No video

NANDY ambana BILLNASS kuhusu kupata mtoto na mwanamke mwingine, "Nataka ufanye interview useme"

  Рет қаралды 312,006

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

#Nandy #Billnass

Пікірлер: 248
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
Nandy unampenda sana bill😘😘😘true love
@tecklamwakyambo7444
@tecklamwakyambo7444 2 жыл бұрын
Mpaka huluma
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Sana inaonesha
@saraaudax8138
@saraaudax8138 2 жыл бұрын
Daaah! Sana
@agriparose3942
@agriparose3942 2 жыл бұрын
Nandy anampenda sana bill😍😍
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 2 жыл бұрын
Saaaanaa
@mwanaidsalehe1109
@mwanaidsalehe1109 2 жыл бұрын
Mmejua kunifurahisha sana Nandy na mangi Mungua awatangulie mfunge ndoa.
@64aaa
@64aaa 2 жыл бұрын
MashaAllah!! Nafurai kuwaona hivi. Fanyeni muowane sasa. ❤❤
@angelmutua9575
@angelmutua9575 2 жыл бұрын
Nandy loves this guy truly sio yakufake hataaa
@tausiomary5294
@tausiomary5294 2 жыл бұрын
Nawapenda Sana napenda niwaone mkiwa hivyo mnapendeza Sana mungu awabariki mfike mbali
@thefarahatlifestyle
@thefarahatlifestyle 2 жыл бұрын
Mnao juwa kumsoma mtu macho NANDY aisee inaonesha anavyo Mapenzi makubwa kwa BILLNASS.
@abdulsinga2464
@abdulsinga2464 2 жыл бұрын
Hahaaaa kwa luge alifta nini..😂...kama bado anapenda?
@christamazara1266
@christamazara1266 2 жыл бұрын
Umeona eee!nawapenda sn sn jmn waoane 2 jmn.
@leaherasto929
@leaherasto929 2 жыл бұрын
Baada yandoa Niko hapa nawakubali sana Nenga n Bill
@BacktoPhiladelphiaministry
@BacktoPhiladelphiaministry 2 жыл бұрын
Yaani kuonekana pamoja tuh ni biashara.... hearth is hard
@hassanford7148
@hassanford7148 2 жыл бұрын
Nawapenda sana hawa jamaa coz wanapendana sana mpaka najiskia raha sana nawaombea kwa mungu awape upendo wa dhat na baraka tele Inshaallah.
@mutisyatv
@mutisyatv 2 жыл бұрын
Nandy anampenda billnass sana...
@najuf8021
@najuf8021 2 жыл бұрын
Nandy ndio anaependa sana nenga hamna kitu
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 2 жыл бұрын
I love both of them 🥰🥰
@w_media_house
@w_media_house 2 жыл бұрын
Waandishi mnaharibu muziki, mnakamia mahusiano akati kilichowaleta ni muziki🙌🙌
@njoroboihustla125
@njoroboihustla125 2 жыл бұрын
Neenga!!!! mwanang sanaaa🔥🔥🔥
@khadijamasoudmikidady1726
@khadijamasoudmikidady1726 2 жыл бұрын
Nand anampenda sana mpaka namuonea uluma
@saraaudax8138
@saraaudax8138 2 жыл бұрын
Yan uyu bilnas ata ayuko romantic kwa mwenzie Yan Nandy kanajitahidi kumregezea jicho ye amekazaa
@victoriamurugi6758
@victoriamurugi6758 2 жыл бұрын
😂😂😂
@mr.elevator4567
@mr.elevator4567 2 жыл бұрын
Mapenzi ya upande mmoja magumu sana. Ngoja kwanza Nandy apate experience
@pendoelisha5411
@pendoelisha5411 2 жыл бұрын
😀😀😀lakini ww
@erastojackson8432
@erastojackson8432 2 жыл бұрын
Dah penzi lenu linsnikosha sanaaaa Nandy Big up💪❣️
@constanciashangali7523
@constanciashangali7523 2 жыл бұрын
Billnas, unajina kubwa sana.. una jina la Nyota.. yaan mida hii ulitakiwa uwe juu sanaaa
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 2 жыл бұрын
YAANI HUYU NANDI ANAMPENDA MTU MPAKA ANARINGA
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Cha ajabu jamaa Hana hata habari nae dahh ..haya mambo painfull sana
@ashaomari7972
@ashaomari7972 2 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@zulfakajanja1170
@zulfakajanja1170 10 ай бұрын
❤😂😂nimecheka
@yvesmasirika3839
@yvesmasirika3839 2 жыл бұрын
The lady loves the man more than the man does
@alicekisanga8004
@alicekisanga8004 2 жыл бұрын
Yes but i think her parents are too negative towards their relationship, which is very discouraging for a man.
