SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..

  Рет қаралды 71,361

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

SIJAWAHI KUHONGWA, KUPEWA PESA, KUNUNULIWA GARI AU NYUMBA, KWANINI? | HARD TALK..
'HAR TALK' ni Kipindi Kipya kutoka GLOBAL TV kinachoongelea mambo mazito sana ambayo mwanadamu hajawahi kuyawaza wala kuyafikiria..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 121
@sifajacky7779
@sifajacky7779 2 жыл бұрын
You are the first man who explains about this material love problems. I like how you are wise and calm and a gentle man. you always honest in everything. big respect for you brother
@zellapeter
@zellapeter 2 ай бұрын
Baba wewe ni mwalim mzur unatufundisha mengi tusiyoyajuwa, mungu akubariki na akulinde.
@adamusamson5279
@adamusamson5279 3 жыл бұрын
Dr.Elie V.D Waminian na Lilian Mwasha Mungu azidi kuwabariki sana, maana mnatupatia vitu vya gharama kubwa bure.
@AbdullahAli-hf4ns
@AbdullahAli-hf4ns 2 жыл бұрын
Dr kwakweli wewe ni mwalimu mzuri sana ubarikiwe ,suala la kupenda na kupendwa ni suala la kimaumbile na kama ukilikosa unaweza ukakosa furaha Katika maisha.Yeyote anaetumia Mali yakekwa mwengine huwa anataraji kupata mrejesho kulingana na nia yake isipokuwa kwa wale ambao hutaraji kupata malipo kwa Mungu na njia huleta utulivu katika nafsi.
@abdallahally9025
@abdallahally9025 Жыл бұрын
Swadakta
@silverman6930
@silverman6930 3 жыл бұрын
I love you Both but Dr Elli your a special human I have watched all your episodes on Chomoza I have learnt a lot from you , all the way from Manchester. You inspire me a lot . Intellectual being ❤️🇬🇧❤️🙏
@erickmweta8215
@erickmweta8215 3 жыл бұрын
Share with us a little bit what you have learned from them please
@embrace8335
@embrace8335 2 жыл бұрын
The level of wisdom he has......Shkamoo baba Mungu akutunze akiiiiii.......
@amriyalibent8441
@amriyalibent8441 3 жыл бұрын
Asante Mume wangu kwa kunipa mbegu mashallah nimefahamu Leo nna mbegu4 alhamdulilah
@faridamkesso97
@faridamkesso97 3 жыл бұрын
Lillian unaongea vizuri sana na nakupenda Ila naomba utumie lugha yetu ya Taifa moja kwa moja maana unanipunja baadhi ya maneno kwa kingereza, Mbarikiwe sana
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Jamani jifunze hata kidogo basi twende sawa dada🤣🤣🤣
@faridamkesso97
@faridamkesso97 3 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 sawa ndugu nitajitahidi kujifunza maana Elimu haina mwisho Ila lkn ni vizuri pia tukijivunia lugha yetu ya Taifa 😊
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
@@faridamkesso97 upo sawa nlikuwa nakutania bwana. Tujivunie lugha yetu
@queenlinda255
@queenlinda255 2 жыл бұрын
🤣🤣
@christabellamajaliwa183
@christabellamajaliwa183 Жыл бұрын
Safi mbarikiwe kwa kutubarki.
@BigZhumbe
@BigZhumbe Жыл бұрын
Nikifikia level of understanding ya Doctor Elly nitakua nime serve my purpose of being alive
@aureliayuktankabebwa5066
@aureliayuktankabebwa5066 2 жыл бұрын
Asante sana Sis Lilian Mwasha na Dr.kwakweli Dr yupo vizuri sana huwa najifunza vingi kupitia yeye na kipindi Hiki,usiache kutuelimisha sisi vijana haswa kwenye maswala Kama haya .
@hafidhikassim8675
@hafidhikassim8675 2 жыл бұрын
This Dr talk the real principles of the world
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 жыл бұрын
Hard talk hichi kipindi kiiishi milele such inspire and opens our mind my sister gOod questions and the Doc with the best answer we never expect 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
@moshikilimanjaro5660
@moshikilimanjaro5660 2 жыл бұрын
"I like your details and information of your understanding the culture and environment, and time we are in. I called you Profesor of new generation. Great job,Sir.
@robertmwaigaga
@robertmwaigaga 3 жыл бұрын
Shukran kwa maarifa kwa timu nzima ya Hard talk. Thanks you Dr. El & Lilian
@naomibildad509
@naomibildad509 Жыл бұрын
Hiki kipindi kinanibariki mno Mungu awatunze sana. Hongera sana Lillian nakufuatilia mamii, Kuna kitu kikubwa sana cha kiMungu nimejifunza kwa huyu dr kipitia haya mazungumzo Lilly. Barikiwa sana.
@jessymalembeka6181
@jessymalembeka6181 2 жыл бұрын
huyu Dr ni hatariii anajua vitu sanaaaaaaa.thanks
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 2 жыл бұрын
Asante mtumishi.
@markkenneth3937
@markkenneth3937 2 жыл бұрын
Good job sir Nina jifunza mengi
@samwelngowi2857
@samwelngowi2857 2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Doctor, maswali nliyo nayo napata majibu nkirudia kuskliza. You man you are so potencial
@firdausfofofirdausfirdaus4040
@firdausfofofirdausfirdaus4040 3 жыл бұрын
Hk kipindi kina nichanua kweli thanks all
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 жыл бұрын
Thanks for the knowledge u share doctor God keep on blessing u on a Good work Ypy do keep on empowering and bring the light in out life watching this from overseas ❤❤❤🔥🔥🥰🥰🥰
@priscillaamossen8249
@priscillaamossen8249 2 жыл бұрын
I love and admire this woman ❤️
@salhakristina9434
@salhakristina9434 3 жыл бұрын
Asante sana kwa maada zuri imenisongeza sana kiimani
@dominahalex9516
@dominahalex9516 2 жыл бұрын
Ni kweli mtu mwema ni yule anayekuwazia mema na sio kufanya mambo mema 😃😃😃😃
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 жыл бұрын
Lilian mwasha and doc eli the best combination and much wisdom and such a great knowledge you share out here
@joycehiza3842
@joycehiza3842 2 жыл бұрын
I learn something
@sfcompany2191
@sfcompany2191 2 жыл бұрын
Be Blessed
@aminakibangu9174
@aminakibangu9174 2 жыл бұрын
Asante dr
@thinkerabu-haidary4007
@thinkerabu-haidary4007 3 жыл бұрын
Great philosophy.
@faridahshabani9429
@faridahshabani9429 2 жыл бұрын
THE BEST TOOK EVER....
@belindakweka1779
@belindakweka1779 2 жыл бұрын
Oh My God...this man is so spiritual
@samwelngowi2857
@samwelngowi2857 2 жыл бұрын
Sure
@christinachriss9231
@christinachriss9231 3 жыл бұрын
Hivyo eee nimeelewa asante doctor
@judytombo4811
@judytombo4811 2 жыл бұрын
Thnks Wise words
@queenlinda255
@queenlinda255 2 жыл бұрын
Dr Elli anasikiliza kwa makini sana
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 2 жыл бұрын
Shukran 🙏 🙏 🙏 🙏 sana
@evefluffy5177
@evefluffy5177 2 жыл бұрын
Nakupenda sana Lilian
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 2 жыл бұрын
Mada Nzuri saaaaana nawafurahia
@emmatryphone6921
@emmatryphone6921 2 жыл бұрын
This is Dr. Elly. Bravo
@bupeasajile308
@bupeasajile308 2 жыл бұрын
Real hard in one side but real soft in another side. All in all God Bless you Hard Talk Team. I understand you Doctor"
@mgallason...5686
@mgallason...5686 3 жыл бұрын
Wooowh! This is aeesome. I love you guys!
@salumluhende2823
@salumluhende2823 2 жыл бұрын
Was a nice talk and I learnt a lot from Dr
@yusraally6732
@yusraally6732 2 жыл бұрын
Asante liliane
@neemamassawe8091
@neemamassawe8091 3 жыл бұрын
Mungu awabariki watumish wa Mungu ! Mnakitu cha tofaut ndan yenu!
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 3 жыл бұрын
Thanx my dear❤🔥
@babyhamisi1437
@babyhamisi1437 2 жыл бұрын
Soo happy to see him again,soo spiritual, soo genius
@floramlowe7078
@floramlowe7078 3 жыл бұрын
Dada nimeipenda hii topiki nakupenda sana unamaono ya mbali sana na hii inatuhusu wanawake.
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Lilian tuko wengi usijali Tupo imaraa
@thomasmgongolwa5155
@thomasmgongolwa5155 2 жыл бұрын
GOD bless you my dear
@irenel1494
@irenel1494 2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa sana🙏
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 2 жыл бұрын
Wooooooow m'trully happy for this..chuki ipo kwa unaempenda..absolutely YES!!!!!!
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 2 жыл бұрын
Manshallah nimekuelea🧏‍♀️🙏
@annaelmwamwaja9893
@annaelmwamwaja9893 2 жыл бұрын
Thanks God, nimepona
@happyseverini
@happyseverini 2 жыл бұрын
the bible says, enyi wanaume wapendeni wake zanu,hii imekaaje da mwasha hapo doctor anaposema hakuna kupendwa?
