No video

SHUHUDIA SABAS AL-KUBRA AKIWA NENO KWA NENO LEO NA Muhammad Bachu KUHUSU MUNAQASHA WA TANGA 6/6/23.

  Рет қаралды 42,033

Muhammad Nassor Bachu

Muhammad Nassor Bachu

Күн бұрын

Пікірлер: 267
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
Nimefurahi sana Leo mmechekeana na kuonesha walau furaha kwa wotee!! Iwe iweje lakini Waislamu wotee ni nduguu.. *ALLAH awaongoze wote Katika Njia ya khair na Hakki*
@user412
@user412 Жыл бұрын
Nimefurahi Sana! Allah atujaalie pale tunapokosea tueleweshane kwa hikma.
@allydaud117
@allydaud117 Жыл бұрын
Nakuonmbea kwa Allah akusamehe makosa yako na akuope afya njema na umri mrefu Sheikh. Tunakupend sana kwaajili ya Allah sheikh wetu
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
sahih kbc
@NoorAli-vj4gn
@NoorAli-vj4gn Жыл бұрын
Ameen
@nassibnassib5691
@nassibnassib5691 Жыл бұрын
MaShaa Allah Shekh Bachu Allah akufanyie wepesi ktk kila jambo na akulipe ktk uelimushaji wako na mapambano ya kuweka yadiyokuwa sawa ktk dini yetu.
@rajabkelvin3842
@rajabkelvin3842 Жыл бұрын
From Guangzhou China tunawafuatilia vizur Allah awaongoze ktk Haq Amiin
@saidsalim8079
@saidsalim8079 Жыл бұрын
hata south korea tuko sambamba na tukio
@Alakhyasirabuammar
@Alakhyasirabuammar Жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh. In Sha Allah munaqasha uwe wenye manufaa
@fatumachala4980
@fatumachala4980 Жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu na afya njema nakupenda Kwa ajili ya Allah tunakusubiri vigoa chamazi
@jumaahmadi
@jumaahmadi Жыл бұрын
Mashallah Sasa tunawafatilia vzr Allah ajarie kher
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
SHUKRAN. ACHA TUSUBIRI INSHAALLAAH. JAPO UMEJITAHIDI KUREJESHA MJADALA WA MASHEKE NIMEFARIJIKA. ILA ALLAAHU NDO MJUZI . BASI MSILIONGEE HILI MAANA LINAANZA KUKINAI MWISHO LIKOSE NGUVU. ANZEN TU KUJIANDAA NA MATANGAZO
@mtagalalahmtagalalah1018
@mtagalalahmtagalalah1018 Жыл бұрын
Naam akhy 🥰 inshaAllah #maulif bida'ah
@user-zk6fk6wu6n
@user-zk6fk6wu6n Жыл бұрын
Maa shaa Allah, alhamdulillah- inafurahisha sana tukiwa sisi ni ndugu , Allah atubaarik
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 Жыл бұрын
بارك الله فيكم وجزاكم الله خير ا
@jumakumala1337
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Nimefurahi Sana kwa maongezi yanu na vyenye mlivyo anza wallaih nawapenda kwa ajili ya ALLAH , MUNGU awaongoze na ajalie Niqasha iwe ya kheir na mafanikio kwa waislam wote wapate ilmu kwa kupitia niqashi hiyo amiin
@mjedamjeda4734
@mjedamjeda4734 Жыл бұрын
ربنا يبارك فيك يا اخي العزيز استاذ محمد
@SalehSaleh-re1ud
@SalehSaleh-re1ud Жыл бұрын
Jambo la kuzingatia ni TAQWA . Kila mmoja amche Allah subhanahu wa ta'ala. Hakuna anayeweza kubadilisha nyoyo za watu ila Allah na hakuna anayeweza kuwaunganisha watu ila Allah. Allah subhanahu wa ta'ala atuongoze wote kwenye HAQI na ajaalie huu mjadala uwe na faida kubwa kwa jamii.
