Simba 4-2 Asante Kotoko | Highlights | Mechi ya Kirafiki 28/08/2022

  Рет қаралды 308,965

Azam TV

Azam TV

Жыл бұрын

Magoli mawili kutoka kwa Clatous Chama, na mengine kutoka kwa Moses Phiri na Pape Sakho yameipa
Simba SC imepata ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wake wa kwanza wa kirafiki kati ya miwili itakayocheza nchini Sudan.
Katika ushindi wa leo Simba imepata magoli yake kupitia kwa Augustine Okrah dakika ya 19, Pape Sakho dakika ya 26 na Clatous Chama aliyefunga mawili dakika ya 42 kwa penati na dakika ya 55
Magoli mawili ya Asante Kotoko katika mchezo huo yamefungwa na Stephen Mukwala dakika ya 9 na Stephen Amankona kwa mkwaju wa penati dakika ya 79.

Пікірлер: 114
@RashidKhan-zq2hy
@RashidKhan-zq2hy Жыл бұрын
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
@suleimanhabib7072
@suleimanhabib7072 Жыл бұрын
mashallah kabisa an
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 Жыл бұрын
Cha msingi fuata nini Mungu anataka,usilewe dini ukaacha maazigo ya Mungu
@peterjohn7613
@peterjohn7613 Жыл бұрын
Simba nawakumbusha kumwacha Onyango nje mnafanya makosa makubwa, Onyango ni beki bora sana kuliko hao waliopo
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Outtara hamna kitu
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 Жыл бұрын
Chama hafai kabisa du huyu jamaa anajua sana mwache tu
@tmagoti
@tmagoti Жыл бұрын
Wanangu SIMBAAAAAAAAA🦁🦁🦁🦁 NguvuMoja
@lillaahilhamdutv5383
@lillaahilhamdutv5383 Жыл бұрын
Adhana maa shaa Allah
@deusmanyenye5190
@deusmanyenye5190 Жыл бұрын
Huyu jamaa Mohamed Quattara ni mzito sana. Hana speed na wala huwezi mlinganisha na Onyango. Kwa huyu jamaa akina Mayele watampita sana na Yanga itaifunga Simba Mpaka basi
@allymtungunyu2425
@allymtungunyu2425 Жыл бұрын
Wewe bwana acha kutaja utopolo hapa nawe hao utopolo hata watufunge mara 100 hamna la maana huyo mayele mbona kacheza na ruvu hakupata gori usilinganishe na mech za kichawi huzi za utopolo na kolo hizo mech sio kipimo cha timu kuwa mzuri au sio mzuri mech zao madudu meeengi mara huyu anapitia mlango huu huyu hataki kupita hapa mda unaokuja utamjua nani bora kimataifa
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Rejea ile mechi ya ngao Tumefungwa Magoli rahisi Kupitia Kati Kati Kwangu me outtara anachomxidi onyango ni kupiga Pasi tu
@alitante4279
@alitante4279 2 күн бұрын
Sasa yupo kwetu unyamani watakomaaa🎉🦁🦁
@athanasevaristmahega7488
@athanasevaristmahega7488 Жыл бұрын
Mpira safi kabisa hongera simba
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Жыл бұрын
Victor na Mzungu awana viwango bado Sana no 6 anazunguka tup
@deusmanyenye5190
@deusmanyenye5190 Жыл бұрын
Bao la kwanza walilofunga Asante Kotoko ni Sababu ya Uzito wa Quattara. Hapo Onyango asingepitwa kizembe namna hiyo
@zuberikupaza1184
@zuberikupaza1184 Жыл бұрын
Mabeki wa Kati wa simba wanahitaji msasa wa kutosha jmn mana hizi through balls zinapita bila kupingwa mfano zile zilizo mfikia mayele na hili goli la kwanza la Asante Kotoko.
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 Жыл бұрын
SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
@janaakimu6171
@janaakimu6171 Жыл бұрын
Mimi Ni #SIMBA Damu ila daghhhhh I'm still need #ONYANGO😭😭😭😭
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
Hongera Simba kwa ushindi ila kuna mahali panavuja na panahitaji marekebisho ya haraka sana.
@amriamraan2612
@amriamraan2612 Жыл бұрын
Wapi?
