Kwan kipapa tangulini kikawa na adui wakati kila mtu anakipenda😂
@worldhappiness1181Ай бұрын
Kwamba, wanazuia hadi risasi na hiyo mikuki 😅, nadhan wanafanya hvyo pia kupreserve culture
@BarnabasFabianiАй бұрын
Mimi na sema mungu hayupo wacha wenye uwezo waku fikiri waendele kutu tumia
@selemanyasin11 күн бұрын
Ina sikitisha sana sana kuona mtu anaejiita papa kuwa mtakatifu alisapoti kubaliki mashonga Tena bila woga kwa tukio Hilo unashindwa kuelewa TU papa ana mtumikia nani kati ya Mungu na shetani yesu hakuwahi kuwa na mlinzi hata Moja kwa kuwa alikuwa analindwa na mungu
@erickmollel-zv2euАй бұрын
From suisse nawapata vizur sns
@hazygardmericho9571Ай бұрын
TUANDALIENI NA MAKALA YA NCHI YA USWISI
@kanezajoella6663Ай бұрын
Ushaga ni mwingi kwenye hi dini ya mpinga CHRISTO
@gregorybakuza5796Ай бұрын
Kumbe hao ndo wale maustaadhi wanaofira watoto madrasa!? Ushoga umezagaa maeneo ya pwani (Tanga, Mombasa, Zanzibar n.k) bilashaka huko ni makazi ya hiyo dini uliyoitaja😅 Mashoga karibia wote hapa nchini utasiki anaitwa Anti Abuu, Anti beka, Aunt Rama n.k bilashaka ndo hiyo dini uliyoitaja. Ama hakika hiyo dini uliyotaja ni ya shetani.
@user-rt1wf6se5fАй бұрын
Weka namba uone umoja wa shoga duniani Israel apo aibu ndo mpinga kristo
@MaryShomahКүн бұрын
@@gregorybakuza5796😂😂😂umejibu vizur sana akili Mingi kwenye hicho kichwa
@barrynzeyimana6270Ай бұрын
Kesho utasikia waioshiba ubwabwa. Mungu atanirinda
@JosephMpangala-wd5mpАй бұрын
Papa nikiongozi wa dini tena anajiita mwakilishi wa Mungu duniani kwanini awe na ulinzi mkali kama kweli nimtumishi wa Mungu?
@ce-08Ай бұрын
Sasa kama Yesu mwenyewe na mitume wengine alivamiwa iweje papa asivamiwe😅 lazima awe na ulizi
@gwanda27Ай бұрын
Kumbuka papa Paul wa2 alivamiwa na kupigwa risasi katika kanisa kuu la Mt. Petro vatican
@josephatkazaura5442Ай бұрын
Ni sawa na kuuliza kama Yesu ni mwana wa Mungu kwanini asitumie nguvu zake ili asisurubiwe msarabani. Kuna mambo mawili , moja kiroho mengine ya kimwili. Ndio maana Yesu alisema vya Mungu mpeni Mungu na vya kaisali mpeni kaisali
@mboyipaulАй бұрын
Jisaidie naye atakusaidia ..mkuu inahitaji ufahamu kuelewa mambo ya kiroho na kimwili.
@TeophilBuildingАй бұрын
Daaa umeuliz kwa vizur ila umeuliz vibay kwa tafakar za wasio jitambua ila sio Siri papa ni mtu TU na sio muwakilishi wa mungu na ndo ma'an anatumik kwa ukubwa ktk maovu makubw ya dunia mfano ushoga mauwaji ya kutisha na mambo mengi ya kishetan na ndo ma'an mpak SAS anashikilia kidete kuhalalisha mambo mengi ya kishetan ukisom vizur biblia agano la kale utagundua kua papa ni njia ya shetani kwa ufupi TU na SI njia ya shetan
@selemanyasin11 күн бұрын
Uswiss ndio Kuna Bank ya Dunia pia ndio Kuna makao makuu ya haki za binadamu lengo kuu la haki za binadamu ni ushoga taasisi zote za haki za binadamu zinapigania ushoga hakuna haki nyingine wanazuga 2 kutetea watoto mara kina mama
@selemanyasin11 күн бұрын
Tumia akili usiwe mjinga ww Italian nitaifa linalo sapoti ushoga na papa yumo ndani ya Italy
@jumaamsuya523 күн бұрын
Hao tunataka wakutane nahamasi
@vintz338Ай бұрын
Kunawatu watabisha lakin kat ya watu wenyew akili Sana dunian pia wapo Vatican hat technology nyingi za kimataifa ni sample ya zile zinazotoka Vatican
@IbniAbbas-yz3ktАй бұрын
Umesahau kuwa mpaka mashoga wengi wametokea vatcan😊
@bajosdamour2347Ай бұрын
@@IbniAbbas-yz3kt😂😂😂😂😂
@zuricakes6817Ай бұрын
Sisi tunavyojua mashoga wengi wana asili ya kiarabu...Tanga, Zanzibar.😁
@fahamnitwahir9249Ай бұрын
huko unakozungumzia kuwa ndo asili yake hatujawah kusikia hata siku moja waarabu/Zanzibar wakipignia haki za mashoga au kupitisha ndoa za jinsia moja lkn je huko Vatican hali ipoje dada au huwasikii wakipambania ushoga uwe halali?je nan muasisi hapo @@zuricakes6817
@IbniAbbas-yz3ktАй бұрын
@@zuricakes6817 Basi utakuwa unaishi Dunia nyingine huku Dunia yetu mashoga wengi wanatoka nchi za ulaya na America siku hizi hata ndoa zao zinafungwa makanisani!sasa nioneshe huko kwenu shoga wa uarabuni au pwani ulizo sema amefunga ndoa msikitin!siku hizi mpaka wanawake mnaoana makanisani sasa nambie nchi gani uarabuni wameruhusu hayo mambo!labda huko kuzimu ulipo!
@selemanyasin11 күн бұрын
Kama wewe ni Mkatoliki na unakwenda kanisani na ukatoa sadaka jua na wewe ni mmoja kati ya watu mnao fadhili ushoga indirect kwa kuwa sadaka zako zinafika Vatican