Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 421
@aliijumanne82937 сағат бұрын
Hii ya Leo kali AISEI.... Mapema sana.... Congratulations 🎊 🎊 🎊 guys, we love you so much because we are learning alot from you guys... Big up guys.... Tuned in from Mombasa Kenya 🇰🇪
@mrabdultv83565 сағат бұрын
yaani GPS ni noumaa sana alafu imekuwa na wachambuzi woote wazuri wame bobea hongereni sana Bro SKY, DJ Sma,Ally Masubi na Henrly kazi nzuri sana
@Williamstozzo7 сағат бұрын
Dj Smaaa unachambua kwa hisia sanaa brother
@yasrimambo4394 сағат бұрын
Kaka ww eleza usiache jambo wenye kuelewa tunaelewa na tunafuatilia wasioelewa watabaki kutoelewa
@Abuunuwayra5 сағат бұрын
Leo Gps Yampto Sana Wallahy Ilikuwa Naisubiri Sana Kwa Hamu Na Hamumu
@raymrash2 сағат бұрын
"Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika."
@zuricakes6817Сағат бұрын
Yaas! If you know, you know. Kama hujui huwezi kuelewa
@aliomarali88903 сағат бұрын
Africa hatuna ujanja yaan kilichobaki ni kufanya ibada ili tukapate pepo tu
@nasseralhatmi17623 сағат бұрын
Wengine wanafanya Ibada kanisani ili wakafirane wenyewe kwa wenyewe Kanisani wapate pesa ya kununua Bando na Ugali na Dagaa na Pampas ya kuziba mikundu yao iliooooza 😂😂😂
@raydanfrenk3 сағат бұрын
@@nasseralhatmi1762 kumbe unapata bando kwa kutatuliwa malinda😂😂 safi sana mbinu😮yako nimependa
@MtumishiNgowi7 сағат бұрын
Hongeren sana nawapongeza kwa kutupa habar nzur
@paulvimbamvula95083 сағат бұрын
Walipoga ma bomu 8....kweli tone 85 pia boms ni zila za Banker buster bombs ku penatrate chini ya Aridhi meter zaidi 30
@annaniasbyarugaba5788Сағат бұрын
Hv nyie GPS ndo mlisema Israel itakuwa ngumu sana kumuua hiyo jamaa
@wazirihilali6355 сағат бұрын
Hata museven kinyesi chake kinalindwa na kubebwa na intelligence yake. Yeye anatembea na toilet yake anapokua ziarani
@allynyangehassan51213 сағат бұрын
Wachambuzi wa sns-gps Sasa munavu juwa urusi wana hizo technology yaku zuwiya ule hu intelligence wakuzidi wa Israel mbona una tisha na sisi ma Africa tuna mukubali murusi kweli kwenye hi style sisi wa fasi wawo tuta tobowa kweli?
@Zuhuranadadoita4 сағат бұрын
😂😂😂😂 Starbucks. KFC. MD donas. Coca-Cola pizza vyote vya Israel
@amanilucy2 сағат бұрын
Umesahau vingi adidasi,nike ,
@dorcaskarago287648 минут бұрын
Ni nyingi america nzima ni wao tu
@Useri-bn6ye3 сағат бұрын
Kuhus bandari Zanzibar usijal kaka smaa Raisi wetu ashaekeza Tayari tunabandari kama 6 mpya zinatengezwa so ucjal
@yakoubfaki20263 сағат бұрын
Maoni yangu ni vzr mtu mmoja azungumze hadi amalize ndio mwengine anaweza kuogea Ila kwa maoni yangu mukianza kuogea kwa kuingiliana itakuwa Kam mupo maskani cause unaweza kikirusha kitu kizur ambacho mtu anataka kukisema, Ila ni maoni tuu
@NathanLukambinga7 сағат бұрын
wa kwanza hapa. naomba likes kwa ajili ya GPS team
@ImanSaid-q4i7 сағат бұрын
Kachukue Israel wanatoa like kila kona....
@NathanLukambinga6 сағат бұрын
@@ImanSaid-q4i tayar nishaichukua bado yako
@ImanSaid-q4i6 сағат бұрын
@@NathanLukambinga kama umepigwa like mbona hujafa?
