LIFE WISDOM : NGUVU YA KUANZA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 9,101

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 41
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 12 күн бұрын
Nira isi sana, Mungu a zidi Kuku Linda 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
@user-ge4jn5ry1o
@user-ge4jn5ry1o Ай бұрын
Joel nanauka vitu unavyotupa Ni zaidi ya almasi na dhahabu ,vitu ambavyo vinatutajirisha akili zetu,afya zetu,saikolojia zetu na mafanikio yetu.Allah(s.w)akupe nguvu na uhai na mafanikio ya kudumu katika maisha yako
@yssaid4193
@yssaid4193 Ай бұрын
Brother Joel Nanauka kwa kweli umenisaidia kiasi kwamba nilitimiza ndoto zangu na kufika Canada 🇨🇦ambazo nilikaribia kukata tamaa wakati natafuta hii safar mungu akuongeze na akufikishe pale unapopakusudia
@bina2557
@bina2557 Ай бұрын
Kaka Joel Nanauka asante sana kwa kutukumbusha mimi nilianza sema sikuwa msimamiz mkuu wa mradi wangu niliempa asimamie aliniangusha saiv nmeanza kuweka akiba nataka huu mwaka ukiisha niwe nmefikia kiwango flan cha fedha na ntapiga hatua kwenye sehem flan ya kuanza nmefungua. Account ya money marketing hivyo nusu ya mshahara wangu naielekeza huko asante sana na haya maarifa nmeyatoa kwako December ntakuwa dar nitahakikisha napata vitabu
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 Ай бұрын
Kuna softcopy unaweza ukatumiwa 😊
@ramadhanmkenda5918
@ramadhanmkenda5918 Ай бұрын
Mwalim WA muda wote stay blessed kk
@BenjaminRajabu-xk7mc
@BenjaminRajabu-xk7mc Ай бұрын
Kaka habari zasubuhi mm nakushukuru sana
@user-xt5vs7cm2k
@user-xt5vs7cm2k Ай бұрын
Kak balikiwa san aseee one love
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Ай бұрын
Nashukur...br.. Joel.. toka nianze kukusikiliza targets zangu zinaenda..sawa..... nashukur sana ...na kama nilivo kwambia very soon nitapta vitabu vyako.... barikiwa sana Joel mungu azidi kumupa ufahamu zaidi...🙏
@bonymujama7332
@bonymujama7332 Ай бұрын
Thank you brother Joel and your technical team. Mafundisho mazuri sana ambayo yanabadirisha maisha ya watu wengi. Ila nina ombi kuhusu background sound. Kwa video hii, your voice ni kama ilikuwa low, ila mimi nimeona kwamba ni suala la background sound/music ambayo sauti yake iko juu kuliko you the speaker's voice. I prefer listening in a total calmness rather than with background music. Kama background music ikiwemo, isiwe high sana... Asante sana
@jichofoundationtv6893
@jichofoundationtv6893 Ай бұрын
Tunashukuru sana kwa mafundisho yako mzuri. Lkni sauti ipo Chin sana
@PANGACHUMVIFRONT-OFFFICE
@PANGACHUMVIFRONT-OFFFICE 26 күн бұрын
you`re amazing broo big up
@victoriavictoria8481
@victoriavictoria8481 Ай бұрын
Nashukuru Mungu alinitoa ktk mahusiano mabovu, Sasa hivi naweza fanya kazi kwa ajili yakujijenga kimaisha
@eldahussein1249
@eldahussein1249 24 күн бұрын
Uliwezaje kutoka,maana mahusiano mabovu yanaweza kukufanya ukashindwa kupiga hatua za kimaisha na kimaendeleo
@nestorytweve-vh7qk
@nestorytweve-vh7qk Ай бұрын
..Binafsi nimefurahishwa sana na elimu ambayo unaitoa maana una msaada mkubwa sana kwenye maisha ya watu wengi .zaidi nishukuru sana maana baada ya kulipia kitabu PDF nilikuwa nawaza ulivyo bize ivo utanitumia lini au saa ngapi n.k ...lakini cha ajabu ndani ya dakika 2 tuu nimeipata soft copy yangu....ISHINDE TABIA YA KUGAIRISHA MAMBO(NGUVU YA KUANZA). ..nimefurahi sana sio kigodo👏🤣🤣 mungu akufanyie wepesi wa mambo maana kazi ni kubwa ya kumweelimisha mtu hadi akabadilishe maisha yake..thanks
