Amen Amen 🙏 ubarikiwe sana mtumishi kwa somo hili. Bwana Yesu anasema ni heri kutoa kuliko kupokea. Na Roho mtakatifu kwa kinywa cha Paulo anasema ' kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwske, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu'. Kumtolea Mungu ni huduma njema. Na sio tu kwamba ni huduma njema, na ni hudumu iliyojaa baraka nyingi sana. Ndio maana unaona shetani amefanya watu kuwa na ugumu kwa utoaji hili msipokee baraka za Mungu. Na unampomtolea Mungu,usimpangie akubariki na nini toa na usahau, usikumbuke ulichokifanya ama ooh! Mungu nimekutolea hiki nami nipate hiki no no no. Sadaka uliyotoa ina sauti na ile sauti ya kiwako ya sadaka unayotoa ndio inayosababisha mbingu inene kwa ajili yako. Angalia sauti ya sadaka inatokea wapi? Yesu alipokuwa msalabani alilia Eloi Eloi, lama sabachthani? My God, My God, for what have you forsaken me..... ndipo sauti ya Yesu ikaenenda kote ulimwenguni ikimnunulia Mungu makabila ya kila aina. Akanunua wakenya, watanzania, wanyarwanda, wachina soote tukawa miliki yake. Hiyo ni sauti ya sadaka. Kiwango unachotoa kina maana sana, Just imagine kutoa mwana wa pekee. Abraham alipokuwa mlimani kutoa Isaka kama alivyoangizwa na Bwana.... sauti ya sadaka ikauliza Baba kuni tunazo, na kondoo ipo wapi? Abraham akamwambia God will provide.... wacha sadaka unayotoa iwe na sauti kwa Mungu, usimtolee Mungu mabaki... Ombi langu kwako mkono wa Mungu ukawe juu yako leo na siku zote, na baraka za Mungu zikatembee nawe kila uingiapo na utokapo katika jina la Yesu.
@sheillahwairai46915 ай бұрын
🎉🎉🎉
@Eunice254-o7x5 ай бұрын
Mungu azidi kukulinda na kukupa nguvu ya kuendelea kufanya kazi ya mungu..
@NickTarimo5 ай бұрын
Amin mtumishi Asante kwa mafunzo ya maombi mungu atuongoze sote
@MaryRichardNgereza5 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mungu anajivunia sana wew azidi kukuinua zaid ya hapo na akulinde na ibilis
@QueenNyondo-h1m5 ай бұрын
Amen mtumish Amen🙏🙏🙏
@Eunice254-o7x5 ай бұрын
Amen God bless you
@Ushindiemmanuelushindi5 ай бұрын
Ameen mtumish
@remigioushofa28174 ай бұрын
Be blessed
@vokehmanmtotowamungu28885 ай бұрын
Ukwli MUNGU tusaidie 🙏🙏
@Pendopasilika5 ай бұрын
MUNGU nisaidie hiki ulichokieka kwangu nisaidie na wengine ubarikiwe mteule wa BWANA kwa somo hili najifunza kitu hapa