Sheikh Ponda ni philosophical ya juu nae shujaa asie moga fasaha ya maneno yake yanaingia katika nyoyo za Waislamu na wala hawezi kulinganishwa na yeyote. Mungu ampe maisha marefu na amuepushe na kila la ovu na kumnusuru kama alivomnusuru hapo nyuma. Aaaaaaamiiin
@FeisalDoctor-wr8wsКүн бұрын
🎉🎉Kabisa kaka
@suleimanmosooud9405Күн бұрын
Tume kwabia wachana na siasa zitakuodoshe mpezi juyawatu wanao penda kusikiliza. Odosha mazugimzo ulio yasema kuhsu Chadema. Wachie wenye Wana siasa utapedeza kwawote
@KhamisHaji-pw4joКүн бұрын
Allahu-akbar
@KalicKaguzКүн бұрын
Takbir
@kijitamfyomi5598Күн бұрын
We ndo mamluki Sheikh Ponda anajulikana dunia nzima kua ni mpigania haki popote pale anapoiona. Halafu c Sheikh njaa ni Sheikh alieipa nyongo dunia na wala huwezi kumkuta kwenye milango ya wakubwa akijipendekeza Na we mwaipopo huna mamlaka ya kumkosoa Ponda we uza mafuta yako ya upako muwache ponda
@user-uf6qf9lx4yКүн бұрын
Sheykh ponda ni habari nyingine.siyo size ya huyo kijana mpumbavu
@anordiobadia.nycsong8123Күн бұрын
Sheikh ponda ni nuru ya watanzania
@FadhiliMakasi-vb9dl2 күн бұрын
Ponda utampinga wewe punguani. Tuachie shekhe wetu. Lakini pia Ponda kumsema Mama Nikosa. Nakili hivyo Wapinzani wanataka kuku anika kwenye Midia uonekane Mchochozi upate misukosuko
@mussabuhe88812 күн бұрын
vijembe kwanini jamani ponda ni mzee wetu Amna adabu jamani
@FrankNzombo-k3jКүн бұрын
Ponda ni sheikh mwenye kujitambua nitofauti na mashekh wengine
@hamdincatalonia3272Күн бұрын
Wewe kaa kmya ujui kitu katika uislamu
@AGM196972 күн бұрын
Shehe ponda ni mkweli na muwazi na ndio inavyotakiwa kuwa kiongozi wa dini kusimamia mema ktk jamii. Palipo na matatizo ni kusimama na kusema ukweli. Sasa watu wanazidi kutekwa na kuuwawa, hakuna kinachobadirika na nyie viongozi wa dini mpo mkae kimya mnafiki mwisho wake itakuwa nini?
@KalicKaguzКүн бұрын
We naye unamsema sheikh nyuma ya pazia una lolote. Sheikh Ponda mwansharakati
@ambonisyekasanga6017Күн бұрын
Wewe Mwaipopo Kwaiyo ulitaka, Shehee Ponda anyamaze kimya watu angali wanakufa, dini ya kislam haipoivyo, Shehee Ponda kasimama katika kweli.
