.
@tausimleela82754 жыл бұрын
Usimtukane...wala usimdharau...ana elimu Kubwa kuliko wewe..kikubwa ni kumuombea Dua..kwa sabab ufaham Wa elimu anatoa Allah sio ww.
@mimah25433 жыл бұрын
Duh.. Mtihani wallah
@muhammadmjara67763 жыл бұрын
Wew Abu iddi hujuu kuachia masharubu niharamu bona umenyow ndev ukaachia mashsrub we mnyewe hauna elimu unajitakia umarufut pupa ww
@mohamadally57325 жыл бұрын
Sheikh eid abuu eid uko sahihi sana tumekuelewa mwanachuoni wetu
@AbdulAbdul-pr9qe5 жыл бұрын
kabisa
@yusuphkwaya78435 жыл бұрын
Mohamad Ally nikweli
@sayeedsaleem63955 жыл бұрын
Haswwaaa
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Maana ya ujinga nn ?
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Wote wapo sawa mzungumzaji na mzungumzwaji
@namelessnameless48685 жыл бұрын
Sheikh endelea kuwapa tiba hawa wapotoshaji sisi tunakuelewa sana kwa sababu unajikita kwenye hoja
@mussajangwa91065 жыл бұрын
Wallah kishk hana ilmu Anatakiwa asome
@khamissalum92854 жыл бұрын
Uyukishiki mpumbavu voo
@saidmaulid76684 жыл бұрын
Wewe na sheh wako hamumfikii Kishki
@sportsentertainmentvideo66335 жыл бұрын
Fanyeni yooote ila kumbukeni ipo ciku tutaulizwa tuliufanyia nini Uislamu wetu!! Msizungumze kwasababu tu ya kutafuta ushaabiki na kwasababu tu eti mnavyo vya kusemea na ipo nguvu kubwa nyuma yenu!!! Hakika mmnausambaratisha ummat MUHHAMAD (S A W ) Allah awazindueni katika Dini....muwe waadilifu IN SHA ALLAH!!
@heyumi23403 жыл бұрын
Acheni chuki mashekh dunia mapita mm nampenda sana shekhe Nurudini kishki usiyempenda kufa bac
@hassanislaq33805 жыл бұрын
shekh nurdin wala hakukutaja pale mwembe yanga alaf pili mbn umebez sana kwa issue bnfs mara anajiona mara vifedha mbn unatoka nje ya mada au umekusudia kumdhalilisha
@maheralmuayqily19005 жыл бұрын
Hassan Islaq Usipate tabu ndugu ni dalili ya Chuki...Husda...Tamaa na roho mbayaa na kumuonea mtu doge kwa alichopewa na Mola wetu
@seifhassan84185 жыл бұрын
Wewe sheikh acha tabia ya kumfedhehesha sheikh mwenzio tabia hiyo sio nzuri vipi Abou Iddi unakosea ndugu yangu sisi waislam tusiwe kama mayahudi
@arqamibnarqam.71855 жыл бұрын
Ameshapotosha umma kishki ulitaka umma uwelimishwe kwa njia gani? Ili ujumbe uwafikie
@adoteacha63184 жыл бұрын
Huyu kishki ni ngombe tu, ebu jaribu ulete upambuvu wako hapa kwetu kenya this stupidity of the highest level
@apollocky36424 жыл бұрын
Shekh wew muogope Allah wew nawenzio ndio wakumuomba radhi shekh kishki wew na wenzako wew hufai kuielekeza jamii rud darasa nakama ukizid Allah akujaalie uwe muelew Maan unaweza kua m2 mzm Lakin uelewa ukawa mdogo umenikela San wew na shekh walidy mnachafua San uislamu Allah awasameh bur Maan hamjui myafanyayo!
@yusuphkwaya78435 жыл бұрын
Shekh Muhammed iddi uko vizur San San usichoke endeleza kuelekeza tu
@xalamlutfih60145 жыл бұрын
Anaye zungumziwa na anayemzia wote hawana utofauti wao
@shariffhabshy67705 жыл бұрын
Sawa sawa Sheikhunaa waweke sawa waliopotoka tumechoka na mawahabi na ilmu isiokua na adab na nidhamu.
@abuutheymiin54985 жыл бұрын
Sheikh sharubu anatetea usufi na bida'a.... Allah amuongoze katika tawhid na Sunnah.
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Wew je hutaki kuongozwa???
