Masha'a Allah. Mie pia nimejifunza Umachanic 2004 pale King'orani Majengo nimefanya kazi ya ufundi hapo hapo. Nimeishi Kisauni Mishomoroni. Nimeoa Ukambani kule kitui. Mbaka sasa nipo nyumbani kidogo Bukoba Tz
@michaeljuma2543 ай бұрын
Aaiiiiseeee dj sma ni mwenyeji uku kwa kweli
@goodluckmwamboneke55913 ай бұрын
My name is Goodluck nicholaus-I'm watching sns from Washington state u.s i love u guys good show sky, na umepata vichwa vyakwel ambao wanajua wanavyo viongea, ali,sma and Henry i appreciate u guys👏🔥
@hamadiharuna99743 ай бұрын
Shukran kwa uchambuzi wenu kwa kweli munajitahi sidjutie mda wangu
@JoshuaMwandwanga3 ай бұрын
Asante kaka
@shajemalyfestyle3 ай бұрын
Revolution is coming for Kenya
@MdOmane-yg9gi3 ай бұрын
Asanteni nimewapata vizuri
@sultanaswaleh78133 ай бұрын
THANKS MY SON .❤ UMESAHAU SHULE ILIOKO KARIBU NA NYALI NI ALIDINA
@evansogutu41673 ай бұрын
Sma sai hakuna kiungozi wa kisiasa anatuunga mkono tumeshikana mkono sisi vijana na hatutauziwa uoga....
@radaonlinetv19223 ай бұрын
Matangazaji Mashallhau una sauti nzuri sana.. Ubarikiwe
@husseinmassawa71863 ай бұрын
Sns ndo sehemu pekee unasikiliza clip ya lisaa bila kuskip, big up bros
@salhawaziri16683 ай бұрын
Na ukipitwa unarudisha nyuma
@noahlameck15643 ай бұрын
Nipo Nairobi Awa jamaa hawana mchezo Yaani adi sisi wageni tunalazimishwa kuingia mtaani bila ivyo haufanyi biashara zako
@JOHNINSURANCE3 ай бұрын
😀😀 wako serious jamaa
@KomoraMohamed3 ай бұрын
😂😂😂iyo ndiyo kenya kuwa mvumilivu
@SaraphinaKidoti-qe7gi3 ай бұрын
Napenda saana bro sky unatufunza mengi
@abubakarabuero51373 ай бұрын
Ali masubi risasi wanazotumia zinaua raia acha kusema hazina madhara sisi wakenya ndio tunajua
@chande2k2503 ай бұрын
Dj sma funguka tu sema TZ tumebarikiwa kizazi cha machawa na kucfia kila jambo
@allyseba1723 ай бұрын
Ume sema kwel tz n mwendo wa kusfia
@salimhassan33693 ай бұрын
Afadhali kusifia kuliko ukabila ata marehemu Maguvuli aliwai kusema kinacho ima liza kenya ni ukabila...
