Leo wallah sheikh mselem umeufungua ulimwengu na allah akulipe kheri, umefikisha na mungu anakuona ila kazi ya kuongoa ni ya allah, huu ni ukumbusho kw mwenye akil timamu ila kw machizi subirin ashuke malaika ndio mukumbushwe kw adhabu ya mungu
@salumtakao98284 ай бұрын
Shekh mselemu Leo nmezidi kukuelewa. Hili swala lkuw na tarekh moj linwezekn sema watu ndo watetea umakund na hii arafa ni moja tu mashallah.
@mafiatv54794 ай бұрын
arafa siku kitendo ausehemu?
@twahambowe4404 ай бұрын
Arafa ni siku, arafa ni kitendo, na arafa ni eneo au sehemu
@RashidmohdRashid-zi2tr4 ай бұрын
Hongera shekhe nimekuelewa sna tu mie mashaallah kwa mawaidha mungu akuzidishiye Inshaaallah..
@makerebul36504 ай бұрын
Asante sana shekh msellem, unaeleweka sana Allah akuzidishie Ufasaha wako, na akulinde na wabaya Amiin
@SHOMARYHIMIRY4 ай бұрын
Aamin aamin aamin
@mohamedally64284 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi ktk Dunia yako na akhera yako sheikh mselem nimekufahamu vizur sana alhamdulilah Allah akulipe kheri aamin
@MussaaliMohamed4 ай бұрын
Shekh Mselm bin Ally Allah kuzidishie ilmu y ahera akupe kitabu chako kw mkono wakuli
@wizlamability4 ай бұрын
Maasha Allah akujaalie mwisho mwema shk MSELEM BIN ALLY
@HassanSalum-qs2qp4 ай бұрын
Mashaallah umeeleweka alhamdulillah sheykh mselem ali ..swadakta
@abdallahyusuf76414 ай бұрын
Mashaallah swadakta mimi nimekuelewa zaidi . Nashukuru kwa kunielewesha ALLAHakuzidishie maisha malefu yenye afya inshallah
@EdiDula4 ай бұрын
Wenzake baada ya kutoka segerea, wameamua kuwaridhisha wakubwa kwa kutoa fatwa zakuwaridhirisha viongozi wakiwa machoni mwao, Allah akuhifadhi sheikh Msellem, nakuelewa sana kwa ufafanuzi wa hoja za wazi
@mubarakmohammed73114 ай бұрын
Je Mtume SAW, aliacha muongozo gani?
@omarissamashaallahpresiden29204 ай бұрын
Edi ww mtoto Bado hakuna elimu ya mtu mmoja masheikh kila mmoja na anavyofahamu yy ameona kufuata saudia ndio elimu yake ilivomwambia na hao unaosema wametoka gerezani ndio elimu Yao ilivomwambia nyie mliobaki bendera hufata upepo kasome kwanza ndio utukane (
@badimruma66954 ай бұрын
Asalamu Alaykum Shekhe, naomba kuuliza kwa lengo la kujifunza, hivi ikitokea nimeuona mwezi leo, lakini Saudia wasiuone leo, wauone kesho, inatakiwa mimi nisiukubali mwezi niliouona Tanzania? La pili, katika umri wangu sijapata kusikia Saudia wametangaza kuwa mwezi umeandama Tanzania hivyo tarehe ya Ki Islamu imeanza, hivi mwezi hauwezi kuandamia Tanzania? Mwisho, ni nani mwenye mamlaka ga kutangaza mwezi pale Saudia? Maana kuna mtu nilisikia akisema ni Serikali, lina ukweli? Shukrani Shekhe kwa mafundisho.