@fadhiliyusuph5195
@fadhiliyusuph5195 2 жыл бұрын
@@alicekisanga8004 yeah that's
@evenabwire1860
@evenabwire1860 2 жыл бұрын
So what!!!
@marykaingu4888
@marykaingu4888 2 жыл бұрын
Yes true nandy amependa sana
@sylviah9666
@sylviah9666 2 жыл бұрын
Nandys parents are negative towards bilnass kisa na maana kipato cha Nandy kipo juu
@lynnkyra4101
@lynnkyra4101 2 жыл бұрын
Nafurahi sana kuwaona tena❤️
@lydiaakimana7988
@lydiaakimana7988 2 жыл бұрын
Ila Nandy anampenda saana billnass yaani anavomuangalia tu unaona mtoto kafa kaoza Mungu aendelee kuwasimamia
@SilverMediaTVke21
@SilverMediaTVke21 2 жыл бұрын
Being in an interview and you're busy on phone is total disrespect
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
For real… very very stupid
@hamdusimai7711
@hamdusimai7711 2 жыл бұрын
Unprofessional kabisa
@angelxwt7879
@angelxwt7879 2 жыл бұрын
Pia Mimi sipendi simu qwani inahama akimuacha atawahi pata Kama Nandy
@hopeeve3558
@hopeeve3558 2 жыл бұрын
I second you broo
@kimah9855
@kimah9855 2 жыл бұрын
Nandy nakuona vile tu unaiangalia sema you guys are inlove😁😂
@eazieofficial6209
@eazieofficial6209 2 жыл бұрын
Nandy anampenda Sana huku Kaka hata kwa macho anaonekana Ila huyu Kaka sasa
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 жыл бұрын
Wanawake wanajua sana kupretend
@isaya.junior
@isaya.junior 2 жыл бұрын
OMB. 3:22 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
@naimamunishi1241
@naimamunishi1241 2 жыл бұрын
hii story isijekuw kama jux na vee😂😂
@donathalaizera6561
@donathalaizera6561 Жыл бұрын
Wamekamilisha
@tehamarobema9403
@tehamarobema9403 2 жыл бұрын
Hakuna mapenzi hapo
@atamotivetv8104
@atamotivetv8104 2 жыл бұрын
Nandi uyo bwana anadharau achana nae acha kubebelea mizigo ya ovyo kiukweli uyo bwana hakupendi acha kujibembeleza mh!
@fatmayassin1668
@fatmayassin1668 2 жыл бұрын
Jamn me naipenda hii couple more than love all
@atroisfoundation5546
@atroisfoundation5546 2 жыл бұрын
Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy
@64aaa
@64aaa 2 жыл бұрын
Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Nadhani yuko shy ☺️ sana
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 жыл бұрын
Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie
@jumannenyabuge83
@jumannenyabuge83 2 жыл бұрын
Hahaha
@queenbibisha1961
@queenbibisha1961 2 жыл бұрын
Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari
@tunuyaomar5017
@tunuyaomar5017 2 жыл бұрын
Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂
@64aaa
@64aaa 2 жыл бұрын
Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.
@64aaa
@64aaa 2 жыл бұрын
@@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE
@rich.kizza10
@rich.kizza10 2 жыл бұрын
Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake
@leahfanuel254
@leahfanuel254 2 жыл бұрын
What a love 💕
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Billnas kaka yng una aibu sana jmn Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
@64aaa
@64aaa 2 жыл бұрын
Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣
@projazzpromoter7503
@projazzpromoter7503 2 жыл бұрын
Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@officialarafa6511
@officialarafa6511 2 жыл бұрын
Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 2 жыл бұрын
Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku
@salummzengaeka9341
@salummzengaeka9341 2 жыл бұрын
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
@donathalaizera6561
@donathalaizera6561 Жыл бұрын
Ndio washaoana na mtoto tayari
@fadhiladam7769
@fadhiladam7769 2 жыл бұрын
Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela
@jemmymarioty848
@jemmymarioty848 2 жыл бұрын
ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,, yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana
@MrNdanguza
@MrNdanguza 2 жыл бұрын
Wananyanduana na condom au ?