@NathanLukambinga6 сағат бұрын
@@ImanSaid-q4inalindwa na comments
@ReyzDon6 сағат бұрын
Ali akiwepo huwa uchambuzi unakuwa umekamilika
@catherinekiwelo8263 сағат бұрын
Sanaaaaa❤
@mndambokilavo250223 минут бұрын
Mi sidhani Israel ni tishio kiasi hicho anayeogopewa hapo ni mmarekani kama drone za Iran 300 alisaidiwa kuzitungua mpaka na Jordan ilishiriki kutungua na bado zilifika na Iran alitoa taarifa kabla hajashambulia
@hemedmwipopo780Сағат бұрын
Kuuawa kwa Nasrullah ni pigo kwa hisbullah lakini ndiyo mwanzo wa vita vikari na kubwa na vya hatari vinakuja. Kweli jeuri ya Majeshi ya Israel ni ndege za Kivita na vifaru pamoja na Interejensia waliyo nayo lakini pamoja na hayo hakutakuwa na mshindi Katika vita hii.
@muridundhikri6 сағат бұрын
Utangulizi ambao haupo kwenye mada msiufanye mkubwa
@21899Сағат бұрын
Dj smaaa wafundishe wenzio wakizungumza watizame video rekoda kama unavyofanya wewe wachambuzi wazuri ila wanaipa maiki sikio
@AbelCharles-co6qb44 минут бұрын
Mefurah kuona dj sma amekubali biblia...utukufu kwan Yesu....❤
@UUWF2 сағат бұрын
Israel inatumia hadi nguvu za mashetani katika intelligence zao Israeli, America wana nguvu za ziada
@paulvimbamvula95083 сағат бұрын
Wa Israel wana mfumo wa Electonic war fare....wanapiga picha za 3D
@hamadiharuna9974Сағат бұрын
Asante kwa uchambuzi ila tumezingirwa kikamilifu ee mungu tuokowe
@hidayahidaya-vd3ze49 минут бұрын
Jamanii pelelezenii habari zilizopo hawajafa wakohaii kwamuungu hakuna kubwa
wanachofanya ni kuiaminisha tu jamii kua ni vitu visivyowezekana
@AyoubJha-l5jСағат бұрын
BIG THREE 3 Leo mmechemka sana, kufa kiongozi si tatizo amekufa Mullah omary ,Osama,Alzagawi , Mwisho Taliban bila ya hao wameibuka na ushindi na mataifa hayo yote mnayoyasifia kwa hiyo technology wamekimbia
@suleymuntar354426 минут бұрын
Insha allah hizbullah,hamas ,huthis na wanaharakat wote allah atawapa ushindi kama talibani walivyowasbinda wasoviet na magharibi amin
@Shafikimanga727 минут бұрын
Misaada mingi wanayotoa Wana malengo yao. Na ikionekana watachelewa kufanikisha hutumia kampeni kabisa. Tumechelewa sana kujua mambo mengi. Hebu vitabu vya dini view dira yetu.
@mohamedaley56326 сағат бұрын
Haliwezi na halitoweza Jeshi lao lilokosa maadil kuipiga Hezbullah biidhnillah mpaka kiama kitasimama
@raymrash3 сағат бұрын
Ninyi Hezbollah ndio hamna maadili ...kwa sababu mliwachokoza wenyewe...usilete madam zingine hapa
@mohamedaley56322 сағат бұрын
@@raymrash Sawa LGBT
@raymrash2 сағат бұрын
@@mohamedaley5632 wala siko na sihusiani au kuunga mkono LGBT. Niko katika kuitetea nchi yoyote ile katika kujilinda na sio ugaidi kama wa Hezbollah.
@masweto2 сағат бұрын
Kilio Sasa kwa warabu wa mbangala
@mohamedaley56322 сағат бұрын
@@raymrash ugaidi unaujua au ushajazwa?