@engineerjuma987622 сағат бұрын
Kwa nini unamsema mwaipopo? we kijina kwani huna uelewa
@georgempogomi7329Күн бұрын
Chawa la mama
@ramadhanmahongole9293Күн бұрын
Masheikh kama mwaipopo ni masheikh njaa hawa
@julianamwamgogwaКүн бұрын
Iv mnadhani ili ni shehe ili ni litafuta kula lichumia tumbo
@maulidimanzi996416 сағат бұрын
Kama ungekuwa unampenda shekhe ponda ungempigia simu ukamuelekeza na cyo kumdhalilisha mitandaon
@fatmafatu11282 күн бұрын
Watanzania tunajua kama shekhe ponda ni shekhe tena mcha nungu wewe ndie hujitambui mpuuzi wewe kwanza lishenzi hili jamaa lina tabia chafu kwenye TikTok ulikuwa unaposti vimada vyako viko uchi kaeni kimya achaneni na shekhe ponda yeye ni msomi sio kama nyinyi wehu
@AGM196972 күн бұрын
@@fatmafatu1128 😊😊😊
@willsoniissayaКүн бұрын
Kama nikosa siashitakiwe
@willsoniissayaКүн бұрын
Nyie wote nimachawa wamama sheeh ponda anajierewa
@FeisalDoctor-wr8wsКүн бұрын
Ukimuon mtu anamshambulia shehe ponda ni mwanaharam uyo mpumbavu anaetoa maneno y kipumbavu anatakiw kukatwa kichwa
@SarafinaJoseph-f3h18 сағат бұрын
Kwan rais yeyeninani asisemwe mbona ww kila kukicha unawasema wakristo huyo jamaa yupo sahihi acha ujinga ww
@babazungu31802 күн бұрын
Hata ww ni chawa wa ccm,shekh ponda ni shekh wetu
@AGM196972 күн бұрын
@@babazungu3180 Wewe unamacho ya kuuona ukweli
@julianamwamgogwaКүн бұрын
Kwa komenti za kila matukio niwazi watu wameichoka ccm ni wachache wanao unga mkono upuuz wa selikalu na chama chao
Kwani huyu ndiye msemaji wa Dini ya Kiislam hapa Tanzania?😂😂😂 Kwani uislam unakataza mtu kuwa chama flani? Pia wewe mwaipopo unatafuta namna ya kumsema mzee Ponda umeshafahamika huwezi kujifucha kwenye hicho kichaka unacho jificha tumesha kuelewa.😂😂😂
@user-ep1pi5pw3kКүн бұрын
Wewe mnafiki mkubwa.hueleweki YAANI wewe unatafuta pesa kwa kujipendekeza Kila Kona Ili upate
@SarafinaJoseph-f3h18 сағат бұрын
Acha kujipendekeza kwaselikali huo niuoga wamaisha
@hamisidd81242 күн бұрын
Shekhe ponda amekosea Kama anataka avue kanzu avae gwanda
@AGM196972 күн бұрын
Kumbe kuwa mkweli na muwazi ni kosa kwa waislamu?
@Tupena-ov7xqКүн бұрын
Umetoa video nyingine kumtukana ponda, daa mwaipopo ni tabu sana njaaaaaa
@salifhatif1921Күн бұрын
Bangi za chooni bwana zinachanganya.
@omarsultan4502Күн бұрын
Yaan ww umeileteta kusudi hio video ili kuonesha namna shekhe ponda alivyotukanwa unajifanya kumtetea ponda ! Kum*
@willsoniissayaКүн бұрын
Wewe nimuoga unamaanisha
@matukutajuma156Күн бұрын
HUYO KIJANA NI SHOGA!
@Mussaphanuel-p1qКүн бұрын
Acha kutafuta uchawa kwa Rais wako.wakimaliza watekwaji wata kumaliza na ww.hicho unacho taka kisifiwe.hakina sifa.kime shindwa kuwalinda watu wake.Hivyo acha kutuchanyanya.kajifunze kuongea na ukasome vizur.muache ponda afanye kazi yake
@yassinnabwera4273Күн бұрын
Kwa hiyo wewe Mwaipopo,hapo utazungumzia dini au Siasa?Shehe kawaii kupigwa risasi,Je Mwaipopo umewahi kupigwa risasi na utawala huu uliopo?
Asalam alaikum sheikh mwaipopo ukweli mtupu hongera sana
@simbamtoto7530Күн бұрын
Kifupi wewe ni muoga ndio mana upitwi
@AkidaDaudi2 күн бұрын
Ponda jilekebishe na mm nakili kuwa ponda anamatatizo,
@AGM196972 күн бұрын
@@AkidaDaudi Kwasababu kaisema Serikali inayoongozwa na muislamu hata kama watu wanaendelea kutekwa na kuuwawa na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa?
