Hongera dad kwasimuliz nzuri Sana nimepend sauti yako
@BenedictoMsigwa-hs3ze10 ай бұрын
Story nzuri yenye funzo bigup kwa sauti nzuriii ynye kueleweka
@user-dv1je6wu3l9 ай бұрын
Pole Sana dada angu kikubwa mungu akupe maisha marefu
@AmoneustaceNzisehere9 ай бұрын
Hongera sana dada nimependa chamusingi watunze vizuri hao watoto ni wa kwako safi sana na ubarikiwe saaaaana hata mimi ili nitokea hiyo high sana kwa mumeo alie kusiamia kama mwanaume safi teeeeeeeenaaaaaaaaa!
@Aisha-zi3ee3 ай бұрын
Nivizurii mwayaaa
@user-bo4dn1pg3j8 ай бұрын
Mungu amjalie Prince na protest wapate mke kama mama yao na princess kama baba ake
@user-ks7en8uc8x10 ай бұрын
Pongezi kubwa sana dada kuwa na Histiria nzuri
@user-mc7ei7ml9h7 ай бұрын
Yaani umenifulaisha San jins ulivyo mfundisha mume anavyo pembejewa wako wengi wanazarau waume zao kiss yeye mzur naakare uzuri wake mbele una baya shoshootu mungu hakutunze kristo hakuatamie Amen "
@mwinjumakombo9589 ай бұрын
nzuli Sana maadamu unajua simulizi upo vizuli sana
@philipomussa35407 ай бұрын
Pole sana dada vumilia ni mipango ya mungu ni bahati yako hiyo
@user-be7uj4jy3l10 ай бұрын
simuliz ni nzur sana na inafundisha
@user-wr6vk1eq7f8 ай бұрын
hta mmi nimeipenda istoriya Yako imenikusa mungu akupe wepesi hakusaidie Kila jambo
@mwinjumakombo9589 ай бұрын
hadisi iko vizuli Sana inafundisha ukiwa na mwenza usimzalau
@SaidyMashenene8 ай бұрын
Nakubali sanaaaa dada angu😊😅😮 10:56 🎉❤
@user-gn7rs8li8e10 ай бұрын
Hii simulizi ni nzuri sana pia ni fundisho kwa jamii
@user-tp6jr5np7e9 ай бұрын
Thank you my dear story nzur San pia inafundisha wadada weng wakaz kama hzo
@MagrethSadick-gy3lg7 ай бұрын
Amazing ❤
@user-no4ni7il3u10 ай бұрын
Hamujambo dada kwa kweli maneno unayo ongera ao maisha ulio pitia ni funzo kwa wanawake wanao olewa wfuate munzo hayo n'a wewe kwe'ye ulitaka kuharibu kuimba mtumishi nyimbani wamama asheni tabiua ya kuweka watumishi ndani ya ndowa zenu acheni uvifu wa kufanya kazi za nyimbani. Akisante
@neemakarisa14968 ай бұрын
Sio uvivu,Kuna vitu vyengine haifai kuachia dada wa kazi, mwana ume afaa ahudumiwe na mkewe sio dada wakazi
@jacquesramazanimweze8 ай бұрын
Vraiment hiyo nifundisho
@jacquesramazanimweze8 ай бұрын
Banamuke benye kua na ile tabiya basikiliye pale
@mporipori993 ай бұрын
@@neemakarisa1496 Neema we ni wife material 🥰🥰😋😋❤️
@LinusMsimbano-uq1kg10 ай бұрын
Daah!! Ahsante sana kwa simrizi
@user-nq8bo4zk8u10 ай бұрын
Daah. Hongera kwakumpata akupendae
@user-dp8gz4rf7x9 ай бұрын
Sauti yko2 mie inanikosha jmn!! Napenda kukskiliza Sana
@ngagishow26149 ай бұрын
Pole sana dada dunia ndiohivyo ilivyo
@ChubiAbuuАй бұрын
Nakupenda sna dada❤
@nkurunzizasyliver876210 ай бұрын
Asante sana dada kwa simlizi nzuli
@user-wy1og4vc4b10 ай бұрын
Umefanya vizuli sana dada nakupenda❤❤
@user-ix9fp1kx8p8 ай бұрын
Nimeipenda sana dada maua yako 🌹🌹🌹🌹
@chrissmo919810 ай бұрын
❤daah nzur san nimenjoy
@user-nr8hs7mb6u8 ай бұрын
onger sister kwa saut yako na simuliz nzur
@EstherBitengo Жыл бұрын
Wauu very nice story ❤❤❤
@user-ic8mc3bd8l9 ай бұрын
Hongera ❤❤❤❤🎉🎉🎉
@amanimediatv180210 ай бұрын
Asante sana dada urifanya vizuli sana 💯❤️💕
@KhamisSuleiman-yf6tt11 ай бұрын
Mmhhh hongera kw kweli, allah akuzidishie kw kila la kheri ktk ndoa yko ok .