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 3 жыл бұрын
Dr Eli akili kubwa Sana ww
@rasmbegu
@rasmbegu 2 жыл бұрын
My dada akuna tatizo kutoa kama unatoa bila sababu kuna mtu anaweza kua anatoa ila ukitazama kwa undani anatoa kwasababu anahisi kama hana kigezo chakumfanya aliyenae ampende iyo ni akili ya unyonge ilo ni tatizo
@maigajohn702
@maigajohn702 3 жыл бұрын
Dr Elia namkubali Sana kipindi Cha cliurds tv chomoza very nice
@paltenkaprima3968
@paltenkaprima3968 2 жыл бұрын
Siyo cliurds Ni Clouds Tv
@abednegomafuluka4625
@abednegomafuluka4625 3 жыл бұрын
Ningeshauri mtumie kiswahili moja kwa moja ili kuwafikia walio wengi kuliko mnavyochanganya na kizungu.. Namwelewa sana Dr huyo.
@mariasenzighe5395
@mariasenzighe5395 2 жыл бұрын
Oooh umenifundisha hasaaaa😊😊
@neymseluka2077
@neymseluka2077 3 жыл бұрын
Somo zuri sana
@ndikumasabodiegovevo9091
@ndikumasabodiegovevo9091 2 жыл бұрын
Na Mimi ni ivo kweli yani sija wayi kupewa pesa na Mwaume ila Mimi njoo Mina towaka pesa za kila kitu kwa Mwanaume ata awenazo njoo ivo na Mimi Mungu tu njoo nikicha achiya kweli
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 жыл бұрын
Mtangazaji kichwa ngumu haelewi😂😂😂😂
@adelmarcymallya772
@adelmarcymallya772 2 жыл бұрын
Anza channel yako unatuchanganyaa
@mwakamtungirehi4773
@mwakamtungirehi4773 2 жыл бұрын
Dr. Una akili mingi sana
@georginakanje8879
@georginakanje8879 2 жыл бұрын
Nice point😘
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu..,nimepata Amani ya moyo ghafla. My husband is like what are you doing today witch😂😂😂
@katushabedotto2883
@katushabedotto2883 Жыл бұрын
Swali hili nikama mumeniona mm Yani natoa lakin mm awanipi lakini hua nasema mungu yupo najua ipo siku moja nitapewa t
@hamisimsangi8274
@hamisimsangi8274 2 жыл бұрын
Lilian unamkatisha Sana doctor alafu punguza kingereza
@SofiaKipanta
@SofiaKipanta 2 жыл бұрын
Napenda Dr Elly anavosikiliza na kujibu🥰🥰 Ila for my man i have to recieve 😆😆
@georgekweyamba4454
@georgekweyamba4454 3 жыл бұрын
Nakipenda hiki kipindi
@josejoe8455
@josejoe8455 2 жыл бұрын
Waoooo
@rosemarsel3731
@rosemarsel3731 2 жыл бұрын
Waoooh🙏🙏
@somoeally9592
@somoeally9592 3 жыл бұрын
Kwani kahama wasafi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Hard tolk.., hard talk, sijaelewa lakini tuendelee
@edwinm.masong1729
@edwinm.masong1729 3 жыл бұрын
06.06.2021
@jamesobedy3940
@jamesobedy3940 2 жыл бұрын
Daaaaaah 🤔
@abdulrahmanpaskalina7627
@abdulrahmanpaskalina7627 2 жыл бұрын
🤔❤❤❤
@salimomarmkapa
@salimomarmkapa 2 жыл бұрын
Duuh. Hard talk kweli and really hard. Aise Dr amenimafanya nielimike kwakweli maana mambo mengi tunayapeleka ndivyo sivyo. Maneno mawili yenye hekima na busara kutoka kwa Dr. Panapotoka uchafu ndo pana utamu, afu ukipenda unakula na kinachopendwa kinaliwa duh.
@chrislacarin4332
@chrislacarin4332 Жыл бұрын
wanawake wengine wame ishi kauli za nabii hana heshima kwao wanaume wengi wana ishi hivyo chanzo chawengi ni wanawake zao
@chancekambale3498
@chancekambale3498 2 жыл бұрын
Wenye akili wame jifunja
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🙏
@salviusbasil5334
@salviusbasil5334 2 жыл бұрын
you are very good 👍👏
@moseshandsam1865
@moseshandsam1865 2 жыл бұрын
❤❤❤❤❤🌍🙏
@maryschroeder521
@maryschroeder521 3 жыл бұрын
Amazing 🤯
@victoriajohn7893
@victoriajohn7893 2 жыл бұрын
Mimi pia na hii shida dada lilian
@rosejoseph5502
@rosejoseph5502 3 жыл бұрын
Naomba Dr. afafanue kivipi unamchukia unayempenda?
@abrahammisanti8557
@abrahammisanti8557 2 жыл бұрын
Sehemu ya Utamu ndiko uchafu unapotokea 💥💥💥💥
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 3 жыл бұрын
Lilian ndugu yangu huyu Dr katumia psychology kukufunga bao la mkono
@SofiaKipanta
@SofiaKipanta 2 жыл бұрын
😂😂😂
@mwanahawamohammed8540
@mwanahawamohammed8540 2 жыл бұрын
Yaani haingii akilini kuwa mtu anakuzalisha/mke halafu huduma anatoa kwa hawara eti wewe mke ndio anakupenda zaidi. Ndio maana wanawake wa ndoa wanahangaika kulea watoto peke yao wakikopa huku na kule wakati mume anagawa na kumwaga pesa kwa mchepuko. Yaani nimeamini kuwa kusoma sana nako kuna tatizo la kufahamu mambo na kubabaisha watu kuwafanya mbumbumbu.
@SaraSara-zj3sj
@SaraSara-zj3sj 3 жыл бұрын
Dr. asant
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Nimeona leo nimefurai,ivi nyie ni binadamu wa kawaida?!! Nani aliewazaa? Mbona mnatuacha taabani mko imala Kama yesu!
@anniemfaume9756
@anniemfaume9756 2 жыл бұрын
Ni KZbin tuuu wasafi Veep Dada lili
@NS-ru1yf
@NS-ru1yf 2 жыл бұрын
Huyu ni kaka y'ako buana Lilly
@brownmgidange5201
@brownmgidange5201 3 жыл бұрын
Tumia kiswahili
@lydialesson6446
@lydialesson6446 2 жыл бұрын
Jamani nahitaji namba ya Dr. Elie, please alienae.anaweza.nisaidia
@amriyalibent8441
@amriyalibent8441 3 жыл бұрын
Hawatunukiwi bure hao
@navoneiwamgonja1251
@navoneiwamgonja1251 2 жыл бұрын
Usifurahi mpk ujue wewe unafanya nini
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Pointed
@stevenngaitv7001
@stevenngaitv7001 3 жыл бұрын
Kwa hiyo hujui Ni kwa Nini wenzako Wana pewa halafu wewe una toa!
@omariathuman9998
@omariathuman9998 2 жыл бұрын
mbona kama kipind mmecopy hardtalk ya bbc
@alexdukes5547
@alexdukes5547 2 жыл бұрын
Nyie ndo mlikuwa mnafeli darasani yaan humelewi tu hadi unasema amecoppy bbc?
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 3 жыл бұрын
Lili Dada vingereza
@badilikakijana4032
@badilikakijana4032 2 жыл бұрын
Utamu unatk uchafu unapotokea
@gretagonga2966
@gretagonga2966 3 жыл бұрын
Women matters iliishia wapi? 😔
@asamsam5608
@asamsam5608 3 жыл бұрын
Sijui kwann wamekiacha kile kipindi
@richardmwabe8065
@richardmwabe8065 2 жыл бұрын
Kwasababu mwenye kipindi kahama station aliyokua anafanyia hicho kipindi
@khamisihaji2905
@khamisihaji2905 3 жыл бұрын
Mapenzi sio pesa na pia km unataka utuniwa ni tatizo dongo toa TIGO uone utapata nini lkn nyerere alisema uchumi unao lkn unaukalia.
@prettyinpink6699
@prettyinpink6699 3 жыл бұрын
Nimecheka Hatari
@husseinsaid9007
@husseinsaid9007 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣hatar kwli
@amriyalibent8441
@amriyalibent8441 3 жыл бұрын
Hahahaha uchumi unao lkn umeukalia
@fridabernadette6872
@fridabernadette6872 2 жыл бұрын
Khamis kwann lakini😂😂😂😂😂
@paulinaswalehe5298
@paulinaswalehe5298 2 жыл бұрын
Nimekusomaa doctor
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,8 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 13 МЛН
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
"Mawazo" Sehemu Ya 59 (Thoughts) Dr Elie VD.Waminia.
30:32
Chomoza Tv
Рет қаралды 6 М.
Somo "Akili" Sehemu Ya 18 Dr. Elie V.D Waminian.
25:14
Chomoza Tv
Рет қаралды 13 М.
Универ. 10 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:04:59
Комедии 2023
Рет қаралды 2,8 МЛН