SHEKH DIWANI APIGIKA HADHARANI//KITOTO CHATANGAZA VITA YA ELIMU//

  Рет қаралды 4,465

ABJAD# ACADEMY

ABJAD# ACADEMY

Күн бұрын

Пікірлер: 116
@hijahamadi5793
@hijahamadi5793 10 күн бұрын
Allahu akuhifadhi na akuzidishie elimu na hekima.
@hassanmohdally5217
@hassanmohdally5217 20 күн бұрын
Mungu amuongozee diwani aisee anakurupukaa sanaa nilikuwaa namsikilizaa sanaa Ila sasahivi nimtihani sanaa
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Tatizo la diwani mmungu atamdhalilisha sana kwa sababu ya kukataa haq na kuwatukana wenzake allah atamlipa hapa hapa duniyani
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 20 күн бұрын
yusuf diwan kama hajui neno الله linamaana gani mnamuitaje shekhe
@HakimRamadan-kl1hx
@HakimRamadan-kl1hx 20 күн бұрын
Twamuomba Allah kuidishie hekima ❤❤
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 20 күн бұрын
@@HakimRamadan-kl1hx Amin kwa sote
@saidimatezo6273
@saidimatezo6273 5 күн бұрын
Mnapoandika neno Allah...msianze na herufi ndogo 'a'...anza na herufi kubwa 'A'
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 5 күн бұрын
@@saidimatezo6273 ahsante kwa ukumbusho
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 20 күн бұрын
Diwan n mganga mbona tunajua wote JAZAKUM ALLAHU KHAYRAN
@hudhaifahsadru-xr2gg
@hudhaifahsadru-xr2gg 19 күн бұрын
NI MAAJABU YAANI MTU ANAKATAA VIGAWANYO VYA TAWHEED LAKINI MTU HUYOHUYO ANASEMA ALLAH WAPO WENGI.
@jafarikaoneka4890
@jafarikaoneka4890 20 күн бұрын
Baarak Allah fyk.
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 20 күн бұрын
Wallah Yusuphu hana imefikia hata Grama ya kiarabu anasema uongo pia anatumia vitabu vya mashia
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 19 күн бұрын
Huyu Yusuf diwani ni Tapeli na mwizi Allah atamdidimiza!!!
@khadijaiddi9422
@khadijaiddi9422 20 күн бұрын
MaashAllah
@abuuhandhallah7567
@abuuhandhallah7567 15 күн бұрын
Kwani kunagombewa nini hadi kufikwa kwenye maneno yaajabu kiasi hiko maana hata kama hujasoma basi ndii utafsiri upuuuzi au lengo nikumkasirisha allah Allah atuongoze na awajalie utulivu wanao taka kuleta ufundi kwenye dini ambayo amesha ikamilisha
@AthumanAthuman-b6q
@AthumanAthuman-b6q 20 күн бұрын
Mshika mawili moja humponyoka,abaki nahuo uganga wake tu.
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 9 күн бұрын
Katika majina yote 99 ya Allah sijawahi kuona mungu yoyote wa makafiri wamempa jina hilo sijaona diwani amelaaniwa ulimi wake kwa unafiki
@Bantu-u9m
@Bantu-u9m 20 күн бұрын
Je Alla katika aya ya 65 Ankabuut Niipi kati ya namna ya Diwani na ya Maulamai? Eee!Diwani we Mche Alla . Nasema humu kwakuwa ametufungi comments .
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 20 күн бұрын
Diwani ni mshirikina lazima atetee shirk yake ndo inampa maisha
@Bantu-u9m
@Bantu-u9m 20 күн бұрын
Sheikh Baqir,nakuomba umshauri Ndugu yoko Sheikh Alghazal atufungulie ulingo wa comments.
