Mh Makonda nakupongeza sana kwa kazi nzuri. Kweli umeifanya.
@user-cg9yd9dw5n6 ай бұрын
Hongera Sana makonda
@erasmusshauritanga84858 ай бұрын
Napenda sana kumsikiliza Makonda is a real leader anakusikiliza anatoa utatuzi immediately na always yupo sahihi kwenye maamuzi na hiyo ni ishara ya akili kubwa.
@usembiphonedar56328 ай бұрын
Ni kweli ndg lakini ujue huyo amepewa nafasi hiyo kwa lengo la kuisafisha ccm na kumsafisha Samia! ili uchaguzi ccm ipate kura za kanda ya ziwa na sehemu zingine za Nchi ambazo ccm imechafuka! ila baada ya uchaguzi wananchi watajuta! Mbona Makonda haongelei mkataba wa milele wa kinyonyaji wa kifisadi wa Bandari IGA ambao ccm na serikali yake wamepitisha kuuza rasilimali za Watanganyika milele! Mbona Makonda haongelei katiba mpya na tume huru ya uchaguzi inatapatkana lini! Mbona Makonda haongelei ripoti ya CAG ambayo inawataja mafisadi majambazi majizi yanavyoiba pesa za walipa kodi huko serikalini na hawashughulikiwi wala kuwajibishwa!??? Tunatakiwa kujitambua wananchi tusidanganyike tena! Hapo ni kura zinatafutwa! Ngoja uchaguzi Upite uone majuto kwa wananchi kuichagua ccm! Angalia bungeni mabunge yanapitisha kila kitu ni ndyoooo tu bado wananchi hawajaamka tu!
@nickodemsimchimba5948 ай бұрын
Kiukweli makonda ana kibali sana mbele za umma wa watanzania 💥💥💕💕💯💯💯💯nyota yake itang'aa sikuzote
@raymondkafyulilo66366 ай бұрын
Lakini mikono yake inanuka damu twendeleee kusubiri muda utasema
@robertigohe74778 ай бұрын
Makonda deal na viongozi ndani ya Chama chako kama Mwenyezi itikadi...pia deal na viongozi wa serikali inayoongozwa na Chama chakoccm. Chadema siyo tishio kwa namna yoyotektknchi hii,chadema ni Wazuri wanakuonyesha wapi kuna ubovu
@barakaodongo31268 ай бұрын
Hongera Mr waitara
@danielmushi57558 ай бұрын
Waliokamata pikipiki ni chama gani na serikali ipi?Tuache kujitekenya na kucheka wenyewe.Tuache hadaa,Watz tumeelimika.
@faumahona57698 ай бұрын
Kwaiyo unasemaje ziendelee kukamatwa au?
@yasiniselemani86728 ай бұрын
@@faumahona5769😅😅😅jamaa anazingua
@ProducerStevemixing8 ай бұрын
Haya mambo magumu sana. Polis sio chama ila polis wako chini ya chama lakin wanajisimamia ila chama tawala kinawez kuamua jambo ambalo halikai sawa
@danielmushi57558 ай бұрын
@@ProducerStevemixing mbona oolisi wanakisaidia chama kuiba kura?oolisi watekeleza Sheria ya serikali ya chama .this is double standards.Una create tatizo na kujidai kulitatua ili upate sifa!!😳😳
@aronlwabukoba23068 ай бұрын
Naomba selikali iwe na huruma na watanzania siment kenya 15000 siment Tanzania 25,000 , selikali yetu haion haibu kweli, tatizo la selikali yetu inaweka kodi kubwa sana kwenye bizaa.
@ibnhassan99808 ай бұрын
Lipo Tatizo
@samwelimarwa52678 ай бұрын
Makonda ww ni zao la magufuli,endeleza na kusimamia haki za wanyonge,nawe utabarikiwa sana,ujumbe,kuna bibi anaitwa mjane anaitwa Matinde nyandege katika kitongoji cha Nyakalima-Ganyange shamba lake lilivamiwa na Lagilo jirani yake,bibi kaenda mahakamani kashinda kesi,lkn Lagilo kangangania hataki kutoka,sasa viongozi kama ww jasiri ndie unatakiwa kumkabidhi huyu bibi eneo lake kisheria.Ahsante.