@FatumaMfaki3 ай бұрын
@@salimhassan3369lakini afadhali Kenya si wafu gwa hta hyo tribalism Kuna uwezekano miaka ijayo ikawa haiko
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
@@salimhassan3369Kenya wamemalizwa kivipi na ukabila wakati wametuzidi maendeleo mbali sana? Sisi ambao hatuna ukabila tumewazidi nini wakenya? Watanzania kuweni na akili timamu ya kupambanua mambo
@hassangabriel46033 ай бұрын
Karibu tena Kenya -Nairobi parklands br
@salama11133 ай бұрын
Sana wakenya majasiri sio cc wabongo 😂😂😂
@svt33 ай бұрын
@salama1113: ila wabongo wanasifa zao za umbea na kusifia rais anaupiga mwingi
@salimhassan33693 ай бұрын
Musiombe mpaka viongozi kama wakenya kiatu usicho kivaa ukijui udhani wake...Shkuru sana kutokua na ukabila
@KassimAlly-xp4dz3 ай бұрын
Sisi ni wanafiki na machawa pro
@svt33 ай бұрын
@@salimhassan3369 sasa ukabila unatokea wapi hapo? Kila mwana inchi iko na haki ya ku andamana kupinga maelekezo ya viongozi zinapokuwa za ku nyanyapaa, au wanapo weka sheria zisizo faa, wanaichi kupaza sauti ni haki yao
@salama11133 ай бұрын
@@KassimAlly-xp4dz tena hawa wenye himedia
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Tupo kaka sky tunaangalia apa gps..napendaga Sana hichi kipindi na team yenu yote mtu nne nawapendaga Sana na mnajuwa Sana kutuchambulia
@WazirBoy-fe5ew3 ай бұрын
Samahani sana wazee, mbona amuongelei nchi yetu tz, maana huko ndio kuna mautumbo ya ajabu mno kuliko hata kenya
@DodomaTanzania-r5z3 ай бұрын
Huku TANZANIA ukipinga serikali unawekewa vikwazo na hyo channel utaambiwa haijasajiliwa kwahy unafunguliwa mashitaka
@svt33 ай бұрын
Tz hakuna uhuru wa kukosowa serikali ndio sababu wanaogopa inayo kubalika Tz no kumusifia Rais ameupiga mwingi ila ukikosowa utapotezwa
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Tanzania uhuru wa maoni bado haupo.
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Nafikiri wewe huishi Tanzania ndio maana huijui Tanzania. Wewe kama wewe jaribu kuongelea hadharani uovu uliopo serikalini Tanzania kama hatujasikia umetekwa na watu wasiojulikana
@athumanisudi8913 ай бұрын
Hauthubutu kuongelea uovu wa tz kama ukithubutu Unapotezwa wataendelea kuongelea siasa za nje tu
@rajdaboy3 ай бұрын
Nafatilia nikiwa apa Nairobi Kenya. Ni kunoma
@hoseakamau24803 ай бұрын
SNS tunakuelewa sana kutoka kenya
@maryamtan6823 ай бұрын
Tatizo la ajira liko kote, mm nk omani huu mwaka wangu wa 8,.wazawa wanateseka kupata ajira mpk wamekata tamaa. Watu ni wengi klk ajira.
@carmp33 ай бұрын
Umeona vijana wengi wa kiarabu hapa Oman hawana ajira na hawalalamiki
@lenniefei67103 ай бұрын
Nimekua Oman na serikali ya Sultan Qaboos anawasidia sana vijana wao kwa kuwapa elimu, matibabu ya bure n.k acha kueneza uwongo
@lenniefei67103 ай бұрын
@@carmp3Hawalalamiki kwa kua mambo yao ya kimsingi maishani serikali inawasaidia....Muache uwongo kulinganisha serikali ya ruto na ya Sultan Qaboos !!!
@carmp33 ай бұрын
@@lenniefei6710 sasa mbona unakasilika ni kitu cha kaiwada ukosefu wa ajira tuna ongelea ajira hatuongelei huduma za hospital kuwa bule ni kweli ajira pia kwa oman ni changamoto pamoja nakuwepo kwa elimu bule na huduma za afya tatizo ajira,,unabisha nn nipo oman mwaka wa sita kuna watoto wa kiume watatu ambao ni vijama wa bosi wangu wapo nyumbani wote hawana ajira walituma maimbi ni miaka na ajila hakuna,,sema wenzetu sio watu wa lawama niwavumiki wanaamin kila kitu ni mipango ya mungu..sasa cjui kwann unatuita waongo??
@SADICKITHOMAS3 ай бұрын
@@lenniefei6710umempa jibu murua 😅
@ramadhaniseifuledi5133 ай бұрын
Dj smaaa 🎉safi sey
@KassimAlly-xp4dz3 ай бұрын
Vijana wa Tanzania wapo busy na umbea wa Mangikimambi huna cha kuwambia kuhusu umbea kuhusu kudai haki wao wanawachia majirani ze2
@amsiabbas38093 ай бұрын
😂😂😂
@blackhibiscus18763 ай бұрын
Nimefurahia sana malumbano. Mimi Mkenya kwenye ughaibu wa Thailand. Nashukuru.
