EXCLUSIVE: MZEE YUSUF KAFUNGUKA KWA MARA YA KWANZA KURUDI KWENYE MUZIKI

  Рет қаралды 409,531

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

#millardayoUPDATES

Пікірлер: 775
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Mi namuomba allah asikurudishe kwenye mziki,allah akuongoze kwa njia ya kheri
@tuwajafar5687
@tuwajafar5687 4 жыл бұрын
Muembekwanza Allah madhambiyako kabla hujamuombea mwenzio
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 жыл бұрын
Kabisa
@aishambise6529
@aishambise6529 4 жыл бұрын
Karibu.yusufu.mjini usiogope.binadam wanamaneno.sn
@halunamaneno9986
@halunamaneno9986 4 жыл бұрын
Utamupa wewe pesa hebu muacheni aje atafute pesa bwana maana mziki ndiyo kazi yake na ndiyo kipaji chake
@aishambise6529
@aishambise6529 4 жыл бұрын
@@halunamaneno9986 💋❤
@maymunahomar5016
@maymunahomar5016 4 жыл бұрын
Umeongea vizuri Mzee Yussuf. Ingelipendeza zaidi ungetumia neno la 'In Shaa Allah' katika maongezi yako. Shukraan sana. Allah (SWT) akuongoze kwenye jambo jema. Aamin.
@nasibuabdul4580
@nasibuabdul4580 4 жыл бұрын
Aiwaa
@fadhiliswalehe9286
@fadhiliswalehe9286 4 жыл бұрын
Mtu wa kwanza kuandika kiufupi alikatwa mukono.andika Allah subhaanahu wataa'la sio (SWT) pia Mtume Swalla Allaahu A'layhi wassalam sio (S.A.W) haifai
@saidikembea9158
@saidikembea9158 3 жыл бұрын
Muombee hidaya huyo ALLAH amuongoze huyo
@maryamsalim3523
@maryamsalim3523 4 жыл бұрын
Absolutely mzee Yusuf wambie munguu tuu ndie muwamuzi wanguu jema na baya sii nyinyii binadamu
@aminasalum1954
@aminasalum1954 4 жыл бұрын
Hawez rud kwahayo maneno yakwanza tuu hapo inadhihirisha kbs kua yupo naiman yadini kbs hawez kurudia upuuz kbs mzee Yusufu minakuaminia unakuja nalakheir nasio music,,in shaa ALLAH Mungu akujaalie kheir namwisho mwema
@siriyangu4724
@siriyangu4724 4 жыл бұрын
Mashaallah aya mzee yusuf kila mtu atabeba mzingo wke rundi kasalama Allah akucmamie na ramdani iyo apo yaja nawaombea kwa Allah itufikie salama amen
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 4 жыл бұрын
Siri 🥰
@maryamobo9534
@maryamobo9534 3 жыл бұрын
Asalamu aleykum warahmatullahi wabarakatuh, tusijaji mtu, tumuombeeni kheri mwenzetu, shari amuondolee, sisi waja twapenda kuropokwa kupita kuasi, hakuna mswafi kiumbe aliyekamilika ni mwenyezi mungu. In sha Allah mungu atuongoze kwenye kheri sote. Ameen yaraby.
@Smartboy-wt1es
@Smartboy-wt1es 4 жыл бұрын
Usijeukarudi kwenye music tafadhali nakuomba na nimekuomba sana, Inshaalah
@shabanimussa4862
@shabanimussa4862 4 жыл бұрын
Allah akusimamie kurud kwako kuwe Katika njia Ya Kheri.... Life is too short to do something wrong by ur own decisions!
@marrymadaha206
@marrymadaha206 4 жыл бұрын
Poa
@marrymadaha206
@marrymadaha206 4 жыл бұрын
Poa
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
nilipelekwa mochali usiku wa manane kufanya mapenzi na maiti ili nipate utajili. usisahau subscribe ili kupata vipande vinavyofuata. kzbin.info/www/bejne/oHimm4F6mtiLhbc
@tbr24viral
@tbr24viral 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qnLOeq2Npt59n80
@allyhamza8410
@allyhamza8410 4 жыл бұрын
Sawa baba rudi mjini watuu bado tunakukumbuka sana yaan katika utendaji kazi yako
@mimakau4490
@mimakau4490 4 жыл бұрын
Mmh Allah akuongoze asirud kuimba
@sarahmohamed337
@sarahmohamed337 4 жыл бұрын
M.mungu Akuondoshee fikra za mziki.