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Жыл бұрын
@@amriamraan2612 wanavuja sehemu ya kujilinda na kupelekea mabeki kuchoropokwa haraka na wapinzani hasa upande wa kulia.
@grederoperater7970
@grederoperater7970 Жыл бұрын
Masha Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@sulemaanmarika7087
@sulemaanmarika7087 Жыл бұрын
Dah Adhan hiyoo! Watu wanaitwa kwenye kher lakin maskio yamewekwa pamba
@Othman496
@Othman496 Жыл бұрын
Pascal kabombe jitahidi kwenda na muvument ya mpira sio unasikika tu kwenye matukio nauwataje wacheji: sio anaweka ndani kele wanaondosha ndonn sasa
@StarDugs
@StarDugs Жыл бұрын
Ivi Azam mnajua highlights nyinyi
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Huyu Outtara Sijui Kama Atatusaidia Simba Me naona hana Uwezo wa kukaba wa kumshinda onyango Ila sababu ni mchezaji wa kocha atacheza tu na ametucost na ameendelea kutucost Kama bado hajawa fiti tunaomba kocha amtumie onyango Kwanza Tumefungwa Magoli Mawili na Yanga Kw Kupitia Kati Kati Kama hilo goli la asante kotoko Hawezi one v one pia ni mzito yani akipitwa tu ni balaa
@sngrafx
@sngrafx Жыл бұрын
Hujui mpira Wewee kaa kimya
@hilaryngonyani6750
@hilaryngonyani6750 6 күн бұрын
Mukwala kumbeh ndo uyu basi hatariii
@ramadhanikatumbati8386
@ramadhanikatumbati8386 Жыл бұрын
Sakho kiukweli Yuko vzuli
@abdisalim7900
@abdisalim7900 Жыл бұрын
Nakubaliana PETER JOHN kumweka ONYANGO mda mwingi nikujichimbia kaburi
@charlesally6028
@charlesally6028 Жыл бұрын
Beki ya simba inafanya makosa mengi hawako makini🙏
@saidmfaume1282
@saidmfaume1282 Жыл бұрын
Simba kwenye kujilinda ni hovyo kabisa kama hawakurekebisha itawagharimu sana hasa kimataifa.
@pepchallanga3626
@pepchallanga3626 Жыл бұрын
Chama ni KDB wa bongo
@deusmanyenye5190
@deusmanyenye5190 Жыл бұрын
Quattalla ovyo sana. Siyo baki mbishi kama Onyango na Baka. Anakata tamaa mapema sana
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Ampishe onyango Tu
@billywilliammyovella2202
@billywilliammyovella2202 3 күн бұрын
Mukwala yupo hapo?
@isackphilip4051
@isackphilip4051 Жыл бұрын
Mashallah
@CyimSky
@CyimSky Жыл бұрын
Gocha inaonekana ameweza kutambua udhaifu wa sako sasa anaanza kufanya maamuzi yanayoweza kuzaa matunda
@amirlehao8945
@amirlehao8945 Жыл бұрын
Inonga anaanza kuvuja saana
@zubedaramadhani1289
@zubedaramadhani1289 Жыл бұрын
Kocha asipoangalia hao ma bek tutafungwa sana kwann asimchezeshe onyango na mmoja kati ya hao?
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Outtara hamna kitu kabisa sema tu ni chaguo la kocha Hawezi kumuweka benchi onyango
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Жыл бұрын
Mwl Uwe Makini na Matora na Bocco na Mkude waondoke Alaka Sana sio watu wema
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын
Hii tim haina kocha tutasubir sana kuona burudani ya simba
@gabrielaniseti1537
@gabrielaniseti1537 Жыл бұрын
Triplex CSS CCC, Umeshakuwa Mtanzania kabisa
@edgarcruzee5223
@edgarcruzee5223 Жыл бұрын
Mwl Mzungu ajui Mbio na kutafuta mipila tafadhari Sana Mwl
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Mzungu hamna kitu sema kocha hawezi kukuelewa maana ni mchezaji wake
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Hili li chama linajuwa ila alichokifanya ninkibaya sana
@worshipperstalk
@worshipperstalk Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Chama umefanya upuuuzi wa khali ya juuu sijawahi ona kwani lazima kumpa mtu mkono
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Жыл бұрын
Huyu Outtara mzitoo
@daddynamombas3898
@daddynamombas3898 Жыл бұрын
Ngoja tuone nadhan kocha anajua anachokifanya kikifaulu tutafurahi kikifeli kitamghalimu so ngoja tuone muda utaongea kikubwa dua kwa viongozi,kocha na wachezaji.