@kasimubangu1875
@kasimubangu1875 Жыл бұрын
Jazakumullahu khaira
@Nevershot
@Nevershot Жыл бұрын
Wa kwanza kutazama inshallah
@alawihamis5586
@alawihamis5586 Жыл бұрын
Huu ndo uislam ninaopenda Hadi raha mungu awajalie kila la kheri Kwa kutufurahisha na kutuunganisha mungu atujalie Kila lakheri inshallah
@ramamganga6440
@ramamganga6440 Жыл бұрын
Asalaam alaikum warahmatullah wabarakat, nakufuatilia sana sheikh wangu, NAMI nachukia sana bidaa tutashinda tu, inshallah, usife moyo, Sina lugha nyepesi kuelezea nisivyopenda sushi, ila nachukia
@omarally6819
@omarally6819 Жыл бұрын
Nimeskiza mwanzo hadi mwisho. Baaraka Allaahu fiikum
@AliIbrahim-lv5cq
@AliIbrahim-lv5cq Жыл бұрын
‏الله يرضى عليك يا شيخ
@kutafuna
@kutafuna Жыл бұрын
MASHA ALLAH. ALLAH atufikishe salama. Amin amin YARABI amin.
@Abduli-xl8iv
@Abduli-xl8iv Жыл бұрын
Ulisoma wap ww
@Abduli-xl8iv
@Abduli-xl8iv Жыл бұрын
Hakun hata mtume mmoja alielingania dani namna hiyo mzeee
@LabiloWabikongo
@LabiloWabikongo Жыл бұрын
Mashallah mungu mwemasana Allah ajaliyekher
@jamaldineali3228
@jamaldineali3228 Жыл бұрын
Wallahi nakupenda kwaajili ya Allah sheikh wango, sheikh Muhammad
@Nuru_ya_sunnah.official
@Nuru_ya_sunnah.official Жыл бұрын
Na mm vile vile 😂😂😂😂❤❤❤❤
@saidjuma4547
@saidjuma4547 Жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi sheikh Allah akusameh makosa yako inshaaallah juhudi yako tunaiona watanyooka tu hawa
@R10_Rajab
@R10_Rajab Жыл бұрын
MashaAllah inapendeza sana Allah awalipe kwa yote munayoyafanya kwa ajili ya Allah,Inapendeza kwa kweli
@abdusli-kl7vm
@abdusli-kl7vm Жыл бұрын
Assalamu aleyikum nimefurahi sana mekubaliana. mungu akipenda itakuwa mwisho wa maulidi na barazaji na ushirikina na wengi wasio kubali ukweli kuhusu barazaji na uongu ndani ya barazaji na ushirikina mungu akipenda siku siku ya munagashi hakuna mumini yoyote hapa duniani atasubutu kukata maneno ya ukweli kutoka kwa mola kama anataka Jana lazima akubali ukweli utabaki ukweli na uongo hauna nguvu mbele ya ukweli. iyo siku na isubiri kwa ham ya tarehe 16/-07/23 siku ya jumapili TUOMBE MOLA SOTE UTAJAALIE UZIMA NA AFIYA tushuhudie UKWELI
@dulaseif5001
@dulaseif5001 Жыл бұрын
weye bangi zinakupeleka maulid yameanz kusomwa babu mazalia babu yako hajazaliwa uje uzuie wewe eti maulid barzanj mwisho huyo barzanj unamfaham?
@AbdulHalim-gc1ut
@AbdulHalim-gc1ut Жыл бұрын
@@dulaseif5001 mm nilizani utasema maulidi yameanza kwenye zile karne tatu bora alizozisifia mtume kumbe hoja yko ww ni wazee vp ndugu ww?
@rashidkhamis8282
@rashidkhamis8282 Жыл бұрын
Mawahabi kitu alichowanyima Allah ni elimu na hekima na amewajaalia matusi na kujitakasa ALLAH AKUONGOZENI KWA REHMA ZAKE
@nassibnassib5691
@nassibnassib5691 Жыл бұрын
Hawa watu wa bidaa huwezi jua tatizo lao huwa liko wapi?!
