JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@Georgemathiasi21 күн бұрын
poleni sana ndugu zangu
@daudisalum957426 күн бұрын
Daaah apumzike Kwa amani mitiii
@kanankirannko617425 күн бұрын
Hawa wafanya biashara mkiitwa nendeni na walinzi maana hali ya uchumi no ngumu sana au muajiri walinzi hii hali ikiendelea hivi in mbaya sana
@ImmanuelSenior26 күн бұрын
Sauti 🔥🔥
@yukundapeter820026 күн бұрын
Muwe mnafanya maombi ya kufa kwa hayo mashetani.
@saidhamza531826 күн бұрын
Hivi siku hiz uhai wa binadamu umekuwa hauna thamani kabisa..yaan mtu kutolewa roho imekuwa km kuchinja kuku tu...kwamba utaenda nunua kuku mwingine ufuge na kusahau kbs kwamba ulichinja kuku ..I see 😳