Me wa kwanza kila siku nasipati like leo naomba jmn
@Mlopa47_Mp Жыл бұрын
Uwe unakuwa wa 100 ndio utakuwa unapata like 😂😂😂😂😂
@SelemaneJamalJamalabdala-il7xo Жыл бұрын
@@Mlopa47_MpANA AS fotos Do teu Amigo Obrigado As Na ÀS Suas atividades Que
@josbrown199 Жыл бұрын
@@Mlopa47_Mp 😂😂😂😂 we mjanja blood dah 😂😂😂
@Mlopa47_Mp Жыл бұрын
@@josbrown199 unyama
@EustasheJoseph Жыл бұрын
@@SelemaneJamalJamalabdala-il7xo llll
@Yushimelody Жыл бұрын
Wa saba kuview wapi likes za ndaro ndugu zangu watanzania❤❤
@kladahmad3333 Жыл бұрын
Yani we acha tu❤❤❤❤❤
@DavidMuriuki-kw4hp7 ай бұрын
Kongole kwa ndaro na Steve for much creative they are like kwao tafadhali na yangu moja.
@spynations09 Жыл бұрын
na mim leo nimewah like za kutosha kwa stive na ndaro
@djzygote349 Жыл бұрын
Habari za maisha familia 🤣🤣🤣🤣
@venaciokariuki4552 Жыл бұрын
Naipenda hiyo combination ya Steve na Ndaro😂😂😂😂😂😂😂😂 Humu Kenya hatuachi kucheka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pascalbaya1399 Жыл бұрын
Mmj,,k,j,,j,,,j,,j,,,jj
@francismuthiani349 Жыл бұрын
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪😅
@Ismailyare16 Жыл бұрын
Ndaro mimi nakuanga mtu wa kwanza ku comment na si Pati like 👍 Naomba like 👍
@chemicaliealvadon7669 Жыл бұрын
Sapoti kwenyu, Kisii, Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@KirivoloKakule-hu7ge Жыл бұрын
😂😂😂 kweli hawa wajama watatuuwa kwa cheko mbavu zanguweeee😂😂😂😂
@HAKIMASHAURI-ry6qz Жыл бұрын
Oy Steve na Ndaro pamoja Hajira na wengine big-up sana by Msukuma Mashauri the don
@Vincent-kj4iz Жыл бұрын
Stive napenda sana comedy zako ,, alafu huyo hajra mrembo sana ,,,na waza from kenya😅😅😅😅
@lilianalmas5911 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Palipo na Ndarooo na Steve mweusi Huwa mbavu zinauma kwa kicheko 😂😂😂😂😂
@Mariam-fm8vq11 ай бұрын
Akili zao hawa miamba wawili wanazijua wenyewe aki MUNGU awasaidie tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kimuu1586 Жыл бұрын
Huku Kenya hamadi kijijo kinakubalika😂😂😂
@mkombozierick7828 Жыл бұрын
Steve steve steve na ndarooo mtatuua aiseee😂😂😂
@producerdyson2796 Жыл бұрын
Vijana talent sana 😂😂😂
@anuarychuma5252 Жыл бұрын
Ndaro na stevin Moses mungu anawaona
@kadijaa77719 ай бұрын
Mami hajra watu husema wanawake hawasifiani ila dada nakupenda kwa ajili Allah mavazi yako yanaony3sha kabisa ww n8 msichana unae jiheshimu na kuheshimu dini yako kongole dada Allah akulinde na akuongoze uw3 mfana wawanawake wote wanao cheza sanaa ❤❤ from Kenya daer r
@JohnsonAmos-py3wf11 ай бұрын
Steve mweusi nakukubali sana brother endelea kutupa fulaha watanzania 💯🙏❤️❤️
@PacifiqueSumaili-xg5xk Жыл бұрын
Wa 21 ku comment, Ndaro na Steve nawakubali kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣, sapoti zangu zimetoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@hannan279310 ай бұрын
Yani nyie mumeshinda matahira kwa kweli😂😂😂😂hajra umedamsh na gauni lako🎉
@mulababaz2232 Жыл бұрын
Sanaa babuu haina mpinzani
@KelvinChengo-sv4zr Жыл бұрын
Kazi nzuri nakubaliii❤❤❤
@macklineremmanuel1742 Жыл бұрын
Ha haaaaaaa haa nimecheka sana, Hawa jamaa jamani Mungu anawaona, hiyo ni kusalimia tu😂😂😂😂😂
@gencychaniko8825 Жыл бұрын
🤣 "Halafu hii suruali ndo huyu mwenzake gauni"
@aishaomar22878 ай бұрын
Chokochoko mchokoe pweza😂😂😂Steve 🙌 🙌 🙌
@annasangaina9078 Жыл бұрын
Naikubali sana family mweusi stive❤ pamoja na ndaro
@user-eh2jz8rw3o Жыл бұрын
Good job ndaro and steve mnajua sna ongeleni kuakutupa burudani Quatar Burundi ❤❤
@IsaacMwathi-j9v Жыл бұрын
Ahahaha hajahahhaha
@cyamatareealexis13738 ай бұрын
Guys your comedy iko kwenye another level
@LinusEdward Жыл бұрын
Nakubali wanetu mnafurahisha
@hatibuhema5569 Жыл бұрын
wa kwanza mimi
@JoshuaTajeu-xs9fv Жыл бұрын
noma sana😅😅😅
@Mz_photos Жыл бұрын
Ndaro umepoa sana yaani Auna Vibe
@allymukhsin29628 ай бұрын
Mwana ndo alivyo kila mtu ana talanta yake bro dzain ya mwana ni tofauti waga cool sana 😂😂😂😂
@estermwangoma6891 Жыл бұрын
Stevu ee mim n fans wako lkin mzee baba hizo nywelee zinaboa nyoa tu vizur kama vile mwanzon au tafuta mtindo mwingine afu mkiwa na ndaro mnauwaga hatariii unyama ni mwingiiii💯💯
@Goodboyofficially Жыл бұрын
Vichecheee 😂😂😂😂
@MusaMetalame Жыл бұрын
dah kweli 2ngekua hvyo kwa wa2. dah wa2 wangeishi kwa wasiwasi xana. main bigupp mabrooooo
@MusaMetalame Жыл бұрын
toeni za ukichaa bac maana 2mezic ase
@zabronmarco1430 Жыл бұрын
Noma cn2
@JaphethKinanga4 ай бұрын
Ila wanavojifanya vibonzo😂 wanazengua tu kufurahisha aaaaasaah
@mweniztv Жыл бұрын
Mbavu zangu swaleh mno😅😅😅😅😅
@katsuvakamatedaniel7893 Жыл бұрын
Eti mbali tumboni 😅😅😅😅😅
@Davis-k Жыл бұрын
Nawapenda Sana natokea 254 🇰🇪🇰🇪
@user-wu4jj7ms2c Жыл бұрын
Napenda steve mweusi na Ndaro waki collabo labini wasanii wa comedi wa collabo kama hizi mtafika mbali wasanii wa comedi
@KEMEATV25 Жыл бұрын
Unatuvuta kwanguvu unataka utufanye nini😅
@BakariNjembwe8 ай бұрын
Usipo cheka dai mb zako kwa ndaro na stive
@cyamatareealexis13738 ай бұрын
Guys mbavu zangu mtalipa MTU atacheka mpaka lini jamani? Hhhh from Rwanda nawapenda sana
@dukeonchiri5037 Жыл бұрын
Ndaro na Steve Wacha kunitesea hawa dada. Fatuma nyinyi mhhmmwa Kenya
@youngweezy3846 Жыл бұрын
Stiven ni kichaa aki😅😅😅
@rehemamadembwe8890 Жыл бұрын
Nawapenda mnoooo ndaro na Steve
@manajr9155 Жыл бұрын
Mungekodisha tu Kisha nanyinyi mungeenda kukodi😅😅
@AmosSikanga Жыл бұрын
😂😂😂mnachesha sana
@user-ot6fv1oq1t6 ай бұрын
Dah uwakika❤❤❤
@شاني-ص6ظ Жыл бұрын
Mwafurahisha sana nyinyi ❤❤❤
@SulemaniWembofils11 ай бұрын
Wakali wa wooote
@agnesmwikali52148 ай бұрын
😂😂😂😂kenya tunawapenda
@JaneMuy10 ай бұрын
Hi am Aydah from Kenya keep it up mabro
@KEMEATV25 Жыл бұрын
Hivi vichwa ni hasara tupu ❤❤❤
@SmartVicenzo3 ай бұрын
Uyu ndaro eti unatuvuta Kwa nguvu ndani unataka utufanye nini😆😆😆
@halima238218 күн бұрын
Pia mm nawasalimia steve na ndaro vp ukopoa na kikosi chako ❤❤
@patrickthuranira Жыл бұрын
Weh!! Vipi moses yuko wapi hamadi kijicho! Na za mkuranga kaka!?
