SHEIKH MSELEM SUALA LA ARAFA SISI LINATUZONGA SANA HEBU TUFAFANULIE KWA UFAHAMU WAKO

  Рет қаралды 49,531

J TV ZNZ

J TV ZNZ

Күн бұрын

Пікірлер: 426
@khalifa_kuchi
@khalifa_kuchi 4 ай бұрын
Leo wallah sheikh mselem umeufungua ulimwengu na allah akulipe kheri, umefikisha na mungu anakuona ila kazi ya kuongoa ni ya allah, huu ni ukumbusho kw mwenye akil timamu ila kw machizi subirin ashuke malaika ndio mukumbushwe kw adhabu ya mungu
@salumtakao9828
@salumtakao9828 4 ай бұрын
Shekh mselemu Leo nmezidi kukuelewa. Hili swala lkuw na tarekh moj linwezekn sema watu ndo watetea umakund na hii arafa ni moja tu mashallah.
@mafiatv5479
@mafiatv5479 4 ай бұрын
arafa siku kitendo ausehemu?
@twahambowe440
@twahambowe440 4 ай бұрын
Arafa ni siku, arafa ni kitendo, na arafa ni eneo au sehemu
@RashidmohdRashid-zi2tr
@RashidmohdRashid-zi2tr 4 ай бұрын
Hongera shekhe nimekuelewa sna tu mie mashaallah kwa mawaidha mungu akuzidishiye Inshaaallah..
@makerebul3650
@makerebul3650 4 ай бұрын
Asante sana shekh msellem, unaeleweka sana Allah akuzidishie Ufasaha wako, na akulinde na wabaya Amiin
@SHOMARYHIMIRY
@SHOMARYHIMIRY 4 ай бұрын
Aamin aamin aamin
@mohamedally6428
@mohamedally6428 4 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi ktk Dunia yako na akhera yako sheikh mselem nimekufahamu vizur sana alhamdulilah Allah akulipe kheri aamin
@MussaaliMohamed
@MussaaliMohamed 4 ай бұрын
Shekh Mselm bin Ally Allah kuzidishie ilmu y ahera akupe kitabu chako kw mkono wakuli
@wizlamability
@wizlamability 4 ай бұрын
Maasha Allah akujaalie mwisho mwema shk MSELEM BIN ALLY
@HassanSalum-qs2qp
@HassanSalum-qs2qp 4 ай бұрын
Mashaallah umeeleweka alhamdulillah sheykh mselem ali ..swadakta
@abdallahyusuf7641
@abdallahyusuf7641 4 ай бұрын
Mashaallah swadakta mimi nimekuelewa zaidi . Nashukuru kwa kunielewesha ALLAHakuzidishie maisha malefu yenye afya inshallah
@EdiDula
@EdiDula 4 ай бұрын
Wenzake baada ya kutoka segerea, wameamua kuwaridhisha wakubwa kwa kutoa fatwa zakuwaridhirisha viongozi wakiwa machoni mwao, Allah akuhifadhi sheikh Msellem, nakuelewa sana kwa ufafanuzi wa hoja za wazi
@mubarakmohammed7311
@mubarakmohammed7311 4 ай бұрын
Je Mtume SAW, aliacha muongozo gani?
@omarissamashaallahpresiden2920
@omarissamashaallahpresiden2920 4 ай бұрын
Edi ww mtoto Bado hakuna elimu ya mtu mmoja masheikh kila mmoja na anavyofahamu yy ameona kufuata saudia ndio elimu yake ilivomwambia na hao unaosema wametoka gerezani ndio elimu Yao ilivomwambia nyie mliobaki bendera hufata upepo kasome kwanza ndio utukane (
@badimruma6695
@badimruma6695 4 ай бұрын
Asalamu Alaykum Shekhe, naomba kuuliza kwa lengo la kujifunza, hivi ikitokea nimeuona mwezi leo, lakini Saudia wasiuone leo, wauone kesho, inatakiwa mimi nisiukubali mwezi niliouona Tanzania? La pili, katika umri wangu sijapata kusikia Saudia wametangaza kuwa mwezi umeandama Tanzania hivyo tarehe ya Ki Islamu imeanza, hivi mwezi hauwezi kuandamia Tanzania? Mwisho, ni nani mwenye mamlaka ga kutangaza mwezi pale Saudia? Maana kuna mtu nilisikia akisema ni Serikali, lina ukweli? Shukrani Shekhe kwa mafundisho.
