BACHU BAADA YA KUMJIBU SHEIKH AFUNDISHWA NA MWANAMKE ZANZIBAR

  Рет қаралды 47,400

RAMIYA WETU TV

RAMIYA WETU TV

Күн бұрын

Darsa kali kwa mtoto wa bachu

Пікірлер: 914
@bakarisahede9532
@bakarisahede9532 4 ай бұрын
Maashallah Dadaangu Allah akutangulie ktk maisha yako inshaallah usivunjwe moyo na wajinga toa elimu kadrri uwezavyo kabla Allah hajachukua roho yako naona unakitu chakuiachia jamii yakiislamu kabla ya mauti yako Allah akulinde nahusda Dada yangu kipenzi
@MwinsheikhSamata
@MwinsheikhSamata 4 ай бұрын
ALLAHUMMA AAAMIIN
@Tamthilia264
@Tamthilia264 4 ай бұрын
Huyo sheikh samir ni mjinga kutia udhu ni sunna Mtume hajasema asheherekewe siku ya jambo la udhu ni sunna kila wakati hizo ni shubuhati za watu wa bidaa
@Official_ulipo_tupo
@Official_ulipo_tupo 4 ай бұрын
Kumbe huyu dada nae hafai sasa wee ukisema sheikh mohammed bachu kakosa adabu kwa sheikh samir na wewe unaemwita sheikh bachu tarumbeta la mawahabi una adabu 😂😂😂😂 لقد صدق من قال تأدبوا ثم تعلموا
@TRIPLE.3Rs
@TRIPLE.3Rs 3 ай бұрын
Wewe mama mpuuzi sana kondooo jistirii utulie.
@Bakarmaziwa
@Bakarmaziwa 3 ай бұрын
Sio wenyeakili bali wenye elimu ndio walio fahamu dada toa dozi had wakuelewe kwini huyo bachu yeye hatoi mada bali n mwenye kupinga mashehe wajuzi wa elimu
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 4 ай бұрын
Hongera kazi nzuri mwanzo mzuri
@swamymiraji3987
@swamymiraji3987 4 ай бұрын
Acheni kupotosha SHEIKH SAMIR TUMEMUELEWA NA SHEIKH BACHU PIA TUMEMUELEWA. mwanamke sauti yako ni nzuri sanaaa iweke kwaajili ya mumeo huko chumbani.
@AthumaniBakari-o6r
@AthumaniBakari-o6r 4 ай бұрын
DADA WATUMIKA VIBAYA DINI HAITAKI HIVYO ULIVYO FANYA
@abdikadirshariif5311
@abdikadirshariif5311 4 ай бұрын
Hey tuliya a aibishwe huyo bachu weenu. Haki ni ya woote hakuna cha mwanamke au kiume. Tume pokea hadisi ngapi kutoka kwa Aisha? Kwahio tuliya huyu mara akojooe mara manakwe amjiibu. Hiyo ni fedheha kutoka kwa Mungu. Atafakari.
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
@@AthumaniBakari-o6r inataka nini 😂😂
@Akhysayid
@Akhysayid 4 ай бұрын
ww unasem km anapotosh hebu rudi kwa allah umuombe msamaha
@mubariekabrahams2650
@mubariekabrahams2650 4 ай бұрын
Tumekuelewa dada lakini jiheshimu walimu wapo na wanafundisha vizuri tuu kama hujaelewa huu si ugomvi hili ni somo. Tulia kwako umuangalie huyo mume mwenzio. Mungu yupo acha choko choko usije ukapazwa. Na jina ni: Sheikh Nassor Bachu. Allah amaze mahala pema 🤲................ TENA.
@alhilaltvonline
@alhilaltvonline 4 ай бұрын
Shida ni kuwa sheikh awe wao tu, asiyekuwa wao huyo wamkosee adabu. Na wanamradi. Ahsante dada. Ufahamu pia ni rizki.
@BigirimanaAbdulshakur
@BigirimanaAbdulshakur Ай бұрын
Samahan kk Nini maana ya kumradi mtu?
@iddimutua420
@iddimutua420 4 ай бұрын
Assalam aleikum Kindly Nauliza kwa upole tu huyu ummi Aisha ana mume au ameolewa kama bado InshaAllah uku kwetu kwa sunna bado tuna nafasi ya kumsitiri na mambo kama haya InshaAllah.
@mussaissa6796
@mussaissa6796 5 күн бұрын
DADA ANAJENGA HOJA HADI HILI BUNGU BUNGU HALIWEZI KUJIBU HATA SWALI MOJA.❤❤😂😂😂 AUSEE BUNGU BUNGU LIMEADHIRIKA VIBAYA SANA❤❤❤😂😂😂
@AbdallahHussein-v2l
@AbdallahHussein-v2l 3 ай бұрын
Leo mungu amuonesha bachu kua ww sasa unafaa kujibizana na wanawake, mashaallah mungu akupe majaza mema ewe hurul ayn mjibu vizuri huyo tarumbeta
@chemicalalli9291
@chemicalalli9291 3 ай бұрын
Namuomba Ustaadhi Bachu ampuuzie huyu ukhty na Allaah amuongoze hakika amepotea waziwazi
@mosesmngome1357
@mosesmngome1357 3 ай бұрын
Wapumbavu mpo wengi kapotea bachu wewe unamwona mtu mwingine shida kweli
@binfarhan879
@binfarhan879 4 ай бұрын
Dada yangu hayamambo hauyawezi achana nayo na waache wanaume wafanye hivyo ww nenda kumuhudumie muumeo acha kueka sauti yako hadharani kwan pia inachangia Iblis maana sauti yako MASHAALLAH
@swamymiraji3987
@swamymiraji3987 4 ай бұрын
Ana sauti nzuri sanaa , hajui sauti yake ni ni utupu kutusikilizisha
@ABBASDOLOLO
@ABBASDOLOLO 3 ай бұрын
Nana Aisha alikuwa akifundisha nyakati za maswahaba, je alikuwa hatumii sauti? Ama sauti yake ulikuwa mbovu?
@IbnuumarAlubeidy
@IbnuumarAlubeidy 18 күн бұрын
​@@ABBASDOLOLOni ilmu ama mizozo
@AdamuMkwizu
@AdamuMkwizu 2 ай бұрын
Maashaa llah ukhti mungu akuhifadhi
@ahmadshaame1332
@ahmadshaame1332 4 ай бұрын
Dah yaani kwa mtazamo wangu mdogo inaonesha kwamba huyu Sheikh Mohammad Bachu yeye anajua kila kitu yaani mambo yote anayajua katika dini kila Sheikh au Mwalimu akiongea katika jambo katika dini basi lazima amradi. Ila naomba Sheikh Muhammad naomba ufahamu kuwa hakuna anaejua kila kitu na binadamu aote Wallah Billah Tallah hatuwezi kuwa na ufahamu mmoja akili sawa. Dah masheikh kuweni makini katika daawah zenu. Allah akubarikini kwa daawah zenu.
