Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy
@64aaa2 жыл бұрын
Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.
@MsAggie52 жыл бұрын
Nadhani yuko shy ☺️ sana
@thelonewolf44292 жыл бұрын
Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie
@jumannenyabuge832 жыл бұрын
Hahaha
@queenbibisha19612 жыл бұрын
Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari
@tunuyaomar50172 жыл бұрын
Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂
@64aaa2 жыл бұрын
Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.
@64aaa2 жыл бұрын
@@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣
@MsAggie52 жыл бұрын
Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE
@rich.kizza102 жыл бұрын
Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake
@leahfanuel2542 жыл бұрын
What a love 💕
@munaahmed84992 жыл бұрын
Billnas kaka yng una aibu sana jmn Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
@64aaa2 жыл бұрын
Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣
@projazzpromoter75032 жыл бұрын
Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@officialarafa65112 жыл бұрын
Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu
@hanifamasudi97322 жыл бұрын
Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku
@salummzengaeka93412 жыл бұрын
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
@donathalaizera6561 Жыл бұрын
Ndio washaoana na mtoto tayari
@fadhiladam77692 жыл бұрын
Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela
@jemmymarioty8482 жыл бұрын
ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,, yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana
@MrNdanguza2 жыл бұрын
Wananyanduana na condom au ?
@williamkeitha12622 жыл бұрын
Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill
@lilianestephanie78812 жыл бұрын
Mfuyyeee wewe vipiii
@dyzerjoshuah54752 жыл бұрын
best couple in town
@jastinmkandala56202 жыл бұрын
Nawapenda jamn
@mediaisbawa72552 жыл бұрын
Oya aiseee the africa prince
@upendodavid30812 жыл бұрын
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
@dach_addiction95572 жыл бұрын
Billnass anamapoz ya kishamba
@user-ef3gw8hq6u2 жыл бұрын
Mpenzi ayafichiki hongera nandi
@noelmarapachi18082 жыл бұрын
Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza
@user-jb7cf4if1p7 ай бұрын
I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯
@jacqdaniels8912 жыл бұрын
huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh
@zubedamagambo96002 жыл бұрын
Bilnas hana comfidance kabisa.
@zachariaamos55852 жыл бұрын
Mnaendana sana🔥
@RoseBitanga7 ай бұрын
Nandy i love you
@evenabwire18602 жыл бұрын
That guy is a cool guy
@pharmaceuticalnotesbank33482 жыл бұрын
nenga unakaa kinyongee sana
@williamloserian59992 жыл бұрын
Nice🙏🙏🙏✍️✍️
@dannywiston63912 жыл бұрын
Nenga hua ana akiri sana
@zuhra4802 жыл бұрын
Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!
@esthernonneh27402 жыл бұрын
there is a disconnect btwn nenga n nandy
@denisdejo50332 жыл бұрын
Upo sahihi, though people can't see that.
@phinaswai47182 жыл бұрын
Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana
@denisdejo50332 жыл бұрын
@@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.
@eshimendinkya86782 жыл бұрын
Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku
@bonifacegervas79362 жыл бұрын
Sweety couple
@dolicajosedolicajose14472 жыл бұрын
Te amo nandy
@milbys3decarter9982 жыл бұрын
This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo
@frankngoloka25892 жыл бұрын
Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa
@faithmutio26282 жыл бұрын
Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her
@jacklinebaini35172 жыл бұрын
I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.
@Kobe_2542 жыл бұрын
Ata amemwita Huyu alikua South Africa
@videozaaj10692 жыл бұрын
Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???
@saeedalsaedy99162 жыл бұрын
unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa
@phinaswai47182 жыл бұрын
Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??
@khadijakiba35872 жыл бұрын
Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa
@jescajulius80232 жыл бұрын
Wakwendreeeee huko.
@faudhiamfinanga4002 жыл бұрын
Saaanaaaa
@denisdejo50332 жыл бұрын
Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".
@mayahassan13302 жыл бұрын
✌️✌️✌️✌️
@denisdejo50332 жыл бұрын
@@mayahassan1330 🔥🔥🔥.
@junaithammahad38442 жыл бұрын
Mistake gani kubwa kiasi kwamba nandy asiweze rudiana nae kimahusiano?
@eshimendinkya86782 жыл бұрын
@@junaithammahad3844 mtoto nje wakati bado wakiwa ndani ya mahusiano
@junaithammahad38442 жыл бұрын
@@eshimendinkya8678 ohhh ok apo mm mwenyewe nisingemsamehe. Ok thanks
@masalukasomi16172 жыл бұрын
Waoooh
@omahmoses97102 жыл бұрын
Nawapenda sana
@lameckjr42432 жыл бұрын
good bless
@msbeckie46932 жыл бұрын
The guy yuko busy na cm ad anaboa😏
@kaymsafi2 жыл бұрын
WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏
@nimoshe04232 жыл бұрын
Let's not ignore Billnass rudeness???
@finishmasai45622 жыл бұрын
Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu
@calvinmayola78662 жыл бұрын
Wewwwww nandy
@queentoto38782 жыл бұрын
True love never see handsome ur beautiful
@RamadhaniMnderi-up7em Жыл бұрын
Love it
@kingideo40322 жыл бұрын
Best couple in tanzania
@user-lc8cd3cw2m Жыл бұрын
Safi sanaaa nandy
@user-ol9yx8dz5s4 ай бұрын
❤you biiin
@imeldathomas7602 жыл бұрын
Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.
@lilianestephanie78812 жыл бұрын
Wamefunga ndoa
@zabibuamissi11412 жыл бұрын
Nawapendaga 🥰🥰
@bettychambogo45822 жыл бұрын
Love..
@eshimendinkya86782 жыл бұрын
Sidhani kama hapa kuna mahusiano
@cecilemsupa20152 жыл бұрын
Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake
@patrickmukundichalamila30382 жыл бұрын
Bill Nas anaaibu sanàa
@wardaridhwankassim47742 жыл бұрын
Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍
@tonybyser79612 жыл бұрын
Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂
@eshimendinkya86782 жыл бұрын
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
@leilaadamu48172 жыл бұрын
Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
SNS 💕💞💙
@lovenesskalenge26832 жыл бұрын
Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote
@ashiriiyulu64302 жыл бұрын
wanakumbushia 😂😂😂
@kunlecryzee29332 жыл бұрын
Nenga mah broh
@albasnepa30012 жыл бұрын
Uhum
@najuf80212 жыл бұрын
Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu
@hakimsashamusic2 жыл бұрын
Play don't worry by hakim Sasha please i
@patrickmukundichalamila30382 жыл бұрын
Bill aibuuu kama mm🤣🤣
@devisowigo80672 жыл бұрын
Hawa jamaa wanaendana xna na mapenzi yao yakisekondary hahaaaa
@hanifamasudi97322 жыл бұрын
hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@andromedagalaxy8627 Жыл бұрын
Wameshaoana tayari
@agreyraban88592 жыл бұрын
Nenga amejibu nje ya swali
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Wote wamekutana mmoja ana mtoto mwingine ana Popo mwenye makampuni yake bongo
@emmakipalula90972 жыл бұрын
Hawa wakimaliza interview wanaenda kugombana....kicheko Cha kinafki...