@user-rn1cm9dr8h
@user-rn1cm9dr8h Жыл бұрын
@@dulaseif5001 kwakua wamefanya mabubu ndio limehalalika au,jee kama hao wazee walikua hawajaongoka
@sidrasidra8616
@sidrasidra8616 Жыл бұрын
Masha'Allah nime penda kumbe hamna uaduwi❤ mna taniana na kucheka
@allahakujazekheriwowww5694
@allahakujazekheriwowww5694 Жыл бұрын
Mola akupe umrimrefu sheikh wetu akukinge nabala zote
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 Жыл бұрын
Ma Shaa Allah Tabarakallah
@rajabdanga8590
@rajabdanga8590 Жыл бұрын
Mmetufurahisha kabla ya munaqasha tunawatakia mwisho mzuri
@allahakujazekheriwowww5694
@allahakujazekheriwowww5694 Жыл бұрын
Mashallah
@AbubakarMinya
@AbubakarMinya Жыл бұрын
Kwanza kabisa ninawapongeza sn wote, bila ushabiki shekh sabas unajua kujenga hoja.Allaah wabariki sn pia Allaah aendelee kuwasafisha nyoyo zenu
@kassimbitogwa6992
@kassimbitogwa6992 Жыл бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah.
@fayeezabdallah2217
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
hamn kit kizr kuw munafurah kwa pamoja mashaAllah Alhamdllh
@afiahamad5983
@afiahamad5983 Жыл бұрын
Alhamdulillah Allah afanye wepesi
@omarally6819
@omarally6819 Жыл бұрын
Kwakweli, mimi nimefurahi sana kwa maongezi haya baina ya Mashekhe wawili.
@JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc
@JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc Жыл бұрын
Mashaallah
@abubakarahyan9515
@abubakarahyan9515 Жыл бұрын
Alhamdullah mm nimefurahi kua waislam kua kma iv kupnd ana itikadi ikae pembeni huu ndio usislam sio kuchukiana kisa itikadi
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
*Nafsi yangu inaniuma sana sijui kwanini, Sheikh Muhammad Yamalizeni tuu haya mambo!! Tayari yanaanza kupoteza taswira njema!! Vipenzi vyako tuko hapa kwa ajili yako❤*
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. Жыл бұрын
Tunakwenda kuyamaliza inshaAllah ili watu wapate faida, kuna mengi watajifunza inshaAllah.
@sama-_8368
@sama-_8368 Жыл бұрын
Hapo ndipo ufahamu finyu wa Muhammad Bachu unakwenda kuonekana. Allah akufedheheshe Muhammad kwa sababu ya kibri ulicho nacho kwa wenzio, Aamiyn.
@kylesmeight4837
@kylesmeight4837 Жыл бұрын
​@@sama-_8368kibri unakjua?
@pablooo4197
@pablooo4197 Жыл бұрын
​@@sama-_8368 ww haya maneno yko ndo yenye kibri hujui ata usemalo jaahil mkubwa ww zingatia meneno yko
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. sawa sheikh Wetu tunasubiri😭!! Sisi tunakupenda sana kwa Ajili ya ALLAH tunakupenda mnoo mnoo sanaaaa❤❤❤! Na tunaamini Katika Neema ya Ilmu Allah aliyokupa!!
@Athmani-hk1bq
@Athmani-hk1bq Жыл бұрын
Maashaallah
@musalymuhamed3989
@musalymuhamed3989 Жыл бұрын
Ally musiman kutoka Nampula tunawafatiliya vizurikabisa ishallah iweheri mnakasha ufanyike ujulikane ukweli hivyoo ndivyo dini itakiwavyo waislamu wafanyee.siokelele. twataka watu wajifunze Natunachotaka nikwa dalili.sikutoa vichwani. Kwakweli.nimefurahi.ishallah mungu atuafikishe sote tuushuhudie sikuhiyo amini
@ibrahimomar1073
@ibrahimomar1073 Жыл бұрын
Mombasa ni sawa
@sheikhabuusakakin3243
@sheikhabuusakakin3243 Жыл бұрын
ماشاءالله
@generalchumongafricanboy
@generalchumongafricanboy Жыл бұрын
😢❤
@bintshariffmuhammad620
@bintshariffmuhammad620 Жыл бұрын
Assalam alaykum. Mashekhe Allah awajaalie wepesi na hio munakash tufahamu ukweli uko wapi
@jumamasoud1188
@jumamasoud1188 Жыл бұрын
Me nadhani mkubaliane kwamba munaqasha uwe mkoa mmoja na Mada zote ziwe sehemu mmoja ili kuepusha ghalama kwakuwa wako watu watatoka mbali.