@mdauwetu4 ай бұрын
Shekh anasema suala la mwezi mmoja. Kiufupi huo mwezi uonekane Saudia basi. Maana wao mwez ukitangulia kwengine wanaukataa
@IshakaShauri4 ай бұрын
Ww ndo faraja yang ktk ufahamu wako unavyofafanua jambo mashallah
@abouMuslin974 ай бұрын
Alhmdulillah jazakaAllah kheir mashaAllah TabarakaAllah hoja imeeleweka na maelezo yamefahamika
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu4 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema nasie tunae kufatilia
@NefeslZoOl4 ай бұрын
Khekma hupatikana kwawenye ukubwa wa Elimu kama Shekhe Ally Allah awapee nuru na wengine Inshaallah
@MkubwaKhamis-m4l4 ай бұрын
Mashaallah allah akuhifadhi sheikh yaan umeogea point ya msingi kabisa na muhimu sana kuzingatia hili
@Bombwejr184 ай бұрын
Allah amuhifadhi sheikh mselem 🤲🙏
@nassortrans124 ай бұрын
ماشاء الله بارك الله فيك وجزاك الله خيرا كثيرا
@HajiKipingu4 ай бұрын
Baaraka llahu fiika,umenyooka sana wao waendelee kupotosha watu malipo yapp
@kisanganyakiswanta13794 ай бұрын
Sasa nimekuelewa vizur sana shekhe hata mtu asie na elim akikosa kukuelewa basi huyo ana siasa zake shukran sana shekhe
@hassanZubery-o4m4 ай бұрын
Akili kubwa sana hii..shekhe umeeleweka vilivyo
@zedcomobilephones4 ай бұрын
Kiukweli Mimi sijamuelewa turudi pale pale katika hio dollar walipeana vipi taarifa wa muandamo wa mwezi? Na kama ikiwa zaman walikua wakitofautiana katika miandamo inamaaana technology ndio imebadilisha Sheria za dini?
@SAIDMOTE4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem nimekuelewa vizuri sana, shukran
@faisaloaljabry64004 ай бұрын
Asiye taka kuelewa hataki tu Sheikh Kuwaelekeza watu wasiyo taka kuelewa haisaidii bora tuwaombee Allah awaongoze In Shaa Allah
@fisabillah-o7r4 ай бұрын
Umesema kweli @faisal
@FeisalDoctor-wr8ws4 ай бұрын
Watak bakora tu wengin at izo dua haziwapati
@mafiatv54794 ай бұрын
ndg msiwalazimishe watu, acheni usenge wajina nyie, kila mtu anamaono yake
@asamandhiry86484 ай бұрын
Sheikh Msellem umeongea na kufahamika ulichokiongea. Ila umeelezea juu ya tarehe moja ni sawa hapo hapo ulitakiwa kuongea tofauti za nyakati. Huku jua lina piga umesema ni saa sita mchana huku upande wa pili giza totoro usiku wa saa ngapi ikiwa watu wamesimama Arafa mchana upande wa pili usiku, inayumkinikaje waliopo katika jiza la usiku wakafunga sunna ya Arafa?! hawawezi kufunga abadan! Tunatakiwa tufuate nyakati na nyakati zinatazamwa kwa mwezi, kiislamu. Nahisi ulikuwa ueleze tofauti za nyakati pia. Wabillahi taufiq
@AbdulRama-u7d4 ай бұрын
Asante sana sheikh mselem
@magodanionlinetv4 ай бұрын
ماشاءاللہ جزاك اللهُ
@magodanionlinetv4 ай бұрын
allah akupe umri wenye mnufaa na mwisho mwema
@msafirithabiti27244 ай бұрын
Maa Shaa Allah! Jazak Allah Kheyr.
@FatumaSaid-t4r4 ай бұрын
MashaaAllah Allah akuhifadhi shehe wetu.
@mkude4 ай бұрын
Maashaallah ALLA H akuhifadhi sheikh umeeleweka vizuri
@hassanyusuph94464 ай бұрын
Tunao fanya kama shekhe alivyo eleza ni sawa na tunao fanya kwa namna nyengine pia n sawa kwa mtazamo wangu sababu kubwa ya wote kua sawa n kwamba wote tunatafuta fadhila za mwenyezimungu na radhwi zake
@sadammjili91014 ай бұрын
Hukuna ibada pasipo stahiki kwan kufunga siku ya eid ni dhambi
@tobosha32364 ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Mselem
@SelemaneArabeArabe-wd8fb4 ай бұрын
Chehk Allah akulipe Kwa ufafanuzi nzuri sana
@salumhassanallymkurdistan70064 ай бұрын
HAPO NIMEKUFAHAMU JAPO WEWE HUJAFAHAMU SHEKH MSELEM TUNATAKIWA TUFUNGE KWA KUONA MWEZI NA TUFUNGUWE KWA KUONA MWEZI RAMBDACATOKE HALIFA LAKINI KI UHALISIA KILA NCHI NA KUONA KWAKE MWEZI
@mubajoti7434 ай бұрын
Dah hakiamung nikimskilz sheh mselem namuele nikimskilz sheh farid namuelew yn naumia kichw man wot wana point dah sjui nifate wapi 😢😢😢
Unakuta mnaopinnga hata kuswali huuswali kazi. Kusubili eid tuu
@AbuwJuhaymah4 ай бұрын
Unabichwa gumu wewe kaah
@AliSalim-yu4mo4 ай бұрын
Ni mtazamo wake lkn ni WA kielimu sio ubishi wa maskani!
@KS-iw7qv4 ай бұрын
Allah ni Mjuzi Zaidi....
@AbdulIssa-o7e4 ай бұрын
@@AliSalim-yu4mo kwani lazima umuelewe ww bhana walomuelewa inatosha so hata mtume alipingwa japo Jambo alilokuja nalo walikuwa Ni hakki lakini walimpinga ndo kawaida ya wanadamu unazani tutaongoka wote itakuwa ibilis haina maana ya kuwepo basi ili maandiko yatimie lazima wengine wapinge hakki uliona wapi wote mtaamini
@hilaljaffery40114 ай бұрын
Hatuwezi kuwa na tarehe moja dunian kweny uislam Na tareh ya kiislamu haiwez kuwa sawa na tarehe za kikafiri ndo maan uislam umekuja mgeni na utaondok mgeni Uislam Mola ameutwahirishaaa usiufananishe na tarehe za kikafiriu
@user-di1lg1pm2l4 ай бұрын
shukran kwa elmu mashallah
@jumasalum26774 ай бұрын
Swadakta Umesema ukweli Kumbe wewe una elimu kweli na msimamo wa kweli Masha Allah
@MohamedKilindumbo4 ай бұрын
Masha llah Allah akubaari
@AbdulIssa-o7e4 ай бұрын
Sghekhe umeeleweka. Vzr sana sema watu leo hawataki hakki wanasukumwa na mihemko ya makundi ila ukitaka haki ulichongea ni sahihi kabisa 😢
@abdulabdulathumani59924 ай бұрын
Sio miemko sheikh kaongea vizur saa kalend ya kizungu hii ikifika mda huna aja yakumuangalia mtu time imechange lakin swala la mundamo wengine wanaweza fika saa8 usiku awakuswali taraweh awakuwa nania awakujiandaa na ibada sa 11 alfajir ndo wanapata taarifa au 12 hawa funga yao ramadhan itakuwaje
@mikealeck64474 ай бұрын
Genius, Maasha Allah
@esir66674 ай бұрын
Kiongoz mmoja yupo ni qur an na sunna na hilo ndo tulioachiwa sio saudi arabia
@mustafahakim-iq7dj4 ай бұрын
Ufahamu wako mdogo
@esir66674 ай бұрын
@@mustafahakim-iq7dj nifahamishe
@RajabuMarinda17 күн бұрын
fafanua iyo qur,'an na sunna zinasemaje kuhusu tareh, unaubishi wa kishetani
Shekh mselem tunakuelewa na tunakufaham sana mashallah M/mungu akuhifadhi,lakini kwann ulipotafsiri Aya pale mwanzoni ,bwana mtume Muhammad s.a.w,wakati anapewa Habari na M/mungu ilikua ni mwezi muandamo au miez miandamo,mana Hua tunasikia kua tafsiri inayo Kuja hapo ni miez miandamo nasio mwezi muandamo,tunaomba ufafanuzi.
@RashidAhmed-h7t4 ай бұрын
Na mimi naomba unisaidie kwani miezi ipo mingapi?
@HamadaZubeirTahir4 ай бұрын
Kalenda wanayo Sheikh Mselem. Maana kama tutaiangalia Hijja ya mwaka 2025 tutaiona na tayari mpaka tarehe ya siku ya Arafa ishaandikwa.
