Kuna watoto wanachukulia powa wazazi kama Majid jamanii😢huu ni huzuni kwamzazi 😢😢na wew kaudhali nenda kwenu bwana unagangania mwanaume mmezaliwa naye shenzi zako nenda kwenu apo sio kwenuu
@TeklaNdekeja2 ай бұрын
❤❤
@aminamhina91292 ай бұрын
Majid litamkuta jambo😢😢😢
@aminamhina91292 ай бұрын
Majid litamkuta jambo😢😢😢
@lonakirao52752 ай бұрын
Siku zote mtoto hajui uchungu wa mzazi ndiomana muda mwengin utamsikia mtoto akisema kwani nilikutumia barua unizae
@lilianeerica33182 ай бұрын
Mimi nadhani kuna jambo analipanga ndani ya moyo wake
@HareemaMct2 ай бұрын
Huyu kausali naomba Mungu apate na kitu kizito mjinga kabsa ananikela t mm
@mariamMilha-st3qu2 ай бұрын
Asant Felxmwarimu muzuri Majd kunamajuto ukombere Kautalia uyoniwucizi sio uvimilimu Majid nimwisho Wawanaume aoyake nimufupa namanisha mbo yake unanikera nibasitu😭😭😭😭
@5araalharmi474Ай бұрын
🔥🔥🔥
@salmazwallo59202 ай бұрын
Mmmhhh cauthar kazi aiseee inazidii sasa
@aminanimbona18612 ай бұрын
Uyu Djumaine naye ngoja nione 😅kuomba number mmmmhh 😅😅😅
@rosykeny68892 ай бұрын
Ila hta kama ni uvumilivu hii nayo inanitoa machozi😓😓😓
@twinssauditwinssaudi72482 ай бұрын
Leo nimekua wnne❤❤❤❤
@kibibikombe92032 ай бұрын
Safi sanaa
@AsmaAsma-mc9pt2 ай бұрын
Majid anakosea tu kumdharau mamake ila hilo limwanamke lake king’ang’a mie linaniboa tu
@echawekab3796Ай бұрын
Namimi naona hivyo ng’ang’a nizi 😢😢hadi nachukia
@MonaJuma-cp3jg2 ай бұрын
Chupi imechanika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@moreenidaya13572 ай бұрын
😂😂
@Bi-Nussra7 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@DoreenKimwele-bo4ss2 ай бұрын
😢😢😢😢hadi nimeaza kulia
@nurafedrick3782 ай бұрын
Leo mchepuko kawa wathamani kuliko mamayake AMA mkewake kisha anamwitaa mazii😥😥😥😥😥😥😥😥😥mmmmmmmm loooo hapo kwanguo zandani huyu dada VIP jamani etii sandra apelekewee chupii huyu dada VIP kumanisha hata chupi anamfulia😳😳😳😳😳😳😳😳😳 huyuu jamani angekutana na mm ambayee akili zangu nazijua mwenyewe
@halimashaib91022 ай бұрын
Nko chonjo Sana
@khadijasayeed33812 ай бұрын
Jaman huyu Majid kazidi😭😭😭
@pilishazycounterog82002 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@WinniePretty-t1v2 ай бұрын
😢😢😢
@nurafedrick3782 ай бұрын
Pambania ndoa yako wakati imeingia doa pambania ndoa yako mwisho akuuwee.....huyu dada kwani alixaliwaa njiti hata njiti mwenyewe anaakili xake lkn huyu sijui ninani kamrogaaa huyuu dada VIP,, sandra siku isiokuwaa na jina wewe na majidne mtaokotaa makopo kwaza huyu mwanaume laana zamamayako ushazipanda bado kupalilia
@AnastasiaKilonzi2 ай бұрын
Apana iyo Aiko sawa
@juliusmalunde96362 ай бұрын
Asante kwa mwendelezo
@lonakirao52752 ай бұрын
❤❤❤
@superstarmusic84292 ай бұрын
Simulizi mix tufanye business nihitoleye movie hiye simulizi
@leeheyon2 ай бұрын
naon watu weng mnamponda majid, ila mm nikivaa viatu vyake naon kuna ka furah fuln anajisikia dhidi y sandra ambayo inamfany asijutie maamuz yk
@salhamlanz98062 ай бұрын
😂😂😂kijana wa ovyo sana wewe
@leeheyon2 ай бұрын
@@salhamlanz9806jamn ni kweli ht ww unajua😂😂
@AleKhan-k3z2 ай бұрын
Kaudhali unaboo hayo sio mapenzi ni ujinga amka bana
@nurafedrick3782 ай бұрын
Huyuuu dada VIP akili yake sio timamu mume amekutusi matusi arubaine na Mia mbele ya wazazi wako halafu ww hutaki jamani jamani mm huoo mdaa wakubembelelexaa ndoa hapanamana niutumwaa eti nimfulie mchepuko eti mumewangu kamkosea mchepuko mm ndoniendee kumuombea msahaa kwani yy ana uchi wa corner shexi kabisaa
@swabrinamwaka24372 ай бұрын
❤❤❤❤🎉
@5araalharmi474Ай бұрын
😂😂😂😂
@yusravyizigiro12472 ай бұрын
🥺🥺🥺🥺🥺🥺
@hawasaid66252 ай бұрын
Majjdi majjid majjid nimekuita mara tatu
@Lee-ng5wh2 ай бұрын
Mara tatu kabisa
@gloriaphilipo2 ай бұрын
Et si unajua nilizaliwa mwezi 11, Khaa sa maana Yake nini😂