No video

SHK. SHAHRAN / BALEKH INA KUHANGAISHA UKIKUWA UTAACHA / KUJUWA LUGHA YA KIYARABU BADO HUJAWA SHEKHE

  Рет қаралды 64,679

Adil TV

Adil TV

Күн бұрын

#Adiltv #ShkSuleimanBinAbbas #DarsaLaShekhShahran #SheikhMselemBinAly

Пікірлер: 280
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 6 ай бұрын
Shekh ALLAH akulipe kheri wewe na sisi sote na ALLAH atufikishe hali ya kuwa ni waislam na waumini na Inshaa Allah atuingize peponi pasina hesabu. Atakae kupinga kwa hiki huyo si mwislam na asipoomba msamaha atakuwa mwenye hasara hapa duniani na kesho kwa Mola wetu.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 2 жыл бұрын
Pole sana mzee Allah akuongoze katika hakki. Tuiyogope si tutakayorudishwa kwa Allah
@abdullahothman4407
@abdullahothman4407 2 жыл бұрын
Mungu akuhifadhi mwalimu wangu na mitihani ya kidunia na ya kiahera
@jumatano242
@jumatano242 2 жыл бұрын
Adil tv kuwa makini na vichwa vyako vya habar hususan ktk masuala ya dini usione unavutia viewers
@kipineonline302
@kipineonline302 2 жыл бұрын
Alhamdulilah wamesha toa maoni wengi... Sheik umeongea kwa uzuri ila bado hujatoa hoja kuhusu suala hilo!
@binausimohammed775
@binausimohammed775 2 жыл бұрын
Unaonaje ww ukatoa hojja juu ya swala hilo.
@abbubakarmfinanga57
@abbubakarmfinanga57 2 жыл бұрын
Subhana lah waislam wenzangu ebu tuangalien mazingira aya tunayo fanyia iimijadala
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 2 жыл бұрын
Wafahamishe sheikh. Allah akubarik. Kujua kiarabu si kujua dini.
@abdallahmzonge4455
@abdallahmzonge4455 2 жыл бұрын
hamna kitu hapo, hoja za msingi ziko kwa Muhammad Bachu
@humeidsinani216
@humeidsinani216 Жыл бұрын
Hhhhhh umeongea kweli mwalim wngu
@shimbo0146
@shimbo0146 2 жыл бұрын
Mungu atuongoze.mzee.wangu.ukijikwaa.unamtaja.nani.mtume.au.mungu.jirekebishe.umri umeenda
@binausimohammed775
@binausimohammed775 2 жыл бұрын
Yaan unaonaje ww ukabaki na msimamo wako ukamwacha na msimamo wake.
@hemedahmed3094
@hemedahmed3094 2 жыл бұрын
@@binausimohammed775 uislm ni dini ya dalili c kujifanyia hovyo Allah anasema ameikamilisha dini kwa hy kitachokuwa nje ya Quran na sunna ni bid'aah na kila bid'aah ni upotovu na kila upotoshaji unampeleka mtu motoni (Al Hadith) Ss mtufundishe lini na wap ktk Qur'an na sunna mtume Muhammad swalallahu aleyh wasalam alisheherekea cku ya kuzaliwa bc toa aya ktk Qur'an
@hemedahmed3094
@hemedahmed3094 2 жыл бұрын
@@binausimohammed775 Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu. Hii aya ilikuwa inamaanisha kisiongezeke kitu ktk dini
@hassanameir1710
@hassanameir1710 2 жыл бұрын
Tunaocomment tuzingatie "yule ambae Anamuamini Allah na siku ya mwisho basi na azungumze kheri au anyamaze" shukran
@aishaalizubeir7964
@aishaalizubeir7964 2 жыл бұрын
Kweli kaka hlo nijambo muhimu sana..kuzingatia..watu wasiwe kama sisimizi hajui atokapo wala aendapo
@aishaalizubeir7964
@aishaalizubeir7964 2 жыл бұрын
Kikumbwa ni kusoma tukajua haki iko wapi...na cyo matamanio ya nafsi zetu
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 2 жыл бұрын