@sharifahabsi50043 ай бұрын
Pamoja from Oman 🇴🇲
@RichbonyMutalishi3 ай бұрын
Sisi tanzania tozo ziko kilakona lakini bado tunaendelea kukopa kwa sasa deni letu limekua kubwa sana limefika tilion91.7 alafu tunaona sawa2 ujingasana huu
@michaeljuma2543 ай бұрын
And do you guys believe that mfuko wa inchi ulikua empty???? Kama kweli mifuko ilkua empty, expenses za state house pekee ni zaidi ya milioni mia tano, wanasiasa wamepewa magari ya kifahari, wamejiongeza mishahara, flight and travelling expensive ndo usiseme, hizo pesa zimetoka wapi, freemason????
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Napenda Geopolitics na hapa kwenye sns ndo home .Big up wachambuzi
@sosbrayantbenjamin97013 ай бұрын
Haya sma Alisha ongea hata kabla hayaja tokea mikopo sio poa
@zayumar29553 ай бұрын
Daaaaah Ally masudi kaongea vizuri sana kuusu ajira jmniiiiiiiiii serikali ingeweza kutengeza viwanda vingi vijana wapate ajira tatizo la ajira kingepungua kwakweli 😢😢😢 Mwenda zake alikua na nia nzuri sana ya kuendeleza viwanda ila ndio ivyo tena alale salama shujaa wetu 😢😢💔
@abdikadirchief87063 ай бұрын
Agreed with, Kenyans wamesema enough is enough . This so called leaders watakoma
@Onlyfacts02243 ай бұрын
Gen Z is btn 1997 to 2012. Mellenial is btn 1981 to 1996.
@djsma2553 ай бұрын
Asante
@rehemathoya87543 ай бұрын
This guy went to the good schools in kenya
@VexMaizoOfficial3 ай бұрын
🧭🤳 Kenya iko hatarini sana, kidogo kwetu Msumbiji kumepoa kipindi hiki kwa sasa🧎🕊️ Nawapata nikiwa Msumbiji 🇲🇿 Mozambique mkoa Cabo Delgado mjini Pemba CarioCa ❤❤❤ nawapenda ninyi wote wa SnS big up sana.❤️❤️❤️
@africanmandetraveler28473 ай бұрын
Kenya haiko hatarini kilichopo kenya ni wanasiasa walafi ,wakenya wanalipa kodi ila inaliwa na wajanja wachache.
@safarivahocha80773 ай бұрын
Tatizo wa Tanzania kwenye mambo kitaifa, tuna kubali kupotoshwa na kugawanywa kwa maslahi ya vyama vya kisiasa hususan CCM. Ifike hatua na sisi tuungane tusitangulize maslah ya vyama. Utaifa kwanza vyama baadae
@Yussuf-b3b3 ай бұрын
WATANGANYIKA NA WATANZANIA KWA UJUMLA HAWATAZAMI MASLAHI YA TAIFA HUWA WANAANGLIA UCHAMA HUO NDIO UJINGA WA WATANZANIA,,KUMBUKA MABADILIKO YA KATIBA YA WARIOBA MITANZANIA MINGI YALITEKWA NA MA CCM WAKAUHARIBU ULE MCHAKATO,,NI JAMBO LA KUSIKITISHA ,,HII NCHI YETU TANZANIA IKO MBALI KUPIGA HATUA YA MAENDELEO KWASABABU HII NCHI IMETEKWA NA MAJIZI NA MILARUSHWA NA INALINDWA NA KATIBA MBOVU INAYOTETEWA NA MA CCM ,,,IKO SIKU WATANZANIA WATAJITAMBUWA
@kingpunzy1943 ай бұрын
Kaka Sma & Masubi ukiwa nje ya serikali (kabla hujawa raisi) unakuwa na moyo kabisa wa kusaidia raia, lakini unapoingia tu kwenye system unakutana mifumo kandamizi ya kielimu, kiafya, kiuchumi ya kimagharibi, na ndio mifumo mibaya (sick system). Wanapochungulia na kuona mimi siwezi kutoboa kupangua hii mifumo ya kirasilimali na ndio hapo anapoona ni bora ajiandalie njia ya maisha mazuri baada ya kumaliza term yake. Na viongozi wa kiafrika wengi ni mabinafsi.