@sautisevarino16563 сағат бұрын
Dj Smaa,pole sana bila Shaka Itapita tu
@ibrahimaziz71583 сағат бұрын
Halafu smaa kila siku unaumwa ww ndugu yetu pole sana
@magrethmagonza1862 сағат бұрын
Muonganishi dots hana la kusema la maana na bado hakosisagi sababu na nimejua kwanini yupo upande huo . Hawo wapi wa.Israel achana nao they blessing from God hameexi hata waonganike wote atawsumbua
@yahayaannu366344 минут бұрын
Sawa wao wamebarikiwa na mungu vp wew 😅😅😅😅
@saidmatola801525 минут бұрын
Ni rahisi sana, Israel Mosad wanafanya kazi na CIA na FBI. Israel na Marekani wanashare Intelligence, the whole Labanon and Gaza iko chini ya satellite zao. Lebanon hawana satellite, bado wachanga. Ila Irani imeshaweka satellite yao ya kijeshi so its a military power....
@MaurusMpinga53 минут бұрын
Kipara ndio msemaji wa ma gaidi duniani kazi nzuri
@AshrafuJuma-sy1up26 минут бұрын
Amna Israel wanyama wauaji fuatilia wanafadhili isis na al Qaeda.Israel taifa la mashoga
@OnesmoEphrata7 сағат бұрын
Israili bhana Yan LEBANON/IRAQ/IRANI/TURKEY/YEMEN/EGYP/ SAUD ARABIA woote wana tzama tuu huyo irani anaye ogopesha wa2 marekani wana mtamani kweeli kweeli kwani marekani ali shindwa kuosmnana nae huhusu nyuklia sasa aki nyenyua mkia tuu F35 haita fanya kazi bhali B52 ita stack hapo kwenye anga ya iran itage hadi imalize nyuklia yooote pabakie kama gaza
@goodluckmwamboneke55914 сағат бұрын
Ndefu tamu fupi inakela
@RamadanPaul3 сағат бұрын
😂😂😂 duuh
@WilhelmIbaganisa-bx7zj2 сағат бұрын
Sky siku moja mkaribishe ibrahim rabhi , huyu nae kabobea kwenye uchambuzi wa haya mambo . Azamtv pia dw na bbc wanamtumia sana
@suleymuntar354417 минут бұрын
Yuh kweli kabisa
@NaimaniPalangyo7 сағат бұрын
Hendry unachambua vizuri
@FredMwamgogwa-td6ni7 сағат бұрын
Muwe mnakubali na uwezo wa Israel
@omysule71187 сағат бұрын
Uwezo wa kuuwa ovyo pia una ushabikia
@zebedayokatamaduni96767 сағат бұрын
@@omysule7118 Hezbollah wao wanapeleka pipi Israel 🇮🇱?
@MzeeKigogo_7 сағат бұрын
@@omysule7118Uwezo wa kuuwa magaidi
@AliNassor-qt6fm7 сағат бұрын
Israel anajitahidi sana ila anatakiwa aizuie Iran kwanza Kisha adili na haya makundi
@abdallahmmary85916 сағат бұрын
Ukizungumzia izraeli kuwa ina uwezo nikweli kwanu Marekni ni wao ulaya niwao kwamana iyo netanyahu nkibaraka now kwahili sasa watadhalilika muda kidgo
@IssacNtacho5 сағат бұрын
Mnajadiri vema,,mnaustarabu,mnapokezana ,wakat mmoja anaongea mwingine anasikiliza na kutafakari ,good job,,
@venancerutta68756 сағат бұрын
Mchambuzi uko vizuri Israel teklojia Yao IPO juu watu hawataki kukubali Iran na ulinzi wake wote mpaka anajua kiogoz ismail Israel ni tishio bomu tan 85 kinapenya anatekeleza kusudio lake
@AbdulRaheemKhamis6 сағат бұрын
Leo GPS mume nifurahisha Yan wiki nzima nilikua natamani GPS watoe uchambuzi kwa yanayoendelea
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
Uchambuzi mzuri sama...Iran basi wa yache sana kwendereya kulusha makombola ndani ya Israel
@JonasiSebastiani3 сағат бұрын
Yalitabiliwa katika Ezekiel 38yote ndo ujue,pia soma ufunuo 16.