@bakarikhery8376
@bakarikhery8376 4 жыл бұрын
ALLAH AKUSIMAMIE SHEKHE WANGU 🙏🙏🙏
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 4 жыл бұрын
Allah akulinde brother ktk hili..! rudi kwa ujio mwema, twakuomba broh.
@yaumirakateni9927
@yaumirakateni9927 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu, humuongoa m2 anaetaka huwo uongofu.
@hassanmwanya9092
@hassanmwanya9092 4 жыл бұрын
Mwenyeazi mungu naomba tuondolee janga hatari LA corona vr eee mwenyez yarabi
@aasdfghrehema7204
@aasdfghrehema7204 4 жыл бұрын
As ww vip wakuaceee bwana wutupe raraha tunakiwi from burundi penda sana mayichoclety💋💋💋❤❤💙
@amedeusmodestikimey9888
@amedeusmodestikimey9888 4 жыл бұрын
Njaaa iyoooo njooo HUKU YERUSALEM📖🙏
@ghaidaabdul8862
@ghaidaabdul8862 2 жыл бұрын
Shika adab yako uislam sio njaaa
@salimabdallah7409
@salimabdallah7409 4 жыл бұрын
Kumbuka ulishaa tubu mzee mungu akuongoze
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 4 жыл бұрын
😀😀😀 mzee katumia akili ya mbali saaaana. Hapo lazima watu wasubscribe chanel yake sana. Alafu ataachia QASWIDA zahatariiii
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 4 жыл бұрын
Kaswida za kuimba na kina mcharuko?
@jumamfaume9738
@jumamfaume9738 4 жыл бұрын
DonMooGroupTV umeonaa eeh huyu anakitu anataka afanye
@MoodyWAyues
@MoodyWAyues 4 жыл бұрын
DonMooGroupTV shee doni
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 4 жыл бұрын
@@MoodyWAyues naaaam
@rahmaislam4442
@rahmaislam4442 4 жыл бұрын
Umeona ee
@saadamohd7976
@saadamohd7976 4 жыл бұрын
Hasbiyya Allah waniimal wakil. Allah akuongoze ndugu yetu. Maana mtihani hizo corona ndugu yng njoo mjini na singel kisha utaona.
@zulyfadhil3558
@zulyfadhil3558 4 жыл бұрын
saada moh'd duuu
@jumajay8496
@jumajay8496 4 жыл бұрын
Poleni sana mzee usuf hawezi kurudi kucheza taarabu abadan angalieni sura sura yake zaidi ataimba qasida na ile timu ya jahazi.
@aligedi2869
@aligedi2869 4 жыл бұрын
Allah asikurudishe kwenye nyimbo
@djdallubflex7458
@djdallubflex7458 4 жыл бұрын
Mjini uku habari COVID 19 asa sheikh wangu labda uje na dawa yake
@brothersalim5359
@brothersalim5359 4 жыл бұрын
Maa shaa Allah mzee yusufff welcome back Mombass kistarabu zaidii
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 4 жыл бұрын
💞💞 USIKOSEEEE! Tizama filamu hii haraka sana kisha SUBSCRIBE chanel hii haraka👇 kzbin.info/www/bejne/gZi9pXh4npuKf5I
@mwanakhamisrashid509
@mwanakhamisrashid509 4 жыл бұрын
mie sitegemei kama atarudi kwenye mziki, Mungu amuongoe yeye pamoja na sie inshas Allah
@mohammedseif4874
@mohammedseif4874 4 жыл бұрын
Nikweli ulio yaongea ila ushauri tu usirudi tena katika mziki tulia ulipo pata ndio riski yako miziki nikuipotosha jamii na maasi mengi sana hufanyika nnjoo na jambo jema ambalo litakulinda kwa allah shukran
@gespardanil2009
@gespardanil2009 4 жыл бұрын
Tatizo binadamu huwa tunahukum, mtu mapema xana kwani kusema naludi mjini ni dhambi, Yeye hajatamka kama anarudia taarabu, Jamani hebu tusubilie tuone mwisho wake,
@suleyswaleh5381
@suleyswaleh5381 4 жыл бұрын
Imeisha iyoooo. Kasherud Kwenye mzikii
@khatimabdallah8143
@khatimabdallah8143 4 жыл бұрын
Alllaah asikirudishe na mziki allaah akuongoze njia ya khery
@carlhence4414
@carlhence4414 4 жыл бұрын
Mzee Yusuf hatuna uhakika mpka Sasa unarudi mjini kwa kurusha roho wala nini. But km Nia yako ni kurusha roho. Mungu ndie mjuzi zaidi but sio picha mzuri hyo km muislamu na mungu atakujalia baya uliepuke.