@nems-f2x3 ай бұрын
Short term solution n cutback spending but in the mediam term and long term viwanda ,kilimo pia tech industries n muhim pia serikal lazma ije na sera au stimulus packages znazo stimulate growth za business ndogo na kati,
@everrineanyango74103 ай бұрын
Huyu kijana wa yellow hii mada hajaelewa kabisa,kwanza hajui Gen z na millennials ni tofauti
@abdikadirchief87063 ай бұрын
Kweli yako, maybe ametumwa na Ruto 😂
@saidahj25433 ай бұрын
@@abdikadirchief8706namuonaaaa
@kassiannyamba8053 ай бұрын
😂
@ramamabinda50633 ай бұрын
Saf sana SNS
@Jemahjampa3 ай бұрын
The big issue in our bill ata sio Kodi ya vitu vidogo vidogo, kuna big issue ya tax ya our ancestral land, unaeza imagine Babu zetu walipigania uhuru kupata shamba zao Alf Leo waaambiwa Hilo shamba lzma ulipe Kodi bila hivo litachukuliwa, who does that, another thing Kodi zenyewe atuzioni zikifanya kazi
@DAVIDMMASSY3 ай бұрын
I think Ruto angefanya approach ya tofauti ili kujinasua ange jaribu kuelekeza expenses za gvt kwny kutengeneza productive stuffs like unapandisha kodi then unajenga viwanda au unaanzisha any stuff ambayo itaisaidia serikali kukuza uchumi au hata kuchukua mkopo wenye ahueni ili kukuza uchumi u cant face the debt issue hivyo lzm blowback yake itakuwa kubwa sana
@tatukingi25433 ай бұрын
Very true
@Dellylubunga3 ай бұрын
Ku toka DRC 🇨🇩🇨🇩asante sana SNS 🇹🇿🇹🇿
@anthonychristopherelachi70143 ай бұрын
Walie sanm yes 204 liesema no 150
@omarybakunda25543 ай бұрын
Ruto kazini kwake kuna kazi.
@loice123faida83 ай бұрын
Haina haja Ruto must go na amani haiji ila kwa incha ya upanga
@almiseo63433 ай бұрын
Hii imeweza lkn ingenoga zaidi kama pangekua na mkenya akaelezea uhalisia wenyewe kunavitu vingi mungepata
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
Watanzani 🇹🇿 tuitunze amani tuliyo nayo tupambana kutafuta mungu awajalie amani na utulivu ndugu zetu wakenya 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪
@allyseba1723 ай бұрын
Aman ip una zungumzia ss ha2na aman kwa b7 wa Tanzania weng wala lia ila wana lilia pemben..... Sema ss bado waoga na hatuna maamuz
@martingeorgenzali56143 ай бұрын
Amani Gani Tanzania Upo Nayo...Wakati-Mwaperekwa Perekwa Kama Mang,oMbe Alfu MwasEma...Mko-Naamani...Tanzania...Majinga KilakiTu Wao WasaPoT Kilaki2 Hatakama Tz ItangaZwe WauZa KeSho WatasaPot Sawa Kikubwa Tupo Naamani WajiNga TZ
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
@@martingeorgenzali5614 sawa chief najua upo na jaziba sana kwa sababu ila natumai ungekua na wazifa usinge pata hata muda wa kunijibu ila nakusii pambana chief pia jua kua kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🌹🙏🙏
@HajiKlein-so1rk3 ай бұрын
@@allyseba172 si kosa kua muoga wara si zambi jitazame pili tazama wa nyuma yako kama huna tafuta ukisha pata na ukawa na majukum njoo tena na wazo lako kaka🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹🌹🙏
@nicoledinga99483 ай бұрын
Wacha tu nicheke 😂😂😂
@melody_mike_mavoice3 ай бұрын
Am i the only one feeling the guy in yellow doesn't know anything he's taking about, anyway next time consider who's on the panel watching from kenya #rejectTheFinanceBill2024