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
Israel.waiyachetu kuyichokoza.. Na huyo jamaa wamakamu naibu ashampiga pia amewuwawa
@BoboManya5 сағат бұрын
Maarabu baesilamu mweye amuwezi waza mbali lakini majini muko nayoo amuwezi waza israeli nitaifa teule ya mungu akuna ishi inaweza kuipinga ya kiarabu mpaka gisi dunia itaishaka ba christo tuko pamoya Na Israël tuuwe mpaka kizazi ya mwisho ya kiesilamu Ama kiarabu
@paulvimbamvula95086 сағат бұрын
Hizbollah hana uwezo wa Vita na zote inchi za u Arab hawezi kupigana na Israel....na wale ata tueeke mungu pembeni.....israel kama inchi yoyote wala wa Yahudi wana Ujuzi wa Hali ya juu sana
@KassimAlly-xp4dz6 сағат бұрын
Alokwambia nani kama Israil ana uwezo wa kuipija Hesbullah kwann mpaka leo ameshindwa kuimaliza Hamas na kurejesha mateka wao kijana acheni kupotoshwa
@YamuremyeYarodi3 сағат бұрын
Ila uy Mungu mnaeshirikisha katika uwovu wabinadamu niyupi?😂tuwe tunafkiriya kwanza kutaja ilo jina katika mambo ya siasa naukatili wabinadamu Mungu anapiganiwa kwel?anaitaji ma bomu anaitaji ndege anaitaji ulinzi waanga anaitaji ujasusi😂😂eeeh MUNGU turehemu
@ManusuraWalumona7 сағат бұрын
Huyo ndugu yetu Nasrallah ilikua ni lazima auae kutokana na hali iliopo kule Israël marekani na nchi zote za magharibi ikiwemo ujerumani na uingereza zinaona kua hilo ndio suluhisho la kuinusuru Israël kwa hiyo hiyo ilikua mission yao na target yao muhim😢😢
@HalimaRamadhan-r3q3 сағат бұрын
Maa Shaa Allah pole DJ smaa Allah akupe shifaa
@saidinyoni24637 сағат бұрын
Nyinyi mabom hisbulla waki yarusha hoo yamelipuka yenyewe juu hayaja ua mtu lakini wao Israeli Ata wakirusha njiti yakibiriti wame ua watu Mia tano acheni kutu tangazia taalifa zamaghalibi acheni bwana
@nahayohamza70904 сағат бұрын
Ila nimegunduwaa na nyinyi haumfai fujo nyingi tuuu kwanini mnaogopa kusema ukweli iyo mosssad lilikuwa kundi lamagaidi ila mnaka kuleta leta fujo nyingi sanaaa tuuu kwani bila inchi za magaribi Israel inauwezo gani?
@ShawnBeatz6 сағат бұрын
sma kama anataka kulia hivi...chambua kwa facts zilizopo sio mahaba yoyote, and thats what will set a bar as a prominent analyst!
@nadhifamustapha7557Сағат бұрын
Pole sn djsmaa
@asmaalghafri4492 сағат бұрын
Mkubali msikubali izrael inamisaada ndio maana hawawezi kusimamisha vita na nchi zote za nato zinamsaidia ajaribu aoigane peke yake ndio mumsifu hata fisi zikichangilia zinamuua simba
@godlovemariki63026 сағат бұрын
Uchambuzi mzuri ila tumieni KISWAHILI kamili ili kila mtu aweze kuwaelewa kuna wengine wanabaki njiani
@YamuremyeYarodi2 сағат бұрын
Izi nchi zakiarabu technolojia zawo bado ziko chini san inabidi wawekez naapo namarekani wengi kashawanunuwa njo maaana hawana lakufanya mossad wana uwezo kwakuwa budget marekani anawapa nikubwa sana iran njo anatafutwa inabidi asikurupuki ajibane ajiimarishe kwakuwa magharibi wanamtaka sana ila wanakosa sababu njo maana wanamtumia israel aprovoke
@GeorgeChitemo-kt8swСағат бұрын
Wayahudi wanataka kujenga hekalu hivi vita vinavyoendelea ni kutaka kujenga hekalu naomba sns nialikeni nije nifafanue hii vita utaishia wapi na kwanini inaendea
@IssacNtacho6 сағат бұрын
Israel hoyeeeeeeeeee💪💪💪💪
@kassimkhalid1185Сағат бұрын
Subiri tuu Wa israel watatu vamia hata sisi waafirka watatuwa kama kama wanafiyo wauwa waarabu huko gaza na lebanoni ni wahodari sana kuwauwa Raiya kina Mama na watoto watachukua Ardhi zetu waafrica.
@yahayaannu366348 минут бұрын
Rais wa Turkey Erdogan ndo alisema UN wamefeki na wanadauble standard
@feilymusa39256 сағат бұрын
Netanyau ametangaza akiwa U N hii vita, hakuna anayeweza kuzuhia israeli na inamkono mrefu wa kupiga mashariki ya kati yote, pia kiongozi wa uro amekili hawawezi kumzuia netanyau
@johnjoseph11062 сағат бұрын
Kwenye Hamasi Kila mtu alikataa kukaimu mpaka cheo kikamwendea mtu ambaye akaimu au asikaimu lazima afe na ndiye aliyekaimu, wengine waliogopa
@saidjuma78787 сағат бұрын
Asante sn, nawapata kutokea zanzibar, mm napata mashaka na kiongozi wa kidini wa iran Ali khomenei, sbb mapinduzi ya iran yaliyoiweka serikali ya khaminei madarakani yalifanyika kwa msaada wa mayahud, wasi wasi wangu hawa akina khaminei wanakwenda kwa maelekezo km ilivyo serikali ya saudi arabia
@hemedjackson22616 сағат бұрын
Israel mamb mengi anashirikian CIA na M16 sio km kil kona wapo
@raymrash2 сағат бұрын
Usichokijua hata pale Zanzibar Mossad wapo 😂
@raymrash2 сағат бұрын
Sema tu huipendi Israel 😂
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
Awo walitoka ndani niwapizani wa Israel...na aliongea nazani walisoma kwa simu hutuba yake
@BoboManya5 сағат бұрын
Auko Saw dungu yangu Israël ilisha shinda kazi mapema sana muarabu ana neno kwa mu yaudi mutakufaa sana baesilamu Na bado
@MzeeKigogo_7 сағат бұрын
Dj sma ni muongo. Huyo gaidi Nasra hajawahi kuishinda Israel hata mara moja
@ImanSaid-q4i7 сағат бұрын
Tangu lini kigogo kikaelewa
@KassimAlly-xp4dz6 сағат бұрын
Ww ndo gaidi nchi gani ya kiarabu ilouwa nchi nyengine wazungu ndo wauwaji wakubwa duniani
@SwedyMohamed-vt5zm4 сағат бұрын
Wazungu ndio wauwaji wa watu duniani na ndio wameongoza ukandamizaji unyanyasaji na unyonyaji ktk hii Dunia ikiwemo utumwa,ukoloni ubaguzi wa rangi ikiwe Afrika kusini na Marekani enzi za Akina Martin Luther king Jr.Pia ukoloni mambo Leo na kulazimisha watu kukubali ushoga.Wewe hujui kitu.Nenda ukasome.
@shariffally22137 сағат бұрын
Mimi ninavyoona izrail inasaidiwa na ulinzi wa anga tu, laiti kama c ulinzi huo basi leo vita vikubwa vya ulimwengu vingetokezea.
@EnthusiasticAtv-gn6pb6 сағат бұрын
Wamagaribi na Israeli ni rahisi sana kuwa na makachero kwa sababu wao hawana limit ya masuala ya haramu au halali. Wao vyote ni sawa tu. Ni tofauti na Waislamu ambao wanazingatia sana na kutilia umuhimu wakulinda nafsi dhidi ya vitu haramu. Hivyo, si rahisi sana kuwa na makachero wengi katika mazingira hayo kutokana na kulinda Imani.
@InnocentZamkulu5 сағат бұрын
Je unaelewa unachokiongea? Ivi Kuna uharamu zaidi ya ugaidi.
@emmadora78484 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 we mwenyewe hapo ulipo ni haramu ,kwenda zako
@paulvimbamvula9508Сағат бұрын
Tukubari wa yahudi wana akili na anauwezo..pia ni matagiri..na ana moyo wa bila uwoga
@Supershopdubai-ck8td31 минут бұрын
Kbs nikweri from 🇧🇮💐
@swalehhaji70427 сағат бұрын
"He is the only men standing for Palestina people without fear speaking the truth and fighting for them ,while all Muslims leaders fear to say the truth about is Israel and fighting for Palestina he is the winner.May Allah Bless is Soul.
