Utamupa wewe pesa hebu muacheni aje atafute pesa bwana maana mziki ndiyo kazi yake na ndiyo kipaji chake
@aishambise65294 жыл бұрын
@@halunamaneno9986 💋❤
@maymunahomar50164 жыл бұрын
Umeongea vizuri Mzee Yussuf. Ingelipendeza zaidi ungetumia neno la 'In Shaa Allah' katika maongezi yako. Shukraan sana. Allah (SWT) akuongoze kwenye jambo jema. Aamin.
@nasibuabdul45804 жыл бұрын
Aiwaa
@fadhiliswalehe92864 жыл бұрын
Mtu wa kwanza kuandika kiufupi alikatwa mukono.andika Allah subhaanahu wataa'la sio (SWT) pia Mtume Swalla Allaahu A'layhi wassalam sio (S.A.W) haifai
@saidikembea91583 жыл бұрын
Muombee hidaya huyo ALLAH amuongoze huyo
@maryamsalim35234 жыл бұрын
Absolutely mzee Yusuf wambie munguu tuu ndie muwamuzi wanguu jema na baya sii nyinyii binadamu
@aminasalum19544 жыл бұрын
Hawez rud kwahayo maneno yakwanza tuu hapo inadhihirisha kbs kua yupo naiman yadini kbs hawez kurudia upuuz kbs mzee Yusufu minakuaminia unakuja nalakheir nasio music,,in shaa ALLAH Mungu akujaalie kheir namwisho mwema
@siriyangu47244 жыл бұрын
Mashaallah aya mzee yusuf kila mtu atabeba mzingo wke rundi kasalama Allah akucmamie na ramdani iyo apo yaja nawaombea kwa Allah itufikie salama amen
@mziwandabakers82974 жыл бұрын
Siri 🥰
@maryamobo95343 жыл бұрын
Asalamu aleykum warahmatullahi wabarakatuh, tusijaji mtu, tumuombeeni kheri mwenzetu, shari amuondolee, sisi waja twapenda kuropokwa kupita kuasi, hakuna mswafi kiumbe aliyekamilika ni mwenyezi mungu. In sha Allah mungu atuongoze kwenye kheri sote. Ameen yaraby.
@Smartboy-wt1es4 жыл бұрын
Usijeukarudi kwenye music tafadhali nakuomba na nimekuomba sana, Inshaalah
@shabanimussa48624 жыл бұрын
Allah akusimamie kurud kwako kuwe Katika njia Ya Kheri.... Life is too short to do something wrong by ur own decisions!
@marrymadaha2064 жыл бұрын
Poa
@marrymadaha2064 жыл бұрын
Poa
@CyimSky4 жыл бұрын
nilipelekwa mochali usiku wa manane kufanya mapenzi na maiti ili nipate utajili. usisahau subscribe ili kupata vipande vinavyofuata. kzbin.info/www/bejne/oHimm4F6mtiLhbc
@tbr24viral4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qnLOeq2Npt59n80
@allyhamza84104 жыл бұрын
Sawa baba rudi mjini watuu bado tunakukumbuka sana yaan katika utendaji kazi yako
@mimakau44904 жыл бұрын
Mmh Allah akuongoze asirud kuimba
@sarahmohamed3374 жыл бұрын
M.mungu Akuondoshee fikra za mziki.
@bakarikhery83764 жыл бұрын
ALLAH AKUSIMAMIE SHEKHE WANGU 🙏🙏🙏
@abdallahamad46824 жыл бұрын
Allah akulinde brother ktk hili..! rudi kwa ujio mwema, twakuomba broh.
Hasbiyya Allah waniimal wakil. Allah akuongoze ndugu yetu. Maana mtihani hizo corona ndugu yng njoo mjini na singel kisha utaona.
@zulyfadhil35584 жыл бұрын
saada moh'd duuu
@jumajay84964 жыл бұрын
Poleni sana mzee usuf hawezi kurudi kucheza taarabu abadan angalieni sura sura yake zaidi ataimba qasida na ile timu ya jahazi.