@rogertuga007
@rogertuga007 4 ай бұрын
Yeye anapoona sehemu haijakawa sawa anaweka sawa nae akikosea anawekwa sawa na mara kadhaa anaseme na yeye ni mwanaadamu kwahiyo makosa yapo. Na mara kadhaa ameshaomba radhi pindi anapoona anakosea
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
MAWAHABI kazi Mnayo.
@bakarisahede9532
@bakarisahede9532 4 ай бұрын
Inamana yeye anaelimu kubwa kuliko masheghe wote huyujamaa anamihemko sana yadini hekma hana adabu hana kanatafuta umaarufu kupitia dini ngoja apambambane nahuyo mtoto mwenzie
@PrinceSindayigaya
@PrinceSindayigaya 4 ай бұрын
Yani allah atunusuru kwa kweli dada acha kutenguwa watu udhu iyo sawuti yako ina tamanisha na kama una muamini allah tafadhali usirudi kujitangaza
@mabwege
@mabwege 22 күн бұрын
Wewe mwanake kaa nyumbani hii si KAZI yako ila hata huna la kuambia watu na ufahamu wako ni batil kabisa Shukran saana ustadh Bachu umefahamika vizuri saana
@IbrahimSuleyman-j8n
@IbrahimSuleyman-j8n 3 ай бұрын
Bachu upo sawa, una ongea vitu Kwa dalili ila wewe dada nakuonea huruma sana! Pole sana Allah akuongoze wewe na waliokutuma insha Allah
@chinammasai9967
@chinammasai9967 3 ай бұрын
Bachoo ni padri
@mohamedbadru8005
@mohamedbadru8005 3 ай бұрын
Dalili zipi ameonesha Bachu kuliko huyo dada
@fakihkhsaid9353
@fakihkhsaid9353 4 ай бұрын
Wewe Dada nenda kampige raddi muumeo dayuthi ataikosa harufu ya pepo kwa kisauti chako naona ujinga umekuzidi hujui hata waongea nini Samiri kakaa kimya ati aja Dada (fitna) Allah akuongoze wakujibu hoja miongoni mwa masufi wapo hatukueliwiii.
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
KUJIBU HOJA HAJIBU ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA! Jibu HOJA ZA DADA YETU? acha kulalamika
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 4 ай бұрын
iyo maana yake bachu hajafkria levle y kujibzana na shekh samir kapewa demu tu amgaragze nd lavle zake hahahahahha
@MohammedMorsi-qp5qp
@MohammedMorsi-qp5qp 4 ай бұрын
Maa shaa Allah ukhiy allah akulinde na kila shari hasad na fitna Allah akuzidishie elimu zaidia hio Na akujaalie pepeo ya firdaus
@AishahMuigu
@AishahMuigu 3 ай бұрын
Hebu usimdanganye,,, muusie kwanza ajitunze kama mwanamke… na fitna zote kajiweka mtandaoni…. Kama wampenda kama muislamu ungemuusia aitoe hii sauti mtandaoni…
@salimdiabyonlinetv4873
@salimdiabyonlinetv4873 4 ай бұрын
Dada Ana Hoja Tena Nzito, (IMAMU NNAWAWIY R.A) Hakua Swahaba kabisa, Suala ni kua Mawahabi tupeni hio Hadith, Kwa Alicho Kifanya Imamu Malik, Kutia Udhu Kabla hajasoma Hadith Ya Mtume (S.A.W) Mbona Dada yetu ana Hoja. !!!
@SAIDIYABUSHINGEDJUMA
@SAIDIYABUSHINGEDJUMA 4 ай бұрын
Wewe labda hujasoma unaunga mkono mwanamke kupaza sauti yake mbele ya jamii
@ibbu-tz
@ibbu-tz 4 ай бұрын
Hajasema anaunga mkono kupaza sauti usigeuza maneno. KASEMA ALICHOKISEMA KINA HOJA, HIVYO MAWAHABI WAJIBU HOJA.
@MwinsheikhSamata
@MwinsheikhSamata 4 ай бұрын
Naam huyu mwana dada yupo sahihi kabisa sana Ila tatzo lilokuwepo panawatu hushika yale wasemayo masheikh zao hatakama ni makosa
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
@@SAIDIYABUSHINGEDJUMA wewe ndo hujasoma
@AishahMuigu
@AishahMuigu 3 ай бұрын
@@ibbu-tzhakina hoja,,, mimi swali langu nauliza… mtume amesema tuchukue elimu wapi??? Na imam maalik ni nani??? Ukielewa hili swali utajua hakusema haki chochote… na ufahamu wake ni mchache
@hassanbinhassan-bn3rk
@hassanbinhassan-bn3rk 3 ай бұрын
Ukthy manchallah allah kuifadhi piya akuelimishe
@ShaibMussa
@ShaibMussa 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 DAH UYO DADA ANAMASHAKA SAAN TENA ANACHEKESHA SAAN DAH
@FahadMasoud-io4mb
@FahadMasoud-io4mb 4 ай бұрын
Maashaallah Allah akulipeni dada yangu na sh sameer,huyo kijukuu cha kiyahuri,poti la kikristo bila ya kujijua,
@NasirJussa
@NasirJussa 4 ай бұрын
Shekh bachu huyu ummu Aisha inaonekana anakutaka mm Nakushauri muoee tu. Anataka kuolewa na ww huyuuu SI Bure hii halafu inaonekana atakuwa mzuri pengine..
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Picha yake ipo apo juu mwanzo
@nassor6333
@nassor6333 4 ай бұрын
Aowe Sufi !!! Bora Aowe mnaswara kuliko sufi
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Bora uoe sufi ndugu yangu kuliko mnaswara kwa 7bu sufi ni muislam ndugu zangu vipenzi
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Mimi nimeoa sufi ila mbona kabadilika
@nassor6333
@nassor6333 4 ай бұрын
@@OmarSalum-y9c Bora mnaswara kuliko sufi ,
@samirrubeya2379
@samirrubeya2379 27 күн бұрын
Mama pioneer imani sauti yako pia ni tupu..