@Mr_Ben255
@Mr_Ben255 Жыл бұрын
🦁🦁👍👍🔥🔥
@cat-kr1ro
@cat-kr1ro Жыл бұрын
This defender quatarra was very poor.. So tired
@denisekenwhite7766
@denisekenwhite7766 Жыл бұрын
Good pre season for Asante kotoko
@eliyamloy3490
@eliyamloy3490 Жыл бұрын
Yan mpira ndio tumejua katikati Kwenye namba 6 hakuna kama Kanoute
@leeobite5657
@leeobite5657 Жыл бұрын
Adhana inaadhiniwa lkn chaajabu mpira unaendelea tyu...mbona Allah Aheshimiw?
@nkoydavid9658
@nkoydavid9658 Жыл бұрын
Inonga na Outtar kwa nn wanakuwa mstar Mmoja ?
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
🔥🔥
@stevesayoni7455
@stevesayoni7455 Жыл бұрын
Hatali
@klangeniustz5767
@klangeniustz5767 Жыл бұрын
Hello habari wanachama wa simba naombeni saport ya kusikiliza bila kusahau kusubscribe andika klan genius song sawa
@amiltonmichael5377
@amiltonmichael5377 Жыл бұрын
Simba ni chama Simba ni inonga
@ramadhanirajabu8932
@ramadhanirajabu8932 Жыл бұрын
Sijamuelewa msudani kbx mzito xan
@mbwizax87
@mbwizax87 Жыл бұрын
Sakho kafungisha goal la kwanza kwasababu ya misifa yake
@AcksunBonifas-mj2sw
@AcksunBonifas-mj2sw Күн бұрын
yes now ni ni familia sas😂😂😂😂😂
@mohamedisalumu5135
@mohamedisalumu5135 Жыл бұрын
Yani Bado tunauzembe wa beki kutegeana sijui utaisha lini mana otatar kma onyango tu
@salihalash4111
@salihalash4111 Жыл бұрын
I dont think you will see beautiful stadiums like this in tanzania Only in Sudan
@mduda_i
@mduda_i Жыл бұрын
we have the most beautiful stadium in east and central africa, do your research 😂 you will be ashamed
@salihalash4111
@salihalash4111 Жыл бұрын
@@mduda_ihahahahh which stadium you even have? A club like simba dint even hve private stadium and fir 10 years they talking about mo arena which is fantasy
@issackntacho710
@issackntacho710 Жыл бұрын
Hahahaaaa,,,,is that a beautiful stadium that makes you be proud of?,,, come in Tanzania there are so many best stdiums
@mokaamohammed2441
@mokaamohammed2441 Жыл бұрын
don't worry about this comment this from Al mreekh fans they are always trouble makers between Al hilal and other teams we are from the same land mama Africa
@Abasiyacity
@Abasiyacity Жыл бұрын
Sudans biggest stadium is still under construction, this just Alhilal stadium 🏟🔥
@shafiismaily9223
@shafiismaily9223 Жыл бұрын
Kwenye ule ugomvi chama kamkanyaga kwa makusudi mkono wa mchezaji wa Asante kotoko.
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 Жыл бұрын
Mpe nyekundu
@jumamwarabu9307
@jumamwarabu9307 Жыл бұрын
Kweli time shinda LAKINI leo HAKUNA kiwangu chochote
@africaendlesscruising
@africaendlesscruising Жыл бұрын
Hii ni Asante Kotoko gani?
@leahgabriel5089
@leahgabriel5089 Жыл бұрын
ya ghana
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 Жыл бұрын
Mwalimu ni mtaalam anajua ila onyango na inonga wanacheza vizuri Sana kuliko huyu outtar. Mzungu naye mmm acha tuendelee kumwona.
@madukaj.j.6999
@madukaj.j.6999 Жыл бұрын
Ouattara hapo nado hafai
@mamutz5479
@mamutz5479 Жыл бұрын
Kwili kabisa hanakasi kabisa
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 Жыл бұрын
Sana
@djibrilsaidikagambaje97
@djibrilsaidikagambaje97 Жыл бұрын
Imenikumbusha chama alichomfanyia nchimbi
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Жыл бұрын
Onyango n beki kuliko waliopo
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Жыл бұрын
Inonga n mchezaji
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Sana yan uyu jamaa anajua
@Shijajohn5084
@Shijajohn5084 Жыл бұрын
Huyu outara atafutiwe namba nyingine cio hyo ya beki wa mwisho hawezi kabsa kufanya maamuzi.