Kwa hakika huyu sheikh Muhammed Bachu kipaji anacho MashaAllah tupokeeni tu tusim katishe tama kijana wetu nakuombeni wazee wote na vijana Asante
@khatibame3976
@khatibame3976 2 жыл бұрын
Mashaallah shekh shahran, mungu akulinde na Shari na fitna za hawa wanaojiita masalifi
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 2 жыл бұрын
Salamaaa ya WAISLAM NA UISLAM iko katika kulazimiana na njiaa ya SALAF SWAAALIH Kama wao wanajiiita masalafi baaasi tufunzeni usalfi wa kweli ili tuuufuateee sasaaaa.... lakin sio bidaaaaaa
@ebrahimosman5477
@ebrahimosman5477 2 жыл бұрын
Sadakta shehe 🙏
@iddyramathan4507
@iddyramathan4507 2 жыл бұрын
Namkubali sheikh Mohammad Nassoro Bachu kwa msimamo wake usiyoyumba
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 2 жыл бұрын
شكرا شيخنا وبارك الله فيكم
@Omaromar-rv3wf
@Omaromar-rv3wf 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@hazjay4671
@hazjay4671 2 жыл бұрын
#MaShaAllahSheikh...!!
@allymuhamed7295
@allymuhamed7295 2 жыл бұрын
unahekma yakufikisha masha Allah
@ramadhanomar8093
@ramadhanomar8093 2 жыл бұрын
Acha upuuzi wako huu...nlifikiri hii ni channel ya sunnah kumbe ni ukhurafi huu
@zuberizuberi7844
@zuberizuberi7844 2 жыл бұрын
Ushajua nafasi yko mbele za Mungu au
@najashjejeje6216
@najashjejeje6216 2 жыл бұрын
Adil tv unafitinisha. Allah haridhii hivi. Kua mamini na vichwa vyako vya habari . Pia hajatajwa mtu jina hapo kwanini umeweka picha kama anaambiwa yeye.
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 2 жыл бұрын
Ramadhan omar we ulitaka chaneli hi iwe ya nyie makhawaarij?
@kanasolange1063
@kanasolange1063 2 жыл бұрын
Nasoro bacho Allah akuhifadhi
@sulemeki2827
@sulemeki2827 Жыл бұрын
Mashallaa
@jumamohamed5229
@jumamohamed5229 2 жыл бұрын
Shukran sana sheikh ilimu imewafikia wacha wazidi kujifunza wataelewa tu lkn watachkua mda
@yahkiwera3611
@yahkiwera3611 2 жыл бұрын
Mashaallah
@kanasolange1063
@kanasolange1063 2 жыл бұрын
Na baba yako pia Allah amrehem Amiin
@safiakhamis5105
@safiakhamis5105 2 жыл бұрын
Amin
@Auf-uh3jq
@Auf-uh3jq 2 жыл бұрын
Shekhe Kuna watu wataka umaaarufu katika mitandao
@adensir630
@adensir630 2 жыл бұрын
Sheikh kielimu Wewe Ni mdogo Sana kwa sheikh Muhammad nassoro bachu wapasa umuite Baba Ila kiumri sheikh Nassoro bachu atakuita Kaka kwa sababu tu ya Adabu aliyo nayo sheikh Muhammad bachu Allah amhifadhi kwa watu walio mzidi Umri...
@samxx411
@samxx411 2 жыл бұрын
Bachu anajuwa kila sheikh kwa akili yako
@rajabually8659
@rajabually8659 2 жыл бұрын
Huo ndio uislamu tulikuwa kuwa nao sasa wakuzozana wenyewe kwa wenyewe sijui nani alituroga waislamu innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuuni 😭😭😭😭
@galbasalim2164
@galbasalim2164 2 жыл бұрын
Unasema uislamu umerogwa Tumu kwa Allah
@galbasalim2164
@galbasalim2164 2 жыл бұрын
Aqida ni jambo muhimu sana
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 2 жыл бұрын
Shaharani yani hicho Qiasi ulichotumia ni qiasi batili, kwaiyo kumbe ukifikwa na shida hapo ulipo unamuita mtume akutatulie shida yako?
