MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...

  Рет қаралды 30,125

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

MTANZANIA ALIYEPEWA KESI na BOSI WAKE OMANI - AJIKUTA KWENYE MIKONO HATARI ya 'AGENT' WANAOSAKWA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 524
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@SANJA0693
@SANJA0693 2 ай бұрын
mtafteni na agent hawa waongo sana madem 😂😂
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 2 ай бұрын
Global tafadhali muwe mnatuletea watu wenye shida na uhitaji kweli na si huyu dada, tafadhali muwe mnachuja watu KABLA hamjawaleta hewani.
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Kwahayo aloelezea ni kweri mm nilikuwepo ila muendelexo ndiyo nausubili na mm nipohuku huku na pambana Ajenti wetu mmoja ​@@SANJA0693
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Haswa huyo mdada jaman hapan Oman hakun asomfham kwa ukorof na kuwachamba watu😂😂😂😂😂😂
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@SANJA0693 kwaaliongeahapo kuhusu Ajenti nikweri mm nilikuanae pale ajentiwetu mmoja ilatu. Nasikiaaliolewa huku na babu kwakujitzmba sijuikimemkuta nini kurudi tz. Naalikua anauza mikirim huku
@hashilalkharusi4680
@hashilalkharusi4680 2 ай бұрын
Kinachoshangaza mkija Omani mnateswa sasa mnakuja kufata nini haaaa bakieni makwenu msichafue miji ya watu
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 2 ай бұрын
Yaani kwakweli hata aibu hatuja
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Sikilizenikwanza mjue anaitajinini msimlaumutu. Kwani. Wabaya si wote na waxuri siwote Dunianzima.
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 ай бұрын
😊😊😊😊😊 ata mtume kasema today ukatafute ww kama mwarabu usingejuwa kiswahili imeisha iyo
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 ай бұрын
Wabaya kote wapo kuna wabaya na wazuri ninamiaka uku lakini kwa mwarabu mswahili sitaki
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@HanifaOman-oo4plyanajiropokea tu
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Cha ajabu anatamba anasema anataka kwend had kwa dida kuanika ubaya wa ubarozin eti watz walokuw Oman anaend kutusemea tunayopitia huku...TUMEKUTUMA????😂😂😂😂 mnaotoroka kwa maboss zenu ndio mnaotesekq sabb ya kwend kukaa magheto na kufny umalaya mbon tunaotulia kweny mikataba hatuna hizo mambo😂😂😂😂shame on you😂😂😂😂😂😂
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 ай бұрын
Una hasira na huyu kwani alikubebea mume uko au 😂😂😂😂? Acha kila mtu ajisemeee nafsi yake, kwani akijigamba ww kinakukeraa nn kwa mfano? Naww nenda kwa Didah ukatoa ushuhuda wa uzuri wa warabuuuu mpenz tuache chuki za ovyooo apo unajikuta mzawaaaa wa Oman
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
​@@dorcaskidoti249Kwanza ungelinyamaza tu maaan hyo unaesema hpa ana ndoa na muarabu. Aseme ukweli wke lakn si apange uwongo
@morjanoman5181
@morjanoman5181 2 ай бұрын
Pumbavuzake ana lolote mnafikitu amemaliza mkataba kwa jashola Meno eti nikitakakuogeza mkataba ukiona mwazo mambosio manzuri ludi kwenu sio kukimbilia ubarozi wakupe nini au mimba 😂😂😂 ukatabikenayo
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
@@morjanoman5181 angalia part,3
@morjanoman5181
@morjanoman5181 2 ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i poa
@rahmangurupi2917
@rahmangurupi2917 2 ай бұрын
malaya tena fisadi mkubwa huyu kama alikuja kufanya umalaya hayo yaliomkuta ni madaogo mnafiki mkubwa domo lomekishuka kwa unafik na limi limekupolomoka kwa uongo mbwa wewe acha kuongelea mambo yasiokuepo unatafuta kk vua chupi utembee uchi utakua maarufu nyoozako uso umekupaukaaa kwa uwongo
@b52saif96
@b52saif96 2 ай бұрын
Ukimsikiliza tu unajua shida ipo wapi, naona hata reporter amekuwa confused. Story haina mwanzo wala mwisho
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 ай бұрын
Huyu dada ukimsikiliza ni pumba tu na ni mswahili mno
@Ashsultana
@Ashsultana 2 ай бұрын
Nchi za watu ukienda hakikisha unafata kilichokupeleka, ikitokea mmepishana tu na kilichokupeleka, mateso ndo huanza, hivyo tamaa wakati mwengine si ya kufuata Na wengi wanatoka kwenye maboss walio na mikataba nao kwa kufuata au kusikiliza maneno ya walioko nje kuwa huku kunamshahara mkubwa
@user-wm1ly8qb8j
@user-wm1ly8qb8j 2 ай бұрын
wee sematu upwiruuu ulikuzidi acha kutuharibia wenzako 🤐
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Mwandishi nitafute dm nikupe habari njema huyu dada mnafiki
@RahimaShaik-hk7rb
@RahimaShaik-hk7rb 2 ай бұрын
🤣🤣
@SaidiCharahani
@SaidiCharahani Ай бұрын
Dada yangu@zainabumartin9520 Comment zako zote, anaekuja kufanyiwa maojiano razima umtukane au umtoe makosa nakujifanya unamjua, sio vizur iki kipindi sio chakiuni uni, kira anaekuja Global tv, razima afanyiwe uchunguzi
@abdulwahidalismaili8836
@abdulwahidalismaili8836 2 ай бұрын
Huyo ana matatizo mengi sana na muongo.