@universitylink
@universitylink Жыл бұрын
Kazi itakuwa ngumu sana fanyeni sehemu moja tu bila kuhama hama ni gharama zaidi na masualla ya serikali kufuata vibali itachukua muda
@user-qm4qd8yk2x
@user-qm4qd8yk2x Жыл бұрын
shekh Mohammad tuko pamoja na ww. Allah akuwezeshe kuwaelemisha hao wazushi. halufu huyo sabas anakosea kusema eti kumtete mtume dhidi ya bachu au mawahabi kwani sisi tunampiga mtume vita?????? bila shaka laa. yeye aseme anamtetea barzanji ndio itakua usawa
@allymnimbo4304
@allymnimbo4304 Жыл бұрын
Swalallhahu alaaaaaa muhammmad
@huseynmaingu6073
@huseynmaingu6073 Жыл бұрын
Alhamdu Lillah
@user-is4gh4ok8r
@user-is4gh4ok8r Жыл бұрын
Link ya munaqasha maiqhwa
@hajimuhidini1903
@hajimuhidini1903 Жыл бұрын
sifurahii mijadalahii hainatija inazidisha ujinga wawajinga
@hijazhija316
@hijazhija316 Жыл бұрын
Pumzika
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh... Mimi ningependelea huu mnaqasha baina ya waislamu ungefanyika kwa nyinyi wawili tu na muwe waadilifu kwa atakaeona ameshindwa haqqi na kila mmoja akiona ameshinda bas ndio record iwekwe hadharan ili watu wachague mbichi na mbivu
@sefuriyembe7864
@sefuriyembe7864 Жыл бұрын
Nyinyi mashekhe kama mmesoma ili mbishane, basi mtalipwa kea hilo, hapana shaka yeyote !!
@hamadali3231
@hamadali3231 Жыл бұрын
Sheikh Mohammed bin Bachu tunakuombeni mje Pemba
@SheikhMondbinamir26-px4ej
@SheikhMondbinamir26-px4ej Жыл бұрын
Nakuomba namba Yako sheikh
@Team-t6k
@Team-t6k Жыл бұрын
Yani mlichekeyana kama marafiki wa ndani lakini mkenda kwenye Channel zenu mnatukanana na kuitana majina ya kejele lakini kwenye sim mnaogopana Allah Akbar na ndo maana usisubutu kuwa shabiki wa yoyote katika dini ila uwe mwenye kufata haqqi angaliya jinsi alivyo wanaongeya kama ni wajama. Haya basi acha ni save date tu 📅 2023. In sha Allah 😅
@shwalehally4400
@shwalehally4400 Жыл бұрын
Answari kachukuweni Sasa na maanswara mengine saudia wawasaidie kazi munayo Sasa ,ndege mjanja hugwiwa ni tundu bovu ,mumeingia Sasa kwenye mdomo wa mamba ,figisu figisu mpka mumeingia Sasa Muungu atufikishe inshaallah
@mahammoudhaji
@mahammoudhaji Жыл бұрын
Km huyo ni mkigoma bs sheigh kazi unayo
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
😂😂😂😂imenibidi nicheke tu. Aysee niwabishi😂
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
Nakupenda kwajili ya Allah ndugu yangu Muhammad Bachu
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. Жыл бұрын
@Niya Khalid Allah akupende na wewe
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. Amiiiin thuma Amiiiin nakufuatilia kutoka Kenya sehemu kunaitwa Nanyuki
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. Жыл бұрын
@@niyakhalid5650 Tukija huko Inshallah tutakuja kunywa kahawa huko, tuandalieni...