@hajjkhamis1983
@hajjkhamis1983 2 жыл бұрын
Jaman ni qiswa batili hicho !!??
@USDisdoomed
@USDisdoomed 2 жыл бұрын
Hakuna aliyeona maisha yamtume hapa nyote mumesoma kwanvitabu he mnajuaje wlioandika walikua wametafautiana kma nyinyi muabuduni Mungu
@suleimanissa5301
@suleimanissa5301 2 жыл бұрын
kwa staili hiii wasoo kuwa waislam eti wasilim mtasubr sana
@abuuharuna8820
@abuuharuna8820 2 жыл бұрын
Hapa hamna shekhe kuna mpinzani
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 жыл бұрын
Sheikh hujielewi.. kwan sisi tumekufa taari.. hadi tumtake mtume msaada. Eleweni watu wa maulid hamjielewi hamna hoja.
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Hata mie nashangaa basi tusisali tusubiri kuombewa akhera
@AA-yr7sr
@AA-yr7sr 2 жыл бұрын
Asalaam alaikum Warahmatullah Wabarakatu waisla ikiwa mtu kakosea mada kwa nn usimtafute ukafahamisha alafu yaishe maana sahivi ukikosea kidogotu mtu anakimbilia kwenye mtandao nakuku kandia kwahakika ni mtihani mkubwa huu SubhanaAllah
@modaxbaba8450
@modaxbaba8450 2 жыл бұрын
Sheikh unafanya talbis,mm nilikuwa nakuheshimu sana kwa kujua kopo limejaa kumbe,subhaanallah.sheikh unapotosha ukweli
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Hihihi shehe bwabwa hili lishatutia aibu
@mamakemusab2011
@mamakemusab2011 2 жыл бұрын
Tawassul nikwa Allah pekee....Ila ukisema siku ya qiyama Allah yy mwenyewe atampa mtume Rehma na Amani ziwe juu yke uombezi Kwa ummat Muhammad swallah Allahu aleyhi wasallam ......Ila nyinyi mumezoea kutawassul hata kwa makaburi
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
We shehe tafsiri hayo maneno ulosema ya barzanji..usilete ya kiama..Alla amesema clear waidhasaalaka ibadiya anni fainni karibu...haijasema nendeni kwa mtume...hata wanoabudia masanamu walisema manaabuduhum illa liyukarribuna ila Allah zulfa..hatuyaabudu haya masanamu ila yatukaribishe na Mungu kwa karibu..Tuache we shehe ubwabwa ..Kijana Bachu amesema sahihi
@munirsmith2938
@munirsmith2938 2 жыл бұрын
Maneno ya sheikh shaharani yako sahihi hakuna ubaya wowote ikiwa dheheb lako ww huyakubali kwake yy inakubalika. Nyi vijana ndio mano watukana madheheb ya ashaira wakt ndio watu ambao wameandika kila kitu katika dini yetu
@abuukhayrallahissa5415
@abuukhayrallahissa5415 2 жыл бұрын
Sadakta
@salehabdulrahmanbakar2545
@salehabdulrahmanbakar2545 2 жыл бұрын
Wewe babu mpotoshaji maulidi hayafaii
@siloomar7699
@siloomar7699 2 жыл бұрын
Ndio ushirikina
@moddyhh
@moddyhh 2 жыл бұрын
dah! Allah atuepushe kwa kwel , huu ni upotoshaji!