@aligedi28694 жыл бұрын
Allah asikurudishe kwenye nyimbo
@djdallubflex74584 жыл бұрын
Mjini uku habari COVID 19 asa sheikh wangu labda uje na dawa yake
@brothersalim53594 жыл бұрын
Maa shaa Allah mzee yusufff welcome back Mombass kistarabu zaidii
@DonMooSTUDIO_Express4 жыл бұрын
💞💞 USIKOSEEEE! Tizama filamu hii haraka sana kisha SUBSCRIBE chanel hii haraka👇 kzbin.info/www/bejne/gZi9pXh4npuKf5I
@mwanakhamisrashid5094 жыл бұрын
mie sitegemei kama atarudi kwenye mziki, Mungu amuongoe yeye pamoja na sie inshas Allah
@mohammedseif48744 жыл бұрын
Nikweli ulio yaongea ila ushauri tu usirudi tena katika mziki tulia ulipo pata ndio riski yako miziki nikuipotosha jamii na maasi mengi sana hufanyika nnjoo na jambo jema ambalo litakulinda kwa allah shukran
@gespardanil20094 жыл бұрын
Tatizo binadamu huwa tunahukum, mtu mapema xana kwani kusema naludi mjini ni dhambi, Yeye hajatamka kama anarudia taarabu, Jamani hebu tusubilie tuone mwisho wake,
@suleyswaleh53814 жыл бұрын
Imeisha iyoooo. Kasherud Kwenye mzikii
@khatimabdallah81434 жыл бұрын
Alllaah asikirudishe na mziki allaah akuongoze njia ya khery
@carlhence44144 жыл бұрын
Mzee Yusuf hatuna uhakika mpka Sasa unarudi mjini kwa kurusha roho wala nini. But km Nia yako ni kurusha roho. Mungu ndie mjuzi zaidi but sio picha mzuri hyo km muislamu na mungu atakujalia baya uliepuke.
@suleimansalim71942 жыл бұрын
Pole Sana,Dini sio Mchezo
@fatmakanizyok98314 жыл бұрын
Manshaallah
@seifmpizi76024 жыл бұрын
Noo
@lukizapetro20424 жыл бұрын
Yaan ayo TV mko vizuri mno ata nje ya nchi mnasaka habari muhim mno,
@almosul16214 жыл бұрын
Haiya....Rudi.... follow your heart......in Shaa Allah
@ashurar27214 жыл бұрын
Allahi mzee ukirudia mxiki huowoni ufarme WA mungu
@AfRICA04044 жыл бұрын
Wew nan adi asione unajikuta mung we ndio mtoa ukumu
Kila mmoja yuko huru kuishi kijijini au mjini!! Karibu ndugu Yusuf! Mjini upoo nyumbani!!
@hassanshemndoa50624 жыл бұрын
Innaa lillaahi wainaa ilaihi raajighuun. mzee katamka msilazimishane katika dini,kwaiyo muacheni ni yeye na Allah mtukufu.Sawa,ila pia sheikhul Al-islaam Muhammad bnu Abdulwahhaab amesema miongoni mwa vitenguzi vya uislam bas ni pale unapo leta mzaha kwa yale aliyo teremshiwa mtume wetu swallallaahu alaihi wassallam kwetu sisi. ALLAH ATUKUBALI
@almasymusa67364 жыл бұрын
Allah akupe mwisho mwema
@HassanMalik-cd9yz4 жыл бұрын
Tatizo letu watu wengi mnapenda kuropoka na kuanza kujaji ila kwa tunaomjua Mzee Yusuph hajamanisha kurudi kwenye Music achen hizo mambo Allaah anajua kila jambo la mja
@wandisha60974 жыл бұрын
Kwani kuna tatizo gani kwa mziki wa taarabu
@HassanMalik-cd9yz4 жыл бұрын
@@wandisha6097 Mzik kama Mzik ni haramu iwe singel ,iwe taarbu , iwe bongo flevar iwe hipohop but kauli yangu nimesema tusiwe wenye kujaji na kuhukumu muacheni yeye kama yeye ndo ataweka wazi nini anafanya kwani post nyingi mnasema Astaghfirullaah mara subhanallaah wala hamjajua nini anafanya mshaanza kudhania ubaya na Dini yetu inakataza dhwanna
@wandisha60974 жыл бұрын
@@HassanMalik-cd9yz ndio Mimi nashindwa pia watu wanamkashifu sana na hizo nyimbo ndio zinachezwa kwa maharusi yote ya kiiislamu
@abdulkadirmwalim244 жыл бұрын
Kwa kweli kaka yangu kama ni kweli lengo lako kurudi kwenye mziki unapotea na pia kuna watu nyuma yako utawapoteza njia isio faa katika maisha ya waislamu.