@FranceaAyo-st7lt8 ай бұрын
Karibu arusha
@Oscarmarwa-fitnesstrainer8 ай бұрын
Mbuge bure kabisa hamna kitu hapo
@stellamuyenjwamboyi75598 ай бұрын
Nenda Bukima murangi chumwi ,mabui hawana maji safi na salama
@ericnganunga53298 ай бұрын
Makonda nakuombea kwa mung naiman mungu atzkusimania chaka kaz kaka.
@user-et2ci1rl1y8 ай бұрын
Kweli awamu nyingine makonda anafaa hata kuchaguliwa kua waziri mkuu mana anamaamuzi hapokwa hapo anafaa sana
@kingungemaster48118 ай бұрын
Kizur wanajuwa wanaongoza wananchi wapuuzi so wanaigizia baadae wanapga kura wanaachwa na Shida zao..!!
@user-go6rh9ov7h8 ай бұрын
Kweli makonda yupo vzr
@ostenmwakasita69608 ай бұрын
Tunawaomba turudishe vijana wa Jpm ndio hii Inchi itanyoka
@mwalimudavidkizazihuru8 ай бұрын
❤❤❤
@isaroryobakaryoki45928 ай бұрын
Tunashukru Sana kwa kauli zako ❤
@ericnganunga53298 ай бұрын
Mh: makonda, kilio cha mbalali kakaaa. Mbalali bila mpunga inawezekana.
@Oscarmarwa-fitnesstrainer8 ай бұрын
Hatatukutaki waitara
@user-ht7hp9jm4v8 ай бұрын
Wabongo Mungu aturehem nimemaliza
@user-ow3km3xy8k8 ай бұрын
hapo mnaongea sasa
@revickiuskalumuna72928 ай бұрын
Rudisha vitambulisho vya mjasiliamali maana gharama zake ni nafuu na vinapanua wigo mpana wa makusanyo!
@luganomwaigomole74418 ай бұрын
BADHITEEEEEEEE OYEEEE❤
@asingizibwejacobkalokola73518 ай бұрын
Sasa Makonda ashughulikie Wajumbe Mashina wapate posho maana Sasa Chama kina Miradi mikubwa na ruzuku toka Serikari I.
@aminaomary55678 ай бұрын
Mungu akulinde mtani wangu makonda kwa maamuzi sahihi👍👍❤❤
@user-ts6fh4si3m8 ай бұрын
Campeni hizo tusubiri baada ya uchaguzi mkuu,kuna machozi makubwa😢😢😢
@helpinghandstanzania8 ай бұрын
Tunakuamini sana mkuu
@user-md3xx7rd9z8 ай бұрын
Vimekutana vyuma vyenyewe😅😅 Nchi ipo kanda ya ziwa kama ikimpendeza mungu atende miujiza marais wote wawe wanatoka kanda ya ziwa kasoro uhayani😅😅
@shaibuyasssi86627 ай бұрын
😅😅😅
@anangisyejoseph9258 ай бұрын
Jumba bovu kaangushiwa mh makonda
@simbabbq44278 ай бұрын
Sania na mmewake makonda msiwasikilize wizi tu hao pambaneni wa tz2023 na 2024
@msafiriomary8938 ай бұрын
Inchi hii natamani hata kuhama imekuwa ya hovyo hata kwenye vitu vya msingi wanaingiza siasa
@FastonNsangila-mr4bq8 ай бұрын
Upcoming president
@richardnott44038 ай бұрын
Natamani ungekuwa raisi mh makonda mungu tufanyie miujiza pls
@GeorgeUsele-kr6qk8 ай бұрын
Akiwa rais hii nchi itanyooka......SEMA watamuua kAma jpm😂
@shizoshop24698 ай бұрын
Leo waitara anampigia magoti makonda 😂😂😂😂
@kalfanabasi47038 ай бұрын
Hakika hili ni zao la magufuli nakukubali sana broo pia nakuombea ufike mbali
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Kwanza lazima tujue kwann watu wanakamatwa..wakinunua saruji Kenya..? Je nani anawaruhusu kwann awaruhusu police wakamate watu Sheria nani aliitunga nani aliamuru Sheria itungwe pia kwann alifanya hivo..je! Tunafanyaje
@donaldbenedict57618 ай бұрын
Sikutegemea kama wana CCM baadhi nivihiyo kiasi cha mwita waitara mambo ayoyaongea ilikuwa yeye ayaseme akiwa bungeni nakazi ya kuwalipa wananchi ni kazi ya katibu mwenezi wa CCM au mawaziri hakuna jipya hapo hizi ni kampeni zimeanza angalieni mkiwachagua tu haya hamtayaona tena mtaburuzwa kama mbwa