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Upo sahihi maneno yako maana mtu wa mwisho ikishaa hana mamuz ya faster
@thomasabelmwakipesile5280
@thomasabelmwakipesile5280 Жыл бұрын
Hata mechi na Yanga nilimshangaa amemwona mayele yuko mbele yake akamkimbia ili acheze offside bila kuangalia mabeki wengine wapo kwenye position gani! Kwa ujumla yule jamaa hana uwezo wa kumweka benchi beki yoyote kati ya Inonga na Onyango! Sema ni mchezaji wa kocha!
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
Huyo chama kumbe sio mstàrabu hata kidogo. Mtu anakataa kukubali samahani yako kisha u amkanyaga mkono kwa makusudi. Ovyoooooooooo.
@yohanamchekwa1803
@yohanamchekwa1803 Жыл бұрын
ndo ulicho kiona wewe?
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
@@yohanamchekwa1803 . Ndiyo nimeona hicho kwani mpira ni uadui? Wewe hukukiona?
@Saidkhel
@Saidkhel Жыл бұрын
Andamana
@Saidkhel
@Saidkhel Жыл бұрын
Kumbe mnafuatilia simba nyie utopolo
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Жыл бұрын
@@Saidkhel kumanyoko Shoga Wewe 🖕🖕🖕🖕
@jamalhatibu777
@jamalhatibu777 Жыл бұрын
Hii ni mechi ya kirafki ya kimataifa lengo kubwa ni wachezaji kujiweka fiti na mwalimu kupata nafasi kuona matatizo yako wapi, kwa mchezaji profesional kama chama kuonesha vitendo ambavyo si vya kiungwana vinamuondolea hadhi yakuitwa mchezaji wa kimataifa, kuna sababu gani ya kumkanyaga makusudi mchezaji aliedondoka chini kwa sababu tuu kakataa kunyanyuka? shame on you.
@Saidkhel
@Saidkhel Жыл бұрын
Tuliza kinyeo
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 Жыл бұрын
ONYANGO ARUDISHWE HARAKA KABLA YA HU YU KOCHA KUTUAIBISHA, SI KOCHA
@beriasmasanga6859
@beriasmasanga6859 Жыл бұрын
Kama onyango ni mzee mbona yeye kocha pia mzee?
@yusuphabsaid8151
@yusuphabsaid8151 Жыл бұрын
Sasa na yeye kwa nn agome kunyanyuka bora alivyomkanyaga akome
@wajawemaonlineTv
@wajawemaonlineTv Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eYu7kH6sqdyIeMU USISAHAU JAMBO HILI KUHUSIANA NA TOBA MZUNGUMZAJI SHEIKH ABDUL RAUFU AL MUNAAWI
@RashidKhan-zq2hy
@RashidKhan-zq2hy Жыл бұрын
Adhana Maa Shaa Allah alhamdulillah rabbil aalamiin uisilam raha
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 Жыл бұрын
Acha ushamba wewe uislam na ukristro wte ni MUNGU 1 tu Acha kuleta udini wewe
@isackphilip4051
@isackphilip4051 Жыл бұрын
Mashallah
@pepchallanga3626
@pepchallanga3626 Жыл бұрын
Chama ni KDB wa bongo
@sophiahussein8858
@sophiahussein8858 Жыл бұрын
Mashallah
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 15 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
HILI HAPA BALAA LA JOSHUA MUTALE ,USIJALI MPYA SIMBA SPORTS CLUB
6:38
Испания выиграет Евро?
1:00
Губиньо
Рет қаралды 445 М.
На Равных Бегают? #shorts
0:38
ЧТО Я НАШЕЛ
Рет қаралды 298 М.
Ronaldo & Mom Emotional Moments ❤️
0:31
Flush
Рет қаралды 3,9 МЛН
Asmr Belt Catching The Ball 🥋⚽️🏀🎈#shorts #challenge #asmr
0:12
Masoud Challenge
Рет қаралды 12 МЛН