@saidi13654 жыл бұрын
Ila mwenyez mungu hataniw shekh ukirud kweny mziki nakuombea dua ufe tu maan unadhalilish dini.
@nyamuraomary99394 жыл бұрын
Dah Allah akulinde usiimbe music
@hjhj62304 жыл бұрын
INNALLAHA MASWABIRIINA 🙇
@evasaimon21014 жыл бұрын
Mzee atia huruma Sana Mungu akusamehe ulikurupuka Sana kwenda hija wewe Bado kijana pole sana
@ntopangonyani69644 жыл бұрын
Mzee Yusuph nimekuulewa, yaani unarudi kwenye mziki ndugu yangu. Akhfu llaah ndugu yangu.
@siyamunadhir36694 жыл бұрын
😯kuna watu walianza vizuri wakamaliza vibaya na kuna watu walianza vibaya na wakamaliza kwa uzuri chamsingi ni kumuomba Allah atujalie sote mwisho mwema Aameen 🤲 wsh u Gudluck in whatever you wheeling to do wth yur life
@jamalaggrey50324 жыл бұрын
Kbssa swabrina mungu ndie ajuae. Nmeipkea ujumbe wko. +974
@siyamunadhir36694 жыл бұрын
Shukrn my kaka@@jamalaggrey5032
@hamadamabali28954 жыл бұрын
Kua na Subra mzee Allah akuongoze na rizika na unachokipata cha halali
@cholomsury15484 жыл бұрын
Mistake kubwa alofanya ni baada ya kuacha taarab akaingia kwenye laghwi za kaswida. Sasa kaswida za vinanda na ngoma ni sawa kabisa na nyimbo nyengine za kidunia
@iddijumaali71924 жыл бұрын
Swadakta
@fatmaaly30564 жыл бұрын
Mlevi hawezi kuachapombe mojakwamjoja
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Dahhhhhhhh kwahyo angefanyajee
@iddijumaali71924 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 kichwa cha habar chasema jinni aonekana live hapo mwangapwani yuko wapi huyo jini alieonekana live hapo
@iddijumaali71924 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 ingeachana na kaswida biashara ziko tele za halali
@babymansouth11644 жыл бұрын
+254 Inshaallah khery rrejea Mujini Inshaallah khery Allah akufanyie wepesi tunasubili khery Najuauwezi kurejea kuwa shetanii Allah akusimamie🙏🙏🙏
@evanslawrence77644 жыл бұрын
kennedy wanjara wanjara who is allah to you?
@evanslawrence77644 жыл бұрын
kennedy wanjara wanjara who is allah to you?
@khamisconvoy67984 жыл бұрын
Ukirud tu kwenye muzik nisawa Na ilio ritad Na itakuwa ume ukana uslam wako
@tbr24viral4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/qnLOeq2Npt59n80
@josephmahali21664 жыл бұрын
mungu atusaidie
@karemhkaremh44514 жыл бұрын
Unanifurahisha mzee kwani hapo upo shamba inshaa allah kheir usirud kwenye mziki ninaimani umejipanga kwa ajili ya mwezii mtukufu wa ramadhan biidhn llah
@magejuliani52934 жыл бұрын
Kwa kweli mwisho wa siku maisha ni yako na familia yako!
@aishaapewe12254 жыл бұрын
Mungu hachezew wewe mzee.... Achana na minanda haifai.... Muogope mungu achana natarabu
@user-gy8lk8te8d4 жыл бұрын
Nakuombea sana kakangu ubaki katika njia ya Allah,duniani ishi hata kwenye kibanda uza hata mkaa ila iwe inamridhisha Allah,starehe ni kesho milele na milele na vile vile adhabu,tumepewa njia mbili, so watu wasikughuri.