@DaudiMakaza2 күн бұрын
Umeiyendea din ya wt vby
@songombingo108Күн бұрын
Dogo uwe na adabu. Huyo Shekh Ponda kwanza ni mkubwa kwako kiumri. Wewe ndo kwanza unaanza kufuga hizo ndevu. Kuongea kwenyewe hujui. Fala wewe😂😂
@baghabaghaingwengwe17502 күн бұрын
Mwaipopo bado huna hoja uwe unajipange wakati wa kutoa hoja
@AGM196972 күн бұрын
@@baghabaghaingwengwe1750 Mara nyingi sana anakuwaga kama kituko anavyoshindwa kupanga hoja zake
@PiusKimaroКүн бұрын
Shekh fek mtafuta kula
@anzurunindume2 күн бұрын
Suleh hajawai kua na mizozano na wewe mbali wewe ndie...
@DenisMpihigwa2 күн бұрын
Mungu hafanyiwi komedi kak so be serious and back to Jesus
@saidymbagalla66222 күн бұрын
Yani mtu kashaoga katakata tena unataka arudi kwenye uchafu?
@saidymbagalla66222 күн бұрын
Ktk vitu shekhe mwaipopo leo nimekudharau rasmi ni leo...et kwamba kwakua ni serikali basi hata ikifanya machafu kwa raia wake watuwote wakaekimya je nani ataondoa huo uchafu wakat Mungu mwenyewe kasema ukiuona uchafu uondoe kwa mkono wako na ukishindwa basi kemea.... Sasa kosa la ponda kukemea utekaji na mauaji wanayofanywa na watu wanao sadikika ni vyombo vya usalama ambavyo viko chini ya Samia kosa hapo nini? Au nawe mwaipopo ni chawa wa Samia? Hakika shekh leo umetukosea sana wengiwetu binafsi Kwangu Honda ni zaidi ya shekhe
@AGM196972 күн бұрын
Upo sahihi, Yesu ndie njia kweli na uzima, hakuna kwenda kwa Mungu bila kupitia kwa Yesu
@DaudiMakaza2 күн бұрын
Yaan kw naamn yk hkn mtu anaye wez kuvutiw na din yk ya majini mm namin yesu anakpenda na namin upo uko ktaft pesa ukizpata ynarud kw yesu
@binseif2216Күн бұрын
Karibu sana katika uislamu Dini ya Hakki Quran ishaeleza hata bible pia
@binseif2216Күн бұрын
Sitakiwi kukuijia juu bali Mtume ametusihi tuzungumze na nyie kwa upole na huruma ili muifate haki😢
@DaudiMakaza2 күн бұрын
Yaan km uislamu n din ya kwr bas mungu huy atakuw feki ten kichaa
@fatmafatu11282 күн бұрын
Acha ufara wewe na miemuko ukifa ndio utajuwa kama mungu ni kichaa ama laa toka kwenye ukafiri huko
Wewe ni mjinga uliyepitiliza, kwanini usiiongelee hiyo inayoongozwa na wanaosapoti ushoga.
@salehesalehe2967Күн бұрын
Wewe acha chuki na mungu utakuda kifo kibaya Sana
@user-uf6qf9lx4yКүн бұрын
Na wewe una Ropoka nini? Mbona Huna adabu mshenzi wewe kafiri mkubwa
@fundijumakimbaru76222 күн бұрын
Mimi sijaerewa kwani sheepona ariongea kuusu chama au utekaji Mimi nakumbuka kasema utekaji au siyo madaiyo?
@jumamustapha82542 күн бұрын
Hapo tatizo kwa sasa ni kusahau kazi ya dini na kujiingiza kwenye siasa. Mtufundishe imani siyo siasa mnatutoa kwenye dini.
@msarama5406Күн бұрын
@@jumamustapha8254siasa gani kaongea ponda yani kusema maovu mnamkataza mnaita siasa mjiandae kwa kujibu kwa Mungu
@KalicKaguzКүн бұрын
@@jumamustapha8254Siasa yenyewe ndo maisha yko kaka
@hassanmpemba57472 күн бұрын
na mimi namtilia shaka huyo shehe wa siasa na sio shehe wa dini
@fatmafatu11282 күн бұрын
Kama unamtilia shaka mpeleke mahakamani mwehu wewe
@AGM196972 күн бұрын
@@hassanmpemba5747 Kwahiyo kiongozi wa dini akisemea jamii kwa mauaji na utekaji unaoendelea nchini anakuwa mwanasiasa? Kama wahusika wanakaa kimya na utekaji unaendelea mlitaka nani awasemee wananchi ili wapone? Hamuoni kwamba mambo hayo yakiendelea yanaifanya Serikali kama imeshimdwa kuongoza?