@abouwaraqa6408
@abouwaraqa6408 4 ай бұрын
Ukhty Maa Shaa Allah kwa ufafanuzi mzuri na naona nikweli kabisa bachu una ufahamu finyu katika dini na Wewe Ukhtiyetu ndie unae mfaa kumfafanulia
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
Ummy Aisha,mwanamke jisitiri,maulidi si Ibada,usiitie bei sauti yako,mtume kawatabiria moto wanaotengeneza ibada mpya.
@NGWALISHAAME-d4d
@NGWALISHAAME-d4d Ай бұрын
mche allah wedada hujajua matumizi ya saut yako nadhambi unazo beba kwenye audio hii
@mazruqmohammed4108
@mazruqmohammed4108 4 ай бұрын
We mwanamke akili zako sio mzuri
@abdirahmanshawkani
@abdirahmanshawkani 17 күн бұрын
Wa Allahu mustaan,,, mwanamke anapata wapi nguvu ya kuongea hapa
@jumajuma1324
@jumajuma1324 4 ай бұрын
Wee dada Allah anasema ولا تنابزوا بالألقاب hapo siku ya Qiyama utapunguziwa thawabu zako apewe bachu mana umemdhulumu heshima yake kumuita tarumbeta si umuite tu bachu jifikirie pole sana kwa kutojielewa
@shanimpenike7568
@shanimpenike7568 4 ай бұрын
ni kweli kabisa
@MuhamedChabaga
@MuhamedChabaga 2 ай бұрын
Sio kweli ww mdada hebu usikurupuke kua Adabu kwenye maongezi yako
@MuhamedChabaga
@MuhamedChabaga 2 ай бұрын
Huyu dada anajua nafasi yake kwenye uislamu
@MahamudMohamed-i9d
@MahamudMohamed-i9d 4 ай бұрын
Ma shaa Allah....walakin usijitoe dhahiri kutenganisha dini kwa kumuita mtu mawahabi....
@ShabaniJumbe
@ShabaniJumbe 4 ай бұрын
Huyu mdada kaja kujiuza umu mtandaoni au mana simuwelewi mm anachokisema yy anamladi shekh bachu au anawasikilizisha watu sauti yake na kutoa michambo
@NaziruNkongogo-z4z
@NaziruNkongogo-z4z 4 ай бұрын
Acheni kumsema dada vibaya ikiwa mnamuamini Allah subhaanahu wataala anawaelewesha vizuri mbona
@ZakariaBoy-fv3kh
@ZakariaBoy-fv3kh 4 ай бұрын
Haraaam sauti yake apeleke bwanake, ni haraam mwanamke kurusha sauti yake mtandaoni, hatuhitaji ma dai wakike. Analeta uyahudi
@MohamedSwaleh-d2m
@MohamedSwaleh-d2m 3 ай бұрын
Tiwa aya kuwa niharamu mwanamke kurusha sauti mtandaoni​@@ZakariaBoy-fv3kh
@chinammasai9967
@chinammasai9967 3 ай бұрын
Kwa iyo alichokiongea uyo dada kwa hakipo kwa mtazamo wako?
@KhatibuKilumba
@KhatibuKilumba 3 ай бұрын
Yatumie maskio yako vizur wewe Wacha kupindisha unapenda mpaka Unakua kipofu
@RumeisarajabMkungoma
@RumeisarajabMkungoma 4 ай бұрын
Ewe dada yangu mche Mungu acha kumsema vibaya Sheikh Mohammad bachu mche Mungu...elmu yako ni finyu sana mdada...ivyo bc soma na pia utoke kwenye upotevu na kutetea mambo ya maulidhi...maana maulidhi ni bidaa
@chinammasai9967
@chinammasai9967 3 ай бұрын
Muhammad bachoo ni sawa na padiri tu sio muislam kwa sababu yeye ni wahabi na mawahabi sio waislamu
@AishahMuigu
@AishahMuigu 3 ай бұрын
Kweli💯
@chinammasai9967
@chinammasai9967 3 ай бұрын
@@RumeisarajabMkungoma ... Muhammad bachoo hata adabu Hana kwa iyo Wacha asemwe vibaya vyenginovo na aende kwa wakristo wenzake huko atuachie uislam wetu yenye sio muislam
@RumeisarajabMkungoma
@RumeisarajabMkungoma 3 ай бұрын
@@chinammasai9967 hivi kaka yangu umejiona kweli ulicho ongea mche Mungu wacheni wawatuhumu wanazuoni tuwapeni eshma zao
@mohamedbadru8005
@mohamedbadru8005 3 ай бұрын
Mbona huyo dada anaelimu kubwa kuliko huyo Bachu mwenyewe?
@Bombwejr18
@Bombwejr18 4 ай бұрын
Mwanamke unadhihirisha sauti yako kabisa halfu unajibizana na mwanamke unaleta Shubha dada yetu katika Iman halfu watu wanachekea hilo swala allah atuongoze 🙌🙌
@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089
@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089 4 ай бұрын
Uyuu. Bintii kwanzaa kaolewaa. Kama kaolewaa mumewe. Bas. Ata kua. Dayuth. Ana tulegezea saut tu
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
@@Bombwejr18 Dada amekosea, Ila kinachotakiwa hapo ni hadith.
@Bombwejr18
@Bombwejr18 4 ай бұрын
@@IsmailSanga anachofanya sio katika taratibu zilizoachwa na mtume pia hawana dalili ya wazi ya kutetea maulidi bali wanachofanya ni kumu attack mtu binafsi hapo ndo wanapoleta mtihani katika dini ila yote kwa yote Allah atuongoze na atupe mwisho mwema
@Bombwejr18
@Bombwejr18 4 ай бұрын
@@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089 kama kaolewa huo ni mtihani mkubwa na lazima atakuwa kaolewa na mtu wa maulidi mwanamke anaeijua sunnah vizuri hawezi kuja kubishana na wanaume mitandaoni
@gizabombo8166
@gizabombo8166 4 ай бұрын
Abu nuaayimi,hayo maneno ni sadaqat kabisa hakuna mushikila.
@Aminakajanja
@Aminakajanja 3 ай бұрын
Shekhe Bacho huyu ni Hindu wa zama hizi bar Hindu wa zama za mtume alibadilika sijui huyu Hindu wa maulidi atabadilika lini Allah amoongoze bakllah hii imondokee huyu , kiumbe dhaifu , ameshindwa kulea familia najumhendi mume wake , wewe dada huna aibu kwanza nakujua harahayaya huna Allah akusiri dah subhanallah .