@husnamohamed94484 ай бұрын
Kijaaliwa inshaAllah itakuwa alhamis tarehe tano mwezi wa sita
@HusseinAmaniOmarAlhamdy4 ай бұрын
Takbeer!! Allahu Akbar
@w40584 ай бұрын
Hassan Yusuf uko sawa kwani Mtume SAW kwa mujibu wa khadithi za hao hao Masheikh wanasema aula ni kufuata muandamo wa unapoishi kwa hivyo tutafanya kwa mujibu wa maneno ya Mtume SAW nyie fuateni mnavyoona sawa na sie tutafuata tunavyoona sawa Allah atutaqabalie saumu zetu
@KomboFaki-xq4pw4 ай бұрын
Eee sheikhe wangu wee amakweli hii imeenda nasikitika sina chakukupa ila Allah atakulipa kheir ishaalah
@AbdulRama-u7d4 ай бұрын
Umejibu vizuri
@MgazaMhina4 ай бұрын
Nimekuelewa sana Shekhe wangu
@abdab84664 ай бұрын
Hamo mselem umeuguza,ikiwa east afrika unasema siku ni sawa,je australia,na japan,na morrocc,
@ramadhanirajabu87744 ай бұрын
Ahsante mwalimu
@MasudiNia-td7ie4 ай бұрын
Mi nauliza kushikwa kwa mwezi je ukishikwa saudia na sisi huku pia tutekeleze ibada ya kupatwa kwa mwezi?
@mwalimumzimba4 ай бұрын
mashaalla jazakk llahu kheir
@NassorHamad-dj6sv4 ай бұрын
Mi nimependa apo kwenye lailatul kadir kila Mmoja apelekewe yake kwenye kisahani Kwa siku yake
@RashidSeif-vd7up4 ай бұрын
Allah akulipe🎉
@abdulabdulathumani59924 ай бұрын
Sheikh umeongea vzuri tunakupenda sana lakin swala la mwezi ni tofaut na tareh .tareh ikifika saangp tunajua sikuimechange mwezi umechange swala kuandam wanaweza pita watu saa 12 awajauona wamefika saa 8 usiku wengi wamelal hawakuw nania ya kufunga awaja swali taraweh saa 12 asubuh au saa 11 alfajir ndo wanapata taarifa watafunga vip awa
@hamiskilima54284 ай бұрын
Sheikh shukran kwa ufafanuzi lakini ume niacha na swali kichwani kwangu. Umetoa mfano wa jua na mwezi kwamba jua linachomoza likiwa zima na huzama likiwa zima lakini mwezi hubadilika ili kiwe kipimo cha wakati(siku). Sasa kama mwezi ni kipimo cha siku kwanini tusitumie kuhesabu siku za mwezi mzima? na badala yake kwanini tutangaziwe na watu kutoka sehemu zingine? Je tukifuata mwandamo ambao ndo kipimo je siku zinazidi au zina pungua? Assalaam alaykum
@warshysaid85644 ай бұрын
Ńduģu yangu mwezi hubadilika shepu yake kutoko kuonekana nusu hadi kuwa mzima hatafu unarudi kuwa nusu sio kubadilika kwa kuzidi siku au kupunguwa mwezi una siku 29 na 30 tu
@warshysaid85644 ай бұрын
Na swalii lakoo kwann tusittummiie mwezi 7bu tunaaonnggozwwaa naa maakaafiriii 9:23
@waziribakari64264 ай бұрын
Tuwaache hawa matumaini yao ni kiama kitakuwa tofauti kitaanza Saudia na wao watakuwa na tarehe yao kama wavyo aminishana kwa kila watu na mwezi wao inshaallah watapata taarifa ili wajiandae siku yao ikifika nao watakuwa na siku yao ya kiyama Si ndio wanavyotaka na wafuate watakavyo
@yussufomar37964 ай бұрын
Shukran sana Akhy umenisaidia kufikiri na kutafakari maelezo yake yupo sawa Sheikh Mselem kwa msimamo wake. Lkn je saudia ndiyo sehemu pekee mwezi unako andama sawa sawa??!!! Sheikh ananipa maswali mengi kichwani. Ninampenda kwa ajili ya Allah mzungumzaji mzuri sana ila hapa ananipa shida sana.
