SHEKHE KIPOZEO: MIZIGO YA KICHINA/ KUONGEZA MKE/MZEE YUSUPH KUIMBA/WANAOMPONDA AKIZUNGUMZIA MIZIGO

  Рет қаралды 37,990

Carrymastory

Carrymastory

4 жыл бұрын

SHEKHE Kipozeo amefafanyua kwa wale wanaomsema vibaya akizungumzia Mizigo

Пікірлер: 79
@sideboy2739
@sideboy2739 3 жыл бұрын
We carry mwambie mfanya kazi wako aulize maswali ya msingi anamuuliza shekhe et VP kuhusu wanaume wanaovaa ereni sasa unategemea shekhe aseme wavae au
@omanoma5446
@omanoma5446 3 жыл бұрын
Shekhe, kipozeo, nakupenda, sana, lakini, nipo, mbali, Tena, nakupenda
@leilamehbub948
@leilamehbub948 3 жыл бұрын
Asc my favourite sheikh anapenda ukweli na Wala haogopi yeyote isipokuwa Allah mashAllah
@officialkamdudu
@officialkamdudu 4 жыл бұрын
kwa kweli mimi swala la nyimbo katika uislam haijalishi unaimba nini kwa kweli bado linanipa ukakasi kwa sababu uislam umeharamisha ala za mziki... aya tumuachie Allah ndiye mjizi zaidi
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 4 жыл бұрын
Kwani we unaona huyu nae shekhe kwa mujibu wa dini ya kiisilam nyimbo zote zete haramu Mungu hakuleta watu duniani kuja kuimba lego la kuubwa mwanadamu ni kumuabudu molla wale na so kuinga apo hapana kupata ukakasi wala nini nyimbo ni haramu hawa wengine wapo duniani kwa masillahi na so kupeleka din mbele
@nurdin.mndeme3447
@nurdin.mndeme3447 4 жыл бұрын
@@abubakarmzee3374 kaka usiwaseme vibaya viogozi wa Dini !
@shaloboy3861
@shaloboy3861 4 жыл бұрын
Kabisa
@mwalimudzuya6695
@mwalimudzuya6695 4 жыл бұрын
@@abubakarmzee3374 taratibu Kaka n dini hii hataki hasira wala jazba,
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 жыл бұрын
Hakuna kosa alilo changia nyimbo haramuuuuuuu
@leilamehbub948
@leilamehbub948 3 жыл бұрын
Jamani mwacheni sheikh akisema mzigo hamanishi mambo mengi hiyo mnadhani la .
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
yaaa akili zina gredi safi kabsaaaaaaa nakupata sana shekh wanguu! ndıoo shekh cc tunakueleqaa sanaaa wala ucwe na khofuu
@kadulathumani7517
@kadulathumani7517 3 жыл бұрын
Nakupenda interviewer. Maswali yako yametulia kwa Skh Kipozeo ingawa majibu yake Skh mengine anayabana bana Tunafaidika sana na Ma story TV. Like it.
@sanuranassoro7660
@sanuranassoro7660 3 жыл бұрын
Shekh wa maana hafanyiwi interview na wahuni
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Sheikh uko vizuri!
@gojvon116
@gojvon116 3 жыл бұрын
Sheikh huyu kwa kweli inaonesha kuwa ni mtu mzima na mwenye busara na hikma sana na ni mtu anaempenda Allah na kumuogopa na mtu mtaratibu na mwenye kufahamu na kuelewa . Allah ambariki sana
@saidchidy5383
@saidchidy5383 3 жыл бұрын
True
@ashaally6662
@ashaally6662 4 жыл бұрын
Napenda shekhe kipozeo anavyoongea😁😁😁😁
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 3 ай бұрын
Msauti wake tu😂
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 3 жыл бұрын
Yeye mwenyewe huko siku za nyuma alipinga nyimbo zote Na alikua akuwasema sana waimn maulid na kaswida Leo anasema ni ruhsa kuimba Ni shekhe ambae haeleweki tu
@omanoma5446
@omanoma5446 3 жыл бұрын
Shekhe, kipozeo, nakupenda, Sanaa, lakini, nipo, mbali, jaman, Tena, nakupend
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 3 жыл бұрын
sheikh kipozeo acha kutupanga!!!!
@ibramtibila7029
@ibramtibila7029 4 жыл бұрын
Mashallaah
@ismailyussuf1805
@ismailyussuf1805 3 жыл бұрын