@user-vj1ek5us4r
@user-vj1ek5us4r 2 ай бұрын
Wew sindoulokuwa ukijishauwa ulipochukuliwa mzig ukajirikod inahashukw ww usituharibie jiongelee pek yak sis tupo tunasak rial ww tafut umaaruf 😂
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Huyu inatakiwa kupelekwa police akahojiwe vzuri tumewachoka watu kama hawa tena kwasasa anae sema omn wanateswa kuna kamati tunaiunda sisi viongozi waaze kukamatwa ukishindwa wewe wezio wanaweza
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 2 ай бұрын
Dada Mkubwa umebarikiwa, umeshafika home Allahamdulilah
@user-vj1ek5us4r
@user-vj1ek5us4r 2 ай бұрын
Poroja sis tunapig kaz tunainhiz kila mwez😂😂😂
@khamisshee803
@khamisshee803 2 ай бұрын
Pole Sana dadangu hata mm Niko uwarabuni NI kweli anacho sima sister AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 ай бұрын
Kama kweli hamna kheri hata kidogo mpaka mchanga wa kaburi. Omani mmefungiwa viza kwa mambo yenu ya uongo na kutukana wenzenu. Balozi pia wamemichoka wanaofanya kazi Vizuri wamejenga kwao sio nyinyi wambea mnayosema uongo. Bibi usidanganyike wenzako kivipi upate ajeti mpya bila kupelekwa police. Nakama kweli ulipata tabu vipi unataka kurudi. Viza brock
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Wamama wazima miziwa mpaka kitovuni hukute niwake zawatu hafu wamelewa kaka hawa musiwahoji nimalaya hua wanajua omn ukifika kulalatu kumbe nikufanya kazi
@aminaabdulghanim8256
@aminaabdulghanim8256 2 ай бұрын
Pole mama Allah akuhifadhi.
@rayaabdul-gm3hc
@rayaabdul-gm3hc 2 ай бұрын
Kaka sisi wenyewe .wafanyakazi ndio wakorofi..wewe umekuja kufanya kazi za ndani ..unafika huku unaharibu ndoa za watu .yani mijitu kama hiii wapo wengi oman ..yakiwakuta .wanasema .ohoo.bosi kanipiga.bosi kanimwagia maji ya moto..uwongo tu .muache umalaya wenu .huko huko tz
@Shuu.A
@Shuu.A 2 ай бұрын
Huyu bibi jisura lake tu linaosha la uongo na la kichawi unazuwa tu kwani alikwita aende kule nani mjinga tu
@user-wm1ly8qb8j
@user-wm1ly8qb8j 2 ай бұрын
Oman hamuna mateso huyo anataka 2 sifa mitandaoni iliajulikane mushenzi sana nakomwe lake kama la mangekimambi
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
Mjengoni ndo ulikuwa ukijiuza Mungu akushinde Kwa kusema uongo mtupu
@salmafrancis6689
@salmafrancis6689 2 ай бұрын
Pole zanini far kumbe umesharud bongo pole sana
@omantimes9699
@omantimes9699 2 ай бұрын
Wewe Dada Acha uwongo utafanya tufungiwe Kwenda Omani tunalisha family Natunajenga Kama ulikutana Namshashi Mbaya niwewe Ebu Tuache Tufanye Kaz Mashaara Milioni Kwa Mwenyewe Tz Tutaipata wapi Kidhaba Mkubwa wewe
@kilungumsabaha3891
@kilungumsabaha3891 2 ай бұрын
Aweeeeeh mzaramo wangu pole mpambanaji mwenzetu tupo Pamoja!
