Kuishi na huyu dem sio kitu rahisi umalufu una mrevya alafu chapombe
@StrongbowArrow20043 ай бұрын
Ila shishi jamani mtu asilale we kupambana na huo mwili usiku kucha, fanyamasihara nini 🙌🙌🤣🤣
@yudaaraphati96733 ай бұрын
Niende nikapije watu picha saa11 asubui 😂😂
@IreneIsack-qp9ns3 ай бұрын
@@yudaaraphati9673😂😂😂
@sgfbase3 ай бұрын
Verse ya Mbuzi na Khaligraph kwa Hennessey Cypher ni noma sana
@maryamtanzania97433 ай бұрын
Shilole hawezi ishi na mwanaume hana heshima kama wanawake wengine
@lisawilliam24913 ай бұрын
Comment ni kutafuta ela tu
@FatumaMohamedi-t6t3 ай бұрын
Pesa sio kila kitu utu uwepo mm nna boss wangu anamilik majumba dubai kuna muda analia tu kisa ni changamoto za maisha kwa hiyo pesa haitatui kila kitu.
@emmadora78483 ай бұрын
Vijana tafuteni pesa acheni kujiwekeza kwa wamama
@hamisibakari3423 ай бұрын
JAMANI GURUDUMU HILI KULIBIMBILISA MPAKA likojoe USIKU KUCHA,UNAZANI ATAWEZA KUAMKA MAPEMA KWELI ??? Angekua anakupa pesa alafu kitandani 0 pia ungesema
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
Huyu mwanamke ,nayeye nikumuanika,,,,
@Lewinglovbi66993 ай бұрын
Washa wa waambie hampend kutafut hel mnaoend kulelewa sn😂😂😂😂😂
@JanetAhmad-v3h3 ай бұрын
😅😅😅😅acha wararuwane😅😅😅😅 tulia niwani acha uyaone
@zainabwage46583 ай бұрын
Kiufup nimekuelewa shishi
@edwardtrigga57013 ай бұрын
Wapi nyinyi wanawake uwa mnatapa tapa mkiachana na mtu