@suleimansalim7194
@suleimansalim7194 2 жыл бұрын
Pole Sana,Dini sio Mchezo
@fatmakanizyok9831
@fatmakanizyok9831 4 жыл бұрын
Manshaallah
@seifmpizi7602
@seifmpizi7602 4 жыл бұрын
Noo
@lukizapetro2042
@lukizapetro2042 4 жыл бұрын
Yaan ayo TV mko vizuri mno ata nje ya nchi mnasaka habari muhim mno,
@almosul1621
@almosul1621 4 жыл бұрын
Haiya....Rudi.... follow your heart......in Shaa Allah
@ashurar2721
@ashurar2721 4 жыл бұрын
Allahi mzee ukirudia mxiki huowoni ufarme WA mungu
@AfRICA0404
@AfRICA0404 4 жыл бұрын
Wew nan adi asione unajikuta mung we ndio mtoa ukumu
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 4 жыл бұрын
mzee muislam safi.siamini.km anaweza kurudi ktk uhuni
@sofiaahmed8880
@sofiaahmed8880 4 жыл бұрын
Kila mmoja yuko huru kuishi kijijini au mjini!! Karibu ndugu Yusuf! Mjini upoo nyumbani!!
@hassanshemndoa5062
@hassanshemndoa5062 4 жыл бұрын
Innaa lillaahi wainaa ilaihi raajighuun. mzee katamka msilazimishane katika dini,kwaiyo muacheni ni yeye na Allah mtukufu.Sawa,ila pia sheikhul Al-islaam Muhammad bnu Abdulwahhaab amesema miongoni mwa vitenguzi vya uislam bas ni pale unapo leta mzaha kwa yale aliyo teremshiwa mtume wetu swallallaahu alaihi wassallam kwetu sisi. ALLAH ATUKUBALI
@almasymusa6736
@almasymusa6736 4 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema
@HassanMalik-cd9yz
@HassanMalik-cd9yz 4 жыл бұрын
Tatizo letu watu wengi mnapenda kuropoka na kuanza kujaji ila kwa tunaomjua Mzee Yusuph hajamanisha kurudi kwenye Music achen hizo mambo Allaah anajua kila jambo la mja
@wandisha6097
@wandisha6097 4 жыл бұрын
Kwani kuna tatizo gani kwa mziki wa taarabu
@HassanMalik-cd9yz
@HassanMalik-cd9yz 4 жыл бұрын
@@wandisha6097 Mzik kama Mzik ni haramu iwe singel ,iwe taarbu , iwe bongo flevar iwe hipohop but kauli yangu nimesema tusiwe wenye kujaji na kuhukumu muacheni yeye kama yeye ndo ataweka wazi nini anafanya kwani post nyingi mnasema Astaghfirullaah mara subhanallaah wala hamjajua nini anafanya mshaanza kudhania ubaya na Dini yetu inakataza dhwanna
@wandisha6097
@wandisha6097 4 жыл бұрын
@@HassanMalik-cd9yz ndio Mimi nashindwa pia watu wanamkashifu sana na hizo nyimbo ndio zinachezwa kwa maharusi yote ya kiiislamu
@abdulkadirmwalim24
@abdulkadirmwalim24 4 жыл бұрын
Kwa kweli kaka yangu kama ni kweli lengo lako kurudi kwenye mziki unapotea na pia kuna watu nyuma yako utawapoteza njia isio faa katika maisha ya waislamu.
