BACHU ATANDIKWA TENA NA SHEIKH SAID, WANYAMA WALIZUNGUMZA

  Рет қаралды 54,991

BABDEO MILADU

BABDEO MILADU

Күн бұрын

BACHU ATANDIKWA TENA NA SHEIKH SAID, WANYAMA WALIZUNGUMZA
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com...
KZbin: / @babdeomiladu

Пікірлер: 653
@AthumaniAmiri-fv5zp
@AthumaniAmiri-fv5zp 4 ай бұрын
Mashallah huyu mr said ana sharaf kubwa atafika mbali sana nimempenda mshkaj ametoa waadhwi mwanzo mwisho hajashima karatas vyote anatoa kichwani alaf jamaa hajikwezi hana kibri
@JumaMHDaffa
@JumaMHDaffa 4 ай бұрын
Wala hana laptop😂
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 ай бұрын
INSHA ALLAH
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
@@JumaMHDaffa 🤣
@AbdulhaliimAli
@AbdulhaliimAli 4 ай бұрын
Kawaida hy. Ni ajabu kwenu nyny masufi wapumbav
@AthumaniAmiri-fv5zp
@AthumaniAmiri-fv5zp 4 ай бұрын
@@AbdulhaliimAli wapumbavu wazazi wako walio kuzaa nje ndoa
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
Dah Kama Namuona Mtume S.A.W akifurahi kwa kukusanyika umma wake kwa ajili yake
@mzulwa2006
@mzulwa2006 3 ай бұрын
Fikra za mtume kwasasa hazipo kwenye bidaa zetu bali Palestine na masjid aqsa
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 3 ай бұрын
@@mzulwa2006 😂😂
@M.Mvamba
@M.Mvamba 4 ай бұрын
ْاللَّهُمَّ صَلّ علَى سَيّدِنَا مُحْمَّدٍ وَعَلَى آلِهِ وَصَحْبِهِ وَبَارِك وَسَلّمْ
@شعبانحبي
@شعبانحبي 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم على سيدنا محمد
@jalalybashiru8192
@jalalybashiru8192 4 ай бұрын
Allahuma swali alaa Muhammad wa Ali Muhammad
@VuaiAli-zt9ib
@VuaiAli-zt9ib 4 ай бұрын
S.a.w
@saidjuma2105
@saidjuma2105 4 ай бұрын
Ni vyema masheikh kutumia lugha nzuri
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 3 ай бұрын
S.a.w
@WarioGodhana-v7y
@WarioGodhana-v7y 4 ай бұрын
Mashaallah mufti Allah akuzidishie
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 4 ай бұрын
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe,
@amarhamid123
@amarhamid123 4 ай бұрын
masha Allah ustadh said
@BethaSala
@BethaSala 4 ай бұрын
Mashallah allah akuhifadhi umesema yaliyo hakika
@bakariismail3274
@bakariismail3274 4 ай бұрын
@@BethaSala 🤝👏🤝💯
@mohammadabdallahmzee3825
@mohammadabdallahmzee3825 4 ай бұрын
صلى الله عليه وآله وسلم
@ABDALLAHSHAIBSALEH
@ABDALLAHSHAIBSALEH 2 ай бұрын
Mashallah ❤ Allah akupe Umri mref Ili upate kutukumbusha kwenye mambo yakher inshallah
@rjqaasam4587
@rjqaasam4587 4 ай бұрын
صلوات ربي وسلامه عليه وعلى آله وأصحابه أجمعين
@shaibchat8054
@shaibchat8054 4 ай бұрын
Swalluuuuu alayhi wasallimuuu taslimaaaaa
@Maherzain_Tz
@Maherzain_Tz 4 ай бұрын
Maaashallah ❤️ ❤️ ......Najua bachu ana andaa raddu 😂😂😂,,,
@allymbaya2701
@allymbaya2701 4 ай бұрын
Hakuna cha kuraddu hapo!!