@maryamtemba17604 жыл бұрын
Sheikh acha kumkosoa sheikh mwenzio kiasi hicho alafu hio yako ni hasadi etii kibri cha pesa ww una hasadi Allah atakushinda
@mohammedrajabumwamba13223 жыл бұрын
Sheikh sikwakuelekezana kwa staili hiyo Mambo ya kukhitilafiana ktk mitandao si vizuri kwasababu kwa kuelekezana mitandaoni tutachekwa na wasio waisilamu sheikh badilika
@hamimumlindwa32445 жыл бұрын
huyu shekhe anamatatizo sana kwani mwanafinzi hawezi kua na elimu kuliko mwalimu wake
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Kiswahili tu hujui utaweza jua Elimu wew hamimu shika adabu yako
@saidmaulid76684 жыл бұрын
Wewe mpumbavu usiena elimu unaenda kama upepo
@zulfamohamed45494 жыл бұрын
Wew shekh kam unaona mwezako anakosea nivyema kumtafuta na kumkalisha chin na kumwambia nasiy kumuanika mitandaon iyo n chuki na husda uliyo kuwa nayo nawala s mafundisho ya Allah na mtume wake muhamad alafu piya kila mtu atamfata anae muamin yupo sahihi maan kila mtu atapo fufuriwa atafufuriwa nayile anae mpenda shekh jirekebishe maan kaz ya kuwazalilisha wezako azaran siyo vizr ten unamkosea san Allah
@allyabdallah48985 жыл бұрын
Shekh ww huna elimu unanjaaa tu unazid kupotoka umnafiki Abu idi unaunafiki ndani yake
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Njaa na Elimu panamahusiano gan??? Ally abdallah wew ni juha
@abuuhudhayfah51085 жыл бұрын
Mbona kuhusu maulidi hanukuu kutoka kwa hawa mashekhe wa saudia? Leo kwenye mwezi ndio anaona wanafaa
@alexmahone.18635 жыл бұрын
Mohammed Iddi usidanganye watu ww ni SUFI nawala sio madhebi ya kishafi. Lapili mbona Sheikh Qassim Mafuta ashakupiga Raddi sana tu mbona hujamjibu km ww ni kidume kweli?
@quran._00135 жыл бұрын
Jibu zuri hili usalafi huo wanaouita uwahabi umekamilika wa
@maheralmuayqily19005 жыл бұрын
Alex Mahone. Akhy unapozungumza mtu anaitwa Qassim Mafuta yule ni mwanaumeeee....!!! wee ushawahi kumsikia nani katika hao wapuuzi kina Muhammad Idd hata akiwaradi wabamjibu...?? ule mwamba hawauwezi
@rashidyahya995 жыл бұрын
@@maheralmuayqily1900 kwel kuna watu na Viatu! Yaan wewe ata sijui ni size gan, Alex huyo ata hatuwezi kumjibu ngoma sio yake!!!
@alexmahone.18635 жыл бұрын
@@rashidyahya99 unijibu yakua ashajibu anavo pigwa Raddi na Sheikh Qassim au unijibu kua Mohammed iddi sio SUFI?
@9119-r4t5 жыл бұрын
Umemwambia ukweli sufi lakupoteza watu hili shekh
@abdullahiibrahim56095 жыл бұрын
🤣🤣🤣najua unatafta kuwa maarufu kama sheikh Nurdin lakini huwezi kuwa famous Eri ujiunge na WASAFI ujulikane East Africa na wala si kutumia jina ya Kishki kutafta umaarufu.
@user4125 жыл бұрын
Abdullahi Ibrahim Abdi sheikh huyu Abuu Iddi ni bahari kwa elimu
@user4125 жыл бұрын
Kishki mtoto tu yule tu kwa Abuu Iddi
@mohamedmasood79215 жыл бұрын
Allah(sw) atuongoze kwa sote ktk wema
@rashidmohd1155 жыл бұрын
Kunyooshaa ci kwa namna iyo kaka' umekosa hekma' ww mzee' wametafautiana maswahaba baniikuraidhwa' je Apo dar es salaam'
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Vip walitofautiana mas haaba??
@haarunsaidabdillahi40823 жыл бұрын
Mwambieni mlio karibu na Sheikh Kishki awache mashairi ya vijiweni anapokuwa kwenye mimbar ya msikiti. Msikiti ni nyumba ya Allah si mahala pa kufanya mzaha.