Duuh Noma sana anarudi Mjini Duuh ngoja tuone Mungu atupe mwisho mwema
@alimakame92154 жыл бұрын
Mh wew yusufu
@magnifiqueicoyangeneye38514 жыл бұрын
ALLAH akujaliye toba isiyo rudi nyuma na akupe mwisho mwema
@adammobile70064 жыл бұрын
Aliishiwa mashair ndio maana akatangaza kuacha nasasa kajipanga anarud tena mzee ww ni mnafik allah achezew kwa mikono
@muniramtika36144 жыл бұрын
Allah akuongoze inshaAllah
@rahimmarions57124 жыл бұрын
Sisi wazee wa kubeti kwa hili tunatia mzigo wa maaana kabisa..hapa game ni rahisi sana..mzee analeta jambo la kumsifu na kumtukuza mwenyezi mungu..kaeni mkidhani tu kuwa anakuja kuirudsha taarab mapema mmeliwa
@rahmaahmed4184 жыл бұрын
Kweli dini yetu imetukamilisha,kwa mazingira yoyote maisha yetu Ni Yale Yale,kujieafisha tumezoea,kuzika punde tu mtu anapokufa tumezoea,kuziba pua mdomo,kichwa n mambo ya kawaida kwetu
@khairiyyaonline36164 жыл бұрын
Mzee mm nimeshakuelewa unatafuta kiki ya qaswida kali Allah AKUPE subra
@rahimaaaaa56824 жыл бұрын
Mashaallh bb yngu mm nakuombea2 uje kivngine amina
@jumamnyage53954 жыл бұрын
Hakuna kuimba kaswida wala taarabu zote nyimbo za kishetani
@yusraikram22144 жыл бұрын
Njoooo mzeee naona unahamu na mke wa pili
@aishatundaaishatunda18544 жыл бұрын
Hahahahaha
@salimashur96784 жыл бұрын
Mzee Yusuf na RAMADHAN hii naona ametega QASWIDAH In Sha Allah iwe kheir...4 now STAY HOME #CORONA BADO IPOOOOOOOOOO
@tifumunguatamlipaaliendewa49273 жыл бұрын
Bora ya shetani kiliko ww
@bossmum11123 жыл бұрын
Karibuuu sanaaaa 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@joromimwanga32744 жыл бұрын
nafurahi sana akirudia kuimba kwenye taarabu
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Mungu akuepushe usirud kwamzic
@naamohamed99644 жыл бұрын
Vido hiyo asalam aleikum ulivyo itamka kama shekh fran😃😃
@iliyasabakari4 жыл бұрын
Wanaamini kisha wanakufuru, alafu wanazidisha kukufuru, Mungu hatowasamehe na hatowaweka kwenye njia sahihi
@mwanahella96504 жыл бұрын
Karibu mjini Alhaji Yusuph
@ahmedkhamishaji83144 жыл бұрын
Na kunyenyekea Yaa Allah nakuomba usimjaalie mzee Yussug kurud katika Taarabu wala Aina yoyote ya mziki wa kidunia hakika itakuwa nimcba haswa kwake, Natumai atarudi mjini kwamema Inshallah
@saidiyusuphu85714 жыл бұрын
Wallahi unamtania mungu wew ulishatubu alafu unarud katika maaswi Allah hataniwi inaliilah wa innalilah rajiun msiba huu
@mohamedjuma18784 жыл бұрын
Nitasikitika Sana kama utarudi kwenye miziki ntasikitika kwa kweli
@abubakarmajata67144 жыл бұрын
Mungu syo baba yako ndguu sasa ww endelea na upuuz wko tuu ndgu yang, umetubu vzr na ulikaaa vzr lkn naona wataka kurud ktk upuuuz wko ndgu muogope Allah!!!!
@aminamwangile40204 жыл бұрын
Imani yangu kwako kwa sasa nasubiri mikaswida yako mzee kijana.....!!!!
@rachelevarist704 жыл бұрын
Mwenye kuelewa kashaelewa huyo anarudi kwenye mziki hamna kaswida apo chezea njaa wewe Mungu hachezewi na mungu anatujua mungu kama kupangia mwisho mbaya hakuna wakuzuia huwezi kuongelea mziki naikiwa ulishatemananao acha kutufumba werudi imba hakuna wakukuzuia mwenyezimungu humuongoza amtakae swiraata mustaqimaa
@ashakhamis24104 жыл бұрын
Mtangazaji upo makini cn big up
@kivubicomedy59144 жыл бұрын
Safi sana mzee
@yaumirakateni99274 жыл бұрын
Kwani km huna nia yakufanya machafu kwanini usikatae mojakwamoja kuwa mimi siimbi mziki nasitaimba. Kama kweli huna hiyo nia kunashida gani yakukataa welikatae2 hilo swala, lakin unazungukA zungukaaa. Inaonyesha unatamaa ya kimaisha mungu hachezewi
@mazagambogo61844 жыл бұрын
Pole sana kakaa kiukwelii
@MohamedMohamed-sc5oe4 жыл бұрын
Sisi tuna shida na mungu mungu hana shida na sisi... Hata kama atarudi hasara kwake sio kwa mungu wala kwa uislamu...