@fatmafatu11282 күн бұрын
Shekhe ponda yuko sawa kuikosoa serikali kama inaenda visivyo nyinyi machawa wa ccm kila kukicha kuwasema watu wanao kosoa serikali sio malaika lazima waabiwe nyinyi kaeni mkisifia ujinga watu watekwe wauliwe eti mtu akae kimya
@AGM196972 күн бұрын
Sawa kabisaa
@haidarimfinanga97552 күн бұрын
Hivi Mwaipopo unaelewa hayo unayoyasema athari yake kwa dini yako? Hivi busara yetu iko wapi tunapozungumzia kadamnasi masuala ya dini yetu na ndugu zetu? Natamani ningekutana na kuzungumza nawe uso kwq uso. This is a shame. Phuuu!!
@haidarimfinanga97552 күн бұрын
Hii clip yako ni kwa ajili ya nini? Kumkosoa Kadogoo kwa kumdhalilisha Sheikh Ponda au Kumshambulia Sheikh Ponda kwamba ameikosoa Serikali ya Mh. Rais Samia? Yaani wewe umeona hapa ndipo jukwaa sahihi kufanya haya kwa maslahi ya dini ya Kiislamu??
@AGM196972 күн бұрын
@@haidarimfinanga9755 Kwakweli uchawa ukizidi sana mtu anakuwa anaharibu bila kujijua
@tanzanite99442 күн бұрын
Ponda ni Kinyonga kila wakati anabadilika kama Kinyonga kutokana na Upepo wa Siasa. Sasa hivi anatetea Magaidi Au wale wenye mlengo wa Kigaidi na yuko kinyume na Serkali kwasababu Serkali inaadhibu wale wanaojihisisha na vitendo vya Kigaidi Ndio sababu hapatani na Serkali.
@Anonymous232162 күн бұрын
Yaani waislamu ni wazuri wa kuteteana. Kwa hio sheikh akikosea asikosolewe? Dini ya hovyo kabisa hii. Hao ma sheikh wenyewe wajinga tuu amna lolote
@AGM196972 күн бұрын
Umeona eeeeh, wapo tayari kudaganya hata kama kila kitu kipo wazi kabisa ili mradi anayetetewa ni muislamu
@AGM196972 күн бұрын
Kwa Mungu sio kama mnavyofikiria
@Anonymous232162 күн бұрын
@@AGM19697 ndo walivyo hao ma poyoyo.
@jumamustapha82542 күн бұрын
Wewe ndiyo kafiri halisi, kwahiyo unahamasisha tutukanane kisa imani zetu.
@AGM196972 күн бұрын
@@jumamustapha8254 Kukemea uuwaji na utekaji sio kutukana, ni kuwakumbusha wahusika wachukue hatua na ni jambo jema kwa raia
@joezeno82 күн бұрын
Ule sheikh Mziwanda katukosea sisi Wakristo, maneno ya kihuni na ujinga ya Mchungaji moja, Sheikh badala ya kumjibu mchungaji, yeye anaanza kuwasema vibaya Wakristo wote pamoja na Wakatoliki! Eti inawezekana dini yao haina miko na inaruhusu kutukana viongozi! Maneno ya Chuki na udini!
@anzurunindume2 күн бұрын
Mwaipopo unamjua ao unamsikia
@AGM196972 күн бұрын
@@joezeno8 Mtu mmoja binafsi na sio Kiongozi wa dini hawakilishi dini nzima. Katika hali hiyo kuishambulia dini ni kuikosea adabu, watu wa hivyo ni vyema wakatubu na kama wana hoja ni kumkosoa msemaji na sio dini