@IssaKabelwa-zs2ct
@IssaKabelwa-zs2ct 4 ай бұрын
Assalaamu alaykum warahmatu llaah, ndugu zangu waislaam tupunguze matus dini yatu nidini ya ustaarabu huyu dada yetu anatumika vibaya kwanza dini sio biashara wanawake hutumika katika biashara kwaupande wa matangazo nikivutio kimoja wapo, lakini sheria hairuhusu kudhihirishwa sauti ya mwana mke mbele ya wanaume kosakubwa dada yetu anatakiwa alete istghfaari kwa mola wake kwa kosa hilo napi napenda kumkumbusha kua neno dhikri ni utajo wa Allaah kwa hiyo ndani ya salaamu kuna utajo wa Allaah asitofautishe dhikri na salamu kwa sababu mtume kama ange itikiya nilazima angemtaja Allaah. Ndio akasema mm nachukia kumtaja Allaah nikiwa sina UDHU, Na usimuite mtu tarumbeta la wahabi kwanza unamkosea Allaah Allaah amemuumna kiumbe wake na akajisifu we unamfananisha na tarumbeta dini inatutaka tuitane majina mazuri ww unawaita watu majina mabaya katika suuratl ahzaab Allaah anasema waiteni kwa majina ya baba zao ikiwa hamuyajui nindugu zenu kaatika dini kwahiyo huyo nindugu yako katika dini je na ww uki itwa tarumbeta la makhurafi itakua umeonewa? fahamu yakua kila unacho kisema na unacho kifanya kina dhibitiwa kwa kuandikwa na siku ya qiyama utakwenda kukikuta tahadhari sana na ulimi wako usije ukaja kujuta sasa hivi una watu watakusapot ujinga lakini adhabu uta adhibiwa pekeyako wala hito waona hao.
@darajanida
@darajanida 4 ай бұрын
wailaikum salam tumekuelewa nduguyangu ila maneno hayo wambiye mawhabi kwasababu ndo walio.anza kutukana mashekh zetu nakuhusu sauti ya mwanamke mbele zaunaume unakusidia wanawake wa kisufi tu au unakusudiya wanawake wote
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 4 ай бұрын
​@@darajanidamnamkandamiza motoni uyo dada haifai, akamtii mumewe awe na haya sio ivi anakua kama hayawani
@SirmaSirma-p8p
@SirmaSirma-p8p 4 ай бұрын
Kwa hyo MTU anapoikosea dini ya mwenzingu mwanamke hapasw kukemea na kama ataongealea chumban ss tuliokua hatuna uelewa tutajua WAP?
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 4 ай бұрын
@@SirmaSirma-p8p we mwehu unajua sheria ya Allah kwa mwanamke kwenye uislam au unaropokwa, we unaona yupo sawa uyo dada acheni kuwaita watu motoni kwa ujinga
@azamomar9920
@azamomar9920 4 ай бұрын
@@SirmaSirma-p8pKasome ndugu yangu, kusoma dini yako ni lazima kwa muislaam sidhani kama Allah utakuja kumjibu hukuwa na elim ndo maana ibada nyengine hukufanya kwa usahihi. Unakosaje uwelewa kwenye dini ya Allah lakini uwelewa wamambo mengine unao?
@aishaothman3326
@aishaothman3326 2 ай бұрын
Huyu Bachu kweli mwanaharamu mungu amlani
@MuhamedChabaga
@MuhamedChabaga 2 ай бұрын
Chunga neno lako la kumwita muislam mwenzio mwana haramu ujue halitaachwa Bure Dai lako hilo
@KasimuKiduba
@KasimuKiduba 4 ай бұрын
Mwanamke hata Aibu huoni Hata kisasi mke kwa mume hakuna umepata wapi huo ujasiri alafu umeandikiwa subhanallah Mwenye mke amnasihiiii mke wake ,,,,Mama kapike hivi vitu vina wenyewe
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 4 ай бұрын
kapata uo ujasiri kw sbb kasoma sio km ww kapuku mafta ya kuku
@JeilaniAbdulkadir
@JeilaniAbdulkadir 3 ай бұрын
Nani kakuambia mwanamke kazi yake nikupika?
@fakijecha
@fakijecha 4 ай бұрын
Mtume aliyasema haya itafika wakati watu watajifaharisha na kujiona na elimu kupotea leo kubishana kutana majina yasio faa ndo tumekuwa wa mbele cha ajabu waislam kwa waislmu ndo wanagombna uwislmu umekuja kuleta kitu kimmoja leo watu wanaishi kwa matabaka km timu za mpira tutafika kwa Allah na tutaulizwa tuliupigania au tuliugawa uwislamu Allah atupe hatima njema inshaallah
@abdulazizimakogesho
@abdulazizimakogesho 4 ай бұрын
We bint haujasimama vizur kwenye dini Allah akuongoze
@mohamedumri4176
@mohamedumri4176 4 ай бұрын
MUACHE AJIBIWE, KWANI SIKIO LA KUFA HALINA DAWA.
@saadaAbdalla1371
@saadaAbdalla1371 4 ай бұрын
Na km hali hii ilikua ni kwa Sahaba wa Mtume vp atakua Mtume mwenyewe vp watakua maswahaba ambao kila mmoja alitaman yeye atajwe vzur na Mtume SAW, maswahaba ambao wakiskia mtu anafanya kheri wanataka wao wazidishe zaid wakishindana kukimbilia kheri. Allah atuongoze ktk hili giza zito mbele yetu 🤲
@muntaxdelacream3195
@muntaxdelacream3195 4 ай бұрын
Kwani mwanamke hapaswi kuwa mwalimu?....leta vitu mama❤
@JumaawazirWazir
@JumaawazirWazir 3 ай бұрын
Kwanza mwanamke mwenyewe anaonekana hata adabu Hana
@HamisiMwalimu-pp9ci
@HamisiMwalimu-pp9ci 2 ай бұрын
Au huyu mwanamke hana mume subhana Allah Leo hiii mwanamke anasubutu kunyanyau sauti amche Allah uyu dada
@MasoudChoum-pp1ob
@MasoudChoum-pp1ob 4 ай бұрын
SAS ww dada hiyo ni radi au taarifa ya habar kaaa mpikie mumeo huku achia wengine
@mmmnstudio9344
@mmmnstudio9344 4 ай бұрын
Mwambie
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
@@MasoudChoum-pp1ob Kinachotakiwa ni hadith inayodhibitisha hayo.
@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089
@abuunuaymiaffasiyassalafiy1089 4 ай бұрын
HahahahahahahahahhH
@salimdiabyonlinetv4873
@salimdiabyonlinetv4873 4 ай бұрын
Tusaidie Majibu kwa Ajili ya Bachu basi? Tupatie hio Hadith kwa Ajili yake.