@sturbbornvideoz8547
@sturbbornvideoz8547 3 ай бұрын
MashaAllah pakistans are very social and loving wallahi
@mohammedi8850
@mohammedi8850 4 ай бұрын
MASHAALLAH waindi wa Pakistan leo wameguswa
@mbaroukkhalfani9244
@mbaroukkhalfani9244 4 ай бұрын
Waislamu wakikusanyika kwa kumsifu mtume muhammad s.a.w wanaumia na nafsi zao za umiy a ndio maana wanawatumia baadhi ya Waislamu kupinga maulidi
@KhamisSaid-n5w
@KhamisSaid-n5w 4 ай бұрын
@@mbaroukkhalfani9244 Hao khasira zao nihizo Dufu lakin mkusanyiko wanaukubali hebu watizame zaid watu wanaomswifu Mtume kwa kila aina ya furaha hao Mawahabi mbona hawaelewii
@taurehassan7399
@taurehassan7399 4 ай бұрын
Bk na ujinga wko ni nani Aloona Pepo au jiwe likimsalimia mtume na ww unaamn?usiishi kw kufuata mkumbo ishi kw elimu na kutumia akili yko,usinatishe akili safrisha akili,kumbuka anaetajwa hpo ni mbora wa viumbe vyte na ni kipenz ch Allah na viumbe vyake miujiza kwke c tatzo hta kidgo ttzo ni akili yko inayofnana na kina abuu jahli hta waone kw macho watatia Ila miujiza ya mtume na kusema uchawi
@balkisamisi2131
@balkisamisi2131 4 ай бұрын
Allahuma sali anla Muhamadin wa Ali Muhamadin
@DiudaKozi-qu8sl
@DiudaKozi-qu8sl 4 ай бұрын
Dj said uliyotoa ushahidi wa beti ya bharazanj .Tunataka ushahidi wa kuzaliwa mtume wetu kuwa wanyama waliongo kama uongo sema usione tabu kuwa masufi ni waongo wanapenda kumzulia mtume (s aw)
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
@@DiudaKozi-qu8sl Bachu mikojo ilimtoka walio na elim na kujua nafas ya mtume wanajua na kuamin hlo jambo bila shaka yoyte
@eddieeddie2755
@eddieeddie2755 4 ай бұрын
Dj Said shekhe wa masufi.
@Maherzain_Tz
@Maherzain_Tz 4 ай бұрын
Maaashallah ❤️❤️❤️
@ndayambajefikirini7252
@ndayambajefikirini7252 4 ай бұрын
Allah Allah Allah
@ShabaniAthumani-g4f
@ShabaniAthumani-g4f 4 ай бұрын
Allaahumma swalli wasallim wabaarik alayhi waalaa aalih
@FatmaJ-v7f
@FatmaJ-v7f 4 ай бұрын
Jaman tusitukanane kw khitilafu ndog ndog sote tunatoa shahada mbili.,hakuw muislam.adui wa muislam mwezake , heb turud nyuma hata masahab walihitilifian ktk.baadhu ya maelekez ya Mtume s.a.w ten.wkt huo Mtume mwenyewe yup, ilipofik hbr kw kiongoz wa Umma , MashaaAllah. aliwaunga mkon makund yote mawili na kuwaambia wote wamepatia, mengin hayatajwa waz waz , engeza na ufahamu wako ..kish usimbeze aliye kinyume na wew hio.ndio.iman ya kweli.Tuwalinganie wale wanoenda kinyume na din waz waz.
@nuhuabdil7073
@nuhuabdil7073 3 ай бұрын
❤❤❤ Mungu atupe mwisho mwema
@HajjsalimMJuma
@HajjsalimMJuma Ай бұрын
Amin
@jumanjenga7682
@jumanjenga7682 2 ай бұрын
Masheik don't wash your dirty linens in front of the public.Keep your differences away from public.please.
@ummu-abubakar2840
@ummu-abubakar2840 4 ай бұрын
Waislamu tukitukanana nani atawaongoza wasiokuwa waislamu. Asomae maulid na asiyesoma sote ni waislamu.
@IssaHamisi-z2v
@IssaHamisi-z2v 4 ай бұрын
Hakika saidi elimu unayo MASHAA ALLAHU
@AmerJuma-e1w
@AmerJuma-e1w 4 ай бұрын
Hana elimu yakushinda Quran , mbona upuuzi huu haukutajwa ktka kuran , acheni hizi mambo Kuna moto mkali tuendako, hizi mambo haziko ktka kuran wala sunna ya Mtume muhamad sw
@sulekhan7119
@sulekhan7119 4 ай бұрын
​@@AmerJuma-e1w Wewe jaamaa unakaa ni mjinga na mpuuzi sana fuata kinacho kufaa hata wewe kuna mengi wayafanya kwenye Q.urani hayapo
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 4 ай бұрын
​@@AmerJuma-e1wkwani kwenu uwahabini hakuna upuuzi wa Uzushi?kuna kitabu kizima cha Upuuzi Uzushi wa mawahabi au hujui hilo?
