GPS: URAFIKI wa PUTIN na JINPING unavyozipa nguvu URUSI na CHINA na kuwatisha US na Wenzake (Part 2)

  Рет қаралды 14,796

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 227
@kelvinmacha1663
@kelvinmacha1663 3 ай бұрын
DJ SMA kashiba sana Madini, Facts and Logics
@osmanmohammedosman5493
@osmanmohammedosman5493 3 ай бұрын
Nilikua nimekaa nasubiri hii part 2 ❤
@nassibkahindi4400
@nassibkahindi4400 3 ай бұрын
listenimg from kenya, sns, the only place i get to learn from, the world... yani mnajua hadi bax tu
@bethkonga7944
@bethkonga7944 3 ай бұрын
Hii think tank ni nzuri hasa kwa vijana wa Africa ila naomba cku zijazo waaliken wanadipromasia wetu kama mabaloz kama kuna namna yakuwapata watu wa usalama hasa vijana kama kinapolepole waje tuongee na mshauliane hapo
@nzungushikombesekei
@nzungushikombesekei 3 ай бұрын
😢Ninyi vijana mko vizuri Sana sijaona kama Ninyi mnavyodadavua Uzarendo wenu uko vizuri Sana mnahiyaji kuungwa mkono kila Kona.
@JumaSJuma
@JumaSJuma 3 ай бұрын
Nawakubali Sana Hawa jamaa na uchambuzi wao
@GonaNzaro
@GonaNzaro 3 ай бұрын
Pamoja kutoka Kenya
@yohana4kitila248
@yohana4kitila248 3 ай бұрын
Gps nimeipenda sana. Naomba sana mjitahidi mtumie kiswahili fasaha , mnajisahau mnajikuta mnachanganya sana kiingereza wengine mnawaacha maana zingine hawajui. Kwa ujumla Gps kweli inaona Kila Kona . MB zangu naona inaisha Kwa chakula Cha faida.🙏
@RaphaelJickson
@RaphaelJickson 3 ай бұрын
Umenena kweli mswahili
@BigZhumbe
@BigZhumbe Ай бұрын
Wewe unafikiri ni rahisi kutafsiri kila neno la kingereza to kiswahili?
@niyonkuruasman
@niyonkuruasman 3 ай бұрын
Uyu mchambuzi aliye ongezeka nimkali kabisa respect
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 ай бұрын
Sio kwamba hawajui, wanajua vizuri tu ila baadhi yao kasoro Ally huyo wanaweka upendeleo zaidi, yaani hawabalansi story.Ila yote kwa yote hongereni sana.
@Nasbakr
@Nasbakr 3 ай бұрын
Masha Allah sma kwa aya yako ya hofu
@Nasbakr
@Nasbakr 3 ай бұрын
Masha Allah, u guys mmetisha!! Henry nae yupo vzr krb sns
@joshemman520
@joshemman520 3 ай бұрын
Bro nmeamka saa 8 midnight i cant believe nmesikiliza hadi imeisha now ni saa 10 …. Broo never stop doing this content
@jerryndondole1965
@jerryndondole1965 3 ай бұрын
Hawa jamaa wanaijua Geopolitics aisee,shout out to 'em
@mwanahamisrashid7787
@mwanahamisrashid7787 3 ай бұрын
Mashallah yn mmeupiga mwingi mpk unamwagika GPS haichoshi mungu awabariki Sana tumeyajua mengi 🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@jumaseif7514
@jumaseif7514 3 ай бұрын
Vizur sana
@jumamsofe7897
@jumamsofe7897 3 ай бұрын
Nawaelewa vzr,haya ndio mambo tunayopenda kuyasikia
@user-iu8hb5yc2e
@user-iu8hb5yc2e 3 ай бұрын
mko vizuri bro ..all the way from Mombasa kenya . Nawafatilia sana.
@FreeGod368
@FreeGod368 3 ай бұрын
SMA ni AI ya TZ anajua kila kitu ata bla kusoma coz he can connect dots to get answer
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 3 ай бұрын
Pia napenda unyenyekevu wake na kujiamini kwa kile anachokipenda, na kujenga hoja, logic na facts. Asante sana Sma.
@amirizedy8411
@amirizedy8411 3 ай бұрын
Allah awaongoze Wana sns wote awape maisha marefu nawafuatilia nikiwa south Africa cap town makala zenu nazipenda saana hasa kipindi kipya cha gps❤❤❤
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 3 ай бұрын
Hongereni sana..hili ni bonge la show
@Muhammedramadhan-xl6yg
@Muhammedramadhan-xl6yg 3 ай бұрын
Safii sana nawafatlia sana wakuu
@3erffeoui86
@3erffeoui86 3 ай бұрын
next topic naomba ikuwe la bara la AFRICA please much love from kenya
@farujohn622
@farujohn622 3 ай бұрын
Hongereni. Sana mpo vzr sana mnaonekana kira mmoja kajiandaa sasa muichambue East Africa
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 3 ай бұрын
Hongera sana uncles you are the cream Brain
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 3 ай бұрын
Ebana brz sky unatisha sana kwa hiki kipindi mnacho kirusha kiukweli mpewe tu mauwa yenu 🌹🎉🌹🎉🌹🎉
@user-gu3ez2if8k
@user-gu3ez2if8k 3 ай бұрын
Tunaitaka sana iyo topic kuhus Africa
@manyamalima1916
@manyamalima1916 3 ай бұрын
Best discussion so far hongera sns family
@josephm4233
@josephm4233 3 ай бұрын
I love the show, thank you so much guys. You are amazing analysts. Mwinuka should try and I give others space to talk as well
@MumbereMusulefiston
@MumbereMusulefiston 3 ай бұрын
Kiukweli tuna mushukuru mungu sana kumuona tena dj sma n'a afia pia yule jamaa anaonekana yupo vizuri sana tunamuitaji pia brother sky
@piussogoye
@piussogoye 3 ай бұрын
safi sana nawafatilia sana wataalamu. big up sana SMA MZEE WA KIDIG DIP DIGAA😆
@benmcdream2268
@benmcdream2268 3 ай бұрын
Mnajua sana honger kwenu
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 3 ай бұрын
GPS, full tim. Mwenyez Mungu awajaalie maisha marefu yenye afya njema.
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 3 ай бұрын
DJ simaa I love you 🎉🎉 Allah akulinde inshaallah
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 3 ай бұрын
Nondo🔥👌
@lucasmartin431
@lucasmartin431 3 ай бұрын
Ally Masubi, unchambua vizuri....Wape wenzako nafasi maana Sometimes unakuwa Unarudia rudia Maneno....Labda kama Wana kumentor. All in All your Doing Great 👍
@nassoroshakiru7094
@nassoroshakiru7094 3 ай бұрын
Ahsanteni saaana kwa uchambuzi makini. Mimi nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭, kwanza kabisa ningetamani kuona mnaizungumzia NORTH KOREA kwa urefu na upana na ushirika wake na Urusi na China lakin pia hali yake ya ndani ki biashara, wanafanya Biashara na nani na wanaishije ikiwa wana vikwazo vingi na vipi kuhusu biashara zao kama nchi!! Yangu ni hayo na nadhani GPS itakuwa ni mwanga sana kwetu sisi wapenzi wa hizi mambo🎉❤
@SerahGlam
@SerahGlam 3 ай бұрын
THERE'S ONLY PODCAST I CAN LISTEN FROM THE BEGIN TIL THE END IS THIS❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti 3 ай бұрын
Thank you Serah
@kassimbayuu
@kassimbayuu 3 ай бұрын
Henry upo vizuri snaa big blaza,
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 3 ай бұрын
Mpo vizuri sana
@saidiomar6642
@saidiomar6642 3 ай бұрын
Mm nawakubali sana
@edwinaura-yk1ei
@edwinaura-yk1ei 3 ай бұрын
Allah atuongoze sisi vijana wa kiafrika
@user-km4kb3xj3y
@user-km4kb3xj3y 3 ай бұрын
mko vizuri
@feisalaley3629
@feisalaley3629 3 ай бұрын
Sns mko vizuri nafatilia nikiwa ZANZIBAR KISIWA CHA PEMBA
@slimsan3859
@slimsan3859 3 ай бұрын
Mmetisha sana. Salute...!
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 3 ай бұрын
You are next level
@temonilupondo7374
@temonilupondo7374 3 ай бұрын
Good content Good stuff
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 3 ай бұрын
Ni mjadala mmoja amazing sana wallah, brothers keep it on Sina tu money ninge wa congratulate mpate maji ya kunywa.
@Crisparis333
@Crisparis333 3 ай бұрын
Nimesubiri sana yan hii party two 😂
@erickericsson3584
@erickericsson3584 3 ай бұрын
Asante sana
@hamimhassan9354
@hamimhassan9354 3 ай бұрын
Sky, Sma dj, Ally na mwinuka. Brothers Allah awaweke sana tunapata elimu kubwa ya utambuzi na mnatujenga kuufahamu uzalendo.