@maulidimrisho4229
@maulidimrisho4229 2 жыл бұрын
Mashekhe wa Msulidi wana tia aibu sana
@lemalisipilali
@lemalisipilali Жыл бұрын
Sheikh kumbukeni siku ya q'iyam nyinyi ndio viongoz mna potosha watu waache ukweli
@salummzee9739
@salummzee9739 2 жыл бұрын
Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho wa dunia watazuka wanazuon waongo watakupeni tabu kwaio ndio huyu miongon mwao tumeona sasa
@salmabintuthman3243
@salmabintuthman3243 2 жыл бұрын
ADIL TV KICHWA cha uwongo hakifai katika mambo ya dini. CHUNGA SANA USITAFUTE PESA KWA UWONGO
@galbasalim2164
@galbasalim2164 2 жыл бұрын
Siku ya kiama imethibiti kwamba Rasuli ﷺ atapewa idhni ya shifaa dalili iko wazi but hapa duniani Dalili ya shifaa iko wapi LETE DALILI WACHA MIZUNGUKO PLEASE
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 жыл бұрын
Umenena vyema ndugu baarakallahu fiikum
@muslimbwattan2883
@muslimbwattan2883 2 жыл бұрын
Naam swadakta mungu akuhifadhi (amiin)
@user-uw8pg9ju5s
@user-uw8pg9ju5s 6 ай бұрын
Sheikh we hanna ki2
@user-rq4cj1ds6r
@user-rq4cj1ds6r 2 жыл бұрын
Kwa ufahamu huo nikumuomba Allah akuongoze tu njia ya sawa,maana wachanganya shafaa ya siku ya kiama na kumuomba Muhammad dunian akiwa kaburin
@binausimohammed775
@binausimohammed775 2 жыл бұрын
Naona unapo kua na shida unamuomba Allah na humuombi mtu. Ukiwa wahabi ni mjinga tu hutoelewa hayo anayo ongea huyo mzee hapao ni wenye akili za moyoni tu ndio wanao elewa
@khamistv922
@khamistv922 2 жыл бұрын
Yani na ww ndio walewale
@seifabdulwahid4579
@seifabdulwahid4579 2 жыл бұрын
Sasa hayo majungu Shekhe unosema. Ww ulikuwaufahamishe tu na hilo ndo tatizo la Mashekhe wetu mnakuwa mnawapa mdomo Wakiristo
@abdallahkawambwa2666
@abdallahkawambwa2666 2 жыл бұрын
Shekh ukovizur lughainapanda
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 2 жыл бұрын
Beiti yenyewe yakupiga chenga
@mbarouksalum8319
@mbarouksalum8319 2 жыл бұрын
huyu nae anazeeka anateta shirki kiasi alichotumia hakiingii kabisa magurafi hawaoni tabu kusema uongo shaharani mche Allah
@binausimohammed775
@binausimohammed775 2 жыл бұрын
Hakiwezi kuingia maan nzi anao ona asali huona mzoga na mzoga kwake ndio asali. Mtu Alie soma chini ya mufti awe hajui wew ukue. Nyie mikia ya ibilisi tu
@hamadmasoud490
@hamadmasoud490 2 жыл бұрын
Sheha Mzee alinganisha dunia na akhera , duniani mtu anahiari lkn akhera hakuna hiari , sisi tumeambiwa tumfuate mtume sio tumuambudu Shehearejee vitabu kuoma Sana sio kuwa na elinu elimu hupewa mcha Mungu
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 2 жыл бұрын
Maa Shaa Allwah,
@mafaza.tv.tz255
@mafaza.tv.tz255 2 жыл бұрын
Tofauti ni kwamba siku ya kiama mtume atakuepo, lakini saiv mtume anakusaidia nini wakati ashakufa... Zaman maswahaba walikua wakitaswili wakati mtume yuhai, alipokufa wakaacha.... Sasa saiv mtume aahakufa amani iwe juu yake, ukimuomba yeye anaskia kweli, atakujibu kweli...
@kondempya
@kondempya 2 жыл бұрын
Mijitu ya maulidi sijui itajitambua lini kuwa ni uzushi
@shariffhabshy6770
@shariffhabshy6770 2 жыл бұрын
Masha Allah sheikh umeeleza vizuri lakini mawahabi ni summun bukmun hata uwanbie nini.