@WilhelmIbaganisa-bx7zj6 сағат бұрын
#SKY UKO POWA NA TIMU YAKO , MASUBI BRAVO UNAFANYA KAZI NZURI . ISRAEL HII NCHI PASUA KICHWA . WARABU NAO WANAANZISHA VITA BILA KUWA NA UMOJA WA UMSULI WA VITA .
@joycemalundo10557 сағат бұрын
Bro,.sky, matusi yamezidi umundani skuizi, kila mtu ashabikie anachokiamini bila kumtusi mwingine mbona safi tu. Wanakwaza sana inakuwa kama issue za kidini, sio sawa waambie waache hio tabia , naamini unasoma comment zetu.
@IssacNtacho5 сағат бұрын
Hahahaaa,,nikweli ,,Mimi ni shabiki wa Israel ,hata kwa gharama ya kifo
@masweto2 сағат бұрын
❤ Israel
@ummukuluthum13553 сағат бұрын
Bravo 👏
@SAMA-jw4fr5 сағат бұрын
Hawa Iran nimeanza kupata wasiwasi maneno mengi vitendo hamna so nishaanza kutokuwakubali
@RamadanPaul3 сағат бұрын
Hata mimi🫲
@raymrash2 сағат бұрын
Acheni chuki na Israel, msiwachokoze, jengeni nchi zenu na kutakuwa na amani kwenu na Duniani.
@RamadanPaulСағат бұрын
@@raymrash wewe si unaona ramani ya netanyau?. Ardhi yote ya middle East wanataka kuichukua, sasa unataka wafanye nini sasa hao wenye ardhi yao?
@raymrash58 минут бұрын
@@RamadanPaul kama hiyo ramani ni hoja mbona Saudi Arabia, Jordan wametulia na hawashiriki hii vita!!!? Kaka katika swala zima la vita vya Israel na maadui zake Kuna upotoshaji mkubwa sana. Wayahudi na taifa lao Israel wamekuwa wakichukiwa na kuuawa tangu zamani. Na mbaya zaidi ziko dini zinahalalisha chuki hiyo kidini na kiitikadi kwa kigezo kwamba wamelaaniwa au wengine kusema ni mashoga...ifike hatua ulimwengu utambue kuwa kuwachukia wayahudi au watu wa aina yoyote sio maagizo ya Mungu wa kweli. Waarabu Wana nchi zaidi ya 48 kote wamejaa wao tu kale kanchi ka Israel ni kadogo na Bado wanakataka... sioni kuwa ni busara kuwachokoza waIsrael muwaache ilinkuwe na amani.
@hidayahidaya-vd3ze2 сағат бұрын
Mudimpe ushindi israili Jana bado ushindi bado hamasi Moto wavukuta
@brianbaltazar61984 сағат бұрын
GPS🔥🔥🔥🔥
@merrymwakunje41087 сағат бұрын
Ansante sana sky nimesubir Kwa hamu
@paulvimbamvula95086 сағат бұрын
Na alichakmguwa wamakamu wake...lisaa moja tu nayo amepigwa vibaya wayahudi bwana hatari
@jumamussantuiche5 сағат бұрын
Mayaudi wakiafrica wana msapo mzayuni kuuwa viongoxi wa dini kama yesu.kwa imani ya kikristo.