@HemedSerious
@HemedSerious 4 ай бұрын
Hawa sijui ni vipofu au viziwi? Yani wao yapo mengi nje ya Kur an wanayoyakubali na mengin kuyafanya kabisa. Lkn wao wajinga Hawa wamejipa cheo km dini ni ya baba na baba zao. Wakifanya wao hata km hayapo kwenye Kur an Wala sunna hakuna Tatizo wenzao wakifanya makelele km mbwa koko. Nyinyi mashindano ya Kur an kafanya mtume au maswahaba? Vigawanyo vya tauhid mmepata wapi mamwehu nyny?​@@sulekhan7119
@HemedSerious
@HemedSerious 4 ай бұрын
​@@abubakaromar6101mshenzi na mnafiki mkubwa
@yassinm69
@yassinm69 4 ай бұрын
Wallahi Shekh Muhammad bachu ni kiboko wenu .
@HamisiAli-n5p
@HamisiAli-n5p 4 ай бұрын
Mbona bachu alikimbia my aqasha
@KassimHussein-b7f
@KassimHussein-b7f 3 ай бұрын
Watu wa maulidi tuko wengi sana Alhamdulillah walotoka musirudi na ambao hamupo kwetu bakieni huko huko.
@bestTransitTV-uo1hm
@bestTransitTV-uo1hm 3 ай бұрын
Muumini wakweli hutaka wenziwao wawe katika khayraat
@MagariSaid
@MagariSaid 3 ай бұрын
Subhanallah
@misbahukhalifa3216
@misbahukhalifa3216 4 ай бұрын
اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آل سيدنا محمد الطيبين الطاهرين. Ambao ataelewa ameelewa. Mtu ambae amjuwa Mtumi cheo chake huwezi kutukana wala kukosowa. Mpe Mtumi hishima yake ndugu zangu. عجبت لمن له عقل و فهم يرى هذا الجمال ولا يقوم. اللهم صل على سيدنا محمد وعلى آل سيدنا محمد الطيبين الطاهرين.
@masudimfaumekipande
@masudimfaumekipande 4 ай бұрын
كلام مداده من ذهب.❤❤
@KhamisBakar-ge4sp
@KhamisBakar-ge4sp 4 ай бұрын
Masha Allah🎉🎉
@AbbsharMaulid
@AbbsharMaulid 3 ай бұрын
Mashaaalah mungu akupe ujasiri na ilimu zaidi
@MudathirOmar-hh5ow
@MudathirOmar-hh5ow 4 ай бұрын
اللهم صل على محمد وعلى آل محمد۔۔۔۔۔
@Bosezizunae
@Bosezizunae 4 ай бұрын
bachu jitokezee🎉🎉
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
Aje ajikojolee 😂
@TwahirBurhan
@TwahirBurhan 4 ай бұрын
ALLAH AKUJAALIE AFYA NJEMA SHEKH WETU BACHU UZIDI KUWAKOSESHA USINGIZI HAWA MASUFI
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 4 ай бұрын
Bachu hajawa shekhe yeye wala baba ake
@mzulwa2006
@mzulwa2006 4 ай бұрын
Amin
@umbopaday
@umbopaday 4 ай бұрын
Niafadhali kutokuwa sheikh lakini uko kwenye siratul mustaqim kuliko kuwa sheikh bid’aawal fitani
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 4 ай бұрын
@@umbopaday nenda kasome wacha kuwekea upinzani waislam wenzio huo ni ukafiri wawazi kabisa.