@nureinimohamed449
@nureinimohamed449 Жыл бұрын
Huyu Mohamed Baachu ata leta shida na vurugu wa usalama katika inchi ya Tanzania.
@mabrukjuma3878
@mabrukjuma3878 2 жыл бұрын
Huyu ghurafi haelewi asema nini wrong and poor understanding subhanallah
@abuuthauran9933
@abuuthauran9933 2 жыл бұрын
Ufuhamu wako Shahrani nimbovu sana na hiyo ndio elimu uliyoipata misri. Unakatazwa kumkimbilia mtume sababu yeye ameshafarika lkn siku yaqiyama watu wote watakua wamefufuliwa na yeye Mtume atakua hadhwir. Unatia aibu shekh Nibora ungenyamaza.
@amanichanzi4315
@amanichanzi4315 2 жыл бұрын
Sheikh wa mchongo huyu hajui hata adabu ya kutaja mtume swalallahu alayhi wassalam
@SalahAli-rq5sp
@SalahAli-rq5sp 2 жыл бұрын
Uyu shekhe leo waongea utopolo mtupu
@msabahaali758
@msabahaali758 2 жыл бұрын
Shekhe unajihakikisha kwa kutetea bidaa unakesho usiku badala ya kufanya ibada
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 2 жыл бұрын
Hawa mashekh naona kama wanatucheza shere
@ahmadsaid9137
@ahmadsaid9137 2 жыл бұрын
Wewe Adil hujielewi,,,mara unampost muhammad bachu,,,mara unampost na title za matusi ,,,soma kijana wacha ujinga
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 2 жыл бұрын
Hawa mashekh ubwabwa ni wabishi Hiyo siku ya hesabu mtume salla llaahu alyhi wasallam hatakua na huo uwezo wa kutuombea bila kupata idhini ya allah subhanahu wataala Allah ndio atamuamrisha rasuulu llah salla llaahu alyhi wasallam haya waombee Kwa hiyo wa kumkimbilia kwenye matatizo ni Aallah peke yake Na mshirika Huyo utakaemkimbilia ww kumwambia akuombee yeye atatoa wapi nguvu ya kutatua shida zako bila idhini ya allah ? Hawa masehe ubwabwa wanapotosha sana Kijana wetu mohd bachu allah amhifadhi yupo vizuri sana
@nureinimohamed449
@nureinimohamed449 Жыл бұрын
Mohamed Baachu, ni mtu wa ku sababisha waislamu kuchukiana na hizo fikra zime baangwa na mayahudi. Na baadaye ata leta fikra za uhalfu katika diini.
@bakariahmadi9645
@bakariahmadi9645 2 жыл бұрын
Wweuwelewa nimdogo hakusema kuombwa mtume nikumtaka kutuombea msamaha kwa mwenyezmungu tatizo ufahamu
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 2 жыл бұрын
Mbora wa wakulima naye ni mkulima, Mbora wa watu na yeye ni mtu, mbora wa wasomi naye ni msomi, mbora wa kalala naye analala, mbora wa waislam naye ni muislam, MBORA WA VIUMBE NAYE NI KIUMBE. Simple logic
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Acha uongoo mzeee yaniwewe ndo sifuur kabisaa ....weee Mzee unaufaham mbovuu sii mbayatuu Bali ...mbovuu kabisaa...