Shk wangu KIPOZEO wachaneni na huyo mwandawazimu. Msijishugullishe nae.Mwambieni a click KZbin YA JENNIFER GROUT.AONE FROM MUZIC TO RECITE THE HOLLY QUR'AN.
@mustaphambwana7944
@mustaphambwana7944 4 жыл бұрын
Shehe mzigo ana penda mizigo yani misambwanda ndo yake ana penda wadada walio Nona viswaswadu kwake hapana yani uyu mzee noma kweli
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@mahamedabdi1881
@mahamedabdi1881 3 жыл бұрын
Na wewe nje?
@husseinnkami7360
@husseinnkami7360 4 жыл бұрын
Very gd
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 3 жыл бұрын
Kipozeo naye amerudi Mjini kazi kubwa ni kusifu wasanii wa Muziki. Kutoa fatwa ambazo hazina kichwa Wala miguu.
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 3 жыл бұрын
Kabisa
@drnathanstephen.3882
@drnathanstephen.3882 4 жыл бұрын
Haha Sheikh Kipozeo yupo vzr sana. Pitia na Channel yangu upate kujua Mengi kuhusu afya yako. Mada mbalimbali za Afya zipo huko.
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 жыл бұрын
Naomba namba
@athumanmakale8221
@athumanmakale8221 3 жыл бұрын
Shekh Kipozeo ushapoteza Dira. Huna jipya.
@daudi.gilago5846
@daudi.gilago5846 4 жыл бұрын
Rojah bahna hyo salam umetoa kama we mwisalam kwel
@omariselemani3962
@omariselemani3962 3 жыл бұрын
Yani nyinyi Mnayokomenti usenge kwaniakipenda Mizigo kunashidagani Kwaniyeye Sibinadamu Au Kweli hakilikunagred
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Chagua ukipendacho lkn dini ndio lakwanza kuangalia na sio mizigo maana mizigo inachoka . Ila elmu haichoki
@abdulchakusaga1322
@abdulchakusaga1322 3 жыл бұрын
Kwani mzee unataka uoe wangapi
@sabrinasab2910
@sabrinasab2910 4 жыл бұрын
Huyu shehe anapenda wadada walonona nyuma ndo zake uyo
@saidijuniorhan6790
@saidijuniorhan6790 4 жыл бұрын
ww
@mahamedabdi1881
@mahamedabdi1881 3 жыл бұрын
Kwani kunaobaya gani? Mtu kupenda mwanamke alio beba hata mei napenda
@josephnjoroge5649
@josephnjoroge5649 3 жыл бұрын
Kujaza nyuma ni neema ya Allah kwa wale wanawake waliojaza...mie pia nawapenda..
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 3 ай бұрын
​@@josephnjoroge5649ooooooyiii
@bebisheni4380
@bebisheni4380 3 жыл бұрын
Shekhe kipozeo hujambo
@shimoneycashtalk9176
@shimoneycashtalk9176 3 жыл бұрын
Shekh kipozeo kachemka mziki ni mziki tu niharam ni haram
@happylusinde9215
@happylusinde9215 4 жыл бұрын
Hhh
@alihijiiddi8977
@alihijiiddi8977 3 жыл бұрын
WAHARIBIFU NI WAIMBAJI NDIO WANAHARIBU WATU WANASIYASA NA MATIVII BOTAILIKUWA NYERERE ALIKUWA ANATIZAMA TV KWA KUANGALIYA NCHIGANI ZIMEPATA UHURU
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 4 жыл бұрын
Huyu ni shekh wa mizigo
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 жыл бұрын
😂😂😂
@mwalimudzuya6695
@mwalimudzuya6695 4 жыл бұрын
Ndugu katika imman tusipende kukejeli viongozi wetu Ka kdini,kama Sisi wenyewe tunafanya ivi na wasio kuwa waislamu je?tutumie kauli laaini N ushauri Tu kaka.
@mwanahamisiyusuph7562
@mwanahamisiyusuph7562 3 жыл бұрын
@@mwalimudzuya6695 kwa hakika ninavyofahamu Mm mashekhe nao binadamu kukosea kupo
@salimmohamedsalim4448
@salimmohamedsalim4448 3 жыл бұрын
Anasema mwenye yy apenda mizigo
@shaloboy3861
@shaloboy3861 4 жыл бұрын
Nyimbo zote haram sheikh ameteleza kias kama binadam inaeleweka mana akuna aliekamilika na elmu utofautiana
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 жыл бұрын