@williamkeitha1262
@williamkeitha1262 2 жыл бұрын
Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 2 жыл бұрын
Mfuyyeee wewe vipiii
@dyzerjoshuah5475
@dyzerjoshuah5475 2 жыл бұрын
best couple in town
@jastinmkandala5620
@jastinmkandala5620 2 жыл бұрын
Nawapenda jamn
@mediaisbawa7255
@mediaisbawa7255 2 жыл бұрын
Oya aiseee the africa prince
@upendodavid3081
@upendodavid3081 2 жыл бұрын
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
@dach_addiction9557
@dach_addiction9557 2 жыл бұрын
Billnass anamapoz ya kishamba
@user-ef3gw8hq6u
@user-ef3gw8hq6u 2 жыл бұрын
Mpenzi ayafichiki hongera nandi
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 2 жыл бұрын
Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza
@user-jb7cf4if1p
@user-jb7cf4if1p 7 ай бұрын
I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯
@jacqdaniels891
@jacqdaniels891 2 жыл бұрын
huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh
@zubedamagambo9600
@zubedamagambo9600 2 жыл бұрын
Bilnas hana comfidance kabisa.
@zachariaamos5585
@zachariaamos5585 2 жыл бұрын
Mnaendana sana🔥
@RoseBitanga
@RoseBitanga 7 ай бұрын
Nandy i love you
@evenabwire1860
@evenabwire1860 2 жыл бұрын
That guy is a cool guy
@pharmaceuticalnotesbank3348
@pharmaceuticalnotesbank3348 2 жыл бұрын
nenga unakaa kinyongee sana
@williamloserian5999
@williamloserian5999 2 жыл бұрын
Nice🙏🙏🙏✍️✍️
@dannywiston6391
@dannywiston6391 2 жыл бұрын
Nenga hua ana akiri sana
@zuhra480
@zuhra480 2 жыл бұрын
Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!
@esthernonneh2740
@esthernonneh2740 2 жыл бұрын
there is a disconnect btwn nenga n nandy
@denisdejo5033
@denisdejo5033 2 жыл бұрын
Upo sahihi, though people can't see that.
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana
@denisdejo5033
@denisdejo5033 2 жыл бұрын
@@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.
@eshimendinkya8678
@eshimendinkya8678 2 жыл бұрын
Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku
@bonifacegervas7936
@bonifacegervas7936 2 жыл бұрын
Sweety couple
@dolicajosedolicajose1447
@dolicajosedolicajose1447 2 жыл бұрын
Te amo nandy
@milbys3decarter998
@milbys3decarter998 2 жыл бұрын
This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 2 жыл бұрын
Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa
@faithmutio2628
@faithmutio2628 2 жыл бұрын
Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her
@jacklinebaini3517
@jacklinebaini3517 2 жыл бұрын
I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
Ata amemwita Huyu alikua South Africa
@videozaaj1069
@videozaaj1069 2 жыл бұрын
Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???
@saeedalsaedy9916
@saeedalsaedy9916 2 жыл бұрын
unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa
@phinaswai4718
@phinaswai4718 2 жыл бұрын
Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??
@khadijakiba3587
@khadijakiba3587 2 жыл бұрын
Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Wakwendreeeee huko.
@faudhiamfinanga400
@faudhiamfinanga400 2 жыл бұрын
Saaanaaaa
@denisdejo5033
@denisdejo5033 2 жыл бұрын
Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".
@mayahassan1330
@mayahassan1330 2 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️
@denisdejo5033
@denisdejo5033 2 жыл бұрын
@@mayahassan1330 🔥🔥🔥.
@junaithammahad3844
@junaithammahad3844 2 жыл бұрын
Mistake gani kubwa kiasi kwamba nandy asiweze rudiana nae kimahusiano?
@eshimendinkya8678
@eshimendinkya8678 2 жыл бұрын
@@junaithammahad3844 mtoto nje wakati bado wakiwa ndani ya mahusiano
@junaithammahad3844
@junaithammahad3844 2 жыл бұрын
@@eshimendinkya8678 ohhh ok apo mm mwenyewe nisingemsamehe. Ok thanks
@masalukasomi1617
@masalukasomi1617 2 жыл бұрын
Waoooh
@omahmoses9710
@omahmoses9710 2 жыл бұрын
Nawapenda sana
@lameckjr4243
@lameckjr4243 2 жыл бұрын
good bless
@msbeckie4693
@msbeckie4693 2 жыл бұрын
The guy yuko busy na cm ad anaboa😏
@kaymsafi
@kaymsafi 2 жыл бұрын
WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏
@nimoshe0423
@nimoshe0423 2 жыл бұрын
Let's not ignore Billnass rudeness???