@GharibAlrasdy
@GharibAlrasdy 2 ай бұрын
Huyo muongo namjuwa vizuri sana na Ana haribu ndowa za watu na mchawi mkubwa
@Shuu.A
@Shuu.A 2 ай бұрын
Kwanza upemba si kabila pumbavu huyu
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 2 ай бұрын
Kwel kabisa me nimeon sehem hap kwenye vissa 😂😂😂 me sio mgen hap ndo nimeona muong na unga wake aliojimwqgia uso kma tope😂😂😂
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 2 ай бұрын
Hamna fadhila wala shukran kazi zenu hizo kuchafua nchi za watu
@ashuraramadhani1943
@ashuraramadhani1943 2 ай бұрын
Sasa wanawafadhili nini wkt mnanyanyasika
@AminaSendekwa
@AminaSendekwa 2 ай бұрын
Mimi ni mtanzania ila watu wako tofaut hivyo asizungumzie wingi awake umoja katika historia yake
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e 2 ай бұрын
Sadakta
@user-wm1ly8qb8j
@user-wm1ly8qb8j 2 ай бұрын
ngoja nilicheke kwanza hili limalaya la mbagala 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-zx1og2uj8b
@user-zx1og2uj8b 2 ай бұрын
Sorry sorry my iron lady am still here in oman because of you you are the one who you were encouraged me when was in difficulties times in oman be blessed my sweetheart
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Then the are people who bring hatred to the truth.
@flowerqq1280
@flowerqq1280 2 ай бұрын
Dah pole sana zanin
@user-tq5di6mv9c
@user-tq5di6mv9c 2 ай бұрын
Mm nilikuja mwaka huo nampaka leo nipo 😅😅oman oyeeeeeee
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 ай бұрын
Na mm yaan cjarud hata bongo
@zainabchumu8559
@zainabchumu8559 2 ай бұрын
Na mimi mwaka huohuo nimebadilisha boss lkn home sijarudi
@user-tq5di6mv9c
@user-tq5di6mv9c 2 ай бұрын
@@zainabchumu8559 mm sasa sijabadiliaha hata nyumba navyoogopa nimetulia hapa
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@zainabchumu8559wajina nenda kasalimie
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e 2 ай бұрын
Oyeeee
@Dafetty
@Dafetty 2 ай бұрын
Kama na wew umesikia anasiku 3 tu toka atoke Omwan gonga like apa tuendelee na kipnd 😂😂😂
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂sema mapenzi yamekushinda usipige zogo na pia umependeza shukuru
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Punguza chuki ufanikiwe ukizembea unaenda kufa na umaskini wako 🥴
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@faumarley5707😅umeniwahi vijitu vingine vinaropokwa kwa kuwa havijapatwa na matatizo
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
Ungeliskia matus aliyonayo huyu mwanamke na hpo anapolia ndio utamjua alivo
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
@@user-dx6dm6lh1i af atukani uyo anahofu kubwa ya mungu sio kama wwe mnafki mnafki
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
@@faumarley5707 hofu ya mungu na zle voice zinazosambaa ni nan kwanza ww ndio hyo mwenyewe watu wameshakujua
@SaidiCharahani
@SaidiCharahani Ай бұрын
Kwenye maisha kunachangamoto, wewe nimwanamke mpambanaji, usikate tamaa kwamaneno yawatu , mungu ndio kirakitu, mungu atafanya wepesi utarudi kwa mumeo
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Wapo wa mama wanne yani wanavuta sigara huku wana chokonowana wanagombea mwanaume mmoja jaman semeni hiyo nihaki wale wanapo kosanatu kidogo na boss wake wanatoroka wanaenda kupanga mageto wanachukua waume zawatu wewe umepelekwa kufanya kazi au kufanya umalaya tuwe tunajiuliza ndugu zangu tunao fanya kazi tumetulia wale wamagetoni ndo wanatuhalibia
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Acheni kushashadia mambo musoyajua anae teseka asiende ugaibuni tuacheni sisi tufanye kazi malaya ndo huhalibu nchi zawenzao mtu kajichubua hivo unategemea kunamfanya kazi hapo acheni ujinga mimi nimekaa omn miaka 7 changamoto zipo natu nazipitia lkn tuna angalia maokoto maokoto
@user-jr3mo3je3k
@user-jr3mo3je3k 2 ай бұрын
Mzunguko mrefuuuuu point no😮 sijaelewa chochote yaan....