@saidi1365
@saidi1365 4 жыл бұрын
Ila mwenyez mungu hataniw shekh ukirud kweny mziki nakuombea dua ufe tu maan unadhalilish dini.
@nyamuraomary9939
@nyamuraomary9939 4 жыл бұрын
Dah Allah akulinde usiimbe music
@hjhj6230
@hjhj6230 4 жыл бұрын
INNALLAHA MASWABIRIINA 🙇
@evasaimon2101
@evasaimon2101 4 жыл бұрын
Mzee atia huruma Sana Mungu akusamehe ulikurupuka Sana kwenda hija wewe Bado kijana pole sana
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 4 жыл бұрын
Mzee Yusuph nimekuulewa, yaani unarudi kwenye mziki ndugu yangu. Akhfu llaah ndugu yangu.
@siyamunadhir3669
@siyamunadhir3669 4 жыл бұрын
😯kuna watu walianza vizuri wakamaliza vibaya na kuna watu walianza vibaya na wakamaliza kwa uzuri chamsingi ni kumuomba Allah atujalie sote mwisho mwema Aameen 🤲 wsh u Gudluck in whatever you wheeling to do wth yur life
@jamalaggrey5032
@jamalaggrey5032 4 жыл бұрын
Kbssa swabrina mungu ndie ajuae. Nmeipkea ujumbe wko. +974
@siyamunadhir3669
@siyamunadhir3669 4 жыл бұрын
Shukrn my kaka@@jamalaggrey5032
@hamadamabali2895
@hamadamabali2895 4 жыл бұрын
Kua na Subra mzee Allah akuongoze na rizika na unachokipata cha halali
@cholomsury1548
@cholomsury1548 4 жыл бұрын
Mistake kubwa alofanya ni baada ya kuacha taarab akaingia kwenye laghwi za kaswida. Sasa kaswida za vinanda na ngoma ni sawa kabisa na nyimbo nyengine za kidunia
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 4 жыл бұрын
Swadakta
@fatmaaly3056
@fatmaaly3056 4 жыл бұрын
Mlevi hawezi kuachapombe mojakwamjoja
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Dahhhhhhhh kwahyo angefanyajee
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 4 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 kichwa cha habar chasema jinni aonekana live hapo mwangapwani yuko wapi huyo jini alieonekana live hapo
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 4 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 ingeachana na kaswida biashara ziko tele za halali
@babymansouth1164
@babymansouth1164 4 жыл бұрын
+254 Inshaallah khery rrejea Mujini Inshaallah khery Allah akufanyie wepesi tunasubili khery Najuauwezi kurejea kuwa shetanii Allah akusimamie🙏🙏🙏
@evanslawrence7764
@evanslawrence7764 4 жыл бұрын
kennedy wanjara wanjara who is allah to you?
@evanslawrence7764
@evanslawrence7764 4 жыл бұрын
kennedy wanjara wanjara who is allah to you?
@khamisconvoy6798
@khamisconvoy6798 4 жыл бұрын
Ukirud tu kwenye muzik nisawa Na ilio ritad Na itakuwa ume ukana uslam wako
@tbr24viral
@tbr24viral 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qnLOeq2Npt59n80
@josephmahali2166
@josephmahali2166 4 жыл бұрын
mungu atusaidie
@karemhkaremh4451
@karemhkaremh4451 4 жыл бұрын
Unanifurahisha mzee kwani hapo upo shamba inshaa allah kheir usirud kwenye mziki ninaimani umejipanga kwa ajili ya mwezii mtukufu wa ramadhan biidhn llah
@magejuliani5293
@magejuliani5293 4 жыл бұрын
Kwa kweli mwisho wa siku maisha ni yako na familia yako!
@aishaapewe1225
@aishaapewe1225 4 жыл бұрын
Mungu hachezew wewe mzee.... Achana na minanda haifai.... Muogope mungu achana natarabu
@user-gy8lk8te8d
@user-gy8lk8te8d 4 жыл бұрын
Nakuombea sana kakangu ubaki katika njia ya Allah,duniani ishi hata kwenye kibanda uza hata mkaa ila iwe inamridhisha Allah,starehe ni kesho milele na milele na vile vile adhabu,tumepewa njia mbili, so watu wasikughuri.