@watichogutu4162
@watichogutu4162 4 ай бұрын
SubhanaAllah Ukiangalia Hivi Kweli Hawa Ni Watu Wa kukosa Usingizi kuwa Ajili ya Ujinga Wa Bachu😂
@BabuSafari
@BabuSafari 4 ай бұрын
Allah atujaliye kila la kheri sheikh wetu
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا وحبيبنا ونبينا وشفيعنا محمد وعلى آله وصحبه
@abasimwinyibovu3090
@abasimwinyibovu3090 4 ай бұрын
Allahumma taQabbal duaa yaa rabbal alamiyn
@MAIMUNAABDALA-m4u
@MAIMUNAABDALA-m4u 4 ай бұрын
Mawahab wapuuz san
@NAYAB_SHIRAZ_OFFICIAL
@NAYAB_SHIRAZ_OFFICIAL 4 ай бұрын
Kweli
@warraich7869-fx2
@warraich7869-fx2 4 ай бұрын
ماشاءاللہ Shekhe ubarikiwe بارک اللہ فی عمرک وعلمک وعملک ومن عملک الصالح
@mwaramially2651
@mwaramially2651 4 ай бұрын
Mwalimu uko vizuri mashaallah
@AbrahmanAli-q4v
@AbrahmanAli-q4v 4 ай бұрын
Mashallah❤❤
@MariamAbasi-b7t
@MariamAbasi-b7t 4 ай бұрын
صلی الله علیه وسلم
@taurehassan7399
@taurehassan7399 4 ай бұрын
بارك الله فيك ❤❤❤❤❤❤❤
@imranbanda3963
@imranbanda3963 4 ай бұрын
اللهم صل على محمد
@rejebakari4365
@rejebakari4365 3 ай бұрын
فاسألوا من يعلم إن كنتم لا تعلمون
@abdallahmkomboz2679
@abdallahmkomboz2679 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى آله وأصحابه أجمعين
@abdullahimahmoud1270
@abdullahimahmoud1270 4 ай бұрын
Assalamualeikum mimi ni twariqa damu na sheikh Said na sheikh wangu ndugu yangu Alhamdullilah Ila tupunguze kuwapa wasio kuwa sisi faida na njiya ya kutuongelea nikimanisha (ndugu setup mawahabi na aslimiya kubwa wasio kuwa mawahabi wala sisi yani wasiokua wasilamu) haya matshi ya stihizai ati mtu kajikojolea na dhihaka zenginezo
@abdullahimahmoud1270
@abdullahimahmoud1270 4 ай бұрын
Na namshukuru sheikh wangu yeye kwa hikma na elimu akonayo sio yeye mwenye kusema mambo haya Allah akubarikiye na akuzidishiye elimu uzidi kututeteya na kuwatoa masikio Yao taka
@PhantomGhost-mt7pe
@PhantomGhost-mt7pe 4 ай бұрын
Mashaallah
@haridyhillaryndembo1946
@haridyhillaryndembo1946 4 ай бұрын
MashaAllah huyu sheikh ni kiboko ya bachuu😂😂😂 bachu anacho anacho kakutana nacho Mungu akupe umri mrefu sheikh said umesoma hakika, wasiojua wanaugua moyoni mtume asitajwe😂😂
@Cherehanitanzania
@Cherehanitanzania 4 ай бұрын
@@haridyhillaryndembo1946 labda kamzidi bachu kwa Kupiga gutaa🤣 sio elimu
@MwijakaSwalehe-dg4hw
@MwijakaSwalehe-dg4hw 4 ай бұрын
Unamsifu kwa lipi,kupiga Gita na kucheza,twendeni nalo
@aliroro9344
@aliroro9344 4 ай бұрын
😂😂😂😂​@@Cherehanitanzania
@aliroro9344
@aliroro9344 4 ай бұрын
Kamzidii kupiga twara na kua Dj wenu watu w bidhaaaa😂😂
@AmaniMhina
@AmaniMhina 4 ай бұрын
Hapo hakuna kutetea urongo😊
@adamkilembwe.