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Apo uwezi kuelewa mpaka uwe na A mbili
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 2 ай бұрын
😂😂😂😂 sijaelewa anataka nn
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 2 ай бұрын
​@@faumarley5707😂😂😂😂😂😂
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
@@auntmakochela4202 utaelewa tu sibado upo
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@faumarley5707hayajamfika ataelewa nn😅
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 ай бұрын
Pole tupo pamoja zanini ❤❤❤
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 ай бұрын
Uongo mtupu subhanallah halafu mwataka kuja jamani msiharibie wenzenu
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Aongope ili apate afaida gani kwa vile wwe muongo unazani kila mtu na weza kuongopaa,uo ndo ukweli tulia subili party 2 ili uelewe vizur
@MissabubakarMhina
@MissabubakarMhina 2 ай бұрын
Kweli asituharibiye kabisa
@HabibaHussein-vb1ir
@HabibaHussein-vb1ir 2 ай бұрын
Unaujua uongo wake km haumjui nyamaza sie tunaejua tunaelewa nn kimetokea
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
@@HabibaHussein-vb1ir ujui kitu tulia wanao jua na wana uwezo wa walumbano wamenyama usijifanye unamjua kumbe ujui chochote tenaa ujui kitu tulia kama una nyolewaa kipala
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@faumarley5707siku yakimkuta atajua huyu dada anamaanisha nn
@user-ds5tf9xx1d
@user-ds5tf9xx1d 2 ай бұрын
Ushafika home aza upya maisha popote ndugu yng ukiona mpk umeshindwa kwenda tena omani kwa huyo mumeo jua kabisa sio ridhiki yako
@AishaJuma-yu6yq
@AishaJuma-yu6yq 2 ай бұрын
Pole sana zanini.undg wangu..lkn sikihiz block hazina nguvu...kaaa mwez tu kama unahitaji kurud rud ru mama hakuna kipingamiz...na waliataka kukomoaaaaa sana
@MissabubakarMhina
@MissabubakarMhina 2 ай бұрын
Anarudi kufata nini wakati kunamateso
@esthermnzava828
@esthermnzava828 2 ай бұрын
La l
@bibiejuma5094
@bibiejuma5094 2 ай бұрын
Mimi nauliza swali huyu si aliolewa na mwarabu ata miezi mitatu bado ndoa iyo vipi tamaa mbele mauti nyuma
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Tulia uangalie muendelezo af njoo sawa usihemkwee tuu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707WATU WANAMJUWA USIKAE KUTETEA UJINGA FALA WEWE.
@christaoman8890
@christaoman8890 2 ай бұрын
Wadada wasiotulia kwa mabosi zao ndio wanaoteseka wanataka pesa nyingi za nje na ndio zinazowaponza wanajikura wamefiiika poleni sana
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e 2 ай бұрын
We usimalize maneno hakuna mtu anataka kuhangaika funika kombe mwanaharam apite omba mungu ivoivo apo ulipo uishi kwa amani ndio lakuomba
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 ай бұрын
Pole sana udugu wangu
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 2 ай бұрын
Hamkulazimishwa kuja oman msichafue nchi ya watu
@user-rl5qu4zj9b
@user-rl5qu4zj9b 2 ай бұрын
Acha kujitoa ufaham ukishawahi kuona wao wanaokuja kwetu wanafanyiwa vitu vibaya tulia huko kama huwez kuwa namaneno yahekima
@ayoubmwamwaja
@ayoubmwamwaja 2 ай бұрын
Mkisha pewa majina ya walabu Bax nanyie mnajikuta walabu koko kiasi kwamba mpo tayari kusimama kama machawa pare wanapo halibu mbwa nyie
@user-jl4xl3xn8u
@user-jl4xl3xn8u 2 ай бұрын
Mkija kufanya kaz fanyen kazi achen tamaa yakiwashinda mnalaumu pole
@FatimahMohammed-dp6pn
@FatimahMohammed-dp6pn 2 ай бұрын
Muongo kwa mwaka huo uliyokuja mshaara ulikua stini sabini mbaka tisini mzoefu tisini mbak mia usiongopee watu miaka hii yakaribuni ndia mia ishilini kwenda mbele kwa mzoefu
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Na yye kazungumzia alipo maliza mkataba mwaka 2021 usiseme muongo elewaa kwanzaa
@user-fo5ii9tl3g
@user-fo5ii9tl3g 2 ай бұрын
Mm ni. Nimekuja 2018na mkatb ulisema 80 na ndo nilianza na hiyo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707NAKUONA UNAPINGANA NA WATU WENGI VP HAO WOTE WANA CHUKI NAE?? AU
@LeylatHemed-bb9di
@LeylatHemed-bb9di 2 ай бұрын
Udugu adi interview 😊atar sna nimekumis ludi oman bn❤🎉
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉 Simjui illa nimempendaaaaa
@MohamedOmari-wb4oy
@MohamedOmari-wb4oy 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 ай бұрын