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
@@Muhammad_Nassor_Bachu_. karibuni sana Sheikh
@yusufathman2478
@yusufathman2478 Жыл бұрын
​@@Muhammad_Nassor_Bachu_. naomba no. Zako sheikh
@eddieeddie2755
@eddieeddie2755 Жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullah! Kwa hivo huu Munakasha ushafanyika?
@munnihussein9352
@munnihussein9352 Жыл бұрын
Waalykum Salam warahmatuLah wabarkatuH itafanyika 16 July 2023
@eddieeddie2755
@eddieeddie2755 Жыл бұрын
@@munnihussein9352 barakallah fik, wajazakallah kheir🙏👍♥️
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Shehe ww unaongea vizuri bilayakejeri. Wakija wao vivuluge utasikia manenoyao. Ya mipasho malawakuvalishe misakaba malahivi. Hawa nimtihani. Munguatupe mwisjomwema na nikasji ifanyike. Watulie tushawachoka manenoyao ya vijembetu wanaumewazima mtihani
@JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc
@JUMARAJABUKACHEPA-jp3nc Жыл бұрын
Mashaallah
@mgazamhina840
@mgazamhina840 Жыл бұрын
Weka namba ya kuchangia kabisa tuanze kuchangia
@MakameFadhil-fc6le
@MakameFadhil-fc6le Жыл бұрын
acheni kuwakama makafiri munachotakiwa kusimamia dini yetu ya kisilam isichezewe nyinyi ndo munaichezea au munatafuta pesa kiujanja kuna wakicrito tunatakiwa tuwalete katika usilam asa vyivyi waislam sijuwi munatafuta nn
@alawisoud665
@alawisoud665 Жыл бұрын
Ifanyeni Dar
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 Жыл бұрын
Shekh Bachu naomba namba yako shekh wangu ya watsap kuna zawad yang nikupatie Shekh .
@swalehkombo-wc8nu
@swalehkombo-wc8nu Жыл бұрын
mm nasema mtoto wa bacho andaa zawadi ya shekhe sabas tena zawad ambayo hajawahi kuifikiria na kuiona umesema ww maneno hayo
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Жыл бұрын
😄 ukiishi utaona mengi.... Masheikh wetu haooo..... Akili kichwani mwako.... Kila mtu khatima ya yote ... utaenda kuulizwa ana kwa ana NA Allah juu ya Aqida yako na Yaqini yko ...... ole wako ufate mkumbo bila uhakika wako....
@MgangaMasudi
@MgangaMasudi Жыл бұрын
Sasa wewe ndiempuuzi Wa dhatikabisa
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Nyie kumbe marafiki na mnatuchezea tu sisi akili 😂😂😂😂😂
@IDIAMINI122
@IDIAMINI122 Жыл бұрын
Jmn wenye simu kubwa msisahau kila mtu siku hiyo awe camera man wasijekututoroka hawaaaaaa😄😄😄
@chimbaboytv2937
@chimbaboytv2937 Жыл бұрын
@khamisoothman5294
@khamisoothman5294 Жыл бұрын
Hio nikash mbona sijaiona imefanyika lini
@hassanambarakmbarak8759
@hassanambarakmbarak8759 Жыл бұрын
Huyo sheikh sabasi ni muoga huyo hiyo niqash iwe kando ya DARESLAM iwe mombasa watu wengi sisi ni wamaulidi namimi mi nayaacha
@HalimaSalym-jl2ui
@HalimaSalym-jl2ui Жыл бұрын
Bachu ukizungumza kwa aina hiyo inapendez sana Usizungumzie kwa uchungu na JAZBA hata kama jambo linaukweli na linakukera
@seyyidseyyid9400
@seyyidseyyid9400 Жыл бұрын
ukweli utabakia ukweli sio jazbaa bali mengine yanakera Allah ampe Busara na hekma na Awape nguvu maulamaa ili waislamu wafaidike na dini yao
@pandungozi1072
@pandungozi1072 Жыл бұрын
Sabaaas Allkubra bin Munakashaaa😂😂😂👍
@mzaliwaseif7079
@mzaliwaseif7079 Жыл бұрын
Assalam Aleikum warahmatulah, hivi ndivyo inaitajika sio kurushiana maneno kwenye mitandao. Sheikh Muhammad kitendo chakumpigia SIM bila kumjulisha kuwa Una mrikodi Mimi kweli kimeniuzi .