@salimdiabyonlinetv4873
@salimdiabyonlinetv4873 4 ай бұрын
Tusaidie Majibu kwa Ajili ya Bachu basi? Tupatie hio Hadith kwa Ajili yake.
@jazilimohamed6606
@jazilimohamed6606 4 ай бұрын
Namaana Bachu hajui tofauti ya tohara na udhu!!!!
@SHARIFF100
@SHARIFF100 4 ай бұрын
Assalaam alaykum, wewe ndio hujui maana ya tuhur, we unatafsir tuhur ni kuoga janaba tuu? Au heidh? Mtume swala llah wasallama anasema: Laa swalat lighair tuhur (hii hadithi ipo katika milango ya udhu na si heidh) Baaraka llah fiyka. Na'aam
@Ismailishatri
@Ismailishatri 4 ай бұрын
unatangaza sauti ili utongonzwe hao vip???
@IssaJuma-jj6jx
@IssaJuma-jj6jx 4 ай бұрын
sio lengo lake
@Official_ulipo_tupo
@Official_ulipo_tupo 4 ай бұрын
Ndy lengo hilo😂😂😂
@YusuphJuma-x7k
@YusuphJuma-x7k 4 ай бұрын
A alaykum kweli nimeamini wallahi sio vizuri kuakashfu wanaoni naona wazi madhara yake kudhalilika kwa shekh bachu
@NasirJussa
@NasirJussa 4 ай бұрын
Huyu dada ana sauti ya kupika vyakula tu sio kazi yenu hii mama. Na video pia ungetoa basi tukuone
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
@@NasirJussa Huyo dada kasema leteni hadith inayofundisha hivyo,So mnaleta ujanja ujanja kwenye dini.
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
@@IsmailSangaswadakta
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 4 ай бұрын
anza ktoa ww iy vdeo tuone sura yako ya mbuzi
@LatifaUkhti
@LatifaUkhti 4 ай бұрын
😂😂😂
@BinKassim-vl8ky
@BinKassim-vl8ky 5 күн бұрын
Kuna baadhi ya mambo wakiyasema wana wa zuon wanakubali Na ukishaelewa kama mtume haongei ila wahay kutoka kwa Allah hutaumiza fuvu lako
@ThabitiRashidi-z1b
@ThabitiRashidi-z1b 4 ай бұрын
Wanaokemea sauti ya mwanamke kwa sababu ya haqqi anayoifikisha ni chukitu umari ibnu khattwaab alikosolewa na mwanamke kuusu kuweka kiwango cha mahari na akakubali kua amekosea amiirulmuuminiin hiyo ndo haqqi
@KilamiMussa
@KilamiMussa 3 ай бұрын
Uongo. Toa ushahidi katika hadith sahihi siyo porojo
@AishahMuigu
@AishahMuigu 3 ай бұрын
Sio kuwa sauti ya mwanamke,,, kila kinachoelekeza kwenye dhambi ni dhambi… nishaona comment ikisema sauti yake nzuri… wal iyaadhu billah. Pampja na kuwa hana haki alioisema. Ila hakuelewa na kakimbia kurecord ati kuraddd… wah… nimepata aibu kwa niaba yaka
@idriskinye1190
@idriskinye1190 2 ай бұрын
Kwan alimkosowa kwa njia ipi na ukija nahoja ile ilikuwa Zaman kumbuka uislam haupo mpya ama wazaman
@KilamiMussa
@KilamiMussa 2 ай бұрын
Toa riwaya sahihi inayothibitisha hilo unalosema
@saidabeid9310
@saidabeid9310 4 ай бұрын
Dada nenda kapike hio sio kazi yako mume wako ana njaa
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 4 ай бұрын
MashaAllaha maalim Mmaa Ummu Aisha Mwenye Ezi Mungu akuzidishie Elimu tumekuelewa kama mama mlezi
@mwalimulossilamsuya1944
@mwalimulossilamsuya1944 4 ай бұрын
Acha UPUMBAVU..TUMIENI MUDA WENU KUWAUNGANISHA WAISLAM SIO KULETA MAMBO YA MATHEHEBU..MADHEHEBU YATATUPELEKA WAPI?..
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 4 ай бұрын
@@mwalimulossilamsuya1944 kaka mwanzo nini maana ya Madhehebu?kwa sababu kuijuwa Dini bila kupitia Madhehebu huwezi kuijuwa Dini
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 4 ай бұрын
@@mwalimulossilamsuya1944 wewe kusema watu wawache upumbavu kuleta Madhehebu sasa tuambie kwa uwelewa wako Madhehebu ni kina nani na ni yapi Madhehebu unayo juwa wewe?
@abubakaromar6101
@abubakaromar6101 4 ай бұрын
@@mwalimulossilamsuya1944 na kama hujui Madhehebu ni kina nani TUBIA OMBA KWA MWENYE EZI MUNGU
@RajabuTimbwa
@RajabuTimbwa 2 ай бұрын
​we muongo
@hajisimaikhatib9002
@hajisimaikhatib9002 4 ай бұрын
Dada mashallah Allah akuhifadhi kwa rehma zake
@SalimuMaganji-ts1fn
@SalimuMaganji-ts1fn 4 ай бұрын
Unapongeza ushuzi wa dada yako jiulize wewe ndo umemuoa alafu anaropokea watu huku bila hoja za kielimu
@MuhammadiMbwana
@MuhammadiMbwana 4 ай бұрын
masufi wamechemka kwa bacho hadi mnaleta wanawake?
@omarmwaiga
@omarmwaiga 4 ай бұрын
Subhana ALLAH wewe dada Allah akuongize kwakuiachilia sautiyako namna hiyo lkn hayo ni maneno ya wanawake
@wamiujizacholo7413
@wamiujizacholo7413 4 ай бұрын
Naomba sheikh bachu asimjibu huyu dada maana kaja kutatuta waume huku 😂😢😂
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 4 ай бұрын
Sindano imepenya
@FuadHamed5804
@FuadHamed5804 4 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 sindano gani na ameongea uzushi n uongo mtupu Sasa ajibiwe nini hapo na ujahil wake ....
@FuadHamed5804
@FuadHamed5804 4 ай бұрын
@@rayisadesigns2646 mwenyewe amejidhalilisha maana Bachu amekubali katika kutawadha kabla ya kusoma hadithi Sasa maulidini hua watu wanaenda kusoma hadithi ama wanaenda kusoma barzanji .. mwambieni huyo mama atafute watoto alee asijiingize katika fani ambazo Allah amemkataza anatafuta moto kwa lazima...
