Kwa majina naitwa milagros Manuel, ni mtoto wa pili katika familia ya mzee Manuel. Iliokua na watoto watatu wa kwanza akiwa kakangu Michael kisha mm na wa mwisho akiwa ni mdogo wangu moreen.
Пікірлер: 385
@ankojay_ Жыл бұрын
Mtoto Wa Doctor Part 02 Bonyeza Hapa kzbin.info/www/bejne/jZvFepR6Z9WBe5o
@PhoebeWafula-d6c Жыл бұрын
Asante nimepata
@PhoebeWafula-d6c Жыл бұрын
Asante nimepata
@SophiatembaTemba10 ай бұрын
Pt 2 mtoto wa doctor
@FatmahJailani9 ай бұрын
😊
@SifaMukundabandi7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭 iyi simulizi inaniliza saaana
@mishymorgani5828 Жыл бұрын
Ila ndugu!!!!!! Nyie, ujue katika haya maisha tunatafuta ela kwajasho Sana lakini kuisha zipata ndomaadui wanajitokeza, katika hili umakinibunaitajika Sana,
@hanifahanifa1010 Жыл бұрын
Sana my
@medinahsamita3981 Жыл бұрын
Huyu mrembo hakusikia hisia tofauti but ukimpenda mtu huaga unamfill pole ❤❤
@ZakhiaLevocatus Жыл бұрын
Daaah pole sana my dear wapndwa 2waombe wazazi wetu waishi maisha mareef pole sana simlz yako imenigusa sana shukuln sana ankojay kuifkisha simliz hii kwe2 2mejifunza vingi namna gani yakuishi nawatoto we2,
@RahelIbrahim-id2li7 ай бұрын
Saaana saaana
@ruthwaithera2650 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 ANKOJAY wetu na venye anajua kujisifia....kizungu jamani 😂😂😂😂 you made the simulizo worth listening...nakupenda bure❤❤❤❤
@elizabethkigava7453 Жыл бұрын
Twashukuru kwa simuliz nzuri anko j MUNGU aendelee kukujalia uzima uendelee kutufunza
@uwimanaantoinette6417 Жыл бұрын
Asante sana anko jay kwa simulizi nzuri inahuzunisha mara unatuchekesha 🥰🥰
@ankojay_ Жыл бұрын
Ahsante sana
@RahelIbrahim-id2li7 ай бұрын
@@ankojay_umejaliwa kipaji cha ajabu
@dinahwafula2538 Жыл бұрын
Huyo babako mdogo anausika mbona ana panic hivo anajishuku pumbavu zake mali inafanya umuue nduguyo kwa kweli dunia haina huruma😢
@alliymohamed60186 ай бұрын
Hongera sana ni simulizi nzuri sanaaaa🌹🌹🌹🌹🌹🙏
@ashaalii4484 Жыл бұрын
Waaau anko j nice story naipenda tuuù sana
@ruthwaithera2650 Жыл бұрын
Itabidi nilale nikingoja simulizi..na bila shaka ya lisa mwalla na msimulizi Ankojay they never fail ....comment baadaye
@dianadiana2958 Жыл бұрын
Simulizi nzuri anko ila umekawia sanaa part two hadi tutaisahau
@ankojay_ Жыл бұрын
Diana , Part 02 ipo, ila inauzwa
@IreneFuraha-y6z Жыл бұрын
Asante Sana madam Lisa pamoja na anko jay kwakutuburudisha
@ataamansi8941 Жыл бұрын
Mmm kumbe mtu nyumba yao ni ya nne tokea hapo, bila hofu ameruhusu mtu aingie ndani wafanye mapenzi gizani, hivi hata sauti hakuijua, pia huyo msomi kwao ni karibu tu nyumba ya nne,huyo yatima kwa mateso anayopitia alipata wapi ujasiri wa kumwingiza usiku mwanaume ,je sauti haijui,** haya tuendelee kusubiri kifuaatacho Tujue, maana sielewi kama vipengele viwili hivi 🧏katika hii simulizi, kwa vile ndiye mtunzi bora sana kwangu ngoja niwe na subira sehemu ijayo huenda 🤷🤌
@MaliamAntony5 ай бұрын
Eeeh Mungu wanabariki mama na baba yangu maisha marefu na hata wazazi wawatu wengine maana bila hii dunia ukiishi una amani eeeh Mungu sikia maombi yangu
@BiubwaMo Жыл бұрын
Mtihni hii simulizi inahuzunisha ya rabbi nipe umri mrefu pamoja na afya niweze kuwalea wanangu amiin amiin Allahumma amiin
@moonekeenei9783 Жыл бұрын
Anko jay simulizi moto sana,but part 2
@elizabethfrank271 Жыл бұрын
Hatimae imeanza jamn kaaaaa😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌tuliisubiri sana asanteeee anko jay ❤️❤️🥰
@StellaMalando Жыл бұрын
Jamn nimelia sana imenkumbusha mbali sana ..
@ritaisaya1424 Жыл бұрын
Asante sana Anko Jay, nitarudi badae 🏃
@muhammedsalum7265 ай бұрын
😭😭😭😭😭 daaaah inauzunisha Sana Sana . M/mungu atulinde waja wakee
@Shuu.A Жыл бұрын
Shukran anko J pat 2 pls ❤
@rizkimw1301 Жыл бұрын
Pole dda kwa maumivu unayo pitia
@fawzialmaashari9857 Жыл бұрын
Naomba sehemu ya pili ya mtoto wa docta
@MudySalah6 ай бұрын
Me wa mwisho nasubili mpaka zitoke zote ndo nasikilixa staki story nusu Asante sana ankojay
Na kwa dunia yetu ya sasa ni wa kutafuta kwa darubini,,,maana usaliti ni mwingi,unafiki kwa sana
@Pretty22750 Жыл бұрын
😢😢😢popote mahali yatima wapo mungu awafungulie neema yake
@maryammaryam5503 Жыл бұрын
🙏🙏😭
@deogratuskakuru Жыл бұрын
Simulizi za anko j zinanitoa machozi Sana maana hata mm napitia magum Sana kwahyo nikisikiliza nafarijika Sana naona Kama yangu afadhali kidogo
@Pretty22750 Жыл бұрын
@@deogratuskakuru believe in God coz he is everything to whom is depending on him he never fails us I feel pain for dear but every time every moment God is in control 🙏🙏🙏
@violetmulya Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🥰🥰🥰
@sososonia1956 Жыл бұрын
Amiin 🙏🤲😭
@mwanamisikifogo869 Жыл бұрын
Akojay hebu rudiya tena hiyo sentence ya kizungu mana imenikosha sna 😂😂😂❤❤❤ napend sn simulizi mm kwa kweli