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Ndio ukweli utabaki kuwa ukweli
@usembiphonedar56328 ай бұрын
Umeongea ukweli ndg.nami nawashauri wananchi watambue hii mbinu ya ccm kumtumia Makonda kuisafisha ccm na kumsafisha Samia kwa mambo yote wanayowafanyia wananchi! Hiyo migogoro yote wameitengeneza ccm na serikali yake! Miaka yote hiyo ccm uchaguzi ukikaribia wanakuja na porojo nzuri kwamba wanatatua migogoro na kusikiliza shida za wananchi,hivyo wananchi tuamke tumkatae shetani ccm na wafuasi wake wote uchaguzi ujao! Wananchi wasidanganyike na hadaa za Makonda huyo amepewa nafasi hiyo kwa mpango maalum kupiga kampeni na kutafuta kura za uchaguzi ujao kwa kuwahadaa wananchi kwamba anatatua migogoro na kero za wananchi ila uchaguzi mkijidanganya kuwapigia kura ccm baada ya uchaguzi kuisha wananchi watajutia! Maana kero zao zitarudi pale pale! ghalama za maisha zitapanda,tozo zitapanda,kodi zitapanda kama kawaida! Mnakumbuka kipindi tuliambiwa asiyekubali tozo ahamie Burundi? Leo tunaambiwa Makonda anasikiliza shida na kutatua kero za wananchi hizo ni mbinu za ccm kutafuta kura uchaguzi umekaribia! wananchi amkeni ikatae ccm uchaguzi ujao 2024/2025 msidanganye! Mbona hawaongelei mkataba wa Kijambazi wa Bandari ambao ccm na serikali yake wamepitisha kuuza rasilimali za Nchi yetu na urithi wa watoto wetu! Ripoti ya CAG hawataki kuiongelea kuhusu wizi ambao serikali ya ccm inaufanya na viongozi wake,leo wanadanganya wananchi kwamba wanatatua kero zao! Hizo ni hadaa tu kwa ajili ya uchaguzi kampeni zimeanza! Leo Makonda anatoa hela kwenye mikutano yake! Ulishamuona wapi Rais Samia anatoa hela kumsaidia mwananchi au hata kusikiliza kero za wananchi kwenye mikutano yake! Makonda mwenyewe amekaa benchi tangu kifo cha JPM Leo ndiyo wamemkumbuka kumrudisha ili aisafishe ccm na serikali yake na Rais kwa kutumia jina la Magufuli! Hizo ni danganya toto! Uchaguzi ukipita wananchi watajuta! Asante,Mwenye akili timamu ataelewa.
@mosesmaembe15288 ай бұрын
Makonda is on fire kwakweli
@radhiasalum71568 ай бұрын
Asee inaumiza
@conasmalale10738 ай бұрын
2025 utatupisha tu waitara heche anatufaa zaidi
@officialentertainment19958 ай бұрын
Heche halambi kitu hapo ndo utajua hujui😅
@kaundasutikaunda77698 ай бұрын
Piga Kazi Mh Makonda.
@martiniphilipo52298 ай бұрын
Duuuh,
@aminaosman33158 ай бұрын
,wameshinda kesi kiajabu lakini hakimu was haki mungu
@evansmtalo94068 ай бұрын
Hiki cheo alichotunukiwa makonda Mimi sikijui vizuri.kina nguvu kiasi gani?
@rachelmkumbwa87108 ай бұрын
Kikubwa wote kuanzia mawaziri wapo chin yake
@PhilipoMwita-wc1kuАй бұрын
Eti MASIKINI Hawa wajenge nyumba zao Dah kwakweli sisi tunatukanwa masikin wakati nchi yetu tajiri
@Silaswankyo8 ай бұрын
Hakika tumeamini kuwa CCM ina viongozi wanaojua ..kazi
@user-iy8mq9ii8t8 ай бұрын
Maswala ya bandari yameishia wapi?
@DanielTumaini8 ай бұрын
Waitara naona damu ya akwilina akwiline Bado inakutafuna Sasa cjui unataka kutoa ya nani Tena uchaguzi ujao ili ikimalize kabisa!