@mdauwetu
@mdauwetu 4 ай бұрын
Shekh anasema suala la mwezi mmoja. Kiufupi huo mwezi uonekane Saudia basi. Maana wao mwez ukitangulia kwengine wanaukataa
@IshakaShauri
@IshakaShauri 4 ай бұрын
Ww ndo faraja yang ktk ufahamu wako unavyofafanua jambo mashallah
@abouMuslin97
@abouMuslin97 4 ай бұрын
Alhmdulillah jazakaAllah kheir mashaAllah TabarakaAllah hoja imeeleweka na maelezo yamefahamika
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu
@ConfusedDahliaFlower-mb7mu 4 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema nasie tunae kufatilia
@NefeslZoOl
@NefeslZoOl 4 ай бұрын
Khekma hupatikana kwawenye ukubwa wa Elimu kama Shekhe Ally Allah awapee nuru na wengine Inshaallah
@MkubwaKhamis-m4l
@MkubwaKhamis-m4l 4 ай бұрын
Mashaallah allah akuhifadhi sheikh yaan umeogea point ya msingi kabisa na muhimu sana kuzingatia hili
@Bombwejr18
@Bombwejr18 4 ай бұрын
Allah amuhifadhi sheikh mselem 🤲🙏
@nassortrans12
@nassortrans12 4 ай бұрын
ماشاء الله بارك الله فيك وجزاك الله خيرا كثيرا
@HajiKipingu
@HajiKipingu 4 ай бұрын
Baaraka llahu fiika,umenyooka sana wao waendelee kupotosha watu malipo yapp
@kisanganyakiswanta1379
@kisanganyakiswanta1379 4 ай бұрын
Sasa nimekuelewa vizur sana shekhe hata mtu asie na elim akikosa kukuelewa basi huyo ana siasa zake shukran sana shekhe
@hassanZubery-o4m
@hassanZubery-o4m 4 ай бұрын
Akili kubwa sana hii..shekhe umeeleweka vilivyo
@zedcomobilephones
@zedcomobilephones 4 ай бұрын
Kiukweli Mimi sijamuelewa turudi pale pale katika hio dollar walipeana vipi taarifa wa muandamo wa mwezi? Na kama ikiwa zaman walikua wakitofautiana katika miandamo inamaaana technology ndio imebadilisha Sheria za dini?
@SAIDMOTE
@SAIDMOTE 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem nimekuelewa vizuri sana, shukran
@faisaloaljabry6400
@faisaloaljabry6400 4 ай бұрын
Asiye taka kuelewa hataki tu Sheikh Kuwaelekeza watu wasiyo taka kuelewa haisaidii bora tuwaombee Allah awaongoze In Shaa Allah
@fisabillah-o7r
@fisabillah-o7r 4 ай бұрын
Umesema kweli @faisal
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 4 ай бұрын
Watak bakora tu wengin at izo dua haziwapati
@mafiatv5479
@mafiatv5479 4 ай бұрын
ndg msiwalazimishe watu, acheni usenge wajina nyie, kila mtu anamaono yake
@asamandhiry8648
@asamandhiry8648 4 ай бұрын
Sheikh Msellem umeongea na kufahamika ulichokiongea. Ila umeelezea juu ya tarehe moja ni sawa hapo hapo ulitakiwa kuongea tofauti za nyakati. Huku jua lina piga umesema ni saa sita mchana huku upande wa pili giza totoro usiku wa saa ngapi ikiwa watu wamesimama Arafa mchana upande wa pili usiku, inayumkinikaje waliopo katika jiza la usiku wakafunga sunna ya Arafa?! hawawezi kufunga abadan! Tunatakiwa tufuate nyakati na nyakati zinatazamwa kwa mwezi, kiislamu. Nahisi ulikuwa ueleze tofauti za nyakati pia. Wabillahi taufiq
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 4 ай бұрын
Asante sana sheikh mselem
@magodanionlinetv
@magodanionlinetv 4 ай бұрын
ماشاءاللہ جزاك اللهُ‎
@magodanionlinetv
@magodanionlinetv 4 ай бұрын
allah akupe umri wenye mnufaa na mwisho mwema
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 4 ай бұрын
Maa Shaa Allah! Jazak Allah Kheyr.