@isamony58
@isamony58 4 жыл бұрын
Rudi bb kwalolotee upendalo binadamu wazoweee tuuu kazii kuhukumu wezao yakwao yanawashinda
@frankforeheads7240
@frankforeheads7240 4 жыл бұрын
Duuh Noma sana anarudi Mjini Duuh ngoja tuone Mungu atupe mwisho mwema
@alimakame9215
@alimakame9215 4 жыл бұрын
Mh wew yusufu
@magnifiqueicoyangeneye3851
@magnifiqueicoyangeneye3851 4 жыл бұрын
ALLAH akujaliye toba isiyo rudi nyuma na akupe mwisho mwema
@adammobile7006
@adammobile7006 4 жыл бұрын
Aliishiwa mashair ndio maana akatangaza kuacha nasasa kajipanga anarud tena mzee ww ni mnafik allah achezew kwa mikono
@muniramtika3614
@muniramtika3614 4 жыл бұрын
Allah akuongoze inshaAllah
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 4 жыл бұрын
Sisi wazee wa kubeti kwa hili tunatia mzigo wa maaana kabisa..hapa game ni rahisi sana..mzee analeta jambo la kumsifu na kumtukuza mwenyezi mungu..kaeni mkidhani tu kuwa anakuja kuirudsha taarab mapema mmeliwa
@rahmaahmed418
@rahmaahmed418 4 жыл бұрын
Kweli dini yetu imetukamilisha,kwa mazingira yoyote maisha yetu Ni Yale Yale,kujieafisha tumezoea,kuzika punde tu mtu anapokufa tumezoea,kuziba pua mdomo,kichwa n mambo ya kawaida kwetu
@khairiyyaonline3616
@khairiyyaonline3616 4 жыл бұрын
Mzee mm nimeshakuelewa unatafuta kiki ya qaswida kali Allah AKUPE subra
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 4 жыл бұрын
Mashaallh bb yngu mm nakuombea2 uje kivngine amina
@jumamnyage5395
@jumamnyage5395 4 жыл бұрын
Hakuna kuimba kaswida wala taarabu zote nyimbo za kishetani
@yusraikram2214
@yusraikram2214 4 жыл бұрын
Njoooo mzeee naona unahamu na mke wa pili
@aishatundaaishatunda1854
@aishatundaaishatunda1854 4 жыл бұрын
Hahahahaha
@salimashur9678
@salimashur9678 4 жыл бұрын
Mzee Yusuf na RAMADHAN hii naona ametega QASWIDAH In Sha Allah iwe kheir...4 now STAY HOME #CORONA BADO IPOOOOOOOOOO
@tifumunguatamlipaaliendewa4927
@tifumunguatamlipaaliendewa4927 3 жыл бұрын
Bora ya shetani kiliko ww
@bossmum1112
@bossmum1112 3 жыл бұрын
Karibuuu sanaaaa 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@joromimwanga3274
@joromimwanga3274 4 жыл бұрын
nafurahi sana akirudia kuimba kwenye taarabu
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 4 жыл бұрын
Mungu akuepushe usirud kwamzic
@naamohamed9964
@naamohamed9964 4 жыл бұрын
Vido hiyo asalam aleikum ulivyo itamka kama shekh fran😃😃
@iliyasabakari
@iliyasabakari 4 жыл бұрын
Wanaamini kisha wanakufuru, alafu wanazidisha kukufuru, Mungu hatowasamehe na hatowaweka kwenye njia sahihi
@mwanahella9650
@mwanahella9650 4 жыл бұрын
Karibu mjini Alhaji Yusuph
@ahmedkhamishaji8314
@ahmedkhamishaji8314 4 жыл бұрын
Na kunyenyekea Yaa Allah nakuomba usimjaalie mzee Yussug kurud katika Taarabu wala Aina yoyote ya mziki wa kidunia hakika itakuwa nimcba haswa kwake, Natumai atarudi mjini kwamema Inshallah
@saidiyusuphu8571
@saidiyusuphu8571 4 жыл бұрын
Wallahi unamtania mungu wew ulishatubu alafu unarud katika maaswi Allah hataniwi inaliilah wa innalilah rajiun msiba huu
@mohamedjuma1878
@mohamedjuma1878 4 жыл бұрын
Nitasikitika Sana kama utarudi kwenye miziki ntasikitika kwa kweli
@abubakarmajata6714
@abubakarmajata6714 4 жыл бұрын
Mungu syo baba yako ndguu sasa ww endelea na upuuz wko tuu ndgu yang, umetubu vzr na ulikaaa vzr lkn naona wataka kurud ktk upuuuz wko ndgu muogope Allah!!!!