@musarashid-xw1qm4 ай бұрын
Allh akuhifadh mselim
@ShaibuMohammed-tj8il4 ай бұрын
Mtume aliweza kuwaambia LAKUM DIINUKUM WALIYA DIIN , Lakin binadamu wa leo kwenye pesa yupo tayar kupotesa dini kw ajili ya dunia
@abdallahhalifa58604 ай бұрын
Ssa sheikh msellem hapo ndipo ulipotuchanganya kutuambia watu wazamani ilivyokua mitandao haijaingia watu walikua wakifunga kwa muandamo sasa wataka sema Dini imekamilika ssa siku za nyuma ilikua badoo Sheikh hapo hujasema bado
@RamadhaniShabani-nc5ve4 ай бұрын
Masha Allah
@husseinshamte71294 ай бұрын
Tarekhe ya kiislamu (kufwta mwezi mwandamo) huwa zinafungamana na Ibada Ama hilo calendar la kidunia Wala halina mafungamano na Ibada Kama Tarekhe ni Moja ,,, kwanini ابن عباس aligoma kufungua alipoambiwa mwezi umeandama kwenye hadithi ya كريب na mwisho akasema هكذا علمنا رسول الله صلى الله عليه وسلم Hivi Ibn Abbas yeye alikua hajui kama Tarekhe ni Moja?
@abdukherykhamis734 ай бұрын
Mie naongezea Ile tafsiri aliyo itoaa,ni swali kwa mwezi muandamo au miez miandamo kwa mujibu wa aya?
@saidmohamed68024 ай бұрын
mashaalaah
@lailafakhihaji4 ай бұрын
Sheikh upo sawa kabisa kwa kweli tanzania na Kenya ndio wapingaji wakubwa lakini wenzetu wa west wanaungana na dunia sikukuu ni siku moja yaani ni Tanzania na kenya ndio kuna hii sintofaham Allaaa ndo ajuae zaidi
@mohagurey22144 ай бұрын
Sababu ya masufi
@AbdillahAlly-fl4vh4 ай бұрын
@@mohagurey2214unawazimu wewe,masufi wamefanyaje
@mohagurey22144 ай бұрын
@@AbdillahAlly-fl4vh wametutengenezea arafa yetu
@challengepcn79824 ай бұрын
What about the people living in Australia and America
@suleimanhemed95434 ай бұрын
Duuh kwa hakika ibilisi ana nguvu
@HijaSaid-xd7fg4 ай бұрын
Allah aendelee, kukupa umri, maana hao mamluki wanapotez kundi kubwa sana, na Allah ajua mafikio yao
@OmarAlly-iz8ot4 ай бұрын
Watu wenye upana wa maarifa na akili kubwa kama hii Wallaahi walistahiki zaidi watunzwe na waheshimiwe sana kwenye nchi zao. Lakini ajabu ya maajabu viongozi wa dunia yaleo, yule anaestahiki matunzo ndie anae dhalilishwa, na wasiostahiki matunzo ndio wanao tunzwa na kupewa shavu!!! Mnajua sbb ninini? Anaejua aniambie
@RashidSoudMohd4 ай бұрын
Asielewa maana usimpe maana she msellem umemaliz🤝🤝
@mafiatv54794 ай бұрын
kamaliza yey mwanachuoni wanne au mumempasisha ww
@majondejohali52594 ай бұрын
Kaongea kiswahili vzr
@IssaChikoka4 ай бұрын
Shekhe ninakuelewa cn ishaalla zidi kutuelimishs
@mwadinbakar95534 ай бұрын
Mbona Enzi hizoo za wale MAGWIJI wa Elimu ya kiislamu (akina SUMEIT) hayakuwepo haya 'mazonge'? Kama sio Kanisa basi Marekani yupo katikati ya hili VURUGU
@RamadhaniShabani-nc5ve4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@HileHile-ns9xv4 ай бұрын
Swadakta nkwel kabsa Allah atuongoze
@IbrahJumbe4 ай бұрын
Shekh hapo nataka kukuuliza kitu kiislam siku inaisha saa kumi na mbili za jioni je kama sehemu moja tayari muda huo ushafika na hawa wengine bado je yupi atakuwa mbele na siku na tarehe au wote wapo sawa na kama wapo sawa inawezekanaje na hawa washamaliza siku na hawa wengine ndo wanaenda kuimaliza siku
@msafirithabiti27244 ай бұрын
Siku inaanzia mashariki. Hivyo sisi tuko mashariki ndio wa mwanzo then wanafuata wengine
@msafirithabiti27244 ай бұрын
Fuatilia hata mpira, wakicheza saa kumi hapa Tanzania basi nchi nyingi zinakuwa ni saa nyuma ya saa kumi kama saa saba na kadhalika.