Uyu cheikh nibala
@mwalimudzuya6695
@mwalimudzuya6695 4 жыл бұрын
@@queenslandemile2536 kwa Baya gani alilolifanya mpaka umvue cheo chake,m n mkenya na najua n SHEIKH.
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 жыл бұрын
Nyimbo yoyote haramu
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Haramu ndio jamani tuache ushabik
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 3 жыл бұрын
@@mwalimudzuya6695 nyimmbo zote haramu
@ummialey6391
@ummialey6391 4 жыл бұрын
Nyimbo za heri ndo nyimbo gani shehe tunapenda ufafanuzi
@bakariathman3858
@bakariathman3858 4 жыл бұрын
Kaswida
@sleimanwtwaha9983
@sleimanwtwaha9983 3 жыл бұрын
@@bakariathman3858 kaswida za aina gani
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Nasheed mbona zipo
@sleimanwtwaha9983
@sleimanwtwaha9983 3 жыл бұрын
@@sidratybinkhamis2837 kwasida za mziki ni haramu
@ambrosiamlinga8402
@ambrosiamlinga8402 3 жыл бұрын
Basi una choyo kusema ‘hupendi thawabu ziende kwa watu wengine’ Wewe ni shehe wa wapi mwenye choyo?
@ahmedyzo
@ahmedyzo 3 жыл бұрын
Charity starts within your own family, na yeye ametaka basi mema waanze kupata familia yake, niuelewa tuu..
@sudaissoud3670
@sudaissoud3670 3 жыл бұрын
Nyote ndo walewale..nawe pia kipozeo ndo hao hao
@huseniyahya9121
@huseniyahya9121 3 жыл бұрын
Wee mpuuzi kumbe
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 4 жыл бұрын
Shekhe ubwabwa
@mwalimudzuya6695
@mwalimudzuya6695 4 жыл бұрын
ALLAH ndie mwenye ku hukumu kaka,Sisi kama binadamu hatuna uwezo huyo,tufanye kheri TU,ushauri Tu
@rayasaid4099
@rayasaid4099 4 жыл бұрын
Shehe wali na mihogo na kunde
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Sheikh ugali ni wewe!!
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 3 жыл бұрын
@@mwalimudzuya6695 sisi hatuhukumu Ila ishara jema huonekana Mungu na sisi katupa akili mbona mtu akiwa mwizi au mla madawa hujawihi ata siku moja kuonana nae Ila ukimuona akili inakwambia huyu mwizi au huyu mla madawa
@saidmarley4049
@saidmarley4049 3 жыл бұрын
Huyu sheikh fake kama simu za kichina....vp unasema nyimbo inafaa ambapo ina mkaribisha shetani kupoteza watu kwenye maaswiya????
@sidratybinkhamis2837
@sidratybinkhamis2837 3 жыл бұрын
Kweli kaka maana wengi wamebobea kwenye qaswidaa
@messiomy8655
@messiomy8655 3 жыл бұрын
Salaf ndo wenye dinii ...wootee hawa waigizajiii tuuu...huyo sheh na anaemuongelea ..wote ngma droo
@hamzaswaibu9470
@hamzaswaibu9470 3 жыл бұрын
Kuwa na hekima kwani ww umekamirika?
@saidchidy5383
@saidchidy5383 3 жыл бұрын
Acha mipasho
@saidchidy5383
@saidchidy5383 3 жыл бұрын
Izo tabia za wasenge
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 45 МЛН
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,4 МЛН
Mch. Hananja awavunja watu mbavu ibadani, UDSM CCT CHAPLAINCY.
42:54
UDSM CCT MEDIA
Рет қаралды 1,8 МЛН
SIKU  YA KIAMA  SIRI  NYINGI  ZITAFICHUKA      SHEIKH  KIPOZEO
42:39
ZAINAB ONLINE TV
Рет қаралды 35 М.
Студия төрінде жобамыздың жемістері!
1:17:44
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 295 М.
elim yara olduğunda benim haller #shorts
0:16
Mert Sarı
Рет қаралды 23 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
0:14
ХАБИБ
Рет қаралды 4 МЛН
Бенчику не было страшненько!😸 #бенчик #симбочка #лето
0:31
Студия төрінде жобамыздың жемістері!
1:17:44
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 295 М.