Mashaallah tuombeeni nasie dua ili na ss Allah atujalie atuwezeshe tuje na ss
@tausimpoma3474 ай бұрын
Alhamdulillah, Allah awajaalieni afya njema ili mkamilishe nguzo hiii muhimu , Allah atujaalie afya njema soote ili nasi tuidiriki nguzo hii..
@AbdulRashid-ll4bb4 ай бұрын
Allahumma Ameen
@NoufelSalim4 ай бұрын
Mashallall Allah awalipe kheir nyingi inshallah
@AsiyaHamad4 ай бұрын
Fuchs mguu wako dada ni aura! Mungu akubali hajjj yenu. Hajj mabroor.
@daarularqammkaku1534 ай бұрын
Sheikh saimu nichukue na Mimi mwakani inshaallah ☺️☺️☺️
@umsoud33064 ай бұрын
حاج مبرور وذنب مغفور
@IddiKhamis-u6c4 ай бұрын
Allah awalipe malipo kamili ya hijja zenu. Lakini acheni mambo ya kujirecod kwenye mitandao tuu. Huko sio mahala pakupoteza muda hata kidogo maana ibada zake zina malipo makubwa sana. Hivyo kupoteza dakika 1 tu kwa mambo ya kipuuzi bas utakuja kuijutia dakika hiyo. Ahsanteni.
@mamlomamlo90644 ай бұрын
Ruhusa kuonekana viganja na uso tu,bilal alikua sahaba hakuwa nabii