@user-ej8kd4og1c8 ай бұрын
Hzo ni salaam kwa wapinzani kumbuka makonda anakwenda na mlengo wa magufuri watu wanajua ndokambi.shida walidanganywa kila wakiamka nikumsema marehemu jpm vibaya wakati watz wanyonge walimpenda sasa ccm walivyo wajanja wamerudi kinyumenyume.tzama umati.kama wangenafika hata kama inauma wakakaa upande wa Magufuri wangechukua Nchi
@jumayahaya86098 ай бұрын
Mbona mh heche alishalisemaga hilo siku nyingi
@stevesungura67898 ай бұрын
Kana watanzania wataingia kwenye huu mtego, basi kweli ujinga bado umetamalaki.
@estakapufi75828 ай бұрын
Ila kusema za ukweli kilaujitamsimini kila ikiwa karibu na uchaguzi kunakuwa na maneno matamu sana na kutulisha asali, hayamambo kama yangekuwa yanafanyila kila mwaka kusingekuwa migogoro sugu,minaona mnatupaka mafuta na mgongo wa chupa.
@evaemil8568 ай бұрын
Wajinga ndio waliwao. Km wachungaji feki wanavyowatafuna wananchi kwa kupakwa uchafu, kutemewa maji eti ya baraka, kudhalilishwa nk ndivyo siasa pia tutawatafuna kwa maneno matamu. Makonde oyeeee piga muziki. Na sasa waambie miundo mbinu safi mtakuja nayo hizi shida za umeme, maji na mafuriko tutaondoka nazo. Kuna zote kwenu 99.9% CCM itashinda.
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Umeona eee
@braingadau8 ай бұрын
Chief kama chief!!
@ericnganunga53298 ай бұрын
Kauli mbiu ya hapa kazi tu isisahaulike
@mwanyongamama44078 ай бұрын
MUNGU Mwema mnajitahidi Viongozi tunawaombea Sana
@user-cw2nj4io3v8 ай бұрын
Kazi ya Makonda ni kueneza sera za chama chake kwa wananchi, wala si kuwashughulikia viongozi wa vyama vya upinzani, hivi huyu mbunge anaelewa anachokisema kina tafsiri gani?,anawezaje kuwashughulikia, je anawachapa viboko au?,hivyo kateuliwa kuwashughulikia wapinzani siyo?,umh Mungu atusaidie ktk hili janga maana taifa inaelekea kubaya.
@eppiemodest8 ай бұрын
Makonda juuu. God Bless you Makonda. Ni likizo tu ulienda umerudi na nguvu mpyaaaa.
@frankjohn87068 ай бұрын
KWANI ni serikali ipi inayosababisha hayo na Leo kushtakia kwenye serikali ipi
@user-bm1gq2ww6h8 ай бұрын
Hamna lolote wase... mnawaza uchaguzi ujao tu wala hamna utetezi😢😢😢
@edwinipaschal-oq9cj6 ай бұрын
kazi ya lais anafanya makonda halafu elumbili na2025 lais anagombea ulaisi halafu anasema amesikiliza kelo za wananchi
@MoN_KaDO8 ай бұрын
JPM SPIRITUAL LIVE INSIDE MAKONDA
@mussangailo48408 ай бұрын
Ccm nyie lenu moja mnawahadaa wananchi kwasababu elimu yao ya uelewa ni ndogo mamlaka mnayo wenyewe sheria mnatunga wenyewe mkishika mic mnajifanya kumtupia mtu lawama
@usembiphonedar56328 ай бұрын
Asante kwa kuelewa mbinu na uongo huo wa ccm! Ndugu jitahidi kuelimisha na wengine ili kwa pamoja tumkatae shetani ccm na wafuasi wake uchaguzi ujao 2024/2025! Huyu Makonda wamemrudisha wakiamini kwamba huyu ni mtu wa kanda ya ziwa na alikuwa timu Magufuli hivyo kwa sababu hiyo akitumia jina la Magufuli kisafisha ccm na Rais Samia wananchi watamuelewa haraka hasa wale wa vijijini wasiyokuwa na uelewa mkubwa wa kupata habari muhimu! na ccm itapata kura nyingi uchaguzi ujao! Hiyo ni mbinu ya kuhadaa wananchi baada ya uchaguzi kupita yatakuwa majuto kwa wananchi! Wanawatukana vyama vya upinzani kwamba ni watoa taarifa je taarifa wanazotoa ni za uongo? ccm hakuna