@finishmasai4562
@finishmasai4562 2 жыл бұрын
Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu
@calvinmayola7866
@calvinmayola7866 2 жыл бұрын
Wewwwww nandy
@queentoto3878
@queentoto3878 2 жыл бұрын
True love never see handsome ur beautiful
@RamadhaniMnderi-up7em
@RamadhaniMnderi-up7em Жыл бұрын
Love it
@kingideo4032
@kingideo4032 2 жыл бұрын
Best couple in tanzania
@user-lc8cd3cw2m
@user-lc8cd3cw2m Жыл бұрын
Safi sanaaa nandy
@user-ol9yx8dz5s
@user-ol9yx8dz5s 4 ай бұрын
❤you biiin
@imeldathomas760
@imeldathomas760 2 жыл бұрын
Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 2 жыл бұрын
Wamefunga ndoa
@zabibuamissi1141
@zabibuamissi1141 2 жыл бұрын
Nawapendaga 🥰🥰
@bettychambogo4582
@bettychambogo4582 2 жыл бұрын
Love..
@eshimendinkya8678
@eshimendinkya8678 2 жыл бұрын
Sidhani kama hapa kuna mahusiano
@cecilemsupa2015
@cecilemsupa2015 2 жыл бұрын
Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 2 жыл бұрын
Bill Nas anaaibu sanàa
@wardaridhwankassim4774
@wardaridhwankassim4774 2 жыл бұрын
Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍
@tonybyser7961
@tonybyser7961 2 жыл бұрын
Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂
@eshimendinkya8678
@eshimendinkya8678 2 жыл бұрын
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
@leilaadamu4817
@leilaadamu4817 2 жыл бұрын
Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 жыл бұрын
SNS 💕💞💙
@lovenesskalenge2683
@lovenesskalenge2683 2 жыл бұрын
Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote
@ashiriiyulu6430
@ashiriiyulu6430 2 жыл бұрын
wanakumbushia 😂😂😂
@kunlecryzee2933
@kunlecryzee2933 2 жыл бұрын
Nenga mah broh
@albasnepa3001
@albasnepa3001 2 жыл бұрын
Uhum
@najuf8021
@najuf8021 2 жыл бұрын
Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu
@hakimsashamusic
@hakimsashamusic 2 жыл бұрын
Play don't worry by hakim Sasha please i
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 2 жыл бұрын
Bill aibuuu kama mm🤣🤣
@devisowigo8067
@devisowigo8067 2 жыл бұрын
Hawa jamaa wanaendana xna na mapenzi yao yakisekondary hahaaaa
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 2 жыл бұрын
hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@andromedagalaxy8627
@andromedagalaxy8627 Жыл бұрын
Wameshaoana tayari
@agreyraban8859
@agreyraban8859 2 жыл бұрын
Nenga amejibu nje ya swali
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 жыл бұрын
Wote wamekutana mmoja ana mtoto mwingine ana Popo mwenye makampuni yake bongo
@emmakipalula9097
@emmakipalula9097 2 жыл бұрын
Hawa wakimaliza interview wanaenda kugombana....kicheko Cha kinafki...
@rich.kizza10
@rich.kizza10 2 жыл бұрын
We unajuaje jomba? Au ww ni house girl wao
@odiin2725
@odiin2725 2 жыл бұрын
@Rich worlwidew1 we jamaa wewe😂
@tausifautini407
@tausifautini407 2 жыл бұрын
Nimecheka kizembe
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
@@tausifautini407 mm mwenywe nimecheka
NANDY NA BILLNAS washindwa Kuvumilia mapenzi Hadharani/wivu/ugomvi
8:21
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 47 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 32 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
TID amuandikia haya Diamond baada ya kukoshwa na Zuchu kuiimba "Zeze"
2:29
NANDI AMWAGA CHOZI LA MAHABA/BILLNAS AMVESHAPETE/
9:46
NEWS UPDATES
Рет қаралды 402 М.
MANENO YA MAMA MZAZI WA NANDY KWENYE USIKU WA KITCHEN PARTY YAKE
8:39
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 47 МЛН