@azizamkindi17845 жыл бұрын
AllAH ameharamisha chuki za sisi kwa sisi ungemfes sio vizur wote waislam kuweka mtandaon
@abdulathumani52563 жыл бұрын
Mashekheee zetu Kwann mnatofautian ktk mas Ala mbalimbali????
@ismailhussein97343 жыл бұрын
Hiyo recording kila kitu naitilia Shaka itakua ninjia ya ulaji akipeleka hizo Video kwa mabosi wao saudia
@aimanathumani25995 жыл бұрын
Unajua sheikh iddy ni fasaha sana unamuelewa kwa mapana ya mada yake lakini sharti uwe na fahamu nzuri ndio utamuelewa la sivyo utamtukana tu...
@fetysukafetysuka88115 жыл бұрын
hakuna wakukuelewa wewe ndo mpotoshaji
@kondesaidi20405 жыл бұрын
Kishki ni mpotoshaji,,, tufuate mwezi wa Qran. Nasio SAUDIA.
@fetysukafetysuka88115 жыл бұрын
@@kondesaidi2040 kakukataza kufunga?funga lakini usimuite mpotoshaji kishki namfananisha na swahaba wa mtume aliy wewe je ?acha fiitna ni uchafu wa moyo kumbuka kwa gari lipo mlangoni linakusubiri tafuta nauli ya kutumia njiani axha majungu si mtaji bali ni miflisi
@kondesaidi20405 жыл бұрын
Mbona wewe umemuita mpotoshaji?? Ujajiona Apo ee!! Swala nikwamba tangu enzi za mtume watu walifuata QRN ktk miji yao,,,, CM, TV, TEKNO, vilikuwa hakuna,,, watu walifunga na kuswali idi kwakutumia QRAN na Muandamo wa MWEZI,, sasa mm Leo hiii et ujeuniambie Swahaba kasema tufuate Saudi !!?? Kwaiyo QRN na Saudi Bora nini ??? Kaaa na Swahaba wako mama .
@yusuphkwaya78435 жыл бұрын
Ni mfasaha Sana kwani inahitaja uwe na akili ya asili ndipo umuelewa la sivo utatoka patupu kwa uelewa mdogo
@abamoofficial62895 жыл бұрын
kata izo sharubu kwanza baada mkatoa maada za maana mnaanza kukosoana
@rashidmohamed19495 жыл бұрын
Abamo Official 😁😁😁
@swahibuallymussa1545 жыл бұрын
ABAMO OFISHO,RUDI KWENYE LENGO,HAPO NAAMINI MMEELEWA NDIO MAANA BAADA YA KUFUATILIA KINACHOZUNGUMZWA WEWE UNAONGELEA SHARUBU,MAWAHABI SASA NDIO NAAMINI SASA KWAMBA NYINYI ASILI YENU NI WALE WATU WA NAJIDI AMBAO MTUME ALIKATAA KUWAOMBEA DUA,MAANA MTUME S.W.W,ALISEMA HUKO NAJIDI NDIO MAHALA PA FITINA NA MISUKOSUKO,INAONYESHA WAZI KABISA KWAMBA NYINYI NI WATU WA FITINA NA MISUKOSUKO,MAANA MANENO ANAYOELEZA ABUU IDI,YAKO WAZI,NA INAONYESHA HUYO MPUUZI WENU AMEDANGANYA WAZIWAZI LAKINI HILO PIA HAMLIONI,AMA KWELI NYINYI NI WLOKOLE NAMBA MBILI,BAADA YA WALE WA + MNAFUATIA NYINYI.NA LAU SIO NYINYI HII DINI INGEKUA NA UMOJA MPAKA LEO.ILA MUNGU ATAWAHUKUMU,NAONA MNAANZA KUGAWANA MAKUNDI.
@dhulhijjabilali1434 жыл бұрын
@@swahibuallymussa154 wewe uliombewa?
@ibrahimaliy76705 жыл бұрын
Sheikh Mohammed wafundishe na mashehe wetu wanoenda kwenye kaswida za taarabu mfano wa usiku wa helwa
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Asnte baba Ibrahim
@swalehmudhihir66125 жыл бұрын
Sheikh tunapenda ufafanuzi wako,ila inabidi uwe unasimama katika nukta muhimu au makosa yanayoendana na mada. Mambo binafsi ya mtu bora ungeyaacha. je kila kosa linalofanywa hadharani hukosolewa hadharani. Kwa madai yako Sheikhul Mimbar amemkosea Mufti hadharani nawe akaamua kumkosoa hadharani. Na vipi mbona umekaa muda mrefu sana tangu kutokea kwa kosa umekuja kulikosoa sasa hivi je huu ndio uadilifu??na je huku ndio kumpenda Sheikhul Mimbar unakodai??
@maheralmuayqily19005 жыл бұрын
Habari Mpasuko Maneno yanayotamkwa sio yalio moyoni...na Lugha anayotumia kumkosoa mtu ni lugha ya wazi kuwa hyu mtu hayupo sawa kiakili wala hakusudii Dini Bali anakusudia kupata umaarufu tu kudhalilishana
@mudyxhumedmudy58884 жыл бұрын
Kwani mnagombea nn nyinyi mashekhe kwanye dini ya UISLAM SUBIRINI MTAKAPO KUFA NDO MTAJUA NINANI MKWELI MASHEKHE MITANDAO NYOTE MUNA CHUKI ZENU NA SIO KUELEKEZANA.
@dhulhijjabilali1434 жыл бұрын
wababaishaji sana hawa mashekhe ..umaarufu wa kitoto
@hassanislaq33805 жыл бұрын
abuu idd inabid uelewe kuwa kuna hukum ya funga na arafa ..funga inaanzia asubuh kabla hata mahujaj hawajaenda viwanj vya araf...kw hy unaposema je wakiondoka hawa wameraken wafunge nn..hukum ya funga inaendelea mpk maghArib yao wao wafungaj
@athumanj.buyogela92955 жыл бұрын
JAWABU LENYE KUTOSHELEZA KWA MUHAMMAD IDI No🅰️-Sheikh Kassim Mafuta Kassim حفظه الله ورعاه kzbin.info/www/bejne/n5-thqaMhLxsh8U
@babbabli30953 жыл бұрын
Mimi nilivoelewa ni kutwii fatwa za serikali na Mufti anaelipwa na serikali. Lakini kitu kimoja mimi ningependelea uniembie, wembe gani unatumia????? Maana hicho kidevu kinan'gara kweli kweli🤣🤣🤣🤣🤣
@mfaumeatimwanga92275 жыл бұрын
utaumia sana shekhe tena sana sisi tunamuelewa na hivi unavyotukana unatusaidia kukuelewa kuwa wewe huna sifa ya kutuongoza. wewe tumekukimbia na tunajaa viwanjani sana. hatukuelewi siku hizi kuna simu na tv kwa hiyo wewe ongea mpaka povu likutoke hatukuelewi
@kondesaidi20405 жыл бұрын
Sio wote ni wewetu pekeyako,,,, mm nafuata Qrani na muandamo
@omarsheikh37064 жыл бұрын
Umtu yoyote yule ambaye hawezi kuzuwiya hasira basi hamogopi Allah kohivo wewe shetani amekuchukuwa wewe sheikh Mohammed iddi
@yasserkhalifa40973 жыл бұрын
Ww abu idd allah akuhifadhi , ila acha kutafuta umaarufu kwa kuwakosea mashekh wenzako
@shabanibinuri8265 жыл бұрын
Ningekuona wamaana sana kama unaongelea mashekhe ambao wako ndani weka ndevu kwanza.
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Alfu kishki aendelee kupotesha watu eeeh
@salmaamour42465 жыл бұрын
Mpotoshaji mkubwa ni wewe muone sharubu kama kambare huna lolote ila chuki tu hayo mafundisho ya kushambuliana kwa maneno mumeyatoa kwa nani kama nyinyi sio wapotoshaji nawala sio wafuasi wa mtume muhammad rehma na amani ziwe juu yake nyinyi wafuasi wa ibilisi
@seydouside40815 жыл бұрын
Suna ya ndevu vipi shekh
@arafataliomar74325 жыл бұрын
hahaha yeye anafuga sharubu ananyoa ndevu
@jailaniramadhani76284 жыл бұрын
Kishki hana ilim
@allymnzava38185 жыл бұрын
Huyu kabakia kubishana na kupotosha waislamu oyaoya! Na hivi alivyopewa ufasaha wa kuongea ndio anawachanganya kabisaa. Yeye ndio mpotoshaji.