@iddybarua5530
@iddybarua5530 2 жыл бұрын
Watu kama hawa si wakuwasikiza watakuingizeni kwenye shirk
@abuuqatada9791
@abuuqatada9791 2 жыл бұрын
Watu wa maulid hiyo ndio itikadi yeny potofu mnafany shirki Sanaa kwenye mamaulidi yenu
@amatullahummufurqaana7283
@amatullahummufurqaana7283 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Kuna zingine Raddi ni muswiba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abii-nurayn
@abii-nurayn Жыл бұрын
🙆‍♀️
@ahmadsaid9137
@ahmadsaid9137 2 жыл бұрын
Ww Adil kiswahili hujui,,,KIYARABU ndio nn????KIARABU
@mabrukjuma3878
@mabrukjuma3878 2 жыл бұрын
Hii dini pia usipojuwa kiarabu vizuri utaenda visivyo ulamaa wote waliimarisha lugha mwanzo
@abdulahmahamed3790
@abdulahmahamed3790 2 жыл бұрын
Angesema tu kwenye hiyo abyati ama angeongeza tu kuwa ni siku ya kiama lakini wewe unatafsiri kwa kutumia kichwa chako
@nureinimohamed449
@nureinimohamed449 Жыл бұрын
Serikali na Idaara ya usalama iwe Maacho Na migawanyiko na chuki katika diini.
@selemanimashaka371
@selemanimashaka371 2 жыл бұрын
Acha kuteteya bid'a kitu kimaanza n'a manshi'a jambo hali kufanya n'a bwana mtume muhamed s.w n'a maswahaba zake n'a wa imam wainne wale unawona upo sahihi kweli kumbe na mm niki sheherekea bath day yangu nipo sahihi ??? Acheni kutupoteni nyiye
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 2 жыл бұрын
Shekh hapo umejikoroga hayo matukio nitofauti kabisaa....sababu kiyaama..woote tuko hai hakuna alokufa....twaenda tukiwa haii nakadhwiyya nikwenda kuombewa...sasa hayo maneno ya kumuomba mtume sasa hivii hapa duniani yafaaaa ??! Mche mola wako mashekh njaa....
@lemalisipilali
@lemalisipilali Жыл бұрын
Vikirieni lakini maneno yake mbona sio kama mnapo vikiria nyinyi
@abdulimapande4265
@abdulimapande4265 2 жыл бұрын
Wewe nawe kua muelewa shekhe hajatamka hapa duniani amezungumza maombezi ya mtume Muhammad siku ya kiyama msitafute hoja zisizokua za msingi sikilizeni maneno yanayozungumzwa na maana yake msikosoe musivovijua.
@adilhabib8988
@adilhabib8988 2 жыл бұрын
Wachani maulid mzeeee
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman 2 жыл бұрын
Allah ndie anaetajwa.. Hata Mtume s.a.w alikuwa hataji baba zake au mitume wengin kama Nabii Ibrahim a.s Alikuwa anamtaja Allah s.w. Alikuwa akisema Rabbi rabii, wala hakuwa akisema Abii Abii, jina la Mola wake ndio lilikuwa la mwanzo. Aombwae ni Allah mtukufu.. Je Baada ya Kufa Mtume s.a.w Sayyidina Abubakar R.a alisoma maulidi ya Mtume.? Haiwezekani watu wa mwanzo waliokuwa pamoja na Mtume wakalijua jambo na kulifanya ikawa watu wa zama hizi wanalijua wao zaidi kuliko hao wa mwanzo.
@drimazonechoice9822
@drimazonechoice9822 2 жыл бұрын
sas wew na mm tunafanana na Mtume Muhhamad(s.a.w)?na je quraan unayo isoma wew leo ilipoamdikwa Mtume alikuwapo?muhim ni kusoma na ukielewa ndipo utende ALLAH anapenda ibada au aamali njema ambayo itafanywa kea elim nayo sio mihemko
@karimdaud3993
@karimdaud3993 2 жыл бұрын
Tukiomba duaa tunamsalia mtume s.a.w halafu tunaendelea na duaa tukimaliza tuna funga duaa kwa kumsalia MUHHAMAD SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM.
@thefoodshaikh811
@thefoodshaikh811 2 жыл бұрын
Wewe shekhe ubwabwa kwa nini tunaswali? Kwa sababu ili Allah atuokoe na jahannam na matatizo yote ya siku ya kiama infact kuanzia kaburini mtetezi wako ni ibada zako na swala zako. Na muokozi wetu ni Allah.
