Kachangannyikiwa anafanya kampeni wakati keshakuwa Rais anaanza kudanganya upya😂😂😂
@jacksonlusagalika18 күн бұрын
🤣
@user-ur7pw9ek6s18 күн бұрын
🎉🎉🎉
@user-ur7pw9ek6s18 күн бұрын
😂😂😂😂 ah mbavu zangu nononoooooooo.
@user-xn2ih2br7y18 күн бұрын
Kwenda zako uko,watu wamekuchoka maliza term yako uende zako
@rosemaryogambe449818 күн бұрын
Haujakosea 💯
@noonelike638218 күн бұрын
Huyu mzee dishi limeyumba...
@hamisself682018 күн бұрын
Gz nae wamemuenyesha mambo sasa anaanza kampeni round 2 jamaaa ana say
@section8ight17416 күн бұрын
“Bei ikikuja chini” 🤣 bei ikipungua 🤦🏾♂️ yaani wakenya ongeeni tu lugha zenu za kikabila kiswahili kigumu yakhee 😂
@hbdina18 күн бұрын
🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 polojo za watu wengi weusi Kenya wawaletee Kanali Traore wa Burkinafaso ndani ya mwaka mmoja Kenya itakuwa safi
@FahmiNassor18 күн бұрын
Si kenya tu hata tanzania
@mpjozzegalvanize492618 күн бұрын
@@FahmiNassor kweli kabisa kaka, viongozi wetu wa East Africa ni tatizo kubwa sana.
@hbdina18 күн бұрын
@@FahmiNassor kabisa
@hbdina18 күн бұрын
@mpjozzegalvanize4926 kabisa hakuna mawazo chanya wanachoona ni mikopo wakati wanajua siri ya mikopo ni kutuweka umasikini hata iyo mikopo wanakula,maliasili zetu wanagawa
@kevicristian273817 күн бұрын
@@FahmiNassor acha kutuongelea wa Tz😂
@section8ight17416 күн бұрын
Sasa “Elfu Mia tatu” ndio nini tena? 🤣 alafu hii mijitu mishamba kweli mpaka inatia uchungu lmbo 😂
@theblacktrader10118 күн бұрын
Tuliweka, tumetoa, tumetenga, tutafanya ama namna gani
@hamisself682018 күн бұрын
Ndio iyo sasa nikama analazimishwa kuongea ana chakuongea
@jeffchurum143118 күн бұрын
Tunakubaliana jameni? 😂😂😂
@amanikoiz381617 күн бұрын
Tu,tu,tu,tu😂
@dulaabdallarashid18 күн бұрын
Tatizo la rais wetu Kenya ni mrongo sana
@section8ight17416 күн бұрын
It’s an art, don’t you know?
@IsayaMngaza16 күн бұрын
Anawachonganisha wakenya na wageni, yeye anajutoa 😁😁😁
@djafro872918 күн бұрын
FSB tusaidie tutoe hii ngombe
@worldhappiness118118 күн бұрын
Ahad ahad hizi, Hongera bana Mh.Raisi.
@CholoFaizaan18 күн бұрын
Hizi ndio shida za viongozi wetu ujinga tu
@Benjaminkakamasha66212 күн бұрын
Ameanza tena huyu baba wongowongo zake
@abdullahnassor943317 күн бұрын
Nadhani alikuwa anatazama magufuli kwenye KZbin, anatumia point zake za kuongea, Mungu ampe magufuli peponi.
@andreadaniel21410 күн бұрын
Waka huuu round hii😢😢😢😅
@mwenebatuetabo551518 күн бұрын
Hongera sana Ruto kwa kuwa unawaheleza wana nchi wako kwa luga ya kiasili ya bara la Afrika. Nahamini watu hote wanakuhelewa vizuri, sio Kongo yetu , kifaransa saana na kujiweka wa juwaji saana kumbe bure.
@user-ur7pw9ek6s18 күн бұрын
Hapo kwenye kiswahili😂😂😂🎉🎉
@AliKaroyo18 күн бұрын
Ile Uwongo Ako Nayo Ruto Akikatia Demu Awezi Rukaa iyo Uwongo 😂😂😂😂😂 Kila siku Ako na Mipango Ya Hawa vijana kuusu Ajira 😂😂😂 Yni Ruto Ni Muongo Sana 😂😂😂
@GeorgeAkasha-zx2rj18 күн бұрын
😂😂😂😂😂 Akikatia demu Tena?(Sisi huku watanzania tunasema akitongoza).
@eleven-in5qw18 күн бұрын
Million ishirini ya kuunganisha kijiji... Bro as kenyan we r not stupid huo ni ujinga
@olembetonga734118 күн бұрын
😂😂😂 nimepanga nitapeana mimba kwa 10k 😂😂
@3erffeoui8618 күн бұрын
ukiwa waishi kenya ndio utajua huyu jamaa anasema nini hakuna kitu cha maana anasema shida KUBWA NI UWONGO kila mahali anaenda PR PR
@section8ight17416 күн бұрын
Eti “manyumba” 🤣
@afifhussein944718 күн бұрын
Kweli
@emmanuelheshima498518 күн бұрын
Nimbaguzi huyu rais
@BigZhumbe18 күн бұрын
One day Wakenya watamkumbuka huyu mwamba he means well to the citizens of Kenya.
@user-xn2ih2br7y18 күн бұрын
We ndio uta mkumbuka
@kevicristian273817 күн бұрын
Acha kuwaongelea watu. Ww pambana na kwenu😂
@musalaben908018 күн бұрын
Hata mimi nirikua na kupenda lakini leo hapana umebadilika
@Symoob5c18 күн бұрын
Kwani anaongea na watu wangapi mbona hatuonyeshwi
@CandyLoud18 күн бұрын
🤣😂😂😂
@wemakalama645818 күн бұрын
Omg🤣🤣🤣🤣
@zenajustus573118 күн бұрын
Yy na akina Murkomen na Musalia😊.
@eddythomz00118 күн бұрын
😂😂
@eddythomz00118 күн бұрын
@@zenajustus5731😂
@HansChuma18 күн бұрын
😂😂😂😂ndio zile siasa za tanzania😂😂😂mabomba yote yatatoka maziwa😅😅😅😅
@sultaking871918 күн бұрын
Leo amepunguza figures tu million 20 zile billion kumi million 200 hakuna tena😂😂
@user-rc2ye4ri6t18 күн бұрын
Uongo wwe wacha kudanya wakenya ruto must go
@MauroZaratte-r4r16 күн бұрын
Amechemka 😂😂😂
@HabibuHoseni-sv8hd18 күн бұрын
Ao wageni wkikusikia wankunyima loan😂😂ufe njaa
@afreecastzaxie18 күн бұрын
Amamnasemaje watu wa Ngong.. Hii mutuiani
@StephenKudaka18 күн бұрын
WW Mwaga Congo wako alafu ukanyage frame Singapore sana
@MuniraShughuli-kc7vj18 күн бұрын
Mr promise
@allykiduli215618 күн бұрын
Hio ndio pesa aliopewa na usa ili kuwalagai wakenya
@sayyedsaeed808918 күн бұрын
😂😂😂😂 wa kwanza
@mohamedalidarabunyange487918 күн бұрын
Dar Ruto anaazaa mojaa 😢
@Noor-xu7wd18 күн бұрын
😂😂😂😂😂huyu hastuki..... ... Bado tu anatenga 😅😅😅
@Africaamkenitznawenuso18 күн бұрын
Kachanganyikiwa
@user-vr6fc5qm2i18 күн бұрын
Tunapagwa tena . Rais wetu ako expires na degree ya uongo 😅😅😅😅
@user-yp9el7xp8g18 күн бұрын
Uyu RUTO NI STRESS AKO NAYO NA PRESSURE AMEPEWA NA GEN Z, SO ANAEZA ONGEA UWONGO ILI AJITETEE
@DafiMohamed-dz8xk18 күн бұрын
😂😂😂 band ya Zaire lipua lipua hana kitu
@user-rc2ye4ri6t18 күн бұрын
Fanya vitendo wwe wacha maneno mengi htukutaki muongo
@michaeljuma776418 күн бұрын
Ngeli ya TU-NA, TU-TA, TU-ME na TU-LI, katika muktadha wa raisi but on the ground, zero work is done😂😂😂😂😂tulikuzoea Mr. Hiyo mtihani ulifeli mapeeeema sana, maybe you ridge as it has been your trends.
@SADICKITHOMAS18 күн бұрын
Gen z wamekiwasha ad unaongea lugha fasaha ya kiswahili na izo ahadi ziwe za kweli mshua watu wafaidi raslimali za nchi yao
@ankalmzito25418 күн бұрын
Huyu RUTO inafaa tumsalimie kidogo
@biggyshari332818 күн бұрын
Shida yako ww bwana umesomea uongo na unadanganya kila kiumbe
@reymekay118 күн бұрын
Kumbe kenya kuna sehem hamna umeme?!
@section8ight17416 күн бұрын
🤣
@gideonmageto462318 күн бұрын
Ataaamini 😂😂😂😂😂
@Soudbako18 күн бұрын
Mzee umeanza kampong Au? 😅😅😅
@mriamsamy312918 күн бұрын
Mrongo huyu baba wala haonangi haya kwa ahadi zake zenye hazitimiangi
@daprince754518 күн бұрын
Ahadi zako Gen Z wamezichoka, wanataka matakwa yao uyatimize 1 kuvunja baraza lako, 2 upuguze budget yako, upuguze mishahara ya viongozi wote, uweke mtandao jinsi vile pesa uliokopa kila mkenya ajue vile unatumika,3 na uwache kuchukua loan bila kujulisha wakenya na mengi neyo
@jaymwinyi695718 күн бұрын
Kabisaaa hyu atajua hajui this tym tumemchoka
@isaacramadhan972118 күн бұрын
Hizo ahadi uhuru alifanya na akamaliza stima ilingia Kwa Kila Kijiji hizo ahadi zako ruto ni hewa
@jaymwinyi695718 күн бұрын
Ht si uhuru ni Marehmu Mwai kibaki ndio alianzisha
@hameedm836118 күн бұрын
Tapeli huyu bwana😅😅
@djafro872918 күн бұрын
Vitendo si tutafanya
@faharihakikazi18 күн бұрын
wewe ni mpuuzi kweli haujui nchi yako unayoiongoza wapi na wapi hakuna stima/umeme?