@omarali797
@omarali797 Жыл бұрын
Assalam alaykum Ustadh Muhammad Bachu unaona usumbufu huu, unampigia humpati. Lakini hata na wewe ulisema Kwa simu si rahisi kupatikana
@abbaspaziaog2188
@abbaspaziaog2188 Жыл бұрын
Shekh Muhammad bachu mutufanyie mpango wa msikiti tandika bahana huku ni masufi. Na majadida wanamsikit wao .sasa nasisi tunatak kuona msikiti wa watu wenye msimamo wakati ma kati
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
Hakuna uislamu WA Kati na kat
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
​@@osmaniidrisa6290 uislamu ni kati na kati usiegemee mambo. Udawa hauwi upande ysawa siku zote ni kati na kati. . Soma Quran Surat Baqara utaona
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
@@suleymansalim5732 watu WA Sunna lakini hawategemei Rai ya mwanazuoni mmoja
@idrisamwaipaya459
@idrisamwaipaya459 Жыл бұрын
Kaswali pale tandika kwa masalafy acha utoto wewe, hakuna msimamo wa kati na kati, kuna msimamo ulionyooka tu!!!
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
@@idrisamwaipaya459 ndipo nnaposwali
@omarali-ut4do
@omarali-ut4do Жыл бұрын
Avutia tanga wawe vikanzu wengi wakatie vurugu na kuzomea,
@Smart_jarm
@Smart_jarm Жыл бұрын
KUMBE SABAS ANAJUA KUKUITA VIZURI SHEIKH MUHAMAD BACHU NA SIO MTOTO WA BACHU? NILICHOGUNDUA SABAS NA YUSUF WANASHIDA 😄
@Nuru_ya_sunnah.official
@Nuru_ya_sunnah.official Жыл бұрын
😂😂😂😂 akhy hapo nimecheka kwa suti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@experiencetours5037
@experiencetours5037 Жыл бұрын
Wakati wa kuitana kielimu kilammoja atamwitwa mwezake Jona Zurich is tukianza kuvuka mipaka ndio kila mmoja atajiona na kujivua kuna kila Dalil ya kibri kwambali sana Allah atulinde katka hilo.
@hajimuhidini1903
@hajimuhidini1903 Жыл бұрын
Nakuhadharisheni msiende bara mnaweza kufanyiwachochotehuko
@OMAR-se6rb
@OMAR-se6rb Жыл бұрын
😀😀hakuna shida acha uoga kitu gani watu wake tumejaa
@hamadfaki2503
@hamadfaki2503 Жыл бұрын
Inawezekana ww hujawahi kukanyaga kabisa hapa bara
@eidallyeidally5093
@eidallyeidally5093 Жыл бұрын
Inamaana bara wanakaa wanyama
@nassibnassib5691
@nassibnassib5691 Жыл бұрын
Kisha niwaombe waislam especial wale wa sunna, jamani tumuombee sana Bachu maana Unapopambana kuelimisha watu ktk dini na ukawa upo ndani ya ukweli basi unue utajaza maadui wasiokuwa na idadi miongoni mwao ni waisilam wenzio (wasiojielewa) wengine ni waislam (munafiq) lakini hapo kuna kundi kuubwa la wale wasio waisilam na wasio penda kabisa kusikia kitu kinachitwa uislam na waislam. Hivyo tumuombee sana shekh wetu kinana Allah Amlinde kwa kila njia InShaa Allah.
