Rais Ruto adai raia wa kigeni ni chanzo cha maandamano ya kuipinga serikali ya Kenya

  Рет қаралды 13,362

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

20 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 127
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 18 күн бұрын
Kachangannyikiwa anafanya kampeni wakati keshakuwa Rais anaanza kudanganya upya😂😂😂
@jacksonlusagalika
@jacksonlusagalika 18 күн бұрын
🤣
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 18 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 18 күн бұрын
😂😂😂😂 ah mbavu zangu nononoooooooo.
@user-xn2ih2br7y
@user-xn2ih2br7y 18 күн бұрын
Kwenda zako uko,watu wamekuchoka maliza term yako uende zako
@rosemaryogambe4498
@rosemaryogambe4498 18 күн бұрын
Haujakosea 💯
@noonelike6382
@noonelike6382 18 күн бұрын
Huyu mzee dishi limeyumba...
@hamisself6820
@hamisself6820 18 күн бұрын
Gz nae wamemuenyesha mambo sasa anaanza kampeni round 2 jamaaa ana say
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
“Bei ikikuja chini” 🤣 bei ikipungua 🤦🏾‍♂️ yaani wakenya ongeeni tu lugha zenu za kikabila kiswahili kigumu yakhee 😂
@hbdina
@hbdina 18 күн бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 polojo za watu wengi weusi Kenya wawaletee Kanali Traore wa Burkinafaso ndani ya mwaka mmoja Kenya itakuwa safi
@FahmiNassor
@FahmiNassor 18 күн бұрын
Si kenya tu hata tanzania
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 18 күн бұрын
​@@FahmiNassor kweli kabisa kaka, viongozi wetu wa East Africa ni tatizo kubwa sana.
@hbdina
@hbdina 18 күн бұрын
@@FahmiNassor kabisa
@hbdina
@hbdina 18 күн бұрын
@mpjozzegalvanize4926 kabisa hakuna mawazo chanya wanachoona ni mikopo wakati wanajua siri ya mikopo ni kutuweka umasikini hata iyo mikopo wanakula,maliasili zetu wanagawa
@kevicristian2738
@kevicristian2738 17 күн бұрын
​@@FahmiNassor acha kutuongelea wa Tz😂
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
Sasa “Elfu Mia tatu” ndio nini tena? 🤣 alafu hii mijitu mishamba kweli mpaka inatia uchungu lmbo 😂
@theblacktrader101
@theblacktrader101 18 күн бұрын
Tuliweka, tumetoa, tumetenga, tutafanya ama namna gani
@hamisself6820
@hamisself6820 18 күн бұрын
Ndio iyo sasa nikama analazimishwa kuongea ana chakuongea
@jeffchurum1431
@jeffchurum1431 18 күн бұрын
Tunakubaliana jameni? 😂😂😂
@amanikoiz3816
@amanikoiz3816 17 күн бұрын
Tu,tu,tu,tu😂
@dulaabdallarashid
@dulaabdallarashid 18 күн бұрын
Tatizo la rais wetu Kenya ni mrongo sana
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
It’s an art, don’t you know?
@IsayaMngaza
@IsayaMngaza 16 күн бұрын
Anawachonganisha wakenya na wageni, yeye anajutoa 😁😁😁
@djafro8729
@djafro8729 18 күн бұрын
FSB tusaidie tutoe hii ngombe
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 18 күн бұрын
Ahad ahad hizi, Hongera bana Mh.Raisi.
@CholoFaizaan
@CholoFaizaan 18 күн бұрын
Hizi ndio shida za viongozi wetu ujinga tu
@Benjaminkakamasha662
@Benjaminkakamasha662 12 күн бұрын
Ameanza tena huyu baba wongowongo zake
@abdullahnassor9433
@abdullahnassor9433 17 күн бұрын
Nadhani alikuwa anatazama magufuli kwenye KZbin, anatumia point zake za kuongea, Mungu ampe magufuli peponi.
@andreadaniel214
@andreadaniel214 10 күн бұрын
Waka huuu round hii😢😢😢😅
@mwenebatuetabo5515
@mwenebatuetabo5515 18 күн бұрын
Hongera sana Ruto kwa kuwa unawaheleza wana nchi wako kwa luga ya kiasili ya bara la Afrika. Nahamini watu hote wanakuhelewa vizuri, sio Kongo yetu , kifaransa saana na kujiweka wa juwaji saana kumbe bure.