@DrizzyDrake2543 ай бұрын
Bongo lala
@dorcas44953 ай бұрын
No clue speaking from hearsay
@SaraphinaKidoti-qe7gi3 ай бұрын
Ally ni big brain
@alhajjwaupe45933 ай бұрын
Mimi ni mkenya. Zakayo ni muogo tena wa hali juu kwanza amejiita masikini na sio masiki alia hidi mengibwakati wa kampein hata moja haja timiza sasa huyo sisi wakenya twa mfaham hata hio kuwapongeza vijana niongo tu yeyw ndie anae lazimi wabunge kupitisha kwa kuhonga
@saidally96533 ай бұрын
Kodi Kwa wananchi xio mbaya lkn wanaiba xax hz pesa zetu zenyewe hazitoxh na bado waibe Kuna nn kinabaki
@christianmallya3 ай бұрын
Tunapenda sn dj smaa na mwenzie ... Tuleteee mentality ya USA policy wawe wanabadilishana mawazo na kubishana
@Brunotarimo103 ай бұрын
Vijana hatari sana
@joshuamunyao6273 ай бұрын
Kuna kitu ndugu zangu hamuelewi hiyo kutenga kutenga kutenga kutenga kutenga ametenga kwa mda wa mwaka mmoja na nusu wanatenga zikienda wapi?
@zuwenarajab66753 ай бұрын
Suala la kodi za juu huku Ulaya usiseme hasa Sweden. Kingine ni kwamba suala la ukosefu wa ajira ni dunia nzima hapa Sweden watu hawana kazi, vitu vimekuwa ghali yaani ni majanga juu ya majanga. Mwisho wa mwezi unafika huna hata sumni ya kuweka akiba. Kwa kifupi maisha yamekuwa magumu sana, Allah atufanyie wepesi.
@yusufally51683 ай бұрын
Amin. Unaishi Sweden mji Gani? Mm Niko Södertälje Stockholm.
@zuwenarajab66753 ай бұрын
Ninaishi Göteborg ndugu.
@nicoledinga99483 ай бұрын
immigration has destroyed Sweden, too much crime and racism. Once a nice European country, now it has become a joke...But still hauwezi linganisha kukosa ajira Europe na Africa. Huko bado unalipiwa kodi na unapata matumizi kidogo. A very different comparison!
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Basi hama Sweden rudi Tanzania nchi ya maziwa na asali. Huku mambo yako shwari ndio maana hatujawahi kuandamana
Ongeleeni Tanzania yetu,na Tanganyika sababu tunamaisha magumu kuliko Africa nzima
@sultanmswahilitv48643 ай бұрын
Tuko na huyu ruto bumper to bumper.akimwaga mboga tunamwaga ugali.
@ummialey63913 ай бұрын
Hapo mmeongea jaman mbona nchi za kiarabu mtoto anozaliwa leo analipwa wamewezaje
@3erffeoui863 ай бұрын
apo kwa IMF wabunge wa kenya wali pewa 20 thousand dollar EACH ili wapitishe finance bill yaani waliogwa na IMF ZA NDANI HIZI
@stanastana31993 ай бұрын
Kenya wanaroho ngumu aisee daah
@saidyabdalla74103 ай бұрын
Kesho insha'Allah nawahi mapema San natoka kibera mapam
@MS.independent89343 ай бұрын
Najivunia kuwa 🇹🇿♥️
@HansChuma3 ай бұрын
😂😂😂😂😂kwa upumbavu kutojua hakiyako kuburuzwa kama Mbuzi kamba shingoni😂😂😂😂
@abdullahsaid21633 ай бұрын
The issue is taxes, sio kujiajiri
@MsodokiTheson3 ай бұрын
Masubi kumbe ni bwana mdogo Sana yani. Halingani hata na mdoangu Asia
@thewalltours3 ай бұрын
Sky iyo definition umeitoa ChatGPT😂😂😂😂
@saidmwasemu-do5tp3 ай бұрын
Hiyo ni kwel IMF wakome kabisa
@touristmorgan40903 ай бұрын
Mariakani ndio home
@ramadhaniseifuledi5133 ай бұрын
Natamani kuungana na kenye mko smart kichwani sio hukuuu...