@abdulkareemseif1892
@abdulkareemseif1892 2 жыл бұрын
Kweli bana watu wa maulidi mwapenda shirki
@abdillahlutemba8061
@abdillahlutemba8061 2 жыл бұрын
Acheni kutangaza ujinga mitandaoni kwanini mwagawa waislam kwa mambo ya kipuuzi
@Ibrahim-st3uo
@Ibrahim-st3uo 2 жыл бұрын
Amesema Imami Shafii " Hawi Mtu sufi Asubuhi ikafika Jioni akawa na akili timamu "
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 2 жыл бұрын
Ila mtume hajasema hvyo
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 2 жыл бұрын
بارک الله فيک Massufii ni watu wa baya sanaaa na zanzibar hukoo kinaa konaaa Allah mustaaan
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 2 жыл бұрын
@@nassirhamad9407 kher nyie mawahabbi wazur mlobashriwa pepo nq mtume Aya cc mliotubashria Moto tuacheni tufny ya kwetu mbna mnatuinglia fateni aqida yenu nyie mawahabbi mbn kila kukicha mnawajadili masufi loh mbn cc hatuwainglii loh mwajiona mmeokoka
@bahashachembea6922
@bahashachembea6922 2 жыл бұрын
Amsema katika kitabu gani?
@abdulazizmwipi9295
@abdulazizmwipi9295 2 жыл бұрын
@@bahashachembea6922 hlo ndy swali la kuuliza haswa
@mudybakar378
@mudybakar378 2 жыл бұрын
Pia ety nabii isa alizungumza na Mungu je Muhammad alishindwa . Sasa uliwai kuuliza ukajibiwa ivyo ? Kwa taarifa yako Mtume Muhammad alishaongea nae kasome kisa cha isra na miraji na riwaya zengine ameongea na nae kumuona haswa sasa ww unashangaa nabii Musa tu ujasikia ya Mtume wetu ww
@Team-t6k
@Team-t6k 2 жыл бұрын
Sheikh : 1. Unamtaja saana Mtume swallalahu alayhi wa salam pasina kumsaliya kisha unadayi kuwa unampenda juu maulidi Mtume swallalahu alayhi wa salam anasema bahili ni yule nitakapo tajwa kishwa asini swaliyi. 2. Sheikh kwani walikwambiya wakati matatizo ya siku ya Qiyama Mtume swallalahu alayhi wa salam atakapo pewa izni ni Allah alisema kuwa shifa yake itakuwa halali kwa wanao fanya mzuliya? Ao alisema kuwa ni ile dua baada ya adhan 3. Maliziye iyo hadith yote na tafsi yake acha kutuchangana ayo maneno hayaendani na iyo hadith Wallah a'alam
@omysule7118
@omysule7118 2 жыл бұрын
Hoja zako hazielewek, hemu jenga hoja vzr
@Team-t6k
@Team-t6k 2 жыл бұрын
@@omysule7118 mwambiye amiliziye iyo hadith uyo mzee njoo hoja kama inahusu ayo maneno yake
@khamistv922
@khamistv922 2 жыл бұрын
Yani weye ndio zero kabisaaa,tukasome jamanini,hizo ni bahar kubwa za elimu,kuchwa kitupu hautaelewa kituuu
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 2 жыл бұрын
Shekhe nikuambie yeye amemtaja na jibu lake ni amemsalia acha kujifanya unaijua zaidi dini
@Team-t6k
@Team-t6k 2 жыл бұрын
@@ahmadsayyeed7910 hahahahaha tatizo sio ilo unalo fikiriya leo kila moja anataka apachika frika zake pasina dalili sahih njoo azingi akilini za watu pako video nyingine ungine alijibu bingine iyo njoo faida ya bid'a huwezi kupata jawabu sahih ispokuwa kila moja atasema anavyofikiriya.
@ismailsaid2038
@ismailsaid2038 2 жыл бұрын
waislam kw waislam hawapigani vita pigeni vita makafiri kutwa wana tuonesha tupu zao wale hamuwapakazii munapakazian nyy waislam waislam gn nyy?