@annasangaina9078 Жыл бұрын
Naikubali sana family mweusi stive pamoja na ndaro
@athumanabdullah1526 Жыл бұрын
Baada ya kuwapa wote like dondosha na kwangu zifike 20 tu tuanze na ndaro na stev mwenyewe
@LuluShayo-o6e11 ай бұрын
❤❤ ndaro na Stevu munatishaa huku kenya
@EliasJohn-lc8nu Жыл бұрын
Machizi 2 na mboga zenu ndaro hajra Steve Hy best ake
@MalemiJuma2 ай бұрын
Hahahaha wamemutoa mutu kazan mdawameisho mh😮
@dukeonchiri5037 Жыл бұрын
Hapa Kenya uwezi kufanya upusi kama huo ndaro na Steve utachapwa
@TullySwai Жыл бұрын
C comedy nawew
@DavidMbekenga11 ай бұрын
❤.mabrooooo
@Honest-nt4sb5 ай бұрын
Jamani mbavu zangu steve😂😂😂😂
@KambaleMagherya-hs1td11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂nyinyi niwahuni kabisa mnanipendeza sana 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂 mnamusalimia tu
@jaydannychawaboy541811 ай бұрын
nani mwingine yuko hapa bado kama mimi🤣🤣🤣...❤️❤️❤️❤️
@saimonmuhando Жыл бұрын
Nakubli san kaz yenu
@mathewskajela55703 ай бұрын
Wonderful 👍👍👍 one
@nkurikiyearodiedavid6255 Жыл бұрын
Hii mmecheza kama chizi fulani hicho, mmejitoa akili sana
@EsauJambo Жыл бұрын
❤ naipenda kazi inayofanywa na ndaro na steve🎉
@alfredtebeka2497 Жыл бұрын
Musimuogope boss wenu😅😅😅😂😊😅😂 natokea drc Congo jamen😅😅
@estaphone Жыл бұрын
Steve utaniua😂😂
@rehema-lg5cl Жыл бұрын
Halafu ndaro wewe unachekesha wenzako ila wewe hucheki😂, afadhali mweusi some time twacheka nae😅
@vdjgovindajay172310 ай бұрын
Kkkkkkkk😂😂😂😂 mbavu zangu walayi
@RitherWilson4 ай бұрын
Nawapenda 😂😂😂❤❤
@Gloriamu3996 ай бұрын
Mimi pia nawakubali tokea ottawa canada
@Fatma-to6rq11 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Steve na ndaro mko na tabu sna
@sylvanjosam3402 Жыл бұрын
Me nachka san mpaka nasahau kuishiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SulemaniWembofils11 ай бұрын
Kiukweli mbavu zaaangu zi napata shida
@HappyNeema-zn1jc7 ай бұрын
😂😂😂 perfect one
@user-ww1ri9J76 ай бұрын
Watu wangu💪
@Gloriamu3996 ай бұрын
Ndaro ...Nakufata hapa Canada ottawa
@MoïseKalisa Жыл бұрын
Nimeipenda
@denniswilliam92010 ай бұрын
Guyz you are really amazing.keep it up and much❤❤❤❤❤❤
@EfraimNdazo7 ай бұрын
Yuko vizur steve
@NuriaMct10 ай бұрын
Hebu wahii kwnz😂😂😂😂😂❤nakupend Steve mbv zinaum kw kucheek