@adamkilembwe. 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم على سيدنا محمد
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 4 ай бұрын
Mashaallah ❤
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 ай бұрын
MASHA ALLAH 💚💚💚
@MmohamediPoyo
@MmohamediPoyo 5 күн бұрын
ameeen ameeeen
@mrsiridiisiridii5022
@mrsiridiisiridii5022 3 ай бұрын
Bachu enre ka some wacha uchuki Ustashi Saudi enra Miele Mingus akubariki
@YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr
@YAHAYAMOHAMEDI-sq3dr 3 ай бұрын
Allahumma swalliiiialeyh
@kitosio
@kitosio 4 ай бұрын
Asa nyny Wazushi mnamtandika Kijana anayesima na Sunna kwa Uzushi wenu mliopewa na watu wenu. Maana hakuna mtu aitwae Shekh kisha akaweza kumzulia Mtume huku akijuwa maangamizi yatakuwa juu yake. Kijana Maa shaa ALLAH. MNACHOKIFANYA NI SERA ZA KIYAHUDI NA UNASARA. MNAKUBALI BAATIL MNAIACHA HAKI
@Hafisa-ws8mw
@Hafisa-ws8mw 3 ай бұрын
Allah amuhifadhi shekh Muhammad bachu
@mzulwa2006
@mzulwa2006 3 ай бұрын
Amin
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 4 ай бұрын
Haya maneno aliyathibitisha nani jiwe alilisibitisha mwenyewe wanyama alithibitisha nani na watu walikuwepo
@halidijuma1884
@halidijuma1884 4 ай бұрын
Wow maashaAllah,,
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 4 ай бұрын
Ummah wa kiislamu maskini umefikishwa hapa na wazushi😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢! Yani ujinga na upotofu wa namna hii ndio wajinga wenyewe hupata mihemko ya kutoa viliomo mifukoni mwao, wenye njaa kali wataacha wapi maulidi wakati cha mjinga ndicho kiliwacho! Zama zaleo, ajabu sana, ujinga ndio elimu na elimu ndio ujinga, uongofu na njia ya sawa leo ni upotevu, upotevu na njia ya baatwil leo ndio Uongofu. Endeleeni kuyaharibu mafunzo ya Bwana Mtume Alayhisswalaatu Wassalaam, na fanyeni inda na fujo kubwa hadi siku ya kufumba macho yenu na kuingizwa kila mmoja kwenye mwanandani, hapo ndio mtaanza kuona tija ya huu ujinga wenu na upotevu wenu na uzushi wenu. Wendawazimu wa malaahy!
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 4 ай бұрын
Nasaha zako zuri akhii ila mwisho punguza ukali wamaneno
@elbattawy2864
@elbattawy2864 4 ай бұрын
Lete hoja kama unampenda Mtume S.A.W, acha matusi
@athumanisagafu
@athumanisagafu 4 ай бұрын
sa uzushi uko wapi hapa? Hebu na ww toa unachikijua ww si Cha kipuuzi
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
@@OmarAlly-iz8ot Maneno yako yamejaa chuki jamaa ila sisi hatutaacha kumfurahikia mtume حتى يأتينا اليقين
@HamisiAli-n5p
@HamisiAli-n5p 4 ай бұрын
Pole lakin maulid hatuachi 😂
@maadinaJuma
@maadinaJuma 4 ай бұрын
Said mche allah acha uongo unapenda umaarufu hayo mtume amethibitisha mimba ya mtume nani kakusimulia
@aliali-oe8dq
@aliali-oe8dq 4 ай бұрын
Elimi yako ime bobeya upande mmoja ,kwaiyo huwez juwa kinacho ongelewa katfte elmu na ww utete usalafi wako
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
@@maadinaJuma Kasome acha ushabiki
@kombomakame9541
@kombomakame9541 4 ай бұрын
Mama Amina ndie aliyesulia Maajabu yaliyotokea wakati alipochukuwa mimba na kumzaa Mtume MUHAMMAD s.a.w. Hayo ni mambo ya kihistori.
@husseinsuleiman614
@husseinsuleiman614 4 ай бұрын
USUFI NI UOZO, alhamdulillah kwa sunna
@abasimwinyibovu3090
@abasimwinyibovu3090 4 ай бұрын
Allahumma swalliy wasallim alayh
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 4 ай бұрын
Wallaahi namshukuru Allaah Mola wangu Mlezi kwa kunitoa kwenye kundi la watu wapotevu kama hawa, pamoja na kundi kubwa la familia yangu.