@user-xc3up1zv2e10 ай бұрын
Mungu hakupe mahixha marefu kwenye ndoa yako
@officialbutalent7 ай бұрын
daaaaaa❤🔥❤🔥❤🔥
@user-lq9tx7fk9i8 ай бұрын
Aiseeeeeee kwa kwel nimeipenda hiyo ina mafunzo mengi
@SolangeSoso-qb5ft11 ай бұрын
Wow nimeipenda iyo bie sana
@LinahDalleii-tw5vg7 ай бұрын
Jamanii story is so amaizing🎉🎉🎉
@wwrr5077 ай бұрын
Story yako nzuri dada
@user-vx7ce9kh5t9 ай бұрын
Mwanaume anatakiwa kuheshimiwa, kipaumbele na utulivu wa nafs asante dada kwa story yako nzur
@joykukome36807 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-um8lt3vx3u6 ай бұрын
Nimeipenda sana emungu namm siunijalie mwenzangu mwenye upendo kama hiv
@emmanuelahmedbyona23534 ай бұрын
Etv@@user-um8lt3vx3u
@pendezaphilipo31004 ай бұрын
@@joykukome3680see 3
@dozbilavipimocr7bilavipimo2184 ай бұрын
Waaaaa😊😊ddd
@user-tj8pv2qx2y10 ай бұрын
Nzuri sana hii simulizi
@munirfadhil41964 ай бұрын
Aisee hongera kwa simulizi nzuri dada🎉🎉
@kelvinndaisabha74288 ай бұрын
Wow I have loved ur story it was mistery ever ❤
@kotadapotar509411 ай бұрын
ASANTE MADAM KWA STORY MZURI SANA 🇹🇿🇬🇷⛴⚓
@monicamose171010 ай бұрын
Its Amazing very interesting story be blessed my dear.❤
@NtakirutimanaJuma-ru4uu10 ай бұрын
E
@DorotheiBanzi9 ай бұрын
.
@user-ff4mc3zj3j10 ай бұрын
Mmmh hongera hapo watot mliwaacha wapi
@vero756 Жыл бұрын
😂😂😂😂heeee wengine Hua tunakosea wapi jamaniii 😂😂simulizi tamu sana❤
@user-ey5dc3le5i5 ай бұрын
Kweli kabisa dadaake mungu akubariki sana angekua wanawake wapo hivyo wote jmn engekua dunia niutulif kabisa mungu akupe ujasir saidi kpz
@user-xe6cc5lj7e8 ай бұрын
Nika zuri kabisaaa❤❤❤
@user-gi1dd1fx2s Жыл бұрын
Simulizi zuri sana, na asante kwa unyenyekevu wali. Sasa dada mwezi miwili jamani hauja mupa mweziwe, wakati sisi uku wiki mbili tu ta yari.
@DinaPhirbeth-qp2xn9 ай бұрын
Jamaniii dada nimependa story ako mngu akubalik
@samwelmagodi7539 ай бұрын
😂😂😂 ety wiki tatu tu tiari huo wote ni wivu wa kuogopa kuibiwa na wadada wenzako nje ss huku wanawake wanamaliza miezi 3 ndani bila kuguswa 😂😂
@user-gg2nz3nj9x9 ай бұрын
Dada kwel stor yk inafdsh huyo. Mwananme hanabaht
@user-rf5qc5mo9h7 ай бұрын
Eejamanii tena
@user-rf5qc5mo9h7 ай бұрын
Ee dada pole sana
@husseincabubaker10 ай бұрын
Hongera kupata mume bila kuhangaishwa na wavulana
@GidionZabron-em6wc10 ай бұрын
Mungu atupe nguvu za kujilinda
@user-gz4rc4ox1h7 ай бұрын
Dah story nzuri dada ❤❤❤❤❤❤❤
@JumaChome-hq6db7 ай бұрын
Hongera Kwa story Yako nzur dada ila unatakiwa uwe na mapenz ya dhati Kwa kaka yetu siunajua sisi ndo wanaume wenyewe hivyo hatupend kuumizwa kabisa nafikir unalijua Hilo sister Thanks.