Hawa wanarogana wakifika nje ya Africa ndio wanarushiana mikosi kisha wanasema kuna mateso ughaibuni
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Cjui nicheke ana vip kifup kimekuramba 😂😂😂😂
@user-uq2zm2mi6s
@user-uq2zm2mi6s 2 ай бұрын
Dyadyaaah mbaya weuweeeeeee 😂😂😂😂😂😂😂
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
​@@user-uq2zm2mi6swho are you my wang😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Roho zaifuu ndomana utoki na usipo badiriaka umaskini unaenda kukutesa adi uzeeeni kwako
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 2 ай бұрын
Wanaocoment ujinga hawamjui vizur huyu mdada
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 2 ай бұрын
Muwongo huyo anaongea uwongo katoroka kwa boss wake tunamjuwa kila kitu wakishafika nchi za kiarabu
@hafsa05adil32
@hafsa05adil32 2 ай бұрын
Umenishindaaa tabiyaa
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 2 ай бұрын
Pole sana Dada angu ❤️
@Official83640
@Official83640 2 ай бұрын
Kimekucha huku jaman Team Strong mukuje mukuje Mama kakaribishwa mjengo mpya watorokaji mtajiju🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 2 ай бұрын
Tupoo
@shakiraissa2874
@shakiraissa2874 2 ай бұрын
Sasa kama unasema hivyo unawaongelea wenzako vby na bado unataka kwenda unahangaika kuomba tena visa acha ufisadi . Wewe dada uliolewa na úkawa unajitamba uwanja ulikuwa wako ahahah weeee embu tupishe ulivofumwa sasa hivi unasema ooh ulitupwa jela jela ya nyooo
@bikeymmaka2589
@bikeymmaka2589 2 ай бұрын
N kweli uy alijion kafikia wangapi Wana olewa ila hawakufany Kam yy
@SANJA0693
@SANJA0693 2 ай бұрын
ilikuaje nilisikia aliolewa leo namuona bongo😂😂😂
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Umetumwa eeeh we umekatazwa kujigamba ovyoooo
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
​@@bikeymmaka2589kajiona kafika au wwe ndo ulikua unamuona kafika wivu tuuuu na roho mbayaa
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Mm nacheka tu kungekuw na option ya kupost picha ningewatumia picha zake za harus 😂😂😂😂😂😂
@maryamshija566
@maryamshija566 2 ай бұрын
kazi ambao siiwezi ni.kutoroka kwa Boss
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Hayajakukuta kaakimya
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
C ndo nyie wazeee wa kubuluzwaa kama mizoga
@MamaMama-xp4nk
@MamaMama-xp4nk 2 ай бұрын
​@@HanifaOman-oo4pl😅😅kabisa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 ай бұрын
​@@faumarley5707😅jamn sasa tuki toroka.. Passport je mi nawaza had na umwa 😢😢
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707BASI YUPO KWAO SASA HATABURUZWA TENA
@user-kc9pg1sf5p
@user-kc9pg1sf5p 2 ай бұрын
Mkwe wangu wee MZARAMO HALIS MUKE YA MUSHASHI❤❤
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Mshashi yupi?????? Watu mnapend kukuza mambo
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
​@@usher_bambi9413wwe ndo kama ujui ulizaaa uambiwee
@user-sq6mw4yf2v
@user-sq6mw4yf2v 2 ай бұрын
​@@usher_bambi9413mwanasheria sijapenda 😅😅😅😅😅😅
@UmmyAliy
@UmmyAliy 2 ай бұрын
Jaman acheni maneno makali kwa mwezenu kila mtu ana matatizo yake kama halija kukuta ww bas sema alhamdulilah so kwa kumsakata mwezenu kwa uzushi na kumtukana mujielewe bwana mbona munapenda unafiki yie kama huwezi comment tulia tu punguzen jaman unafiki na yy binadamu anaogea yalio mkuta ulikuwepo unapo muogelea kuweni na adabu haiuzwi
@user-eb8cj9zs6c
@user-eb8cj9zs6c 2 ай бұрын
Nyooooooo 120 mpka 150 kwa lipi ulikuwa nalo? We umenunuliwa mnawahoji hao mnaowapa pesa....we unaenda obalozi wakati ulipita njia za panya? Msiwachafulie wenzenu..we Rudi uendelee na maisha yetu tz
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 ай бұрын
GABI PLEASE TUNAOMBA MUENDELEZO MAANA WENGINE TUMEKAA SANA UKO OMAN ZAID YA MIAK 6 so tuna experience sana nasubilia part tu ndio nije kikucomment vizul
@NaimahKhalifasalim
@NaimahKhalifasalim 2 ай бұрын
MAKUBWA SIBULIOLEWA WW UKASEMA PICHA ZAKO ZISISAMBAZWE 😂😂😂😂
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
Kajisambaza😢
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Acha presha andika taratibuu tukuelewe af tukujibu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707SAWA KUWADI 😂😂😂
@prettynayally2177
@prettynayally2177 2 ай бұрын