@user-fq6iw1pb7q
@user-fq6iw1pb7q 2 жыл бұрын
Acha kuchanganya watu unaposti watu wa sunnah na unaposti watu wa bidaa. @Adil tv. Kicha acha maneno ya kuhuni wewe umejishuhulisha na dini unaposti dini huposti udaku .
@kwachahamza6405
@kwachahamza6405 2 жыл бұрын
Mwambie huyoo hana kazi ya kufanya badala ya kufundisha vitu vya maana abishana upuuzi. Kasome lugha wewe.
@muhammadmjara6776
@muhammadmjara6776 2 жыл бұрын
wazushi kila siku wanazidi kubabaikatu hawana hata lamaana lakusema ahalu bidaa
@khamistv922
@khamistv922 2 жыл бұрын
Kasome kijana,kama ni bidaa basi maisha yako yote inayoishi ni bidaa tupuu,je unasemaje apo
@pakashume725
@pakashume725 2 жыл бұрын
Mtoto anakupelekeni mbio saana, ni Bora mkakaa kimya tu.
@mussamsuya8595
@mussamsuya8595 2 жыл бұрын
KALALE
@abuutalibabdi9168
@abuutalibabdi9168 2 жыл бұрын
hawa wote wapo right ni mambo madogo madogo tu
@khamissalum9285
@khamissalum9285 2 жыл бұрын
Tunafahamu kijana aje asome kwako tu maana anakurupuka nakutfsiri anavyotaka yeye
@hajjihijja1989
@hajjihijja1989 2 жыл бұрын
Apo shekh umeenda mchomo , mtume amepewa shufaa siku ya kiama kwa hadithi sahihi kabisa , rukhsa ya huo uombezi ni akhera sio duniani , kua makini na hizo hoja zako Kisha utamkimbilia vp mtume kwenye matatizo yako wakati yeyey ni kiumbe tofauti yetu ni utumetu , wakukimbiliwa yupo mtume tayari ameshafariki hayupo tumieni na akili
@binausimohammed775
@binausimohammed775 2 жыл бұрын
Wew unao ibiwa hua waenda Kwa mungu au polisi? Adabu kabisa
@muhidinally3753
@muhidinally3753 2 жыл бұрын
Sheikh kweli unamtegemea mtume akutatulie matatizo yako hapa duniani, sasa utofauti wako na wakristo wanaoamini Yesu ni Mungu ni ipi? Sheikh wangu????Kisa hicho hakihusiani kabisaaa Sheikh unapotosha kabisa. Tukubali hapo ni shirki kama ya Manaswara tu. Huo ni msiba kwa masheikh zetu jamani. Duuuu
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 2 жыл бұрын
Mbona hujajibu hojaa? mi naona unaporoja tu.
@nuramoboy
@nuramoboy 2 жыл бұрын
Bidaa maulid mtuache ndio shirki hiyo
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 2 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔🤭
LISSU AFUNGUKA SIMBA KUPEWA JINA LAKE  NA RAIS SAMIA
6:34
Mwananchi Digital
Рет қаралды 8 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 207 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 82 МЛН
SHK SHAHRAN AMRIPUA MUHAMMAD BACHU  "MSHIRIKINA WEEEWE | HUFAHAMU KITU"
8:22
Riyadh Tv Online Znz
Рет қаралды 14 М.
Je nikweli Sheikh Nassor Bachu Aliwahi kuwa SHIA??Ukweli ni huu.
11:39
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 47 М.
BACHU APEWA SOMO LA MAULID NA SHEIKH SHAHARAN
13:33
EL-BAHSAANY TV
Рет қаралды 20 М.
Muhammad Bachu HUU NI USHIRIKINA WA WAZI KATIKA KITABU CHA BARZANJI
43:46
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 34 М.
Muhammad Bachu KAMA HII SIO SHIRKI BASI TURUDINI TENA TUKASOME.
21:26
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 65 М.
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 207 МЛН