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 18 күн бұрын
Hapo kwenye kiswahili😂😂😂🎉🎉
@AliKaroyo
@AliKaroyo 18 күн бұрын
Ile Uwongo Ako Nayo Ruto Akikatia Demu Awezi Rukaa iyo Uwongo 😂😂😂😂😂 Kila siku Ako na Mipango Ya Hawa vijana kuusu Ajira 😂😂😂 Yni Ruto Ni Muongo Sana 😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Akikatia demu Tena?(Sisi huku watanzania tunasema akitongoza).
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 18 күн бұрын
Million ishirini ya kuunganisha kijiji... Bro as kenyan we r not stupid huo ni ujinga
@olembetonga7341
@olembetonga7341 18 күн бұрын
😂😂😂 nimepanga nitapeana mimba kwa 10k 😂😂
@3erffeoui86
@3erffeoui86 18 күн бұрын
ukiwa waishi kenya ndio utajua huyu jamaa anasema nini hakuna kitu cha maana anasema shida KUBWA NI UWONGO kila mahali anaenda PR PR
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
Eti “manyumba” 🤣
@afifhussein9447
@afifhussein9447 18 күн бұрын
Kweli
@emmanuelheshima4985
@emmanuelheshima4985 18 күн бұрын
Nimbaguzi huyu rais
@BigZhumbe
@BigZhumbe 18 күн бұрын
One day Wakenya watamkumbuka huyu mwamba he means well to the citizens of Kenya.
@user-xn2ih2br7y
@user-xn2ih2br7y 18 күн бұрын
We ndio uta mkumbuka
@kevicristian2738
@kevicristian2738 17 күн бұрын
Acha kuwaongelea watu. Ww pambana na kwenu😂
@musalaben9080
@musalaben9080 18 күн бұрын
Hata mimi nirikua na kupenda lakini leo hapana umebadilika
@Symoob5c
@Symoob5c 18 күн бұрын
Kwani anaongea na watu wangapi mbona hatuonyeshwi
@CandyLoud
@CandyLoud 18 күн бұрын
🤣😂😂😂
@wemakalama6458
@wemakalama6458 18 күн бұрын
Omg🤣🤣🤣🤣
@zenajustus5731
@zenajustus5731 18 күн бұрын
Yy na akina Murkomen na Musalia😊.
@eddythomz001
@eddythomz001 18 күн бұрын
😂😂
@eddythomz001
@eddythomz001 18 күн бұрын
​@@zenajustus5731😂
@HansChuma
@HansChuma 18 күн бұрын
😂😂😂😂ndio zile siasa za tanzania😂😂😂mabomba yote yatatoka maziwa😅😅😅😅
@sultaking8719
@sultaking8719 18 күн бұрын
Leo amepunguza figures tu million 20 zile billion kumi million 200 hakuna tena😂😂
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t 18 күн бұрын
Uongo wwe wacha kudanya wakenya ruto must go
@MauroZaratte-r4r
@MauroZaratte-r4r 16 күн бұрын
Amechemka 😂😂😂
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 18 күн бұрын
Ao wageni wkikusikia wankunyima loan😂😂ufe njaa
@afreecastzaxie
@afreecastzaxie 18 күн бұрын
Amamnasemaje watu wa Ngong.. Hii mutuiani
@StephenKudaka
@StephenKudaka 18 күн бұрын
WW Mwaga Congo wako alafu ukanyage frame Singapore sana
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 18 күн бұрын
Mr promise
@allykiduli2156
@allykiduli2156 18 күн бұрын
Hio ndio pesa aliopewa na usa ili kuwalagai wakenya
@sayyedsaeed8089
@sayyedsaeed8089 18 күн бұрын
😂😂😂😂 wa kwanza
@mohamedalidarabunyange4879
@mohamedalidarabunyange4879 18 күн бұрын
Dar Ruto anaazaa mojaa 😢
@Noor-xu7wd
@Noor-xu7wd 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂huyu hastuki..... ... Bado tu anatenga 😅😅😅
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso 18 күн бұрын
Kachanganyikiwa
@user-vr6fc5qm2i
@user-vr6fc5qm2i 18 күн бұрын
Tunapagwa tena . Rais wetu ako expires na degree ya uongo 😅😅😅😅
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g 18 күн бұрын
Uyu RUTO NI STRESS AKO NAYO NA PRESSURE AMEPEWA NA GEN Z, SO ANAEZA ONGEA UWONGO ILI AJITETEE
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 18 күн бұрын
😂😂😂 band ya Zaire lipua lipua hana kitu
@user-rc2ye4ri6t
@user-rc2ye4ri6t 18 күн бұрын
Fanya vitendo wwe wacha maneno mengi htukutaki muongo
@michaeljuma7764
@michaeljuma7764 18 күн бұрын
Ngeli ya TU-NA, TU-TA, TU-ME na TU-LI, katika muktadha wa raisi but on the ground, zero work is done😂😂😂😂😂tulikuzoea Mr. Hiyo mtihani ulifeli mapeeeema sana, maybe you ridge as it has been your trends.
@SADICKITHOMAS
@SADICKITHOMAS 18 күн бұрын
Gen z wamekiwasha ad unaongea lugha fasaha ya kiswahili na izo ahadi ziwe za kweli mshua watu wafaidi raslimali za nchi yao
@ankalmzito254
@ankalmzito254 18 күн бұрын
Huyu RUTO inafaa tumsalimie kidogo
@biggyshari3328
@biggyshari3328 18 күн бұрын
Shida yako ww bwana umesomea uongo na unadanganya kila kiumbe
@reymekay1
@reymekay1 18 күн бұрын
Kumbe kenya kuna sehem hamna umeme?!
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
🤣
@gideonmageto4623
@gideonmageto4623 18 күн бұрын
Ataaamini 😂😂😂😂😂
@Soudbako
@Soudbako 18 күн бұрын
Mzee umeanza kampong Au? 😅😅😅
@mriamsamy3129
@mriamsamy3129 18 күн бұрын
Mrongo huyu baba wala haonangi haya kwa ahadi zake zenye hazitimiangi
@daprince7545
@daprince7545 18 күн бұрын
Ahadi zako Gen Z wamezichoka, wanataka matakwa yao uyatimize 1 kuvunja baraza lako, 2 upuguze budget yako, upuguze mishahara ya viongozi wote, uweke mtandao jinsi vile pesa uliokopa kila mkenya ajue vile unatumika,3 na uwache kuchukua loan bila kujulisha wakenya na mengi neyo
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 18 күн бұрын
Kabisaaa hyu atajua hajui this tym tumemchoka
@isaacramadhan9721
@isaacramadhan9721 18 күн бұрын
Hizo ahadi uhuru alifanya na akamaliza stima ilingia Kwa Kila Kijiji hizo ahadi zako ruto ni hewa
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 18 күн бұрын
Ht si uhuru ni Marehmu Mwai kibaki ndio alianzisha
@hameedm8361
@hameedm8361 18 күн бұрын
Tapeli huyu bwana😅😅
@djafro8729
@djafro8729 18 күн бұрын
Vitendo si tutafanya
@faharihakikazi
@faharihakikazi 18 күн бұрын
wewe ni mpuuzi kweli haujui nchi yako unayoiongoza wapi na wapi hakuna stima/umeme?
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 18 күн бұрын
Jenga kibera kwanza
@ramadhanichuma7925
@ramadhanichuma7925 18 күн бұрын
Stima ndio nin?
@Mwachuomo
@Mwachuomo 18 күн бұрын
Umeme
@CROWNMEDIAKE
@CROWNMEDIAKE 18 күн бұрын
Ubwaa wqnapiga makof😂😂😂😂😂😂
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 18 күн бұрын
Huyu mtu n mjinga sna wakenya hawapaswi kumpa kura tena 2027 wakenya mkichagua huyu mtu ninyi n wajinga
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 18 күн бұрын
Sio miezi mbili miezi miwili from tz
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
Yaani waache tu hawa wa kuletwa, utajichosha bure kuwakosoa 😂
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 16 күн бұрын
@@section8ight174 🤣🤣🤣
@Beckycitizentv768
@Beckycitizentv768 18 күн бұрын
Huyu sio president,, hii ni gaidi
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 18 күн бұрын
Eti gaidi😂daah jamni
@wambuageorgemutua1930
@wambuageorgemutua1930 18 күн бұрын
Huyu jamaa ni muongo sana, kwa kuongea ako sawa sana
@eddythomz001
@eddythomz001 18 күн бұрын
😂
@brightmboya596
@brightmboya596 18 күн бұрын
Embu njo kwa Tanzania useme huo upuz
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 18 күн бұрын
Kwenu hua munasifu raisi wenu hata afanye mbaya ....Kenyans we don't abudu raisi
@Rennyburito
@Rennyburito 18 күн бұрын
Mtukufu lies 😂
@user-hs9hh7ze1c
@user-hs9hh7ze1c 18 күн бұрын
Stima ndo nn
@husseinsalehe6506
@husseinsalehe6506 18 күн бұрын
Umeme😂
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 18 күн бұрын
Uwongo umetiririka like torn up water pipeline
@MRIMAPICTURES
@MRIMAPICTURES 18 күн бұрын
Uongo ya huyu jama aka nayo 😂😂😂😂😂
@chande2k250
@chande2k250 18 күн бұрын
Huongozi mtamu sana na hii ije Bongo GNZ safi sana Mwnyw kanyooka na Bado Mpk maji aite mma
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
*Uongozi
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd 18 күн бұрын
Anaomba kura
@fazeemwelanian34
@fazeemwelanian34 18 күн бұрын
Kumbe ruto ni muongo sana ase afu rais wa kenya ako na kichogo
@raymondanthony6207
@raymondanthony6207 18 күн бұрын
😂😂😂😂
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
Acha kutuvunja mbavu bwana wee 🤣
@lapozzydone5203
@lapozzydone5203 18 күн бұрын
Akiacha uongo atakua Rais mzuri sana.. Awachane na Ahadi hewa😂..
@shantisam-wo8wj
@shantisam-wo8wj 18 күн бұрын
Ahadi hewa😂😂😂
@user-xo4qc2hk4j
@user-xo4qc2hk4j 18 күн бұрын
Toka hapo wee zakayo, tapeli, free mason,wewe, kiboko Yako ni Gen z
@section8ight174
@section8ight174 16 күн бұрын
Yes I think Samia is a 3mason as well. She changed attire when she came to Kenya on her first official visit but the new dress had a secret masons symbol, most people missed it but not me!!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 18 күн бұрын
Jmni huyu Ruto wa Kenya oyeee!!! karibu mzee tuko hapa Tanzania twakusubiri baba
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 18 күн бұрын
dah huyu Rais wao nampenda sana...kubali mie sana Ruto wa Samoei
@sponsor7882
@sponsor7882 18 күн бұрын
Mjinga sna ww
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 18 күн бұрын
@@sponsor7882 i know right? but its true..the guy is smart , calm and collected..bold and he knows what he wants Kenya to be.
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 18 күн бұрын
​@@jedidahbintidaudi8241Ni story za vijiweni wewe humjui kwa uongo hajambo sisi wakenya ndo tunamjua
@mohamedathman3310
@mohamedathman3310 18 күн бұрын
Ruto must go wacha ahanyehanye tu hajielewi sasa hivi😂😂
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 18 күн бұрын
Subirini mwaka 2027 mchangue Genz mmoja aongoz nch ,,,tuone kama itakuwaje
@sponsor7882
@sponsor7882 18 күн бұрын
Mjinga sna huyu kijana
@djafro8729
@djafro8729 18 күн бұрын
Muongo wewe
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 18 күн бұрын
Yaani utasema ndo anaonba kura upya😂
@JosephatKalama-v1h
@JosephatKalama-v1h 18 күн бұрын
Mbone huku kwetu hakuna kilifi
@MuchaiSamuel-tm8xg
@MuchaiSamuel-tm8xg 18 күн бұрын
RUTO matako yake....mwaka nenda mwaka rudi tumetenga😅😅😅
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 12 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН
Erdogan adai Uturuki inaweza kuingilia kati vita vya Gaza
2:24
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 2,8 М.
TANZANIA WAUNGA MKONO MAANDAMANO YANAYOENDELEA KENYA
7:00
Lasalo Comedian
Рет қаралды 454 М.
Terrifying news from statehouse ends Ruto's presidency completely
13:06
EXEED VX отзыв владельца #shorts
1:00
polinadrive
Рет қаралды 2,1 МЛН
New tfc sports car yellow colour kardya
0:27
Ruhul Shorts
Рет қаралды 8 МЛН
tractor rear light project #project
0:40
SB Skill
Рет қаралды 14 МЛН