@evelynemugeni236918 күн бұрын
Jenga kibera kwanza
@ramadhanichuma792518 күн бұрын
Stima ndio nin?
@Mwachuomo18 күн бұрын
Umeme
@CROWNMEDIAKE18 күн бұрын
Ubwaa wqnapiga makof😂😂😂😂😂😂
@msafirisaimoni956118 күн бұрын
Huyu mtu n mjinga sna wakenya hawapaswi kumpa kura tena 2027 wakenya mkichagua huyu mtu ninyi n wajinga
@user-nb6yh2bn9y18 күн бұрын
Sio miezi mbili miezi miwili from tz
@section8ight17416 күн бұрын
Yaani waache tu hawa wa kuletwa, utajichosha bure kuwakosoa 😂
@user-nb6yh2bn9y16 күн бұрын
@@section8ight174 🤣🤣🤣
@Beckycitizentv76818 күн бұрын
Huyu sio president,, hii ni gaidi
@jaymwinyi695718 күн бұрын
Eti gaidi😂daah jamni
@wambuageorgemutua193018 күн бұрын
Huyu jamaa ni muongo sana, kwa kuongea ako sawa sana
@eddythomz00118 күн бұрын
😂
@brightmboya59618 күн бұрын
Embu njo kwa Tanzania useme huo upuz
@isabellarkageha770718 күн бұрын
Kwenu hua munasifu raisi wenu hata afanye mbaya ....Kenyans we don't abudu raisi
@Rennyburito18 күн бұрын
Mtukufu lies 😂
@user-hs9hh7ze1c18 күн бұрын
Stima ndo nn
@husseinsalehe650618 күн бұрын
Umeme😂
@thelonewolf442918 күн бұрын
Uwongo umetiririka like torn up water pipeline
@MRIMAPICTURES18 күн бұрын
Uongo ya huyu jama aka nayo 😂😂😂😂😂
@chande2k25018 күн бұрын
Huongozi mtamu sana na hii ije Bongo GNZ safi sana Mwnyw kanyooka na Bado Mpk maji aite mma
@section8ight17416 күн бұрын
*Uongozi
@HASHIMUMKUNDA-pz1wd18 күн бұрын
Anaomba kura
@fazeemwelanian3418 күн бұрын
Kumbe ruto ni muongo sana ase afu rais wa kenya ako na kichogo
@raymondanthony620718 күн бұрын
😂😂😂😂
@section8ight17416 күн бұрын
Acha kutuvunja mbavu bwana wee 🤣
@lapozzydone520318 күн бұрын
Akiacha uongo atakua Rais mzuri sana.. Awachane na Ahadi hewa😂..
@shantisam-wo8wj18 күн бұрын
Ahadi hewa😂😂😂
@user-xo4qc2hk4j18 күн бұрын
Toka hapo wee zakayo, tapeli, free mason,wewe, kiboko Yako ni Gen z
@section8ight17416 күн бұрын
Yes I think Samia is a 3mason as well. She changed attire when she came to Kenya on her first official visit but the new dress had a secret masons symbol, most people missed it but not me!!
@jedidahbintidaudi824118 күн бұрын
Jmni huyu Ruto wa Kenya oyeee!!! karibu mzee tuko hapa Tanzania twakusubiri baba
@jedidahbintidaudi824118 күн бұрын
dah huyu Rais wao nampenda sana...kubali mie sana Ruto wa Samoei
@sponsor788218 күн бұрын
Mjinga sna ww
@jedidahbintidaudi824118 күн бұрын
@@sponsor7882 i know right? but its true..the guy is smart , calm and collected..bold and he knows what he wants Kenya to be.
@africanmandetraveler284718 күн бұрын
@@jedidahbintidaudi8241Ni story za vijiweni wewe humjui kwa uongo hajambo sisi wakenya ndo tunamjua
@mohamedathman331018 күн бұрын
Ruto must go wacha ahanyehanye tu hajielewi sasa hivi😂😂
@jeremiahcharles602718 күн бұрын
Subirini mwaka 2027 mchangue Genz mmoja aongoz nch ,,,tuone kama itakuwaje
@sponsor788218 күн бұрын
Mjinga sna huyu kijana
@djafro872918 күн бұрын
Muongo wewe
@aminmohammed424918 күн бұрын
Yaani utasema ndo anaonba kura upya😂
@JosephatKalama-v1h18 күн бұрын
Mbone huku kwetu hakuna kilifi
@MuchaiSamuel-tm8xg18 күн бұрын
RUTO matako yake....mwaka nenda mwaka rudi tumetenga😅😅😅