@nassorsuleiman4514 ай бұрын
Mm naon sheikh kazungumza zaid kwa UFAHAM WAKE no hadith na aya iliyotumika ni kwa utambuzi wa nyakat zaid
@abuuahmed56974 ай бұрын
Kama hujaelewa na unataka hadithi nitafute Mimi nitakusaidia inshallah
@JUMAKANYEBWE-hy7ge4 ай бұрын
Hii ndo kweli hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi wakiona wenzenu fateni mwezi hautoshi kuenea dunia nzima kwa wakati mmoja
@KS-iw7qv4 ай бұрын
Hatusemi sisi ni Arafa yetu Jumapili hapana... sisi tunafunga mwezi 9 ulosuniwa... Hatupo Makka.. Arafa ipo Makka.... Swiyam ya Mwezi 9 ilifungwa Kabla kufaradhishwa Hijja..... Tulikuwa hatujui Kama kuna Arafa... Media Situghuri..... Hatupingi neno Swaumu Arafa... ila ni kwa walokuwepo Makka na Hawahiji ndio wapate Fadhila.... Sisi tufunge mwezi 9 kutokana na mwandamo wa Makan yetu.... na kuandama mwezi dunia nzima siku 1.. na pia haliwezekani.... #ALLAH NI MJUZI ZAIDI... ALLAH ATUONGOZE
@KassimAlly-xp4dz4 ай бұрын
Sasa hii Swaum ya Arafah inawahusu nani maana walokuwepo Hijja wao hawafungi siku ya Arafah sasa hi Hadith 2funge siku ya Arafah ikoje naomba unijb
@mohamedbedui94864 ай бұрын
Jambo lakidini ya mwenyezimungu huwa halikengeuki jmn, wakat wa korona watu hawakuenda kuhiji wala hawakusimama arafa, swali swaum ya arafa ilikuwepo ?
@omarkhamis59134 ай бұрын
Watu walihiji na walikaa arafa pia
@saidmohammed24054 ай бұрын
naunga mkono
@mohagurey22144 ай бұрын
Man yudhilillahu fala hadiya lahu
@tariqsaad-hj9zn4 ай бұрын
Tareh ya kiisilamu saangapi inaanza nakufunga kunakupasa mchana au ucku?
@fedrickchristopher89564 ай бұрын
Mashaallah
@HamadaZubeirTahir4 ай бұрын
Kwaiyo Sheikh Mselem ile Hadithi ya Abdallah Bin Abbaas na Quraib wewe huitaki ama unaikataa si ndivyo?
@AmeKombo-n8cАй бұрын
Ni kweli uyasemayo
@abdallasalim41044 ай бұрын
Hiyo mantiki sheikh imemempiga chenga sana
@AdamHwai4 ай бұрын
Shekhe nimekuelewa sana
@sheikh_abdulkarim4 ай бұрын
Toa hoja za upande wako lakin sio kuona upande mwingine hawajui maana mwenyewe hapo..... sijaelewa kabisa
@suleimanayoubkhamis54194 ай бұрын
Na ingekuwa dunia nzima inaongozwa na kiongozi mmoja mfano Mtume Muhammad (SAW) basi bila shaka angeruhusu kila nchi ifunge na kufungua kwa kuuona mwezi kwenye nchi yao au karibu ya nchi yao. Na alifanya hivyo wakati wa uhai wake. Mfano: upo wakati Saudia walifunga siku tafauti na Oman.
