Hi china,asante sana kwa kukuza ,kuendeleza,kusimamia na kuongea kiswahili hongera sana hongereni sana watu wa china’watanzania na east africa, na africa kwa ujumla tunawaomba tukikuze kiswahili
Safi sana,sasa nasi tujifunze kuwa Kiswahili kinapendwa ,China na Japani wanaongea luga zao lakini unasikia raha sana kusikia wageni kama hawa wakiongea ruga ❤❤❤❤
@meshacksabuni75415 күн бұрын
Kweli wenzetu wako serious na mambo yao. Mbali na matamushi yake kuathiriwa kidogo na lugha ya kichina, sarufi yake iko vizuri.
@allywilson41556 күн бұрын
Yupo vizuri sana
@shaban66446 күн бұрын
Mchina Yuko Vizuri, Hongera Mama.
@mathiasmichael99154 күн бұрын
Asante mama Samia Asante Sanaa DK. JP Magufuri
@allyhasani37502 күн бұрын
Magufuriii
@user-xk7vy4gb6g6 күн бұрын
Umejitahidi kwakweli 😅❤
@enosFrank-r8f6 күн бұрын
Hongera sn dada
@fatmamsiliwa84856 күн бұрын
Tizama wenzetu wanavopenda lugha yetu lkn ss tunakidharau kiswahili
@isaacvtv5475 күн бұрын
Ukute kuna mtanzania hawezi kuisoma hata lugha yake. Ila natambuwa si wote wamepata bahati ya kupita primary school.
@kavakurejeanBaptist-nk7jz2 күн бұрын
😂,😂😂😂😂
@charlesmwambinga43555 күн бұрын
Tupende Watoto Wetu kuongea..Kiswahili lugha zingine ni Ziada tu..tusijivunie watoto wetu kuongea lugha za kigeni.
@HajiKlein-so1rk6 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🌹👏
@Halphan-cw3de6 күн бұрын
Huyu mchina anafurahisha na kiswahili chake😂
@jacksonmbonea74116 күн бұрын
Safi sana😢
@dotolinos37502 күн бұрын
wanao msifia wote bumbavu zenu. Mrundi akiongea Kiswahili namuna hiyo mnamcheka.
@Missionary_work6 күн бұрын
Mmh
@renatusblandes113113 сағат бұрын
Tumpe ubarozi wa kiswahili pale Ubungo kwenye kituo Cha uwekezaji
@smstore55356 күн бұрын
😂❤
@barakamanga55026 күн бұрын
Safisana mchina
@jjjhhb43006 күн бұрын
😂
@johnshayo96354 күн бұрын
Tusipende sifa sana
@abdalahgunda13195 күн бұрын
We don't need chains lnvestor in Tanzania why chains are selfish want to seal everything in Africa not even giving Africa technology to lnvested at list Africa benefits even machine of creat spoon or stick of clean teeth chains can't creat here in Africa chaina want to hold every single thing in Africa disappointed our africa leader asepty such move tunaimia sana ktk mataifa yetu ya kiafrica mpaka nchiti za kiberiti machine itoke china viberiti vitoke china miti yetu wenyewe aibu toileti papar machine china Sasa hii ni aibu kwa mataifa yetu ya kiafrica jee lini Wana sayansi wetu watskwenda kuongeza ujuzi wao ktk nchi zilizoendelea waje kuwa Creator ktk mataifa yetu ya kiafrica km vile lran
@BJMKANGALA16 күн бұрын
Halafu baadhi ya watanzania hawapendi kiswahili! Bila sababu ya msingi mzungumzaji anachanganya kiswahili na lugha ya kiingereza hasa wachambuzi wa habari kwa dhana kwamba kwa kufanya "ulimbukeni" huo wataonekana wameelimika sana! Kwa bahati mbaya mpaka viongozi wetu wakuu nao ni mchanganyo wa lugha. Majuzi kati nimemsikia kiongozi mmoja wa enzi hizo akisema "kiongozi wako wa juu akikosea basi wewe wa chini haraka sana unamkava" akimaanisha neno la kiingereza "cover" Nikachoka kabisa! Watanzania tuipe thamani lugha yetu ya kiswahili. Wahenga wamesema kipende chako na mdharau kwao ni mtumwa!
@LiisaMaisha-is1hi6 күн бұрын
Umesema ukweli inanikera mtu akichanganya kingereza na kiswahili.tuvunie lugha yetu inayotuanganisha watanzania wote.
@BJMKANGALA16 күн бұрын
@@LiisaMaisha-is1hi asante Mkuu tusaidiane kupaza sauti kupigania lugha yetu ya kiswahili itumike kiufasaha kama kiunganishi cha Taifa. Mimi na wewe na yule tukiungana tunaweza kuwabadilisha tabia hawa "matapeli" wa lugha!
@hajihassan54335 күн бұрын
@BJMKANGALA1 Ni kweli lakini na hao wanaojiita Wataalam wa Kiswahili wanatuharibia lugha hii mfano" Komputa" kuita kidadavuzi mpakato. Kwangu mimi bora hao wanaochanganya na Kiingereza. Kiswahili kwao ni pwani hasa Zanzibar.Kila mtu kutaka eti awe mtaalam wa Kiswahili wanakiharibu sana.
@user-il5pk2dr5n5 күн бұрын
Kumbe anasoma
@hajihassan54335 күн бұрын
Na wewe tukikuandikia Kichina utasoma?
@baloz89745 күн бұрын
Akili zako haziko sawa ,kila hotuba ya kikao baina ya wawekezaji na serikali lazima iandikwe
@allymnyenye81092 сағат бұрын
Achana na kenge huyo@@hajihassan5433
@suleimanikirassahassan97115 күн бұрын
Kiswahili gani wakati ameandikiwa anasoma
@hajihassan54335 күн бұрын
Na wewe tukikuandikia kwa Kichina utaweza kutusomea? Usiwe mgumu kutoa pongezi!
@baloz89745 күн бұрын
😂😂😂@@hajihassan5433 swali zuri
@baloz89745 күн бұрын
Hotuba zote watu huandikiwa ijulikane ni nini agenda ya kikao. Sasa wawashwa wapi .?
@isaacvtv5475 күн бұрын
Hivi wakikuandika ki china usome kama yeye utaweza?