@jamilahjamilah4157
@jamilahjamilah4157 4 ай бұрын
Wee nabachu wote hamja soma someni acheni kudanganywa bachu hajaui na ww unaye sema kafata waume kasome
@FuadHamed5804
@FuadHamed5804 4 ай бұрын
@@jamilahjamilah4157 wewe ndio umesoma ??? Waliosoma wanafwata yanayowahusu na ukweli katika dini. Ww uliskia wp mwanamke amepewa ruhusa ya kupaza sauti yake mbele ya hadhira iliyojaa wanaume ama na wewe ni wale wale munaoongea musioyafanya
@bakarimpita8515
@bakarimpita8515 3 ай бұрын
Mashaallah bidada wenye akiri watakuelewa
@AwessAbbass
@AwessAbbass 4 ай бұрын
Mwenye akili anaona bachu yupo sahihi lkn huyo dada anaongelea chuki tu kwa nasoro bachu.
@abuushekhaliynkusa6912
@abuushekhaliynkusa6912 4 ай бұрын
We mshabiki sio msimi ndo mana ukasema hivyo Lkn ukisikiliza kwa makini na ukawa unataka kufahamu basi utafahamu tu
@HemedSerious
@HemedSerious 4 ай бұрын
Kwa kweli mawahabi wanachopinga ni maulidi tu bidaa za kwao km kawaida, mazuzu hawa😊
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
Leteni Aya au Hadith inayosema ukiadithia hadith za Mtume uchukue udhu!!.
@bukharymohd977
@bukharymohd977 4 ай бұрын
Huyo mgonjwa wa kike anaelimisha nini hapo naona sijaona akisoma hadithi yyte hapo yaani kama anatangaza mpira tu au movie
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
@@bukharymohd977 Nyie hamumuoni huyo vuvuzela wenu!
@abdallahrashid218
@abdallahrashid218 4 ай бұрын
Audhu billah mina shaytwani rajiim bi ismi llahi arrahmani arrahiim. Innallaha yaalamu ma fi sirri wal ilani
@SHAAMEBKR
@SHAAMEBKR 4 ай бұрын
Assalam alaykum 'Enyi watu wa bidaa iv kweli hamtaacha kuongeza vitu vyenu katika dini ya Allah mpaka akawaangamize ?
@MaulidAbdallah-t3e
@MaulidAbdallah-t3e 4 ай бұрын
Asalamu alykm waislm tunaenda wp hebu tuache mijadala tasa
@ayubutwalbu6594
@ayubutwalbu6594 4 ай бұрын
Wewe tarumbeta la mawahabi unaadhilika Sasa unajibiwa na wadada
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Hebu fanya usawa katika kuskiliza acha ushabiki yuko sawa bachu
@pandungozi1072
@pandungozi1072 4 ай бұрын
Wewe bint haifai sauti yako kuchomoza mbele ya hadhara za wanaume mitandaoni huo ni utomvu wa adabuu! Jiheshimu uheshimiwe🙏
@abdulazizmsonde985
@abdulazizmsonde985 4 ай бұрын
Mbona anasoma nani kamuandikia?
@sinyooo6583
@sinyooo6583 4 ай бұрын
Mashekh wake😂
@RajabuMsumari-dh5jb
@RajabuMsumari-dh5jb 2 ай бұрын
Bachu huyu Mama ana Elimu kwa kiasi kinachofaa kuzingatiwa.Sasa narudia kuku nasihi kasome kwanza ili ufahamu vizuri unachotaka kuzungumza kielimu
@MohdAliHaji
@MohdAliHaji 4 ай бұрын
Ummu Aisha hili ulilo fanya Leo nikosa kutoka nje nakubishana na wanaume
@musakibwana4596
@musakibwana4596 4 ай бұрын
Omar (RA) ale bora kuliko bachu alikosolewa na mwanamke mbona hakumtolea jeuri
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 4 ай бұрын
@@musakibwana4596 mtaumia sana, BACHU yafaa wanawake ndio wasutane NAE MAANA akiona wanaume anajikojolea🤣
@HadijaAli-d2l
@HadijaAli-d2l 4 ай бұрын
Unamtaka bachu sikiliza vzuri ndio ujibu kwanza sauti yako haifai kusikika Kisha leo umepata ujasiri kusimama kumjibu mwanaume
@saidjuma4547
@saidjuma4547 4 ай бұрын
ukhty Aisha bachu Yuko sahihi ila kilichokukera ww ni kuambiwa maulidi yameletwa na makafiri na ndio sahihi
@hassanWanjiku
@hassanWanjiku 4 ай бұрын
Na wataudhika sana sababu hawana jipwa masufi
@darajanida
@darajanida 4 ай бұрын
​@@hassanWanjiku mawahabi ndo kabisa
@saidali9255
@saidali9255 4 ай бұрын
Swadakta!..
@karimuHamisi-z5h
@karimuHamisi-z5h 4 ай бұрын
Mashekhe wanawachanganya watu na baadhi ya watu hata wanaacha dini kabisa. Kazi kwenu, endeleeni!
@RidhwanIdrissa
@RidhwanIdrissa 4 ай бұрын
Mwanamke lake jiko huku anatafuta nn??
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 ай бұрын
Towa hadithi isemayo kazi ya mwana mke ni jiko tu?
@Humud-in6qk
@Humud-in6qk 4 ай бұрын
Watafuta hatar ya Mola wake huyo bibie
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 ай бұрын
@@Humud-in6qk wacha ushabiki na kutowa hukumu bila ya elimu
@ImanSaid-q4i
@ImanSaid-q4i 4 ай бұрын
Anatafuta bwana huyu
@MaalimMuhunzi
@MaalimMuhunzi 4 ай бұрын
Kila jambo unataka hadithi ww mwanamke lake jiko ndio haitakikani kuanika sauti yake​@@jimjam-xg7rv
@yasinikanole5184
@yasinikanole5184 3 ай бұрын
We demu nenda kakate vitunguu tu uwanja ulio uingia hauna ubavu nao kaa chini usome maelezo ya bachu yapo wazi qatada,imamu maalik na aamash walikuwa ktk quruunu mufadhala na mtume amesema watu Bora qarne yake Kisha wanao fuata,Kisha wanao fuata lkn jambo la maulid limezuka baadae sana ktk daula ya abasiya wameanzisha mashia makafiri
@RachidaIacine
@RachidaIacine 4 ай бұрын
Huyu dada majibu anaeyatoa si yeye anaepekua vitabu anahada , kaadikiwa karatasi ili ajibu msikilizeni vizuri, tena hata hishima hana afai hata, kama hivi alie muoa kazi anayo
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
Mwambie bachu atoe hadhi au Aya!