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 Ай бұрын
Kaka Joel Leo sauti haipo vizuri ipo chini sana, napata shida kukusikiliza ila nimepata kitu kikubwa sana
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 Ай бұрын
Somo safi kabsah 😂 🔥🔥🔥🔥,,,, yani kwenye suala la kughairisha mambo nilikuwa kinara nadhani🙌🙌,,,hii kanuni imenisaidia sana🏆,,,shukran mno
@user-ru6ct4rh3t
@user-ru6ct4rh3t Ай бұрын
Asante Mungu Kwa kunipa huyu kaka🙏🙏
@godfreygerase8713
@godfreygerase8713 Ай бұрын
Naaam mwalim kuanza kunaitaji maamzi ya ziada make namm nimelazimika kuanza kabla ata sijafikisha kiwango ambacho nilikua sijakipanga!! Na nilipoanza anza kukusikiliza wewe ikabidi nianze. Wenzangu nawashauli usisubilie ambacho hakijakutaarifi apo ulop unaweza kuanza japo sio raisi anza utakuja kushangaa unafanya makubwa zaidi. Asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
@TwahaSalum-rz4mt
@TwahaSalum-rz4mt Ай бұрын
Asante kwa hamasa yako
@SurprisedBike-lu2uf
@SurprisedBike-lu2uf Ай бұрын
Asante sana uzidishiwe maarifa zaid na zaidi
@HatibuJumaa
@HatibuJumaa Ай бұрын
Kaka habari nilikuwa nashauri wakati unatengeneza video zako jaribu kupunguza mziki wa background kwasababu unapelekea wengine kutokukusikia unazungumza nini
@aidanmbilinyi8184
@aidanmbilinyi8184 Ай бұрын
Nzurii
@josephtesha872
@josephtesha872 Ай бұрын
Kwl nimejifunza
@MarryJulius-wq3eg
@MarryJulius-wq3eg Ай бұрын
Amina kaka 🙏🙏
@olivauisso9357
@olivauisso9357 Ай бұрын
Mungu akubariki kaka
@abudallahabubakar6286
@abudallahabubakar6286 Ай бұрын
Bigger up brother
@ndirukanyamweru6054
@ndirukanyamweru6054 Ай бұрын
Asante sana Kwa darasa lako Zuri sana.Lakini Leo recording ya sauti haikuwa sawia kabisa kama nilivyokuzoea.Mafundi wa sauti waboreshe zaidi
@AthanasioDungumaro-rj4bc
@AthanasioDungumaro-rj4bc Ай бұрын
Joel Nanauka you are a good teacher how I can get your book for studying.
@jamesshirima33
@jamesshirima33 Ай бұрын
Barikiwa sana kaka
@mmarikarajabu5874
@mmarikarajabu5874 Ай бұрын
Nawezaje kupata vitabu vyako kk
@herbertbavuma7228
@herbertbavuma7228 Ай бұрын
Be blessed br
@FanuelyIsaya-xu5wk
@FanuelyIsaya-xu5wk Ай бұрын
Amen
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 Ай бұрын
Be blessed
@neemadaudisospeter8211
@neemadaudisospeter8211 Ай бұрын
Asante
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn Ай бұрын
Asant sana
@razakibakari5240
@razakibakari5240 Ай бұрын
Do you believe in fortune brother Joel
@razakibakari5240
@razakibakari5240 Ай бұрын
Do you believe in fortune brother Joel
@medjyobali
@medjyobali Ай бұрын
❤❤❤
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Ай бұрын
🤝👍
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi Ай бұрын
❤❤❤
LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA
13:23
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
🌊Насколько Глубокий Океан ? #shorts
00:42
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,5 МЛН
LIFE WISDOM : PRESHA ZA MAISHA - JOEL NANAUKA
16:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 17 М.
Sijawahi Kusema, Ninao Maadui Mtume Mwamposa
41:00
Chomoza Tv
Рет қаралды 54 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 46 М.
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН