Mungu akutunze akupe maarifa mengi zaidi wewe ni mwema chapa kazi makonda tumehemewa
@rosetreffert417911 ай бұрын
Safi Sana kiongozi Mungu akutangulie katika kazi ❤❤❤❤❤ Kama wote wangekuwa wanasikiliza shida za watu badala ya kukaa maofisini hakika tungefika mbali sanaa!!Big up Makonda 🙏🙏🙏🙏
@adelinelyaruu303611 ай бұрын
Kusikiliza na KUTENDA ni vitu viwili tofauti
@edwardmwakapuja584711 ай бұрын
😅
@judicalosika764211 ай бұрын
Hii ni SIASA chama hakitendi serikali ndiye muwajibikaji
@husseinbakary196911 ай бұрын
Asante ma samia kwa kutuletea hili jembe
@ramadhanhussein386711 ай бұрын
Mungu akusimamie🤲🙏.
@Lundege_Hips11 ай бұрын
Masauni ana hekma sana sana Makonda big up
@JamesLekeni11 ай бұрын
Nenda kwa wamasai wafugaji. Wanateseka sana. Wana Kero nyingi. Wasikilizwe na chama( Tunakusihi Mheshimiwa Makonda)
@laurentraphael547011 ай бұрын
Makonda ni kiongozi shupavu sana. Mungu akubariki sana.
@felixBenos11 ай бұрын
Chapa kazi mkuu nakuelewa sana makonda
@charlz0410billy11 ай бұрын
pga kazi bro
@edwardpallangyo677010 ай бұрын
Bro nakukubali naomba uje na uku mkoa wa arusha uonevu mwingi sana
@reginamashauri388411 ай бұрын
Yaani ccm wanaakili sana wameona wamekosa mvuto wamemurudisha njembe
@BIGBOSS-hl3bu11 ай бұрын
Huyu jamaa mungu amuweke sana
@abrahmanamour822311 ай бұрын
Mm sina chama chochote lakini Makonda namkubali sana tena sana
@MasseLyale11 ай бұрын
mungu akubariki zaidi makonda, sasa tutarudi kuangalia taarifa za habari kwenye tv, tukuone makonda, ila punguza kumtaja mtu fulani , kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe na kila mtu atatoa habari zake mwenyewe
@leahmcharo730611 ай бұрын
Mama Samia alichelewa wap kumchagua makonda kaz nzuri kijana
@Lundege_Hips11 ай бұрын
Safi sana makonda
@sharaful-anaam13811 ай бұрын
Hatimae magufuli amereje❤🎉
@allykhalifa440711 ай бұрын
Mama Samia Fanya mpango umpe makonda uwaziri mkuu atakusaidia sana
@babungogo860311 ай бұрын
Kazi nzuri
@sengeremaxleo929511 ай бұрын
Hahahaha hiliiiii jamaaaaa limepewaaaa full control mamaeeeee ,,,,
@PauloSaul-r5s11 ай бұрын
Fikia MALENGO. yako mh paul christian makonda
@mwitoremwita356711 ай бұрын
Sanaa tu hizi
@mashramadhani198911 ай бұрын
Makonda safi sana sana
@daudidaniel54411 ай бұрын
Big up mtoto wa baba
@johnshayo963511 ай бұрын
Nchi ya sanaa na mipango mbalimbali
@adilhabib898811 ай бұрын
Hiii ni mipango ya kichama tu mbona tangu hapo awali hajayafanya kwa sababu mwaka umeisha uchaguz waja
@wilsonjaphet554711 ай бұрын
NIDA ni sehemu zote
@mussaisaac11 ай бұрын
Makonda nakukubali
@AizackKalenge-ro5rc11 ай бұрын
Makonda unafanya vizuri,Hataulipokuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Hatatokea kiongozi kama wewe,
@kombasalimu35311 ай бұрын
Nishida Sana
@vicentjanuary349311 ай бұрын
Movie
@josephmchila646711 ай бұрын
Jamaa anachapa kazi saana, asaidie sekta zenye kero, hasa ardhi na mikataba.
@kulwastima399311 ай бұрын
yaan unazzuka na propaganda hizi
@muhammadalibhaz139011 ай бұрын
cinema nzuri chakula ilipikwa isipokuwa ilipakuliwa muda muafaka
@nehemiamwasile869611 ай бұрын
Makonda lengo ni kupga mawaziri ambao wanapewa pesa na mhe, mama Samia suluhu wanatumia KWa masilah Yao binafsi safi Sana Makonda KWa Kaz nzuri maana mawaziri ndo wanaficha maendeleo ya wananchi , Tanzania oyeee, Tanzania safii
@hamisiizadini393811 ай бұрын
Mmmh hii nchi inamambo ya ajabu sana
@Mis_asenga11 ай бұрын
Sanaaa Mimi kitambulisho changu wilaya ya ubungo hawajanipa toka 2020 october na nilienda tu print kilipotea nikalipia kika kitu wilaya ya Ubungo ni jipuuuu watupe vitambukisho jmn
@mohamedpesambili946011 ай бұрын
Hata Mim cjapata aisee tangu 2019 Yan ubungo aisee dah
@lusatomichael797311 ай бұрын
Makonda makonda makonda ww ni zaid ya wote mpigie waziri wa nishati zungumza nae kuhusu UMEME
@migerajacob58111 ай бұрын
Siasa za Tz ni viini macho,,
@leokamil628411 ай бұрын
Uchuguzi karibuni snema zote tutaziona msijisahau ndugu zangu
@Aziz-p6s11 ай бұрын
Ni shida
@hajjiomary238311 ай бұрын
😂😂
@azizamohd420311 ай бұрын
Chefuu
@talltall567411 ай бұрын
Sasa vitambulisho vina bei namna hii billion 42 kitambulisho kimoja zaidi ya billion moja duhhh
@AmosSniper11 ай бұрын
Siasa bana! Kweli shida ya NIDA Samia kaimaliza lini?
@stellamuyenjwamboyi755911 ай бұрын
Mkoa wa Mara huko kanda ya ziwa
@neemanziku540311 ай бұрын
Yan mama samia huyu makonda mpe uwazir wa afya humu mahospitalin kuna tabia mbaya sana
@davidmwandenuka171211 ай бұрын
Wacha sifa dogo....na mawaziri wacheni uoga mnapelekeshwa Kama .ma ndezi
@zubedadahalgould880911 ай бұрын
Mheshimiwa ninaomba ututembelee huko Kidimu Kibaha kuna watu wanatusumbuwa wanatunyanganya arfhi nalo hilo ni changamoto hapo Kidimu ninakuomba utusaidie
@STAY_FOCUS1011 ай бұрын
Bilioni 42.5 walikuwa na uwezo wa kununua machine ya kutengenezea kadi na kufanya mchakato kutuma Vijaya ata 5 kwenda kufanya hayo mafunzo na wakaja tz kuwafundisha wengine pia, bado shida iko pale plae
@dinakipingo190511 ай бұрын
Mpaka number inachanika nimetoka tz card bado aisee changamoto sana😢
@abubakarimussa913111 ай бұрын
Dodoma watu tuna miaka miwili vitambulisho hakuna ccm mnazingua
@hajjiomary238311 ай бұрын
C wengeine tunadili na namba tu inatosha dili zetu zinakwenda
@migerajacob58111 ай бұрын
Vitambulisho vya taifa vina expire date, viini macho TU,
@pelegrinmwamba159411 ай бұрын
Nchi ya maigizo 😅
@Aziz-p6s11 ай бұрын
Wapo sorias utadhani kweli
@Forester__11 ай бұрын
Mh.Makonda, mpigie nape simu aeleze kuhusu starlink ya elon musk alioitakaa
@kulwastima399311 ай бұрын
Samia atajuta kumpa nafac msukuma mtaka sifa
@FaxrilBekir11 ай бұрын
Kadi mpaka nje ya nchi sisi bado sana mtihani mkubwa
@shadrackdeogratius676011 ай бұрын
Na bajet yake sasa, bi 42,sasa si wanunue machine wazichape hapahapa tu
@FaxrilBekir11 ай бұрын
@@shadrackdeogratius6760 Hawawezi maana huo ni mradi wao 😄 🤣 😂
@kassimomar492011 ай бұрын
Tunakuomba mkuu utembelee Mkoa wa Tanga kuna changamoto kwa watu wa ardhi katika utoaji wa hati.Watu wanakwama kujenga kwa kuadhibiwa katika upatikanaji wa hati.Hasa huku katika mtaa wa Mwangombe na Magaoni.Tunakuomba mkuu uje haraka wananchi wako tunateseka.Hata hao wenyeviti wa mitaa ni tatizo kwa hili.
@MaktubuShaban11 ай бұрын
Nina imani utakuja kua mbuge wetu kigamboni tuna kupeda sana kk
@hassanbahebe821611 ай бұрын
Shina mpaka taifa tunakuamini.
@dottomsuya659711 ай бұрын
Komredi makonda
@victoriakiwanuka542811 ай бұрын
Mimi ni miaka karibu mitano nina namba card sina naambiwa machine mbovu kilanikieenda kuuliza 😂
@uzimameditv814811 ай бұрын
na hakuna kufa tenaaaaaaa Ameeeeeee
@barakamusapolekidoti95711 ай бұрын
Ova ova ova 😂😂😂😂
@mt.georgeuvambe751511 ай бұрын
Mhhhh
@johnjulius698611 ай бұрын
Watu watapenda kuzitazama hotuba zako kuliko za mama, sasa unakosea unapomsifia mama..., wewe unatosha ndugu.
@mohddelo11 ай бұрын
Sasa mama kakukosea nn au chuki tu za kichawi
@scorasticaclement630811 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Sahihi Kabsaaa Yaani Huyu Jamaaa Duuh
@samkindyymasoud945911 ай бұрын
Sasa ulitaka amsifie mama yko ww
@jeremiahmakoye634011 ай бұрын
Saaaaanaaaa
@johnjulius698611 ай бұрын
@@mohddelo mama, amewakalia kimya majizi...
@ritapiusnicolaus706811 ай бұрын
MAKONDA kasogezwa ili iwe chachu ya Samia kupigiwa kura
@marcokaroje898011 ай бұрын
Anafanya kampeni za uchaguzi mkuu unakaribia
@gregorykalinga11 ай бұрын
Eheeee
@itanzaniaAS11 ай бұрын
Makinda anapigiwa promo hatariii
@GodfredAlfredNgarama11 ай бұрын
Tumeshachoshwa na mbwembwe
@dottomsuya659711 ай бұрын
Magufuli namuona huyu hapa
@msafiriomary89311 ай бұрын
Tunatamani JPM aamke ajenge tanzania kero kra mahari
@kamradiology11 ай бұрын
Tangulini katibu mwenezi wa chama, ANAIAMURU serikali,, ? Kiongoz kama waziri mteule wa wananchi na raisi..? Wewe ni mteule tu hujapigiwa kura hata na wananchi. BASHITE NAKUPA UNABII. safari yako ya siasa ni fupi sana, utapotea na utaanguka kwa aibu. Aliyependejeza upewe hiyo nafasi alikutega upoteze iman na watu na mtego umeuvaa.. 😢😢😢
@Aziz-p6s11 ай бұрын
Mazingaombwe yameanza
@leylasaid964111 ай бұрын
LAITI VIONGOZI WOTE MNGEKUA MNASIKILIZA KERO ZA WANANCHI ANGALAO TUNGEKUA MBALI
@NeemaSitta-i2b11 ай бұрын
Jamani nakutolea unabii wewe ni raisi mtar 4:40 s
@masoud67511 ай бұрын
PUMBAVU KABISA YANI KATIBA HAIFATWI HIVI KATIBU WA NEC ANAWEZAJE KUTOWA MAAMRISHO KWA WAZIRI? THATS SHAME
@niazonbukoke196411 ай бұрын
You have to learn from Obama's presidency ,he did a lot with his democratic party when he took ofice but the next general election was the most colorful election season more than most, ultimately republican party was won out. We've to do the same also
@DONALDMTOWE-u9g11 ай бұрын
The comedy.
@daudimligo-b8e11 ай бұрын
Enjoy
@SaidGombo11 ай бұрын
Tumesha mpata mtetez tayar ñjoo na kilindi tanga Kuna Mambo ya ajabu sana
@evancykashaga657611 ай бұрын
Mh
@SaidHassan-wz1px11 ай бұрын
MAKONDA NI KIUONGOZI MMUNG AKULINDE KAKA NIKO PEMBA MM KAKA NITAFUTE NIKUPE KHABARI
@nkwazigatsha11 ай бұрын
Kumbe nchi imegeuka ya mazwazwa na wahuni! Huu uongozi gani kama siyo utapeli wa kawaida. Huyu Makonda asipowekwa ndani ataimaliza CCM. Natamani aendelee hivi ili wananchi wawajibishe tokana na upumbavu huu
@simonmichael89411 ай бұрын
Naona huijui siasa vizuri😂we ushaambiwa siasa ni mchezo mchafu halafu bado unalalamika😂na utambue utaongozwa na Mwanasiasa hapa duaniani maisha yako yote😂
@peterdeus609311 ай бұрын
Mmmmh, kama upo serious vunja ule mkataba wa bandari, mradi wa bwawa la mwalimu nyerere umeishia wapi, zuia umeme usikate, mnatuona sis watanzania ni wajinga sijui
@rehemakimungu649411 ай бұрын
Piga kazi dogo usiku na mchana kutetea wanyonge
@marcokaroje898011 ай бұрын
Wanyonge hawana nafasi mbinguni no dhambi kuitwa mnyonge kama huwa unaisoma biblia kama Mimi sikubali kuitwa hivyo we we nafamilua yako itweni wanyonge tu
@hamisiizadini393811 ай бұрын
Mmmmmh mmmmmh mmmmmmmh hapa kuna kazi ngumu..kuna kazi ngumu nchi hiii
@fatmaalhabs693911 ай бұрын
Makonda sisi sio watanzania tumezaliwa huko ila tunakupenda kaka wewe mgombozi wa wayogo
@Aziz-p6s11 ай бұрын
Unajua watanzania si wajinga?
@talltall567411 ай бұрын
Sasa vitambulisho vina bei namna hii billion 42 kitambulisho kimoja zaidi ya billion moja duhhh
@Aziz-p6s11 ай бұрын
Wapo sorias utadhani kweli
@migerajacob58111 ай бұрын
Vitambulisho vya taifa vina expire date, viini macho TU,