@FatumaSaid-t4r
@FatumaSaid-t4r 4 ай бұрын
MashaaAllah Allah akuhifadhi shehe wetu.
@mkude
@mkude 4 ай бұрын
Maashaallah ALLA H akuhifadhi sheikh umeeleweka vizuri
@hassanyusuph9446
@hassanyusuph9446 4 ай бұрын
Tunao fanya kama shekhe alivyo eleza ni sawa na tunao fanya kwa namna nyengine pia n sawa kwa mtazamo wangu sababu kubwa ya wote kua sawa n kwamba wote tunatafuta fadhila za mwenyezimungu na radhwi zake
@sadammjili9101
@sadammjili9101 4 ай бұрын
Hukuna ibada pasipo stahiki kwan kufunga siku ya eid ni dhambi
@tobosha3236
@tobosha3236 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi Sheikh Mselem
@SelemaneArabeArabe-wd8fb
@SelemaneArabeArabe-wd8fb 4 ай бұрын
Chehk Allah akulipe Kwa ufafanuzi nzuri sana
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 4 ай бұрын
HAPO NIMEKUFAHAMU JAPO WEWE HUJAFAHAMU SHEKH MSELEM TUNATAKIWA TUFUNGE KWA KUONA MWEZI NA TUFUNGUWE KWA KUONA MWEZI RAMBDACATOKE HALIFA LAKINI KI UHALISIA KILA NCHI NA KUONA KWAKE MWEZI
@mubajoti743
@mubajoti743 4 ай бұрын
Dah hakiamung nikimskilz sheh mselem namuele nikimskilz sheh farid namuelew yn naumia kichw man wot wana point dah sjui nifate wapi 😢😢😢
@RajabuBabu-c9y
@RajabuBabu-c9y 4 ай бұрын
Nashukuru nimekuelewa
@hadijamushi8674
@hadijamushi8674 4 ай бұрын
Barakallahu fikhy sheikh wetu
@salimrajabu4688
@salimrajabu4688 4 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh mselem Aly
@khamishassan68
@khamishassan68 4 ай бұрын
Sheikh wangu doo hilijiwe mashallah. Hapa lazima dozi ingie kama akili inafanya kazi.
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 4 ай бұрын
Nimependa hapa ulivosema "KWA MTAZAMO WANGU MIMI" Jazakkallahul-kheir
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 4 ай бұрын
Unakuta mnaopinnga hata kuswali huuswali kazi. Kusubili eid tuu
@AbuwJuhaymah
@AbuwJuhaymah 4 ай бұрын
Unabichwa gumu wewe kaah
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 4 ай бұрын
Ni mtazamo wake lkn ni WA kielimu sio ubishi wa maskani!
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 4 ай бұрын
Allah ni Mjuzi Zaidi....
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 4 ай бұрын
@@AliSalim-yu4mo kwani lazima umuelewe ww bhana walomuelewa inatosha so hata mtume alipingwa japo Jambo alilokuja nalo walikuwa Ni hakki lakini walimpinga ndo kawaida ya wanadamu unazani tutaongoka wote itakuwa ibilis haina maana ya kuwepo basi ili maandiko yatimie lazima wengine wapinge hakki uliona wapi wote mtaamini
@hilaljaffery4011
@hilaljaffery4011 4 ай бұрын
Hatuwezi kuwa na tarehe moja dunian kweny uislam Na tareh ya kiislamu haiwez kuwa sawa na tarehe za kikafiri ndo maan uislam umekuja mgeni na utaondok mgeni Uislam Mola ameutwahirishaaa usiufananishe na tarehe za kikafiriu
@user-di1lg1pm2l
@user-di1lg1pm2l 4 ай бұрын
shukran kwa elmu mashallah
@jumasalum2677
@jumasalum2677 4 ай бұрын
Swadakta Umesema ukweli Kumbe wewe una elimu kweli na msimamo wa kweli Masha Allah
@MohamedKilindumbo
@MohamedKilindumbo 4 ай бұрын
Masha llah Allah akubaari
@AbdulIssa-o7e
@AbdulIssa-o7e 4 ай бұрын