@hamisimabokellah35455 жыл бұрын
ABUU IDDI iyo arafa ni siku sio SAA kwani tunaanza kufunga asbh na sio mchana hakuna swaumu ya kuanzia mchana, maana hata nyinyi wa bakwata mnaanza kufunga asbh kwa hiyo popote ulipo kama swaumu ya arafa itakua ijumaaa basis wale wote watakao diriki hiyo Sikh itawalazimu kufunga wawe mbele au nyuma
@hassanomar42915 жыл бұрын
kisimamo cha arafa kinaanza saa saba mchana baada ya swala ya adhuhuri mpaka swala ya magharib na hakusema kama watu wafunge mchana wacha kusema kitu usicho kijua
@tangaoldtv10674 жыл бұрын
Kishki hana hekma hata hotuba zake anajazba wakati mungu hataki hinyo maana mungu alimuambia mussa na nduguye hareen nendeni kwa firauni kampe maneno laini sasa huyo hana hayo halafu hana elimu ya kumzidi sheh mohammed idd na hoja hawezi kumshinda labda sheh idi amletee mwanafunzi wake lakini kwa sheh idi sio saizi yake hapo mwisho
@altaz90414 жыл бұрын
shekh una fanya sivo kama ungekua mkanyaji mzuri unge mfata ukq mkanya lakini ivo una vo fanya io ni mipasho shekh dini haikoivo mtu akikosea mna kaa meza moja mna elekeza lakini sio ku aibishana mitandaoni
@akambi4825 жыл бұрын
Tunakuelewa sanaaa maalim na wao washaanza kuelewa
@yahpinfo165 жыл бұрын
Ndugu angalia majibu ya Mohamed issa yana kutosha kama hutaelewa hapo basi hata akija malaika huta muelewa pole shekh masilahi yata kuumiza mbele ya mwenyezi mungu
@mwajumameja49214 жыл бұрын
Nyinyi munamchukia sana kwasababu anakuambieni ukwel achen choyo
@habibakhalfan10655 жыл бұрын
Asante_Muhamed iddi ndo mana wamefanya dini iwe mbaya na iwe na mitihani wantukana mashejh sasa mambo yana warudi
@medicalclass87054 жыл бұрын
Katika Dini tunafundishwa nidhamu Kwel kama kwel mwaipenda dini kusemana mtandaoni ni nidhamu Hizi pesa zitawafaa ulimwenguni tu akhera mtajuta tu kuweni makin
@saadsalum32535 жыл бұрын
Nawewe vip shekh muft ninani huyo nishekh wako peke yako huyo nishekh wa serikali peke yako ama nawewe niwale wale wa bakwata 😂😂😂😂😂 mohd idd nilikuwa nakupenda sana lakn leo nimejuwa kama wewe nibakwatwa
@abdulrahmanissa53745 жыл бұрын
saad salum na yeye niwalewale was bakwata2,kwani skukuu ni Mali ya mufti&serikali???
@abdulrahmanngaluma37685 жыл бұрын
Nyie wote hamjitambui .... Allah mtukufu atuongoze wallahi
@mudyxhumedmudy58884 жыл бұрын
Umeongea ndugu
@zainabkhatib65095 жыл бұрын
MashaaAllah shekh tunakualika zanzibar
@fikiriayubu13585 жыл бұрын
Ttushawachoka mnacha kufundisha watu kuswali mnazozania mambo yasiyonamsingi mpaka mnatukanana kilamtu afate anachokiamini
@othumanisamata14995 жыл бұрын
Maostadh wanafanya kazi gan madarasan ikiwa Masheikh nao wafundishe watu kuswali
@zeehbblacqtger89183 жыл бұрын
Huyu Shekh wallah hafai allah amuongoze aache ujinga wake
@abufauzan94173 жыл бұрын
Wewe ndo mjinga kasome dini
@fat-hiyaali47233 жыл бұрын
shk nurdern anajielewa na anayofanya hana mda wa kujibishana na mtu hata mkamkosoa vp hana mda wa kuwajibu
@yasinishekallahakusaidi87664 жыл бұрын
Sheikh Mohammed IDD ni moto Wa kuotea mbali
@mename60204 жыл бұрын
Arafa ni moja... Nch zinazotofautiana lisaa moja mawili au masaa machache wafuate Saudia...
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Arafa kuwa ni moja ni ilimu ya kihuni hiyoo
@maryamtemba17604 жыл бұрын
Wewe ni hasidi sheikh sasa kurekodi ww inakuhusu nn, ama hio gari yake ndio inakupa kiwewe, acha arekodi bwana ww pia si urekodi ukitaka