@wazirikipanga325
@wazirikipanga325 4 ай бұрын
Usiwe mpumbavu ww tuu
@AbrahmanAli-q4v
@AbrahmanAli-q4v 4 ай бұрын
Hunaadabu mjinga uliekua hautaki watu wamfaham Mtume SAW nenda kasome kwanza ujifunze Adabu za wanavyuon pumbavu zako
@salmaanfaqiih
@salmaanfaqiih 4 ай бұрын
Kwahiyo aliebakia kuwa ni Mpotevu kwenye Family yako ni Baba yako au nani tena?! Malizia maneno hebhu
@ismailowino2866
@ismailowino2866 4 ай бұрын
Alhamdulillah akhui,Allah azza wa jal aendelee kuwaweka nyote kwenye istiqama
@ShafiiBakari-rk9np
@ShafiiBakari-rk9np 4 ай бұрын
una mengi ya kushukuru Allah shekheee...zaid ya hayo
@سعدياقوت-ت2خ
@سعدياقوت-ت2خ 4 ай бұрын
Ma shaa allah Sheikh Said 😂😂😂😂umenimaliza uko fiti😂😂😂😂
@MarkazRayhan-fe7fq
@MarkazRayhan-fe7fq 3 ай бұрын
ألحق يظهر وفقك الله اخي الكريم محمد وبارك الله فيك
@MohamedHamadNyange
@MohamedHamadNyange 4 ай бұрын
Bachu anawaumiza sana Allah atuongoze tufuate Quran na sunna
@SalumuNgaida
@SalumuNgaida 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم على سيدنا محمد وآله واصحابه وسلم
@AllyAme-h9e
@AllyAme-h9e 4 ай бұрын
Mashallah
@khalidbinsunkar5409
@khalidbinsunkar5409 4 ай бұрын
اللهم صل وسلم وبارك عليه وعلى آله وأصحابه وأزواجه وسلم تسليما كثيرا
@RashMash-l1b
@RashMash-l1b 2 ай бұрын
haya watuambie hii c ni nyimbo ya kihindi sasa hatakama hauna elimu lakini hili pia bado huoni kuwa huu ni uzushi mtupu,yani mungu anazidi kudhihirisha kuwa haya mambo ni uzushi haufai kufatwa kisha we tetea ebu muogopeni allah bhana acheni upuuzi,makhurafi nyinyi.
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 3 ай бұрын
حديث منكر يصف الحمل والميلاد: ذكر السيوطي هذا الحديث وحكم بنكارته في الخصائص (1/ 47) وقال: أخرج أبو نعيم عن ابن عباس قال: (كان من دلالات حمل رسول الله أن ... )
@smilevideocreatorsznz
@smilevideocreatorsznz 4 ай бұрын
Mimi naomba connection wapi napata display kama hiyo please
@MazagaMbogo
@MazagaMbogo 4 ай бұрын
Mtume wetu jaman twampenda nyoyoni hayafichiki mapenzi ukipenda
@Arkhamz_95
@Arkhamz_95 4 ай бұрын
Anaempenda mtume anamfuata kwa sunna zake na sio kumzulia mambo 😅😅😅
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 4 ай бұрын
Katika uislam hakuna kusherekea kuzaliwa siku ya mtu wanaofany hivo ni watu fulani
@HemedSerious
@HemedSerious 4 ай бұрын
Pia hakuna mashindano ya Kur an, hakuna vigawanyo vya tauhid pia hakuna kuhitimisha Kur an mwezi wa Ramadhan. Acha unafiki unakemea usioyapenda na unayoyapenda unayamazia ata km hakufanya mtume Wala hakuna ktk Kur an. ww ni mnafiki. Km ni mkweli, nithibitishie hayo nilokuambia km alifanya mtume au maswahaba au yameamrishwa kwenye Kur an....😅😅😅😅😅😅😅 Mnafiki mkubwa
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 4 ай бұрын
Ww hata utafute vip kusherekea kuzaliwa ni tabia za manasara
@haridyhillaryndembo1946
@haridyhillaryndembo1946 4 ай бұрын
@@Khatib-xp6fp Kama wewe hukusherekea yan haukufurahishwa kuzaliwa mtume basi ujue Allah s. w aliona ni jambo zuri kwake mtume wake hawezi zaliwa bila tukio, mwaka wa tembo akaleta tukio litukumbushe siku kazaliwa surat fil. Familia ya mtume walifurahia kuzaliwa mtume s. a. w na ilikua ni faraja kwa mzee abumutwalib ambaye alimpoteza mwanae babake mtume. Nasisi hatuwezi iacha siku kazaliwa mtukufu wa daraja ipite bila tukio. Mungu s. w na malaika zake wanamtakia rehema mtume s. a. w sisi ni nani tusimsalie swalallahu aleih wasalaam siku ile kazaliwa. Sasa jiulize kama aya yasema "innallaha wa malaikatahu yusalluna ala nnabiy, YAA ayuhalladhina amanu swalu aleih wassallim tasliima" Je ni rehema kiasi gani Allah s. w alimtakia mtume wake siku anazaliwa? Ukumbuke mtume ndiye rehema ya Mungu kwa viumbe wote "wamaa arsarnaka illa rahmati Lil aalamiin". SIO kila kitu ni lazima ukione direct ktk Quran Ndiyo kikubalike ktk dini Utaweza kukiona kupitia sunna au jitihada za wanazuoni na makubaliano yao.