@jordan.3109
@jordan.3109 20 күн бұрын
Hahahaha Umeona enhe
@RamadhaniShembilu-l1e
@RamadhaniShembilu-l1e 20 күн бұрын
😂😂😂😂hawezi kufungua kamwe anajua kua anavurundaaaa
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 18 күн бұрын
😂😂😂 mchokozi ww​@@RamadhaniShembilu-l1e
@CheniShauri
@CheniShauri 20 күн бұрын
Ahllwa akujaze hheri tutafika tu
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 20 күн бұрын
Mackini Diwali linashindwa na hiki kitoto kw elimu na hikima yy limekalia USHINDANI tu😂
@kassimumikdad1611
@kassimumikdad1611 20 күн бұрын
Hata katika maswahaba kulikua na vitoto viliwashinda kibari sahaba, kwahiyo siokiroja, wala dalili ya qiyam, ila upotoshaji umekua mkubwa sana, Allah anawaleta waibainishe haki ya Elim usi one ajabu.
@abuhamissi9082
@abuhamissi9082 20 күн бұрын
Alafu diwani. Mwenyewe alivyo kua mnafiki. Kafunga coment. Maana anajua kua hana hoja. Yeye hojayake ni matusi tu.
@nasoros.mgungo5502
@nasoros.mgungo5502 20 күн бұрын
Mbona page nyingi za Masalafi wanafunga sehemu za comments.
@mohagurey2214
@mohagurey2214 20 күн бұрын
​@@nasoros.mgungo5502kiama utasimamishwa pekee yako kaka, acha kutetea upotovu
@AdnanMohammed-l6i
@AdnanMohammed-l6i 20 күн бұрын
Acha uongo ww masalaf hawafungi coment bu mtaje mmoja ktk hao
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 20 күн бұрын
Wakati wa majadiliano yanayoendelea comments zisifungwe , Ila katika Darsa mahsuwsi kwa kundi fulani mnaelewana.
@abuhamissi9082
@abuhamissi9082 20 күн бұрын
@@AdnanMohammed-l6i ingia kwenye KZbin. Uangalie. Hufunga coment Acha ubishi sheikh wangu
@iddimutua420
@iddimutua420 20 күн бұрын
A.alaikum Yussuf Diwani ana kibri ni sawa na yule mshia Shaffii Basalim
@othmanramadhani6962
@othmanramadhani6962 20 күн бұрын
Amejichanganya diwani
@SaleheKhamis
@SaleheKhamis 20 күн бұрын
Kikatoliki huchoooo
@hudhaifahsadru-xr2gg
@hudhaifahsadru-xr2gg 19 күн бұрын
Umefika mbali, tunakupa udhuru huenda wewe ni jahil, kama una elimu, hili neno litakudhuru
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Katoliki sheh wako na tafsiri yake mpaka mchungaji anmuunga mikono
@mahadhikawia3610
@mahadhikawia3610 20 күн бұрын
Diwani alizidi,Wacha anyooshwe.
@maralsaally4253
@maralsaally4253 20 күн бұрын
Mwlm una mbwe mbwe 😂 hadi raha
@aboubakarjimmy5465
@aboubakarjimmy5465 20 күн бұрын
Ao ma sheikh wetu na ujuzi wawo walio nawo wawe makini wasije kujikuta yote wanayo yafanya wasijikute Kwenye Dhambi la RIYAA na Riyaa hiyo ikaja kupelekeya Kwenye Shirki na Shirki ikaja kupelekeya kwenye KUFRU " WAWE MAKINI KABISA, WACHUKUWE TAHADHARI "
@HamzaAmani-b5j
@HamzaAmani-b5j 13 күн бұрын
Jamani acheni ushabiki ichikitoto bado kipo kwenye maelekezo qor an bado hajajua hatamimi nilikua mjinga hivyohivyo baada yakuelekezwa nakuzama nikajua tafasili anayo toa ninyepesi sio yakibobezi katikadini bado huyo msimpe kichwa
@SharifRashid-g1j
@SharifRashid-g1j 20 күн бұрын
Hujuwi Jambo
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Kamfundishe
@halimaa9367
@halimaa9367 20 күн бұрын
Asalam aleykm Sasa kwann ukumfwata lv hili kumrekepisha hivi mna uzalilisha huislam 😢
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 20 күн бұрын
KWANN azungumze mbele za watu
@abalkaram786
@abalkaram786 20 күн бұрын
@all HICHI KIJAMAA KINATAKA KUJUILIKANA KUPITIA DIWANI.