Kama utarudi kwenye mziki utaiangamiza nafsi yako na jamaa zako.angalia kwa kina.
@sankaratony36724 жыл бұрын
Masha Allah
@ibrahimharuna98214 жыл бұрын
Ayo tv NAWAKUBALI SANA
@dadaagnes44834 жыл бұрын
Sasa kama atakuja na qaswida fatuma nyoro, father mauji aliowataja wataimba qaswida? Me nahisi itakuwa taarab lkn atabadilisha jina
@nansikilovele14244 жыл бұрын
Cyo jahaz tena! Ni safina! OK,lkn mie cntopenda urud mjin kwa style ile ushakua Shekhe!
@josephkyando3174 жыл бұрын
ludi mzee
@mammwari9034 жыл бұрын
Njooo baba
@azizawadh59734 жыл бұрын
Njoo baba unapendwa
@aliamirbakar55804 жыл бұрын
Mzee yousuf nakbuka ulilia kwa madhambi uloyafanya sai umesahau yote duni tambara bovu umechukua hatua kubwa sasa warudi tena kwenye uchafu Allah atakupiga kiboko hutaamini maishani mwako innalilahi wainna ileyhi rajuun
@lovenessfelix58413 жыл бұрын
Weee njooo bwana"huko mbingun hapalazimishwi!!!utaingia kwa rehema na neema ya mola!
@rashidkalabi82124 жыл бұрын
Amewaambia msimkatishe kauli Sasa nini mnamsemea jmn....kelele nyiinngi wakt hmjui mjini anakujaje...labda analeta biashara ya miogo
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Au mpunga😂😂
@dadaagnes44834 жыл бұрын
😀😀😀
@tafuspare24474 жыл бұрын
Hata mafenesiiii😁😁😁
@zainabsaid89834 жыл бұрын
Asee kweli maana watu wanaongea hawajui nn anataka
@elizabethmapunda68064 жыл бұрын
Na hao wanamizki aliongea nao anawaletea mihogo?
@hakikahoman6154 жыл бұрын
mie nimekuelewa mzee yusuf iyo nais itakuwa mv
@jacklineisaiah34774 жыл бұрын
Vidole vya dhahabu... Raha jipe mwenyewe..!! 😘 J 4, wapeleke Dubai alafu warudishe.... Haloooooo....
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Hahhhhh
@kibabysaid66924 жыл бұрын
Hahahaha
@nikitamarley39334 жыл бұрын
WALAI MADAMU ULIAPA HUTORUDI KWA NYIMBO. WALAI ALLAH HATOKURUDISHA YUSUF....KETI UTULIE...INSHAALLAH...
@francisfidelis52914 жыл бұрын
rudi mzee wee maisha haya kila mtu na msalaba wake
@alkindy20114 жыл бұрын
Msipate shida sana ya kujiuliza narudi mjini ya mzee yussuf inamaanisha nini, hiyo ni filamu/tamthilia ya yenye maudhui ya kiimani. Jina la filamu/tamthilia hiyo ni "Narudi mjini" ataact mzee Yusuf na hao wengine ambao aliowataja nao atawashirikisha.
@fatumajuma27374 жыл бұрын
sawa mzee tunakusubiri hata mungu anasema kila mwenye kusubiri yukopamoja naee
@amyassyassin79094 жыл бұрын
Allaah Akupe mwisho mwema kaka
@salemjamal67624 жыл бұрын
Ushatubu vizuri unarudi tena kwenye mziki mungu unamfanya kma wa kutaniwa eeh
@aminamwangile40204 жыл бұрын
Kuwa na subira utamgundua anacho maanisha hapo atakudondoshea kaswida utampigia saruti....!!!
@gaonechinago34934 жыл бұрын
Vishawishi ndo vibaya ila akili ziongezeke we mzee haupo sawa kisaikolojia
@CyimSky4 жыл бұрын
nilipelekwa mochali usiku wa manane kufanya mapenzi na maiti ili nipate utajili. usisahau subscribe ili kupata vipande vinavyofuata. kzbin.info/www/bejne/oHimm4F6mtiLhbc