Hii Simba ya Msimuu Huu Inakuja Moto Sanaa Ubayaaa Ubwelaaa Simbaaaaaaaa❤❤❤❤
@abouwiztv2 ай бұрын
From Rwandaa Ligi ya TZ Kali sana❤
@EpiphaniaMassawe2 ай бұрын
Mungu azid kusimama na wachezaji wetu❤
@UwisunzemariyaTeta2 ай бұрын
Ubaya ubwela Asante sana kutoka 🇷🇼
@RobbyRomanus2 ай бұрын
simba love forever
@maikomatayo27942 ай бұрын
mungu ibariki chama langu simba tufike mbali 🎉🎉❤❤❤
@MwasitiMsafiri2 ай бұрын
Mimi nasimba mpaka nakufa yani naipenda Simba mimi jamn
@JUMAKIJA-qx3vg2 ай бұрын
Yeah is good from Niger 🇳🇪
@mohammedkidody56182 ай бұрын
Hii sasa ndo simba ya ubaya ubwela❤❤❤
@MohamedAbdallah-dd2dm2 ай бұрын
I'm from Capetown city I love both in international duty I mean champions league
@TadayoAnodi-j9n2 ай бұрын
❤❤❤❤ Simba hii ndiyo yawaaume
@IsackVedasta2 ай бұрын
This is siiiiiiiiiimba ❤️🦁🇹🇿🌍 UBAYA UBWELA 🔥
@bagokashaidu54312 ай бұрын
Good job
@adelikelivisadelikelivis90512 ай бұрын
Simba SC Tanzania Nguvu moja daima ❤❤
@abdallahomary96142 ай бұрын
Safi sana kwa Simba hii Kuna timu itapigwa 10
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Bado sana uwe uo Amna izo ndoto za mchana
@mohammedkidody56182 ай бұрын
Kabisa yn ubaya ubwela❤❤❤
@cosmamsacky7732 ай бұрын
This is simba
@MkungwaNgwarumbwa2 ай бұрын
Ni mwendo wa tabasamu mpk mwisho wa msimu kwa raha zetu wanasimbaa ❤❤❤❤
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Bado mechi ngapi umalize msimu mpk unasema Raha sana duh hatar
@ZakaliaGodeni2 ай бұрын
Hio ndy maana halisi ya ubaya ubwela... chongen maneno cc nivitendo tyuu😅❤❤🦁💪
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Amna lolote subili kidooogo dawa yenu inachemka mtakunywa
@mohammedkidody56182 ай бұрын
Kabisa yn❤🎉
@mohammedkidody56182 ай бұрын
@@ramadhanimrungu5806utopolo bado hamjasema acheni shobo
@RashidiMwiga2 ай бұрын
Hi coaches, please we need high pressing football.