@MussaSeif5G
@MussaSeif5G 20 күн бұрын
Acha ushabiki wa kipumbav ww Vitabu kadhaa wakadhaa anakuoneshen hapo hamuelwe nyinyi mbn mnakuw punguan nyny
@RamadhaniShembilu-l1e
@RamadhaniShembilu-l1e 20 күн бұрын
Wewe nipunguani kwani husikii kinachosemwa au diwani nimgangawako ndomana watetea?😂😂😂
@suleali4915
@suleali4915 20 күн бұрын
Hahahahah nyie wabishi tutaenda hivyo hivyo munavyotaka hamuezi kutuvunja moyo nyie vikatoliki vichanga
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Tatizo LA diwani anabainishiwa Haq ila hataki kazi yake ni ushirkina
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 20 күн бұрын
Tunaanza kushare ktk magroup ili watu wamjuwe Yusuph zwazwa
@AdnanMohammed-l6i
@AdnanMohammed-l6i 20 күн бұрын
Diwani ka
@AdnanMohammed-l6i
@AdnanMohammed-l6i 20 күн бұрын
Diwani kaishiwa hoja ya kielimu anasema Mawahabi wakisema Allah cyo Allah wa waislam je wanapo soma azana wanamkusudia nani?
@mzeemmwinyihajihatibuhatib9331
@mzeemmwinyihajihatibuhatib9331 20 күн бұрын
Huenda sio akili zake kwa Diwani sababu amemshinda Hadi Abuu jahal. Tatizo mbona hafungui comment tumuulize maswali? الله المستعان
@SadickMussa-g6h
@SadickMussa-g6h 20 күн бұрын
Msiwe mnamwandika sheikhe huyo Yusufu, bali yeye ni Muhuni Fulani tu
@MwalimJecha
@MwalimJecha 20 күн бұрын
Jamani hiki kitoto kimetokea wapi?
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Katoto😂 ila kanajua kuliko huyo mtu mzima diwani ni matusi tu ndo anayoyajua sio kutafsir qurani
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 20 күн бұрын
Mukiona vifaranga vinawika ! ni dadika za mwisho kusimama qiyama
@othmanramadhani6962
@othmanramadhani6962 20 күн бұрын
Sio vifaranga kama hauna elimu piga kimya
@AliJuma-k2t
@AliJuma-k2t 20 күн бұрын
Hatahuyu hanaelimuyoyote qurani matinihaijuwi mm namnasihi kwamujibu waqurani inavyotakiwa isomwe anakosea 😂😂😂
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 20 күн бұрын
Kafungue MADA YA NISHATI YA NAMBA umsikilize diwani anavyobadilisha aya katika kuzisoma, wataka nisome kwa hukmu kwani nswalisha hap, haya si mawaidha we mganga vip bhana
@fadhilimusa9732
@fadhilimusa9732 20 күн бұрын
@othmanramadhani6962 wewe mwenye elimu tupe
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 20 күн бұрын
Diwani haja ghafilika diwani kilele zote anatetea uganga wake sababu ndo unampa ugali sasa lazima atumie quran kuwashawishi watu ili wamuamini hata kama qurani atachafua tafsiri yake
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 20 күн бұрын
Ndo maana diwani aksami 3 za tauhidi hazitaki hususan uluhiyya Hii uluhiyya inakataza uganga directly akizikubali aksami 3 hizi uganga atafanya wapi ?
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 20 күн бұрын
Yupo tayar akufuru lakini maslahi yake ya dunia yabaki salama
@issaabdallah1205
@issaabdallah1205 20 күн бұрын
Yisufu ana KIBRI mtume kasrma kibri ni kuikataa HAQI Baada ya kubainishiwa
@darajanida
@darajanida 20 күн бұрын
​@@issaabdallah1205 tahadhar na porojo zako izo
@saidimatezo6273
@saidimatezo6273 5 күн бұрын
Na hii ndio sababu kwanini diwani ako tayari kuichafua quran ili kutetea uganga wake...kwasababu asili ya kuwa mganga mpaka ukufuru...ndio maana yeye hajali...ashauza akhera yake kwa manufaa ya dunia yake....So kwake kutubu ni ngumu sana maana ashachukua ahadi na shetani kwakupatiliza dunia yake.....Kwahivyo masheikh endeleeni kuwafundisha wsislamu kwa kufafanua ili watu wamulewe na wselewe ushirikina wake na wa waganga wote kwa ujumla....