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 4 жыл бұрын
Imani yangu kwako kwa sasa nasubiri mikaswida yako mzee kijana.....!!!!
@rachelevarist70
@rachelevarist70 4 жыл бұрын
Mwenye kuelewa kashaelewa huyo anarudi kwenye mziki hamna kaswida apo chezea njaa wewe Mungu hachezewi na mungu anatujua mungu kama kupangia mwisho mbaya hakuna wakuzuia huwezi kuongelea mziki naikiwa ulishatemananao acha kutufumba werudi imba hakuna wakukuzuia mwenyezimungu humuongoza amtakae swiraata mustaqimaa
@ashakhamis2410
@ashakhamis2410 4 жыл бұрын
Mtangazaji upo makini cn big up
@kivubicomedy5914
@kivubicomedy5914 4 жыл бұрын
Safi sana mzee
@yaumirakateni9927
@yaumirakateni9927 4 жыл бұрын
Kwani km huna nia yakufanya machafu kwanini usikatae mojakwamoja kuwa mimi siimbi mziki nasitaimba. Kama kweli huna hiyo nia kunashida gani yakukataa welikatae2 hilo swala, lakin unazungukA zungukaaa. Inaonyesha unatamaa ya kimaisha mungu hachezewi
@mazagambogo6184
@mazagambogo6184 4 жыл бұрын
Pole sana kakaa kiukwelii
@MohamedMohamed-sc5oe
@MohamedMohamed-sc5oe 4 жыл бұрын
Sisi tuna shida na mungu mungu hana shida na sisi... Hata kama atarudi hasara kwake sio kwa mungu wala kwa uislamu...
@husseinmbeki1578
@husseinmbeki1578 4 жыл бұрын
Tunakusubiri Mzee INSHAALLAH....!!!
@muhammedomar584
@muhammedomar584 4 жыл бұрын
Please usirudi kwenye mziki
@taineetwaha7541
@taineetwaha7541 4 жыл бұрын
Huyukichwachake sikizuri helahamna alirukamavi akakanyaga mkojo
@muhammadmassoud5121
@muhammadmassoud5121 4 жыл бұрын
Kama utarudi kwenye mziki utaiangamiza nafsi yako na jamaa zako.angalia kwa kina.
@sankaratony3672
@sankaratony3672 4 жыл бұрын
Masha Allah
@ibrahimharuna9821
@ibrahimharuna9821 4 жыл бұрын
Ayo tv NAWAKUBALI SANA
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 4 жыл бұрын
Sasa kama atakuja na qaswida fatuma nyoro, father mauji aliowataja wataimba qaswida? Me nahisi itakuwa taarab lkn atabadilisha jina
@nansikilovele1424
@nansikilovele1424 4 жыл бұрын
Cyo jahaz tena! Ni safina! OK,lkn mie cntopenda urud mjin kwa style ile ushakua Shekhe!
@josephkyando317
@josephkyando317 4 жыл бұрын
ludi mzee
@mammwari903
@mammwari903 4 жыл бұрын
Njooo baba
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 жыл бұрын
Njoo baba unapendwa
@aliamirbakar5580
@aliamirbakar5580 4 жыл бұрын
Mzee yousuf nakbuka ulilia kwa madhambi uloyafanya sai umesahau yote duni tambara bovu umechukua hatua kubwa sasa warudi tena kwenye uchafu Allah atakupiga kiboko hutaamini maishani mwako innalilahi wainna ileyhi rajuun
@lovenessfelix5841
@lovenessfelix5841 3 жыл бұрын
Weee njooo bwana"huko mbingun hapalazimishwi!!!utaingia kwa rehema na neema ya mola!