jipya! Kwa mfano wapinzani wanapigia kelele mkataba wa Kijambazi wa Bandari ambao ccm na serikali yake wamepitisha kuuza rasilimali za Watanganyika,! Wapinzani wanaongelea Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, pia wanaongelea uporaji wa ardhi unaofanywa na serikali ya ccm kuwapora ardhi wananchi kwa nguvu na kuwapa wageni! Kuwahamisha wananchi kwa nguvu mfano ni Ngorongoro na Loliondo! Wizi unaofanyika serikalini kwa mfano ripoti ya CAG imeeleza wanavyoiba huko pesa nyingi ambazo zingesaidia wananchi maskini wa Taifa letu! Hayo ni baadhi tu ya mambo muhimu na kuna mengine mengi! tozo,kodi kubwa kwa wafanyabiashara,kufukuza wafanyabiashara wadogo maeneo waliyokuwa wanatafutia riziki wengine wana mikopo wakapoteza mitaji na kufilisika! Mbona Makonda haongelei hayo!????? sasa hao anaoita watoa taarifa wanaongea vitu vya msingi serikali inakwepa kuviongolea! ccm wanakuja na porojo za kutafuta kura kwa kuwabembeleza wananchi kwamba wanasikiliza kero za wananchi na kuzitolea majibu! Hiyo ni kampeni! wakichaguliwa wakirudi ndiyo wale wabunge unaona yanapitisha kila kitu bungeni, kazi kuitikia ndiyooooo kwa kila jambo! watarudi kumalizia kuuza kila kitu! Tuwakatae kwa nguvu ya umma na Mungu atusaidie,Asante mwenye akili timamu ataelewa!
@jeremiahngoka49808 ай бұрын
Taahira anaongea
@ostenmwakasita69608 ай бұрын
Kwa mama usitutanie
@wilsonsegesa95948 ай бұрын
Kwaneema na uzma tele, miaka ya mbele ijayo Kat ya makonda na majaliwa mmoja wao atakuw mkuu wa nchi, by Renatus
@pharmaceuticaladviser17608 ай бұрын
Nakuunga mkono
@stellamuyenjwamboyi75598 ай бұрын
Ardhi na maji vijiji mabui Murangi chumwi tabu Sana hakuna maji safi na salama maji yako mbali
@erastomwambeje99208 ай бұрын
Sasa hiyo ndio serikali ya CCM
@AizackKalenge-ro5rc8 ай бұрын
Turudi kwenye mfumo wa Chama Kimoja,Maana inawezekana mfumo wa vyama vingi Kwa Tanzania sio
@hassanimainde99718 ай бұрын
Wewe ndiyo hujielewi kweliiiii, kwani hilo bunge la chama kimoja limefanya nini? Umeona kilichotokea bungeni? Jitambue Mtanzania wewe. Hivi Leo shida kila kona, milipuko ya kupanda kila pembe ya nchi, hivi Makonda peke yake atafanya nchi hii? Kweli ni maneno mazuri yenye matumaini lakini ataweza?
@edwardmagige31878 ай бұрын
Sikupendi hata bure utalia sasa hivi
@yassinrajabu65118 ай бұрын
kweli awa ccm wanatuzalau sana yani leo Makonda ndio anae lalamikiwa matatizo ya watanzania na sio raisi wala mawazili wake kweli viongozi wetu wamesha jua wananchi atujitambu na kwa siasa hizi wata tubuluza sana
@alphoncewilliam43258 ай бұрын
Chagua chadema
@mohamedyjuma81378 ай бұрын
Mawaziri wamekaa ofisini hawajui matatizo ya wananchi wao n waoga
@RamadhaniLukambuzi8 ай бұрын
Sauti ya Makonda ni sauti ya Mama Samia kamtuma kwahiyo hakuna shida.
@user-ev5xw1ev6f8 ай бұрын
Wee chama kikubwa
@KassimAlly-xp4dz8 ай бұрын
Hakika
@simonsadala23868 ай бұрын
Nchi hii inamatatizo kila kona tangu tulivyo ondokewa na Jpm mcheki sasa mbunge analalamika, wananchi wanalalamika uchaguzi wa 2025 vyama vya upinzani wangekuwa wamejipanga vzr nchi ingekwenda upinzani lkn kwa kuwa nao wanalalamika basi tuendelee kulalamika
@davidawet32148 ай бұрын
Amken wa Tz Hawa ccm wanatuigizia walikuwa wapi tangu mwanzo.