@khatwabshee2187
@khatwabshee2187 4 ай бұрын
Shukran sheik saaiiid
@suuahmed71
@suuahmed71 4 ай бұрын
Maa shaa ALLAH Ustadh Said. MUNGU akuzidishie elmu uzidi kutunufaisha zaidi na zaidi. Na MUNGU akuhifadhi na hassad wasio kupenda
@la_raib953
@la_raib953 4 ай бұрын
Ni nani alieona ama kusikia wanyama wakizungumza wakati wa kuzaliwa Mtume,na ni Mtume pekee ndio aliepewa huo uwezo na Allah sw na sie mwemgine ndan ya Umma wake
@dullahsaleh8507
@dullahsaleh8507 4 ай бұрын
Wewe ulijuaje na sio mtume?
@mohamedindalo2663
@mohamedindalo2663 4 ай бұрын
Awez kuwa kiboko ya bachu yuko vzr sna
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 4 ай бұрын
Tatizo la masufi ni kuendelea na upumbavu. Yeye huyo dj said mbona kwenye mjadala hakusema na alishindwa kutetea uzushi huo wa wanyama kusema?
@Maherzain_Tz
@Maherzain_Tz 4 ай бұрын
​@@mohdkhatib223hukuona kwamba bachu alishndwa kujibu na kukimbia kiti,,,,,hapo bado namtasem😂😂
@spartachize122
@spartachize122 4 ай бұрын
​@@Maherzain_TzBachu sio kwamba alikimbia ni mbaya kama unatoa point na mtu bdo hakuelewi anarudia swali lile lile
@darajanida
@darajanida 4 ай бұрын
​@@spartachize122 sasa aende swali jengine wakati suali alilouliza halija jibiwa
@spartachize122
@spartachize122 4 ай бұрын
@@darajanida alilijibu tena kwa ufasaha lkn Said alijifanya hajaelewa
@MuslimBakar-uf6xd
@MuslimBakar-uf6xd 4 ай бұрын
Mtume s.a.w. anatuambia tujilazimishe kufata suna zake na suna za makhalifa zake Leo nynyi mpotuu dini mnaipeleka ndivyosivyo haki mnaipeleka kuwa batili
@lovecouples4
@lovecouples4 4 ай бұрын
Wew Dini umeipeleka wapi umeitangaza wapi !?
@وزيرهالوزير-ذ8س
@وزيرهالوزير-ذ8س 4 ай бұрын
Wallahi usufi ni uzandaqa
@kitosio
@kitosio 4 ай бұрын
Kwanini tusiondowe ujinga kutumia mwnendo wa Maswahaba tena wengine walibashiriwa pepo hapa2, na hawakumzulia Mtume s.a.w
@muhamadkhalid4976
@muhamadkhalid4976 3 ай бұрын
Huyu sio kiboko ya bachu bali hajui kitu mbele ya bachu na akapige goti asome sunna za mtume (s.a.w) NB Dini sio matamanio ya nafsi tusomen sana 😢
@RashMash-l1b
@RashMash-l1b 2 ай бұрын
masufi wallahi wamepotea wazi kabisa ,lakini masikitiko niwale wasio jitambua ndio tuna wahurumia maskini,yani inabidi haki ibainishwe ili tuongee wale wasio na ilimu,hawa jamaa wamepote na wanapoteza watu sana,tunamuomba mungu atuongoze na kuwaongoza ndugu zetu haswa wale wanyonge wasio na elimu.
@rashidkusema2803
@rashidkusema2803 4 ай бұрын
Wah,,kidogo niseme n wahindi
@hbaba.