@elizabethandrea3122
@elizabethandrea3122 19 күн бұрын
Munaudharirisha uislamu kutwa mitandaoni
@HassanIddy-v1b
@HassanIddy-v1b 19 күн бұрын
Kivipi dada yangu sijakuelewa?
@MbwanaHusein
@MbwanaHusein 14 күн бұрын
Unao ushaid kama kusomasha elimu mitandaoni nikuzalisha uwisilamu au nitazamo wakotu
@MussaSeif5G
@MussaSeif5G 20 күн бұрын
Diwan si sheikh ma matus yale nahis alikuw akivut bangi kwanz ndo anashik maiki kutukan wasomi
@Smart_jarm
@Smart_jarm 20 күн бұрын
KATIKA HALI KAMA HIZO😂😂😂
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x
@ABUUBAAZNYUNGU-j4x 20 күн бұрын
Katika hali za namna hyo😂😂😂
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 20 күн бұрын
Nyie wajinga mmenichekesha hadi wife kanimaind😂 ktk hali y namna moja ama nyengine 😅
@zuberimussa5508
@zuberimussa5508 19 күн бұрын
HIYO KAULI ANAITUMIA KUPOZA MOYO MAANA UNAMSUTA KWA BATILI ANAYO ITETEA
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 20 күн бұрын
Diwani anajua shida ni kwamba hamheshimiani sasa kama huyu nae anabishana na wakubwa zake kwakua anaitwa shekhe hii sio sawa adabu inahitajika
@OmariOmari-y8h
@OmariOmari-y8h 19 күн бұрын
Diwani SI mtume atakapokiseya atakosolewa haijalshi kakosolewa na nani
@salumhamed5074
@salumhamed5074 20 күн бұрын
Diwani amekufaa bado kuzikwa tu
@SalhaAlly-x8q
@SalhaAlly-x8q 20 күн бұрын
Diwani anahoma ya akili lazima mumtambue mtu jaman diwani anaugua kwan kibr ni maradh
@HassanIddy-v1b
@HassanIddy-v1b 19 күн бұрын
❤❤❤😂😂😂😂
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 20 күн бұрын
ushauri alopewa na muhamad bachu yakwenda kuhufadhi qur an kwanza maana haya ni madhara yakuihama kur an
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 20 күн бұрын
Yusuf Diwani ni kijichawi tu cha kawaida mambo ya dini ayapishe
@IsmailSanga
@IsmailSanga 20 күн бұрын
Huo UTATU wenu mtakatifu ni BIDAAH iliopitiliza,hamtakaa mlete AYA wala HADITH inayogawanya hayo matawheed yenu.
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 20 күн бұрын
😁😁😁😁😁 shekh Diwali atupe ushahidi ile tafsiri ya ile aya amepokea kutoka wapi
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 20 күн бұрын
Pga dogo dogo huyo diwani hovyo kabsa,halafu endelea kumfundisha kuhusu jina Allah, Pia huwa anakosea sana ktk nahau hajui chochote ktk nahau
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 18 күн бұрын
Wewe kama ni sheikh wacha mabishano yasiyo na tija,jikite katika kufundisha darasani sio mitandaoni.
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 18 күн бұрын
Nitaachaje kitu ambacho watu wanafaidika nacho
@mzeerajab9154
@mzeerajab9154 18 күн бұрын
@ABJADACADEMY kama unaona hivyo sawa,endeleeni kubishana,kutukanana,kukejeliana,kuitana majina mabaya,kukufurishana,kujiona kila mmoja ndio anajua yeye,kuona wengine wamepotea nae ndie aliyeongoka ili hali Allah ndie anyejua nani kaongoka na nani kspotoka.Najua hamtaacha maana kuna vitu mnatafuta mitandaoni.Basi sawa.Mimi sina cha kupoteza kwa kutoa ushauri.
@shabankabarisa8785
@shabankabarisa8785 20 күн бұрын
Wewe Diwali poleee tuliya usome wewe .