@user-er8go4ec7z8 ай бұрын
Hiyo ndo sifa za mwana CCM madhubuti makonda mm nakupongeza sana Sina shaka na ww kiongozi wangu
@Oscarmarwa-fitnesstrainer8 ай бұрын
Kwenda huko, maji safi hamna kunamgodi lakini maji watu wanakunywa maji ya madimbwi
@ibrahimjuma64598 ай бұрын
Mkuu wa mkoa huyu Mr mtanda jembe sana alifanya vyema Arusha akiwa mkuu wa wilaya aletwe Dar huyu mwamba
@yohanamayala4728 ай бұрын
Hiii Nchi ya Tz ina watu wasenge wengi kumamayeke
@DavidMutiba-hr3vo8 ай бұрын
Nchi haiongozwi kwa maigizo. Makonda ni nani? Majukwaa ya kisiasa na taratibu za kisheria za utendaji wa serekali wapi na wapi? Wananchi wanachezewa akili majukwaani na kupewa matumaini feki.
@wemastephan8 ай бұрын
Mh Makonda anairudisha ccm katika dira
@user-mi8bw4gv4c8 ай бұрын
Siasa za maji taka uchaguzi inakuja mbaanza kujikomba
@humphreymkony89158 ай бұрын
Bangi na gongo zilipiwe kodi?
@stanleylwiva60688 ай бұрын
Eti mnaroga na kuponya wenyewe halafu mjisifie kuwa mnatatua matatizo ya wananchi,ujinga huu kwa watz mpaka lini?
@EMMANUELNyamohanga8 ай бұрын
Sio siri unafaa kuwa kiogonzi wa mfano hila kuna siku mungu atakuona
@AlexMarkazamwapigehao8 ай бұрын
Mama ujakosea kumchagua
@yassinrajabu65118 ай бұрын
yani ukishindwa kuongoza taifa hili basi hautaweza kuongoza nchi yoyote duniani kwasababu ccm matatizo wana yatengeneza wenyewe alafu wana yafanyia kampeni kwa watanzania 😂😂
@MACHOYATAI-jk6fu8 ай бұрын
Umeona eee
@usembiphonedar56328 ай бұрын
Asante ndg kwa uelewa wako,elimisha na wengine wajue mbinu za ccm kuhadaa wananchi kwa ajili ya uchaguzi ili wapate kura,uchaguzi ukipita wananchi watajuta! Mbona Makonda haongelei mkataba wa bandari IGA ambao ccm na serikali yake wamepitisha kuuza rasilimali za Watanganyika! Wafute mkataba huo kwanza! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
@user-vl3mw6od9c8 ай бұрын
Guys makonda duhh! Nijembe LA taifa
@mdemualphonce15598 ай бұрын
Malizeni migogolo
@luganomwaigomole74418 ай бұрын
BASHITEEEEEE
@makejamaduhu76188 ай бұрын
Kwani tarime mnaupinzani
@peterpallangyo57448 ай бұрын
hizo ni siasa amna lolote, watu wanatafuta ulaji, ngoja tuangalie kama 2026 utasikia moto huu
Waitara nskupongeza kwanza wewe ku sema ukweli shida kumbe sio CCM Ni viongozi wasio waadilifu tunaiomba nahuku kwetu ktk wilaya ya Kiteto na Chemba wananchi Wana nyanya Sika ktkt maeneo Yao ya mashamba tuna nyanya dikaaaa
@OmaryBabere3 ай бұрын
Asant waitara
@bonabonala55598 ай бұрын
waitara na bashite wauza bandari tuu wafe mapema kama jpm amina
@ShinjeMackenzie8 ай бұрын
Hii mitanzania sijuwi ujinga utawaisha lini maana du maskini ni majinga kupitiliza
@cholocholo42648 ай бұрын
HUYU MAKONDA ALLAH AMPE AFYA NA NGUVU MAHIRI KATKA MAJUKUMU YAKE .HAWA NDIO VIONGIZI TAWAIWATAKA WANAODILI SANA NA WATU WA HALI YA CHINI.KILA LA KHEIR MAKONDO
@KassimAlly-xp4dz8 ай бұрын
Icho chama kimeongea lini kuhusu maelekezo ayo ya chama