Sghekhe umeeleweka. Vzr sana sema watu leo hawataki hakki wanasukumwa na mihemko ya makundi ila ukitaka haki ulichongea ni sahihi kabisa 😢
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 4 ай бұрын
Sio miemko sheikh kaongea vizur saa kalend ya kizungu hii ikifika mda huna aja yakumuangalia mtu time imechange lakin swala la mundamo wengine wanaweza fika saa8 usiku awakuswali taraweh awakuwa nania awakujiandaa na ibada sa 11 alfajir ndo wanapata taarifa au 12 hawa funga yao ramadhan itakuwaje
@mikealeck6447
@mikealeck6447 4 ай бұрын
Genius, Maasha Allah
@esir6667
@esir6667 4 ай бұрын
Kiongoz mmoja yupo ni qur an na sunna na hilo ndo tulioachiwa sio saudi arabia
@mustafahakim-iq7dj
@mustafahakim-iq7dj 4 ай бұрын
Ufahamu wako mdogo
@esir6667
@esir6667 4 ай бұрын
@@mustafahakim-iq7dj nifahamishe
@RajabuMarinda
@RajabuMarinda 17 күн бұрын
fafanua iyo qur,'an na sunna zinasemaje kuhusu tareh, unaubishi wa kishetani
@esir6667
@esir6667 17 күн бұрын
@@RajabuMarinda ntakufafanulia vip wewe mkazi wa peponi wakija mashetan wenzangu ntawafafanulia
@NasmaThabith
@NasmaThabith 4 ай бұрын
Maashallah shaykh❤❤
@RashidmohdRashid-zi2tr
@RashidmohdRashid-zi2tr 4 ай бұрын
Mambo
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 4 ай бұрын
Swadakta Sheikh umejitahidi .safi na vizuri.
@hamisikanengene8285
@hamisikanengene8285 4 ай бұрын
Asante shehe
@abdukherykhamis73
@abdukherykhamis73 4 ай бұрын
Shekh mselem tunakuelewa na tunakufaham sana mashallah M/mungu akuhifadhi,lakini kwann ulipotafsiri Aya pale mwanzoni ,bwana mtume Muhammad s.a.w,wakati anapewa Habari na M/mungu ilikua ni mwezi muandamo au miez miandamo,mana Hua tunasikia kua tafsiri inayo Kuja hapo ni miez miandamo nasio mwezi muandamo,tunaomba ufafanuzi.
@RashidAhmed-h7t
@RashidAhmed-h7t 4 ай бұрын
Na mimi naomba unisaidie kwani miezi ipo mingapi?
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 4 ай бұрын
Kalenda wanayo Sheikh Mselem. Maana kama tutaiangalia Hijja ya mwaka 2025 tutaiona na tayari mpaka tarehe ya siku ya Arafa ishaandikwa.
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 4 ай бұрын
Kijaaliwa inshaAllah itakuwa alhamis tarehe tano mwezi wa sita
@HusseinAmaniOmarAlhamdy
@HusseinAmaniOmarAlhamdy 4 ай бұрын
Takbeer!! Allahu Akbar
@w4058
@w4058 4 ай бұрын
Hassan Yusuf uko sawa kwani Mtume SAW kwa mujibu wa khadithi za hao hao Masheikh wanasema aula ni kufuata muandamo wa unapoishi kwa hivyo tutafanya kwa mujibu wa maneno ya Mtume SAW nyie fuateni mnavyoona sawa na sie tutafuata tunavyoona sawa Allah atutaqabalie saumu zetu
@KomboFaki-xq4pw
@KomboFaki-xq4pw 4 ай бұрын
Eee sheikhe wangu wee amakweli hii imeenda nasikitika sina chakukupa ila Allah atakulipa kheir ishaalah
@AbdulRama-u7d
@AbdulRama-u7d 4 ай бұрын
Umejibu vizuri
@MgazaMhina
@MgazaMhina 4 ай бұрын
Nimekuelewa sana Shekhe wangu
@abdab8466
@abdab8466 4 ай бұрын
Hamo mselem umeuguza,ikiwa east afrika unasema siku ni sawa,je australia,na japan,na morrocc,
@ramadhanirajabu8774
@ramadhanirajabu8774 4 ай бұрын
Ahsante mwalimu
@MasudiNia-td7ie
@MasudiNia-td7ie 4 ай бұрын
Mi nauliza kushikwa kwa mwezi je ukishikwa saudia na sisi huku pia tutekeleze ibada ya kupatwa kwa mwezi?
