Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
@fadhilsalum21432 ай бұрын
i like 👊👊👊
@lucianaligambasi2 ай бұрын
Amen
@MariamMasanja-kd3lm2 ай бұрын
Ameen
@MassoudAbdalla-v9g2 ай бұрын
Inshallah
@SimonAnton-uo1rr2 ай бұрын
Amen❤❤
@naliakafatuma98702 ай бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@saumbakar76432 ай бұрын
Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏
@amaniomar17552 ай бұрын
Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi
@NeemaValentina2 ай бұрын
Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club
@RashidKidume-w8e2 ай бұрын
Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini
@StivinMwaipaja-b9c2 ай бұрын
Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina
@apostleisaacnyika46692 ай бұрын
MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛
@magrethmakauki2352 ай бұрын
Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie
@josephatkibona28142 ай бұрын
Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤
@amaniandrew5342 ай бұрын
Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi
@AdyanMbuyu2 ай бұрын
comment ya kwanza piga like
@AmaniMwankili2 ай бұрын
Ume comment nini sasa
@fatmasuleiman38852 ай бұрын
Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉
@ziadamuhunzi62102 ай бұрын
Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah
@SethMpulule2 ай бұрын
Mungu awaongoze yanga yetu
@alfasilasi52862 ай бұрын
Nakubali chama langu💚💛💚💛
@nyagoonline79862 ай бұрын
💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko
@JuliusMnkondo-fk9kv2 ай бұрын
Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana
@AnnaChami-ew4cy2 ай бұрын
Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi
@mackford46982 ай бұрын
Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc
@JacksonFrances2 ай бұрын
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
@RajabuBojo-j2l2 ай бұрын
Like za jeshi apa 🤙
@YohanaMadaha-y8l2 ай бұрын
Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu
@DAUDIMNKONDYA-w6r2 ай бұрын
Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba
@BectMaridadi2 ай бұрын
Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja
@FaustinaMkama2 ай бұрын
Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu
@monicalucas37382 ай бұрын
Meneja wetu huyo🎉🎉🎉
@rukiakyaka18272 ай бұрын
Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah
@malick_jrzramadhan72982 ай бұрын
Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao
@abubakaliyahaya29682 ай бұрын
Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤
@AminaTanzania2 ай бұрын
Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga
@reginardmrl52832 ай бұрын
Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪
@ArafatAlly-b3n2 ай бұрын
Ikawe kheri ishaalla
@mussakefa24392 ай бұрын
Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚
@aminangano36352 ай бұрын
Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚
@feruzifeisaly-nh6ou2 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@habibumavulla2 ай бұрын
Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema Yanga Bingwa💛💚
@shaibusaady24202 ай бұрын
Allaah Akbar
@joelkamanda10132 ай бұрын
Tunawaombea sana kwa Mungu.
@DinnaSimion-g9z2 ай бұрын
Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania
@PatrickMalema-f9s2 ай бұрын
Mungu akabarik
@ronaldissack33382 ай бұрын
Mchezaji wangu max nzengeli yule pale
@MAJALIWAMASSANGA2 ай бұрын
All da best wananchi.
@sarangajohn93382 ай бұрын
Ongera mungu awabariki
@patrickndizeye21902 ай бұрын
Mambo fresh sana
@aminakhamis22762 ай бұрын
Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah
@B.M-ix4rz2 ай бұрын
Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu
@MossiSaadat2 ай бұрын
Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii
@ibrahimomary13862 ай бұрын
kuna watu hawataleta team
@GregoriRafael-je1sd2 ай бұрын
Munguu n mwema
@LeonardRuteangwa2 ай бұрын
Nawapenda sana wananchi ❤
@dominamushi71712 ай бұрын
Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏
@HawaAlznezbar2 ай бұрын
Allalh ataweka wepesi insha allalh
@shomarisangari-rt6le2 ай бұрын
Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa
@yosayocomedytz2 ай бұрын
💚💚💚
@simonwenceslaus37452 ай бұрын
Adi raha
@allyforodha23032 ай бұрын
Saf sna tim yangu pendwa
@omarymtotela37512 ай бұрын
Nakubali sana
@HajiTarimo2 ай бұрын
Vamos wananchi
@Alexismadimo2 ай бұрын
Mungu pamoj nasi
@MaryMichael-w1l2 ай бұрын
Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄
@thuwaibamkana96912 ай бұрын
M/mungu awatangulie
@AlexIsubila2 ай бұрын
nawakubali san wanajesh wa vita
@maestrokiss72452 ай бұрын
Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele
@mailulaamani2 ай бұрын
yanga bingwa
@MoajGraphics2 ай бұрын
Yanga Sc Bingwa 🔰
@RajabuBojo-j2l2 ай бұрын
Kuna watu wameenda kuzulula
@Gabriel-q7x1f2 ай бұрын
Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio
@salemarahbi91712 ай бұрын
Yanga bingwa 😅
@hamisiyangakozwe1472 ай бұрын
💪
@kassimomar75892 ай бұрын
Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi
@asiahamisi-lo5lw2 ай бұрын
❤❤❤
@JumaMngumba-1232 ай бұрын
kila la kheri wananch once again
@athumanishabani11432 ай бұрын
Mashaallah
@michaeljames4032 ай бұрын
Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika
@EliaMkumbo-wn7bm2 ай бұрын
Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie