Achen sifa kujiweka kwa mitandao nyny fanyen ibada ndo kilichoo wafkisha huko
@ModextaModexta-on7mi8 ай бұрын
🙏🤲🤲❤️❤️❤️
@YuzoChidi8 ай бұрын
❤❤❤
@ModextaModexta-on7mi8 ай бұрын
🇹🇿🤲🤲🤲❤️❤️❤️❤️❤️
@AliaminiMussa8 ай бұрын
Kasimameni palestina damu zinamwagika palestina jamani
@gamarmahsan82548 ай бұрын
Awa ombee na mafalsina ndugi zetu maislamu wenzetu 😢
@KimanguShemwaliko-ht2jr8 ай бұрын
Omba haki aman inajileta,bila haki aman ni mtihan
@ArafaAbdulrahaman8 ай бұрын
Mimi sipo maka lakini natamani na Mimi Leo nisilale nifanye Ibadan kwa ajili ya Ibada ya Arafa kuonyesha umuhimu wa hii siku je inafaa mnijuze waisilam wenzangu
@ArafaAbdulrahaman8 ай бұрын
@kakakamahara shukrani 🙏
@sarahmuhammed68728 ай бұрын
Anaruhusuwa kufanya DUA ila kama yuko kwa HEDHI,dua ni kwa mtu yeyote mahujaji nawasio mahujaji
@Zainab-f9w5x8 ай бұрын
Hii tabia ya kujionesha mkienda haji kila dakika mko kwenda mitandao inakera na katika dua zako mbona hukuombea inchi zenye vita kama palestin
@KimanguShemwaliko-ht2jr8 ай бұрын
Katika kurani amani na haki ipi imetamkwa mara nyingi
@Zainab-f9w5x8 ай бұрын
Iombeeni palestin ndio iko kwenye mitihan mbona hamuitaji kwenye dua zenu