@mwalimumzimba
@mwalimumzimba 4 ай бұрын
mashaalla jazakk llahu kheir
@NassorHamad-dj6sv
@NassorHamad-dj6sv 4 ай бұрын
Mi nimependa apo kwenye lailatul kadir kila Mmoja apelekewe yake kwenye kisahani Kwa siku yake
@RashidSeif-vd7up
@RashidSeif-vd7up 4 ай бұрын
Allah akulipe🎉
@abdulabdulathumani5992
@abdulabdulathumani5992 4 ай бұрын
Sheikh umeongea vzuri tunakupenda sana lakin swala la mwezi ni tofaut na tareh .tareh ikifika saangp tunajua sikuimechange mwezi umechange swala kuandam wanaweza pita watu saa 12 awajauona wamefika saa 8 usiku wengi wamelal hawakuw nania ya kufunga awaja swali taraweh saa 12 asubuh au saa 11 alfajir ndo wanapata taarifa watafunga vip awa
@hamiskilima5428
@hamiskilima5428 4 ай бұрын
Sheikh shukran kwa ufafanuzi lakini ume niacha na swali kichwani kwangu. Umetoa mfano wa jua na mwezi kwamba jua linachomoza likiwa zima na huzama likiwa zima lakini mwezi hubadilika ili kiwe kipimo cha wakati(siku). Sasa kama mwezi ni kipimo cha siku kwanini tusitumie kuhesabu siku za mwezi mzima? na badala yake kwanini tutangaziwe na watu kutoka sehemu zingine? Je tukifuata mwandamo ambao ndo kipimo je siku zinazidi au zina pungua? Assalaam alaykum
@warshysaid8564
@warshysaid8564 4 ай бұрын
Ńduģu yangu mwezi hubadilika shepu yake kutoko kuonekana nusu hadi kuwa mzima hatafu unarudi kuwa nusu sio kubadilika kwa kuzidi siku au kupunguwa mwezi una siku 29 na 30 tu
@warshysaid8564
@warshysaid8564 4 ай бұрын
Na swalii lakoo kwann tusittummiie mwezi 7bu tunaaonnggozwwaa naa maakaafiriii 9:23
@waziribakari6426
@waziribakari6426 4 ай бұрын
Tuwaache hawa matumaini yao ni kiama kitakuwa tofauti kitaanza Saudia na wao watakuwa na tarehe yao kama wavyo aminishana kwa kila watu na mwezi wao inshaallah watapata taarifa ili wajiandae siku yao ikifika nao watakuwa na siku yao ya kiyama Si ndio wanavyotaka na wafuate watakavyo
@yussufomar3796
@yussufomar3796 4 ай бұрын
Shukran sana Akhy umenisaidia kufikiri na kutafakari maelezo yake yupo sawa Sheikh Mselem kwa msimamo wake. Lkn je saudia ndiyo sehemu pekee mwezi unako andama sawa sawa??!!! Sheikh ananipa maswali mengi kichwani. Ninampenda kwa ajili ya Allah mzungumzaji mzuri sana ila hapa ananipa shida sana.
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 4 ай бұрын
Allh akuhifadh mselim
@ShaibuMohammed-tj8il
@ShaibuMohammed-tj8il 4 ай бұрын
Mtume aliweza kuwaambia LAKUM DIINUKUM WALIYA DIIN , Lakin binadamu wa leo kwenye pesa yupo tayar kupotesa dini kw ajili ya dunia
@abdallahhalifa5860
@abdallahhalifa5860 4 ай бұрын
Ssa sheikh msellem hapo ndipo ulipotuchanganya kutuambia watu wazamani ilivyokua mitandao haijaingia watu walikua wakifunga kwa muandamo sasa wataka sema Dini imekamilika ssa siku za nyuma ilikua badoo Sheikh hapo hujasema bado
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 4 ай бұрын
Masha Allah
@husseinshamte7129
@husseinshamte7129 4 ай бұрын
Tarekhe ya kiislamu (kufwta mwezi mwandamo) huwa zinafungamana na Ibada Ama hilo calendar la kidunia Wala halina mafungamano na Ibada Kama Tarekhe ni Moja ,,, kwanini ابن عباس aligoma kufungua alipoambiwa mwezi umeandama kwenye hadithi ya كريب na mwisho akasema هكذا علمنا رسول الله صلى الله عليه وسلم Hivi Ibn Abbas yeye alikua hajui kama Tarekhe ni Moja?