@Hamis-ks1sy
@Hamis-ks1sy 5 ай бұрын
Point kubwa sana akhy.Maa shaa Allah
@salmaali7080
@salmaali7080 Жыл бұрын
C lazima mitandaaoni
@blacknature3691
@blacknature3691 Жыл бұрын
Haikuwa na haja ya munaqasha kila shk afundishe alicho fundishwa yeye munaqasha ni uchochezi wa ugomvi na mfarakano
@jeritikitanda6374
@jeritikitanda6374 Жыл бұрын
Njoni morogoro Mungu mkubwa
@alawisoud665
@alawisoud665 Жыл бұрын
Au zanzibar
@zanzibarspice8686
@zanzibarspice8686 Жыл бұрын
Ofisi ya mufti inapaswa iseme kwañini imemfungia?
@AbdallahMnyiwe-he2zu
@AbdallahMnyiwe-he2zu Жыл бұрын
Huyu shekh bachu ni hatari sana anatukana mashekh
@user-io5si5ko2s
@user-io5si5ko2s Жыл бұрын
Kama wafatiliaji watafatilia kwa mtazamo wa kielim na falsafa ya elim watapata faida ktk pande zote 2 lakini wakifatilia kwa ushabiki wa mitazamo yao ya kimakundi watatoka patupu hasa wanaobeba jambo kibubusa bila ya elim
@adilhabib8988
@adilhabib8988 Жыл бұрын
Hapa shida ni kuto kua kitu 1 lkn kama watakua na mawasiliano hakuna mvutano
@OmarMohamad-alhatimy
@OmarMohamad-alhatimy Жыл бұрын
elimu ni amal si mujalada ww una takwa watafuta jina wala huna elimu n adhabu
@mahdsalim
@mahdsalim Жыл бұрын
Unajua Kilichomo ktk nfc y mtu
@TheZanzibarstonetown
@TheZanzibarstonetown Жыл бұрын
Story nyingi , stick to the point ndio sunna
@swalehjamal4867
@swalehjamal4867 Жыл бұрын
Hao wahusika wakuuu wa Zanzibar wa dini pia ni wanafqi hao ..Kwann wamekukataxa kuongea kwa Sababu gani na Sisi huku tujue Kwani Kuna nn wengine wanaruusiwa naww huruusiwi?
@swalehjamal4867
@swalehjamal4867 Жыл бұрын
Huku msa ndio Kuna wendawazimu wanatunga mpaka Hadith zao manake 😂😂😂😂
@imamuhamisi4421
@imamuhamisi4421 Жыл бұрын
😂😂😂
@ramadhanitwahili6837
@ramadhanitwahili6837 Жыл бұрын
ulizi uwo kwani kuna vita jamani mashekhe zetu lakini niseme inshaAllah. kwanini isiwe daressalam jamani mana uku ndio kunawatu wengi wazotu🙏🙏.
@OMAR-se6rb
@OMAR-se6rb Жыл бұрын
Tanga pia masufi wameja
@nyipindamlimited1629
@nyipindamlimited1629 Жыл бұрын
Salam alekum NIDHAM YA KUWASILIA NA MTU NA KUMUWEKA HEWANI WATU WAMSIKIE NI KUMUELEZA MWANZO WA MANGEZI KWAMBA UPO ON LINE NA WATU WANAKUSIKIA LIVE SIO WEWE UNAJUA KUWA MWENZAKO ANASIKILIZWA NA WATU ALAFU MWENZAKO AJUI HII SI NIDHAM HAJALISHI MNAONGEA NINI APO BACHU UMEMKOSEA MWENZAKO SHEKH
@suleymansalim5732
@suleymansalim5732 Жыл бұрын
HIVI WEWE UNASIKILIZA VZR AU😂 IMEANZA TAREHE 2....INAREKODIWA ILIKUA VP LIVE⁉️⁉️ kisha kama nimakosa Nenda katika akount ya Yusuf Diwan utaikuta hii vlclip hapa. Kisha kumbuka maongezi yakwanza alirekod Sabas akiomgea na Katibu wa Bachu..kisha alisctranshort SmS baina yke na bachu. Sasa wewe tatizo likowapi . Watu hawataki kuzua mambo jionee mwenyewe. Hakukua na na Simu live hapana sikiliza vzr mida ilipishana mpaka mavaz huoni😂😂😂😂duh nimechoka kukuelewesha
@mwaramimwarami1479