Kwanza kusema kulifugwa kuja nchi zan kiarabu muogo 😂😂😂😂mbakuja njia za panya
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 ай бұрын
Magufuli alikataaa baada ya video kusambaa wtt wanateswa ughaibuni kote sio Oman tu, Kwahiyo lazima upitie south Africa nasio yeye tu watu wengi walipitiswa uko
@prettynayally2177
@prettynayally2177 2 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 sio kweli bwN mm naoge nikiwa middle east tuache kudanganyana bwana labda kama mnapitaga njia za panya 2019 nlikuw bongo ma nikapota hapo Airport na 2020 niakrudi na nikapita na 2022 nilikaja tena 2024 iddi nimekula tz nanapita hap hapo mbona sijawah zuiliwa nyy tatzo lenu mnadangaywa na kuoitishwa bila kujua mnakuja wapi huku
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 2 ай бұрын
Huyu anaonekana anamdomo na mjuwaji ndomana umeshindw na wamekushindwa .hata kama nimme atashindwa hapo pagumu .mbele yakulaumu mabos labda mjichunguze na nyiye tatizo lenu .
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 2 ай бұрын
😂😂😂
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
Jeur sio kidgaesana ty tunamjua huyu 😂😂
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Ndo mana mna buluzwa kwa kuogopa kuongea mtaonekana mna midomo na wajuaji una buluzwa leo adi kwa mungu uba buluziwa kwenye moto kwa ajili ya nizamu ya uoga
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
​@@Muslim-gs6rnimeeekuumaa eeh poleee ndo ukubwa uo itapoa
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
@@faumarley5707 mie iniume nini sasa umeelewa lakini
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg Ай бұрын
Poli dadangu mitehania tumiumbiwa ss binadamu mungu Yuko na ww
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 ай бұрын
Hayo majungu si mnayapeleka wenyewe waTz ndo kwa maana nchi nyingi watu wanaogopa midomo mirefu na roho mbaya ila kazi hampendi wavivu sana na wahuni
@peninashungu6633
@peninashungu6633 2 ай бұрын
Sio kwamba palifungwa Kuna vitu ulitakiwa ukamilishe kama mfanyakaz, Tanzania mpaka leo kama hauna vilivyokamilika uwezi kupita kwaiyo magumashi ya eirpot kwa dar miaka yote yapo
@OmanOman-fr5hl
@OmanOman-fr5hl 2 ай бұрын
Tangu lini mnapewa 120 huku mnanzGa rial 80
@user-fo5ii9tl3g
@user-fo5ii9tl3g 2 ай бұрын
We mkataba mpya 120 kwa Mtz msikariri maisha
@umsulaiman7468
@umsulaiman7468 2 ай бұрын
Wewe ulikuja kufanya umalaya sio Kazi za nyumbani nyie Malaya mumekuja danga mpaka mumekuwa mkiwashawishi wafanyakazi wengine wataifa jengine wala hawapewi mshahara 120 au 150 ww ulitoroka na huyo wakala ndo akikuwa akikuparamia acha uongo huna Jambo
@user-mr5yf1hp7t
@user-mr5yf1hp7t 2 ай бұрын
Pole dada wote tupo oman anaesema nimuongo allah atamlaani hayo nimagumu nikweli yatatokea
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 ай бұрын
Watu wanasema uongo kwa kuwa hayajawakuata naona
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
Ww ungelimjua vzr ungelinyamza maaan ana matus na hyu kaolewa huku oman
@erinestangowi7785
@erinestangowi7785 2 ай бұрын
Mbona siekewi kinacho ogelewa au mimi ndo sielewi
@usher_bambi9413
@usher_bambi9413 2 ай бұрын
Kifup haelewek manen meng😂😂😂😂
@erinestangowi7785
@erinestangowi7785 2 ай бұрын
@@usher_bambi9413 Huyo kayatimba leo mashaghala watamchamba hatari maana hallikuwa hodari uku kuchamba watu sasa zamu yake imefika
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
​@@usher_bambi9413 kichwan kukiwa amana kitu uwezi kumuelewaaa,umelala Usingizi wa pono wwe
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 ай бұрын
Haswa
@sabrahnibuka1211
@sabrahnibuka1211 2 ай бұрын
Daah weee nakukubari imeisha hiyoooooo
@user-ew3zj8ig4n
@user-ew3zj8ig4n 2 ай бұрын
Sasa visa ukatiwe na mwingine na uwende kwingine😮😮
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 ай бұрын
Inawezekana
@user-vj1ek5us4r
@user-vj1ek5us4r 2 ай бұрын
Mdomo ndounaponz kichw 😂😂😂😂😂😂😂
@Suley-OnlineTV
@Suley-OnlineTV 2 ай бұрын
Tunaomba upande wa pili wa story.. Tunaomba atafutwe Agent na pia kwa sababu alipitia Ubalozini pia watafutwe desk la malalamiko la Ubalozi .. mtatusaidia sana.. Kisha pia tupate information zaidi za kwa nini asafirie kupitia South Africa na asisubirie mpaka wafubguliwe.. na utaratibu uliotumika hadi kufika Oman kupitia njia za panya..
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mnachuki watanzania ndg yangu Magufuli alifunga Airport haruhusiwe kusafirisha watu kwenye ughaibuni, Wengi tulipitia South Africa nilifikka Oman nikapelekwa obalozi kuandikishwaaa, Nimerud Tz nimepita Airport Tz vzr wakati narudi
@PiliKhamis-mb6ty
@PiliKhamis-mb6ty 2 ай бұрын
Pole zanin nakupenda dada
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 ай бұрын
utulivu kwenye kazi kwako ilikuwa ziro plus usitake kutia watu hofu
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 ай бұрын
Kitu cha ajabu sana Bibi acha uongo tumechoka kutangaziwa uongo jamani kaeni kwenu kama unasuka unapaka hina kinacokuleta Oman nini wacheni kutapakazia inchi za wenzenu vibaya na mapungufu mnayo wenyewe. Waomani pia wanafanya kazi maofisini huendi kazini mshahara hakuna ukileta ujeuri shika njia wende wako wengi wanataka kazi sembuse wewe
@evaamedeus430
@evaamedeus430 2 ай бұрын
Niunganishie mimi jamani
@nunniznurcky9724
@nunniznurcky9724 2 ай бұрын
Yani kama kuna warabu wapole watulivu ni wa Omani .. hi hadithi anapiga hakika haijipangi kwakweli huyu balaaa tuu
@user-ti1ol3ti9j
@user-ti1ol3ti9j 2 ай бұрын
We mama mwogo hunayibu unatafuta Kiki 😮😮😮
@saudalilingani9264
@saudalilingani9264 2 ай бұрын
Pole sana sana saaana mdogo wangu
@RayaRashid-dc2hn
@RayaRashid-dc2hn 2 ай бұрын
Pole dada ndo maisha
@zubedamohammed1777
@zubedamohammed1777 2 ай бұрын
Umewenza.sana.udugu
@zubedamohammed1777
@zubedamohammed1777 2 ай бұрын
Nimekupenda.dada.zanni
@sabrahnibuka1211
@sabrahnibuka1211 2 ай бұрын
Pole sana udugu wng
@user-pm3wy2rk1c
@user-pm3wy2rk1c 2 ай бұрын
Pole ndugu yangu kwa mitiani
@bibiejuma5094
@bibiejuma5094 2 ай бұрын
Huyu muongo sasa si umejipakazia ubaya block kote utakuwa uluhusiwi kuingia nchi za uarabu
@Muslim-gs6rn
@Muslim-gs6rn 2 ай бұрын
Hana akili😢
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Kwa nn aongope yan ili angundue nni,
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
​@@Muslim-gs6rnwwe ndo una akili akili kifuniko cha maji ya uhai
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707USICHOKE KUMTETEA HONGERA 😂😂😂😂
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 2 ай бұрын
Umekataa 95 bongo hata 60 unasota kuipata jamani 😢😢 nyie ndo mnaharibia wengine kaaa kwenu usiende kuteseka
@faumarley5707
@faumarley5707 2 ай бұрын
Elewa somo af ndo ujibu,utafeli
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i 2 ай бұрын
​@@faumarley5707sio kuelewa tu kasema kweli uko mwalimu haipati hyo pesa na kusoma kwake yy ameipata analalamika
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 ай бұрын
​@@faumarley5707 SOMO LA UMALAYA 😂😂😂 MWACHE ATOMBWE KWA BUKU BUKU MBILI MBAGALA.