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 ай бұрын
Punguzo ushabiki na utuliye mfunzwe elimu ni kama bahatlrie na haki aichaguwi ama kumpendelea mtu yeyote
@IsmailSanga
@IsmailSanga 4 ай бұрын
@@jimjam-xg7rv Elim IPI!!? Mnaleta uhuni kwenye dini.
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 4 ай бұрын
Unataka HAQQI AU unataka majibu katoa Nani!. Bachu anajikanyaga TU. JAMBO sio AMRI ya Allah sw wala Mtume saw HALAFU anasingizia ATI Ni wahyi HUO. 😂 Wahyi kapewa tabiina 😂, HII Kali ya mawahabi
@ALIALI-ob5vb
@ALIALI-ob5vb 4 ай бұрын
Asante data ila usitumie maneno ya kejeli 17:56 katika kujibu au kuonesha chuki.
@JumaMbarouk-s2q
@JumaMbarouk-s2q 4 ай бұрын
Huyu Dada majibu yake yako wapi mbona hajielewi
@allymwinkyambi9689
@allymwinkyambi9689 4 ай бұрын
Msikilize kwa lengo la kumuelewa
@HarunaKhamisi
@HarunaKhamisi 4 ай бұрын
Ww mwanamke kazi yako ni kukata vitunguu nakutandika kitanda ukamsubiri mumeo hapa biidaa hainyamaziwi
@sinyooo6583
@sinyooo6583 4 ай бұрын
😅😅
@rashidmohamed1949
@rashidmohamed1949 4 ай бұрын
Mwanamke unatangaza sauti yako dunia nzima? Inna lillahi wa inna ilaihi rajiuun.
@Abdulrazaki92
@Abdulrazaki92 4 ай бұрын
shubuhat
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 4 ай бұрын
Sauti tu unawaza uroda, wacheni matamanio ya Nafsi.
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
KUJIBU HOJA HAJIBU ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA!
@HamisiAlly-ms8ei
@HamisiAlly-ms8ei 4 ай бұрын
Acheni kumshambulia huyo bint kwasab anahaki ya kumuongoza yule alie potea kam nyinyi amuezi acheni bachu afunzwe na mwanamke maan😂akili zake ziko kwenye ndevu😂
@mmmnstudio9344
@mmmnstudio9344 4 ай бұрын
Kasome kwanza dada,acha kuongea kiswahili kingi bila aya wala hadithi
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 4 ай бұрын
@@mmmnstudio9344 KWANI wewe mwarabu? Au ndio nyie likisomwa Shairi la KIARABU kumsifu bosi huwa mnafkiria Ni quran?. KWANI bachu kasoma Aya GANI iliosema SHURUTI Ni kutia udhu KABLA KUSOMA HADITHI?!
@HamzaMbumi
@HamzaMbumi 4 ай бұрын
Anasoma alicho andikiwa huyu mama .ushauri amche Allah.
@AbasiShariff
@AbasiShariff 4 ай бұрын
Bora Sasa huyu achiwe wanawake ajbizane nao sababu ndio size yake wanafana nao Kwa maneno Na vtendo
@KhamisSaleh-gg7ov
@KhamisSaleh-gg7ov 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Msie na mihemko bachu yuko vizuri sana hata kama mtasema hana elimu na hajasoma hata sehemu 1 ila kijana anajua sannnnnna
@IssaHamisi-z2v
@IssaHamisi-z2v 4 ай бұрын
Kiukweli ajibiwe na wanawake tu huwenda atapata akili
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Acha ujinga soma kwanza hii elimu ya huyu mwanamke umeona kua huyu ana elimu ya kumshinda bachu ndugu yangu mzuri tuachu ushabiki
@IssaHamisi-z2v
@IssaHamisi-z2v 4 ай бұрын
@@OmarSalum-y9c kama una akili zilizo fika na mwaka kama bachu anavyo kosa adabu kwenye kilpu zake kwa kutukana na kukashifu wanachuoni na masheikh ni bora ajibiwe na mwanamke, kiukweli amekuwa kevo kwa jamii ya kiislam pasina ya kutizama analokataza ni maslahi yapi yanapatikana mbele ya umm wa kiislamu.
@Upanga833
@Upanga833 4 ай бұрын
Musiyapambe maulid hiyo ni bid'aaa
@JamalAbdallah-t1y
@JamalAbdallah-t1y 4 ай бұрын
Acha mawahabi wafundishwe na kina Dada Sasa, maana tukiwafundisha siye vidume itabidi tuwapige bakora😂😂😂
@azamomar9920
@azamomar9920 4 ай бұрын
Allah atuongoze na atujalie ufaham. Wallahi hakuna muislaam anae jitambua namwenye hof ya Allah kisawasawa anaeweza kuendelea kuwaskiliza na nakuwatii hawa mashekh wanao sapoti maulidi nashindwa kuelewa maana ya elimu ni nini kwasababu Shekh bachu anakosoa majambo wanayo yafanya kwania ya kuzindu umma wakiislaam. Lakin hawa ndugu zetu hawajawahi kujibu kwakunufaisha umma bali utafuta uchochoro tu wakujificha ili waendelee kuwapoteza waislaam wewe ni shekh na elimu ulio nayo ili uwe bora kwa Allah uwe mwenye kuwanufaisha watu tayar umekosolea kuusu maulidi tuchotaka kujua nakuskia sisi wanafunzi utuambie nani ameturuhusu sisi waislaam kusherehekea mazazi ya mtume? Kwadalili ya Qur aan na sunna tunacho kiitaji Shekh Samir ni elimu yako itunufahishe sio kuwatuma vibaraka wenye miemko naushabiki ktk dini ya Allah naleo mmeenda mbali mmekuja nahuyu Dada maskin ajitambui mpaka sasa Mola wake anamtaka awe vp kwanza kaonyesha kabisa hana sifa yakuwa mke wamtu kwasababu kama ameweza kumchamba shekh Bachu Allah amuhifadhi nahali yakuwa anamuona tu kwe mitandao uhalisia wake amfaham, itakuwaje kwamumewe wakikosana chumbani? Allah akuongoze Kwenye njia ya sawasawa dada angu.