@GeorgeChitemo-kt8swСағат бұрын
Jamaa Mungu amewatumia kuhubiri njiri ya kurudi kwa Yesu ni kweli Yesu anarudi
@hafidhyakoub83694 сағат бұрын
Hapo kwenye simu ni kweli mtoto akipotea tuu ulaya sms kwenye simu zote na alarm ina lia tena wala sio mziki unayo weka😅😅
@DevidNgosiyo7 сағат бұрын
Dj smaa mchambuzi wa michongo, hupenda kuwatetea magaidi wenzake na kuichukia Israel kwa sababu yeye Dj smaa ni muislam, na Israel inawakilisha Ukristo, Israel oyeee!!❤
@ce-086 сағат бұрын
Israel haiwakilishi ukristo Israel dini Yao kubwa ni Judaism(wayahudi) japo wakristo wapo na waislam wapo kwa uchache ila ukristo unatambua Israel kama moja ya sehem takatifu ambayo imetajwa katika kitabu Chao Cha kiimani(biblia) ndiyo maana wakristo wapo upande wa Israel sababu wanaona kama patachukuliwa kwao itakuwa ngumu kupafikia wakati bible inayataja maeneo mengi takatifu yapo Hilo eneo la Israel
@FrenkMushi-i7f6 сағат бұрын
Kwelii kabisaaaa
@LeahyMagoso6 сағат бұрын
😂😂😂
@YamuremyeYarodi3 сағат бұрын
Israel haimkubali Kristo ata biblia hawaikubali waisramu niwengi kuliko at ukristo ndani ya israel naukristo hawufunzi mawuwaji awo kulipiza apana iy ni kazzi ya MUNGU pekeake aya tunaoyona nikuaribika kwa mwanadamu ila na biblia imeshasema kitambo nyakati zamwisho njo haya matokeo yake.
@nasseralhatmi17623 сағат бұрын
@@ce-08Uongooooooo 😂😂😂😂
@EnthusiasticAtv-gn6pb5 сағат бұрын
Tatizo la Israeli anataka kuivuta Iran ili ampambanishe na Marekani
@emmadora78485 сағат бұрын
Irani anahusika vipi huko kama sio kiherehere chake tu acha wapigwe
@amosmakabara3024Сағат бұрын
Matatizo yanatukuta ili kutukumbusha tulipotoka tulipo na tunapokwenda pia
@ReyzDon5 сағат бұрын
Huyo Naibu karibu mkuu Alisha uwawa labda mmechelewa kutoa tarifa
@HassanRamadhanPashua7 сағат бұрын
Kimimi naona huyu kiongozi wa Iran ni mmoja wao mayahudi inakuaje uwe na uwezo wa kijeshi lkn Kila siku mtalipiza tu
@Williamstozzo7 сағат бұрын
Haha baada ya kulipiza nini kinafuataa,,,?anajua kwanini Iran inasitaaa...ukumbukee israel anamtaka Iran na huko kwingine wanazungukaa tuu
@hameedm83617 сағат бұрын
Iran atakapo pigana marekani ataingia
@raydanfrenk7 сағат бұрын
😂😂 iran mnakitu mzee kipara alivyo kuwa anatuaminisha 😅😅😅😅
@jerryndondole19652 сағат бұрын
Ali naisubiri makala yako kwa hamu kubwa,uko vzuri sana Brother
Mi najuwa awa viongozi waaa amassi wako vizur kuliko wa hesbola awa wanachomana wenyewe kwa enyew
@JohnMilulu2 сағат бұрын
Daa.. Wachambuzi... Alishinda vita gani huyo mbele ya israel? Israel ilisarender? Kilichotokea ni usuluhishi wa kimataifa ili kuondoa majanga kwa lebanon
@zuricakes6817Сағат бұрын
GPS kuna namna uwa watuangusha sana. Ila penye ukweli uwongo huwa unajitenga
@Yotekwayangagood56107 сағат бұрын
😢 inasikitisha sana 😅alafu inachekesha nikiwaona wachambuzi wa sns 😢 wanaumia sana
@hemedjackson22613 сағат бұрын
Israel hafny kaz peke yake bila ya CIA na M16 bwana
@zuricakes6817Сағат бұрын
Hii habari umeipata wapi? Tuambie na sisi tukaisome. Au una mawasilano ya moja kwa moja nao?😅
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
Sasa Dunia itachaguwa ugaidi wakujificha awu wa ki civilisation? Ugaidi ni baya sana
@YussufMohd-fc1djСағат бұрын
dj smaaa aowe bwana GPS nawakubali xn my brother
@paulvimbamvula95082 сағат бұрын
Israel wana Millitary setilites na an ma control GPS pia ana ndege za Electronics....
@raydanfrenk7 сағат бұрын
Mzee kipara et rais wa zanzr anafanya kaz 😂😂 kwaiy wa kwako umemdhalau 😅😅
@emanuelmaraki97582 сағат бұрын
Yanii iziraeli kibokoooo sanaaa semeni lakini mambo Yao yandani amuezijua