@SolangeSoso-qb5ft11 ай бұрын
Asata sana kwa Historia nzuri
@user-td8ey4hr2x11 ай бұрын
Hongera sana wanawake n wengi sana ila wanaojua majukum yao kwa waume wao n wachache sana😮😮😊
@AzizaSaid-ks6pp4 ай бұрын
mungu akujaliye namoyo uouo allah atakufanyiya wepesi inshaallah
😂😂😂😂 jamani simuluzi tamuuuu.......sasa boss wako unamuita baba ....evaaa
@JulianaRubara-jg8fq8 ай бұрын
Hiyo story aina utofauti na yakwangu,,, na mm bosi wangu sasaivi namuita baba hugo, kiukweli watu tunatoka mbali mnoooo ila ukimwamini Mungu nguvu ya msamaha na uvumilivu huwa inatoka kwa Mungu mwenyewe,,,😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 ahsant Mungu kwakunifikisha hapa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@janethkomba448511 ай бұрын
😂😂😂😂Eti unajikuta unakojowa adi upepo mweeh🙆
@user-qb5tp4dh1g9 ай бұрын
Apa naminimecheka upepo
@user-ec4hd2dl2q8 ай бұрын
Kwel hii kiboko
@user-bi5pe2bq7x10 ай бұрын
Asante Sana kwa simulizi hii ata mm nimepata somo kiasi
@esnartmagoti64389 ай бұрын
Stori nzuri
@user-oc6sf1dg6f3 ай бұрын
Pole Dada nimejifunza mengi sana❤
@monicachanya488510 ай бұрын
Hongea sana
@JustineKileo10 ай бұрын
Hii kali xana, short and clear.
@user-en6mc1vg4u10 ай бұрын
Asante kwa story
@asiashaban82834 ай бұрын
❤❤❤noma Sana uko vizuri
@DeborahMwakalinga4 ай бұрын
Ahsante kwa stori nzuri
@user-qg3re7tb1g7 ай бұрын
Fire my dear sister ❤❤❤❤❤
@SalomeMtonga9 ай бұрын
Jamani pole dear ila wanawake wengi wapogo ivyo yan ila wanawake wenye ndoa zenu mjifunze
@MwanamisiAthuman-gn7cc7 ай бұрын
Hongera daa
@rizikisalama299511 ай бұрын
Asante Kwa story yako ni nzuri lkini sio vizuri kutembea na boss
@maglanloi793710 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@SiryvanusStephen10 ай бұрын
@@maglanloi7937lp
@user-di8uw1mb1b10 ай бұрын
Hari yako
@user-di8uw1mb1b10 ай бұрын
Hujambo
@fundimkuut.v29739 ай бұрын
@@maglanloi7937mungu atakusaidia usikate tamaa
@komboziyego144710 ай бұрын
Waaaah Kabisa inanigusa
@user-bx2my2dw6m10 ай бұрын
Hiyosimulizi nivigumu sana kuikatisha njoani ,maana inampeleka mtu yenyewe hadi mwisho.
@mwinjumakombo9589 ай бұрын
simulizi hi Dada inafundisha Sana kwa wale wanawake wanaozalau wanaume wao katika ndoa wakipata TU wanaume wasnje wanazalau I
@MwanaidiMwanaidi-yl3wo4 ай бұрын
Nakupenda sana dda
@user-vz7qe8im6d7 ай бұрын
Good story nimeipenda kweli
@SebastianSteven-pt8kh2 ай бұрын
Kunawanawake wasiojua dhaman ya ndoa zao kwakweli mitatizo kubwa mnohasa kwetu wanaume daah Ila mungu katupkazi kubwa Sana an polesana nifundisho kwawengine
@user-gz4nk6hj9w7 ай бұрын
Amazing story ❤
@ErastoSwallo10 ай бұрын
Wanawake mpo twende na wakat mnajisahahu sana Kwa ninyi mlio bahatika kuolewa