@abdukherykhamis73
@abdukherykhamis73 4 ай бұрын
Mie naongezea Ile tafsiri aliyo itoaa,ni swali kwa mwezi muandamo au miez miandamo kwa mujibu wa aya?
@saidmohamed6802
@saidmohamed6802 4 ай бұрын
mashaalaah
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 4 ай бұрын
Sheikh upo sawa kabisa kwa kweli tanzania na Kenya ndio wapingaji wakubwa lakini wenzetu wa west wanaungana na dunia sikukuu ni siku moja yaani ni Tanzania na kenya ndio kuna hii sintofaham Allaaa ndo ajuae zaidi
@mohagurey2214
@mohagurey2214 4 ай бұрын
Sababu ya masufi
@AbdillahAlly-fl4vh
@AbdillahAlly-fl4vh 4 ай бұрын
​@@mohagurey2214unawazimu wewe,masufi wamefanyaje
@mohagurey2214
@mohagurey2214 4 ай бұрын
@@AbdillahAlly-fl4vh wametutengenezea arafa yetu
@challengepcn7982
@challengepcn7982 4 ай бұрын
What about the people living in Australia and America
@suleimanhemed9543
@suleimanhemed9543 4 ай бұрын
Duuh kwa hakika ibilisi ana nguvu
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 4 ай бұрын
Allah aendelee, kukupa umri, maana hao mamluki wanapotez kundi kubwa sana, na Allah ajua mafikio yao
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 4 ай бұрын
Watu wenye upana wa maarifa na akili kubwa kama hii Wallaahi walistahiki zaidi watunzwe na waheshimiwe sana kwenye nchi zao. Lakini ajabu ya maajabu viongozi wa dunia yaleo, yule anaestahiki matunzo ndie anae dhalilishwa, na wasiostahiki matunzo ndio wanao tunzwa na kupewa shavu!!! Mnajua sbb ninini? Anaejua aniambie
@RashidSoudMohd
@RashidSoudMohd 4 ай бұрын
Asielewa maana usimpe maana she msellem umemaliz🤝🤝
@mafiatv5479
@mafiatv5479 4 ай бұрын
kamaliza yey mwanachuoni wanne au mumempasisha ww
@majondejohali5259
@majondejohali5259 4 ай бұрын
Kaongea kiswahili vzr
@IssaChikoka
@IssaChikoka 4 ай бұрын
Shekhe ninakuelewa cn ishaalla zidi kutuelimishs
@mwadinbakar9553
@mwadinbakar9553 4 ай бұрын
Mbona Enzi hizoo za wale MAGWIJI wa Elimu ya kiislamu (akina SUMEIT) hayakuwepo haya 'mazonge'? Kama sio Kanisa basi Marekani yupo katikati ya hili VURUGU
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 4 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@HileHile-ns9xv
@HileHile-ns9xv 4 ай бұрын
Swadakta nkwel kabsa Allah atuongoze
@IbrahJumbe
@IbrahJumbe 4 ай бұрын
Shekh hapo nataka kukuuliza kitu kiislam siku inaisha saa kumi na mbili za jioni je kama sehemu moja tayari muda huo ushafika na hawa wengine bado je yupi atakuwa mbele na siku na tarehe au wote wapo sawa na kama wapo sawa inawezekanaje na hawa washamaliza siku na hawa wengine ndo wanaenda kuimaliza siku
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 4 ай бұрын
Siku inaanzia mashariki. Hivyo sisi tuko mashariki ndio wa mwanzo then wanafuata wengine
@msafirithabiti2724
@msafirithabiti2724 4 ай бұрын
Fuatilia hata mpira, wakicheza saa kumi hapa Tanzania basi nchi nyingi zinakuwa ni saa nyuma ya saa kumi kama saa saba na kadhalika.