@rizikially9535
@rizikially9535 3 ай бұрын
Napenda sana hii group jamani
@fikirininasoro5272
@fikirininasoro5272 3 ай бұрын
Aisee naikubari sana sns
@golebenson4597
@golebenson4597 3 ай бұрын
Nikewakubali ile mjichunge kuna baadhi hawapendi mnavyo toa eleimu viv sns🎉🎉🎉
@francismichael1258
@francismichael1258 3 ай бұрын
Dj nakukubali sana huko vzr ukweli ndio huo
@nassersaid920
@nassersaid920 3 ай бұрын
Well done guys....mpo vizuri katika uchambuzi. Keep it up
@dereckdavid9609
@dereckdavid9609 3 ай бұрын
This is it 🔥🔥🔥
@Binja4
@Binja4 3 ай бұрын
smaaa akukbali sana
@sulleyally5040
@sulleyally5040 3 ай бұрын
Hawa jamaa nawakubali sana nimekua naifutilia sana sns nawala sitaicha mpaka mwisho wa maisha yangu yote
@EmanuelMkongwi
@EmanuelMkongwi 3 ай бұрын
Natisha sanaa wakuu respect
@ndizindeleti761
@ndizindeleti761 3 ай бұрын
Namkubali sna ally akiwa na skai ila na mkubali dj smaa akiwa katik makala zake binafs
@hilarymark7583
@hilarymark7583 3 ай бұрын
Tunafurahia sana kipindi hiki
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 2 ай бұрын
Dj Sma and Henry 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SaidyMwajeka-tr7oj
@SaidyMwajeka-tr7oj 3 ай бұрын
Very nice guys big up
@deusisindwa616
@deusisindwa616 3 ай бұрын
Asnt sana,,binafsi nmeioenda chanel hii
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 ай бұрын
Sky Karibu Crown media .Nadhani king kiba ameona isi comment Na atalifanyia kazi . Kaka Sky Na mkubali Sana anajua kutangasa . Nikiwa Nairobi gikombaa
@juliusphaustine
@juliusphaustine 3 ай бұрын
Nawakubali sana wakuu by julius from dareslaam
@adolphyamin1245
@adolphyamin1245 3 ай бұрын
Brothers, unyama mnaoufanya hapa SNS ni mwingi sana 🔥🙏
@joshemman520
@joshemman520 3 ай бұрын
Hongera
@mohammedmfamau43
@mohammedmfamau43 3 ай бұрын
Mungu jaalia mmoja wenu aje aiongoze tanzania
@SerahGlam
@SerahGlam 3 ай бұрын
Watanzania hatuna msimamo na hatuna uchungu na maisha ya vizaz vyetu vya baadae,pia elimu yetu ni duni na hatuna uelewa but i thnk mwanga unaanza kutuangazia kuelewa ukubwa wa mambo mnatungua kiaikl na kutufundisha tusio yajua,miaka ijayo kipindi hk kitakumbukwa na mtakumbukwa harakat zenu za kutuelimisha SHUKRANI KWA WOTE
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 3 ай бұрын
❤ SNS kupitia sky na timu hongera napata ratha ya kitu adimu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 ай бұрын
Naomba kipindi chetu cha Global Position System mjadili Hali nzuri ya Uchumi wa Angola na Zimbabwe baada ya China kuingia katika Nchi hizo. Zimbabwe na Angola wanakimbiza mwizi kimya kimya. Natabiri baada ya miaka 10 watakuwa na Uchumi mkubwa kuliko South Africa, Bostwana na Nambia
@abuubuza6866
@abuubuza6866 3 ай бұрын
Safi
@josephissa4406
@josephissa4406 3 ай бұрын
I real like Henry anatumia lugha rahisi na inayoeleweka .. Sma, Ali wote wapo smart .. Next sesion tufungueni akili waafrika hasa kundi letu la vijana..
@lucasmartin431
@lucasmartin431 3 ай бұрын
Ally Masubi Unaboa sana ....Acha ujuaji Wape na wengine Nafasi waongee
@michaeljuma254
@michaeljuma254 3 ай бұрын
I love the conversation and bit of argumentations. Very interesting and I acknowledge that we are getting aware of the geopolitics knowledge
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 3 ай бұрын
Nilikua nasubiri part 2 kwa hamu .
@jkifutu7936
@jkifutu7936 3 ай бұрын
Nawakubali sana wadogo zangu nopo zangu Tokyo Japan na wapata vizur sana kilasiku
@ibrahimshabani3544
@ibrahimshabani3544 3 ай бұрын
mimi Nasikiliza kutoka chalinze nakubali Uchambuzi wenu Nawafwatilia vipindi vyenu sana mko vizuri kuchambua mambo mbalimbali duniani
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 ай бұрын
Ukizungumzia mahusiano ya China na Russia moja kwa moja unazungumzia Umoja wa BRICS ambao umelenga dedollorization na kuwa mbadala wa Jumuiya ya Madola, World Bank na IMF. Natamani kujua Tanzania tumefikia wapi kuwa Wanachama wa BRICS
@user-gw1pe8en7x
@user-gw1pe8en7x 3 ай бұрын
Mzee kwa uchumi upi huu waupigaji afu waizi twawaficha nyuma yamlango, atutaki mateso wanamchi wa dola 1 xie
@kassimbayuu
@kassimbayuu 3 ай бұрын
Hii imekaa vyema sana
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 2 ай бұрын
Masubi anajua
@sadikathumani1003
@sadikathumani1003 3 ай бұрын
Ali masubi ni mchambuzi mzuri sana nakubali hilo lkn ni kama bado hamini nguvu Russia na china dhidi ya west!
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 3 ай бұрын
Huyu jamaaa mpya ana tone kama ya Mwana FA
@ramadhaningulinga217
@ramadhaningulinga217 3 ай бұрын
Nawapata vixur from doha Qatar 🇶🇦 kuhusu issue ya western kuaminiwa akuna tena ntakupa mfano mmoja, zamani unaweza change dollar mpka uchocholoni lkn now no. Kila sehemu ukienda utambiwa akuna dollar why, coz nafikili akuna akiba za dolla tena na sio kwa bahati mbaya just imagine, nazani now kila mmoja ameona madhala ya kuweka akiba ya dollar
@rashadally6871
@rashadally6871 3 ай бұрын
GPS TRACKERS GOOD DOOD......
@Maryam-qe5lb
@Maryam-qe5lb 9 күн бұрын
@ibnujumanne4054
@ibnujumanne4054 3 ай бұрын
Ni sahihi maisha yetu yanaswitch kutokana na global social media inaongoza maisha yetu na kuacha muongozo sahihi wa muumba wa ulimwengu but me naamini sns itafika hatua ya kumsha brain za vijana tuliolala kubwa tuweni wazalendo wa kweli
@iddykivu050
@iddykivu050 3 ай бұрын
Tunaitaka Sana hiyo Hoja ya kuiongelea Afrika kwa Ujumla
@SalumMajorhood
@SalumMajorhood 2 ай бұрын
Daaah hapo kwa Afrika yetu naomba muiongelee kwl hatujui inakwenda wp tunataka ukombozi wa Afrika viongozi ndy sababu
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 3 ай бұрын
Vita ya Taiwan na China wala haiko mbali naona China amejiandaa kimya hata uzinduzi wa Aircrfat Carrier Marine Ship, Hypersonic Kenzall Missiles, Balistic Missiles na Mitambo ya J.L0_2 ya kutungua Makombora. China anailengaTaiwan ili aichape vizuri. Mungu ibariki Simulizi na Sauti na Mungu Ibariki Tanzania🇹🇿
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 ай бұрын
Sio rahis kwa leo mkuu.China akija kujitegemea zaidi hasa upande wa teknolojia hasa za chip, ndipo ataivamia Taiwan.Ila kwa sasa anasoma mchezo wa urusi na namna vikwazo vinavyomuumiza urusi kwa kiasi kikubwa
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 ай бұрын
Munajua sana hatuchoki kuwasikiliza
@deocresmodest6148
@deocresmodest6148 3 ай бұрын
Nyinyi mko juu sana mkianda mada kuusu muafirica washawishi vijana watoke mjini warudi vijijini wakatengeze pesa nachala wawe matajiri tafiti jenga oja kubwa
@iddykivu050
@iddykivu050 3 ай бұрын
Mimi Nasikiliza Kutokea Douth Africa
@lodricophd728
@lodricophd728 3 ай бұрын
Douth ndo wapi mkuu
@joshemman520
@joshemman520 3 ай бұрын
Kuunga mkono hichi kpnd ukiona ads angalau acha hata moja please usi skip …. Hvyo ndio tuweza ku support hii show
@MAHAN-SMART
@MAHAN-SMART 3 ай бұрын
Hii ndio channel yetu Bora zaid kwa kutujuza mengi
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 3 ай бұрын
Kuongela Africa in general is very important
@aminielkombe66
@aminielkombe66 3 ай бұрын
Topic: Risk za wananchi kuwasupport/kuwaamini viongozi wa kiafrika-kwann wanaamini mapinduzi/jeshi/kiongozi mtata mzalendo.
@Qbaby814
@Qbaby814 3 ай бұрын
tunahitaji uchambuzi kama uho wa leo wakugusia mambo mbalimbali
@ngendakumanajeanmarrie7490
@ngendakumanajeanmarrie7490 3 ай бұрын
Nawasikiliza nikia burundi nimemariza kipindi sanane yausiku nawapenda sanaaaa pamoja
@johnalto2619
@johnalto2619 3 ай бұрын
😊😊😊
The Destruction of Madinah and The Greater Israel | Ustadh Wahaj Tarin
51:59
OnePath Network
Рет қаралды 1,4 МЛН
Resisting US Hegemony with Matt Kennard
58:08
The Thinking Muslim
Рет қаралды 152 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 24 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 49 МЛН
Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran
35:23
RENTRÉE POLITIQUE DES MÉDIAS : LE GRAND MERCATO FACHO ?
40:24
Le Média
Рет қаралды 105 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 24 МЛН