@ninjaisma79833 ай бұрын
Ali masubi nakuelewa ila hii mada imekupiga chenga kidogo nkama hukujipanga na research so kiufupi hufatilii kenya wala kinachoendelea na wat reason behind that maandamano
@michaeljuma2543 ай бұрын
Mwambieni Masudi polisi wetu wanatumia life amunations so far watu watatu wameuwawa tayari, kwani hiyo ni rubber bullets
@DAVIDMMASSY3 ай бұрын
Maana hata wewe binafsi kama una deni na unataka kulilipa lazima utafute approach ambayo itakuwezesha kulipa lakini usianguke kiuchumi pia maana tatizo sio mikopo tatizo ni masharti ya mikopo maana mikopo hata marekani anakopa ila tatizo letu africa ni masharti tunayopewa sasa kwa mindset hiyo ya kujinasua kwenye masharti na outside control uwanja ni mpana sana wa njia za kujitoa first mobilise watu taifa lijue kabisa tunaelekea kwenye kujikwamua so kila mtu afanye kazi ipasavyo then u can take good loans from somewhere and invest in the procduction sectors ili baadae outcome ya hiyo investment ikusaidie kwanza kuongeza tax base. Ambayo utaweza kuwatax watu na pili uchumi utakua in terms of gdp (production) pili utaweza kujinasua taratibu after muda mfupi like 3 to 4 yrs unajitoa cz unakuw haupokei tena mikopo yenye masharti ya ajabu Kama kuna mistake wataalamu wa chumi mtatuarifu kwenye replies
@everrineanyango74103 ай бұрын
Huyu wa yellow hajui hata kidogo sababu ya maandamano hii na hasira ushuru hawajakataa kutoa sababu ni hii tax ruto anakula na bibi yake,side chicks,marafiki wake, corruption is too much budgetted for hakuna ajira kwa vijana,masomo yamesimama
@HansChuma3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@James-om1bk3 ай бұрын
😂😂😂😂😂tz
@YussufMohd-fc1dj3 ай бұрын
naomba tdhamani ya ile fimbo ilo chukuliwa please
@shabanimataka84183 ай бұрын
Tatzo watu wote wezi na ndiyo maana akuna kuwajbishwa ukiiba unapelekwa sehem nyngne ukaibie uko Sasa ela itatosha kwa mfumo uo Kila bajet ndogo
@MwemajaphetyZackalia3 ай бұрын
Bongo vp au ndio bongo rara mungu wangu sababu anajua jinsi tunavyo buruzwa
@AllyAllyRamadhani3 ай бұрын
Kweli kilimo ni mtaji na soko atuna soko la uwakika
@kafwimbimilambo85563 ай бұрын
Ruto anashindwa
@mpendarootys26573 ай бұрын
Kama Mimi mkenya ruto ametuzoeya sana ni funzo
@mndambokilavo25023 ай бұрын
Swali ni kwamba tumefikaje hapo?? Natunafanyaje???