@hbaba. 4 ай бұрын
Twambie mnyama gani amezungumza hatuzungumzii mawe na miti hapa
@QuthamAbdalla
@QuthamAbdalla 4 ай бұрын
DJ saidi Wacha urongo subhaanallah !!! Humuogopi Allah wewe
@HassanmohanmedAbdulrahman
@HassanmohanmedAbdulrahman 4 ай бұрын
Subhanallah kijamaa kipotofu hichi
@kibedikamba7616
@kibedikamba7616 4 ай бұрын
Nenda kasome wewe wacha ujinga kasome alafu upinge
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
@@HassanmohanmedAbdulrahman sasa kam mpotovu mbona alimfanya bachu mikojo ilimpita? 🤣
@HemedAbdullaSuleiman
@HemedAbdullaSuleiman 4 ай бұрын
Mawahabi hawamjui mtume...ukimsoma asa Mtume (s.a.w) basi kuna vitu huwez kushangaa wala kukataa ila km hujasoma Historia yake utaona kuna vitu km haviwezekani...Huyo ni Mtume... Mbora wa viumbe wote halaf unajifananisha na ww😂😂😂
@ismailowino2866
@ismailowino2866 4 ай бұрын
Yaani huyu mzuka aweza kuwa kiboko ya Bhachu😆😆
@fahmiiidrisa5110
@fahmiiidrisa5110 4 ай бұрын
Ile mikojo umeisahau iliomtoka bachu? 😂
@aljahuur
@aljahuur 4 ай бұрын
Wamuona mzuka huo bachu alikojoa na akanya kwenye kiti
@jumakitato4248
@jumakitato4248 4 ай бұрын
Bacho ambae hana akili timamu ndio atamuelewa ila hanakitu yule bado sanaa
@fahadbabuy
@fahadbabuy 4 ай бұрын
Serious shekhe anasema uongo hadharani? Hakika Allah atalipa tuhuma hizi….dah eti unasimama kutangaza sheikh Bachu kajikojolea?! Tena hadharani!!! Wallah hii laana
@jabirhussein4180
@jabirhussein4180 4 ай бұрын
Mawahabi wanaumia sana wakiona mtu anajua ilimu halafu anajishughulisha na kuimba kaswida au kupiga dufu 😂😂😢😂
@abeliever6823
@abeliever6823 4 ай бұрын
Namuomba mwenye channel kubadilisha title title inaleta image ya vita Na mawaidha hayamtaji mtu yoyote جزآكم الله خيرا
@islamseyffden7723
@islamseyffden7723 4 ай бұрын
Kiboko ya bachuu 🔥🔥kwel😂 aliwaacha vitu chini
@HamidMAMBASANDIONYUMBANI
@HamidMAMBASANDIONYUMBANI 4 ай бұрын
INALILAHI WAINAA ILEHI RAJIUUN
@hassanmohamedabdalla4108
@hassanmohamedabdalla4108 3 ай бұрын
Su'ala ni mimba ya mamake Amina na mzungumzo ya wanyama dalili yale sahihi
@mzulwa2006
@mzulwa2006 3 ай бұрын
Hizo kauli za barazanjeh kupingwa na bachu sio wa kwanza yeye bali alianza sheikh Faris miaka ya 1986 bachu anarudia sasa cha kushangaza leo said anaonekana mtu wa maana kumpinga bachu bila ushahidi wowote.
@aliroro9344
@aliroro9344 4 ай бұрын
🤣🤣🤣..Ati Shekh uyoo ni DJ Saidi Jamaa la bidhaa toa album basi Maulidi bidhaaaaaaaaaaaa
SHEIKH SAID ATOA SOMO JIJINI DSM, MTOTO WA BACHU USIPOELEWA HAPA BASI
19:54
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
Andro, ELMAN, TONI, MONA - Зари (Official Music Video)
2:50
RAAVA MUSIC
Рет қаралды 2 МЛН
"Идеальное" преступление
0:39
Кик Брейнс
Рет қаралды 1,4 МЛН
BACHU AMVAA SHEIKH OTHMAN MAALIM TUHUMA ZA UZUSHI VIGAWANYO VYA TAWHID
26:32
Vizuizi Vinavyotuzuia Kuongoka | Sheikh Said Bafana
43:39
iMedia Kenya
Рет қаралды 21 М.
MAFUTA NILIKWAMBIA UNABAHATISHA UKAONA NI KEJELI ONA SASA || Muhammad Bachu
49:19