@AliJuma-k2t
@AliJuma-k2t 20 күн бұрын
Ww mwenyewe unawambia wenzako Hawajui quran wakati wewe mwenyewe matini unakosea kasome qurani kwanza usiitukane qurani hujuwi kuisoma inavyotakiwa kasome japo kitabu cha hidayatulmustafid kinauzwa sh Mia 500/ zatanzania
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 20 күн бұрын
Acha wakudharau lakini kwa ALLAH una daraja kubwa.kauli ya mtume ni kweli.ukimwiita mwenzako kafiri ile kauli inamzunguka km hana ukafiri basi ile kauli inakurudia mwenyewe yy alimwiita shekh bachu kafiri ule ukafiri umemrudia
@HabibuUrasa
@HabibuUrasa 20 күн бұрын
Diwani kadhalilika sana kibri kibaya eti ni wasomi wa balagha kumbe Diwali ni shia
@RachidaIacine
@RachidaIacine 20 күн бұрын
Diwani achunzwe. Kanza Apimwe akili, alafu ufanyike uchunguzi wakila aina, huyu Diwani kuna siri imejificha, diwani kila anapo tafsiri aya ya curaani lazima lazima aigeuze maanayake, jameni fuatilieni sana anapo tafsiri aya za kuraani kugeuza maanazake... Achunguzwe
@mohagurey2214
@mohagurey2214 20 күн бұрын
Anakuambia sio hivyo na hakuambii ni vipi?😂😂😂 Kisha eti wewe ni mkatoliki mdogo
@twahamuhoro1656
@twahamuhoro1656 20 күн бұрын
hivi nyinyi mnaelewa kweli? sisi tunasikiliza hoja kotekote Shekhe Diwani ni Fwaswaha alafu anajuwa kujenga Hoja
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 20 күн бұрын
Kwa kuleta tafsiri atakazo yeye au.......
@darajanida
@darajanida 20 күн бұрын
​@@ABJADACADEMYnawewe mpaka saiv hujaleta dalili ya taksimu.tauhid mwapiga makelele tu
@shabanihugo8332
@shabanihugo8332 20 күн бұрын
Mbona hujamjom dalili ya vigaqanyo vya elim na masharti ya swala​@@darajanida
@ABJADACADEMY
@ABJADACADEMY 20 күн бұрын
Faradhi za udhu katafute hadith au aya km utapata, nyie ni viziwi
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 20 күн бұрын
Diwani alishatoa hoja hiyo ya kwamba washirikina walimuita mungu Kwa jina la allah,,soma biblia ya kiarabu kwenye kitabu mwanzo 1-1 mwanzo.
@Sarahmponjo
@Sarahmponjo 19 күн бұрын
Yule mdogo wake shekh diwani ni kama mbuzi yeye anakwenda atakapo taka mchunga wake ata alipo kukosoa wewe ulipo tafsiri na kugunaguna, yeye akuleta tafsiri yake ata ukimsikiliza utagunduwa ni mtupu kabisa ajui kitu ata maneno ya kuongea anamezeshwa
ONA SASA ALAFU UKIAMBIWA WEWE SIO SHEIKH UNAKASIRIKA || Muhammad Bachu
59:50
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 11 М.
MTOTO WA BACHU KAKUBALI YALIOFUNDISHWA NA SHEIKH DIWANI
36:07
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 2,1 М.
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
JIKINGE NA UCHAWI,HASADI NA KIJICHO KWA ADHKAAR HIZI
42:33
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 11 М.
HIZI NDIZO DHAMBI KUBWA // SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:09:53
arkas online tv
Рет қаралды 4,3 М.
Epuka sana NZI kama wataka Ndoa yako idumu - Sheikh Izudin
18:01
BACHU ARIPULIWA NA KITOTO CHA SHEIKH KUSOMA APIGWA ZA USO REJEA UKASOME VIZURI
29:14
TUSIHUSISHE MISKITI NA SIASA || Muhammad Bachu.
1:03:46
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 28 М.
Jifunze Kuosha Maiti by Sister Asya Binsunkar
44:46
Ahmad Badawy Tv
Рет қаралды 101 М.