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Acha upumbavu ww,kosa lake nn kwani anatetwa mtu,kama huna cha kuchangia kaa kimya
@seyyidseyyid9400
@seyyidseyyid9400 Жыл бұрын
watu wanaongea nini na wewe unasema nini watu wanaongeea kitu muhimu wewe unajidai kukosoa kwani unajua hajui kuwa yuko live CHUKI NA FITNA HAZIFAI. Tunafanya makusanyo ya kuhesabu Nazi wewe unakusanya kokochi zilizoanguka
@seyyidseyyid9400
@seyyidseyyid9400 Жыл бұрын
wacheni chuki wataalam wa dini wanataka kuelimisha watuu kuhusiana na dini yao kumbe munapenda mashekhe kuwa na chuki waislamu wagombane sio dini Allah afungamanishe nyoyo zao na wafanikishe adhma zao ili iwe ni sababu ya kuwa kitu kimoja mashekhe wetu na sisi waislam "Shikamane na kamba ya Mwenyezi Mungu na wala musifareikiane"
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Naomba utaratibu kwa wale ambao hawakujuw tanga kutoka hapa znz Tufanye vp na huko hatukujuwi
@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@Muhammad_Nassor_Bachu_. Жыл бұрын
@Pavillion Cry tutapeana taarifa Inshallah
@ashajumapili7148
@ashajumapili7148 Жыл бұрын
​@@Muhammad_Nassor_Bachu_.naaam ALLAAh awahifadhi mashekhe wetu tunawaombea kher
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Жыл бұрын
Muislam mwenye akili hawez kukaa akajadili na kutetea suala la maulid kwamba yanafaa,,hapo atakuw hajatumia akili yake vizur ,,wallah hawa watu nawaonaga maboga sana 😮
@user-gr5ix5hp9t
@user-gr5ix5hp9t Жыл бұрын
Muislam. Huyo
@mohagurey2214
@mohagurey2214 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@mussaissa6796
@mussaissa6796 Жыл бұрын
HIYO LUGHA TU UNAYOTUMIA INATOSHA WATU KUKUJUA WEE NI NANI
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Жыл бұрын
@@mussaissa6796 natak unijue ndio,,,
@albayaanaduacenter
@albayaanaduacenter Жыл бұрын
Kasome kwanza kijana acha presha
@yusufathman2478
@yusufathman2478 Жыл бұрын
Venye nmemsoma sabas nkua hana mpango wa niqash hoja zake hazina mashiko. Cha umuhimu mohammad enda kwenye wataka hao niqash ikue
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 20 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 25 МЛН
а ты любишь париться?
00:41
KATYA KLON LIFE
Рет қаралды 3,4 МЛН
MBARAWA ATOA UJUMBE MZITO KUHUSU MAJANGA
3:42
Daily News Digital
Рет қаралды 16
Muhammad bachu sio salafi bali ni mropokaji tu by sheikh Abu Ume'yr Adam Khamiss Allah amuhifadhi
10:41
Abu Muhsin Minani Abdoullah As'salafiyyu
Рет қаралды 36 М.
KUWEKWA SAWA WAPOTOSHAJI WA A'RAFA NA HII NDIO SAHIHI
1:07:27
Sheikh Yusuf Diwan
Рет қаралды 3 М.
Munaqasha Jee Maulidi ni Katika Dini au ni Upotevu Part-6
8:13
CHANGAMOTO ZA NDOA:  SHEIKH OTHMAN MAALIM JAMAA ABDULLAH BIN ABBASS AL GHUBRA SULTANATE OF OMAN
1:01:56
HII NI HOJA AU MATUSI?? MUHAMMAD BACHU AULIZWA NA SH, KHAMIS ABDULHAMID??
15:06
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 20 МЛН