Yaani mwanangu unampatia kweli mtangazaji anataka kukutengenezea Kiki unamtolea nje. Na unajua kujielezea nimekupenda Merry wa jua Kali uko vizuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Nakupenda coletha❤❤❤❤❤ww muigzaji bora
@tonykonki143724 күн бұрын
A cha wewe wema twamkumbari sana hata wewe huko kwa jua kali huonekani .
@NeemaSendeuАй бұрын
Nakupenda coleta umejibu vyema
@VanessaMwanduАй бұрын
Umesema kweli Kemmy, Thea na Monalisa wanajua sana umemsahau Mariam Ismail Upande wa Kanumba hilo halipingiki jamaa alipambana nyie mpo mpo tu
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Nimeipenda hili jibu "Mmecrem tu" ila wako watu wanapiga kazi na hawana skendo
@janifajani8875Ай бұрын
Yani ww ndomm yani kutembea na kijana mdogo sipendi
@user-fx7ig1uy6tАй бұрын
Huyu nae anamdomo sihaba😂😂😂😂
@user-pw2sw1sk1bАй бұрын
Mnooo.anamdomo huyu dada 😅😅😅
@souvenirweber7169Ай бұрын
Ni ukweli 100% mwandishi hajitambui hajui umaarufu na utendaji kazi
@khadijasaleh89828 күн бұрын
Umeongeya vizuri mno
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
Hapo kwenye kuanza kujikubali ww kwanza ndiyo umkubali mwingine umezingua unatakiwa uwakubali watu ili uone mapungufu yako
@KhairatAljabryАй бұрын
Nakupenda we dadaaa sanaaa
@RehemaOmary-ny4oeАй бұрын
Hana lolote huyo bibi
@pyelesyamwakatika540Ай бұрын
Merry nakuelewa tokea kitamboo
@khadijatirionaire2510Ай бұрын
Nakupendaga mnoo
@dorislema2465Ай бұрын
Wivu tuu
@hopefully7090Ай бұрын
Kweli wema lazima aongelewe kwa vyovyote vile.
@dorahtwaha3574Ай бұрын
Asante sana dada angu nakupenda sana unajua sana
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
Colleta una akili sana unajibu vizur sana.akili nyingi kichwani.safi kwa majibu mazur
@ashaali7154Ай бұрын
Huna lolote una roho ya korosho tu hata kujulikana hujulikani na ni kwa ajili ya chuki .
@pyelesyamwakatika540Ай бұрын
mh hajulikani huyu kaenda wewe wa juzi ndio maana
@MarianaMartin-rr7nxАй бұрын
Coletha umri umekutupa mkono sasa ni gazeti la jioni kabisa
@ninayamat8213Ай бұрын
😅😂😂😂😂😂😂😂😂eti gazeti la jioni😂😂😂
@user-mi7cd8ch1bАй бұрын
😂😂😂😂nimeipenda hii kwann nisikupge tuonekane nimekupga iyo safi sana sio Kila kitu mapenzi
@tabuomary1016Ай бұрын
Wivu tu. Wewe kuongea na pia ndio kujua kuigiza. Muache Wema .
@berithaandersonn2234Ай бұрын
Kama hujamuelewa huwezi kumuelewa kabisaa
@alimwadima254Ай бұрын
Coletha yupo single huoni Raibow hiyo kwa T shirt 😂
@Zainab_salatАй бұрын
Ndo inamaanisha uko single😂😂😂😂😂
@alimwadima254Ай бұрын
@@Zainab_salat Yuko single Kwa Kuwa Hana Mwanaume ila ana Mwanamke mwenzie🤣🤣🤣...#LGBTQ #Upinde😆
@Zainab_salatАй бұрын
@@alimwadima254 jamani🤣🤣🤣🤣🤣 mm ninajua rainbow inamaanisha mashoga ndo maana nikakuliza
@alimwadima254Ай бұрын
@@Zainab_salat Rainbow ni mashoga/Wasagaji Huwezi Kuwa single wakati wanaume kibao/ Wanawake kibao...hivyo Bac km ni Mwanaume na upo single Bac ww ni Shoga na km ni Mwanamke na upo single Bac ww ni msagaji🤣🤣🤣 IPO wazi
@jade75798Ай бұрын
Ni vile tu hujapata kijana wa umri mdogo wa kukutongoza .usiseme hutaki mimi nilikuwa hivyo akatokea mbonge la hb limepanda mpaka nikamhug mwenyewe .sasa hivi ndio my boyfriend na tunapendana na nimemzidi miaka 11 na sisikii sioni .
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
Du
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
Du
@jade75798Ай бұрын
Habari ndio iyo na nina watoto watano na mtu mwingine.chezea love wewe
@user-bc3lh5ss6cАй бұрын
😂😂😂😂
@jacquelinemwakasala9563Ай бұрын
@@jade75798 yaan ww una watt watano lakini una huyo kijana ndio uko naye.were hongers kama vile zari alivyokuwa na diamond