@jeremiahcharles60273 ай бұрын
Lengo la ruto ni zuri sana,,,nchi zetu znataka tuendelee kukopa kopa,,,,badala ya kubanana ndani ya nchi na kupunguza matumizi
@Hamisi84653 ай бұрын
Yeye anakopa pia.. Ulisikiliza budget wewe... Deni limezidi na tax pia inazidi
@kwaleboy60643 ай бұрын
Hata hujui kunaendelea nini una coment tu kama senge.bado wala kwenu hujui bei ya kitu chochote shenzi wewe
@uwimana65333 ай бұрын
Wazungu wanamtumia kuangamiza Afrika sehemu zingine wanafukuzwa kutokana namadeni wanawapa watu 😂😂
@alhajjwaupe45933 ай бұрын
Ndugu mimi ni mkenya twa mfaham vizuri zakayo ni manno lkn hayupo kwenya hayo
@mohammedshishishi63753 ай бұрын
Kutoka aingie alifanya mradi gani. Miwili tu Pesa kwa mkopo na nyumba napia apo kwa nyumba ni noma sana Sasa jiulize izo pesa anazo kopesha anapeleka wapi?
@yasminmustafa22823 ай бұрын
Lemmi key you in.. We have no problems in paying raxes,we need ACCOUNTABILITY we cannot be budgeting for corruption and furnishing politicians lifestyles no way...enough is enough
@trendz_25483 ай бұрын
Maandamano ni peaceful kabisa
@kyangwesignermohamed78673 ай бұрын
Huyo jamaa yeye siku zote anaongea sana anamyima DJ Smaa nafasi yakuongea 😂
@josephmungai79533 ай бұрын
Bro!!!!! I request ungefanya research kidogo, clarion call ya Rais Ruto ilikuwa kupunguza gharama ya maisha kutoumiza wanainchi kwa Kodi, he said President Uhuru was over taxing people. The country cannot be lead as if we in the 80's and 90's . Alafu Kuna deni Jama anaingia Ndege ya million 200?? Jama ametengewa million 800 for confidentiality? Kodi inaongezwa hakuna maendeleo safari tu na story!!
@BoazDillu3 ай бұрын
Me naipenda TZ one day tutakaa poa tu maana hapa tulipo pia hstikuwahi fika,ila sahii tupo ni wazo langu tu kwamba Kupaza sauti ni muhimu but sio fujo kama hizi maana ndani ya hizi fujo wezi,vibaka,a waharifu ndio sehemu zao hizi sobadala ya tatizo kutatuliwa inchi inageuka kuwa kama jalala na mambo mengi ya nasimama na maisha yanakuwa magumu zaidi, mfano fujo kama hizi bodaboda,mama ntilie nk watu kama hao familia zao zitakula maandamano sio? Lazima tuwe makini sana amani nikitu Muhimu hapo kwa Wa Kenya sijaona cha kujifunza wala
@allymatilda75193 ай бұрын
Wenaee unaongea nn huu ndio ujinga na uoga wakifala
@BoazDillu3 ай бұрын
Sawa mwenye akili na shujaa,🫡🫡
@maalimzakariyya57703 ай бұрын
Nimetokea Kenya MIM ni mwana SNS damu.
@JohnMabustar3 ай бұрын
Upepo wa maandamano nauona inakuja kama Arab spring afrika mashariki
@aby.beka16303 ай бұрын
nataman viongoz wetu km hawajui wangejifunz kupitianyie"~
@jedidahbintidaudi82413 ай бұрын
25:22-25:56 ni vitu Mh Gwajima alivisema bungeni..akasisitiza sana. ona sasa nchi zingine zinagoma- population growth is meeting scarce resources and so they cant help it ..and they come out and demonstrate their frustrations..
@ARNOLDKARISA-fs3ht3 ай бұрын
hata WORLD BANK mambo imewafikia hizi zote lazima wajue huku tuko huru kujitawala
@morganodoli35643 ай бұрын
Hasma the guy in black please note hatujakata kulipa kodi the problem is that the money that he wants to tax is not there majority of Kenyans lives under 10 dollar a day now what do you tax from such money and you have extra bills to be paid and then from the same under 10dollar someone wants to add an additional tax now you tell me what will you remain with this is death hata ukuwe na bidi aje biashara yako haitasonga coz watu hawana pesa reason being over taxation. #rejectfinancebill2024.
@salomeomashibo19713 ай бұрын
REJECT FININCY BILI ruto Must Go ruto must go ruto must go Na musisaau mashamba pia ita tolewa kodi kama uko na mifuko zago ushago kodi