@HappyNessWegoro-ns2fp2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Fofo-z6t2 ай бұрын
Aweeeee ubaya ubwela tuu hii ndio simba yetu ❤️❤️❤️🤍🤍🦁🦁🦁🦁🦁💃💃💃
@SarahMathias-v1g2 ай бұрын
Asante mkwala niliomba Leo ufunge
@ValelianaMlawa2 ай бұрын
Okay wana msimbazi
@NecksonLemslulambo2 ай бұрын
I love you simba
@HalfaniKibonji2 ай бұрын
Hatr
@MichaelMathew-j3f2 ай бұрын
Simba.🎉
@ValelianaMlawa2 ай бұрын
Saana...mpaka waseme🎉
@NOVATISIYAME2 ай бұрын
Hii ndio simba anakuf❤❤❤unga yoyote adi goali kipa hii ndio simba sasa
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Bado sanaaaa subir mkutane na wanaume
@mohammedkidody56182 ай бұрын
❤❤❤
@mohammedkidody56182 ай бұрын
@@ramadhanimrungu5806kwani hawa wanawake
@sulleimanshalua1682 ай бұрын
Simba SC #Nguvu moja
@yusuphmyinga2 ай бұрын
Ubaya Ubwela ❤️🙏👊👊👊
@Failuna2 ай бұрын
Ubaya ubwela tumeaza kuwaonyesha❤❤
@michael-t3z9d2 ай бұрын
hakika simba niya moto xana
@goblessjrtz54642 ай бұрын
Well done lads
@DayaSerengeti2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤ nguvu moja
@Brown-7Jr2 ай бұрын
afu azamTV tangu ligi imeanzaa picha zinazngua kinomaa au ndo hasira kwasababu timuyenu mbovu inatolewa hatua za kwanza tu kila mwakaaaa,,,, sasa tunaomba msitufanyie ivo sisi niwatanzania wafanyieni hivo wanyarwanda jaman😂😂😂😂😂😢😢😢😢
@katabaroonlinetv96882 ай бұрын
😢😢
@AminaLibisa-y9x2 ай бұрын
❤❤❤❤I love simba sport
@NyanjiraMagambo2 ай бұрын
❤❤❤❤ hongera munyama😊
@MpendaAmani-e2r2 ай бұрын
Simba sport club 🔥✅🙌🙌
@YohanaKivuyo-u3w2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hiii ndio simbaaaa
@ramadhanimrungu58062 ай бұрын
Mbovuuuuuu
@josemaro-ei9go2 ай бұрын
Hii ndio simba
@festofrank-z3m2 ай бұрын
Ndio Simba hii Raha sana
@JamesLyakurwa-f7w2 ай бұрын
Safi
@Joseph-l9r2l2 ай бұрын
Simba hongera nashangaa kuna watu wanasema timu imefungwa tujiulize ingekuwa vitalo ingekula ngap kwa simba hii
@Minjum-j5m2 ай бұрын
ALHMDHULILLAH
@iptisamismaill-f6h2 ай бұрын
Mechi ijayo simba tunawaomba tff tucheze bila ya kipa au tuanze upya na yanga iz point sita wazifute😂😂😂😂😂
@DaluChiwinga2 ай бұрын
simba imeshinda ila bado
@Mahahastudio2 ай бұрын
asanteni sana wana simba
@clemencechengula69602 ай бұрын
❤simba
@MalackMalack-r2b2 ай бұрын
Ndiyo hii no simba
@neemamangushi81872 ай бұрын
Pira la kwenda❤
@SilasNassary2 ай бұрын
simbaaaaaaaaaaaaaaaaa
@ufiteyesusimonpierre97672 ай бұрын
Fauntain Gate Goalkeeper is very short surely
@athmanimkangara92902 ай бұрын
Mfupi kama Diarra
@FatumaKanyenye2 ай бұрын
Mchana kweupe❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@hamadiayossy2 ай бұрын
Mukwala asipokuwa shap wa kupiga atapata tabu sana kwenye kufunga,anavuta sana mpk mabeki wanawahi kuondoa hatari,anatakiwa awe shap sana kwa maamuzi
@EvaristeBahati-yy2ze2 ай бұрын
uko poa kiongozi
@sarafinajames7012 ай бұрын
Ndio ni mzito sanaa
@sarafinajames7012 ай бұрын
Ndio ni mzito sanaa
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k2 ай бұрын
Iyo imeendaaah
@ValelianaMlawa2 ай бұрын
Sana...spandex wapili wataisoma namba
@MbwanaPindo2 ай бұрын
Simba yangu naimani nayo ...
@iptisamismaill-f6h2 ай бұрын
Goli nyingi, pass za kumwaga, pira tele
@Merrymerry-l4n2 ай бұрын
❤❤❤
@JohnasNestory2 ай бұрын
Kazi nzuri
@AnfieldUpdates52 ай бұрын
Huyu ndo MVP Ahoua Tunaemtaka 🔥
@ggelishachannel4502 ай бұрын
KAMA WEWE HUJAONA MPIRA TENGENEZENI TIMU NA FAMILIA YENU