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa Ай бұрын
Oman amani tu huyo dada miongo sana
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
Zanini maashaallah nakukumbuka kipenzi tulikua wote kwa joha. Kumbe umerudi Bongo. ❤❤
@husnathabiti4114
@husnathabiti4114 2 ай бұрын
Joha wako wawili bi joha au joha
@SalmaUmmuhussain
@SalmaUmmuhussain 2 ай бұрын
Mm wangu bijokha mabella
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@SalmaUmmuhussain ndiyo huyohuyo
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 ай бұрын
@@husnathabiti4114 bijoha
@rahimarahima630
@rahimarahima630 2 ай бұрын
Bibi jokha si mpendi yule Bibi ana roho mbaaya ana zulma kubwa sana malipo ni hapa hapa dunian
@saidmarjibi6130
@saidmarjibi6130 2 ай бұрын
Naomba huyu kaka aliye fanya hii interview aje kututembelea Oman,, na atakuwa mgeni wangu siku 5 , tkt na hoteli
@RayyaSaid-ez5rh
@RayyaSaid-ez5rh 2 ай бұрын
Kwani lzm ufanye kazi nchi za kiarabu???uongo mtupu!!!!
@ZsbAlbarwani
@ZsbAlbarwani 2 ай бұрын
Umalaya tuu ndio ulikupeleka oman sasa hutakiwi tena unaanza kusema uwongo na kutia sifa mbaya watu tulia bora
@rqiyaabdallah840
@rqiyaabdallah840 2 ай бұрын
Mimi mama Angu Alifariki mwaka uouo nanilirudi kumzika Ilikua mwezi wa 4 mwe ziwa 6 nikwarudi nanipepita hapo hapo tatizo lenu nyinyi mliokua wengi Munapenda Kuja kwa njia za panya nazima muzuiliwe
@prettynayally2177
@prettynayally2177 2 ай бұрын
Nd hat mm nashanga
@rqiyaabdallah840
@rqiyaabdallah840 2 ай бұрын
@@prettynayally2177 uyu simanyaji Kwakazi ukimuonatu unapata jibu macho yapo juuyautosi Amijichuna mpaka anatisha Ana taka Ashindane rangi na wala u watu dizaini kama hii lazima wapate tabu sana maana Awajaja na jambo Moja sisi wafnyakazi wachuku ndo tunajua
@user-lr8kg8yu7s
@user-lr8kg8yu7s 2 ай бұрын
Muongo uyo alikuja kudanga sisi tupo nnamiaka 6 Sasa m muongo Omani safiii
@HabibaHussein-vb1ir
@HabibaHussein-vb1ir 2 ай бұрын
Zanin km zanin😂😂😂ushindwi kitu
@surusuru1994
@surusuru1994 2 ай бұрын
Sio wabeba 2 niwote zanziba wana vijimambo wakifika ila mee nashukuru mungu nilitumia akili yakumshaweshi nimepata kazi ynye pesa kubwa inabidi tuondoke kwda mascat kwli akakubali nikamwabia inabi tundke tafaut akadagaya mam yeke mgojo akakatiwa tkt akaondoka kutk salalah kwda masecat kaedakw rafikiza nikashukur mana kwaza alikuwakiburi kwng akiwa na maboos mashaallah mara wakajuwa kuwa hakupadageg wanirudia mm kaedawapi huy nikawabi znz kwn alikata tikt ya dar nikwawabia jui wakafugia kisha alieda kwaajit naka rudishwa znz na unafiki ukaishia hapo nikashukru mung kaz inasuga
@user-hm6hy6rr1h
@user-hm6hy6rr1h 2 ай бұрын
Daa pol san mtian kwakwel yan oman uwe na moy wa subrat nauvumilivu mm nip uk ila najitaid kua mvumiliv kwannay pitia namuomb mung kil mda anafanyie wepes nitimiz maleng yang nirud tz nikiwa salam
@AbisinaRashidi-wg5jt
@AbisinaRashidi-wg5jt 2 ай бұрын
Hayo ndo ninayopitia bongo kwa sasa pole
@morjanoman5181
@morjanoman5181 2 ай бұрын
Watu uku tunaishi na mshaara tunalipwa riare 90. Na maisha yanasonga
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 2 ай бұрын
Mwaka huo kwel hat me nilipita South maan boss alinikatia ticket 🎟 2 alitengeneza visa ya matembezi nilipofika Airport wakanigomea ticket zote zilienda na maji nikapita uko😂😂
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
MTOTO WA MIAKA KUMI NA MOJA AFANYA TUKIO LA AJABU ZANZIBAR
5:39
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 30 М.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 34 МЛН