@nassorsuleiman451
@nassorsuleiman451 4 ай бұрын
Mm naon sheikh kazungumza zaid kwa UFAHAM WAKE no hadith na aya iliyotumika ni kwa utambuzi wa nyakat zaid
@abuuahmed5697
@abuuahmed5697 4 ай бұрын
Kama hujaelewa na unataka hadithi nitafute Mimi nitakusaidia inshallah
@JUMAKANYEBWE-hy7ge
@JUMAKANYEBWE-hy7ge 4 ай бұрын
Hii ndo kweli hakuna tarehe moja mbili kwa mwezi wakiona wenzenu fateni mwezi hautoshi kuenea dunia nzima kwa wakati mmoja
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 4 ай бұрын
Hatusemi sisi ni Arafa yetu Jumapili hapana... sisi tunafunga mwezi 9 ulosuniwa... Hatupo Makka.. Arafa ipo Makka.... Swiyam ya Mwezi 9 ilifungwa Kabla kufaradhishwa Hijja..... Tulikuwa hatujui Kama kuna Arafa... Media Situghuri..... Hatupingi neno Swaumu Arafa... ila ni kwa walokuwepo Makka na Hawahiji ndio wapate Fadhila.... Sisi tufunge mwezi 9 kutokana na mwandamo wa Makan yetu.... na kuandama mwezi dunia nzima siku 1.. na pia haliwezekani.... #ALLAH NI MJUZI ZAIDI... ALLAH ATUONGOZE
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 4 ай бұрын
Sasa hii Swaum ya Arafah inawahusu nani maana walokuwepo Hijja wao hawafungi siku ya Arafah sasa hi Hadith 2funge siku ya Arafah ikoje naomba unijb
@mohamedbedui9486
@mohamedbedui9486 4 ай бұрын
Jambo lakidini ya mwenyezimungu huwa halikengeuki jmn, wakat wa korona watu hawakuenda kuhiji wala hawakusimama arafa, swali swaum ya arafa ilikuwepo ?
@omarkhamis5913
@omarkhamis5913 4 ай бұрын
Watu walihiji na walikaa arafa pia
@saidmohammed2405
@saidmohammed2405 4 ай бұрын
naunga mkono
@mohagurey2214
@mohagurey2214 4 ай бұрын
Man yudhilillahu fala hadiya lahu
@tariqsaad-hj9zn
@tariqsaad-hj9zn 4 ай бұрын
Tareh ya kiisilamu saangapi inaanza nakufunga kunakupasa mchana au ucku?
@fedrickchristopher8956
@fedrickchristopher8956 4 ай бұрын
Mashaallah
@HamadaZubeirTahir
@HamadaZubeirTahir 4 ай бұрын
Kwaiyo Sheikh Mselem ile Hadithi ya Abdallah Bin Abbaas na Quraib wewe huitaki ama unaikataa si ndivyo?
@AmeKombo-n8c
@AmeKombo-n8c Ай бұрын
Ni kweli uyasemayo
@abdallasalim4104
@abdallasalim4104 4 ай бұрын
Hiyo mantiki sheikh imemempiga chenga sana
@AdamHwai
@AdamHwai 4 ай бұрын
Shekhe nimekuelewa sana
@sheikh_abdulkarim
@sheikh_abdulkarim 4 ай бұрын
Toa hoja za upande wako lakin sio kuona upande mwingine hawajui maana mwenyewe hapo..... sijaelewa kabisa
@suleimanayoubkhamis5419
@suleimanayoubkhamis5419 4 ай бұрын
Na ingekuwa dunia nzima inaongozwa na kiongozi mmoja mfano Mtume Muhammad (SAW) basi bila shaka angeruhusu kila nchi ifunge na kufungua kwa kuuona mwezi kwenye nchi yao au karibu ya nchi yao. Na alifanya hivyo wakati wa uhai wake. Mfano: upo wakati Saudia walifunga siku tafauti na Oman.
@vicentpantaleo5837
@vicentpantaleo5837 4 ай бұрын
Kama nkufunga kila nchi na mwez wao mbona mwaka huu tumefungua bila kuuona mwez au aliuona wap ndg ndug yangu
@ahmedaltiwany
@ahmedaltiwany 4 ай бұрын
Suali lipo hapa, je ikiwa kuna nchi ipo mbele kwa masaa imetizama mwezi siku ya 29 haikuoona watahesabu 30, na kuna nchi nyengine ipo nyuma kimasaa ilipofika magharibi wakatizama mwezi wakauona sasa kwao ni tarehe 1, je wale wa mwanzo wabadilishe records zote walizoeka ili tu kufanana na hawa??
@abdab8466
@abdab8466 4 ай бұрын
Hapo mseleme unalizimisha
@abdulrahmansalim1653
@abdulrahmansalim1653 4 ай бұрын
Swadaktaa sheikh umelichambua kisawasawa
@rahmasaeed6860
@rahmasaeed6860 4 ай бұрын
Mashallah
@mrafm7285
@mrafm7285 4 ай бұрын
Huo mfano nilishawaambia watu lkn Kuna watu mibishi duniani lkn Iko siku wataelewa Inshaallah
@KambiRamadhan-pm1sy
@KambiRamadhan-pm1sy 4 ай бұрын
Naomba namba yako
@Kabeya410
@Kabeya410 4 ай бұрын
SHEKH unajieleeza saana ila hoja ni mwezi mwandamo ndo tarehe inahesabika mzee 🤣 umekubali mwenyewe kuna tofauti ya Matlai huwezi kubadili yakawa sawa duniani kote Arafa mwezi 9 saudia kwengine ni mwezi 8 hawawezi kufunga mwezi 8 kawaida kufunga ni mwezi 9 ila maca kama mwezi ni 9 sawa wataswali siku inayofuata na aliekwenda Hija inamuhusu tarehe ya pale alipo. Ikiwa hoja mwezi ni mmoja na jua ni moja dunia nzima ingekua mnataka kufanya kinachofanyika maca basi adhana ya maca magharibi tuswali Tanzania na dunia nzima itakua maajabu kuna sehemu magharibi itakua haijazama jua utalazimisha wafungue jua kali. KINGINE JUZI JUA LIMEPATWA NA MTUME KASEMA LIKIPATWA JUA TUKIMBILIE MSIKITINI KUSWALI SWALA YA KUPATWA JUA MPAKA LITAKAOACHILIWA JE MLISWALI MAANA KUPITIA TV TIMEONA ULAYA ILIKUA GIZA KWA DAKIKA KADHAA ILA KWENU ILIKUA HAKUNA JE TUMEMUHALIFU MTUME?? 😅😅 KAULI YA MTUME NI AMRI MPAKA KIAMA NA MANENO YAKE NI WAHAYI JE MWENYEEZI MUNGU ASTAGHAFIRULAH HAKUJUA NYAKATI HIZI KUTAKUA NA HITILAFU YA ARAFA JIBU HAPANA ALLAH ANAJUA YA MWANZO YA SASA NA YAJAYO KILA KITU KISHAKIWEKA SAWA ILA WATU WANAFUATA USHABIKI KWA MASHEKH ZAO KAMA YANGA NA SIMBA SIYO HOJA.
@Kabeya410
@Kabeya410 4 ай бұрын
Hawa MAWAHABI NI TATIZO KIONGOZI WAO IBNI UTHAIMIA KTK KITABU CHAKE KASISITIZA FUNGA NI MWEZI 9 KILA ALIPO AFUATE MWEZI MWANDAMO KAMA RAMADHANI ILIVYO NA HUYO SHEKH WANAMKUBALI HAWA WOOTE WANAOSEMA KUFUNGA ARAFA NI MOJA MKUBWA WAO SHEKH WAO KAWANYOA NA CHUPA 😅
@Superbasil-h3x
@Superbasil-h3x 4 ай бұрын
Hebu jamani niambieni . Mtume SAW alikuwa akifunga kabla ya kufaradhiwa hija . Na hata bada ya kufaradhiwa hija haikuthibitika kuwa slikuwa akifunga kwa kuzingatia muandamo wa maka JAMINI ACHENI BIDAA ZA KISALAFI
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
黑的奸计得逞 #古风
00:24
Black and white double fury
Рет қаралды 26 МЛН
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Los Wagners
Рет қаралды 47 МЛН
FADHLA ZA SIKU YA ARAFA
58:30
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 5 М.
MAJIBU JUU YA URONGO WA ALI ABUBAKAR || SHEIKH MUHSIN ALI BUTE
20:29
Markaz Swalihinal- islamy Mombasa Kenya
Рет қаралды 8 М.
KISA CHA MAMA ASIYEKUA NA KHERI KWA WATU // SHEIKH OTHMAN MAALIM
50:30
arkas online tv
Рет қаралды 21 М.
Hivi ndivyo wanavyofanya wanasiasa SHEKHE MSELEMU ALLY
54:49
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 73 М.
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36