@MohamefMullah
@MohamefMullah 3 ай бұрын
Mawahabi ni kazazi cha kufru hata katika comet zao utawajua ni watu wa porojo uwelewa kwao ni zirooo
@JumaSwalehIdd-nt9gv
@JumaSwalehIdd-nt9gv 4 ай бұрын
Wallah nyinyi makhulafi jitahidini mnavyojitahidi hamtopata njia kukimbilia mpaka mnashindwa mpaka hamuezi kujibu wanawakoe ndio waji kupambana.Haka kajimwanamke hakana hata elimu kisha kaone waume zake wamefumuliwa haka kajinga ummu Aisha ndio kapambane😂😂😂
@DohaQatar-w4t
@DohaQatar-w4t 3 ай бұрын
Icho kidada hakina mume kama Una Imani hamna haja ya sauti yako kuxkika
@farijalakhalid5558
@farijalakhalid5558 4 ай бұрын
Kumbe bachu ni muongo kiasi hicho 😊😂😂😂
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 4 ай бұрын
😂😂😂 BACHU ASEMA KUTIA UDHU KABLA YA KUSOMA HADITHI NI WAHYI ( YAANI QURAN) IMETEREMSHWA KWA IMAMU 😂😂😂😂😂
@an-noormedia2881
@an-noormedia2881 4 ай бұрын
Dada anamaarifa maashallah
@MudathirOmar-hh5ow
@MudathirOmar-hh5ow 4 ай бұрын
ما شاء الله
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Kwani mtume hajaeleza kuhusu uzao wake kua watu wafunge jumatatu sasa watu wanahangaika na nini kama kweli asa wanataka radhi za ALLAH anakutia hao wanaotetea maulid hawatumii jitihada kuwafahamisha watu wafunge iyo j3
@IbraFareed
@IbraFareed 4 ай бұрын
KUJIBU HOJA HAJIBU ANAANZA KUONGEA MAMBO MENGINE KABISA! Jibu HOJA ZA DADA YETU? acha kulalamika
@OmarSalum-y9c
@OmarSalum-y9c 4 ай бұрын
Kuzungumza mambo vengine kivipi
@binismail2029
@binismail2029 3 ай бұрын
SASA hiyo ndio HOJA ya shekhe. Udhu na Manukato Ni Sunna. Kuna Ubaya gani
@ابنمحمد-ط6ع
@ابنمحمد-ط6ع 4 ай бұрын
Kuna uzao bora zaid wakusherehekea kuliko huu wa bwana Mtume صلى الله عليه و سلم mpenzi wetu.
@AbdulkadirKivaya-f1c
@AbdulkadirKivaya-f1c 3 ай бұрын
Ukweli kabisa dada akija kenya tutamumaliza asije
@jumasalum1171
@jumasalum1171 4 ай бұрын
Mashallah mama ilimu umetupa nakukunalisana
@oissa1284
@oissa1284 4 ай бұрын
Allah akuongoze uijue sunnah na uache uzushi
@OthmanSharif-t7s
@OthmanSharif-t7s 4 ай бұрын
Dalili za qiama
@AdamMchana
@AdamMchana 4 ай бұрын
Acha kusoma kazet dada
@abdulkarimsalum356
@abdulkarimsalum356 4 ай бұрын
mimi nmefahamu kitu ambcho weng hamjakiona. maana ya huyu dada kumjibu bachu ni kuwa bachu hajafkia levle ya kujibizana na mwana chuoni sameer levle ya bachu nd kwnz ipoo sw na wanawke ata kw wanaume bado hajafika nd maana yake iyo hahahahah😂
@yussuflali6110
@yussuflali6110 4 ай бұрын
Kwanza ulisikia lini mwamke kutowa sauti kila mtu kusikia hiyo nikukosa haya huna Adabu na dini ungefanya makala ndiyo inafa lakini sauti haifai na kama umeolewa basi mume Wako niduyuthi Atakuwata vp utowe sauti kila mtu kukusikia
@HassanJuma-xy9jk
@HassanJuma-xy9jk 4 ай бұрын
hv ww mwanamke humuogop mungu hujui km saut yako nifitina hvy kwel wew ndio mwenye elim mpumbavu mkubwa
@AishahMuigu
@AishahMuigu 3 ай бұрын
Hutu alikua anatafuta umahiri. Wala uelewaji wake ndio mdoooooogo. kama kawaida ahlul bidaa. Huyu hata ni aibu kwake maanake hata mtoto wa miaka kumi kaelewa… subhanallah. Mtake msitake,,, bidaa ya maulidi haiwi dini mpaka kiama kisimame walillahi lhamd
@NasmaJohn-o6i
@NasmaJohn-o6i 27 күн бұрын
Nyinyi jambo kubwa la kufanya kuwaringania wario katika upotevu wakiristo na wapagani waione aki katika uislam
@hassankiloba217
@hassankiloba217 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ bachu umekimbiya ukowapi hhhhhhhhhhhh bachu huna elim Rudi darasa ni
@mwanakheri2880
@mwanakheri2880 4 ай бұрын
Ameitwa akasomeshwe mambrui amekataa😅
@zahorsaidi1979
@zahorsaidi1979 4 ай бұрын
Bachu yuko sahihi 100%
@RumeisarajabMkungoma
@RumeisarajabMkungoma 4 ай бұрын
Upo Sahii huyo mdada Mungu amsamehe2 bure na amuongezee elmu
@TheZanzibarstonetown
@TheZanzibarstonetown 4 ай бұрын
Duh dada we, udhu na uzushi wa happy birthday ! Kwa Hali hii hatuna masheikh ni failure wasomeshwa na failure na failure wasomesha failure
BACHU KIMEMRAMBA TENA MWANAMKE AENDELEA KUMTIA DARSA ZANZIBAR
13:46
RAMIYA WETU TV
Рет қаралды 10 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН
BACHU ARIPULIWA NA KITOTO CHA SHEIKH KUSOMA APIGWA ZA USO REJEA UKASOME VIZURI
29:14
HESHIMA NA UNYEYEKEVU WA DR ISLAM KWA MUHAMMAD BACHU || MOMBASA KENYA.
4:22
Muhammad Nassor Bachu
Рет қаралды 71 М.
BACHU AMVAA SHEIKH OTHMAN MAALIM TUHUMA ZA UZUSHI VIGAWANYO VYA TAWHID
26:32
BACHU ATANDIKWA TENA NA SHEIKH SAID, WANYAMA WALIZUNGUMZA
21:03
BABDEO MILADU
Рет қаралды 55 М.
NDACHA AKUBALI KUSOMA MADRASSA
1:00:22
Straight Path Dawah
Рет қаралды 34 М.
MAFUTA NILIKWAMBIA UNABAHATISHA UKAONA NI KEJELI ONA SASA || Muhammad Bachu
49:19
MSIMAMO ULOSABABISHA MASALAFI/WAHABI KUMCHUKIA SHEIKH ABUU IDDI
29:43
RAMIYA WETU TV
Рет қаралды 26 М.
黑天使只对C罗有感觉#short #angel #clown
00:39
Super Beauty team
Рет қаралды 36 МЛН