@vicentpantaleo58374 ай бұрын
Kama nkufunga kila nchi na mwez wao mbona mwaka huu tumefungua bila kuuona mwez au aliuona wap ndg ndug yangu
@ahmedaltiwany4 ай бұрын
Suali lipo hapa, je ikiwa kuna nchi ipo mbele kwa masaa imetizama mwezi siku ya 29 haikuoona watahesabu 30, na kuna nchi nyengine ipo nyuma kimasaa ilipofika magharibi wakatizama mwezi wakauona sasa kwao ni tarehe 1, je wale wa mwanzo wabadilishe records zote walizoeka ili tu kufanana na hawa??
@abdab84664 ай бұрын
Hapo mseleme unalizimisha
@abdulrahmansalim16534 ай бұрын
Swadaktaa sheikh umelichambua kisawasawa
@rahmasaeed68604 ай бұрын
Mashallah
@mrafm72854 ай бұрын
Huo mfano nilishawaambia watu lkn Kuna watu mibishi duniani lkn Iko siku wataelewa Inshaallah
@KambiRamadhan-pm1sy4 ай бұрын
Naomba namba yako
@Kabeya4104 ай бұрын
SHEKH unajieleeza saana ila hoja ni mwezi mwandamo ndo tarehe inahesabika mzee 🤣 umekubali mwenyewe kuna tofauti ya Matlai huwezi kubadili yakawa sawa duniani kote Arafa mwezi 9 saudia kwengine ni mwezi 8 hawawezi kufunga mwezi 8 kawaida kufunga ni mwezi 9 ila maca kama mwezi ni 9 sawa wataswali siku inayofuata na aliekwenda Hija inamuhusu tarehe ya pale alipo. Ikiwa hoja mwezi ni mmoja na jua ni moja dunia nzima ingekua mnataka kufanya kinachofanyika maca basi adhana ya maca magharibi tuswali Tanzania na dunia nzima itakua maajabu kuna sehemu magharibi itakua haijazama jua utalazimisha wafungue jua kali. KINGINE JUZI JUA LIMEPATWA NA MTUME KASEMA LIKIPATWA JUA TUKIMBILIE MSIKITINI KUSWALI SWALA YA KUPATWA JUA MPAKA LITAKAOACHILIWA JE MLISWALI MAANA KUPITIA TV TIMEONA ULAYA ILIKUA GIZA KWA DAKIKA KADHAA ILA KWENU ILIKUA HAKUNA JE TUMEMUHALIFU MTUME?? 😅😅 KAULI YA MTUME NI AMRI MPAKA KIAMA NA MANENO YAKE NI WAHAYI JE MWENYEEZI MUNGU ASTAGHAFIRULAH HAKUJUA NYAKATI HIZI KUTAKUA NA HITILAFU YA ARAFA JIBU HAPANA ALLAH ANAJUA YA MWANZO YA SASA NA YAJAYO KILA KITU KISHAKIWEKA SAWA ILA WATU WANAFUATA USHABIKI KWA MASHEKH ZAO KAMA YANGA NA SIMBA SIYO HOJA.
@Kabeya4104 ай бұрын
Hawa MAWAHABI NI TATIZO KIONGOZI WAO IBNI UTHAIMIA KTK KITABU CHAKE KASISITIZA FUNGA NI MWEZI 9 KILA ALIPO AFUATE MWEZI MWANDAMO KAMA RAMADHANI ILIVYO NA HUYO SHEKH WANAMKUBALI HAWA WOOTE WANAOSEMA KUFUNGA ARAFA NI MOJA MKUBWA WAO SHEKH WAO KAWANYOA NA CHUPA 😅
@Superbasil-h3x4 ай бұрын
Hebu jamani niambieni . Mtume SAW alikuwa akifunga kabla ya kufaradhiwa hija . Na hata bada ya kufaradhiwa hija haikuthibitika kuwa slikuwa akifunga kwa kuzingatia muandamo wa maka JAMINI ACHENI BIDAA ZA KISALAFI