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 4 жыл бұрын
Amewaambia msimkatishe kauli Sasa nini mnamsemea jmn....kelele nyiinngi wakt hmjui mjini anakujaje...labda analeta biashara ya miogo
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Au mpunga😂😂
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 4 жыл бұрын
😀😀😀
@tafuspare2447
@tafuspare2447 4 жыл бұрын
Hata mafenesiiii😁😁😁
@zainabsaid8983
@zainabsaid8983 4 жыл бұрын
Asee kweli maana watu wanaongea hawajui nn anataka
@elizabethmapunda6806
@elizabethmapunda6806 4 жыл бұрын
Na hao wanamizki aliongea nao anawaletea mihogo?
@hakikahoman615
@hakikahoman615 4 жыл бұрын
mie nimekuelewa mzee yusuf iyo nais itakuwa mv
@jacklineisaiah3477
@jacklineisaiah3477 4 жыл бұрын
Vidole vya dhahabu... Raha jipe mwenyewe..!! 😘 J 4, wapeleke Dubai alafu warudishe.... Haloooooo....
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Hahhhhh
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 4 жыл бұрын
Hahahaha
@nikitamarley3933
@nikitamarley3933 4 жыл бұрын
WALAI MADAMU ULIAPA HUTORUDI KWA NYIMBO. WALAI ALLAH HATOKURUDISHA YUSUF....KETI UTULIE...INSHAALLAH...
@francisfidelis5291
@francisfidelis5291 4 жыл бұрын
rudi mzee wee maisha haya kila mtu na msalaba wake
@alkindy2011
@alkindy2011 4 жыл бұрын
Msipate shida sana ya kujiuliza narudi mjini ya mzee yussuf inamaanisha nini, hiyo ni filamu/tamthilia ya yenye maudhui ya kiimani. Jina la filamu/tamthilia hiyo ni "Narudi mjini" ataact mzee Yusuf na hao wengine ambao aliowataja nao atawashirikisha.
@fatumajuma2737
@fatumajuma2737 4 жыл бұрын
sawa mzee tunakusubiri hata mungu anasema kila mwenye kusubiri yukopamoja naee
@amyassyassin7909
@amyassyassin7909 4 жыл бұрын
Allaah Akupe mwisho mwema kaka
@salemjamal6762
@salemjamal6762 4 жыл бұрын
Ushatubu vizuri unarudi tena kwenye mziki mungu unamfanya kma wa kutaniwa eeh
@aminamwangile4020
@aminamwangile4020 4 жыл бұрын
Kuwa na subira utamgundua anacho maanisha hapo atakudondoshea kaswida utampigia saruti....!!!
@gaonechinago3493
@gaonechinago3493 4 жыл бұрын
Vishawishi ndo vibaya ila akili ziongezeke we mzee haupo sawa kisaikolojia
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
nilipelekwa mochali usiku wa manane kufanya mapenzi na maiti ili nipate utajili. usisahau subscribe ili kupata vipande vinavyofuata. kzbin.info/www/bejne/oHimm4F6mtiLhbc
@tbr24viral
@tbr24viral 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qnLOeq2Npt59n80
@LucasEmanuel-bn6mo
@LucasEmanuel-bn6mo 3 жыл бұрын
Unawza ukamhukum wakat we ndo unaweza ukawa unamaovu meng kilamtu ajitacmini mwenyew
@rahmarashid3719
@rahmarashid3719 4 жыл бұрын
Nakukubali ww unajitambua achana na wanaokuhukumu mi nakuelewaga
Разбудила маму🙀@KOTVITSKY TG:👉🏼great_hustle
00:11
МишАня
Рет қаралды 3,8 МЛН
100❤️
00:21
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 10 МЛН
Como ela fez isso? 😲
00:12
Los Wagners
Рет қаралды 19 МЛН
VIONGOZI WA KIMILA, KIDINI NA KISERIKALI WAWAASA WANAKIJIJI WA KISIMIRI KUACHANA NA KILIMO CHA BANGI
8:30
Drug Control and Enforcement Authority DCEA
Рет қаралды 18 М.
Mzee Yusuf - TUPENDANE WABAYA WAULIZANE. audio | MARJAN SEMPA
16:03
Marjan Sempa
Рет қаралды 103 М.
Разбудила маму🙀@KOTVITSKY TG:👉🏼great_hustle
00:11
МишАня
Рет қаралды 3,8 МЛН