@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@pendo808214 күн бұрын
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
@joycekisamo489614 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@AbdulGermany21015 күн бұрын
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
@joycekisamo489614 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@imanimhagama46477 күн бұрын
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
@latifahali822815 күн бұрын
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
@karirekinyana975914 күн бұрын
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤
@ruqaiamohammed34514 күн бұрын
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
@Zenny8915 күн бұрын
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
@esthermakelemo286414 күн бұрын
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
@sadikilumumba137015 күн бұрын
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
@homeandaway281115 күн бұрын
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
@ndukulusudikucho_15 күн бұрын
Umesema kweli jamaa anapayuka
@davidshaban737514 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@homeandaway281114 күн бұрын
@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
@pendonoor886914 күн бұрын
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s15 күн бұрын
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
@mylasadick518915 күн бұрын
Muha ya uyo
@pendo808215 күн бұрын
Haeleweki😂😂
@Khalidwandhera15 күн бұрын
Unaona mbari jamaa ni kipusa
@ukhutfatumah115415 күн бұрын
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
@shuwehaharuna630914 күн бұрын
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
@kizdady254414 күн бұрын
😂😂😂
@strong853415 күн бұрын
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
@joycekisamo489614 күн бұрын
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
@FahadAbubakari14 күн бұрын
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
@isunga196414 күн бұрын
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
@imanimhagama46477 күн бұрын
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
@MS.independent893415 күн бұрын
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
@t.y.g.a_13 күн бұрын
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
@ndukulusudikucho_14 күн бұрын
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
@kingbyaro601613 күн бұрын
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
@t.y.g.a_13 күн бұрын
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
@user-fx2fn2qs3t14 күн бұрын
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
@othinielkamyola369714 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@joycekisamo489614 күн бұрын
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
@mdachiog521115 күн бұрын
😂😂anaijua wasafi
@ngoyaboy159012 күн бұрын
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
@johnmwandu211614 күн бұрын
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
@menlandmutashobya83779 күн бұрын
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
@Legends_Interviews14 күн бұрын
Waambie ukweli
@jacksonmsendo347814 күн бұрын
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
@mudiskaina234215 күн бұрын
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
@yama_virginhairthequeen106514 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
@mudiskaina234215 күн бұрын
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
@linnerphilip426014 күн бұрын
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
@mkulimatanzania14 күн бұрын
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
@davidshaban737514 күн бұрын
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
@elijahbaraka947014 күн бұрын
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
@HansChuma15 күн бұрын
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@jimmyhabarugira423215 күн бұрын
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
@alisalum202313 күн бұрын
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
@itNeza14 күн бұрын
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
@richkaja331714 күн бұрын
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
@MasterVoltron-f9w14 күн бұрын
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
@hamisisalim807613 күн бұрын
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
@noellahgervas9014 күн бұрын
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
@omarzinga704614 күн бұрын
Huyu tapeli😂😂😂
@SadaDamas-jh2gt15 күн бұрын
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
@imanimhagama46477 күн бұрын
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
@sonnyr189915 күн бұрын
😂
@dullahabdallah-nu1py14 күн бұрын
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
@user-ib7kn6fs4x14 күн бұрын
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
@aftapat536514 күн бұрын
😂😂 pole kaka
@chrisjack427813 күн бұрын
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
@omarzinga704614 күн бұрын
Onyosha mikataba
@Bama95913 күн бұрын
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
@imanimhagama46477 күн бұрын
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@Bama9597 күн бұрын
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
@awaynaaaa349015 күн бұрын
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
@MajutoElliasi15 күн бұрын
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
@ndikumasabodiegovevo909114 күн бұрын
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck